EXCLUSIVE: SHEIKH MZIWANDA AFUNGUKA SAKATA LAKE NA ABUU KHAULA, AVUNJA UKIMYA, AUTAKA MDAHALO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 03. 2024
  • EXCLUSIVE: SHEIKH MZIWANDA AFUNGUKA SAKATA LAKE NA ABUU KHAULA, AVUNJA UKIMYA, AUTAKA MDAHALO
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
    CZcams: / @babdeomiladu

Komentáře • 346

  • @alitsuma163
    @alitsuma163 Před 4 měsíci +5

    Mashallah sheikh Mziwanda maneno yako yanaeleweka kwa ufasaha.

  • @swalehabdulrahman4118
    @swalehabdulrahman4118 Před 4 měsíci +5

    ALLAH AKUHIFADHI SHEKH,ENDELEA KUMVUTAVUTA HUYO AWRA KWA LUGHA LAINI MPAKA AINGIE KWENYE MAKUCHA

  • @user-pc4qm3ve4v
    @user-pc4qm3ve4v Před 4 měsíci +2

    ❤❤❤ nakupenda sana ostadh mziwanda,,kwa ajir ya Allah,, Allah akupe nguvu nying na afya tele inshallah,,

    • @yussufhamad3721
      @yussufhamad3721 Před 4 měsíci

      Ikiwa unampenda mziwanda kwa ajili ya Allah bilishaka unamchukia shek abuu khaula na masalafy kwa ujumla na masalafy ni waislam na mziwanda kalithibitisha hilo ss ww honi kuwachukia masalafy ni kuwagawa waislam na mziwanda sikuzote anahimiza umoja?

  • @user-jl4ty3xn7f
    @user-jl4ty3xn7f Před 4 měsíci +2

    Allah akuhifadhy miongoni mwa masshekh ninaowapenda kwa ajili ya Allah @mziwanda

  • @abdullahmasakata170
    @abdullahmasakata170 Před 4 měsíci +3

    Love you shekh Mziwanda hakika ninaendelea kufaidika mengi kupitia ulinganiaji wako ulivyo wa hekima na busara, Allah azidi kukupa wasaa na umri na afya njema tuzidi kufaidika zaidi. Shekh usikate tamaa utashinda majaribu yote kwa idhini ya ALLAH.

    • @yussufhamad3721
      @yussufhamad3721 Před 4 měsíci

      Ikiwa unampenda mziwanda kwa ajili ya Allah bilishaka unamchukia abuu khaula na wenzake jee huku sikuwagawa waislam? na she mziwanda ulinganizi wake ni umoja na akathibitisha kuwa masalafy ambao ndio wanaomradi jee kuwachukia huonikuwa unampinga shekhe mziwanda na unaupinga umoja kwa tatizo la ufahamu Tu na ufahamu ni rizki Tu? kama anavyosema she mziwanda

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 Před 4 měsíci

      @@yussufhamad3721 Hizo chuki zako peleka huko huko kwa anae kufundisha na kukaririshwa itikadi hio. Usinilishe maneno ambayo sijayasema wala kuyatamka wala kufikiria au kuyawaza kuyasema au kufanya jambo hilo. Wewe hauko ndani yangu wala huna uwezo wowote Wa kujua kilichoko ndani yangu. Usichokipenda wewe usidhani wote watakuwa na chuki nacho. Soma uislam acha kukariri itikadi na misimamo ambayo inaishia kukupeleka motoni badala ya peponi, Mimi sijamtaja shekh wako kwenye komenti yangu badala yake nimemtaja ninae pendezwa nae zaidi katika uislam na mawaidha yake, Mimi sio muumini wa makundi bali uislam, Hivyo shekh yoyote anapohubiri kwa hekima bila sifa au kujigamba au kujikweza au bila kuwa tusi mashekh wengine huyo atakuwa kipenzi changu. Usinipangie chakupenda wakati ALLAH kanipa akili timamu na katika uislam hakuna kulazimishana katika dini. Acha chuki ndugu kuwa muungwana na fuata uislam sio itikadi.

  • @mjedamjeda4734
    @mjedamjeda4734 Před 4 měsíci +6

    اسعد الله أوقاتك بكل خير ياشيخي
    Nilitamani sana kusoma kwake shekh lakini Allah hakuniafiki katka hlo ila Shekh anajua sana Allah Amhifadhi

    • @yussufhamad3721
      @yussufhamad3721 Před 4 měsíci +1

      Basi itakuwa ww umemzidi shekhe mziwanda kwa elimu kufikia kujua kuwa anajua Sana au ni ktk walewajinga wasojua kitu hata Quran anawezakujamtu akaongea kiarabu pori Tu utamsikia mjinga ahaa she kazisoma Aya nzito nzito hapa ahaa sheyuko Sawa kumbe tatizolake kuwa nimjinga hawez hatakutofautisha maneno ya kiarabu na Quran ninavyofaham iliusemekuwa Fulani anajuwa mara nyingi inakuwa ni mjuzi zaidi yake kwamaana mziwanda yafaa kujakuchukuwa elimu kwako ww coz ww umemzidi elimu mpk unamseinishia makosa yake Tunamuomba ALLAH aturuzuku haki na atuwafikishe kuifata

  • @user-wu7tz1pq8y
    @user-wu7tz1pq8y Před 4 měsíci +4

    Huyushekhe yuko sahihi huyushekhe anaelimu maashaallaa Mungu amzidishie

  • @saidiyahya6460
    @saidiyahya6460 Před 4 měsíci +1

    Asante mwalimu wangu mashaallah, umeeleweka

  • @abdulalarakya3139
    @abdulalarakya3139 Před 2 měsíci

    Sh Mziwanda nakuelewa sana endelea kutoa darasa Allah akupe umri mlefu

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline Před 4 měsíci +4

    Utukufu wa elimu haujifichi. Shukran Sheikh Mziwanda. Umezungumza kielimu. Asiyeelewa amevaa jazi.

