Raddi nzito kwa Muhammad Is-haka (Mzee wa kiwahabi asiejifahamu) || Ustadh Haji Upepo حفظه الله

Sdílet
Vložit

Komentáře • 186

  • @sheikhyusufdiwan2489
    @sheikhyusufdiwan2489 Před 2 měsíci +8

    جزاك الله خيرا

    • @shilingi-Ahmadi
      @shilingi-Ahmadi Před 2 měsíci +1

      Sheikh yusuf diwani fanya taratibu za yale masomo ulikua ukisomesha umma ulikua wafaidika sana wallahi mola akupe afya.

    • @isihakamgeta5433
      @isihakamgeta5433 Před 2 měsíci

      Upo wakala WA shaytwan

    • @isihakamgeta5433
      @isihakamgeta5433 Před 2 měsíci

      Mbona kasema pombe acha KUMZULIA mnakata Manteno yake wapuuzi nyie ACHENI hiyo crip mpaka mwisho wapuuzi nyie

    • @jumaajambiamusa8214
      @jumaajambiamusa8214 Před 2 měsíci

      kweli nime amini mihabi nima zuzu katika elimu

  • @IbraFareed
    @IbraFareed Před 2 měsíci +5

    SHEIKH KAZI YAKO IWE IYO IYO KUWAWEKA SAWA MAWAHABI WENYE CHUKI

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216 Před 2 měsíci +2

    جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ

  • @hassanowgennogenno5740
    @hassanowgennogenno5740 Před 2 měsíci +3

    jazakAllahu kheyr ustadh

  • @IddiAli-sd5sb
    @IddiAli-sd5sb Před 2 měsíci +1

    Mche Allah shekhe upepo hiyo klip inaendelea lakini wewe umeigandisha hebu iachie watuwasikie kama ilivyo kuponyoka hapo mwanzo acha kukata klip ilikujilizisha utakuja kuulizwa siku yakiyama mche Allah ndugu dunia twapita

  • @MkindiRama-lp6hy
    @MkindiRama-lp6hy Před 2 měsíci +2

    Maashaallah uwahabi ni tatizo

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 Před 2 měsíci +2

    ALHAMDU LILAH ALLAH AWAPE UMRI MREFU VIJANA WETU HAWA SHEKH UPEPO NA SHEKH SAID AMIN

    • @HashimSalim-qj7zn
      @HashimSalim-qj7zn Před 2 měsíci

      Awape umri mrefu wazidi kupiga gita duh hichi ni kiza kweli

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 2 měsíci

      ​@@HashimSalim-qj7znsio kupija gita mjinga ww wakiwahabi sisi tutamsifu mtume s a w na kumswalia kama Allah kamsifu na kumswalia yy na malaika wake na sisi tukisoma maulid kumsifu mtume s a w ila nyinyi mawahabi mahasidi wa mtume na kumzushia mtume s a w nyinyi mawahabi wapotoshaji

    • @HashimSalim-qj7zn
      @HashimSalim-qj7zn Před 2 měsíci

      @@saba-gv3mj Kwanza nikupe pole kwa maradhi ulio nayo halafu kaa chini usome ujue namna ya kumsifu Mtume na kumswalia usiburutwe ni ujinga na pia utambue kua hakuna anaepinga Kumswalia Mtume wala kumsifu Mtume ila si kwa mfumo huo mulio nao nyinyi wa kupiga gita kueni na akili dini si ya baba yenu

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 2 měsíci

      @@HashimSalim-qj7zn pole nikupe ww mm alhamdulillah sina ugonjwa na ww pia dini siyababako wala mamako sawa dini ni ya Allah na mtume wake katuletea sisi sawa maswahaba wenyewe walikua wakimsifu na wakimtungia mashairi sawa na sisi tutamsifu na kumswalia ndio kiumbe bora mtume s a w kwa hio ww wahabi ni mahasidi wa mtume mungu atawashinda kazi kumzushia mtume urongo mukaleta tawhed tatu mumezitoa wapi nyinyi mawahabi wapotoshaji na ww wahabi wafuata tu kama kondoo soma wacha ujinga wakiwahabi ww kumbi maji

  • @MwalimJecha
    @MwalimJecha Před 2 měsíci +1

    Asante shekhe mnyoshe huyo muwahabi asiyejijuwa.

