Masalafi, Mawahabi, maanswari Sunnah tatizo lao ni moja tu: Wanajibiwa kisomi zaidi ila wao wana khiari wajibiwe kwa masemango, mashekhe zetu ni wenye hekma hawajibu kwa kutovukwa na adabu, Allaah amewapa hekma na busara nyingi katika kuendesha mambo. Jibu limepatikana hapo ila kwa kua Allaah ametia vizibo katika nyoyo zao na macho yao hawawezi kuona lolote hapo. Allaah awabaarik mashekhe zetu. Ila sheikh waleed ni kiboko elimu anayo Alhamdu lillaah. Allaah amsidishie elimu yenye kheri na dunia yake na akhera yake Allaahumma aamiiin,,,,,,,
Shekhe Walid uko vizuri. ALLAH akupe zaidi elimu., ILA HOJA 19. NAKUOMBA uzijibu ww, hakuna kuzunguka .. ni mwezi sasa hakuna hoja ata moja iliiyo pata majibu.
Ameen, akhy hizo hoja 19 sio hoja hata kidogo mie binafsi ninauwezo WA kuzivunja moja baada ya nyingine ila kama kweli unasimamia Haki kabla ya kuvunja moja baada ya nyingine niambie Kwanza unafahamu kua shekhe wako alimzulia shekhe jaafari ktk miongoni mwa hizo hoja 19 alizozijenga Sasa wewe niambie kama kweli umsomi WA Dini naunafatilia Haki nasio ushabiki niambie Katika hizo hoja 19 ni hoja zipi ambazo kweli nimaneno ya jaafari na niyapi sio ya jaafari ila nishekhe wako ndio kamzulia
Wallah sheh nakupenda bure kusoma na kutambua kunitji umakin wa hali ya juu san tumekufam shekh mung akupe hekm zaid ya kutoa mwangaza zaidi n somo kubwa ilo
Aiseeh naona hoja 19 bado ni mwiba wa koo! Maulidi yote hoja ni mtoto wa Bachu tu lakin anaejib hoja hakuna😂😂😂! Sasa masheikh wote wakisufi wenye elimu yenye sanadi waliosomeshwa na sio kujisomea wenye maulidi yao na vitabu vyao kama wangegawana zile hoja 19 japo mbili mbili si wangekua weshazijibu zote hivi umma umenufaika na kuelewa😀
Akhy vip ww? Ajibiwe kwani yeye aliuliza ni clip gani ambayo bachu aliuliza zaidi ya kuhukumu kua watu niwashirikina Tena anaowahukumu wameshatangulia mbele ya Haki, Ama kuhusu hizo hoja 19 alizo muuliza sabas niyeye na sabas hakuumuuliza alhadi na istoshe mcheni Allah na kama kweli ninyi ni wasomi WA Dini sio mashabiki tu fatiliene ukweli WA hizo hoja 19 amezijengea ktk maneno ya jaafari kweli kama anavyo mtuhumu Ama amemzulia halafu unambia kua zimebaki ngapi ambazo nikweli nimaneno ya jaafari mimi wallah nitakujibu zote
Tatizo hata yeye hatoa hoja kupitia wana vyuoni Bal kauliza maswa kwa kukosa kuelewa yeye Sasa hiyo c hoja anashida ya kuelewà so Ange ena kusomeshwa ingekua bola nawe nikupee chaleji nipe nukuluu yoyote kutoka kwa wanavyuoni aliye wahii kuuliza nukuta hata mmoja Kama hamna sasa c hoja niufup was kuelewa kwake
Hawa masufi vile wamebabaika na nukta 19 ndani za qasidah za uongi na ushirkina itafikiria wadungwa na kisu cha sumu wamebakia na maneni tupu hakuna aliojibu hoja moja kati za 19 basi maneno za projo tu
Nibora Yamtu Kuwa Mjinga Utajifunza. Lakini Ukijaaliwa Kuwa Mpumbavi Huo Niuogonjwa Usiopona Milele. Eti Maswali 19. Kusoma Nikitu Kingine. Nakuelewa Nikitu Kingine.
@@nurdinmfamau3493 hio nimsemi waki mashia walipo saydina Ali ni mungu someni kuwa vitabu zao vile munayo sema mandishi kitu kingine nakuelewa ni kingine, ebo nitafsirie وَلَا تَدْعُ مِن دُونِ ٱللَّهِ مَا لَا يَنفَعُكَ وَلَا يَضُرُّكَ ۖ فَإِن فَعَلْتَ فَإِنَّكَ إِذًا مِّنَ ٱلظَّٰلِمِينَ nitafsirie vile kuwa mandishi kingiye nakuelekwako kingine vile unadai
Ukijisomea utakua kama mtoto wa bacho....hakuna hoja hapo zote dhaifu.. ukisema mtoto wako ni kisu anakua kisu kweli?..... Someni KWA wajuzi msijisomee....
Subhanallah, kajisomea mwenyewe tu lakini kapiga maswali 19 tu ya uongo ulio ndani ya barzanji lakini masufi wanashindwa kuyajibu. Hivi angesoma kwa masheikh wakubwa ingekuaje??? قال يونس بن عبد الأعلى: سمعت الشافعي يقول : (لو أن رجلا تصوف أول النهار لم يأت عليه الظهر إلا وجدته أحمق). رواه البيهقي في "مناقب الشافعي" (٢/ ٢٠٧) بإسناد صحيح
Sasa hao mashekh zenu wa BAKWATA mbona mpaka leo wameshindwa kumjibu bad ala yake wanamshambulia tu,wamjibu kwanza na si kutetea BIDAA ya MAULIDI am a yo ni uzushi tu
Clip nyingi ni ooooh mtoto wa bacho hivi mtoto wa bacho hivi na vile yoote hayo yaletwa na kuwa anapinga maulidi sasa sabas amewaangusha ndio hasira zoote hizi lkni sharif Abdulkadir Al Ahdal ndie aliyamaliza kwa kumkataa sabas mbele ya camera sababu alishindwa kujibu
Kama mwadharau elimu zake mbona mwashindwa kuzijibu hoja zake tangu zamani bila shaka mumeshindwa masheikh wote wa tanzania na wa kenya hamutoshi jama ni simba marara
Ass alkm, mashekhe mnazunguka sana kutafuta majibu ya kumjibu Muhammad bacho, mnafanya makusudi kuwacha msingi aliotulekeza Allah kwenye sura ya 4 Aya 59 au ni hawaa tu za nafsi. Hebu waislamu tuwache kufuata matamanio ya nafsi, ALLAH ATUONYESHE HAKI NA ATUWEZESHE KUIFUATA, NA ATUONYESHE BATILI NA ATUWEZESHE KUIEPUKA.
Mawahabi ndivo mulivo itakuwaje hakuna cha shekhe mkubwa hakuna wanazuoni na mtume s a w alisema musiwatukane maswahaba wake na wanazuoni leo bachu sijui ilimu kaitowa wapi kuwapotosha wanazuoni kumuhukumu mpaka mamayake mtume s a w
@@fikafikan8484 tunaongelea hao washekh zenu mashekh ubabwa yaani yiyi masufii yaani hamjui tu vile mmepotezea watu mda urongoo urongoo ybabaishaji wenu roundy hii Allah atawafedhesha moja moja.