    • @yussufhamad3721
      @yussufhamad3721 Před 4 měsíci

      Mziwanda sitokua hanaelimu yy na wenzake hapana wanayo elimu ila hawaitumii ktk dini wanaitumia ktk DILI zao na hawanawivu na dini kama utkumbuka kunakipindi ilizuka kadhia ya mashia akatatika yy na wenzake na akafika kuwaambia aowazee anaosema wasitukanwe na mashekhe wenzake kuwa waache njaa ( NANJAZENU) na masufiy ni dhahir Yao kuwa wanjaaa kweli na yy mziwanda kakaa kimnya karudi kushirikiana nao ktk haflazao za maulid na kadhia imekwisha kimnya. "hii inaonesha wazi kuwa kulikuwa na maslah baada ya kupatikana watu wamekaa kimnya"

    • @yussufhamad3721
      @yussufhamad3721 Před 4 měsíci

      Na muambe shekhe wako mziwanda kuwa kakosea hadharan na video zimetumwa ktk mitandao na abuu khaula kamkosoa na audio pia ziko mitandao I coz hakumkosea abuu khaula Bali kakosea dini na kaipotosha jamii kwahiyo kama abuu khaula kunamambo kamkosoa kwa hakii basi arudi asawazishe alipo Pahribu na wala hatopunguwa chochote ktk umaarufu wake ila kusemakuwa sijui afatesijui wake ikibidi kufanya hivyo watafanya ila abuu khaula kasema kwa za ajibu masuali aloulizwa hapohapo barazan kwake Kwan kujibu kwake kutaashiria kuwa yy anataka haki au laa ila kunyamazakimnya sisawa

    • @saidimtoni1148
      @saidimtoni1148 Před 4 měsíci

      Hayo maswali kama mwaamini hayajibiki si akubali huo mdahalo ili amkamate vizuri na ndo itapendeza zaidi akimnaaqish ana kwa ana ili hiyo haqqi mnayo dai idhihiri kwani shida iko wapi

    • @yussufhamad3721
      @yussufhamad3721 Před 4 měsíci

      Huyu she mziwanda yeye mwenyewe kasema kuwa kuna masharti ya mdahalo na abuu khaula kamtajia baadhi ya masharti jee kuna sharti la batili kamalipo sharti la batili aseme na moja ya sharti kaambiwa ajibu masuali aloulizwa hapohapo barazani ikiwa anataka haki Kwan kunashida GN mbona kajitutumua kujibu mambo ambayo haayana msingi ili Tu kutafuta huruma za watu waonekane masalafy ni watu WA matusi

    • @yussufhamad3721
      @yussufhamad3721 Před 4 měsíci

      @@saidimtoni1148 she Abuu khaula hajakataa mdahalo ila she mziwanda kaekewa masharti ya mdahalo na yeye mwenyewe nishamsikia akisema kuwa mdahalo ili uwe na afya lazima uwe na masharti jee masharti aloekewa na abuu khaula kuna labatili kama kunalabatili kabla hawajaitisha mdahalo na asimame barazan kwake aseme moja mbili tatu ni masharti ya batili ktk mdahalo ila kilichonishangaza kajibu masuali ambayo haayana msingi zaidi ya kutafuta huruma za watu watu watakuseidia nn ewe shekhe mziwanda?

  • @alibashirmusa2398
    @alibashirmusa2398 Před 4 měsíci +1

    Hakika wewe muelea Sana nakuunga mkono lNSHA ALLAH ALLAH akuhifadh kwamsimamo wako

  • @khatibusaid766
    @khatibusaid766 Před 4 měsíci +2

    Allah akuzidishie sheikh mziwanda

  • @luckmanalbahar204
    @luckmanalbahar204 Před 4 měsíci +1

    Shkh Mhharam mziwanda Nakupend kwaajili ya Allah, Kma ni elimu unayo n ss Tunanufaik na elimu yko

  • @athmanmohamed8934
    @athmanmohamed8934 Před 4 měsíci +1

    Alhamdulillah kama nasema urongo mtaniambia... ukweli halisi juu ya wanaodai wanafata maswahaba hawana nidhamu nzuri na hili lajitokeza marangi kwenye comment za post za watu wa twariqa... ukitizama comments utaona wanaongoza kwa matusi na lugha chafu ni kina nani... na soon nitatoa majina yao wote wanaotukana inshaaAllah

  • @user-bu4du5kn2k
    @user-bu4du5kn2k Před 4 měsíci

    : Maashaa Allah Allah akulipe kila la kheri shekh wetu

  • @user-cp1ms3cm1o
    @user-cp1ms3cm1o Před 4 měsíci +2

    Mashaallah Allah akubariki

  • @ingodwetrust1852
    @ingodwetrust1852 Před 4 měsíci +1

    Mashallah sheh nimekuelewa nimekuskiliza had mwisho

  • @balkisamisi2131
    @balkisamisi2131 Před 2 měsíci

    Barakallahufik mwalimu wetu

  • @kitosio
    @kitosio Před 4 měsíci

    ALLAH akuongezee zaidi Hikma. Fahamisha wenye Jazba za Dini.

