Mwamposa NI MTUME wa kwanza kuvaa Bukta, Watu wa Kinondoni Fanyeni sana Toba

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 12. 2023
  • Prof Mazinge Amuwashia Moto mwamposa "Mtume wa Kwanza Kuvaa Bukta"
  • Hudba

Komentáře • 545

  • @khairiyyahsultan-vm1fk
    @khairiyyahsultan-vm1fk Před 5 měsíci +11

    Ustadh mazinge Allah akujaalie kila la kher unafanya kazi nzur sana . Achana na watu wanaokukashifu kiukweli unafanya kazi nzur sanaa Allah akulipe kher❤

    • @savinosalamba9174
      @savinosalamba9174 Před 4 měsíci

      Huyo Mzee moto jehanam unamhusu,

    • @savinosalamba9174
      @savinosalamba9174 Před 4 měsíci

      Vikundi vya ukaidi,ndio picha halisi anayoongea huyu mzee,Mbona sisi wakristo tuna aman sana,hatuna chuki na wakristo,nenda Zanzibar asilimia 90 ya wanawake Wana majini,shuleni na vyuo ,wanapandisha majini kelele shule nzima

    • @savinosalamba9174
      @savinosalamba9174 Před 4 měsíci

      MDA WOTE WAKRISTO MAKAFIRI WAKRISTO HAWANA HAKI YA KUISHI ,MWISLAM NDIO ANA HAKI YA KUISHI,MMEKUA MUNGU KILA MTU AHESHIMU DINI YAKE,

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi Před 4 měsíci

      @@savinosalamba9174 Sawa inawezekana wakawa na majini ni kweli hayo maneno ni ya Mtume wetu Mohammad S.A.W alisema majini yanawashambulia wanawake na watoto kwa kiasi kikubwa sana kuliko wanaume hata upande wenu kwa Mwamposa wanawake wenye mapepo ni wengi sana na watoto ukilingalisha na wanaume,mapepo wa chafu kwa lugha nyingine ni majini waasi yaani masheitani,sasa point yako imerenga nini?

    • @Daidizz01chinga
      @Daidizz01chinga Před 18 dny

      Muslim respect ❤❤❤❤

  • @alimasiallyalimasially5202
    @alimasiallyalimasially5202 Před měsícem +1

    Nakkubali sana mazinge mungu akujalie mwisho mwema

  • @mwljoshuajgahuha808
    @mwljoshuajgahuha808 Před 6 měsíci +16

    Naaam!!!! wewe ni mtumishi wa Mungu mzurii lakini okoka leo ili ujiepushe na moto wa milele maana umejaa CHUKI, FITINA NA DHARAU lakini sisi tunakupenda Sanaa wakristo wote 💕

    • @MathiasKunnanga
      @MathiasKunnanga Před 5 měsíci +1

      Lakini mimi nawaambia waombeeni wanaowaudhi

    • @user-pt6bh1jj1k
      @user-pt6bh1jj1k Před 3 měsíci

      Ww tatizo ujui maana ya kuokoka nenda ukatafute kamusi utafute ni nini maana ya kuokoka maana ya kuoka ni mtu ambaye yupo kwenye moto unamunguza ndio anatoa neno hilo kwamba nitoeni nimeokoka na moto yaan nitoeni naumia lkn wakriato wanaona kuoka ndio kupona akili zenu bure sana

    • @alimasiallyalimasially5202
      @alimasiallyalimasially5202 Před měsícem

      Acha usenge ww ukirsto ni dini?

    • @mussasebatiano4787
      @mussasebatiano4787 Před měsícem

      Umerogwa au umetumwa sikuhizi mnapenda uongo mkiambiwa ukweri munaanza visa yani rugha ambao imekutoka sio nzuri

    • @Daidizz01chinga
      @Daidizz01chinga Před 18 dny

      😂😂😂😂😂 mazinge iyo baba

  • @daudifesto5592
    @daudifesto5592 Před 7 měsíci +6

    Hubiri habari za Mungu... Watu waache maovu watende mema....

  • @HusseinMwazani-ct9qk
    @HusseinMwazani-ct9qk Před 3 měsíci

    Wonderfully, mazinge.mungu akuzidishie maisha na akuĺipe mema dunia na akhera .

