MAAJABU YALIOMO NDANI YA AL QAABA | SIRI 8 USIZOZIJUA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2022
  • Follow Us On:
    FACEBOOK:
    / aqonlinetv
    INSTAGRAM:
    aqonlinetv?utm_...
    TWITTER:
    / aqonlinetv
    WHATSAPP:
    chat.whatsapp.com/LTkso2pn287...
    TIKTOK:
    vm.tiktok.com/ZSJKAVXxK/
    TELEGRAM:
    t.me/aqonlinetv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 Aq Online Tv. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
  • Zábava

Komentáře • 142

  • @mrabdultv8356
    @mrabdultv8356 Před 9 dny +18

    Eee Mola wangu mlezi nakuomba nami unijaalie na vizazi vyangu siku moja kabla kufa tuweze kufika katika nyumba yako tukufu tufanye ibada tutekeleze nguzo uislamu amin amin amin ya Rabbi

  • @kinanaomar
    @kinanaomar Před 9 dny +2

    Masha’Allah namuomba Allah (SWT) anifikishe mimi na vizazi vyangu na waumini wa kisilamu ambao hawaja jaaliwa kufika hapo Amin Allahuma Amin Ya Rabil Alaamin 🤲🤲🤲

  • @user-ot4mn2sl5w
    @user-ot4mn2sl5w Před 13 dny +4

    Mashaallahu mumngu ametujaalia vitu vizuri ukiomba kwa alkaaba unafayikiwa lakini wengine hawaridhiki mpaka aende kwa mganga,ndio aridhikee.,hii niukosefu waimani uchamungu Allah anaweza kilakitu mtegemeani yeye.,

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv Před 5 měsíci +10

    Allah na sisi Yaraby utufikishe huko tukaone kwa macho yetu Yaraby

  • @fatumamohammad1012
    @fatumamohammad1012 Před dnem

    Ya Allah nijalie Mimi na familia yangu tuweze kwenda hijah InshaAllah

  • @saidyusuph1458
    @saidyusuph1458 Před 14 hodinami

    Naamini ipo siku na mimi nitakwenda kuhiji Inshallah, Lailahailallah

  • @halimamremi5375
    @halimamremi5375 Před 5 dny

    MASHAALLAH!! MASHAALLAH!! MASHAALLAH!! EWE MOLA WEYU UTUFIKISHE NASIS INSHAALLAH!!❤❤❤

  • @OmanOman-l7p
    @OmanOman-l7p Před dnem

    Ya Allah nijaalie Mimi na wazazi wangu na ndugu zangu siku Moja tuende hijja biidhni llah

  • @SamSubg-ec9qp
    @SamSubg-ec9qp Před 3 dny

    InshaALLAH mungu atujaalie wepesi tuwe miongoni mwa kwenda kuzuru alkaaba

  • @jokhasaid429
    @jokhasaid429 Před 4 dny

    Allah anijalie mimi na kizazi changu pilate fursa ya kuingia ndani ya mji mtakatifu kwa ibada na atusamehe tulioyakosea Amin

  • @shabanizayumba5432
    @shabanizayumba5432 Před 7 měsíci +5

    Insha allah,mungu atupe kheri na afya njema waislamu wote wapate bahati ya kufika makka kuhiji

  • @Official83640
    @Official83640 Před 9 dny +1

    Kuna watu hd leo wanajua hilo ni kaburi la mtume Subhannallah Mungu atufanyie wepesi tufike ktk nguzo ya 5 ya uislam

  • @user-ot4mn2sl5w
    @user-ot4mn2sl5w Před 13 dny

    Allahu Akbar mashaallahu mambo mazuri kama haya mnatakanini waja wamungu munamwendea kwaganga Allah ashawapa utukufu huo munamkasirisha nguvu,nautukufu nauweza wa toka kwa Allah.,

  • @CelinaKimu
    @CelinaKimu Před 13 dny +1

    Mashaallah Allah atujalie kheri hapa Duniani na kesho akhera

  • @habiybothman3286
    @habiybothman3286 Před 3 dny

    Yaa Allah nakuomba kabla ya mauti kwa huruma na rahma zako nisujudu ktk ardhi yako tukufu

  • @user-nk3dp9cv9c
    @user-nk3dp9cv9c Před 11 dny

    Mashaa Allah n jamno lakujivunia kwa Waislaam, Alhamdulillah

  • @user-jo7gv5ui6h
    @user-jo7gv5ui6h Před 10 dny

    MashaaAllah Allah atujaalie tufike huko tuliokua hatujafika inshaa,Allah

  • @salahhddindasuvic6447
    @salahhddindasuvic6447 Před 37 minutami

    Allah anijalie niende kuhiji

  • @MurshidMMussa-bz2yo
    @MurshidMMussa-bz2yo Před 11 měsíci +10

    Mashaallah mungu atupe kheir njema sote waislam na atupe Pepo yake kwa ridhaa yake