  • @mwajumalubuva
    @mwajumalubuva Před 4 měsíci

    Shukurani Kwa kutuelimisha mungu akulipe kheri inshallah ❤

  • @user-lo1uk8dp5f
    @user-lo1uk8dp5f Před 4 měsíci

    Alhamdulillah sheikh Allah

  • @nassifsuleiman9860
    @nassifsuleiman9860 Před 4 měsíci +2

    Maadam Mziwanda waendelea kupotosha watu basi Ruduud dhidi yko zitaendelea. Tunataka Mpk Mtu akitaka kuzungumza jambo ktk Dini awe na uhakika nalo ndio azungumze

  • @Abuu-lr5bz
    @Abuu-lr5bz Před 4 měsíci +3

    Kumbe nihayo mbona hukumtafuta ukamwambia hivyo waja kwenye mtandao unatangaza na kutoa namba !? Wacha chenga hun hoja na umeshajiona kua huna hoja sasa unatafuta huruma za watu

    • @user-vl8ks7ps6l
      @user-vl8ks7ps6l Před 4 měsíci

      Mdahalo umekimbiwa na nani aliyekubali au aliyekataa kua mkweli Kaka

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw Před 4 měsíci

    Mashall ah

  • @Yusufuabdulrahmani-bt8hh
    @Yusufuabdulrahmani-bt8hh Před 4 měsíci

    Masha,Allah

  • @aliyabasi2058
    @aliyabasi2058 Před 4 měsíci +2

    Mziwanda wewe ndio ulieanza kumtukana abuu khaula ulimwambia anaongea jikoni

  • @bashiromary4897
    @bashiromary4897 Před 3 měsíci

    Mm napenda majibishano yaendelee kwa yanafuta ujinga .uongo tena basi .maana tusijechukia jambo kumbe lina kher allah atuongoze aamin

  • @user-ds1qq5ld2m
    @user-ds1qq5ld2m Před 4 měsíci

    Masha Allah sheikh mziwanda hpo umeeleweka kabisa....

  • @abduwahabi7019
    @abduwahabi7019 Před 4 měsíci +1

    Mziwanda anajichanganya eti nilitoa namba kwa ajili ya kukutana nao na watu wengine wawepo ili tuwekeane masharti ya kufanya mjadala wakati video ya nyuma alio hojiwa na huyu huyu bab deo mziwanda anasema njoo abuu khaulah tukae mtu mbili pekeyetu tuonyeshane, sasa mbona unajichanganya wewe mziwanda!!!!

  • @laisamaujud1157
    @laisamaujud1157 Před 4 měsíci +2

    Shk unaruka maneno yako uliosema mwanzo kuhusu abuu khawla

  • @HamkingCompanyLimited2023
    @HamkingCompanyLimited2023 Před 4 měsíci +5

    wewee si ndo ulimwambia mwenzako anaongelea jikon weweee?!
    halaf mbona sasa hv umekuwa mpole’
    huongei kama mara ya kwanza ulivyokuwa unaongea kwa kijiweka kifua mbelee’
    wewe pia s ulsema usalaf umeanza karne ya nne’
    sasa hv unatumia lugha ya huruma kwa watu wakuonee huruma’
    wewe jibu zile hojaaaa kwanzaaa

    • @tigerroar3545
      @tigerroar3545 Před 4 měsíci +3

      Alipigwa kitu kizito mpaka kawa mpole leo, alisahau alivosema kuongelea jikoni

    • @abuutamiimattanzaaniy8676
      @abuutamiimattanzaaniy8676 Před 4 měsíci +1

      Kweli ehehehe, kapigwa na kitu kizito leo amekuwa baridi sana

    • @user-vl8ks7ps6l
      @user-vl8ks7ps6l Před 4 měsíci

      Mtafute kwa namba yake
      Alafu uone

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 Před 4 měsíci

      Mwenye busara hawezi kujibu upuuzi mwenye busara anajibu kwa hikma kwa ili'mu ili ktk hayo kupatikane faida na sio ushabiki.!! Km mnavyotaka nyiee.!!

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 Před 4 měsíci

      ​@@tigerroar3545...mwenye busara hawezi kujibu upuuzi mwenye busara anajibu kwa hakina hoja na dalili zilizo wazii na sio kutukanana.!!