  • @NASRAKHALFAN
    @NASRAKHALFAN Před 7 měsíci +3

    inashangaza sana kukashifu dini zawenzao ivinabi anajua atauona ufalume wamungu dinizote kwasasa zinatuacha njiapanda walimwengu tusimame wenyewe kukuomba mungu hizi niskuzamwisho tuwemakini sana

  • @olivyechambikwa425
    @olivyechambikwa425 Před 4 měsíci +1

    Nyinyi mnamtukanashehe nyinyi washenzi acheni ujinga shehe mazinge hongerasana wambie makafiri wazidi kuumwa presha haowajinga

  • @savinosalamba9174
    @savinosalamba9174 Před 7 měsíci +8

    FANYA DHARAU,KEJELI,ONA WIVU MAENDELEO YA WATU,MUNGU AKUBARIKI SANA

  • @user-zz7ep5of2m
    @user-zz7ep5of2m Před 8 měsíci +4

    Ata mungu kasema tukumbushane mashekh zetu wanafanya vizur mungu awalipe ujila mwema

  • @husseinfaringo3068
    @husseinfaringo3068 Před měsícem

    Allah akufanyie wepesi Kwa kila Jambo lako ostadh mazinge

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni Před 5 měsíci +1

    Kiukweli watu wengi sana wanahubiri kwa masilah yao wenyewe ila shehe nataman sana umihubiri Yesu kristo ndio Mfalme wa wafalme hakuna na wala hata kuwepo wakimzidi yeye kwa mamlaka aliye pewa na Mungu karibu sana umpokee Yesu akae ndani yako

    • @abilahishabani2753
      @abilahishabani2753 Před 4 měsíci

      We nd hujui ata dunia inaendaj hvi nabii issa anaweza akawa mfalume wa ulimwengu wte zaid Allah?

  • @user-vy8jt2pd2e
    @user-vy8jt2pd2e Před 5 měsíci +1

    Mazinge mungu anakuona achahivo

  • @leonarmkaka
    @leonarmkaka Před 4 měsíci

    Tuache kuingiria kazi ya Mungu wakuhukumu ni mungu pekeyake tufanye yakwetu mwenyezimungu atujalie mwisho mwema hakuna binadamu aliyekamilika

  • @joshuayounam
    @joshuayounam Před 7 měsíci +10

    Kumsema mtuuu alafu ye akujibu kama unajibiza. Najiwe vile inamaana kakupuuza

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo Před 4 měsíci

    mazinge we Wachane achana na wanao kukashifuu na tunakuombea Kwa allha akupe maisha marefu ili uendelee kutoka dawa

  • @AidaMosha-nl6ix
    @AidaMosha-nl6ix Před 6 měsíci +2

    Waambie watu habari za ufalmme Mungu watakuelewa habari za Mwamposa ziache

    • @abilahishabani2753
      @abilahishabani2753 Před 4 měsíci

      Ahaaaaa au sio kumbe inawagusa nyie mnaojiita mitume hv ata we ndgu yangu unakuwa tunakuona unahtaj uje uwe na mtume kama huyu mnyakyusa mwenzako au unahtaj uje uwasameh wazazi wako dhambi zao

  • @user-io8hn1jb4d
    @user-io8hn1jb4d Před 4 měsíci +1

    Mungu hamjaribu hasiye wake

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Před 7 měsíci +1

    Hakuna cha Mtume wala nabii kwa sasa hivi ni vyeo mwenyezi Mungu aliwapa waja wake kwa kazi maalumu.
    Acheni kujiita Nabi wala Mtume labda kama mtume wa kutumwa na shetani

    • @savinosalamba9174
      @savinosalamba9174 Před 4 měsíci

      Endeleeni ugaidi duniani na kuua watu,kulipua maeneo ya mikusanyiko ya watu,na kudharau wakristo,MUNGU WENU HUYO ATAWAPELEKA MOTONI MOJA KWA MOJA

    • @savinosalamba9174
      @savinosalamba9174 Před 4 měsíci

      Jihad jihad,motoni Moja kwa moja

  • @user-rs8qg4ch8l
    @user-rs8qg4ch8l Před 5 měsíci +1

    Mungu akuongoze❤❤❤❤

  • @davidmaisely7487
    @davidmaisely7487 Před 7 měsíci +1

    Bwana akurehemu sheikh wetu

  • @mikerutto8164
    @mikerutto8164 Před 7 měsíci +5

    You're just a comedian. Wewe ni muigizaji tu

  • @joycenicodemus.2232
    @joycenicodemus.2232 Před 7 měsíci +5

    Hizo kejeri zako subiri moto mungu atakavyokuchooma

    • @faridfrefre35
      @faridfrefre35 Před 7 měsíci

      Sasa nawewe kweli kwaakili zako kuna mtume mnyakyusa

    • @joycenicodemus.2232
      @joycenicodemus.2232 Před 7 měsíci

      @@faridfrefre35 simkafatilie vyadini yenu ya kislamu? Kila siku nikuwafatilia wakristo.mlishaona mkirsto anamfatilia muislamu? Alafu mashehe wengi ndio waganga wakienyeji Ila hakuna mkiristo anausemea uganga wa masheshe kwakua kila mtu anadini yake nakila mwanadamu atakufa nakuhukumiwa. Namungu kwamungu hatuendi nadini tunaenda. Na roho tu.

