POROJO LA MUHAMMAD BACHU LAJIBIWA: MASUFI HAWAABUDU KABURI // USTADH HAJI UPEPO

Sdílet
Vložit

Komentáře • 148

  • @silimakhamis7088
    @silimakhamis7088 Před 2 měsíci +3

    Sikiliza kwa sikio la uadilifu❤🤝

  • @RamaNassry
    @RamaNassry Před 2 měsíci +3

    KWA HAKIKA UISLAMU WA KWELI NI "KUIFUATA QUR,AAN,SUNNAH KWA UFAHAMU WA WEMA WALIOTANGULIA{MTUME NA MASWAHABA NA WALIOWAFUATA KAMA WAO WALIVYO},KUACHANA NA UZUSHI KTK DINI YA ALLAH ILIYOKAMILIFU" HIYO INANITOSHA MIMI KAMA MUISLAMU

    • @mussaissa6796
      @mussaissa6796 Před 24 dny

      HATA HAO WEMA WALIOTANGULIA HAWAKUWA NA UFAHAMU MMOJA KATIKA MASAAILU MBALI MBALI YA HUKMU ZA KIDINI,
      KWA HIYO HILO NENO : KWA UFAHAMU WA WEMA WALIOTANGULIA, HALIPO KATIKA KUTOLEA HUKMU MAMBO KIDINI.

  • @user-qo2uq3ew7p
    @user-qo2uq3ew7p Před 2 měsíci +3

    mm nakubaliana na ww mawahabi ni makhawarij,,
    Shekhe Allaah akupe afya na Umri mrefu uzidi kuweka wazi kuhusu uwahabi,,

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

      Khwatruji wawajuwa ww au waropokwa na huyu shekhe wenu sijui mmeuokota wapi mtu mwenyewe hana ilmu anawavamia mashekhe wenye ilmu hivi uliona wapi kiroboto akamuangusha tembo chini ibada hizo zipo kweli na watu wanazifanya mnapinga nini ukiona mtu anapinga na mushiriki huwezi tetea ujinga video zipo mtandaoni kibao watu wanasuhudia na kuomba maiiti huyu kijana wenu mnaemtuma bado xana hana ilmu kabisa kazaliwa juzi tuu watu kitambo wanaabudia makaburi na wakijidai ni waislamu

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

      Ampe umri mrefu kutetea kuabudu makabuli sio shirki iendelee mwenye kumtetea mshirikina nae Ni mshirikina ninyi abudini Allah yupo anawangoja mbona kunawatu wanaomba kupitia yesu na Allah anawapa neema tuuh! So kama kawasahau anawapa umri Hana haraka nao na ninyi mnaotetea kuomba makaburi Allah yupo anawasubil ipo siku ambayo hakuna atakae mfaa mwenzake huyo upepo unae muamini ww atakuwa mchanga tuuu, kwa Allah mtume alikuja kataza shirki na watu kuomba mayti vile visivyo sikia na uwezo wowote mkavifanyia maombi na Allah mtajuta nyie hii dunia yupo aloumba na anawasubil madhalimu kuwapa mda wa kuishi tuu msifikili Allah atadhulika na kupunjika na hivyo mnavyomuwekea ushirika Allah aghafiriki navyo kabisa

  • @ahmadmadaai1357
    @ahmadmadaai1357 Před 2 měsíci

    Allah akulinde na hasad upo vzr maalim

  • @husseinkhalfan8378
    @husseinkhalfan8378 Před 2 měsíci +2

    Acheni ushirikina masufi

  • @YussufWakala
    @YussufWakala Před měsícem

    Shekh muogop Allah

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh

    Shukran sheikh

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i Před 29 dny

    Yaahla sh upepo ukovizulisana haoninani aliwambia wawe masalafi vitu havimo katika utaratibu wamafunfisho wanabii utapata shida Sana nahao

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i Před 29 dny

    Hawo mawahabi Wana feats fikra yamayahudi

  • @ImeldaNaliaka
    @ImeldaNaliaka Před 2 měsíci

    Masha Allah may Allah protect you shk

  • @Assalafiyyah637
    @Assalafiyyah637 Před 6 dny

    Latetea usufi

  • @JumbiSecondary
    @JumbiSecondary Před 2 měsíci

    ALLAHUMMA Ihdina bi hudaKA

  • @NzaraMreto
    @NzaraMreto Před měsícem

    ACHENI USHIRIKINA

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023 Před 2 měsíci +2

    Wallahi bachu ni sindano kali kwa masufi hata kama wakifanya nini ulimwengu umesha jua. Hawawezi kuanza mada na wala hawalali kwa kufikiria tufanye nini tumzibe mdomo bachu. Lakini wallahi hawawezi kumziba mdomo kwa kua yuko kwenye haqqi. Allah ataendelea kumlinda na vitimbi vyenu.

    • @SaidIssa-tq3yv
      @SaidIssa-tq3yv Před měsícem

      Bachu bangi zinamsumbua .acheni ujinga waombeeni Dua wazee wenu ,

    • @hamidaawadh9024
      @hamidaawadh9024 Před měsícem

      ​@@SaidIssa-tq3yvulimuona anavuta bangi? Utakwenda kujibu

  • @ALLYMTAWATAWA
    @ALLYMTAWATAWA Před měsícem

    Mche allha munawagawa watu. Mutalipwa na Allah

  • @ALLYMTAWATAWA
    @ALLYMTAWATAWA Před měsícem

    Dunia kumeiweka mbele sana.