  • @abdallahjimile5339
    @abdallahjimile5339 Před 4 měsíci +3

    Anaongea kinyonge 😂😂😂 acha uzushi. Abuu khaula endelea kudeki hanamajibu huyu nashangaa wafuasiwake et wanajidai wamemuelewa 😂😂 munaelewa kuwa hana majibu
    Alafu anataka muongee 2 wakat majambo yameanzia mitandaoni cc tulikuwambali tutajua vp nani mwenye hoja sahihi acha kujifichia kichaka ambacho watu washakuona

  • @Yusufuabdulrahmani-bt8hh
    @Yusufuabdulrahmani-bt8hh Před 4 měsíci

    Ahsante ya shekh naona nidhamu inakuhifadhi wallah sikupendi kwaajili ya Madh,hab,lakini nakupenda kwaajili ya allah, nakusikiliza

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 Před 4 měsíci

    ❤❤❤

  • @harithhemed9920
    @harithhemed9920 Před 4 měsíci +1

    na nyinyi mnaocoment huyu shekhe ndio kaongea elimu gani hapo la msing ungejibu zile hoja kwanza ufahamu wako ww na maswahaba utangulizwe upi

    • @user-vl8ks7ps6l
      @user-vl8ks7ps6l Před 4 měsíci

      Unataka mijadala ya mitandaoni mbona mdahalo umekimbiwa

  • @KombHaji-dr5pd
    @KombHaji-dr5pd Před 4 měsíci

    mashall hawo mawahabu nikiru umepita vz mzwanda mtumi mhm s.a.w aliitwa mpa mshairi

  • @BushDoctor-dw8el
    @BushDoctor-dw8el Před 4 měsíci

    Alhamdulillah sisi wazima. Hilo ndilo jibu ulipoulizwa hali, jee nyinyi ni nani?

  • @Abuu-lr5bz
    @Abuu-lr5bz Před 4 měsíci +2

    Ulinyamaza kwasababu hukua na elimu wala hoja za kielimu wakaaje kimya ikiwa unaamini kua dini ya Allah inapotoshwa unaogopa kutukanwa katika kuitetea dini acha kutudanganya huna hoja wewe kwa uchache wa elimu hata uitwe nani bado unahaki ya kusimama kuitetea dini cha msingi hukua na hoja huna hoja sasa unatafuta huruma za watu

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 Před 4 měsíci

      Hiv unatumia akili kufikria au matako ndugu yangu muislam

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 Před 4 měsíci

      Sasa nyinyi ndio mna hoja ama mna upuuzii.!!? Sasa mtu mwenye busara atajibu upuuzi.!?

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 Před 4 měsíci

      @@swalehemrombo9301 Kwa sababu mtu hata awaeleze nn hamuwez kuelewa kazi ubishi tu Yan akili zenu ni finyu acheni chuki na kujikweza

    • @rajabumbendenga5480
      @rajabumbendenga5480 Před 4 měsíci

      @@sultanbakary4292
      Huo si katika uislamu...

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 Před 4 měsíci

      @@rajabumbendenga5480 huyu akili Hana Kuna maswali mtu anauliza kama mpumbavu mpaka unajiuliza huyu mtu anatumia akili kweli kufikria

  • @user-hw5zu2vc3m
    @user-hw5zu2vc3m Před 4 měsíci +3

    hatutaki umoja wa kinafiki

  • @mwambashiiddi9295
    @mwambashiiddi9295 Před 4 měsíci +1

    Huko nyuma shekh amesema
    Abuu kaniambia ninashaukwa
    Lkn mwisho hapa azungumza maneno kama yale yale kusema kuna baleghe za elimu umri n.k
    Kwahy yalee yaliosemwa ndio mabaya kushaukwa
    Lkn kubaleghe sio baya?

    • @Kan332
      @Kan332 Před 4 měsíci

      Kumbe hujaelewa

  • @imamuzaharani642
    @imamuzaharani642 Před 4 měsíci

    Sheikh umezungumza vizur alhamdulillah lakini hapa mwisho mwisho sasa ndo umearibu yani swala la kesema sio lazima tuelewe sawa hapo umeteleza sheikh

  • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
    @AbdulRahmanAliy-sr7gw Před 4 měsíci

    Uo mdahalo bora ukiwa siri na ikiwezekana ww ndo umfate asaa kuonesha usafi wa nia yko allah akufanyie wepesi

  • @kassimali511
    @kassimali511 Před 4 měsíci

    Twayyib ❤

  • @abuujaafaryabdillahiomary4757

    ASSALAMU ALAYKUM WARAHMATULLAHI WABARAKAATUH.
    SHEKH NAOMBA KUULIZA, KWANINI BAADHI YA WANAFUNZI WANAWATUSI HAO A'LAAM ..?

  • @imranmrisho
    @imranmrisho Před 4 měsíci +1

    Kweli kapinda

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev Před 4 měsíci +2

    Hahaha 😂 huna hoja unataka kufunga mlango wakukosolewa eti namba ya simu

    • @hamismfaume338
      @hamismfaume338 Před 4 měsíci

      Ndugu IssaSimbilla acha kukebehi Shekh wakati Elimu huna Shekh yuko wazi amekuwa muwazi ndiyo maana ametoa Simu kwa Mawasiliano yenye Kujenga na kwa faida yetu Sisi tusiyo na Elimu ikiwa nipamoja na wewe njoo na hoja

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b Před 4 měsíci +1

    Mashekh ya Kisufi fundisheni dini ya Kitabu na Sunnah kwa ufahamu wa wema waliopita lkn kazi yenu ni kuwafundisha wafuasi wenu maulid khitma