    • @AnthonyVitalis-iy5su
      @AnthonyVitalis-iy5su Před 6 měsíci

      Mimi ni mkirsto Hila kwa Sasa hivi akuna nabii ni wapigaji tu

    • @abilahishabani2753
      @abilahishabani2753 Před 4 měsíci

      Duh unaongea kama vle karb na Allah mnaambiwa ukwel hamtaki kuelewa hakuna mtume mtamzani tena mnyakyusa

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika

    Amna kazi ninyi. Bora mngetafuta kazi ya kufanya..

  • @ombenkallenge1924
    @ombenkallenge1924 Před 7 měsíci +7

    Waislam MTACHELEWA SANAAAA TENA SIO KIDOGO kwanza kaa ukijua pepo yenu na yetu ni tofauti kabisa na mungu wenu na wetu ni tofauti pia .polen sana

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Před 7 měsíci +2

      Unaweza kuona mtu mzima kama huyu mzee mzima kama huyu mrefu mnene lkn anaongea mambo ya kipumbavu ya umbea kutukana imani za watu wengine za kikiristo kila siku kila siku asimamapo misikitini ndo ujue kuna wazee wa hovyo sana tanzania. Mazinge ni mzee wa hovyo sana na anawivu wa kimaendeleo kuona viongozi wa dini ya kikiristo tena wenye umli mdogo wamempita maendeleo ya kidunia na ahela. maana yeye na waislamu wote wanajua dini yao ya uislamu ni watu wa motoni na waKiristo ni watu kwenda kwenye uzima wa milele. Kwaiyo ana tapatapa mzee wawatu anajuta kwanini alizaliwa kwenye uislamu dini ya shetwani ndomana kila siku anawaonea wivu wakiristo anajua wakiristo ndio watakao kwenda kulithi uzima wa milele

    • @mahdisaid9764
      @mahdisaid9764 Před 7 měsíci

      Astakafilullah hujielew ww mungu ni mmoja Allah na unadiliki kuiita dini yetu dini ya shetan hakika umepotoka pia nyinyi ndo hamjielew mnapelekwa pelekwa tuu

    • @HamzaMiraji-oe9cv
      @HamzaMiraji-oe9cv Před 7 měsíci

      😊

    • @NasraMudy-ik1vj
      @NasraMudy-ik1vj Před 7 měsíci

      Waislam hawajielew kabsaa

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Před 7 měsíci +1

      @@NasraMudy-ik1vj kweli dada hawa waislamu wana laana ya Mungu. kitendo cha kumkataa mwokozi wa ulimwengu Yesu kristo na kumfuata mhammad wamesha laaniwa na Mungu moja kwa moja na moto wa jehannam una wangoja

  • @nehemiamwasile8696
    @nehemiamwasile8696 Před 5 měsíci +1

    Acha kuhukumu watu fanya kazi uliyo tumwa na mungu hiyo Kaz ya kuhukumu siyo Kazi Yako ni KAZI ya mungu ,kemea watu waache maovu kama huwa uwezo waachie wenye uwezo

  • @benjaminsanare-ug6ge
    @benjaminsanare-ug6ge Před 7 měsíci +6

    Una mawaidha mazuri ila sio vizuri kuponda dini za watu

  • @GerardMarco
    @GerardMarco Před 7 měsíci +7

    Mazinge mpokee yesu acha ukafili

    • @muhamedjaffar5653
      @muhamedjaffar5653 Před 7 měsíci +1

      Uyo ndo profesa.hakika usilam ni dini ya haki.siyo makafiri

    • @user-yn4di1lj7f
      @user-yn4di1lj7f Před 5 měsíci

      Wee ujuw ila kunasiku utajuwa atakama ushakufa

  • @nasramohamed6973
    @nasramohamed6973 Před 4 měsíci

    Sema professor 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @michaelmbeti5040
    @michaelmbeti5040 Před 5 měsíci +1

    Shehe masikini sana wewe rohombaya unalana unachuki na wakristo Anza nawewe na huna roho mungu

    • @salehsuleiman1218
      @salehsuleiman1218 Před 5 měsíci

      Hawachukii ila nyinyi ndio mnamchukia yeye kutokan na ukwel anaowaambia

    • @abilahishabani2753
      @abilahishabani2753 Před 4 měsíci

      Si kanakwmba mazinge anachukia apan wakristo apan bali anaeapenda nd maan anawapigania ili ata nyie muingie kweny dini ya haki na dini ya kweli

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni Před 5 měsíci +1

    Bado wengi hamjui maana ya nabii nabii ni mtu yeyote anaye peleka ujumbe wa Mungu kokote wa kuhubiri habari ya toba na juu yakurud kwa Mara ya pili Bwana Yesu kristo

  • @emanuelmaya4667
    @emanuelmaya4667 Před 7 měsíci +7

    HUYU SHEKHE HANA AKILI HAJUI ANACHOKIONGEA AMEKOSA MANENO HUYOO, MTU AKIKOSA CHA KUSEMA NI KAWAIDA KUSEMA WATU.

