BACHU AANZISHA MSIKITI WA FITNA LAMU VISIWANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • Mtoaji mada ustadh muhsin bute Mtetezi wa Vijana wa kitwariqa
  • Zábava

Komentáře • 224

  • @abbakariathumani9141
    @abbakariathumani9141 Před měsícem +5

    Mohammadi bachu Mungu ampe nguvu kubwa katika. Daawa

  • @salehrashid-fx9rq
    @salehrashid-fx9rq Před 20 dny

    Allwah amlinde sheikh Muhammad na wanafiki kama hawa wasiojielewa.

  • @hakeemprince6868
    @hakeemprince6868 Před měsícem +3

    Waislamu ni ndugu ummah mmoja ni kama mwili mmoja kwahivyo tupendane tuhurumiane tuwe sote pamoja

  • @HappyBlackKitten-nt2lp
    @HappyBlackKitten-nt2lp Před měsícem +3

    Bacho songa mbele

  • @ABDULLAOALI
    @ABDULLAOALI Před měsícem +6

    Eti msikiti wa kitwarika! Subhana Allah, Allah anasema! انالمساجدلله فللاتدع مع الله احدا Masheikh Muogopeni Allah hii dunia ni njia tu tunaenda mbele ya Allah yatawekwa wazi yote kwa Allah!

    • @abuualiyalbahsany8740
      @abuualiyalbahsany8740 Před měsícem +1

      Shukran kwa ukumbusho
      Lakini unapoandika aya za Quran hakiki vzr uwandishi wa maneno ya Allah.
      Allah akubariki

    • @AbdulMohamed-ox6id
      @AbdulMohamed-ox6id Před měsícem

      Watu wa Shanga maisha yao wanaishi kwa udugu na amani, lakini s
      asa fitna ishaingia, inshaAllAH mungu atawastiri ndugu zetu wa shanga
      A

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 Před měsícem

      عربى - التفسير الميسر : وأن المساجد لعبادة الله وحده، فلا تعبدوا فيها غيره، وأخلصوا له الدعاء والعبادة فيها؛ فإن المساجد لم تُبْنَ إلا ليُعبَدَ اللهُ وحده فيها، دون من سواه، وفي هذا وجوب تنزيه المساجد من كل ما يشوب الإخلاص لله، ومتابعة رسوله محمد صلى الله عليه وسلم.

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 Před měsícem

      Hio aya inaanza kusema. MSIKITI NI WA ALLAH SW WALA USIOMBE MUNGU MWENGINE PAMOJA NA ALLAH SW. AU ULIFKIRI INAKQTAZWA KUOMBA MTU HAPO?. MAWAHABI VILAZA 😂😂😂

    • @user-xb6tr5vq4b
      @user-xb6tr5vq4b Před 28 dny

      Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh haomuwe munaangalia uwongowao

  • @mohammedyusuf8031
    @mohammedyusuf8031 Před měsícem +3

    InshaAllah kupitia huo mskiti Allah ataleta nuru ya sunna na hizo shirki zenu zitaondoka

  • @AbdulwahidAli-md6re
    @AbdulwahidAli-md6re Před měsícem +1

    Hiyo Aya waitumia kumkufurisha muislam mwenzio na Hali iyo Aya yawazungumzia wanafiki huoni kuwa umeitumia mahala sipo mm naona kuna mambo mumeyaficha kwenye vifua vyenu na Allah amekwisha sema katika aya zake " Na yakakusanywa yaliomo vifuani". Ikumbukeni sana hii siku msije mkajuta

  • @AmirathumaniSori
    @AmirathumaniSori Před 21 dnem +1

    Jama😅 mashekhe wengn ni mutihan 2 mbele ya mungu mutakuja kuzalilika san

  • @NurudinYazid
    @NurudinYazid Před měsícem

    Mashaa Allah kwa nasaha nzur yaa ustadhy zid ya fitna zinazo endelea kwa ulimwengu wa sas

  • @MohamediNdwata
    @MohamediNdwata Před 20 dny

    Unajenga unabomoa shikamana na waislam katika njia ya Allah

  • @thamani5842
    @thamani5842 Před měsícem +1

    Jazakalkahu lkheir Sheikh

  • @ShabaniKibwana-z7d
    @ShabaniKibwana-z7d Před 28 dny +1

    Subhanallah

  • @swahabahusein23
    @swahabahusein23 Před měsícem

    Masha Allah wazushi mko na shida sana

  • @WakaliFashionTz
    @WakaliFashionTz Před 28 dny +1

    Hii inaonyesha dawa imewaingia vzr sana

  • @user-lp3gi5wd4e
    @user-lp3gi5wd4e Před měsícem

    Kazi mnayo!
    Kama mlikua mnaswali eid moja siku moja mjue sasa mtaswali eid siku mbili tofauti.