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Před 2 měsíci +1

    Raha kuwa na vijana wanazuoni.

  • @bagalucha
    @bagalucha Před měsícem

    Ama huu ni Upepo mtupuu.

  • @AmirathumaniSori
    @AmirathumaniSori Před měsícem

    Haji upepo acha ushirikina wa hazaran ww mbn humuongop mungu www

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Před měsícem

    Wallahi naapa;wa jina la Allah mawahabi ni pote ovu linalokufurisha waislam na si watu wa dini na kuhudhuria vıkao vya kiwahabi ni kutafuta mtihan

  • @ramadhaniissa6703
    @ramadhaniissa6703 Před 2 měsíci +1

    Jamani mawahabi na masalafi wanfikiria kuwa mtu akifa hajiwezi tena ilihali mtume anasema hao wanasikia kuliko walohai hawa kweli ni makhawariji na hadith ipo wazi kuhusu wavurugaji hawa wa dini

    • @bagalucha
      @bagalucha Před měsícem

      Hoja hii mashuhuri ndiyo waliyoitegemea washirikina katika zama za kale na bado wanaitegemea hivi sasa. Mitume (rehema na amani ya Mwenyezi Mungu ziwe juu yao wote) walikuja kuikanusha na kuikataza, na kuwalingania watu kumwabudu Mwenyezi Mungu peke yake, bila mshirika wala mshirika.” (Tafsiir Ibn Katheer 7/84-85).
      Waabudu makaburi wanafanana na washirikina wa Jaahiliyyah, kwa sababu makaburi haya yamekuwa kama masanamu ya watu wa Jaahiliyyah, kwani wathan (sanamu) ni jiwe linaloabudiwa.
      Allah Subhana wataalla anasema Az Zumar
      (2. Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu hiki kwa Haki. Basi muabudu Mwenyezi Mungu ukimsafia Dini Yeye tu.)
      (3. Hakika Dini Safi ni ya Mwenyezi Mungu tu. Na wale wanao wafanya wenginewe kuwa ni walinzi wakisema: Sisi hatuwaabudu ila wapate kutujongeza tu kumkaribia Mwenyezi Mungu - Hakika Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao katika wanayo khitalifiana. Hakika Mwenyezi Mungu hamwongoi aliye mwongo kafiri.).
      Tatizo lenu masufi,kwakutaka kumshusha utukufu wake Allah,kwa kuzitilia nguvu hadith dhaifu,shetani kakughilibuni,hapo ndipo mnapozisisitiza na kushadidia,na kumshusha hadhi Allah Subhana wataalla kwa kuipiga vita Tawheed/utukufu wake,
      Laanatu llahu kwa wote wanaomshirikisha Allah,na chochote,wanamzulia mtume kwa Hadith za uwongo

  • @MahmoudKhamis-cv9pi
    @MahmoudKhamis-cv9pi Před měsícem

    Yaani shehe unawamaliza Mawahabi Maana hawataki kabisa kusikia mtume s. a. W. Anasifiwa. Wanataka wasifiwe mashehe wao kuliko mtume

  • @abuunufaysah5328
    @abuunufaysah5328 Před 2 měsíci +1

    Nyinyi siyo Ahlu Sunnah waljamaa' bali nyinyi ni Ahlul bidaa' wal ahwaa,Allah awaongoze katika Tawhiid na sunnah.

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 2 měsíci

      Na ww ni nani wahabi kasome tawhed tatu mumezitoa wapi nyinyi mawahabi wapotoshaji mwamzushia mtume tawhed tatu mtume s a w hajafundisha wala maswahaba hawazijui tawhed tatu mumezitoa wapi nyinyi mawahabi wapotoshaji watu wa twarika ndio wamfuata mtume s a w kwa kila suna

    • @abuunufaysah5328
      @abuunufaysah5328 Před 2 měsíci

      @@saba-gv3mj hakuna sufi mwenye akili timamu duniani,Allah awaongoze watu wabidaa' nyinyi,nguzo za swala,hija,udhu,swaumu au ndoa Mtume عليه الصلاة والسلام kafundisha kitabu gani?

  • @KombHaji-dr5pd
    @KombHaji-dr5pd Před 2 měsíci +1

    mawahabi ni makafri au utawaita pembe ya shetwani kam muhamd ibn wahabi

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 Před 2 měsíci

      Huna akili wew , hakuna sheikh lako la kisufi linamuweza Abdul Wahab

  • @msabahkhamis9438
    @msabahkhamis9438 Před 22 dny

    Tulinganisheni hawa mashekhe2
    Anaegawa watu hayupo sahihi
    Anae waunganisha watu yuko sahihi kwaio mwenye macho haambiwa tazama hawa mashekhe2
    Yupi anagawa watu na yupi anaeunganisha watu hapo utapata jibu sahihi ni yupi yuko ktk haki
    Na uchaguzi huo chaguweni kwa ajili ya Allah na ushabiki tuache pembeni.

