Dhikri - Kumtaja Allah - kama maneno siyo yako kaa kimya - Sheikh walid Alhad

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 05. 2020
  • Dhikri - Kumtaja Allah - kama maneno siyo yako kaa kimya - Sheikh walid Alhad
    Sheikh Walid akifundisha Darsa la Tafsiri ya Quraan Ramadhani Mwaka 2020 Linalo fanyika Msikiti wa Kichangani
    Usisahau ku subscribe na kutu follow katika page zetu za insta na Facebook shukraan
    Video by muba Production Magomeni
    Subscribe
    Comment
    Like
    And share
    Thanks
  • Zábava

Komentáře • 70

  • @mohamedmzee5097
    @mohamedmzee5097 Před 4 lety +1

    Uko vyema shekh Walid

  • @AhmedSaid-xz3kj
    @AhmedSaid-xz3kj Před 3 lety +1

    Jazakallah kheir. Allah ibarek

  • @hemedrashid7709
    @hemedrashid7709 Před 4 lety +2

    Dhikrullah ni ibada wala hakuna shaka ila kayfiyya ndio hapo ssa ndugu zetu hawa ndio wanapokosea

  • @simailife251
    @simailife251 Před 4 lety +2

    Yaaaaa allahu yaa razzaq rzuqnaaaa

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před 4 lety +2

      amin

    • @nurdinseif9137
      @nurdinseif9137 Před 4 lety +1

      Shukran sheikh kwakutupa faida kubwa

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před 4 lety

      Afwan

    • @allykiduka5276
      @allykiduka5276 Před 4 lety +1

      الله يفتح عليك illa shekhe hao wanafunzi wakae mbele wawe wanakuangalia wapate nuru yako wasikae nyuma yako

  • @athumanikadaika5817
    @athumanikadaika5817 Před 4 lety +1

    Shukrani sana sheikh na warusha video.

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 Před 4 lety +2

    ماشاءالله صدقت

  • @rilkabuya6519
    @rilkabuya6519 Před 4 lety +2

    Amiin inshallah

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 Před 4 lety +1

    Asante mwenyezi mungu akubarik

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 Před 2 lety +1

    nilkuwamviya kama kapewaa nisawaa alitee lakini siendii hukoomim plz akujee yeteye to

  • @kalikalisalehe3701
    @kalikalisalehe3701 Před 3 lety +2

    Mtihani kweli yaani,,,, hana ushehe Bali anaushehena tuu,,,, mzushaji tuu anajifanya yuampenda mtume huku amzushia

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před 3 lety +1

      Maneno hayo maalim

    • @kananiitv4643
      @kananiitv4643 Před 3 lety

      Msenge wee titajie alichozusha, unafirwa, shoga

    • @kananiitv4643
      @kananiitv4643 Před 3 lety

      Matako kalikali sele, nenda kafirwe, msenge wewe, kzi zenu kuatia wenzenu ktk ukafiri tu

  • @jumammaka5823
    @jumammaka5823 Před 4 lety +2

    Huyu Kijana Amche Allah

    • @shamsiaabdul8679
      @shamsiaabdul8679 Před 3 lety

      Kijana yupi ewe mzee wetu?

    • @kananiitv4643
      @kananiitv4643 Před 3 lety

      Huyo kali kali, Ni msenge tu huyo, sijui alitaka asemaje dhikri ni haifai bidaa, labda alikua ataka sheikh aseme hivyo, kali kali kafanye ushoga msenge wewe

  • @omaryissa6675
    @omaryissa6675 Před 3 lety +1

    Masha Allah

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 Před 2 lety +1

    aslm.kwaniikasemjee shekh chmnoo nini kwanii smrwatra

  • @kakamau0384
    @kakamau0384 Před 4 lety +2

    Lkn sio kwa kukohoa ni kumtaja ALLAH na kusoma Quran

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před 4 lety +5

      Kwasababu wewe siyo maneno yako hujui wale wanasema nn unaona Kama wanakohoa kumbe wao wanamtaja Allah hivyo ndo shekhe alivyoomaanisha kwa mm nilivyomuelewa Kama Jambo hukijui ni Bora umuukize yule mjuaji then atakuambia kwamba anakohoa au anatamja Allah

    • @jumammaka5823
      @jumammaka5823 Před 4 lety +1

      Nyie wenye maneno yenu tuambieni maana yake
      Mbona Dini mnaipeleka kijanjajanja

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před 4 lety +2

      @@jumammaka5823 umeona swali lako maalim unauliza kama kwa kukejeli kama kweli ungekua unataka kujua ungewatafuta waalimu hao naa ungewaambia mimi sijui naomba unielekeze lakini ukianza kumwambia mtu diini anapeleka kijanja janja tayari humuamini na unamkejeli

    • @kassimulugajo6512
      @kassimulugajo6512 Před 3 lety

      @@DarsaTV. toa majibu maana yake ni nini

    • @arqamibnarqam.7185
      @arqamibnarqam.7185 Před 3 lety

      @@kassimulugajo6512 hujawa

  • @quran._0013
    @quran._0013 Před 4 lety +3

    Kumekamilika tosheka na alichokuleteeni mtume صلى الله عليه وسلم .Mbona watu wana kohoa halafu munasema ni Allah. Mcheni Allah lau mungeifata sunnah vizuri musinge kohoa kwamadai ya dhikr.