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 Před 2 měsíci +3

    MAWAHABI HAWAJUWI LUHA ZA KISWAHILI WALA KIARABU
    WAKIPEWA MTIHANI WA SKULI WANAPA ZIRO (F) KWA LUHA
    WANAZIJUWA LUHA ZA FITINA TU LUHA ZA KIYAHUDI
    ZA KUFITINISHA WAISLAM
    ALLAH AWAONGOZE WAO PAMOJA NA SISI AMIN

    • @ImanSaid-ox3po
      @ImanSaid-ox3po Před 2 měsíci

      LUHA AU LUGHA? Wewe mwenyewe LUGHA yako tu imekushinda ktk kuandika utawezaje kuikosoa inapo kosewa

    • @ibrahimbinwaibura9742
      @ibrahimbinwaibura9742 Před 2 měsíci

      Wewe mwenyewe kiswahili chako hukijui LUHA ndo nini😂😂

    • @user-dj7bs7si1v
      @user-dj7bs7si1v Před 2 měsíci

      Huyoook

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 Před 2 měsíci +3

    MAWAHABI WANATAFISIRI ZA CHUKI ZIDI YA WAISLA
    ALLAH AWAONGOZE WAO PAMOJA NA SISI AMIN

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Před 2 měsíci +1

    Mawahabi ni pote ovu lililoanzishwa na kubwa lao la kiwahabi aliezaliwa katika mji wa Najid mji uliokosa duwa ya mtume, na chimbuko la uwahabi katika mji huo wa Najid ni janga, Hawa mawahab ni Ahlul fitna katika umma huu

  • @AbuabdillahUthmaan
    @AbuabdillahUthmaan Před 2 měsíci

    Wewe kijana hivi baba yako akikosea wamuita zee subhaana llwah mimi simuungi . Mzee mohamad ishaka kwa sababu hakusoma kwa masheikhe kisalafi amesoma kwa masufi tamta
    Allah akuongozeni enyi masufi.. Allah ametukataza kuwatukana wenye kuabudu. Asiye kua wasije wakamtukana. Kwa uwadui wao na ujinga wao tuzingatie haya hikma hupamba haki na ikafahamika ipasavyo namuomba. Allah yeyote mwenyekukusudia kujionyesha
    Kwenye mitandao. Allah amfedheheshe. Aamiin

  • @answaryhussein256
    @answaryhussein256 Před 2 měsíci +3

    Mawahabi mujassima ni mayahudi kabisaa

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216 Před 2 měsíci +3

    Mawahabi ni خالف تعرف pinga ujulikanwe lakini ilimu hawataki kusoma.

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216 Před 2 měsíci +2

    Mawahabi kuweni nyuki musiwe nzi.

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 Před 2 měsíci +3

    SHEKH UPEPO WATOWE VUMBI NDANI YA VICHWA VYAO VIMEJAA VUMBI LA UYAHUDI

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh

    Mawahabi mawahabi mawahabi zidukeni mutabaki hinyo mpaka lini sheikh mashallwha amewafuza vizuri sana

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před 2 měsíci +4

    Tupe ilmu Maalim

  • @user-pe9nq3wu4p
    @user-pe9nq3wu4p Před měsícem

    Hogera shehe wetu

  • @AjatAJAT-ef8tm
    @AjatAJAT-ef8tm Před 2 měsíci

    Shaikh Muhammad Isaac mashallah

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
    @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh Před 2 měsíci +1