  • @imachembele7043
    @imachembele7043 Před 2 měsíci

    Comedian huyu daa ana chekeshaa sanaaa ndaro 😂😂😂😂

  • @davidmatuhi7094
    @davidmatuhi7094 Před 7 měsíci +4

    Kwa upande wangu shehe njaa ndo tatizo kwako
    Pia huna uwezo wa kuongoza jamii ukipewa hatamu yoyote watu watakufa kama kuku ,,(hujui nn useme nn usiseme na wapi utumie neno gan binafs nakushaur unaharibu uso wa Allah. huna sifa labda asiyejielewa ndo atakusikiliza broo.

    • @abilahishabani2753
      @abilahishabani2753 Před 4 měsíci

      Nyie si nd walewale molokunywa uji wa mgonjwa na mgonjwa akandee

  • @fikirimachela4778
    @fikirimachela4778 Před 5 měsíci +5

    Allah akulinde inshaallah

  • @user-oy4ve4xp4u
    @user-oy4ve4xp4u Před 5 měsíci

    Mungu ni mmoja acha zarau,, kuzarau imani za wengine

    • @abilahishabani2753
      @abilahishabani2753 Před 4 měsíci

      We huna iman yeyot we ungekuwa na iman usingekubali kudanganywa na mwamposa hv hjiulzi toka umezaliwa mpak unafika umri huo ulishawah kuskia au kumuona mtume katika taifa lako na tz? Mitume wte waliishi uarabuni huyu mtume huyu mtume anayeish tz tena mnyakyusa katokea wapi? Ukinijibu hilo swali kw ufasah nitaamin unaiman na huko ulipo walokpoteza

  • @iwenikigodi5419
    @iwenikigodi5419 Před 7 měsíci +3

    Tena we unaejifanya mtu mwema sana ndio mchawi mkubwa mbwa wewe fanya maisha yako wew wivu utakuua

    • @Nily-kz3db
      @Nily-kz3db Před 7 měsíci

      Mungu Akusameh makosa Yko,Mnyama Kumfananshia Mwanadam,Allah atamlnda Shekhe Wet2 Maznge,Allahu Akbar,Mnaambuwa Kwel Mnaumia

    • @DigallazKing
      @DigallazKing Před dnem

      Mbwa ni mamako aliekuzaa usitutukanie sheikh wetu shenzzz tit

    • @DigallazKing
      @DigallazKing Před dnem

      Mwenzenu anawafanya biashara tu hana unabii wowote munauziwa maji wewe kafiri unajua maana ya nabii wewe au unaongea tu kama nabii hayo maji na mafuta si angewapa bure mwenzenu munamtajirisha tu hana tofauti yoyote na babu wa loliondo ndio wale wale tu

  • @savinosalamba9174
    @savinosalamba9174 Před 7 měsíci +17

    LAKINI brother,unachuki sana na wakristo, MUNGU anakuona,

  • @octavinaalphonce6898
    @octavinaalphonce6898 Před 7 měsíci +7

    Hebu kila mtu azungumzie kile chake tuachane na mambo ya wengine

  • @PauloLwena-ec2vi
    @PauloLwena-ec2vi Před 4 měsíci

    Yani kweriii safiii sana wachungaji wamchongo

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 Před 4 měsíci

    Mimi ni mkristo Ila huyu comedian nampenda sana

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Před 6 měsíci +2

    Shekhe mazinge sikujui hunijui lakini kuhusu mtume mwamposa ule sio mkono wa mwanadamu ni mkono wa Mungu ♥ kibaya zaidi wanao Amini na kuponywa na kufunguliwa na wanawake wanopokea ujauzito wengi wao ni waslam zaidi ya 75% wanao swali kwa mwamposa ni waslam ,kwahiyo Shekhe mazinge acha Mungu aitwe Mungu.,wachawi waganga nk nk wanarudisha na kuacha uchawi .Acha kubeza Shekhe

  • @donaldelias2267
    @donaldelias2267 Před 7 měsíci +5

    Uyu mzee Hua anawivu wa kijingajingaaaa

    • @NasraMudy-ik1vj
      @NasraMudy-ik1vj Před 7 měsíci +1

      Kwer sanaaaa

    • @donaldelias2267
      @donaldelias2267 Před 7 měsíci

      @@NasraMudy-ik1vj yaan mpaka anaacha kutoa mawaidha anabaki kuwasema watu.na Mungu hapendi wasengenyaji

  • @alexkatana5037
    @alexkatana5037 Před 3 měsíci

    Ujumbe mzito sana.

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před 7 měsíci +1

    Lkn ndugu Mazinge, wanasemaga hivi, ujanja ni kupata pesa. Sasa mazinge bana we mwache mwamposa wa watu ale na anywe tu!!! Wivu wa nini? Kama atahukumiwa bac we achananaye tu. Watu wanatafuta pesa bana.