  • @binaamour318
    @binaamour318 Před 4 měsíci

    Naam sh. Mziwanda nmekuelewa sana fikisha kielimu zaid sio jazba kama unaongea na watt wadogo anaetaka atakuelewa mwenye chuki muache aendelee na matuc atakwenda kkulipa t kwa alwah hawa wingine hawakufundishwa adabu

  • @imranmrisho
    @imranmrisho Před 4 měsíci +2

    Na unabahati ungejichanganya kwa Abuu khaula ungeona chamoto,,,tatizo siyo kujua mashekh tatizo ni ufaham hata kama ungesoma kwa shekh fauzan je umeelewaje,,

    • @destinymediapro2083
      @destinymediapro2083 Před 4 měsíci

      basi kila mmoja na ashike njia yake ALLAH pekee ndie amjuae aliepatia na nan anakosea madam ufahamu upo tofaut na haiwezkani hadi kiama kitafika watu wote wakafahamu sawa. tusitukanane wala kubezana sio dini jamani

    • @idrissakhalfani9966
      @idrissakhalfani9966 Před 4 měsíci

      Hakika kama kwel alikua anataka angekuja aka tengenezwa kama yule mkenye wenu humeid

    • @user-eu6fm7sy7m
      @user-eu6fm7sy7m Před 4 měsíci

      Acheni ushabiki kwani abuukhawla hakosei

  • @Abuu-lr5bz
    @Abuu-lr5bz Před 4 měsíci

    Ngoja uchambuliwe

  • @Abuu-lr5bz
    @Abuu-lr5bz Před 4 měsíci +5

    Kumbe nihivyo mbona hukusimama kujibu hoja nawewe ungevumilia kama alivyovumilia mtume swallahu alaihi wasallam hakuacha kutetea dini sasa wewe unamuiga nani mbona husimami ukatetea eti unaogopa kutukanwa huna hoja mziwanda huna hoja mziwanda

    • @yussufhamad3721
      @yussufhamad3721 Před 4 měsíci

      Huyu anatafuta huruma za watu mziwanda ziwanda watu watakuseidia nn kunamashwahaba walifanyiwa mukatwaa yani walitengwa licheyakusemakwao ukweli lakin walitengwa jee hii mtume alikosea au ww nisalafiyu GN kuchukuwa maneno na nususi ukazipindisha maana nasijui Nani ktk mashekh WA kisalafy kasema kuna kaokoka kama anayomaneno yake ayalete

    • @KhassimRajab-cw5uz
      @KhassimRajab-cw5uz Před 4 měsíci

      Mweny hoja ni baba yako

    • @user-rg4zb8cu1w
      @user-rg4zb8cu1w Před 4 měsíci

      Nilichogundua kumbe we elimu yako ni ndogo rud darasan tena ukasome kwanza umekosa hekima

    • @newttechog75
      @newttechog75 Před 4 měsíci

      Mtume katolewa nyongo ye nani 😅binaadam km bnaadam

  • @kylesmeight4837
    @kylesmeight4837 Před 4 měsíci +1

    Sheikh ulkuw utumie hii nafac kutoa hat sehem 2 3 ulmonukuu

  • @seifsalum3018
    @seifsalum3018 Před 4 měsíci +1

    Mkeradiwa na kuambiwa uongo wenu mwasema matusi...ulikuwa wajitapa si waongelea jikoni aya si matusi ?....acha kupoteza umma ..wacha watu wafuate manihaj ya khaki...siewz amin maswahab walicheze chez km nyie ...

  • @ashrafhashim2116
    @ashrafhashim2116 Před 4 měsíci +1

    Sheykh mziwanda umeshindwa kujibu hoja unatafuta huruma kama unajiweza jibu hoja.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 4 měsíci +1

    Nmefuatiliaaa sanaaa
    Nöegundua kweli
    1- Maulidi ni Bidaa
    2- Khitma n bidaa
    3- Dua baada ya swala ya faradhw kwa pamojaaa ni bidaa
    4-Batzanji n muongo baah ya maneno yake
    Kwanini
    -Toka waaambiwe walete DALİLİ hawaleti
    kazi yao ni
    NENDA KASOME HAHAHA
    Haya mjibu basi hoja hizo kama MMESOMA!!!!!!!?????😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @OthmanKiroga
    @OthmanKiroga Před 4 měsíci

    Sheikh Mziwanda anajua sana kuongea na ni mtu mwenye maarifa mengi inawezekana ana mapungufu mengi ya kimaarifa lkn anachoongea kina mantiki Sana.

  • @user-vh7ts1fc2e
    @user-vh7ts1fc2e Před 4 měsíci +2

    Mm nafikiria ili tupate uelewa sisi wanafunzi iwekewe niqashi ya kielim tufaidike mana majadiliano ya kielim hayajakatazwa yakichungwa na kufuatwa

  • @abuunutsamuonlinetv2703
    @abuunutsamuonlinetv2703 Před 4 měsíci +4

    Uzur clips zipo mbona wajitetea sheikh

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 4 měsíci

      Kumbe mawahabi walivyo na mtindio wa ubongo hata kuuliza hawajui

    • @Kan332
      @Kan332 Před 4 měsíci

      Kajitetea na nini

    • @bilalidaudi4440
      @bilalidaudi4440 Před 4 měsíci

      sio kujitetea hiyo ndio hali halisi

  • @abuujadawionlinetv3675
    @abuujadawionlinetv3675 Před 4 měsíci

    الله يخليك

  • @shababirashidi3571
    @shababirashidi3571 Před 4 měsíci

    Babu deo mbona video haiko stable?