Sheikh Walid sema kweli KUHUSU kitabu Cha barzanji makosa na URONGO mwingi na munanyamaza isipokuwa ndungu bachu amejitoleya kuzungumza UKWELI ndiyo watwariki masheikh wameksirika KWA UKWELI wa bachu MUNGU amlinde bachu KWA msimamo wake wa UKWELI KUHUSU dini kesho Kila mtu ataulizwa msimamo wako wa dini sikufuhata maslah ya duniya
Njaa za mawahabi nimtihani mno hawampendi mtume wala mwenyezi mungu wapenda Saudia kwaajili ya misaada wamefikia mpaka mwezi kutoka Saudia niwakimataifa jamani innalillah wainnaillaihrrajiuuun
Hata wale wanaopinga uwepo wa Allah mtukufu zile sababu wanazozitoa kuthibitisha ilo wanaloliamini wao wanaita ni hoja za msingi.... ..izo 19 ni hoja kwako,kwetu sisi sio hoja izo bali umajnuni tu ndio mana hatupotezi muda kushughulishwa na hilo!! Maulidi tutayasoma mpaka Peponi in shaa Allah!!!
Assalamualaikum jamani naona kejeli nyingi za majibu nyinyi waache mashekh kwa mashekh wamalizane jamani dini haijaja kugombanisha jamani tuacheni tumuogope mungu kila moja ana mwalimu wake na ufahamu wake na uelewa wake kama ww mwalimu wako bacho fata yale aliyokufundishwa sio mwalimu wako bachu acha nayo
Tatizo la masufi ni wapumbavu sana, masufi wengi wanatetea upuuzi wa madhehebu yao na kulinda maslahi/matumbo yao. Tuseme haya shekh Muhammad Bachu hakusomeshwa au hakusoma kama mnavyoaminisha wapumbavu wenzenu je na nukuu alizozitoa za wanavyuoni wakubwa tena wazamani nao hawakusoma, mmesoma nyinyi tu wapumbavu wa kisufi?
Nawaomba sana masheikh muache hayo anaetaka majibu akasome itamtosha kuwa ni jibu sahh atafuata kuliko haya yanayoendelea endeleeni mtupe faida hao wenye minakash waendelee
@@nurdinmfamau3493 swali gani Hilo kwan Maulid yamo katika Quran au Hadith, hakuyafanya mtume wala maswahaba zake, au nyie ndio mnaifahamu dini sana zaidi ya mtume na maswahaba? Maulid ni bidaah bwana haina Dalili yoyote
فقد ثبت في الحديث الصحيح أن النبي صلى الله عليه وسلم قال: افترقت اليهود على إحدى وسبعين فرقة، وافترقت النصارى على اثنتين وسبعين فرقة، وستفترق هذه الأمة على ثلاث وسبعين فرقة كلها في النار إلا واحدة، قيل: من هي يا رسول الله؟ قال: من كان على مثل ما أنا عليه وأصحابي
HATA WASKRISTO NA WAYAHUDI WANATAFUTA MAKOSA KWENYE QUR AN NA ANAYAPA KUTOKANA NA KUSOMA KWAO BILA KUSOMESHWA NA IKIFIKA WAKATI AKISOMESHWA WANAELEWA NA KUIFUATA HAKI NDIO MAANA LEO WANAREVERT KWENYE UILSLAM KAMA NZIGEEEEE. UKITAKA KUKIELEWA KITABU SOMESHWAAAAA
Jafary kiboko ya mawahabi aliaacha mwiba sana Allah khery kwa sadaqat jaria aliyoiacha ambayo mpaka leo wanaopanga kumdogesha mtume wanamdogesha vipi ili hali kuna kitabu kinachomsifia kwa sifa kem kem
Hakuna anayemiliki elimu Shekh Walid. Nyie mliopewa Elimu kwa kusomeshwa na masheikh sawa tu. Lakini kuna watu wamefanya jitihada na kuhifadhi Quran kwa usaidizi mdogo sana kutoka kwa watu wa kawaida. Kama hawa mtasema hawana elimu kwa sababu hawasomeshwa na Sheikh Mohammad Ayoub mnataka kusema elimu ya dini ina trade mark ambayo ili upate kufaidiki lazima uipate kwa mwenye nayo. Sio sawa Sheikh Walid. Hiyo haikubaliki. Sheikh Mohammad Bachu ametoa hoja zake juu ya Brazanji. Nyie masheikh wenye ithibati basi njooni muwafahamishe umma kwamba hoja zake si sahihi. Lete zenu zilizo sahihi. Lakini kama mna sema juu juu tu eti hakusoma, hana elimu, haijibu masiala ya msingi kuwa Barazanji ina uwongo na ushirikina. Tusaidieni masheikh
Ipo hiv Kama hadidhi Zina silisila he nakuuliza elim ya dini Haina yaweza kua hujui silisila kwa mfano kwenye hadithi huwa twauliza he hadithi hiyo kapokea Nani paka ifike kwa mtume ndo ninakua sahihi Sasa Kama ni hiyo he elimu nikujisomesha tu chubani au lazima tijue aliye kusomeshwa ili tujue wewe unayoyasema Yana ilim Dani yake
Hakuna mahali alikosea mwanachuoni wetu isipo kuwa mahasidi wakiwahabi wamekuwa na husuda juu ya harakaati za huyo mwana chuoni kwa bidii yake ya kuongoza katika kuisimamisha dola ya kiislamu ya twarika ambayo kwa sasa ndio inaongoza kote ulimwenguni juu ya ikhlas ya kumpwekesha allah na sifa za mtume wetu sheikh barzaji allah azidi kulitia nuru na miangaza kaburi lake.
Kujusomea ndio kujua. Msiwe kama manaseara wasomewa bibilia na kufwata tu. Kwani hatuna uwezo wenyewe kujua yaliomo. Watu wana akili wakujisomea kisha kujua. Kusomeshwa ndio kupotozwa. Mambo mengine akili tu. Sheikh waijua ndani ya moyo wako kua maulid haufai mbona kuwapotosha watu kwa yakini. Muogope Allah ndani mwako wayajua.
HII NI AIBU YANI KILA MTU AKISIMAMA ANAMLAUMU BACHU LKN HASEMI KUHUSU ZILE HOJA 19 BACHU HIVI MARA VILE MARA SIJUI MWEHU MLEVI MVUTA BANGE JAHILI MPUMBAVU MUHUNI...NK ALAFU MKIMALIZA MNAKUJA KUSEMA YEYE NDO KATUKANA. LKN UKITAFUTA MATUS YAKE HUYAPATI NYIE NDO MNAO MTUKANA
Nyama za wanazuoni zina sumu waislamu wenzangu tuacheni ushabiki wanazuoni wenyewe walikuwa wakisema ikhtilafu beina ya wanazuoni ni rehma wao ni kama njia yoyote utakayemfuata utafika utakapo
Shek walid uko sawa but sio sana vile, hapankwa maulidi vipi, tunasubiri majibu ya maswali 19 ya mwalimu bachu. Hacheni ujanja pls toeni majibu. Tumechoka kusubiri 😂😂
Mashia wana ukuu gani wa barazanji wakati maulidi barazanji yenyewe imeandikwa na jafary albarazanji ambae amekuwa imamu na Muft wa maka na madina au na yeye alikuwa mshia?
@@sadickmguruka wanatumia pesa kuendeleza maulidi. Mombasa, Dar, Tanga, Lamu etc wao ndio watowao pesa kuwabeba Qadiria kwa hali na mali kuendelea uzushi.
Mbona hamukukaa mukamsaidia majibu Bachu km munaona yuko sahihi kazi yenu kujiona sahihi t kwa kuvaa kanzu fupi hamuna lolote zaidi kibri hamutaki kisoma ubaguzi ndio kz yenu na kila mtu kwenu hana elimu
Sheikh Walid Asalam Alaykum warahmatullah wabarakatuh! Tunakutaka wewe upange munaqasha na uusimamie haswa baina ya hawa watoto wako wa wili: Mtoto wako wa Twariqa na huyu Mtoto wako mwengine Mohommad Bachu anaye wawakilisha watoto wa Sunnah! Wewe mzazi wao uwasimilize live hoja zao,kisha mwisho usuluhishe ni mtoto yupi kapatia hoja na yupi ameshindwa,ili watakaoshindwa wawe wanawaheshimu wenzao! Huwezi kuikata kesi hii kwa wewe kusemea nje ya pazia tu!