    • @halish
      @halish Před 11 měsíci +1

      Amiin ndungu yngu 🤲🤲🤲 ya Allah tuelkeze kw njuwa a sahihi

    • @Fildaus6306
      @Fildaus6306 Před 10 měsíci

      Amiin🙏

    • @jamilamkunga234
      @jamilamkunga234 Před 10 měsíci

      Allahumma aaamin

    • @AminaAbdul-ke6wi
      @AminaAbdul-ke6wi Před 3 měsíci +1

      Mashaallah mungu atupe kheri njema sote waislam na atupe pepo yake Kwa ridhaa yake amiin

    • @yakubkhan5183
      @yakubkhan5183 Před 12 dny

      Allahumah aaaamn 🙏

  • @user-kn7fz5ed6z
    @user-kn7fz5ed6z Před 2 dny

    Machallhah , alhah naomba nafasi yakufika huko

  • @user-te7sq5hl4d
    @user-te7sq5hl4d Před 7 dny

    Mungu atujalie heri waislamu sote nshallwa tukaone pepo ya mtume mohamadi

  • @byrongamble6737
    @byrongamble6737 Před 9 dny

    MASHAALLAH❤❤❤❤

  • @HadijaRamadhani-s8m
    @HadijaRamadhani-s8m Před 4 dny

    Shukran

  • @sharifally7958
    @sharifally7958 Před 10 dny

    Mashaallah mwenyezi mungu atujaalie nasi tufike il8 tutubie zambi zetu

  • @user-jo7gv5ui6h
    @user-jo7gv5ui6h Před 10 dny

    Na awatagabalie towba zao walio fika huko Aamiin

  • @hamadkaihamad4169
    @hamadkaihamad4169 Před 10 dny

    Ya Allah nijaalie niwe miongoni mwa watakaokwenda kuhiji katika katika nyumba yako tukufu iliyoko Makka kwa ikhlas

  • @FahmiyTafro-fx3dj
    @FahmiyTafro-fx3dj Před 7 měsíci

    Allah akubarik na kutubarik sote kwa uwez wa Allah (s.w)

  • @nifasiha7918
    @nifasiha7918 Před 10 dny

    Mashaallah mungu atujalie tufike alkba

  • @user-lq4gz1yd7g
    @user-lq4gz1yd7g Před 2 dny

    Hii ya zaman ya sasa inagaa kweli kweli marumaru balaa kisha ndani kuna kama kaba ndogo wanafunguwa kisha kama kunamatofali na udongo ila kimejengewa kama kisanduku ndio nini kile kisha kama inamadirisha mazuri au so kaaba ya maka ile

  • @MeraiOmar-ok8bo
    @MeraiOmar-ok8bo Před 10 dny

    Mashaallah Allahu Akbar ❤❤❤🎉

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před 4 měsíci

    Ma sha allah
    Shukran kwa kutujuza
    Tusiyoyajua

  • @user-ve6pj5uc2g
    @user-ve6pj5uc2g Před 10 měsíci

    Mashallah shukran kwa kutujulisha 🥰🥰🥰

  • @isaaabdala7016
    @isaaabdala7016 Před 3 měsíci +2

    Ndege..haipiti juuyake Wana.anga wote.hutegemea Alkaba.sababu ya.mawasiliano sababu yenyewe imevuka wanapo ishia wao pia inalindwa.na
    Mataifa
    Yote makubwa.kama.marekani.uingereza ufaransa.ujerumani kama.mungu ailivyosema

    • @selemanichambo2944
      @selemanichambo2944 Před 10 dny

      Si jambo la kujivunia kulindwa na nchi hizo, kwa Mwenye uelewa nadhani Allah anatosha kuilinda