    Uwahabi ni janga MOLA atunusuru na uwahabi

  • @mediization
    @mediization Před 2 měsíci

    Salaam alaycum Shekhe Haji nimefutahi sana kumuweka sawa huyu Mohamed Issaq ktk video zake Aliwahi kumkejeli Marehemu Mzee Haji msuo wa Mnyanjani kwa kumtolea aibu zake zipitie katika mijadala na Shekhe Mohamed Wambugu na kumkejeli Mzee Haji. Huyu Mzee hayuko sawa kabisa

  • @hassanmussa4734
    @hassanmussa4734 Před 2 měsíci +1

    Haji Upepo Mpumbavu anaewaingiza wenziwe kweny upumbavu

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 2 měsíci

      Wacha tuwe wakumbavu lakini hakuna mwenye akili za kondoo kama ww wahabi kasome mwanzo

  • @JabirBakar-ys8dw
    @JabirBakar-ys8dw Před 2 měsíci

    Nakufatilia mwalimu

  • @user-vn3bd2pc8k
    @user-vn3bd2pc8k Před měsícem

    Dini yetu ya kiislam ina khitilafu nyingi sana na hasa waislam wa East Africa

  • @darajanida
    @darajanida Před 2 měsíci +4

    mawahabi nikikundi kilicho-tajwa na mtume s.a.w. kuwa kitakuja kuwasumbuwa waislamu ya allah tulinde na fitna za mawahabi

    • @HashimSalim-qj7zn
      @HashimSalim-qj7zn Před 2 měsíci +1

      Pole kwa maradhi ulionao

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 2 měsíci +1

      ​@HashimSalim-qj7zn si maradhi ni ukweli nyinyi mawahabi wapotoshaji mwamzushia mtume s a w tawhed tatu mumezitoa wapi nyinyi mawahabi wapotoshaji sasa ww na ukiristo hamna tafauti

    • @mikidadiyusufu5666
      @mikidadiyusufu5666 Před 2 měsíci +1

      mawahabi ni mashetani wamejificha kwa kujivalisha makanzi

    • @mikidadiyusufu5666
      @mikidadiyusufu5666 Před 2 měsíci +1

      mollah amewakasirikia mawahabi kupitia kiongozi wao Muhammad wahabi

    • @HashimSalim-qj7zn
      @HashimSalim-qj7zn Před 2 měsíci

      @@saba-gv3mj Hulaumiki hujui ulisemalo Allah akuongoze ktk hakki

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 Před 2 měsíci

    Cjui Wazazi wako , bado wapo hai au wameshakufa? Mzanzibar Bari gani ww Mwenye maneno machafu km hivyo. Tena unasimama kama Ustadh . Subhanna. Wallahi cc Masalafy kila uchao .tunazidi kuwapenda Walimu wetu, wapole, wenye Adabu na Heshma kubwa mno.

    • @abdallahsiraji9919
      @abdallahsiraji9919 Před měsícem

      Usiwe Mbaguzi kua muadilifu...
      Hivi ndivyo wanavyotukana watu pia Kina BACHU ,HUMEID n.k..
      Wakosee wote usipendeleee...
      Matusi kama haya wanatukana sana Mawahabi japo pia sipendi kabisa Hata Ustadh Haji kukejeli wengine...
      Lakini pia Mzee Ishaq naye anatoa kejeli nyingi pia na dharau kwa wasiokua mawahabi...
      Tuweni na insafu ndugu zangu waislam

    • @zanlec7357
      @zanlec7357 Před měsícem

      @@abdallahsiraji9919 sikiliza maneno anayoongea huyu Mtoto , yaani Hana Adabu kabisa kbisa

  • @mussakombo6108
    @mussakombo6108 Před 2 měsíci

    Dah nimesikitika sana kukusiliza maneno unayotumia. Natamani ukiondosha uo ushabiki utafute ile Clip yake uisikilize hadi mwisho. Hebu acha maneno ya kejeli kama ayo, ata kama uatakuwa uko sahihi huwezi kupata thawabu kwa maneno kama ayo.