  • @khalifa_kuchi
    @khalifa_kuchi Před měsícem

    Hawa jamaa kwel wameishiwa na hoja sasa kumuomba allah kua anjaalie awe na mtume peponi na kwenda kumuomba maiti mtu ambae ashakufa yake mwenyew hayajui yapoje then akakuchukulie na mzigo wako pia hii si balaa engekua hakuna muislam mweny zambi hata mmoja dunian

  • @yusufntamila541
    @yusufntamila541 Před 2 měsíci

    Wape elimu hawajui

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 2 měsíci +1

    Jamani imamu shafi kaona mbali Kwa masufi

  • @SeifSimba-qq8rk
    @SeifSimba-qq8rk Před 17 dny

    Majaji upepo hana ki2 chochote nyny mwaomba makaburi

  • @salemaliy1963
    @salemaliy1963 Před měsícem

    Bachu Hana adabu tu ..Hana elimu mbwembwe nyingi tu

  • @Ramadhan12623
    @Ramadhan12623 Před 2 měsíci +1

    Ndio mnaomb mait kuna msuf mwenzio tanga kweny kabur na Mohammed ayub anasema ukiwa na shida kiuno kina uma ety njoo kwa kwabwana mkubwa huyu kila kitu kitakaa sawa alaf mtu wenyew kafa asa apo mnamuomba ALLAH au mnaomb alieko kwenye kabur nyie ongeen mtakavyoongea ila itikad zenu mnawaomb mait

    • @MgazaMhina
      @MgazaMhina Před 2 měsíci

      Wanaomba kweli Mimi nimejionea mwenyewe Bagamoyo wanaita mazialani

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6w Před 2 měsíci

    Mawahabi kweli ni vipofu summun bukmun jamani vitabu ni vyenu vinawashinda kusoma hata hawajavielewa kisha wanakurupuwa kutafsiri vitabu ambavo hawana elimu navyo...

  • @MuhammadShariff-ji9ye
    @MuhammadShariff-ji9ye Před měsícem

    Ametoa hadithi na Aya zijibuni kutukana si jawabu

  • @user-km7xi4ev9j
    @user-km7xi4ev9j Před 2 měsíci

    Linajifanya kuangalia huku na huku kama limezunguukwa na waaaa2 vile.

  • @manrectorz
    @manrectorz Před 2 měsíci +1

    Tatizo lenu hamtaki kuelewa kwa makusudi. Nyie mnafanya kuomba Watu waliokufa badala ya kuwaombea, Hakuna Tawasul aliwahi kufanya Mtume S.A.W wala Maswahaba, wala Salafy swaleh

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 2 měsíci

      Hakuna anae omba maiti wanatawasal ww ulimsikia nani akiomba maiti ww tu ukiomba dua ili dua zako zikubaliwe lazima umswalie mtume s a w katika dua zako na mm naeeza kutawasal kwa mtume s a w ama mwanachuoni ya Allah nijalie na maisha mazuri ama kazi mzuri kupitia huyu kiumbe chako bora ya Allah hapo unetawasal hujaomba maiti elewa

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 2 měsíci +1

      Ww chizi mtume s a w humuomba Allah kwa sababu hakuna kiumbe bora zaidi yake na mtume s a w atakacho Allah humpa na humridhia sasa ww chizi ukitaka kuomba utaomba kwa Allah lakini dua yako haitakabaliwi mpaka umtaje mtume s a w ama waeza kutawasal kwa waja wema

    • @bagalucha
      @bagalucha Před měsícem

      @@saba-gv3mj Hoja hii mashuhuri ndiyo waliyoitegemea washirikina katika zama za kale na bado wanaitegemea hivi sasa. Mitume (rehema na amani ya Mwenyezi Mungu ziwe juu yao wote) walikuja kuikanusha na kuikataza, na kuwalingania watu kumwabudu Mwenyezi Mungu peke yake, bila mshirika wala mshirika.” (Tafsiir Ibn Katheer 7/84-85).
      Waabudu makaburi wanafanana na washirikina wa Jaahiliyyah, kwa sababu makaburi haya yamekuwa kama masanamu ya watu wa Jaahiliyyah, kwani wathan (sanamu) ni jiwe linaloabudiwa.
      Allah Subhana wataalla anasema Az Zumar
      (2. Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu hiki kwa Haki. Basi muabudu Mwenyezi Mungu ukimsafia Dini Yeye tu.)
      (3. Hakika Dini Safi ni ya Mwenyezi Mungu tu. Na wale wanao wafanya wenginewe kuwa ni walinzi wakisema: Sisi hatuwaabudu ila wapate kutujongeza tu kumkaribia Mwenyezi Mungu - Hakika Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao katika wanayo khitalifiana. Hakika Mwenyezi Mungu hamwongoi aliye mwongo kafiri.).
      Tatizo lenu masufi,kwakutaka kumshusha utukufu wake Allah,kwa kuzitilia nguvu hadith dhaifu,shetani kakughilibuni,hapo ndipo mnapozisisitiza na kushadidia,na kumshusha hadhi Allah Subhana wataalla kwa kuipiga vita Tawheed/utukufu wake,
      Laanatu llahu kwa wote wanaomshirikisha Allah,na chochote,wanamzulia mtume kwa Hadith za uwongo

  • @user-ho8yh9lq9f
    @user-ho8yh9lq9f Před měsícem

    Wengine wanajiita salafi kama manyumbu tu sikiliza upate faida acha kukaririshwa misimamo.haji toa faida hawa masafi hawana elim bali wanamisimamo tu yanamfaata m

  • @mussakisope7207
    @mussakisope7207 Před 2 měsíci

    Upepo mtupu

  • @abuukarata9653
    @abuukarata9653 Před měsícem

    Shekh la majini ulijitahidi vizuri lakini hili umeanguka

  • @SeifSimba-qq8rk
    @SeifSimba-qq8rk Před 17 dny

    Bado hajasema ki2 upepo

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i Před 29 dny

    Shirki nikumwabudu mwezimungunakitukingine

  • @SeifSimba-qq8rk
    @SeifSimba-qq8rk Před 17 dny

    Kwaiyo masalafi ndio nyinyi au???