  • @BeatriceLongelesh
    @BeatriceLongelesh Před měsícem

    Inshallah tupate ujira kutoka Kwa Allah

  • @jauzatyabdallah6748
    @jauzatyabdallah6748 Před rokem +1

    Shukran sana kwa kutujuza

  • @habibaramadhani-xv2ed

    ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH YA Allah

  • @user-mo6tr3yt3m
    @user-mo6tr3yt3m Před 5 měsíci +1

    Allahu Akbar

  • @abdurazacknyambwa2997

    mashaalla shukran kwa kutujuza

  • @user-nd7sy9kk6h
    @user-nd7sy9kk6h Před rokem

    Shkran

  • @yusufsadic2930
    @yusufsadic2930 Před 9 dny

    Masha Allah

  • @FaridaAlita-jx6lt
    @FaridaAlita-jx6lt Před 11 dny

    Mashallah tabarakallah❤❤❤❤

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 Před 2 měsíci

    DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI QABRI

  • @IbrahimAbuhendi
    @IbrahimAbuhendi Před 2 měsíci

    Amin

  • @SUZANASUZANA-ku3jk
    @SUZANASUZANA-ku3jk Před 2 měsíci

    Shukran mubarikiwe

  • @radhiaaboubakari4619
    @radhiaaboubakari4619 Před 11 dny

    Mashaalah

  • @twalibnurdin4494
    @twalibnurdin4494 Před 10 měsíci

    Mashaallah

  • @jamilahali-jg8er
    @jamilahali-jg8er Před 9 dny

    Ma sha Allah

  • @mustaphamatelefone-lc9pr
    @mustaphamatelefone-lc9pr Před 11 měsíci

    Allahu akbar 🥰😘

  • @noffalsalim
    @noffalsalim Před rokem

    Mashallah

  • @MariamOmari-vy7ko
    @MariamOmari-vy7ko Před 12 dny

    Mashallah 🥰🥰

  • @muhammadiabassi656
    @muhammadiabassi656 Před 10 dny

    اللهم آمين آمين آمين يارب العالمين

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 Před 7 měsíci

    Allah akbar 🙏🙏

  • @user-fi3gv3jq6f
    @user-fi3gv3jq6f Před rokem

    Allah akbar

  • @user-tl2ks4fl4h
    @user-tl2ks4fl4h Před 4 měsíci

    Alhamdu lillah

  • @amanialjunaibi674
    @amanialjunaibi674 Před měsícem

    Mashallaah

  • @AbdallahOmary-pm5et
    @AbdallahOmary-pm5et Před 9 měsíci

    mimi nasema asanteni kwa kutufahamisha tusiyoyajuwa

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 Před 3 dny

    Sisi mashia tunasema al Qaaba tukufu imeghalifiwa sana ìmeharibiwa na utawala wa kiwahabi

  • @rizikimikidadi6879
    @rizikimikidadi6879 Před 10 dny

    ❤❤❤

  • @user-cw6jq7cv2k
    @user-cw6jq7cv2k Před 10 dny

    Maash Allah mungu atupe uwezo wakwenda hajj pia kuona Kwa macho yote yaliomo huko. Hakika bahati

  • @AbdallaMwaguzo
    @AbdallaMwaguzo Před 13 dny

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-es2yt1jc4i
    @user-es2yt1jc4i Před 3 hodinami

    Sina zaid yakulia tu mimi anikubaliye toba yangu

  • @user-mo6tr3yt3m
    @user-mo6tr3yt3m Před 5 měsíci

    Akbar

  • @KassimJabu
    @KassimJabu Před 7 dny

    Nijaalie nami niweze kufika huko

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz Před měsícem +1

    Yaraby na sisi utupe uwezo wa kufika huko tukajione kwa macho yetu

  • @issakakolwa
    @issakakolwa Před 8 měsíci

    Subhannallah😂.

  • @HassanAli-do9iz
    @HassanAli-do9iz Před rokem +1

    Subhannallah

  • @godwinmsuya6080
    @godwinmsuya6080 Před 2 měsíci

    Alfu lela ulela

  • @fatumamsellem7622
    @fatumamsellem7622 Před rokem

    Shukran sana kwa kutoonesha
    Lakini hujatuonesha hilo jiwe lenyewe hilo jiusi

  • @isaaabdala7016
    @isaaabdala7016 Před 3 měsíci

    Majitu.majinga ni mengi sim.wanazo.lakini kufatilia mambo.ya dunia mnashindwa.uliza.watu wanaokwenda.mwezini.nnini.kinawasaidia kushuka duniani.kama.sio .kaaba.mtabisha kila.kitu kwa.upumbavuwenu

  • @hamisahtuman5595
    @hamisahtuman5595 Před 6 měsíci

    Jiwe kamela imeshindwa kuliona au uongo?

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 Před 16 dny

    Kwa vipi vitu hivi viwe siri, kwani vimevichwa ?