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
    @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh Před 2 měsíci +1

    Kweli nikawaida ya mawahabi huwa hawajielewi haijalishi umri mawahabi hawajielewi

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn Před 2 měsíci +1

    LETE HOJA YA HIO BARAZANJI ACHENI UZUSHII

  • @Abuu-lr5bz
    @Abuu-lr5bz Před 2 měsíci +1

    Upotofu ni upotofu hata utetetee nini ewe khurafy upepo kama hutotubia na ukarudi kwa Allah

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 Před 2 měsíci

    Wallahi hii sio Hali Ustadh Haji Upepo. Dini haifundishi hivyo. Unatukana mno na kukejeli watu wazima waliokuzidi Umri na Elimu. Siku y kiama utaenda kujuta kutokan n ukali WA ulimi wako. Cc Wazanzibar hatukufunzwa matusi unatutia aibu. Mno .

    • @mussakombo6108
      @mussakombo6108 Před 2 měsíci

      Yaani ata mm nimejuta ata kumsikiliza, Allah Atunusuru kwakweli. Hivi kwanini anachuki na Mawahabi kiasi hichi.

  • @ImamuDossa
    @ImamuDossa Před 2 měsíci

    E tutafsirieni Qur'an hatuijui.Mashairi tu.

  • @YussufWakala
    @YussufWakala Před měsícem

    Shekh elimu yk Haina faida mn una kibri hat lugha unayotumia kibri kukataa Haq n kuzarau watu

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
    @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh Před 2 měsíci +1

    Shida ya mawahabi ni mazuzu hawamo

  • @Jumaamsagaty
    @Jumaamsagaty Před 2 měsíci

    Wapiga ngoja mnajua mm zaid ya nyimbo

  • @ameirameir4349
    @ameirameir4349 Před 2 měsíci

    Haji upepo analia

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před 2 měsíci

      Hata ningekua mm nicngelia Kwa mwehu huyo, ukiachia sheikh haji, huyo ni mwehu mwepesi sana mbele ya sheikh hajj

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn Před 2 měsíci +1

    ALIMRADI UTETEE BIDAA TUH KWA KWELI HII NI KHATARI MAANA MAZUZU WENZAKO WANAKUONA KM UMESEMA HAKI

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před 2 měsíci

      Ww upo upo tu huna unachikijua tulia mzee

  • @MwanaidiZidiheri
    @MwanaidiZidiheri Před 26 dny

    Hakuna ujinga mbaya km kujiona upo sahihi, kuwa bize na ibada co kujiona unaelimu

  • @user-qp7vg2cy2m
    @user-qp7vg2cy2m Před 2 měsíci

    Uyo uwahabhi au usalafi wa leo ni tawi lakisiasa Lililo asisiwa na mkolini kongwe muingereza dhidi ya uislamu.

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci +1

    Wallahi usufi ni uwendawazimu kweli omba we kijana kwani waonekana ilmu huna kabisa ni jahli ww omba munakasha na shekhe muhammadi isihaka utetee hayo maulidi yako muhammadi isihaqa humuwezi kabisa alikimbia huyo mpinzani wa sunna za mtume Mohammed iddi utaweza ww? Alifukuzwa tanga tamta kwa vile alishindwa tetea maulidi utaweza ww?? Omba munakasha usiropokwe tuu kijana ilmu huna shekhe isiahaka anafanya dawa toka miaka 77 anafundisha dini ww hata kuzaliwa hujazaliwa

  • @karimdaud3993
    @karimdaud3993 Před 2 dny

    Iz haka anasema yaya hana mwalim .na asiekua na mwalim wake shetwani.

  • @SalumHamad-vr2je
    @SalumHamad-vr2je Před 2 měsíci

    Ebu niambieni Nabii Muhammad s,a,w alikuwa madhehebu gani?

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d Před 2 měsíci +1

    Wewe unaesema usufi ni upumbavu hakuna mpumbavu kuliko wewe hapa Duniani

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 2 měsíci +1

    Haji upepo wewe ni mpotoshaji wa uislamu

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 Před 2 měsíci

      Waislamu gani hao mbona nyie mawahabi hamjajijumuisha

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 2 měsíci

      Mpotoshaji ww wahabi hamutaki kuambiwa ukweli nyinyi mawahabi

  • @MwanaidiZidiheri
    @MwanaidiZidiheri Před 26 dny

    Mwenye sifa ya upumbavu ni ww.