  • @SuolFat
    @SuolFat Před měsícem

    Hongera sheikhe umesema ukweli

  • @JumaSalimin
    @JumaSalimin Před měsícem

    Pole sana sheikh wangu, wenye msikiti wao hawataki dawa nihio tu kuepusha shari. Kujenga msikiti mwengine MASHALLAH.

  • @AllyAme-h9e
    @AllyAme-h9e Před 11 dny

    Jamani cc tunao comment ni kharamu kumuita muislamu mwenzako kafiri tujirekebisheni jamani sote lengo letu JANNA

  • @AllyAme-h9e
    @AllyAme-h9e Před 11 dny

    Mashekhe mitihani hii

  • @farishfarish258
    @farishfarish258 Před 27 dny

    Bachu Allah akulipe khery

  • @MAPETEE
    @MAPETEE Před měsícem +3

    Bachu ni mfitinishaji sanaa

  • @MAPETEE
    @MAPETEE Před měsícem

    Watu bachu wot ni wapuuzi sanaa

  • @SeifSimba-qq8rk
    @SeifSimba-qq8rk Před 21 dnem

    Em shekh toa kufru sita zinazofanywa katika miskiti ya masalafi

  • @husseinibrahim5470
    @husseinibrahim5470 Před měsícem

    Bachu anaelimu mbembelezi afunze sunna ya RasulAllah

  • @MohammedSalim-lz3bv
    @MohammedSalim-lz3bv Před 27 dny

    Ustadh huna hoja ya msingi, mlikuwa msimzuwie kutowa dawa, sasa Acha dawa ije kwa njia nyengine, huwezi kuzuwia maneno ya Mungu....

  • @FahadMasoud-io4mb
    @FahadMasoud-io4mb Před měsícem

    Yaani masheikh wote hawajui wao ndio wajuzi,ukijikweza mungu atakushusha

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp Před měsícem +1

    Haahaa cheki hili jinga

  • @nelson-cd7fr
    @nelson-cd7fr Před měsícem

    Jamani muogopeni Allah acha kugawa waislamu

  • @WakaliFashionTz
    @WakaliFashionTz Před 28 dny

    Masheikh wa kisuf akili ndo tatizo mnamisimamo ya kitetea matamanio ya nafsi zao

  • @AshrafBunu
    @AshrafBunu Před měsícem +1

    Please tusitafute view kwa kutumia dini msikiti niwamungu uwe niwamwatwari au uwe siwanwatwari please view zitafutwe kwa njia nyingine

    • @ramiyawetutv
      @ramiyawetutv  Před měsícem +1

      Sikiliza video upate ufahamu

    • @warshysaid8564
      @warshysaid8564 Před měsícem

      ​@@ramiyawetutvkitu gan chenye faida hapo Ata kisikilizwe

  • @mikekhalifaali7510
    @mikekhalifaali7510 Před měsícem

    Bi Idhin Allah msikiti wa Sunna utajengwa na watu wa Maulid mtadhalilika hapa duniani na kesho akhera

  • @MAPETEE
    @MAPETEE Před měsícem

    Bora uwitwe madjid faraun bachu

  • @shuaibabdullahi7544
    @shuaibabdullahi7544 Před 17 dny

    Huyu shaikh ni mkuweli

  • @IsmailIbrahim-go3dy
    @IsmailIbrahim-go3dy Před 29 dny

    Na je walio mfukuza sheikh Mohammed bachu wame Jenga ule wa kwao na kumfukuza sheikh asifanye da'awah ni msikiti aina gani brother, Tena eti huyu sheikh ni mtu wa Sunnah subhana Allah

  • @saidjuma4547
    @saidjuma4547 Před 29 dny

    shekh Muhammad bachu usirudi nyuma hawa watu wa twarika hawawezi izima nguvu ya Allah

  • @ExcitedChefHat-ef5jt
    @ExcitedChefHat-ef5jt Před 29 dny

    Wewe ustadh nenda kalale tafadhali , fundisha ilmu ya matwari na kupiga zumari msikitini maulidi na hitima na kupiga ramli na . Wacha chuki zako mbovu za kikafiri kwa mwalimu wetu na shekhe wetu Muhammad Nassor bachu Allah amuhifadh.