  • @maarufumustwapha3055
    @maarufumustwapha3055 Před 4 měsíci +1

    Mnashikamana vipi hayakua mshatofautiana ktk vitendo

  • @hozash77
    @hozash77 Před 4 měsíci

    Kasome tena kamusi ya kiswahili ukikosa maaana njooo waswahili haswa wakupe maaana ya kushaukwa maaaaaaana unachekesha

  • @user-fz9ir4nj1y
    @user-fz9ir4nj1y Před 2 měsíci

    Shkh hawa masalafi isiwajib wape t elim mana ukijib hoja zao ndo wanavotaka ili muendelee kubishana wanatafta umaaruf t

  • @issakawaya8315
    @issakawaya8315 Před 4 měsíci

    Wamwita Mtu muonga una nidhamu na heshima Allah akuongozi

  • @Machapatize
    @Machapatize Před 4 měsíci +1

    😂😂😂😂😂😂😂 mziwanda unarungu lako hapo kwenye USALAFI

  • @Abuu-lr5bz
    @Abuu-lr5bz Před 4 měsíci +1

    Umepiga kelele kwenye vibara vya maulidi umejibiwa kwa hoja za wazi baada kuon vidume vipo vya kutetea suna sasa waona waonewa

    • @mussaissa6796
      @mussaissa6796 Před 4 měsíci +1

      SI UMUALIKE KWENYE HIWAAR
      ILI TUONE KAMA UNA KITU UNAJUA KITU AU UNAPOGOMA TU

  • @abdulazizkassim775
    @abdulazizkassim775 Před 4 měsíci

    Huyu sheikh ni simba kabissa
    الله يحفظك

  • @kassimabdillah5998
    @kassimabdillah5998 Před 4 měsíci

    Sheikh unajichanganya ndio maana msimamo wako unayumba naomba wajue masheikh wa kisalafi ili uwafuate
    Mara wewe salafiyah mara wewe sufi
    Pia madhhebu yako ni imamu shafi nakuomba msome Imam Shafi vizur amewazungimza vipi Masufi kama kweli we Mshafi usufi utaukimbia
    Allah akuongoze

  • @Abuu-lr5bz
    @Abuu-lr5bz Před 4 měsíci +1

    Huna hoja mziwanda huna hoja na unajua kua huna hoja

  • @Sheikhmadaba-cm2hw
    @Sheikhmadaba-cm2hw Před 4 měsíci +1

    Huy sheikh ni mwambaaa

  • @user-ug4du2kv6v
    @user-ug4du2kv6v Před 4 měsíci +3

    Sheikh jibu zile hoja za sheikh abuu khawla

    • @abdulmalicktvabdulmalicktv3750
      @abdulmalicktvabdulmalicktv3750 Před 4 měsíci

      Uyo shekh wako kapewa namba mbon ajapiga

    • @kitumbofamily5672
      @kitumbofamily5672 Před 4 měsíci

      We akili itakua haiko sawa maana ameshasema yeye hataki kujibizana kwenye mitandao yeye kama anajiweza aende wapange munakasha na sio kujibizana kwenye mitandao

    • @tariqsinga8440
      @tariqsinga8440 Před 4 měsíci

      ​@@abdulmalicktvabdulmalicktv3750kaambiwa Na Abuu Khaula kuwa yupo tayar na mdahalo lakin Kuna vtu lazma vizingatiwe visimamiwe hajajibu had leo

    • @swaffaa12020
      @swaffaa12020 Před 4 měsíci

      Huwezi jibiwa suali namna unavyotaka lazima mukae mueleweshane Kwa niaba YA mujtamaa

    • @SalumuMatimbwa
      @SalumuMatimbwa Před 4 měsíci

      @@kitumbofamily5672 shida mwafatilia upande mmoja kuhusu mjadal alishapewa mambo ya kuzingatia so ilibid aseme yuko tayar na yafanyike yanayo takiwa wawek huo mjadal ndio karud na mada ya matusi mana huyu ni mtu anaye kwenda na hisia za watu sizan kama anakusudia dini mana kama huna mising jamaa anakupoteza kwel mana allah pia kampa ufasah allah amuongoze mtu huyu amiin

  • @AsyaMohamed-em9vw
    @AsyaMohamed-em9vw Před 4 měsíci

    Sisi watu wa twariqah tuna muunga mkono sheikh wetu Al faadhwil mziwanda

  • @abuuuyaynah8801
    @abuuuyaynah8801 Před 4 měsíci +1

    mziwanda ukiwa muongo uwe na kumbukumbu kaka wao walikosea hukutumia njia ya sawa

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před 4 měsíci

      Ww huna adabu baba ako unaweza muita muongo?huna adabu yawezekna mkifundishana pembeni Pana ibilic

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 4 měsíci

      Sasa hapo wewe jahili wakiwahabi ndo umesema nini?