Huyu shekhe ana hekima sana ila kachomekewa hoja nzito nayeye ni MTU wa twalika lazima aegemee upande wake ila barazanj ilikosewa kidogo ingelekebishwa na mtunzi aedelee kuenziwa na kumsifu
Wazushi hamna haya ata kidogo. Kama wakristo wanavyo sema biblia lazima uwe na roho kuielewa nyinyi ni ma swad na madhuma ata warabu hawakosei herufu? Wazushi siku zenu zimekwisha Allah araonyesha wapi kuna haki
Mawahabi wengi humu wanazungumzia hoja 19 eti masheikh wa kisufi wameshindwa kuzijibu kisha wanatamba na kutangaza ushindi kama alivyojitangaza kinara wao mtoto wa bachu mimi naomba niwashauri muachane na hizi hoja 19 maana si pahala pake kwa sasa kwanini nasema hivyo? sheikh wenu bachu hakuwa tayari kwa munaqasha wa kielimu bali yeye alikuwa anataka ajibiwe kama anavyoamini yeye na hiyo ndo pwenti aliyoizungumzia sheikh walid hakuna elimu ya kujisomea bali ni kusomeshwa,,,,na kwa Bahati mbaya bachu haliamini hilo na ndo maana ziko fani nyingine ambazo yeye hazijui na hasa fani za lugha ya kiarabu na aruudh,,,,, ambazo kwa asilimia kubwa zinahitaji upige goti kwa mwalimu usomeshwe na siyo ujanja ujanja,,ifike pahala bachu lazima akiri kuwa barzanji ni kitabu kilichojaa bahari za mashairi,fani za balagha na mantwiq,,,,,anapozitakaa fani hizi kwa kuwa tu hazijui ,,,basi atambue kuwa hata hizo hoja zake kumi na tisa hazijibiki na kwa mantiki hiyo hana sifa ya.kushiriki minaqasha na masheikh wenye elimu zao akapige goti asomeshwe kwanza akumbuke bachu huu siyo mjadala wa tawhiid wala fiqhi hii ni barzanji ni kitabu cha sira kilichoandikwa kwa mfumo wa mashairi yaliozingatia bahari mbalimbali pamoja na mushabbihaat na mafumbo mbalimbali ambazo utatuzi wake huupati ispokuwa kwenye fani za lugha namuomba asome kwanza kisha ndo ajibiwe hizo hoja zake 19 kwa sasa hazijibiki ajijibu mwenyewe tu
Sabas alitakiwa ajibu Sasa kielimu kumuonyesha wapi hakuelewa lakini alisema dakika 20 hazitoshi kujibu hoja. Japo alijinasibu kuwa atajibu kwa dk 5. Kwahiyo baada ya kutolewa hoja hizo alitakiwa kuchambua moja moja kielimu ili kumuelimisha na abiria wengine pia wapate kuelimika. Lakini mwisho wa siku alikimbia akaulizwe marehemu mwenyewe alikusudia nini.
Ndugu yangu tujengeni dini yetu tusimesheni watoto dini yetu, bora maulidi kuliko baadae watoto wetu watakuja kujibadisha kujigeuza wanawake dunia imeshakwisha tushikamane tusigombanie vitu vitakavyotugawa
Samahan akhi kama nitakuudhi kwa haya nitakayoyasema "jaribu kufikiri mwisho wa chochote au lolote unalotaka kulisema na kulifanya uliyoyazungumza hata sidhani kama we we mwenyewe yakiwa yamesemwa upande wako Yang's kudu ravish a samahani akhi
Sijauona ushekh wa bachu.Kwani bwana mtume alibishana kwenye uislamu wake.ukimuona mtu analeta vurugu na mabishano ndani ya dini yake huyo anakasoro.Mimi naomba mashekhe wetu na maulamaa mwacheni huyo .
Mie ninachopenda sana nikuona miwahabi inawafatalia sana mashekhe zetu. Tena wanawafatilia vyema sana Sasa Hua najiuliza kama mashekhe zetu niwabidaa kwann mawahabi hawatosheki na mashekhe zao Wakasoma Dini ila utakuta Katika kila clip yoyote Ile ya mashekhe zetu utawakuta Hawa watu ila trust me Hua hawana Muda WA kusoma Dini zaidi Hua niushabiki tu nakujifanya Wana elimu kumbe bangi tupu
Hawaezi kuwacha wapitosha umma kwakutaka Dunia yao,tuko na wao bamper the tu bumper wamedangaya watu siku yingi so ukishndwa kuona wakirekebishwa we tizama tu.
@@Seng522 kitabu kutupwa alikiri mwenyewe nikosa na kaomba radhi sasa yy ndio mumefaya topic kwenye misikiti na kwenye magrouo zamaulindi zenye hamna la kuongea kila Asmara bachu bachu,this roundy tutawasnyooshaa na shubhat zenu mustake kutengeneza maisha yenu kupitia waislamu wasiojua kitu.
@@Captainome istoshe nakushauri uende ukakusomeshe kama ndio shekhe wako coz hawezi kumzuia mtu kusimamia alichokua nahakika nacho sana sana atawachota wafuata mkumbo ila sio wasomi wadini Tena walosoma kwa ikhlaswi
Mashekh zangu ugomvi hauna nafasi kati ya yetu waislam ilimu ni pana mno wote mnajua hilo alaf kua na ilmu co sababu chakuzingatia ktk hiyo elimu kunae manufaa? Je hikma ipo? Ko msipate taabu ktk hilo masheikh zangu, usitumie jazba kubwaa akat ilmu enyewe haina manufaa wala hikma allah keshasema man yuutwiil hikmata faqad uutiya khayran kathiiraa.. faqatw.
Yani hizo hoja 19 na mpaka 30 zilizoulizwa hata mimi nazi jibu, 😅 manake nivichekesho, mawahabi akili zao fupi kweli kweli. Mimi sio sheik wala sijasoma lakini nazi jibu. 😅😅
Mi nasema tumekubali kashinda si basi... sisi tutaendelea nayo kama kawaida Ila asiwatie watu ktk makosa pengine yeye ndo hajaelewa kilichoandikwa maskini ila ajihadhari yasije mtokea km walopita
Walidi hoja za mtoto wa bachu zipo wazi mjibuni,kama kapotosha ,mnazuunguka zuunguka tu,"eti huwezi kuelewa maneno ya barazanji"ilmu ni sanadi tupeni sanadi ya maneno ya barzanji,
Kwahiyo wewe bachu unamuona anaelimu sana eeh,wewe bachu ni jazba tu ni debe tupu tu kelele nyingi hamna elimu Wala hekma Wala adabu ni mpuuzi tukwetu upo.😅😅😅
hao wanaojiita mawahabi na salafiy niwatu wa ajabu sana ivi inawezekana kweli waislam wote wawafate wanavotaka wao tu?au wao tu ndio mashekh hakuna shekh zaidi ya salafiy
Mume shika hoja 19 km ni hoja kweli zingeshajibiwa zile ni hoja kwenu mawahabi lkn kwetu sufiyyuna sio hoja kwanza jiulizeni swla 1 tu kwamba hizo mnazoita hoja hem jrbuni kuangalia yyte aliyoitoa kwenye Quran au Hadith lkn it was just rubbish and we put them in the dustbin
Aaaaaa ndugu yangu hoja hizo haziwezi kutoka kwenye Quran au Sunna kwa sababu huko haziko na ndio msingi wa Sheikh Mohammad Bacho nyie Suufia mnatoa wapi?? Usijizime data wewe Suufia bin Shia
Sheikh Mohammad Bachu alipaswa kujibu suala aliloulizwa na mwenzake. Lskini Bscho alijifanya yeye first eleven lakini mbona hakijibu swala iloulizwa. Lakini baada kuona hana jibu ndio akajifanya kuuliza swala. Kwa hiyo yeye kwa kuwa hakuweza kujibu hilo swala basi angelisema kuwa hajui. Kwa hiyo na wewe usijifanye mnafiki kwa kuugeuza ukweli na.kutaka iwe uongo.