  • @OsmanAli-zb3tu
    @OsmanAli-zb3tu Před měsícem

    Hata mtumepiaalimbuwa agawanya watu haikuanza kwa sheikh muhammad bachu Allah amuhifadhi

  • @Dr-ubaida965
    @Dr-ubaida965 Před měsícem

    Mashaallah

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 Před měsícem

    MASHAALLAH

  • @MohammedSalim-lz3bv
    @MohammedSalim-lz3bv Před 27 dny

    Kazi kuabudu makaburi, lazima muambie ukweli...

  • @IsmailGavara-y3t
    @IsmailGavara-y3t Před měsícem

    Pigeni kelele tu mkiti utanengwa huu ni utangulizi tu zitajengwa misikiti zaki sunni kweli kweli inshallah

  • @husseinibrahim5470
    @husseinibrahim5470 Před měsícem

    Bado hamuwezi tafautisha kati ya chumvi na sukari hata kwa macho au kuonja. Haki na batil kawmwe havifanani. M Bachu Allah akuhifadhi.

  • @sulehassanshall6140
    @sulehassanshall6140 Před měsícem +1

    Mimi nitatoka ushahidi mbele ya Allah yakua Watu wakiwahabi niwatu wafitna...nishawahi kuwaona mawahabi wawasaliti waislam wenzao kwaserikali ili waislam Hao wafungwe ..mawahabi niwatu wafitna Shetani Amewaingia kwanafci zao kufitinisha waislam.....

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 Před 26 dny

      Kumbe ishu ilikua nin au umeichukua habari jujuu kama mafadiqi hebu niambie tatizo la wao kupelekana mahakamani kufungwa

    • @drmahwa8166
      @drmahwa8166 Před 22 dny

      Muogope Allaah achana na unafiqi.bidah ni mrango wa moto​@@saidimkwinzu9106

  • @OfficialAbdulrashedalhilaly

    ALHAMDULILLAAAH WATU WATWARIKA HAWAFAI KUWA HATA WAFANYA USAFI MSIKITINI
    UKIPATA UWEZO WA KUMTOA MTWARIQA KTK UIMAMU NI KHERI KUBWA IMEFANYA WEWE
    SABABU HAO NI WAPOTOSHAJI SIO WAONGOZAJI
    HONGERA SH BACHU LAMU SASA YAENDA PATA MSIKITI YA SUNNA ALHAMDULILLAAAH RABIL ALAMIIN

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m Před měsícem

    Kweli huyo ni mfitinishaji ana wagawa waisilam Kwa msilahi ya wakatorck mpuuzi sana

  • @TheMousser
    @TheMousser Před měsícem

    ilikua sawa matwarika kusoma kwa mashia

  • @abedkarume9088
    @abedkarume9088 Před měsícem

    Mashekh nanyie kama wasanii siku hizo tangu muwe mitandao hamna makongamano ya pamoja kuchanuwana na kukosoan nyingi kwa waislam muje na lengo moja

  • @ShamsaMohammad-v1b
    @ShamsaMohammad-v1b Před měsícem

    Kwann muikataa ushirikiano

  • @AliAwadh-qc8wk
    @AliAwadh-qc8wk Před měsícem

    Nyote waislamu kaeni muelewane

  • @mohamedswalehe4442
    @mohamedswalehe4442 Před 26 dny

    Bachu hajielewi kama anajielewa angepambana barabara namjadala na Sheikh Said

  • @hajikomora703
    @hajikomora703 Před měsícem +1

    Swali. Je ni ipi hukmu y mwnye kuswali kwenye huo msikiti w Ustadh. Bachu?

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman Před 25 dny

    Mtu akimaliza kuujenga msikiti huo sio mskiti wake bali ni Nyumba ya Allah. Na waislam hupaswa kuutumia kwa ibada. Sasa mwenye chuki na hasad za kuwa alijenga fulani kwa kuwa yeye ana msimamo fulani hao watajipoteza. Kauli ni kumuabudu mola mpka mauti mmoja wenu yamkute huku ibada hakuziacha.

  • @farishfarish258
    @farishfarish258 Před 27 dny

    We xhekh ni mchochezi huna elimu unamponda bachu yupo kwenye haki

  • @ShamsaMohammad-v1b
    @ShamsaMohammad-v1b Před měsícem

    Munadhihirisha aibu zenu jisitirini madheikh wa shanga

  • @saidjuma4547
    @saidjuma4547 Před 29 dny

    hujasema kweli ww mtowa posti hii umefeli unatafuta kujibiwa ili upate kiki

  • @AbuuKhalid-h1i
    @AbuuKhalid-h1i Před 29 dny

    Ndugu anglia unacho kihadharisha utaenda kulipwa kwa kuzuia kuenea haki chuki zutakuingiza katika ghadhab za Allah kuwa makin ndugu yangu.