  • @user-kd4qr9wm2k
    @user-kd4qr9wm2k Před 6 měsíci

    We mzee Mungu anakuona.fitina 2

  • @bibielroybibielroy8710
    @bibielroybibielroy8710 Před 7 měsíci +2

    Toa mawaidha ya kuacha mabaya na kufuata mema achana na maisha ya watu na kutaja majina ya watu na cashfa

  • @fibolychifunda6639
    @fibolychifunda6639 Před 8 měsíci +8

    Ninachosikitika mm wanauzungumzia ukristo wkt hawaujui na inamaana hawaijui historia ya mtume Paulo,kabla ya utume kazi yke ilikuw kuua watumish wa Mungu Mwamposa alikuw anavaa bukta ni ishu ndogo sana

  • @GodfreyKunambi
    @GodfreyKunambi Před 5 měsíci +1

    Tatz Lako umezaliwa kuwasem wakristo na huwezi kubadili chcht kw wakrsto

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 Před 6 měsíci +6

    Nampenda mtumishi mwamposa na nitaenderea kumpenda kwa muumini wake

    • @hancekarma1623
      @hancekarma1623 Před 4 měsíci

      badilika ndugu yangu tuliza akili Yako Ili umjue m/mungu

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 Před 3 měsíci

      tuliza akili utamjua mungu wa kweli.mungu ni mmoja tu jamaniiiiiiiiiiiiiii

  • @MariamShagata
    @MariamShagata Před 4 měsíci

    Hakika 🙏🏾 allah atupe mwisho mwema 🤲

  • @mottoTv1
    @mottoTv1 Před 8 měsíci +7

    Mtume wenu Muhammad kawapoteza sana mungu awasaidie muijue kweli ya kristo

    • @omarmakame3027
      @omarmakame3027 Před 7 měsíci

      Mathayo 19:23-24 BHN
      Hapo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kweli nawaambieni itakuwa vigumu sana kwa tajiri kuingia katika ufalme wa mbingu
      Hii ni bibilia ndio imesema Ivo sisi tunanukuu tu

    • @omarmakame3027
      @omarmakame3027 Před 7 měsíci +1

      Angalia mathayo iyo kwanza Kisha ndio useme mtume muhammad

    • @omarmakame3027
      @omarmakame3027 Před 7 měsíci

      .

    • @omarmakame3027
      @omarmakame3027 Před 7 měsíci

      Mathayo 19:23-24 BHN
      Hapo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kweli nawaambieni itakuwa vigumu sana kwa tajiri kuingia katika ufalme wa mbingu

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh Před 7 měsíci

      barikiwa sana mpendwa umenena vyema kbs Mungu azidi kukulinda,wenzetu awa wamepotezwa kitambo kazi wamebakiza ni kelele mtupu!

  • @amiryhassan202
    @amiryhassan202 Před 5 měsíci

    wallah kuna watu kweli ni inalilah wainaa ileyh rajiuna mtu unamwambia shekh Mazinge aende isio kuwa pepo kwanza unajua shekh kabla hajasem Mungu nisameh anasemehewa madhambi arobaini wewe na mimi jeee

  • @paulsibu5770
    @paulsibu5770 Před 7 měsíci +4

    Kama Inshu ni Mbinguni Basi tukutane Mbinguni, Ila sisi tulio wa Ufalme tunaijua Njia.

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 7 měsíci

    Kweri kabisa wakristo
    Wanamtania sana #nabii issa
    Hila watapata zambi sana

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Před 7 měsíci +1

    Mtume wa mungu amechaguliwa na mungu kwa sasa hakuna mtume labda katumwa shetani

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Před 5 měsíci

      Hata mhammad hakuwa mtume wa Mungu alijitangaza tu kuwa mtume kama alivyo jitangaza mwamposa

  • @user-kn8wc7oc7e
    @user-kn8wc7oc7e Před 5 měsíci +1

    Allahumma amin

  • @user-hz1cz6lm9b
    @user-hz1cz6lm9b Před 6 měsíci

    Mazinge na ndio maama Wakrto hawakupendi kwakuwaunasema kweli kwakuwana wewe ulitokea kwenye ukristo unayajuwa mengi Yao nanakuombea Duwa Waslaam wote Duniani uishii Maisha malefu sana

  • @user-ij7yh6gr6h
    @user-ij7yh6gr6h Před 6 měsíci +2

    Ukiona unamwongelea mwezio sana jua kuna kitu kakuzid

    • @abilahishabani2753
      @abilahishabani2753 Před 4 měsíci

      Ni kwel mwamposa kamzid mazinge uongo tyu hicho nd alichomzid kw7b anawadanya san lakn nyie hamtaki kuambiwa ukwel