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri
Masalafi, Mawahabi, maanswari Sunnah tatizo lao ni moja tu:
Wanajibiwa kisomi zaidi ila wao wana khiari wajibiwe kwa masemango, mashekhe zetu ni wenye hekma hawajibu kwa kutovukwa na adabu, Allaah amewapa hekma na busara nyingi katika kuendesha mambo. Jibu limepatikana hapo ila kwa kua Allaah ametia vizibo katika nyoyo zao na macho yao hawawezi kuona lolote hapo.
Allaah awabaarik mashekhe zetu.
Ila sheikh waleed ni kiboko elimu anayo Alhamdu lillaah. Allaah amsidishie elimu yenye kheri na dunia yake na akhera yake
Allaahumma aamiiin,,,,,,,
Shekhe Walid uko vizuri. ALLAH akupe zaidi elimu., ILA HOJA 19. NAKUOMBA uzijibu ww, hakuna kuzunguka .. ni mwezi sasa hakuna hoja ata moja iliiyo pata majibu.
Ameen, akhy hizo hoja 19 sio hoja hata kidogo mie binafsi ninauwezo WA kuzivunja moja baada ya nyingine ila kama kweli unasimamia Haki kabla ya kuvunja moja baada ya nyingine niambie Kwanza unafahamu kua shekhe wako alimzulia shekhe jaafari ktk miongoni mwa hizo hoja 19 alizozijenga Sasa wewe niambie kama kweli umsomi WA Dini naunafatilia Haki nasio ushabiki niambie Katika hizo hoja 19 ni hoja zipi ambazo kweli nimaneno ya jaafari na niyapi sio ya jaafari ila nishekhe wako ndio kamzulia
@@Seng522wanashindwa wapumbavu wakubwa wa kisufi utaweza wewe dagaa mdogo?
Tatizo la masufi wanatetea upuuzi wa madhehebu yao lakini uongo na shirk katika kitabu cha barzanj upo wazi wazi
@@mohd39789Sasa wewe unayetukana bila hekima nyie mawahabi vitsbu vyeni vipo koleki tu
@@mohd39789huwezi kufukisha ujumbe mpaak utukane?
Maashaallah
shukran sheikh Waleed Allah azid kukuongoza tunufaike n elimu yako
Wallah sheh nakupenda bure kusoma na kutambua kunitji umakin wa hali ya juu san tumekufam shekh mung akupe hekm zaid ya kutoa mwangaza zaidi n somo kubwa ilo
Wallahi nimestafid sana
Allah akulipe shekh waliid
Aiseeh naona hoja 19 bado ni mwiba wa koo! Maulidi yote hoja ni mtoto wa Bachu tu lakin anaejib hoja hakuna😂😂😂! Sasa masheikh wote wakisufi wenye elimu yenye sanadi waliosomeshwa na sio kujisomea wenye maulidi yao na vitabu vyao kama wangegawana zile hoja 19 japo mbili mbili si wangekua weshazijibu zote hivi umma umenufaika na kuelewa😀
بارك الله فيك ايهاالشيخ وليد فليتعلم محمد باشو منه وليأ خذ العلم منه ويتفقه البرزنجي منه
Kwa ni wewe umesoma watu wakafaidika na elimu yako kama shekh walid alhad ? Au unaleta tu ushabiki .
Umri Taweel Sheikh wetu 🤲
MASHA ALLAH 💚 .
Sasa kama walimu ndio nyinyi heri ajisomee tu mwenyewe, Maulid ni upuuz mtupu tena sio ibaada
Naomba Mummad Bachu ajisomee pia kama uko ufaradhi wa kurudisha ukhilafa Kwa manhaj ya Mtume(s.a.w).
Mashaalah ulipo tupo
Shekh walid mm nazifuata sana darsa zako Allah akuzidushie kheri sasa tatizo bachu katoa nukta zake zipatiwe jibu kwanni kama munaona bachu hana hoja kuhusu barazanji hazijibiwi kilasiku munamsema bachu kakashifu barazanji nawanachuoni lkn hatuoni jawabu yakile alichosema nishirki nakatoa ushahidi wake ilikua nyiewasomi mumjibu kielimutu ingekua tatizo limepatiwa ufumbuzi lkn kumsema sematu bila kujibiwa alichokitilia shaka mutaonekana usomiwenu umefeli nabachu hata mukimsemavipi bado yuko sawa nacc tunajua bachu yuko sawa kwasabbu hamuna jibu lakumjibu mumebaki nalawamatu nukta 19 zipo palepale
Akhy vip ww? Ajibiwe kwani yeye aliuliza ni clip gani ambayo bachu aliuliza zaidi ya kuhukumu kua watu niwashirikina Tena anaowahukumu wameshatangulia mbele ya Haki, Ama kuhusu hizo hoja 19 alizo muuliza sabas niyeye na sabas hakuumuuliza alhadi na istoshe mcheni Allah na kama kweli ninyi ni wasomi WA Dini sio mashabiki tu fatiliene ukweli WA hizo hoja 19 amezijengea ktk maneno ya jaafari kweli kama anavyo mtuhumu Ama amemzulia halafu unambia kua zimebaki ngapi ambazo nikweli nimaneno ya jaafari mimi wallah nitakujibu zote
Tatizo hata yeye hatoa hoja kupitia wana vyuoni Bal kauliza maswa kwa kukosa kuelewa yeye Sasa hiyo c hoja anashida ya kuelewà so Ange ena kusomeshwa ingekua bola nawe nikupee chaleji nipe nukuluu yoyote kutoka kwa wanavyuoni aliye wahii kuuliza nukuta hata mmoja Kama hamna sasa c hoja niufup was kuelewa kwake
Mimi naona umezungumza kwa hekima sana
Kweli kabisa, hawawezi kujibu hata nukta 1, ni lawama tuuu, Bachu hivi Bachu vile, jibuni hoja zake km nyinyi ni wakweli.
Maulidi sio Ibada,hiyo iko hivyo Tu kama ni sherehe sherehekeeni Tu Masheikh wetu
Mashallah sheikh walid tumestafid
Hawa masufi vile wamebabaika na nukta 19 ndani za qasidah za uongi na ushirkina itafikiria wadungwa na kisu cha sumu wamebakia na maneni tupu hakuna aliojibu hoja moja kati za 19 basi maneno za projo tu
Aisehh kumbe wameshikwa pabaya sana😂😂😂
Nibora Yamtu Kuwa Mjinga Utajifunza. Lakini Ukijaaliwa Kuwa Mpumbavi Huo Niuogonjwa Usiopona Milele. Eti Maswali 19. Kusoma Nikitu Kingine. Nakuelewa Nikitu Kingine.
@@nurdinmfamau3493 hio nimsemi waki mashia walipo saydina Ali ni mungu someni kuwa vitabu zao vile munayo sema mandishi kitu kingine nakuelewa ni kingine, ebo nitafsirie وَلَا تَدْعُ مِن دُونِ ٱللَّهِ مَا لَا يَنفَعُكَ وَلَا يَضُرُّكَ ۖ فَإِن فَعَلْتَ فَإِنَّكَ إِذًا مِّنَ ٱلظَّٰلِمِينَ
nitafsirie vile kuwa mandishi kingiye nakuelekwako kingine vile unadai
Mashaa Allah 🤲
Ma sha Allah
Allah akuhifadhi na hassad 🤲🤲🤲
Jibuni hizo hoja 19 kwanza
Halafu ndoo tujue hizo chuki zeni kwa shk Mohammad bachu ni za kweli
Ukijisomea utakua kama mtoto wa bacho....hakuna hoja hapo zote dhaifu.. ukisema mtoto wako ni kisu anakua kisu kweli?..... Someni KWA wajuzi msijisomee....