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp Před měsícem +1

    Ata bado kazi kumuandama kijana ambae ameamuamua kusema kwanza leteni ushahidi wapi wanyama walipeana tarifa ndipo mje na fitina

    • @twaibumikidadi7377
      @twaibumikidadi7377 Před měsícem

      😅😅 yeah
      kwanza wajibu majib
      1- wapi wanyama waliongea
      2- wapi kuimba ktk micbaa

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Před 28 dny

    Shekhe bachu hawawatuwamaneno utawaweza kwasababu aya walahadidhî hawajui

  • @TheMousser
    @TheMousser Před měsícem

    masajid za sunna hazina bid'a

  • @HalimaSalym-jl2ui
    @HalimaSalym-jl2ui Před měsícem

    Mungu Mmoja
    Dini Moja
    Mtume Mmoja
    Kitabu kimoja
    Kwanini madhehebi?

  • @user-qv9ep6wq1t
    @user-qv9ep6wq1t Před 29 dny

    Mawahabi wamekua kama wakiristo kwamba kila mtaa wenye msikiti kuwe na kanisa sasa wao moja ya mikakati yao ni kila penye msikiti wa Ahlu sunna kuwe na masjidu dhiraar

  • @sulehassanshall6140
    @sulehassanshall6140 Před měsícem

    Bachu nimtu wafitna Atadhaliloka nafitna zake

  • @JabuUssi
    @JabuUssi Před měsícem

    Inaonekana Bado huna ilmu

  • @IsmailKhamis-m6t
    @IsmailKhamis-m6t Před měsícem

    Waislamu muna shida gani

  • @abulfuluss8739
    @abulfuluss8739 Před měsícem

    Hichi kijamaa kichali kweli wallahi hhahhahha

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp Před měsícem

    Umepanik baba na msikiti utajengwa

  • @TheMousser
    @TheMousser Před měsícem

    kwa hio bachu anajenga mskiti wa makafiri, ndio mtume alivyo tufundisha

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 Před 26 dny

    Kichwa cha habari tu kinaonesha upumbavu wenu na akili ndogo kuna msikiti wa fitna dunian??? Kichwani hauko sawa

  • @saidjuma4547
    @saidjuma4547 Před 29 dny

    watu wa twarika kazi munayo munazuia dini ya Allah isitangazwe

  • @TheMousser
    @TheMousser Před měsícem

    msikiti suna kisimani hauvunjwi hilo lifahamu

  • @bafaaabuu
    @bafaaabuu Před měsícem

    Acheni fitina nyie duh hii hatari sana Allah anawaona

  • @al-aminbaruan6167
    @al-aminbaruan6167 Před měsícem

    KWELI UJINGA NI MZIGO.
    NGUVU NYINGI PUMBA TUPU.

  • @SharrifCharo-mi1bn
    @SharrifCharo-mi1bn Před 29 dny

    Watu maulidi wanakazi

  • @yunusramadhan2546
    @yunusramadhan2546 Před měsícem

    Tukaneni sana lakini mjue sku moja mtaulizwa kuhusu hizo kauli zenu

  • @user-iu3me2sm2h
    @user-iu3me2sm2h Před měsícem +1

    Kwani jmani msikiti ni kanisa,?

  • @abdishivo6764
    @abdishivo6764 Před 28 dny

    we sheikh acha fitina na choyo sjui hata waongea nini hapo

  • @BilaliIloko
    @BilaliIloko Před měsícem

    Hahaaa watu wa bidaaa mnna kazi sana,hamna hojja mtaenndelea hivyoo hivyoo hhuku dawwa ikiendelea kupamba

  • @BilaliIloko
    @BilaliIloko Před měsícem

    Wee kaendelee kusomma maulidi,suala la elimu achia wenginne,

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před měsícem

    Hakki ikiingia mahala Bàtill huondoka !!