  • @nassifsuleiman9860
    @nassifsuleiman9860 Před 4 měsíci

    Yaan anachofanya hapo Mziwanda ni ile Funika kombe mwanaharamu apite, Hoja Mziwanda hana na Maswali aliyoulizwa hayana majibu kwahyo atumia njia ya kukwepa na kukimbia kinachozungumzwa na video hii karecord kuuwa Soo asionekane hajui lkn tushakuelewa mziwanda kuwa huwezi kujibu maswali uliyoulizwa maana hayana majibu na hchi ndicho anachokikimbia

    • @idrissakhalfani9966
      @idrissakhalfani9966 Před 4 měsíci

      Ww kwel unaongea una ropoka ss sindio kaitaji madaharo mbn mnavichwa vigumu nyinyi wenye hoja njoeni mezani na ushahid wa kielimu nazani itakua saw

  • @Machapatize
    @Machapatize Před 4 měsíci +4

    Brother MZIWANDA ulimwambia mwezio yuko jikoni hilo siyo TUSI!??? BAASI TARAJAA

  • @minaziparasu9074
    @minaziparasu9074 Před 4 měsíci

    Haula.hapohaji hatasikumoja akiwa yeyekamayeye labda aje nawalimu wake wa wakiwahabi wote anaodhani kua wanaweza kuyavuka hayo maji

  • @user-cl9zh8zs5e
    @user-cl9zh8zs5e Před 4 měsíci

    Umejitahidi baadhi ya sehemu pia nakukaribisha katika man Haji hii karibu Sanaa bwana mziwanda pia nikusaidie hii hadithi kasome vizuri umeitamka makosa na uswahihi ipo hivi
    من أحدث في أمرنا ...
    Hapo rekebisha hapo , Kisha jisikilize ulivyoitamka wewe
    والله المستعان

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan3902 Před 4 měsíci

    Huyu jamaa kweli Jahil yeye alipo sema Abu khawlah anaongea jikoni na ndio kauli Masufi wameshikililia huku kwa comment hayo sio Matusi
    Au anajisahaulisha kisa ameshindwa kujibu hoja alo ulizwa sasa watafuta huruma kwa wasikilizaji watakupongeza hao majahil wa kisufi wala sisi watu wa Sunna tunajua 2 wababaishaji nyinyi

  • @sijartv9554
    @sijartv9554 Před 4 měsíci +1

    Hapo kwa qassim mafuta umesema kile ni chuma bahari ile hapo nimekuelewa

  • @dottokivambo330
    @dottokivambo330 Před 4 měsíci

    Weeeeeee mziwanda weeeeeee.. Unajua wewe ni sheikh na sio shekhena kma hao wapiga kelele.. We ni midle ktk dini, unakaba kisha unaasist

  • @AyubuYasini
    @AyubuYasini Před 4 měsíci

    Maashallaah

  • @ExcitedDandelion-kb3ug
    @ExcitedDandelion-kb3ug Před 4 měsíci

    Allh amu ongowe yuko sw ila je atakaye shindwa atasema km mm nime shindwaa

  • @Abuu-lr5bz
    @Abuu-lr5bz Před 4 měsíci +1

    Wewe mziwanda umetukana mangapi au baad ya kuzidia kihoja ndio unatafuta huruma za watu hapo unazifi kujiabisha huna hoja huna hoja huna uwezo wa hoja huna hoja huna uwezo wa hoja wadanganye hao wafuasi wako wa usufy

    • @MshaSalum
      @MshaSalum Před 4 měsíci

      Kisha yey amejiita mwanamme yupo barazani kwaiyo hili lilikua linaamaana gani kama sio tusi

    • @MshaSalum
      @MshaSalum Před 4 měsíci +1

      Amezungumza mengi ambayo sio mazuri lkn usiwanasibishie watu na manhaj ya matusi kila binaadamu anapata na kukosea kama walivyo waislamu wote kwaiyo kukusea kwa muislamu hau ufanyi uislamu kuwa sio dini ya hakki kwa kukosea watu fulani

    • @MshaSalum
      @MshaSalum Před 4 měsíci

      Laumuhimu shekhe kama ww ni salafi lingania basi kufuata hao wema walio tangulia na kushikamana nao kivitendo nasio kulingania kwayale ambayo wao hawajalingania

  • @yussufhamad3721
    @yussufhamad3721 Před 4 měsíci +1

    Shekh mziwanda Allah akuongoze nakubashiria kher unauwelewaelewa kwa mbali ila bado endelea mm Naina bado rizkiyako ya uelewa ni ndogo

    • @user-sm1ux6nj7b
      @user-sm1ux6nj7b Před 4 měsíci

      Inawezekana ww ni kipovu, usiseme JUA halina mwanga

    • @user-vl8ks7ps6l
      @user-vl8ks7ps6l Před 4 měsíci

      Tumia miwani Kaka kama hujaona Tena sio miwani ya kuchongwa bali ni miwani ya elimu yenye hekma

    • @yussufhamad3721
      @yussufhamad3721 Před 4 měsíci

      @@user-vl8ks7ps6l huyu jamaayako kaulizwa masuali mengi Tu yamsingi na yakielimu kachagua yaleanayoyaweza ndo kajibu huyu ataelewa Tu tunamdhania kher Tunamuomba ALLAH atseidie ktk hilo ss hatutafuti huruma za watu watu hawana chakutulipa

  • @KASSIMFUNDSIMU
    @KASSIMFUNDSIMU Před 3 měsíci

    Jamaa anauliza kwel

  • @kitosio
    @kitosio Před 4 měsíci

    Sio salafi wote wanakejeli na kutukana. Wapo baadhi NI waelewa na Wana Hikma. Lakini wingi SASA Mtihani.