Bachu hamna kt ukitaka kujuwa hamna kitu mpeleke kwenye mambo y mwez
@@abuuwandi1354 Mwezi wa nn sasa😂😂😂
@@nassibnassib2078khawariji huyo Bachu kafukuzwa znz anatapa tapa Tanga na Mombasa kwa wahuni wenziwe 😅
@@nassibnassib2078hao wajuzi ndio wajibu Sasa hizo ili na nyie wafata upepo mpate kuelewa mnachokifata.
MashaAllah tabarakallah
Jibuni hizo hoja mwanzo ndo museme chochote mtakachotaka
Jibuni hoja 19
hawana jibu
Hatutak mtatufnya nn
Huwenda ukawa kijikafiri kijidogo dogo wewe ninashaka na Elimu yako km umesoma
MSAIDIENI YULE MWENZENU ALIYESHINDWA KUJIBU ZILE HOJA 19 ZA BACHU NA SI KUPONDA TU
Asaidiwe nn bachu ndio afaa asaidiwe uwelewa wake mdogo
Subhanallah, kajisomea mwenyewe tu lakini kapiga maswali 19 tu ya uongo ulio ndani ya barzanji lakini masufi wanashindwa kuyajibu. Hivi angesoma kwa masheikh wakubwa ingekuaje???
قال يونس بن عبد الأعلى: سمعت الشافعي يقول : (لو أن رجلا تصوف أول النهار لم يأت عليه الظهر إلا وجدته أحمق). رواه البيهقي في "مناقب الشافعي" (٢/ ٢٠٧) بإسناد صحيح
Kumbe alijisomea mwenyewe
Sasa hao mashekh zenu wa BAKWATA mbona mpaka leo wameshindwa kumjibu bad ala yake wanamshambulia tu,wamjibu kwanza na si kutetea BIDAA ya MAULIDI am a yo ni uzushi tu
YAANI ETI MASHEKH WA BAKWATA WANAIJUA DINI KULIKO MASWAHABA WA MTUME S.A.W!! KITUKO CHA DUNIA
Clip nyingi ni ooooh mtoto wa bacho hivi mtoto wa bacho hivi na vile yoote hayo yaletwa na kuwa anapinga maulidi sasa sabas amewaangusha ndio hasira zoote hizi lkni sharif Abdulkadir Al Ahdal ndie aliyamaliza kwa kumkataa sabas mbele ya camera sababu alishindwa kujibu
Kwan hao wamejibu , hawawez
Kama mwadharau elimu zake mbona mwashindwa kuzijibu hoja zake tangu zamani bila shaka mumeshindwa masheikh wote wa tanzania na wa kenya hamutoshi jama ni simba marara
Wamebaki na porojo mipasho na mapovu tu😂😂😂
Mawahabi mnadhiki sana ya mashekh yaani hata bachu mnaona nishekh ana elimu. Eti hoja 19😂😂😂😂
Mumeshindwa kujibu maswali ya mtu ambaye Hana elimu mchoro huo
Ass alkm, mashekhe mnazunguka sana kutafuta majibu ya kumjibu Muhammad bacho, mnafanya makusudi kuwacha msingi aliotulekeza Allah kwenye sura ya 4 Aya 59 au ni hawaa tu za nafsi. Hebu waislamu tuwache kufuata matamanio ya nafsi, ALLAH ATUONYESHE HAKI NA ATUWEZESHE KUIFUATA, NA ATUONYESHE BATILI NA ATUWEZESHE KUIEPUKA.
Wewe nimshabiki wasini km mpira wewe sio muislamu mwenye kutaka kujua Diniyako😊
Allaaahu Akbar,,,
Maneno mengi hayamalizi maneno jibuni hoja ili munaqasha isonge mbele
Ajibu nini hapo Kuna Cha kujibu hapo,bachu ni kishaa Sasa kichaa anajibiwa.
Ukishindana Nakichaa Nawe Utakuwa Kichaaa. Hatuwezi Kushindana Nakichaa.
@@SaidimaulidiMaulidi-lf9denyinyi masufi mumeregea kwann hamumchukulii hatuwa Hutu Bachu mbona zanzibar kachukuwa hatua kali ya kutojihusisha na daawa
Mkipindisha tunayoosha hakuna stry za shekh mkuu wala shekh mdogo hapa unapotosha ummaa kwa ajili ya maisha yenu.
Pinga hakuna shida chunga kisije KIBRI kikawa KATIKA kifua chako.
@@safinamakoto2747 usijali my bro amini unacho kisoma kikusaidie hapa Duniani na kesho akhera.
Mawahabi ndivo mulivo itakuwaje hakuna cha shekhe mkubwa hakuna wanazuoni na mtume s a w alisema musiwatukane maswahaba wake na wanazuoni leo bachu sijui ilimu kaitowa wapi kuwapotosha wanazuoni kumuhukumu mpaka mamayake mtume s a w
Bachu atasapotiwa na machizi wenzie
@@fikafikan8484 tunaongelea hao washekh zenu mashekh ubabwa yaani yiyi masufii yaani hamjui tu vile mmepotezea watu mda urongoo urongoo ybabaishaji wenu roundy hii Allah atawafedhesha moja moja.
Aliye muongoa mungu hakuna wa kumpoteza
Naam
Sheikh Walid sema kweli KUHUSU kitabu Cha barzanji makosa na URONGO mwingi na munanyamaza isipokuwa ndungu bachu amejitoleya kuzungumza UKWELI ndiyo watwariki masheikh wameksirika KWA UKWELI wa bachu MUNGU amlinde bachu KWA msimamo wake wa UKWELI KUHUSU dini kesho Kila mtu ataulizwa msimamo wako wa dini sikufuhata maslah ya duniya
Fanya darsa ukifundishe kitabu cha barzanji upinge nukta 19
Jamaa mnateseka sana na maulid bas tutabadilisha jina worry out
Njaa za mawahabi nimtihani mno hawampendi mtume wala mwenyezi mungu wapenda Saudia kwaajili ya misaada wamefikia mpaka mwezi kutoka Saudia niwakimataifa jamani innalillah wainnaillaihrrajiuuun
Mashallah shekh wetu. Mungu akuhifadh
Sasa kiwa barzanji ni sahihi mbona basi msijibu hoja 19 ndio tujue yeye kasoma.mwenyewe muelimisheni basi ndio ajue na sisi tujue
Jibuni hoja za Bachu km ni wakweli mpaka leo hamjajibu hata moja 19-0
Hata wale wanaopinga uwepo wa Allah mtukufu zile sababu wanazozitoa kuthibitisha ilo wanaloliamini wao wanaita ni hoja za msingi....
..izo 19 ni hoja kwako,kwetu sisi sio hoja izo bali umajnuni tu ndio mana hatupotezi muda kushughulishwa na hilo!!
Maulidi tutayasoma mpaka Peponi in shaa Allah!!!
Assalamualaikum jamani naona kejeli nyingi za majibu nyinyi waache mashekh kwa mashekh wamalizane jamani dini haijaja kugombanisha jamani tuacheni tumuogope mungu kila moja ana mwalimu wake na ufahamu wake na uelewa wake kama ww mwalimu wako bacho fata yale aliyokufundishwa sio mwalimu wako bachu acha nayo
Hapa ndugu yangu hatutaeza kuwaachia wavuta bangi na wakula unga wakimawahabi kututuakania masheikh wetu lazima wakule vimondo.