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 2 měsíci +1

    Ushia na usufi ni uvundo wa upotoshaji

  • @MBAROUKSAADHUSSEIN
    @MBAROUKSAADHUSSEIN Před 2 měsíci

    Samahan shekhe mbona ata apa amesema pombe ila neno shemeg yangu imekuja amenitengenezea ila Allah amesema mtu akikutukana na we umtukane, kwenye sheria ya kiislam lipo na si tifanye?

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před 2 měsíci

      Fanyeni kwn nyny kutukna kwenu mwataka ushauri tangy lini?acha unafiq

  • @ayoubrashid8392
    @ayoubrashid8392 Před 2 měsíci +1

    Umesoma wapi wewe ...si umfuate kwa siro kama una nia ya kumrekebisha.....umesoma wapi

  • @binzubeir6510
    @binzubeir6510 Před 2 měsíci

    Shida ufahamu tu.

  • @yangayanga1553
    @yangayanga1553 Před 2 měsíci

    Shekhe wa Ku Google unachukua hata kwa mayahudi

  • @ImamuDossa
    @ImamuDossa Před 2 měsíci +1

    Huyu mtume wala hana haja ya kusifiwa sana hivyo.Quran ishamsifu yatosha.

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6w Před 2 měsíci

    Kwanza hilo lishehe la kiwahabi halifahamu cku ya kiama watu watakuwa kama wamelewa na hali hawaja lewa.kwa maana hio allah hapo pia alikusudia pombe sbb kama kila swala la kulewa likitajwa lazima iwe ni pombe.maneno hutumika kokote kwa maana ya aliekusudia muwache kukurupuka mawahabi.pombe mnazo nyinyi mawahabi mmesha zileta saudia..

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 2 měsíci +1

    ww hajj upopo
    mckilize vozuri
    Muhammad İs' haka n elim hiyooo
    Amekichambua Barzanji amechangua Arafa kielim kila aliyemckiliza na kutaka kuelewa amemuelewaa
    Ama kwa ukqeli Usuf watapatapa
    Tatizo lenu mna jitahid sana kutafta kichaka lkn wapiiiiii

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před 2 měsíci

      Muhammad isihaka ni mwehu Kukuzidi ww kw umwehu

  • @IbrahimNtirenganya
    @IbrahimNtirenganya Před 2 měsíci

    Masufi tatizo yao ILIMU chache lakini kwasababu waliwakinisha wafuasi wao kama ni watu wahatari hata wakiambia Haqi wawezo kukubali Allah awaongoze

    • @Maalim_Samatta
      @Maalim_Samatta Před 2 měsíci

      Ila nyinyi wenye elimu kubwa ndio mupindishe pindishe lugha si ndio??
      acheni uhuni njooni kwa haohaoasufi wakunyoosheeni tafsiri zenu za mchongo wafitinishaji wakubwa nyie. Na mara nyingi hata mijadala mingi huwa mnanyooshwaga kwenye lugha hamuna elimu ya lugha nyie wahuni.

  • @msafirimsuya014
    @msafirimsuya014 Před 2 měsíci

    KUMPENDA MTUME SIO KUKATA MAUNO KWENYE MAULIDI NA MUKATUNZANA PESA MUNGU AWAONGOZE

  • @mohamedhaji4827
    @mohamedhaji4827 Před 2 měsíci

    Hivi kijana unaweza kusomesha kitabu cha uyo wahabi ili tujue ukweli wa uyasemayo au unataka Kiki t

  • @Ibunmaulanashirazy-sn5ui

    Wewe niupepo wapeperushe mawahabi

  • @SalumHamad-vr2je
    @SalumHamad-vr2je Před 2 měsíci

    Jee nani anajuwa?