  • @SangaleSugume
    @SangaleSugume Před 3 měsíci

    We Sema hadith tu subir had ufe utaamin siku yake

  • @halish
    @halish Před 11 měsíci

    Naomb kuona kaburi LA mtu saw saw saw

    • @omaar5693
      @omaar5693 Před 10 měsíci

      mtu swa swa swa ndio nani?😢😢😢

    • @Saidy-eu1hc
      @Saidy-eu1hc Před 27 dny

      Mtume kazikwa maka situmeonyeshwa alikaba

  • @NasraSaid-qc5hf
    @NasraSaid-qc5hf Před 8 měsíci

    Jiwe jeusi likowapi?

  • @user-ix4fv2nj2v
    @user-ix4fv2nj2v Před 4 měsíci

    Lkn hizi zote ni hadisi 😂

  • @PeterChengo
    @PeterChengo Před 11 dny

    Kumbe jiwe lili jegwa Wala halikushuswa kama wanavyo dai nduguzetu

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 10 dny

      Wewe mpuuzi huo utumbo wako unaoongea umezungumzwa wapi hapo? Tambua hiyo nyumba aliyeijenga ni Abraham na mwanawe Ishmael, Abraham ni baba wa imani ktk Bibilia na ktk Qur'an. Wakati wanajenga hiyo nyumba waliyosema hiyo nyumba yake Mungu, hilo jiwe lilikuwepo na yeye ndiye aliyejua kuwa limetoka kwa Mungu Muumba. Sasa yeye Abraham amesema hivyo na hiyo nyumba kajenga yeye nwenyewe, je wewe ni kama nani unayepinga?

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Před 10 dny

      Ndugu zako kina nani waliosema? Jiwe lililitumiwa na nabii Ibrahim kujua kua ndipo mahali alipooteshwa na MUNGU linaonekana kwa nje kwenye kipembe cha hiyo alkaaba, yani pale pale alipoliacha nabii Ibrahim, nabii Muhammad alifanya uboreshaji pamoja na maswahaba wake waliliondoa na walipo maliza walilirudisha, kwa sasa limejengewa kwenye kipembe kwa nje ,yani sehemu inaitwa MAKAN IBRAHIM

  • @bonifaceomallya9201
    @bonifaceomallya9201 Před 28 dny

    Watu waongo sana

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před 3 měsíci

    Hizo nakshi aliweka Ibrahim na mwanaye Ismaili? Nauliza tu.

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Před 10 dny

      Uneambiwa ziliwekwa na mfalme wakati wa utawala wake au hukuskia? Kwani ata henzi za mtume huo smikiti ulikua hivyo?

  • @ngurukitv4584
    @ngurukitv4584 Před 23 dny

    Good job bro follow back God I love you ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @salumahmadasalum1556
    @salumahmadasalum1556 Před 10 měsíci

    NITUMIE NAULI NIENDE NIKASHUHUDIE NIKAONE KAMA NI KWELI UNAYOYASEMA IKIWA NI KWELI NTAKURUDISHIA PESA ZAKO

  • @abdallahbrek1698
    @abdallahbrek1698 Před 11 měsíci +2

    Hayo si maajabu ukiwa na pesa unaweza kujenga nyumba kwa mawe ya dhahabu.
    Hiyo Kaaba si chochote bali ni mabaki ya upagani wa waarabu wa kabla ya uislamu ambao unafuatiliwa hadi leo

    • @NasraSaid-qc5hf
      @NasraSaid-qc5hf Před 10 měsíci

      Weweusrseme
      Usiyoyajuwa
      Wewekafirituuuu

    • @jumamkoka2267
      @jumamkoka2267 Před 11 dny

      Ndugu fanya utubie...

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Před 10 dny

      Ilijegwa na nabii Ibrahim ,huyo kwako ni mpagani? Sio lazima uchangie usiyoyajua, hau unaona ufahari kwakua wewe ni mpagani basi unadhani utaambatanisha ibada muhimu na huo upagani wako?

  • @bonifaceomallya9201
    @bonifaceomallya9201 Před 9 měsíci +1

    Wapumbavu ni wengi wanaamini kabisa wakifa wanaenda peponi tena Pepo ya kiarabu 😂😂😂😅😅🤣😂😂😂 mamaeee Africa siku tukija shtukia michongo ya wazungu na waarabu hata hizo hela za waafrica kwenda kuhiji uko watazikosa