  • @denisngowi2955
    @denisngowi2955 Před 7 měsíci +3

    Yani anvyo ongea utazani anamjua mwamposa kweli acha sisi tunao mjua tukae kmy

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Před 7 měsíci +4

    mnapenda kuwahukum binadam wenzenu mtadhani nyie ni wakamilifu sana

  • @mwamwajaonline1881
    @mwamwajaonline1881 Před 7 měsíci +2

    Huyu mzee njaa inamsumbua wewe fanya mahubiri watu Watende mema ili waione pepo hizi hbr za kumsema mtu hazitakufanya uonekane wewe ni mwema sana Mungu ndiye apimaye imani ya mtu wewe na huyo mnaemsema judge wetu wote ni mmoja

    • @Nily-kz3db
      @Nily-kz3db Před 7 měsíci

      Lazma Wasemwe wanokufuru,Mwamposo Anajta Mtume Nkufuru,Sasaa Acpokemea Na Ushoga Ucpokemewa Vzaz vyet2 watajuaje,Achen Kumuelewa vbya Maznge,Chuk Zenu Hzo kw Shekhe Maznge

  • @josephmgeni3997
    @josephmgeni3997 Před 7 měsíci +1

    Ni vema mkajikita kufundisha juu ya Mungu na rehema zake,lkn kuzungumzia watu eti walivaa kaptura sasa inahusu nini juu ya imani yenu kwa mwenyezi Mungu?
    Haya tunakubali alivaa kaptura ni ilikuwa lini? Na ni nani ambaye hakuvaa kaptura huko siku za nyuma?
    Jingine,eti aliuza udongo akapata milioni 900 wewe ndiye ulikuwa mweka hazina wake hata ukajua mapato?

  • @AmusedForestBridge-zo6ox
    @AmusedForestBridge-zo6ox Před 5 měsíci

    usimseme mtumishi mwezio na kuwashawishi watu tofauti

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 Před 3 měsíci

    Pesa zina nguvu sana

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Před 6 měsíci +1

    Hayo ndiyo mawaidha toka msikitini au vijembe

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před 6 měsíci

    Kwani kuna watu kila siku wanasema dini za watu wengine wao hawana dini au sio nzuri

  • @harithimahmoud1577
    @harithimahmoud1577 Před 8 měsíci +5

    DAH imewatach sana iyo

  • @HezromSwai-bt7ez
    @HezromSwai-bt7ez Před 7 měsíci +1

    Pole sana ,chukii tuu zinakuendesha

  • @gracepaul4071
    @gracepaul4071 Před 4 měsíci

    Mungu ni mwema

  • @barakasimonmarandu
    @barakasimonmarandu Před 2 měsíci

    she mungu akusamehe mana huwo ni usengenyejaji shee na chuki

  • @user-mg2fb1to9j
    @user-mg2fb1to9j Před 5 měsíci

    Unauniri au unagobana. Ubiri a watu neno la mungu acha uduanzi

  • @MkumboJaphet-yx3jp
    @MkumboJaphet-yx3jp Před 7 měsíci +1

    Anavoongeaga sasa utasema alishawai kuingia mbiguni...afu akaambiwa arudi aje kutangaza palivo. Hamna lolote zaidi ya unafiki tu na Chuki

  • @adammwandambo4143
    @adammwandambo4143 Před 7 měsíci +1

    We mzee sikia mwache mwamposa afanye yake na wew hubiria watu wako kwa staili yako ili waende mbinguni

  • @novanickywasanzu5589
    @novanickywasanzu5589 Před 7 měsíci +2

    Fanyeni kazi ya Mungu ninyi siyo vyama vya siasa kauze na wewe Udongo 🙅

  • @KHALIDAKIDA-vh4ru
    @KHALIDAKIDA-vh4ru Před 6 měsíci +3

    Mwanadamu mwenzio anakwambia yesu mungu ,hivi akili huna maarifa pia ,unakubali ,mungu ulimuona wapi ,yesu kaonekana yesu ni mtume wa mungu c mungu

  • @user-ir4jc5tb2l
    @user-ir4jc5tb2l Před 4 měsíci

    Wewe unaesema ostadhi kaongea uwongo sema wewe hauna unaro lijua muombe mungu sana akupe ufahamu

    • @savinosalamba9174
      @savinosalamba9174 Před 4 měsíci

      Ostadhi wenu,umaskini,roho mbaya,life ngumu,watoto 15,lazima awe na roho mbaya,

  • @dnxvi
    @dnxvi Před 7 měsíci +1

    Hubiri dini yako ya shetani usichafue dini za watu Mzee... Wewe !wenyewe huna uhakika na unachokiabudu

  • @JustineKashililika-tc8sx
    @JustineKashililika-tc8sx Před 7 měsíci

    Yesu akuponye mazinge

  • @imanmwashitete5243
    @imanmwashitete5243 Před 5 měsíci

    Kuhusu mwamposa bado hamjasema mtasena sana alfu acheni uongo udogo hauuzwi hata siku moja