JIBUNI HOJA ZA BACHU ALAFU BACHU ANAWASUBILI KWA MUNAQASHA ASA HATUWAELEWI MNALUKA LUKA TU 😂
Ww elimu ni sanad nenda ukapige goti kwa mashekhe ndo utaelewa.
Wacha kufata mkumbo ndg tafuta elimu achana na masheikh social media
Tatizo la masufi ni wapumbavu sana, masufi wengi wanatetea upuuzi wa madhehebu yao na kulinda maslahi/matumbo yao.
Tuseme haya shekh Muhammad Bachu hakusomeshwa au hakusoma kama mnavyoaminisha wapumbavu wenzenu je na nukuu alizozitoa za wanavyuoni wakubwa tena wazamani nao hawakusoma, mmesoma nyinyi tu wapumbavu wa kisufi?
Wapuuzi sana hawa😂😂😂
Haha wewe mnafika mbali jamani fata unacho kiamini siyo kuongea vibaya kikubwa kumcha mwenyezimungu
nyie mnachojua ni kutukana tu sio zaidi ya hapo.😄
Nawaomba sana masheikh muache hayo anaetaka majibu akasome itamtosha kuwa ni jibu sahh atafuata kuliko haya yanayoendelea endeleeni mtupe faida hao wenye minakash waendelee
Suala sio maulid laaaaaaa!!!!
Suala ni kwamba kisomo cha maulid kimeguzwa biashara za watu wachache
Kama Ilivyo Misikiti Nibiashara Tusiswali. Wanaopeleka Hija Watu Nibiashara Tusihiji. Wanaosomesha Watu Nibiashara Tusisome.
@@nurdinmfamau3493hoja ya kipuuz kabisaa, Maulid sio ibaada
@@mikekhalifaali7510 Aliyekwambia Maulid Ni Ibada Nani.
@@nurdinmfamau3493 swali gani Hilo kwan Maulid yamo katika Quran au Hadith, hakuyafanya mtume wala maswahaba zake, au nyie ndio mnaifahamu dini sana zaidi ya mtume na maswahaba? Maulid ni bidaah bwana haina Dalili yoyote
Shida waislam hasomi tunataka mihemko shekh walid afundisha vizuli
Munamkashifu bachu tuu lakini mlishindwa kujibu hoja 19
Kama kweli maulidi yapo na munafaa basi muitetee na mutoe majibu 19 mulizoekewa. Ni kejeli tu na hamuna jibu. Allah awaongoze na atuongoze sote.
فقد ثبت في الحديث الصحيح أن النبي صلى الله عليه وسلم قال: افترقت اليهود على إحدى وسبعين فرقة، وافترقت النصارى على اثنتين وسبعين فرقة، وستفترق هذه الأمة على ثلاث وسبعين فرقة كلها في النار إلا واحدة، قيل: من هي يا رسول الله؟ قال: من كان على مثل ما أنا عليه وأصحابي
Wa hadhihi firka firka AHLU SUNNAH NOMOSKAR WAL JAMAA
Jibuni hoja sio kumsema mtuu ni dalili za wazi kua maulidi ni shirki
tatizo mnahepa jibu
HATA WASKRISTO NA WAYAHUDI WANATAFUTA MAKOSA KWENYE QUR AN NA ANAYAPA KUTOKANA NA KUSOMA KWAO BILA KUSOMESHWA NA IKIFIKA WAKATI AKISOMESHWA WANAELEWA NA KUIFUATA HAKI NDIO MAANA LEO WANAREVERT KWENYE UILSLAM KAMA NZIGEEEEE. UKITAKA KUKIELEWA KITABU SOMESHWAAAAA
Tupe dalili maulidi haqqi ubabaifu tu wamaneno bila dalili
Jafary kiboko ya mawahabi aliaacha mwiba sana Allah khery kwa sadaqat jaria aliyoiacha ambayo mpaka leo wanaopanga kumdogesha mtume wanamdogesha vipi ili hali kuna kitabu kinachomsifia kwa sifa kem kem
Sifa hadi za kuzusha 😂😂😂😂kweli ni kem kem
@@rogertuga007 sifa gan za kuzusha
@@kundeigang3879 wanyama na ndege kuzungumza kuhusu mimba ya Mtume ni mojawapo.
Hakuna anayemiliki elimu Shekh Walid. Nyie mliopewa Elimu kwa kusomeshwa na masheikh sawa tu. Lakini kuna watu wamefanya jitihada na kuhifadhi Quran kwa usaidizi mdogo sana kutoka kwa watu wa kawaida. Kama hawa mtasema hawana elimu kwa sababu hawasomeshwa na Sheikh Mohammad Ayoub mnataka kusema elimu ya dini ina trade mark ambayo ili upate kufaidiki lazima uipate kwa mwenye nayo. Sio sawa Sheikh Walid. Hiyo haikubaliki. Sheikh Mohammad Bachu ametoa hoja zake juu ya Brazanji. Nyie masheikh wenye ithibati basi njooni muwafahamishe umma kwamba hoja zake si sahihi. Lete zenu zilizo sahihi. Lakini kama mna sema juu juu tu eti hakusoma, hana elimu, haijibu masiala ya msingi kuwa Barazanji ina uwongo na ushirikina. Tusaidieni masheikh
Naam
Ipo hiv Kama hadidhi Zina silisila he nakuuliza elim ya dini Haina yaweza kua hujui silisila kwa mfano kwenye hadithi huwa twauliza he hadithi hiyo kapokea Nani paka ifike kwa mtume ndo ninakua sahihi Sasa Kama ni hiyo he elimu nikujisomesha tu chubani au lazima tijue aliye kusomeshwa ili tujue wewe unayoyasema Yana ilim Dani yake
Bidaa ni mbaya acheni
Alhabib Walid
Alietunga kitabu cha maulidi nibinaadamu nae anakoseapia anatakiwa alekebishwe au kwakua ni muarabu hatakiwi kurekebishwa
Hakuna mahali alikosea mwanachuoni wetu isipo kuwa mahasidi wakiwahabi wamekuwa na husuda juu ya harakaati za huyo mwana chuoni kwa bidii yake ya kuongoza katika kuisimamisha dola ya kiislamu ya twarika ambayo kwa sasa ndio inaongoza kote ulimwenguni juu ya ikhlas ya kumpwekesha allah na sifa za mtume wetu sheikh barzaji allah azidi kulitia nuru na miangaza kaburi lake.
Kujusomea ndio kujua. Msiwe kama manaseara wasomewa bibilia na kufwata tu. Kwani hatuna uwezo wenyewe kujua yaliomo. Watu wana akili wakujisomea kisha kujua. Kusomeshwa ndio kupotozwa. Mambo mengine akili tu. Sheikh waijua ndani ya moyo wako kua maulid haufai mbona kuwapotosha watu kwa yakini. Muogope Allah ndani mwako wayajua.
Elimu ya manaswara ni kubwa kuliko unavyo fikiri
HII NI AIBU YANI KILA MTU AKISIMAMA ANAMLAUMU BACHU LKN HASEMI KUHUSU ZILE HOJA 19 BACHU HIVI MARA VILE MARA SIJUI MWEHU MLEVI MVUTA BANGE JAHILI MPUMBAVU MUHUNI...NK ALAFU MKIMALIZA MNAKUJA KUSEMA YEYE NDO KATUKANA. LKN UKITAFUTA MATUS YAKE HUYAPATI NYIE NDO MNAO MTUKANA
Pia Ukiona Haya Maneno Huyaelewi. Basi Ujue Maneno Haya Siyako. Unashida Natafsiri Yamaneno Haya Waone Wenye Maneno Yao. Usikurupuke.