  • @rashidhemed1444
    @rashidhemed1444 Před 22 dny

    Nyie mawahabi mkosoeni kama anachokisema sio sahihii so munapenda kupiga Raddi

  • @Breezy9757
    @Breezy9757 Před 2 měsíci

    Na ww ndio wale wale

  • @Abuu-lr5bz
    @Abuu-lr5bz Před 2 měsíci

    Wewe upe wallah huijui tauhiid aliokuja nayo mtume swallallahu alaihi wasallamu wallah huijui fatilia baadhi ya masufi wenzako wanavyoomba kwenye makaburi wewe upepo kausome uislamu
    Uislamu huujui

  • @user-ug8hc4yh5k
    @user-ug8hc4yh5k Před 2 měsíci

    Wewe mjini mpotofu Mtu wa bidah
    Iyo ni tofahuti na kuabudu makaburi
    Mnavyo fanya nyinyi masufi na mashia
    Wewe uwepo kwanini usimuombe Allah direct

  • @KomoraMohamed
    @KomoraMohamed Před měsícem

    Bachu ni mkware muacheni asingejikojolea msa yule zuzu mmoja

  • @alisharifsalim
    @alisharifsalim Před 2 měsíci +2

    Mohammed Bachu ni mbwa wa motoni

    • @user-wh3et9pu3h
      @user-wh3et9pu3h Před 2 měsíci

      weye ni nguruwe wa jahannam

    • @la_raib953
      @la_raib953 Před 2 měsíci +1

      Allah akuongoze.mwenyewe haki ya kuhukumu ni Allah sw pekee

    • @fauznuhu9981
      @fauznuhu9981 Před 2 měsíci

      Habibi mimi ni kipenzi wa haya mambo lakini kutusi bachu ume kosea hiyo siyo dabiya yetu ya matusi sisi wa sufu

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 Před 2 měsíci

      Na wew nguruwe wa motoni

    • @masoudtalib4734
      @masoudtalib4734 Před 2 měsíci

      Wew ndio Unaetoa hukmu Sio?

  • @AthumanRajabu-re8cm
    @AthumanRajabu-re8cm Před 2 měsíci +1

    Huyu upopo nimhuni mana atetea ata uvu hata kama anajua alafu utafuta umalufu kupitia suna jaman Sufi nasuna wapina wap

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 Před 2 měsíci

      We huna unachokielewa hujielewi

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 Před 2 měsíci

      Kivipi

    • @user-qy9qx5hd2u
      @user-qy9qx5hd2u Před 2 měsíci

      Sasa kuandika kiswahili tabu utaelewaje kama bumbuna?

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy Před 2 měsíci

      Wewe Athumani Rajabu
      Acha ushabiki
      Kama una Elimu jibu maswali wala usilete balbala zako .
      Ust HAJI amenukuu katika vitabu vya lBNU TAYMIA na lBNUL kayyim
      Na wao ndio wanayoyasema maneno hayo. Jee nao ni washirikina ??

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 2 měsíci +1

    Haji upepo kashaingia kwenye uchizi.

    • @user-bo1ew3xq6w
      @user-bo1ew3xq6w Před 2 měsíci +1

      Wewe ndie chizi wa kwanza wakiwahabi wenye kuabudu miungu mitatu.

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před 2 měsíci

      Unatkiwa umpinge kw hoja,mwambie hizo hadithi zote sio sahihi au utoe maana yko ww ulivyoelewa na SI kuongea ujeur,Hali ikikudhihirikia gusta atkm kasema mtu usompenda

    • @user-ox9cu9hx2r
      @user-ox9cu9hx2r Před měsícem

      Mawahabi ni tabaka la waingereza ujeruman ufaransa Italy na America nyuma ya uyahudi watawajuaje ahtasawf iyo bahri nyenyengine aje bagamoyo tumfundishe zawiyatulqadiria I Nawatakia majuha kama hao
      On

    • @hamidaawadh9024
      @hamidaawadh9024 Před měsícem

      ​@@user-bo1ew3xq6whayo ni mawazo yako

  • @kitosio
    @kitosio Před 2 měsíci +1

    Labda Sufi huyu lakini wenzake wingi wanaabudia Makaburi

    • @mzeerajab9154
      @mzeerajab9154 Před 2 měsíci

      Yeye anatoa dalili kielimu wewe una ushabiki.