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 Před 2 měsíci

    Hu mzee hujielewi kwani kuna majuwa?

  • @user-sw1ol9jb6z
    @user-sw1ol9jb6z Před 2 měsíci

    We mjinga unapotosha

  • @SalumHamad-vr2je
    @SalumHamad-vr2je Před 2 měsíci

    Jee mtu nje ya uislamu atavutika vipi kuingia katika uislamu?

  • @MwanaidiZidiheri
    @MwanaidiZidiheri Před 26 dny

    Tufundishe iiman acha mambo ya kuchambua watu upepo

  • @user-zf3fz5lf4m
    @user-zf3fz5lf4m Před 2 měsíci +1

    Unatafuta umaarufu mjinga mmoja we

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před 2 měsíci

    Taabu ya mawahabi hawajui ilmu ya utungaji hata madaris zao hawafundishi sababu hawajui ndio ukaona hawana vitabu vya kumsifu Mtume wala masheikh.

  • @MirajiZube
    @MirajiZube Před 2 měsíci

    قال الشافعي رحمه الله:
    لو أن رجلا تصوّف أول النهار لم يأت عليه الظهر إلا وجدته أحمق "
    Lau kama MTU atakuwa sufy mwanzoni mwa mchana basi Adhuhuri haitafika ila utamkuta keshakuwa MPUMBAVU

  • @kitosio
    @kitosio Před 2 měsíci

    Tatizo Ukishakuwa Sufi aaaa basi wanadai ushirikina unaofanywa na Masufi kwetu na hata huko Pakistan na India, Iraki, Irani majanga ni mingi na ya hatari

  • @husseinazizi1275
    @husseinazizi1275 Před 2 měsíci

    قال الإمام أبوا بكر الطرطوشي رحمه الله.
    مذهب الصوفية بطالة وجهالة وضلالة ، وما الإسلام إلا كتاب الله وسنة

  • @kitosio
    @kitosio Před 2 měsíci

    Tungekubali kuwa Barzanj Ushirikina ni mwingi. Tukirekebishe kitabu tusiendelee na uoza uoza. Dini ya uislamu haitaki maoza maoza.

  • @mikidadiyusufu5666
    @mikidadiyusufu5666 Před 2 měsíci

    mawahabi ni wafuasi wa mayahudi wapotevu

  • @user-kh2hn8in1s
    @user-kh2hn8in1s Před 2 měsíci

    wacha ujinga kijana

  • @MB-yq3ty
    @MB-yq3ty Před 2 měsíci +1

    Wewe mwenye heshima mbona unaongea lugha za kihuni na usufi wako akili zipo kweli.

    • @Dr-ubaida965
      @Dr-ubaida965 Před 2 měsíci

      Mtu mjinga lazima apewe sifa zake na Hajj upepo amempa nasaha nzuri xn mashaallah

  • @munirayassin6103
    @munirayassin6103 Před 2 měsíci

    Iv kwan ww ndiy unay ifaham din kuliko!!!!!!!.?

    • @Dr-ubaida965
      @Dr-ubaida965 Před 2 měsíci

      Ivi kwani yeye huyo aliyoikosoa barazanj ndo anaijua dini sana

  • @SalumHamad-vr2je
    @SalumHamad-vr2je Před 2 měsíci

    Kwanini Elimu hizi zamani hazikuwepo Sasa Kila mmoja ni mjuzi jee nani tumfuwate

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před 2 měsíci +1

    Mawahabi tuchambulieni kitabu cha Wasaka tonge!! Kwanza ilo jina lina maana wanatafuta tonge zilipo??

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před 2 měsíci

      Mhhh, wkichambua hiki kitabu Kwa akili zao zilivyo watatuchekesha tuuu, 😂😂😂😂😂

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před 2 měsíci

      Mhhh, wkichambua hiki kitabu Kwa akili zao zilivyo watatuchekesha tuuu, 😂😂😂😂😂

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před 2 měsíci

      Huyu jamaa kweli ni mwehu , ALLAH akulipe kheri kubwa sheikh hajj

  • @SalumHamad-vr2je
    @SalumHamad-vr2je Před 2 měsíci

    Jamani hapa Sasa twasoma Nini mashekhe ? Huyu ndio uislam ? Huyo kasema Nini na wewe wasema Nini ? Sisi tusome Nini?