  • @Abuu-lr5bz
    @Abuu-lr5bz Před 4 měsíci +1

    Kushaukwa sio kuwashwa acha kudanganya

  • @kitosio
    @kitosio Před 4 měsíci

    Sh. Mziwanda NI mbunifu katika Elimu. Kweli inahitaji hikma katika kuwafahamisha waislam maarifa.

  • @user-st9kb3cf4f
    @user-st9kb3cf4f Před 4 měsíci

    😂😂😂

  • @nassifsuleiman9860
    @nassifsuleiman9860 Před 4 měsíci

    Mziwanda jibu hoja acha kurukaruka, Weye ulipozungumza jukwaani ulimuita nan mkae ili mzungumze?? maadam ulizungumza jukwaan utajibiwa na Watu wote wasikie. halaf eti weye hutukan na uliposema wenzako wanazungumza jikoni haliyakuwa wapo msikitin ulimaanisha nn km sio matusi hayo na mengi tu ktk maneno ya mipasho uliyonayo. Sasa tunakuomba ujibu hoja km ulivyokoselewa kihoja acha kutupa maneno, kulalamika kwako wala hatutakuonea huruma

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 Před 4 měsíci

    Ati mpotoshaji ! Hupotoshi Sheikh, na elimu unayo maalim wetu, ila muhimu kuacha bidaa ikishabainika kua ni bidaa. Msiwe mnafanya kushindana mpaka mfanye midahalo.
    Itafika wakati mtahitaji kufanya midahalo mpaka uwepo wa Haji manara kua mshereheshaji kwenye maulid.

  • @Abuu-lr5bz
    @Abuu-lr5bz Před 4 měsíci +1

    Au unajua kua ulionayo sio haki

    • @destinymediapro2083
      @destinymediapro2083 Před 4 měsíci

      ndio mana shekh anatka wakutane walelkzane kwa insaf wasitukanane wala kubezana huenda kuna mambo shekh mziwanda hajui ambayo abuukhawla anayajua kwa nlivoelewa mm bila ushabiki na kwa kweli Shekh amezungumza akiwa makini sana kuchunga katika lugha mana hapo inaangaliwa udhaifu tu kakosea wapi achapwe ruduud. tunapotea

  • @user-st9kb3cf4f
    @user-st9kb3cf4f Před 4 měsíci

    😂😂😂😂😂

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 Před 4 měsíci +2

    Huyu Mziwanda ni Muongo sana anajifanya ni mkali wa kuongea but Alhamdulillah alinyooshwa na Sheikh Wetu Abuu Khawla. Rejeeni kwenye Masuali alioulizwa huyo Mziwanda na ajibu. Jitu la Bidaa, jitu la Mawlid.et sas anajitia kuongea kwa upole . Ukiwa n Wajinga wenzako unakua Simba. Sasa hivi umekua Nzi mdogo san kweny Kinyesi cha Babdeo online Tv hahaaa

    • @abduwahabi7019
      @abduwahabi7019 Před 4 měsíci

      Ndugu yangu punguza ukali wa maneno usalafi hautufunzi hivi punguza akhuu

    • @zanlec7357
      @zanlec7357 Před 4 měsíci

      @@abduwahabi7019 inshallah kheir. But huyu jamaa ni hatari San kwa kuupotosha kw kisingzio Cha Lugha y kiarabu anaudhi mno

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 4 měsíci

    Hata ibn Uthaymeen kawazungumza hawa wanalioifanya manhaji salafi kuwa ni chama

  • @abdulhalim5950
    @abdulhalim5950 Před 4 měsíci

    Ila sheik wetu unataka mdahalo wa nyny wawili je sisi wanafunz wenu tutajuaje ukweli,?
    Je usipomjibu na ukumbuke hii ni dini ukimuacha abuu khaula na ucmjibu na unasema ni mpotoshaji hutuonei huruma sisi wanafunz wenu?
    Je ile kusema hufanyi mdahalo chumbani aje uani mufanye hili si tusi?
    N.B
    Dini si sawa na mambo y mtu binafsi ni lazma tukosowane

  • @hozash77
    @hozash77 Před 4 měsíci

    We Sheikh kweli? Au maaana unachokiongea hakiafikiani na mafundisho kwahio hata wale wanao sema Kuwa kuna mtume atakuja tuungane Nao? Hata wanao wanao mtukana mtume hata wenye fikra za kikhawariji?

  • @abuuiqrimah1125
    @abuuiqrimah1125 Před 4 měsíci

    Ww ndo ulianza kutukana mziwanda

  • @user-kp3qv8ip9u
    @user-kp3qv8ip9u Před 4 měsíci

    Shekhe wetu mziwanda una aibika ss ndio nn hao maneno mbon kma hupo stongi ww

  • @MuhammadAhmad-so3md
    @MuhammadAhmad-so3md Před 3 měsíci

    Abu Khawla anaogopa yasije kumkuta yaliyomkuta Bachu😂😂