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 2 měsíci

      Nani aliabudu qaburi siku yakiyama utataja aliomba vp qaburi hakuna anae omba kaburi sawa watu wanazuri na mtu akiwa na shida zake anatawasal na wale wanazuoni anae ombwa ni Allah yani mtu amesoma miaka 40 Mia 50 amjua Allah na mtume wake alafu mtu aombe qaburi kuweni makini ulimi kitu kibaya utakuingiza motoni bila kujua

    • @kitosio
      @kitosio Před 2 měsíci

      @@saba-gv3mj
      Huwaoni ama unajitia Pambani. Masufi. Basi waulize wanaokwenda India Bangladesh, kuna kipi kinachofanywa Kwa Makaburi yaliyomo ndani na nje ya misikiti. Kwa kukusaidia Ingia hapo2 You Tube Search Namna Sufi wanavyoomba makaburini, kisa NI mawalii . ALLAH anataka aabudiwe na aombwe yeye Tu. Mwamba fuatilieni sio mnazingua2

  • @khamisali5942
    @khamisali5942 Před 2 měsíci

    Kwan hili jambo mumesema wenyew hajakusemen bachu mbona mumrmsakama sana halafu unasema tusikilize kwa uadilifu wakat we mwrnyrw sio muadilifu mtukanaji tu elimu yenyew ya kuunga unga

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 2 měsíci

      Kwa sabubu bachu anasema na ilimu hana amefuata wale wapotufu waliomtangulia

  • @anyeresa928
    @anyeresa928 Před 2 měsíci

    Wewe kama ni sufibona maheikh wa kisufi hajakukubali....

  • @ALLYMTAWATAWA
    @ALLYMTAWATAWA Před měsícem

    Muongozo ni kufanya munavyo fanya

  • @abdul_azeez_almaamir
    @abdul_azeez_almaamir Před 2 měsíci

    "Vitabu vya wahuni" hii ni aibu kwako Shaykh

    • @user-lp3gi5wd4e
      @user-lp3gi5wd4e Před 2 měsíci

      Kwahiyo Ibnu Taimia ni muhuni

    • @abdul_azeez_almaamir
      @abdul_azeez_almaamir Před 2 měsíci

      @@user-lp3gi5wd4e mtihani, kwamba chuki zinazidi mpaka Vitabu vilivyo tungwa kwa bidii na jitihada kubwa na wengi tuna yakin kwamba hawakutaka kwa Vitabu vyao hivyo ispokua kheri Leo waitwa wahuni na watu ambao hata kutawadha hawajui.. Allah amrehemu aliesema
      رحم الله امرأ عرف قدر نفسه فلزمه، وعرف حده فوقف عنده، وعرف ما عنده فقنع به ولم ينازع الحق أهله، وحفظ المعروف فلا يغدر ولزم الصدق فلا يكذب وحفظ العهد فلا ينكث.

  • @binzubeir6510
    @binzubeir6510 Před 2 měsíci

    SUBIRI MUHAMMAD BACHU AJEAKUFUNDISHE USIFANYE UBABAISHAJI.
    HUNA HOJA POROJO TUUUU.

    • @abdikadirshariif5311
      @abdikadirshariif5311 Před 2 měsíci

      Huyo kikojoozi atafundisha nini, atawapeleka motonitu. Yani hamtaki mtume SCW kasema. Unatu leteya momhamas Bachu Kikojoozi na wakina Fouzan.

    • @binzubeir6510
      @binzubeir6510 Před 2 měsíci

      @@abdikadirshariif5311 Hoja zenu matusi tu tutawachapa kwa RADDI mpka mkae sawa mkifanya UBABAISHAJI hauwaachi.

    • @binzubeir6510
      @binzubeir6510 Před 2 měsíci

      @@abdikadirshariif5311 Sasa bila ya kukojoa wewe ungezaliwa?
      Hamna hoja.
      tafuta TUSI jengine utokane.

    • @abdikadirshariif5311
      @abdikadirshariif5311 Před 2 měsíci

      @@binzubeir6510 lkn ya shehe weenu ameonikanwa na waatu woote hadi watoto waka cheka na kushanga mtu mzima kukojoa.

    • @abdikadirshariif5311
      @abdikadirshariif5311 Před 2 měsíci

      @@binzubeir6510 hilo siyo tuusi bali ni tendo lililo fanyika.

  • @omarabdullah3412
    @omarabdullah3412 Před 2 měsíci

    Hili sufi pumbavu kweli. Lajitoa fahamu kama chizi. Haliwazungumzii masufi wenziwe kusujudia, kugaragara na kulia makaburini wazi wazi. Lazirusha, lachekeshaaa!

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před měsícem

      Ndugu omar Abdullah Acha matusi dini ni nasaha kama una Dalili toa na mungu akuongoze

    • @mussaissa6796
      @mussaissa6796 Před 24 dny

      YEYE KATOA HADITHI
      ZA KUHALALISHA,
      WEWE TOA ZA KUHARAMISHA IKIWA UNAZO, KAMA HUNA BASI KEJELI NA MATUSI HAZITOKUSAIDIA CHOCHOTE ZAIDI YA KUJIJAZIA UCHAFU TU KWENYE MAGUNIA YA AMALI ZAKO.