  • @ShamsaMohammad-v1b
    @ShamsaMohammad-v1b Před měsícem

    Mulimdhania vibaya yy angejenga akaenda sio mkaazi wahapo kwenu

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Před 28 dny

    Na ulichokifundisha hakieleweki ilatu nichuki apo ndoo umeeleweka

  • @HassanTifai
    @HassanTifai Před měsícem

    Ukweli wa buchu unauma
    Sasa wanamtengenezea
    Ajali
    We wa shekh wa

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Před 28 dny

    Wewe mtuwakitwarika kwakuzungumza bila aya walahadidhi ndomnajua Nahao manenoyako bilahadidhi wala aya hayatusumbuisisi

  • @AllyAme-h9e
    @AllyAme-h9e Před 11 dny

    Hawa mashekhe ndo kioo chetu wanafanya haya cc tufanyeje

  • @pablooo4197
    @pablooo4197 Před 29 dny

    Twarika na ahlul sunnah vinaambatana wapi na wapi?? Huyu jamaa vipi lakini!

  • @hassanabdalla9688
    @hassanabdalla9688 Před měsícem

    Masjdid thwirar.msikiti wa madhara.ipo eleweni Quraan.

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir Před 26 dny

    Nyinyi wa Kenya subirini kidoogo baada ya miaka kadhaa mutakuja kumfahamu huyo Muhammed Bachu ni nani maana hamujamjua bado.
    Fitna na migogoro ndio kazi anayolipwa kwayo hiyokamahamujuwi.

  • @SharrifCharo-mi1bn
    @SharrifCharo-mi1bn Před 29 dny

    Unaogopa waumini hawato ingia kwa misikitu ya maulidi

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp Před měsícem

    Vip wengelimruhusu akafanya hiyo dawaa msikitini je muhammad angejenga huo msikiti mwengine lkn wameyanzaa wao kuwagawa waislam kwa kuwazuia kuinga ktk msikiti acha watu wajengee mwengine ambao watafanya harakat zao za dawa

  • @BizimanaYahya-y4o
    @BizimanaYahya-y4o Před měsícem +1

    Wewe unasema yakwako hausemi yawana zuoni

  • @salehrashid-fx9rq
    @salehrashid-fx9rq Před 20 dny

    Ukiongea ongea kama mwanamme, usilegeze sauti

  • @MohamediNdwata
    @MohamediNdwata Před 20 dny

    Shekh unatuchanganya kwa kusema vibaya Mashekh usiseme wapotoshaji hayo ni maneno machafu na wewe ni nani?

  • @IsmailGavara-y3t
    @IsmailGavara-y3t Před měsícem

    Masufi ni makafiri tu kama makafiri wengine sio jipya

  • @imamually1926
    @imamually1926 Před měsícem

    Kwani sheikh haki na batir vinakaa pamoja siku zote? Watu wengi huswali ktk miskiti yenu kwa shida ikiwa hakuna mskiti wa kisunna karibu ndio twaswali ktk misikiti ya kibidaa

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim Před 29 dny

    Jenga Bachu,wewe hawakuwezi wanakuogopa,wacha wapige kelele piga kazi

  • @user-oe8nv2tw7w
    @user-oe8nv2tw7w Před měsícem

    Nenda dar es salaam hapo kariakoo kuna misikiti yenu masufi ipo karibu zaidi kuliko hivo masjid mtoro, qiblaten,idrisa ,makonde, na masjid madina yote hii imekaribiana sasa sijui unalaumu kitu gani??

    • @user-qm4qd8yk2x
      @user-qm4qd8yk2x Před měsícem

      ahssnta hapahapa Mombasa misikiti ya masufi imekaribiana angalia masjid baluhi mbaruku jundani mahuru kwanza waibomoe iwe Moja ili ipatikane umoja wa waislam kama wanavyo dai wampe bachu na fasi atoe darsa katika misiki waliiojenga wao waone kama atajenga karibu na wao wala hawawezi wanamuogopa atabadilisha wafuwasi wao atawatoa kwenye shirk

  • @ahmedmalau1791
    @ahmedmalau1791 Před 20 dny

    Kiufupi hamutaki sunnah mwataka uzushi😅😅waabudu makaburi wana shida sana😂

  • @RamyGichero
    @RamyGichero Před měsícem

    Mawahabi maubwa tuu

    • @drmahwa8166
      @drmahwa8166 Před 22 dny

      Umejitengenezea dhambi kubwa kwa kauli yako.huo ni UKAFIRI unakunyemelea

  • @AnwarAli-vs9mp
    @AnwarAli-vs9mp Před měsícem

    Lol kila kizazi kina uzushi😅😅😅😅😅

  • @SeifSimba-qq8rk
    @SeifSimba-qq8rk Před 21 dnem

    Hakuna miskiti ya kuyagawa wa2