Hajaanza kupinga yy waliping wakubw na wamekubali wakubwa vilevile
Sheikh bacho anamadhaifu yake kama mimi na nyie.. Ila kawazidi kielim
Huko ni kuitweza ilimu ni kama kusema kamba yachinja kuliko kisu
bachu kwa Sheikh Walid Al Hadi ni kama jiwe kwa Dhahabu
Hakika
Nyama za wanazuoni zina sumu waislamu wenzangu tuacheni ushabiki wanazuoni wenyewe walikuwa wakisema ikhtilafu beina ya wanazuoni ni rehma wao ni kama njia yoyote utakayemfuata utafika utakapo
@@abubakarmohamed4783 kwahiyo kama kuna mwanachuoni kasema uongo aachwe tu?
Hivi nyinyi masufi na mashia mnawatukana mashekh wanaopinga bid'aa?
Shek walid uko sawa but sio sana vile, hapankwa maulidi vipi, tunasubiri majibu ya maswali 19 ya mwalimu bachu. Hacheni ujanja pls toeni majibu. Tumechoka kusubiri 😂😂
Chaajabu kumbe mnakubali kuna hadith munkar kwenye barzanj. Lakn mbona bado mnazitumia kumsingizia mtu uongo?? Nataka jibu pls
Maulidi ni barzanji. Sote tunajuwa hilo. Kubabaisha na kubabaika haisaidii kitu. Wakimbieni mashia. wao ndio wakuu wa maulidi.
Mwenye akili hashindani na mjinga
Nyie ni mashabiki wa ujinga na endeleeni kushabikia na hoja zake za kijinga
Mashia wana ukuu gani wa barazanji wakati maulidi barazanji yenyewe imeandikwa na jafary albarazanji ambae amekuwa imamu na Muft wa maka na madina au na yeye alikuwa mshia?
@@sadickmguruka wanatumia pesa kuendeleza maulidi. Mombasa, Dar, Tanga, Lamu etc wao ndio watowao pesa kuwabeba Qadiria kwa hali na mali kuendelea uzushi.
Mbona hamukukaa mukamsaidia majibu Bachu km munaona yuko sahihi kazi yenu kujiona sahihi t kwa kuvaa kanzu fupi hamuna lolote zaidi kibri hamutaki kisoma ubaguzi ndio kz yenu na kila mtu kwenu hana elimu
Masufi maneno kuyapapa wanazani ni dalili
Sheikh Walid Asalam Alaykum warahmatullah wabarakatuh!
Tunakutaka wewe upange munaqasha na uusimamie haswa baina ya hawa watoto wako wa wili: Mtoto wako wa Twariqa na huyu Mtoto wako mwengine Mohommad Bachu anaye wawakilisha watoto wa Sunnah!
Wewe mzazi wao uwasimilize live hoja zao,kisha mwisho usuluhishe ni mtoto yupi kapatia hoja na yupi ameshindwa,ili watakaoshindwa wawe wanawaheshimu wenzao!
Huwezi kuikata kesi hii kwa wewe kusemea nje ya pazia tu!
Huyu shekhe ana hekima sana ila kachomekewa hoja nzito nayeye ni MTU wa twalika lazima aegemee upande wake ila barazanj ilikosewa kidogo ingelekebishwa na mtunzi aedelee kuenziwa na kumsifu
Wapi imekosewa kaka Ramadhani.
Wazushi hamna haya ata kidogo. Kama wakristo wanavyo sema biblia lazima uwe na roho kuielewa nyinyi ni ma swad na madhuma ata warabu hawakosei herufu? Wazushi siku zenu zimekwisha Allah araonyesha wapi kuna haki
Mawahabi wengi humu wanazungumzia hoja 19 eti masheikh wa kisufi wameshindwa kuzijibu kisha wanatamba na kutangaza ushindi kama alivyojitangaza kinara wao mtoto wa bachu mimi naomba niwashauri muachane na hizi hoja 19 maana si pahala pake kwa sasa kwanini nasema hivyo? sheikh wenu bachu hakuwa tayari kwa munaqasha wa kielimu bali yeye alikuwa anataka ajibiwe kama anavyoamini yeye na hiyo ndo pwenti aliyoizungumzia sheikh walid hakuna elimu ya kujisomea bali ni kusomeshwa,,,,na kwa Bahati mbaya bachu haliamini hilo na ndo maana ziko fani nyingine ambazo yeye hazijui na hasa fani za lugha ya kiarabu na aruudh,,,,, ambazo kwa asilimia kubwa zinahitaji upige goti kwa mwalimu usomeshwe na siyo ujanja ujanja,,ifike pahala bachu lazima akiri kuwa barzanji ni kitabu kilichojaa bahari za mashairi,fani za balagha na mantwiq,,,,,anapozitakaa fani hizi kwa kuwa tu hazijui ,,,basi atambue kuwa hata hizo hoja zake kumi na tisa hazijibiki na kwa mantiki hiyo hana sifa ya.kushiriki minaqasha na masheikh wenye elimu zao akapige goti asomeshwe kwanza akumbuke bachu huu siyo mjadala wa tawhiid wala fiqhi hii ni barzanji ni kitabu cha sira kilichoandikwa kwa mfumo wa mashairi yaliozingatia bahari mbalimbali pamoja na mushabbihaat na mafumbo mbalimbali ambazo utatuzi wake huupati ispokuwa kwenye fani za lugha namuomba asome kwanza kisha ndo ajibiwe hizo hoja zake 19 kwa sasa hazijibiki ajijibu mwenyewe tu
Sabas alitakiwa ajibu Sasa kielimu kumuonyesha wapi hakuelewa lakini alisema dakika 20 hazitoshi kujibu hoja. Japo alijinasibu kuwa atajibu kwa dk 5. Kwahiyo baada ya kutolewa hoja hizo alitakiwa kuchambua moja moja kielimu ili kumuelimisha na abiria wengine pia wapate kuelimika. Lakini mwisho wa siku alikimbia akaulizwe marehemu mwenyewe alikusudia nini.
Aaaa? Kijana mdogo kawasumbua akili. Haya tujibuni basi anaefuta madhambi ni mtume au muumba?
Ndugu yangu tujengeni dini yetu tusimesheni watoto dini yetu, bora maulidi kuliko baadae watoto wetu watakuja kujibadisha kujigeuza wanawake dunia imeshakwisha tushikamane tusigombanie vitu vitakavyotugawa
@@abdullatiframadhani5059 hahahaaaa ushoga na usagaji. Mungu atuhurumie
Hahah ujumbe umefika
Hoja gani wewe wazijibu. M unazidi kumchetua. Huo bachu mwenzenu. Anabeba. Mzigo mkubwa
Kamba 19 zimekaaaa koooni
Taaaabani
Huna uwezo wa kujibu hata hojja mojja kieleimu
Zile ni HOJA kwa Mtu Mjinga kama wewe mbele ya wenye Elimu pale hakuna hoja
Hapana hoja pale.
Bado hamjasema baado jibu hoja 19 za bachu punguzeni porojo
Aaa sheikh wacha kutaja juju, kama upo na haki elimisha waislam hiyo barzaji kama ni kweli
Bachu hajijui hajielewi napia hakuanza yeye atatulia sio muda mawahabi ktk uislamu wakweli hawamo nandio maana wanaongoza kwabidaa
Nikweli tatizo nikusomea nasio kusomeshwa
sheikh wa mkoa pia umekosa kujibu hoja za kijana wa bachu hakuna cha sufi wa wahaabi tunachosubiri ni majibu kamili sio kuhepa hepa
Nikweli mtoto wabachi nichizi anaweza kusikia manenohaya akabisha au akaporomosha mitusiyake
Mambo mazito hayo
Nmeamn sheikh wa bongo ni sawa na mlevi pemba
Samahan akhi kama nitakuudhi kwa haya nitakayoyasema "jaribu kufikiri mwisho wa chochote au lolote unalotaka kulisema na kulifanya uliyoyazungumza hata sidhani kama we we mwenyewe yakiwa yamesemwa upande wako Yang's kudu ravish a samahani akhi
Sijauona ushekh wa bachu.Kwani bwana mtume alibishana kwenye uislamu wake.ukimuona mtu analeta vurugu na mabishano ndani ya dini yake huyo anakasoro.Mimi naomba mashekhe wetu na maulamaa mwacheni huyo .