    • @user-gs2wv1cc1b
      @user-gs2wv1cc1b Před 5 měsíci +1

      allah akufanyie wepesi utoke kwenye ilo giza

    • @mhandomhina5503
      @mhandomhina5503 Před 18 dny

      Uarabu si Uislam na Uzungu si Ukristo . Hata yule alisoma historia shule ya msingi atagundua dini ipi iliyokuja Afrika kwa mlengo tofauti wa kidini isipokuwa uwakala kwa ajili ya dhuluma ya wakoloni ambao athari zake mbaya kila mtu anazijua juzi jana na leo hii inavyotukandamiza . Tusijifiche Kwenye kichaka
      cha Uzungu na Uarabu tujadili Kwenye dini ipi ? Leo hii Kuna mali zetu kibao zinachukuliwa bure lakini watu fulani wenye chuki na upande fulani ambao kwao kufundisha kuchukia dini fulani ni kawaida lakini utashangaa papo hapo wanawaubiria watu wao
      upendo eti! Pia watakuelezanchi zao za Afrika zinauzwa na viongozi lakini nyoyo za haziumii pindi taasisi zao za Imani zinavyopata manufaa ya kiuchumi bila huruma dhidi ya nchi zao na kwao ni sawa tu hakuna kelele hakuna matata. Haya ni MATOKEO ya mlengo uliowaleta na kupata makuruta
      walioenea Kwenye serikali zetu ambao hakuna kuhoja baba mkuu kila anachochukua .....

    • @Maymuna-wc8lz
      @Maymuna-wc8lz Před 12 dny

      Mapovu yatawatoka Wengi,,, naww si utaenda Mbinguni kwani shida iko wap??

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Před 10 dny

      Pilipili iko shamba inakuwashia nini? Hizo zako pesa nendea mbinguni kwa wazungu, hujajua kua mpumbavu utakua wewe siku hiyo?

    • @Maymuna-wc8lz
      @Maymuna-wc8lz Před 10 dny

      Kweli wewe ni Kenge,,, Hizo pesa zako Kanunuwe Madanguro

  • @isaaabdala7016
    @isaaabdala7016 Před 10 měsíci

    Unaijua?au.unakufru munngu nikuongezee ndege haipiti juuyake mawasiliano yamevuka mbingu ya7 Kaulize.uwambiwe usidharau tu ni ujinga

  • @EmileMukolo-fd3gy
    @EmileMukolo-fd3gy Před měsícem +2

    Waarabu Bana wanajuwa kutafuta pesa eti nyumba tukufu eti ilijegwa n'a adamu vichekesho kabisa

    • @bintikhamisi7806
      @bintikhamisi7806 Před 14 dny

      Ni wazi hujaskiza yaliyosemwa Kwa video hii Wala hujasoma. Ignorance is the main reason why people fail in life. Religion came to us from middle east and those are the people God chose whether you agree or not

    • @user-qx2ei7bc9e
      @user-qx2ei7bc9e Před 12 dny +1

      Ww acha kuchomeka maneno yako kama hujui kaa kimya🤫🤫

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 12 dny

      Mtangazaji ni professional Lugha ya Kiswahili uko sawa.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 12 dny +1

      Wewe hata hujuwi nini maana ya nyumba tukufu unadhani Mapinduzi na Mikutano yenu tu ni mitukufu hapo mnakosea. Na kama unasema WaArabu wanajuwa kutafuta pesa basi na nyinyi fanyeni juhudi wa Africa/Tanzania muitafute hiyo pesa kama rahisi. Usi comments mambo usiyo yajuwa mengine yanakuwa hayakuhusu wewe. Vichekesko kama wewe unavyo chekesha…..

    • @user-es9mf7yh7w
      @user-es9mf7yh7w Před 10 dny

      Weni mwehu kabsa soma uislam syo utukan

  • @ASHAFAIDA
    @ASHAFAIDA Před 7 dny

    Inshallah Allah atufanyie wepesi Kwa uwezo wake.

  • @CelinaKimu
    @CelinaKimu Před 13 dny

    Mashaallah Allah atujalie kheri hapa Duniani na kesho akhera

  • @JajiNaziri-ph8gq
    @JajiNaziri-ph8gq Před 11 měsíci

    Shukran

  • @UMMYYFATMA
    @UMMYYFATMA Před 8 dny

    MASHAALLAH ♥️ ♥️

  • @aligermano3615
    @aligermano3615 Před 12 dny

    Masha Allah

  • @Husseinyahaya-co6ci
    @Husseinyahaya-co6ci Před 3 měsíci

    Mashallah

  • @user-jg4vq8fk6j
    @user-jg4vq8fk6j Před 13 dny

    Mashaallah

  • @AliJuma-qo7bu
    @AliJuma-qo7bu Před 15 dny

    Mashaalah

  • @Fildaus6306
    @Fildaus6306 Před 10 měsíci

    Allah akbar

  • @majaliwadjuma7113
    @majaliwadjuma7113 Před 9 měsíci

    Allah akbar