  • @karimdaud3993
    @karimdaud3993 Před 3 dny

    Alla akuweke na afya AMEEN.
    HII HATA MIMI IMENIKERA
    huyo bwahani . Iz haka.hilo jahili

  • @silimakhamis7088
    @silimakhamis7088 Před 2 měsíci +3

    Uwahabi ni uvundo

    • @zanlec7357
      @zanlec7357 Před 2 měsíci

      Allah akuongoze ufuate daawatu Salafiya . Aaamin

  • @uqbahzahor2340
    @uqbahzahor2340 Před 2 měsíci +2

    Nilikuwa nafikiria ni lini utamnyoosha huyu mzee mpotoshaji

  • @kitosio
    @kitosio Před 2 měsíci

    Haluna lugha hapa. Hapa ni usahihi maneno ya ukweli. Na Hakuna anayelewa ktk uislamu.

  • @MainlandFc-xc3bi
    @MainlandFc-xc3bi Před 2 měsíci

    Kwanza usipotoshe watu,hakuna dhehebu katika UISLAMU linaloitwa Uwahabi bali jina hilo mmelizua kwa sababu ya chuki zenu MASUFI za kumchukia sheikh MUHAMMAD BIN 'ABDUL-WAHHAAB kutokana kusimama kwake imara katika kupambana na shirki zilizoenea wakati wa zama zake ambazo zipo kinyume na Tauheed na hayo ndiyo yalokupelekeeni kumchukia yeye na kila mwenye kushika manhaji hiyo(mwendo huo au njia hiyo) na kutokana na chuki zenu hizo ndiyo mkaibandika manhaji yao hiyo ya kupambana shirki na upotevu jina la WAHABI au UWAHABI yaani mkainasibisha manhaji yao kwa jina la sheikh MUHAMMAD BIN 'ABDUL-WAHHAAB .
    Tafadhali kuweni waadilifu na waambieni watu ukweli hata kama unawauma .

  • @user-ru9th5kq5s
    @user-ru9th5kq5s Před 2 měsíci

    Yaan kwann usiwe na mada za kufundisha watu elimu juu ya maswala mbali mbali ya dini but clip zako nyingi we unakosoa tu watu hem njoo naww na mada tofaut tofaut ili naww tuone kama umekamilika ila sheykh haji why unakosoa tuu?

    • @sama-_8368
      @sama-_8368 Před 2 měsíci

      Acha aendelee kuwalipua akili ziwakae sawa maana mawahabi wamekuwa fitna sana had huyu mzee pia nilisha mwambia ANAZEEKA VIBAYA

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před 2 měsíci

    Huyo mzee ni mrongo na hajielewi nilisikia akitoa kisa cha uwongo kabisa akisingizia watu kitu hakuna kabisa.

  • @kapskapelele1368
    @kapskapelele1368 Před 2 měsíci +3

    Usufi niujinga ulio pitiliza ww acha kupotosha watu' ila tunawajua mna anzaga hivyo kisha utakuja na mafuta unauza baada yahapo utasema pete inaweza kukuletea bahati' mnatafutaga majina kwakuwatukana watu wasunna' ila ALLAH awaongoze muyone haqi

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 Před 2 měsíci

      Wewe ndio mjinga pimbi w kihabiya

    • @SalumMruma
      @SalumMruma Před 2 měsíci

      Ww ndio una matatizo acha ujinga

    • @user-bo1ew3xq6w
      @user-bo1ew3xq6w Před 2 měsíci

      Wewe ndio uongozwe myahudi wa kiwahabi uliokosa adabu.mambo ya pete yaningia vipi hapo.swallah la pete ni mada ya mtu binafsi na maoni wala hayo mambo ya pete hayapo kwa qur an wala hadidhi.japo twajua musa alikua akitumia fimbo kwa mambo mengi tuu.