  • @niahpike8593
    @niahpike8593 Před 4 měsíci

    Sisi sote hatujui lolote Mungu atusamehe tu maana hakuna tujualo sisi ni wadhambi tu sisi sote hakuna mtakatifu ata Yesu alikataa kuitwa Mwema tulikumbuke Hilo Mimi ni Nabii wenu Nabii Coco

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 Před 7 měsíci

    Ustaze Mazinge Mungu Akubariki Masha Allah 🤗🤗

  • @user-jj3yw2jm2g
    @user-jj3yw2jm2g Před 7 měsíci +1

    Maandiko wanayema watakuja nabii wa uongo ndo ayooo wakina mwamposa

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv9490 Před 5 měsíci

    Wivu wako juu ya ukristo ni mkubwa sana,na hapo ndiyo unajua kabisa ukristo ndiyo njia ya kweli na uzima

  • @LilianNyakato-hp6wx
    @LilianNyakato-hp6wx Před 7 měsíci +2

    Kwani Mungu dini gan,,acheni chuki hubirini habari njema tumjue Mungu acheni chuki😢😢😢😢

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi Před 7 měsíci +1

      Ukifa ndipo utajua hiyo ni chuki au sio chuki,hapo maana yake tunakumbushwa kuhusu kifo kwamba hakiangalii mtu ana cheo gani au unapesa kiasi gani au Mtu ni masikini kiwango gani?Maana yake Mwisho wa Mitume alikuwa Mtume Mohammad karne ya 7 leo hii ukisikia Mtu anajihita Mtume ujue tapeli huyo!

    • @AnethEdward-nf6sc
      @AnethEdward-nf6sc Před 6 měsíci

      Matendo mema hawana Wana kelele nyingi.

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi Před 6 měsíci

      @@AnethEdward-nf6sc Wakina nani hawana matendo mema?

    • @AnethEdward-nf6sc
      @AnethEdward-nf6sc Před 6 měsíci

      Yeyote yule hatuchagui dini, watu wanahubiri dini zao lkn ktk jamii hatukanyani ,hatukatazi matendo mabaya yameota mizizi dini zote zimeoza . Tunamsubiri alietuumba ndie atatuambia nani ni mwema .

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi Před 6 měsíci

      @@AnethEdward-nf6sc Dini hazijaoza,useme watu ndiyo tatizo hilo ni namba moja,namba mbili Viongozi wa dini takribani zote mara nyingi wanakemea machafu ila wanaohubiriwa wameweka pamba masikioni hawasikii,tatu Mungu kaumba mwanadamu na akili timamu inambidi akae chini ajitafakari kwa nini kaumbwa na kuletwa duniani?Je mwanaume kaletwa duniani aje kuwa shoga?Je Mwanamke ameletwa duniani ili akawe jike dume?Je watu tumeletwa duniani ili tutoane rohoo bila haki?kulewa mapombe ovyo?kufanyiana chuki chuki?Kufanya umalaya?kufanyiana dhuruma?kulogana,husda,fitna ndugu wanafanyina rohoo mbaya na kadharika ukija kuangalia utangundua sisi wanadamu hatuna mazingatio kabisa,mtu akiambiwa mambo ya dini anakwambia hayo ni ya zamani dharau dharau tu.
      *Dini sio mali ya Mchungaji,Padiri wala Sheikh sio kwamba unamfuata huyo kiongozi matakwa yake;hapana ,unatakiwa uangalie muongozo wa dini yako unasemaje kama Wewe ni Mkristo angalia Bibilia yako inakuelekeza nini?Kwa mfano Bibilia inasema Yesu ni Mtu,inasema Yesu alizaliwa kama mimi na wewe,inasema Yesu alitahiliwa,inasema Yesu alipotea Mama yake na baba yake mzee Yusuph wakamtafuta baada ya mda akaonekana,Bibilia Yesu alisinzia usingizi kwenye jahazi kidogo lizame,Yesu alikula mikate na wanafunzi wake,Yesu alichoka lakini Watu wengi kwa kukosa maarifa ya akili Mchungaji anakuja anakoleza maneno anawaambia Yesu ni Mungu mara mtoto wa Mungu nanyie mnakubari kweli kwa sifa hizo za Yesu kweli Mungu anaweza kuwa na sifa za kibinadamu?
      *Mungu anaweza kutahiliwa na wanadamu aliyowaumba Mwenyewe?
      *Mungu anaweza kula mikate?
      *Mungu anaweza kuwa na njaa kama mwanadamu?
      *Yesu anaweza kuzaa mtoto?Je! Kama Mungu ana mtoto,mke wa Mungu ni nani?
      *Kwa mjibu wa maneno yenu mnasema Yesu alikufa,Je!Mungu anaweza kufa kama wanadamu wanavyokufa?
      ###Kwahiyo mizahaa hii ndiyo imepelekea watu wengi kuona dini ni kitu cha kawaida kawaida hivi,mtu anaweza kulala usingizi kesho akijihita Mtume,sijui Nabii wakati enzi za mitume zilikomea kwa Mtume Mohammad,kwahiyo toka karne ya 7 utume ulipokomea kuanzia hapo Mitume waliofuata ni Mitume weka mbali na watoto!
      ###Nimetoa mifano hiyo kupitia imani ya Ukristo kwa sababu Watu au Viongozi wake wanafanya mambo kwa matakwa yao ni tauti sana na Uislamu,hawezi akasimama Muislamu awe Sheikh au Imamu akajihita Mtume au Nabii Waislamu tukamfuata hii ni point 1moja,Namba 2 Hakuna Muislamu Yeyote anaweza kujitungia Quran ya kwake na Waislamu tukakubari,hatuwezi kukubari ujinga huo,Namba 3 Katika Uislamu Sheikh akipindisha hata ayah Moja Waislamu lazima tumvae vikali au atakakosolewa haraka sana.
      *Kwahiyo kama kuna Muislamu anafanya matendo maovu yatabaki ni ya kwake na Uislamu pamoja na Quruani vitabaki vimesimamia haki na Ukweli wa Mwenyezi Mungu,kwahiyo mtu anaufuata Uislamu na Quran kwa sababu hivi vitu viwili ni mali ya Mwenyezi Mungu kwa ajili ya Waislamu wote duniani na Quran ni moja duniani kote na maneno yake yote ni idadi ile ile kote duniani!
      *Kama kuna Muislamu anafanya maovu hayo maovu ni mali yake kwa sababu Quruani nikitabu kimebeba sheria kali za Mwenyezi Mungu na miongozo ya maisha ya wanadamu wote kwa mfano Quruan ni kitabu peke cha Mwenyezi Mungu kilichoelekeza kwamba mtoto akizaliwa anyonye kwa miaka 2 maziwa ya mama yake,hii aya huwezi kuipata kwenye Bibilia yeyote na Wasiokuwa Waislamu wanaifuata Quruan bila kujua hata sayansi ya Wazungu imekubariana na Quran.