  • @ramadhaniissa6703
    @ramadhaniissa6703 Před 2 měsíci

    Masufi ndo watu wa sunna hakuna wanafuata sunna kuliko sufi

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6w Před 2 měsíci

    Huyu jamaa bachu kwe yuko na laana ya babake.lini ama wapi ama kitabu kapo ama mafundisho yapi yanayo wafundisha waislamu hivyo kwenda kuabudia makaburi.yeye anachukua vitu vya watu wa mila potifu kisha huwambandikia masufi na hizo ndio tabia za mawahabi warongo kama ndugu yao ibilisi..

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 Před 2 měsíci

      Ulikuwa siku laana inatolewa ?

    • @bagalucha
      @bagalucha Před měsícem

      Hoja hii mashuhuri ndiyo waliyoitegemea washirikina katika zama za kale na bado wanaitegemea hivi sasa. Mitume (rehema na amani ya Mwenyezi Mungu ziwe juu yao wote) walikuja kuikanusha na kuikataza, na kuwalingania watu kumwabudu Mwenyezi Mungu peke yake, bila mshirika wala mshirika.” (Tafsiir Ibn Katheer 7/84-85).
      Waabudu makaburi wanafanana na washirikina wa Jaahiliyyah, kwa sababu makaburi haya yamekuwa kama masanamu ya watu wa Jaahiliyyah, kwani wathan (sanamu) ni jiwe linaloabudiwa.
      Allah Subhana wataalla anasema Az Zumar
      (2. Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu hiki kwa Haki. Basi muabudu Mwenyezi Mungu ukimsafia Dini Yeye tu.)
      (3. Hakika Dini Safi ni ya Mwenyezi Mungu tu. Na wale wanao wafanya wenginewe kuwa ni walinzi wakisema: Sisi hatuwaabudu ila wapate kutujongeza tu kumkaribia Mwenyezi Mungu - Hakika Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao katika wanayo khitalifiana. Hakika Mwenyezi Mungu hamwongoi aliye mwongo kafiri.).
      Tatizo lenu masufi,kwakutaka kumshusha utukufu wake Allah,kwa kuzitilia nguvu hadith dhaifu,shetani kakughilibuni,hapo ndipo mnapozisisitiza na kushadidia,na kumshusha hadhi Allah Subhana wataalla kwa kuipiga vita Tawheed/utukufu wake,
      Laanatu llahu kwa wote wanaomshirikisha Allah,na chochote,wanamzulia mtume kwa Hadith za uwongo

  • @binzubeir6510
    @binzubeir6510 Před 2 měsíci

    Watu wabidaa hawana IN-SWAFI hemu ukizungumza wewe upepo Bainisha ao Mawahabi vizuri izo kauli zao usichukue baadhi ya maneno ukawadanganya watu.
    Haya unayoyazungumza ni Dini na utaulizwa na ni dhimma hiyo mbele ya Allah.

    • @user-lp3gi5wd4e
      @user-lp3gi5wd4e Před 2 měsíci

      Wacha mihemko yakujitoa muhanga.
      Kwahiyo Ibnu Taimia nimuhuni!?

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy Před 2 měsíci

      ​@@user-lp3gi5wd4e
      Kwani hujui akhy kiwa mawahabi wengine hawana ata akili ??
      Mara nyengine bora Mkristo anatumia akili kuliko mawahabi .
      Ukisema Ust HAJI ni MUHUNI AU MSHIRIKINA AU MPOTEVU kwa sabb ya anayoyasema .. halafu humuiti lbul Qayyim wala lBNU TAYMIA ni MUHUNI ,MSHIRIKINA ,MPOTEVU .
      BASI. BORA PUNDA KULIKO WEWE .. KWASABABU ALIOWANUKUU NI IBNU TAYMIA NA IBNUL QAYYIM .

  • @ALLYMTAWATAWA
    @ALLYMTAWATAWA Před měsícem

    kwani amekwambia wewe

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

    Wwnaomba kweli uliona wapi mwizi akakubali kuwa mimi mwizi kweli

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 2 měsíci

      Sasa akili yako finyu utafananisha vp mwizi na mja kuomba mwizi hawezi kukubali sawa na mtu anae tawasal atakubali mm nakubali tawasul hakuna anae omba qaburi watu wanatawasal kupitia yule mja mwema ila anae ombwa ni Allah nyinyi mawahabi wapotoshaji na hamuna ilimu mtume s a w aliwatabiri kutakuja watu wakiwatusi wanazuoni wakijiona wanailimu lumbe wanawapotosha watu kina bachu na wenzake mawahabi

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

      @@saba-gv3mj Ninyi ndo washirikina wakubwa mnaotetea kuabudu makaburi wapi ushahidi wa quruani na hadithi mtume aliwaambia waislamu mkawaombe mait kwenye makabuli washirikina wakubwa nyie Wana kupotea Allah anasema ombeni Mimi nitawaitika waambieni nipo karibu yao kama mshipa wa fahamu na shingo nasikia maombi yao Sasa wapi mtume aliomba kupitia maiti na makabuli ikiwa mwenyewe tuu aliomba duwa allahuma latajala lkbaburi wathnan yulbad ewe Allah naomba usijaalie kaburi langu wasije lifanya sanamu la kuabudiwa kama mtume tuuh! Kamuomba Allah amuepushe na watu kuja kuliomba kaburi lake wakalifanya sanamu la kuabudiwa vipi we unae enda kuomba makaburi ya mashekhe acheni shirki Allah anasema meenye kumshirikisha Allah haramu pepo kwake, mwenye kumshirikisha Allah matendo yake yote huporomoka, mwenye kumshirikisha allah, hatoisikia harufu ya pepo ninyi ibilisi amewashughulisha na hayo makaburi yenu mkaona muombe pamoja na Allah subili jibu lipo Allah Hana haraka na madhalimu anawapa muda ipo siku ndo mtajuwa kilichokatazwa na mawahabi mnaosema kilikuwa Ni hakki Ni muda ambao hutorudi kufanya touba na Allah mtukufu hana haraka kabisa si kunawatu wanaomba kupitia yesu Allah anawasubili endeleni kuabudia makaburi yenu hayo