    • @user-bo1ew3xq6w
      @user-bo1ew3xq6w Před 2 měsíci

      Mawahabi wapo na laana ya kutofahamu wao hupendua mambo kwa makusudio yao ili kuvutia pesa kutoka kwa mayahudi.

  • @MwanaidiZidiheri
    @MwanaidiZidiheri Před 26 dny

    Tufundishe usiongeleee watu acha ujinga.

  • @alijabal5323
    @alijabal5323 Před 2 měsíci

    Wewe piga viraka tu kesho kuna hisabu.

  • @anyeresa928
    @anyeresa928 Před 2 měsíci +1

    Unazingua we jamaa .....

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před 2 měsíci

      Na atawazingua Sana mpaka make sawa au mufe na ujahili wenu

    • @anyeresa928
      @anyeresa928 Před 2 měsíci

      Endeleeni tuuuu....

  • @FarahJey
    @FarahJey Před 2 měsíci

    MAJAz nyie
    Hamushindwi

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Před 2 měsíci

    Ebu kwer ukiwa Sufi unaenda poleponi au motoni

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn Před 2 měsíci

    NILIDHANIA UPEPO ATAKA ITETEA BARAZANJI KWA HOJA KUMBE NI UBABAISHAJI TU

  • @taurehassan7399
    @taurehassan7399 Před 2 měsíci

    Ost.haji hao hawana elimu kadiri munavyochambua hao wanapata elimu na wakikaa peke yao huwa wanatahayari sna ktk nyoyo zao na wanajilaumu ndn y nafc zao kwnn hawakusoma fani zimewapiga cheka maskini.bora uwe maskini wa mali kuliko maskini wa akili na elimu.musichoke zidi kutupa elimu

  • @MwanaidiZidiheri
    @MwanaidiZidiheri Před 26 dny

    Hata ww acha kuongea ongea ovyo ukijitambua hutafanya unachofanya

  • @KombHaji-dr5pd
    @KombHaji-dr5pd Před 2 měsíci

    maniyurid llaha haira yufakihuhufidin
    wahabi ni uyahudi na upagani

  • @SalimAbdulla-gw5rq
    @SalimAbdulla-gw5rq Před 2 měsíci

    Uyu jamaa ni mpiga vinanda nini .

  • @hassanmohamedabdalla4108
    @hassanmohamedabdalla4108 Před 2 měsíci

    kwani mtume mwenyewe ni pombe

  • @abuuaisha3582
    @abuuaisha3582 Před 2 měsíci

    kojo la kiazhar naona unatafuta umaarufu mitandaoni kwa kumdandia kila mtu na ubaya sasa hao unaowaradd wala hawana habari na wewe

  • @MuhammadShariff-ji9ye
    @MuhammadShariff-ji9ye Před 2 měsíci

    Kweli wewe nimwisilamu wamtukana mwislamu mwenzako mpumbavu huyo ndio suna munaofwata

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

    Arafu huyu kijana ni jahli mtu mwenye ilmu ya dini hawezi tamka jina la wahabi unalinasibisha na watu wahabi Ni jina la Allah kasome dinni ww unakufuru kulisema vibaya jina la Allah utaenda ulizwa umkebei mtu unamkebei allah.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 2 měsíci

    Ama kweli hakuna ktk Sugi Shia akaıtetea Barzanji Katuuuuuuu
    wameisomeshwa madudu yalıyomo ndan ya Barzanji . Mpaka sasa hakuna Sufı wala kisufiiii atakae pita neno gadı neno ktk barzanji na kutetea hakunaaaaaaaa!!!!!

  • @hamidaawadh9024
    @hamidaawadh9024 Před 2 měsíci

    Ungekuwa na adabu usingesema hili jitu zima halijielewi, ungetumia Lugha nzuri