    • @hilalhilal8400
      @hilalhilal8400 Před 4 lety +1

      Alikoho Mtume kwanza. Waislamu msipinge ila nendeni mkasome na mkawaulize hii kukohoa alianza nani? Mtapewa majibu. Uislamu ni mmoja na wamoja na kama kiungo kimoja. Tusome tu mwalim

    • @ibrahimismael1933
      @ibrahimismael1933 Před 4 lety +1

      Wachana na mawahabi sio waislamu

    • @quran._0013
      @quran._0013 Před 4 lety

      @@ibrahimismael1933 shekhe , adabu ushahidi wa kuwa ni makafiri ni nini , orodhesha ukafiri wao kwa dalili ,ama pang'ang'a hatuhitaji.
      # anasema Allah سبحانه وتعالى (( قُلْ هَاتُواْ بُرْهَٰنَكُمْ إِن كُنتُمْ صَٰدِقِينَ))
      =Say your proof if you are honest.
      =semeni dalili zenu ikiwa nyinyi ni wakweli.
      #####################
      KWAHIVYO AKH TOA DALILI ZAKO ,MFANO YA KWANZA UKAFIRI WAO NI HIVI NA DALILI PAKA UKAFIRI WAO WA MWISHO,
      Na hutapata ukafiri wao ,utachoka ukitafuta ,hutapata ukafiri wao .
      والله أعلم

    • @kananiitv4643
      @kananiitv4643 Před 3 lety

      Acha usenge shoga wewe, wewe umesoma wapi? Soma Kisha tulia fanya lako matako wewe

    • @kananiitv4643
      @kananiitv4643 Před 3 lety

      Wewe wafata sunna gani shoga wewe

  • @masoudabdallah9878
    @masoudabdallah9878 Před 3 lety +1

    kwa shekhe itabidi utuambie ile kukohoa lugha gan? na ututafsrie

    • @shamsiaabdul8679
      @shamsiaabdul8679 Před 3 lety

      Kukohoa ni jambo la kitabibu. Kitabibu mambo gani yanasababisha kukohoa? Je, hao unaowaulizia ni wenye matatizo ya kukohoa kitabibu?

    • @kananiitv4643
      @kananiitv4643 Před 3 lety

      Ndo umfate usome ukamuulize, jua mpk kazungumza anaushahidi, nenda ukasome kichangani acha kibri, wamuuliza humu sheikh hawezi kukujibu humu,

  • @abufathiyakiza6412
    @abufathiyakiza6412 Před 4 lety +2

    Hapo kwenye kusema lolote kuwa ndio kumtaja Allah hahahahaha iwe dhikri mhhh sheikh parejee vyema

    • @ramangadu6451
      @ramangadu6451 Před 4 lety +2

      Tusiwe Kama Nzi Kutua Kwenye Uchafu. Tusiwe Wenye Kuangalia Makosa tu. Kumbuka Huyo Nisheikh Warid Nasio Mtume Warid. Mitume Hawakosea Kwasababu Wanakinga M'MUNGU. Anaweza Kukosea Kama binadam Wengine. Maranyingi Tunavyofundishwa Tupendelee Kuangalia Mazuri NasioKuangalia Makosa. Narudia Tusiwe Natabia za Nzi. ILLAH KARIM Atuongoze

    • @sirajimohamed7801
      @sirajimohamed7801 Před 4 lety +1

      Ukijaji makosa tu hata mazur huwezi kuyaona

    • @jumammaka5823
      @jumammaka5823 Před 4 lety +1

      Bas aache kuropokwa kila anachojiskia kukohoa ndio kumtaja Allah???

    • @ramangadu6451
      @ramangadu6451 Před 4 lety +1

      Kasome

    • @abdallaramadhan3850
      @abdallaramadhan3850 Před 4 lety +1

      @@ramangadu6451 mashaa Allah..Ahsante sana umenena maneno kuntu.

  • @omarykissite6766
    @omarykissite6766 Před 3 lety +1

    أعوذ بالله من الشیطان الرجیم

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Před 4 lety +2

    halafu huyu Mpotoshaji hajafikia daraja ya usheikh ila basi tu.ni mtoa visa na sio mawaidha wala darasa wala haifaham tasfsir ya quraan.kiujumla si ktk wasomi wa dini.
    sheikh Abdallah Alfarsiy ktk beti zake. ameandika hivi.."
    Amdhukuriye jalali,
    haruki akikohoa.
    sio sunna ya rasuli,
    walima imezuliwa.
    wahitajia suali.
    masheikh kuswaliwa.
    wapi ilipozuliwa ibada ya kukohoa??

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před 4 lety +6

      Njoo wewe utupe Darsa maalim inaelekea wewe una elim kubwa Sana

    • @saidhedi1621
      @saidhedi1621 Před 4 lety

      Wapelekee au nenda wewe ukafundishe

    • @ibrahimismael1933
      @ibrahimismael1933 Před 4 lety

      Mawahabi sio waislamu

    • @ibrahimismael1933
      @ibrahimismael1933 Před 4 lety

      Mawahabi sio waislamu na haifai kuswali nyuma yao

    • @arqamibnarqam.7185
      @arqamibnarqam.7185 Před 3 lety

      @@ibrahimismael1933 innaalillah wainnaailayhi raajiuun.umeongea Neno zito Sana ndugu yang usifike huko.