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

      @@saba-gv3mj ninyi ombeni hamjakatazwa Ila Allah yupo anawasubili mbona watu wanaomba kupitia yesu na Allah anawapa neema anawashushia mvua Hana haraka nao azidi kuwapa umri mrefu waishi na wazidi kujidahau Allah ndo mueeza na mfalme wa kila Jambo haghafiriki na mbavyoviomba pomoja nae Ila ipo siku mtajuwa hayo matawasuli yenu kwenye makabuli na hawo mashekhe walowapoteza mtawakana siku na wao watawakana na vile mlivyoviabudu pamoja na Allah watafufuliwa waulizwe watakataa kule kufanyiwa ushirika hapo Ni kilio na kusaga meno tuuh! Akuna Cha hajji upepo alokudanganya we na amali zako tuuh! Uliabudia makaburi shirki we ni finnari jahanamu halidia fiha mtadumu motoni milele humo Allah amehaidi kusamehe madhambi yasiyo kuwa hayo ya shirki na Allah atowatazama kwa jicho la huruma mushirikina hatopata hata muombezi na mtume mwenyew atawaonbea watu shufaa lakini kwa mushirikina hapo halitoweza ninyi abudini vzr hawo mayti wenu makaburini na muwatukuze so wasema mnapata baraka kwao subuhana llah wataka baraka kwa mtu ambae ameoza na yey huko aliko huenda anataka msaada ninyi wasjirikina ombeni mtakavyo mtume alishaletwa na dini imekamilika ww tu kufata njia yake au kutofata sawa ww khurafi

  • @izmamuizmamu6521
    @izmamuizmamu6521 Před měsícem

    موتو بغيضكم
    WW Upepo bas bachu Ni kimbunga

  • @kitosio
    @kitosio Před 2 měsíci

    Shekhe sisi tumeshuhudia haya. Nikamuuliza Kijana mmoja anapita mbele ya kaburi la shekhe. Nikamuuliza hili ndio kaburi la Mufti akasema ndio, " watu wanakuja kuomba hapo na kuondowa Nadhiri" na akasema wanafanikiwa. Bonge la shirki. Sema sio nyote manoyafanya haya. Waangalieni wenzenu Iran, Irak, na Mashia. Ingia CZcams search utajionea mwenyewe.

    • @MgazaMhina
      @MgazaMhina Před 2 měsíci

      Hilo mbali Mimi nilijionea mwenyewe huko Bagamoyo mpaka wanapaita Madina ndogo,kwasababu Kuna makaburi ya sharifu na mtoto wake

    • @SeifSimba-qq8rk
      @SeifSimba-qq8rk Před 17 dny

      Nyinyi mnafanya shirk 2 upepo wa kusi

    • @kitosio
      @kitosio Před 17 dny

      @@SeifSimba-qq8rk
      AAA Mawahabi ktk Suala la shirki 100% hawana. Hawajihusishi hasaaa ni woga. Bora uniambie ktk Fik_hi wanaweza kugeuka lakini shirki za Ki Sufi hapanaaaaaaaaa 100%. Kuwaomba waliomo makaburini

    • @SeifSimba-qq8rk
      @SeifSimba-qq8rk Před 17 dny

      @@kitosio masufi ndio wa2 wakuomba makaburini hao

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 Před 2 měsíci

    Wewe haji ni kama mwenda wazimu tu halafu we na shafii yule shia hamna tofaut 😂 nyote nyie wapotevu na mtapoteza wajinga wenzenu

  • @binzubeir6510
    @binzubeir6510 Před 2 měsíci +1

    Kumuomba maiti akuombee hiyo ni bidaa bali maiti anaombewa ndio MTUME amefundisha hivyo.

    • @user-lp3gi5wd4e
      @user-lp3gi5wd4e Před 2 měsíci

      Kwahiyi Ibnu Taimia ni sheik wa Bidaah!?

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy Před 2 měsíci

      Kwaivo lBNUL Qayyim NAE ni sheikh wa bidaah ??

  • @user-wh3et9pu3h
    @user-wh3et9pu3h Před 2 měsíci +1

    uzuri ni kwamba bachu hana habari na weye,kila ukijaribu kutaka uraddiwe yeye anakupotezea,

    • @Breezy9757
      @Breezy9757 Před 2 měsíci +1

      Hahaa hakika

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline Před 2 měsíci

      Huwa ujumbe umefika na majibu hakuna ndio maana .....