Mumeona wapi hoja 19 au ndio nyie vilaza?
Nyoteni hamuna la kuongea …ni barzanji ilivotupwa thu…wanafiq mbna hamusemi alivoomba msamaha kwa Mungu? Mwataka kuombwa nyinyi misamaha kwakua nnani nyinyi?
😂😂nakwambiaje😂bado hamjasema😂 mtasema yote😂mpaka visivyobsemwa Bachu tulia tu ushamaliza kazi
Mie ninachopenda sana nikuona miwahabi inawafatalia sana mashekhe zetu. Tena wanawafatilia vyema sana Sasa Hua najiuliza kama mashekhe zetu niwabidaa kwann mawahabi hawatosheki na mashekhe zao Wakasoma Dini ila utakuta Katika kila clip yoyote Ile ya mashekhe zetu utawakuta Hawa watu ila trust me Hua hawana Muda WA kusoma Dini zaidi Hua niushabiki tu nakujifanya Wana elimu kumbe bangi tupu
Hawaezi kuwacha wapitosha umma kwakutaka Dunia yao,tuko na wao bamper the tu bumper wamedangaya watu siku yingi so ukishndwa kuona wakirekebishwa we tizama tu.
@@Captainome Sasa wewe umerekebisha nn au Huyo shekhe wako karekebisha nn? Au huko kutupa kitabu then Kuja kuomba radhi baada ya kusemwa???
@@Seng522 kitabu kutupwa alikiri mwenyewe nikosa na kaomba radhi sasa yy ndio mumefaya topic kwenye misikiti na kwenye magrouo zamaulindi zenye hamna la kuongea kila Asmara bachu bachu,this roundy tutawasnyooshaa na shubhat zenu mustake kutengeneza maisha yenu kupitia waislamu wasiojua kitu.
@@Captainome istoshe nakushauri uende ukakusomeshe kama ndio shekhe wako coz hawezi kumzuia mtu kusimamia alichokua nahakika nacho sana sana atawachota wafuata mkumbo ila sio wasomi wadini Tena walosoma kwa ikhlaswi
Hiii dini yetu sote mashekhe zako wakilopoka tunawabainisha,wakitaka wawaiteni chumbani wawaambieni usufi wenu
Mashaallah,(a physiian who treats himself ,has a fool for a physician) kujisomesha huwa hufai.
Mashekh zangu ugomvi hauna nafasi kati ya yetu waislam ilimu ni pana mno wote mnajua hilo alaf kua na ilmu co sababu chakuzingatia ktk hiyo elimu kunae manufaa? Je hikma ipo? Ko msipate taabu ktk hilo masheikh zangu, usitumie jazba kubwaa akat ilmu enyewe haina manufaa wala hikma allah keshasema man yuutwiil hikmata faqad uutiya khayran kathiiraa.. faqatw.
Yani hizo hoja 19 na mpaka 30 zilizoulizwa hata mimi nazi jibu, 😅 manake nivichekesho, mawahabi akili zao fupi kweli kweli. Mimi sio sheik wala sijasoma lakini nazi jibu. 😅😅
😳😳😳
Jibu sasa ufundshe sheikh walid
Sheikh Walid Kitambi hicho 😅
Maneno adhimu kabisa aya
UZUSHI MWISHOWE MOTONI TU
Mi nasema tumekubali kashinda
si basi... sisi tutaendelea nayo kama kawaida
Ila asiwatie watu ktk makosa pengine yeye ndo hajaelewa kilichoandikwa maskini
ila ajihadhari yasije mtokea km walopita
Alhamdulillah.. Allah atuepushe na uwahabi pandikizi la wamagharibi wanatuharibia dini yetu tukufu..
Astagh firullah
Unakielewa unachoandika au je unajua waitwao wahabi ni kina nani na hao wamagharibi wanawafadhiri ili wafaidike Nini?
wewe unaetaka hoja 19 zijibiwe mbona huna uelewa kama uyo bachu mwenyewe zijibiwe mara ngapi
Maulidi tutasoma mpaka qiyama.wahabi akipinga ndio anayapalilia yazidi kunawiri.
Dawa yawatuwanaopingahaki pindi inapodhihili nikuchinjwa sasa subirini waislamuwakweliwatapopatanguvu mtachinjwanyoteinshaallah waovuwakubwawaibadanyie allahawaongoze kuwafunguwanyoyo
Huyu sheikh ni mtu wa uzushi
Walidi hoja za mtoto wa bachu zipo wazi mjibuni,kama kapotosha ,mnazuunguka zuunguka tu,"eti huwezi kuelewa maneno ya barazanji"ilmu ni sanadi tupeni sanadi ya maneno ya barzanji,
Kwahiyo wewe bachu unamuona anaelimu sana eeh,wewe bachu ni jazba tu ni debe tupu tu kelele nyingi hamna elimu Wala hekma Wala adabu ni mpuuzi tukwetu upo.😅😅😅
Kama Hana elimu jibun hoja zake acha uzuzu
Bachu hana elimu zaidi upotoshaji TU.
@@abuushakiraddausiy8666 nyny ndo mazuzu
Sawa Hana ajibiwe hoja zake bhas na sis tupumzike
hao wanaojiita mawahabi na salafiy niwatu wa ajabu sana ivi inawezekana kweli waislam wote wawafate wanavotaka wao tu?au wao tu ndio mashekh hakuna shekh zaidi ya salafiy
Uko sawa sheikh.hao mawahabi wanashindana kukufuru
Astagh firullah
Kaulize ww hoja zako
Mume shika hoja 19 km ni hoja kweli zingeshajibiwa zile ni hoja kwenu mawahabi lkn kwetu sufiyyuna sio hoja kwanza jiulizeni swla 1 tu kwamba hizo mnazoita hoja hem jrbuni kuangalia yyte aliyoitoa kwenye Quran au Hadith lkn it was just rubbish and we put them in the dustbin
Aaaaaa ndugu yangu hoja hizo haziwezi kutoka kwenye Quran au Sunna kwa sababu huko haziko na ndio msingi wa Sheikh Mohammad Bacho nyie Suufia mnatoa wapi?? Usijizime data wewe Suufia bin Shia
Tonge imembadilisha mpaka misimqmo ya dini
Kutoka kuwa mtu wa sunna hadi kuwa sufiiii
Dunia bwana
Nyinyi hamumjui Walid sisi tuachieni kaka yetu kama nyinyi hamumuelewi tulieeni
Acha unafiki ndugu eti tonge Huyo hajawahi kua wahabi
huyo hajawai kua mvaa kaptula
Sheikh Mohammad Bachu alipaswa kujibu suala aliloulizwa na mwenzake.
Lskini Bscho alijifanya yeye first eleven lakini mbona hakijibu swala iloulizwa.
Lakini baada kuona hana jibu ndio akajifanya kuuliza swala.
Kwa hiyo yeye kwa kuwa hakuweza kujibu hilo swala basi angelisema kuwa hajui.
Kwa hiyo na wewe usijifanye mnafiki kwa kuugeuza ukweli na.kutaka iwe uongo.