  • @GILBERTMUSIBA
    @GILBERTMUSIBA Před 4 měsíci

    Hacha wivu Fanya mambo yako tangaza Imani yako

  • @mudidachi8616
    @mudidachi8616 Před 4 měsíci

    😂😂😂 jazaqallah khair

  • @user-jk6we5qu2x
    @user-jk6we5qu2x Před 4 měsíci

    Waslam mmezid majungu

  • @shamtealmas3290
    @shamtealmas3290 Před 7 měsíci +1

    Mnaemsema mazinge ebu niambieni ukweli huu
    Yesu alikuwa dini gani
    Na kanisa alilokuwa anasali linaitwaje na alikuwa dhehebu gani?tunaona madhehebu mengi mnoo na wote mnasali tofauti tofauti,ila ibada za waislamu duniani kote ni moja

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před 5 měsíci +1

    We mzee achakujihesabia haki hata we Ni mkosefu

  • @JoshuaDavid-gl7hv
    @JoshuaDavid-gl7hv Před 4 měsíci

    We shehe soma ISAYA 47:10-15 then uokoke, uijue kweli na umpokee BWANA YESU uwe huru

  • @SebastianJugle-lb7ob
    @SebastianJugle-lb7ob Před 7 měsíci +1

    Mazinge ni shoga

  • @richimuniko3578
    @richimuniko3578 Před 4 měsíci

    Mazige acha unsfiki Mtume Mwamposa hauzi udogo Wewe ni poropagada tu.

  • @mwajemwafula5777
    @mwajemwafula5777 Před 4 měsíci

    Yesu ni njia sahihi uwezi kumpangia MUNGU maamuzi yake fundisha hizo Hadith zako

  • @user-xw5pb9md2m
    @user-xw5pb9md2m Před 4 měsíci

    Dhahir shekhe

  • @user-mg2fb1to9j
    @user-mg2fb1to9j Před 3 měsíci

    Wivu umemzidi mazinge na ndio maana aachi kumzungumzia mwamposa na mwenzie anasonga mbali yeye asubiri contena la tende

  • @yassinisuleimani
    @yassinisuleimani Před 7 měsíci +1

    Hapa umekoseaa ndugu

  • @mikerutto8164
    @mikerutto8164 Před 7 měsíci +8

    Acha kupoteza watu ,waambie wamfuate yesu kwa sababu yeye ndiye njia ya ukweli na uzima. Sisi wakristo hatuabudu udongo. Tunamwabudu yesu. Wauza udogo hao sii wakristo bali ni mitume wa uongo

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh Před 7 měsíci +3

    ww mazinge acha kelele kwanza ww mwenyewe ni agent wa shetani pia nakuakikishia akuna muislamu atakwenda mbinguni asipo badilika amuamini Yesu!

  • @user-us1kr7lc5n
    @user-us1kr7lc5n Před 6 měsíci

    Uwo niwiv mungu amemubalik

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k Před 7 měsíci +1

    Waambie mazinge