    • @salumhassanallymkurdistan7006
      @salumhassanallymkurdistan7006 Před 2 měsíci +1

      KWANI BACHU NDIYO MKAMILIFU?
      UPO KUTAKA ELIMU AU UPO KUTAKA SHEKH MAFUTA NA BACHU?
      ANGALIENI MAWAHABI MSIJE KUWATUKUZA MASHEKHE ZENU KAMA MANASWARA WALIVYO MTUKUZA NABII ISSA KUWA MUNGU AU MWANA WA MUNGU
      MAANA MAWAHABI MAWA

    • @MgazaMhina
      @MgazaMhina Před 2 měsíci

      ​@@salumhassanallymkurdistan7006umeangalia hiyo video vizuri kaanza kuweka video ya Bachu,inamaana hapo anamrad Bachu.

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy Před 2 měsíci

      BACHO ni mweupeee hawezi kujibu hoja hizo.
      Kwasabb Ust hajji kutumia hadithi za mtume na ufahamu wa wema waliotangulia ..
      Maiti wanasikia ...tena kwa ljmai ya WANACHUONI .
      Jee wewe unasemaje ??
      Mtume ndio aliposema maiti wanasikia ... Wewe MUWAHABI unasemaje ??

  • @ahmedseif-cu4ex
    @ahmedseif-cu4ex Před 2 měsíci +1

    We unataka kujibiwa na bachu ni hali sio saiz yako bachu bado sana kijana wa kisufi

    • @salumhassanallymkurdistan7006
      @salumhassanallymkurdistan7006 Před 2 měsíci +1

      KWANI MASHINDANO AU KUELIMISHANA?
      MAWAHABI HAMJASOMA MNAFATA MASHEKHE ZENU HAMFATI HADITHI
      MAWAHABI HADITHI KWAO ISEMWE NA SHEKH ZAO IKISEMWA HADITHI NA AMBAE SI SHEKH ZAO HIYO HAWAIYAMINI JAPO IWE SAHIHI
      MAWAHABI NIKUULIZENI HAO MASHEKHE ZENU WANAUTUKUFU MKUBWA KAMA NANI? AU MNAWAABUDU?

    • @user-lp3gi5wd4e
      @user-lp3gi5wd4e Před 2 měsíci

      Huyo bachu mwenyewe alipigwa swali mpaka alijikojolea kule Mombasa,au mnajisaahulisha.

    • @MgazaMhina
      @MgazaMhina Před 2 měsíci

      ​@@user-lp3gi5wd4esawa,Sasa kwanini kaweka video ya Bachu mwanzoni

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy Před 2 měsíci

      BACHO ni mtoto mdogo
      Wala hawezi kujibu haya aliyoyazungumza Ust hajji upepo .
      Hebu sikilizeni kwa utulivu. Mtaona Ust HAJI ametumia hadithi Za mtume na ufahamu wa wema waliotangulia .
      Kama nyny mawahabi hamtaki kufuata maneno ya mtume wala ufahamu wa wema waliotangulia. ..
      Mnataka kutolewa ushahidi katika biblia ????
      Jibuni :
      Swahaba kaenda kumuomba mtume wala hajaenda kumuomba Allah.
      Suali :
      Jee swahaba yule ni MSHIRIKINA ??
      Jee Mtume kwa vile hajamkataza yule (Swahaba) bali karidhia jambo lile NAE ni MSHIRIKINA ???

    • @bagalucha
      @bagalucha Před měsícem

      @@salumhassanallymkurdistan7006 Hoja hii mashuhuri ndiyo waliyoitegemea washirikina katika zama za kale na bado wanaitegemea hivi sasa. Mitume (rehema na amani ya Mwenyezi Mungu ziwe juu yao wote) walikuja kuikanusha na kuikataza, na kuwalingania watu kumwabudu Mwenyezi Mungu peke yake, bila mshirika wala mshirika.” (Tafsiir Ibn Katheer 7/84-85).
      Waabudu makaburi wanafanana na washirikina wa Jaahiliyyah, kwa sababu makaburi haya yamekuwa kama masanamu ya watu wa Jaahiliyyah, kwani wathan (sanamu) ni jiwe linaloabudiwa.
      Allah Subhana wataalla anasema Az Zumar
      (2. Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu hiki kwa Haki. Basi muabudu Mwenyezi Mungu ukimsafia Dini Yeye tu.)
      (3. Hakika Dini Safi ni ya Mwenyezi Mungu tu. Na wale wanao wafanya wenginewe kuwa ni walinzi wakisema: Sisi hatuwaabudu ila wapate kutujongeza tu kumkaribia Mwenyezi Mungu - Hakika Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao katika wanayo khitalifiana. Hakika Mwenyezi Mungu hamwongoi aliye mwongo kafiri.).
      Tatizo lenu masufi,kwakutaka kumshusha utukufu wake Allah,kwa kuzitilia nguvu hadith dhaifu,shetani kakughilibuni,hapo ndipo mnapozisisitiza na kushadidia,na kumshusha hadhi Allah Subhana wataalla kwa kuipiga vita Tawheed/utukufu wake,
      Laanatu llahu kwa wote wanaomshirikisha Allah,na chochote,wanamzulia mtume kwa Hadith za uwongo

  • @user-ho8yh9lq9f
    @user-ho8yh9lq9f Před měsícem

    Mambumbu yameshika misimamo baadhi hayajui hata swala misimamo bila elim wewe si nyumbu tu haji faida huyo bachu wenu alikimbia maburui ananini huyo someni acheni adarawesh.