Mzee Yusufu Kaenda Makka Kumtapeli Mungu / Mungu Kapiga Laana/Dua Yake Haikuswii Makka Pro . Mazinge
Vložit
- čas přidán 16. 08. 2023
- Mzee Yusufu Kaenda Makka Kumtapeli Mungu / Mungu Kapiga Laana / Dua Yake Haikuswii Makka/ Pro . Mazinge
Mashaa Allah Pro.Habibu Mazinge akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Sababu Ya Mzee Yusufu Kaenda Makka Kumtapeli Mungu / Mungu Kapiga Laana / Dua Yake Haikuswii Makka/ Pro . Mazinge
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
CZcams @Darsa tv
TikTok @Darsa tv - Zábava
Innaka laa tahdii man ahbabta walaakinna Llaha yahdii man yashaau.Mola atuongozee vizazi vyetu na atuswameh tusiyoyajua.Aamin.
Wasiojielewa wanakupinga unachokifanya ustadhi
SUBHANA ALLAH! ALLAH Atusamehe Ya Rabb. AMIIN
Isha Allah
Subhana allah❤❤❤
Allah akusamehe we uliemiita sheikh jina baya
MWENYEZI MUNGU AKUPE UMRI MREFU SHEIKH MAZINGE
ALLAHUMMA AMIIN
Allahuma Amiin
Mungu ukupe umri mrefu sheikh
Wewe mbaba angalie usiwe kuni za kuzimu wewe🙏
Shekhe mazinge allah akujaalie upate daraja la juu kabisa peponi insha'allah unafanya kazi kubwa sana kwenye dini ya kiislam allah akupe afya njema uendelee kutoa dawa
Allah akuifadh sheikh Mazinge
Kwani Allah hukuletea salam wewe mazinge nani kamsamehe na nani hajamsamehe
Ameen ya rabbi
Yaa Allahu Bihusni khatima
Alhmdulillahi
Mungu akupe umr mrefu shk maznge
Hao mateja pia ni laana zenu,,,wengine ni watoto wa watu mlowafanya misukure kuwabadirishia maisha mwisho wanakuwa mateja coz hawajielewi,,,Pia sanda isiwe tusi ,,nyie ndo mnasababisha watu wanaufata ukristo hakuna mtu anataka kusimangiwa hadi kifo🙏🙏🙏🙏
Sheikh Mazinge utatunga san Visa vyako 😮😮 hujatoa hio tarekh kama ilivyokuja kweny masimulizi
Mpingaji wewe😂😂
Hajatunga..ni kweli kabisa anachokisema we km hujui kasome
Au mungu wenu ni mwarabu
Yaani wapo radhi wampe mwarabu matako hawa jamaa 😂
We km hayakuhusu na hujui jambo tulia..kwn wewe Mungu wako ni mzungu..Acha kufuru
Harafu nguvu za kiume ni sifa ya mume,,,bila nguvu ya kiume mnataka tuwasage na kuwakoboa then mpakatwe na wazungu????
Ww kazi yako uwa kuwahukumu watu tu kwani ww ni nani
wewe ulie muita shekhe tapeli jiangalie ww
Nyie ndo walee masheikh mnaovunja ndoa za wenzenu kutumia kivuli cha dini,,.ila uwezo wa kuwahudumia hamna,,,afya pia ya kuwamiliki hamna,,kazi kunukisha ugoro wake za wenzenu
Jamaa analinganisha aya kwa ufaham wake
Haituishi Tanzania ya misiba,,,hata hukooo mataifa nao hujiburudisha kwa muziki mzuriiiii,,,hadi majini mnaowaabudu wanapenda MUSIC so be yourself babu🙏
Kajitapeli mwwnyewe yeye mola tajiri hafilisiki
Mazinge acha kutisha watu
Mazinge ww uko wa motoni na waislamu wanaokufwata aca uongo
Hata baba yako ni wa motoni
Mshamba ww huwezi kumhukumu mtu wakati ya kwako bado hujayaweza
Kwan hii lugha yenu ya kutudanganyia haitafsiriki kwa kiswahili
Soma elimu zote ndugu
Kwani na nyie si mtumie lugha ya Yesu, mbona haina shida.
Mazing Horatio kuzungumza,kaliningrad nakupa nasaha,na hii nasaha pia kwa wale wanao kuwa mfano wako.
Nasaha yenyewe inao husu aya (ان لله وان اليه راجعون) aya kama hii huwa mwasoma,nusu na munatarajia nusu nyengine watu wakamilishe wenyewe,bila shaka hivi ni makosa.unapo soma aya kamilisha mwenyewe.
Sawa lkn alichokisema umekielewa lkn
Naam ila umekosea kuiandika hiyo aya
@@issaathmet sawa
شكرا جزاك اللح خيرا
الكمال لله
(إنا لله وإنا إليه راجعون)
Mzee Yusuf ndio keshakwenda iyo makka ww ushakwenda??
Hujielewi na hujamuelewa mazinge
Dua yako ipi imefila mzee tangu uanze kuomba???Mtume yupi kamuomba MUNGU????kumbe mzee YUSUPH alikuwa mtume wako???acheni dhurma kwa kutumia jina la ALLAH
Nyie mwapenda watu wawe majambazi then waigize maisha?kwani Allah hajui hao waimba muziki hizo ndo ajira zao???au mlitaka muishi na EID AMIN DADAA ndo mumsifie swala zake???nyie ndo mnataka waislaam wawe mafukara hadi waende kupakatwa LGBTQ ili mjue kuwa kipaji cha mtu ni karama na mtaji wake wa kumfikisha hadi MACCA na MADINA
Kisha unavyoongea unajiamini wewe ni mtu wa peponi hicho ni kibri
Ww mwenyewe tapeli tuu.
Kama huna chakukoment kaa kimya
Mboma hamjadiri mahirizi yalokutwa katika mji mtakatifu wa ALLAH???nyie mna mema yapi???kutongoza makahaba vichochoroni na kuficha dhambi kwenye makanzy yenu na daawa???baasi na mimi nipakateni nipate hela waislaam wote tuwe mafukara
Samiramawby1257 .5mo ago :Wewe nimuislam au kafiri?Tujuane kwanza
Kwanini ufatilie mambo ya watu usiopatana nao katika matendo???wewe wa ALLAH kwanini uwadis kina HARMONIZE ???unawafatilia wa nini???nyie ndo mnafanya hadi Qaswida ipotee Tanzania make hamjui hata sauti nzuri humvutia ALLAH na huumbwa na ALLAH iwe msaada,,,kila mtu ana mda wake wa tooba so MIND YOUR own business dear old man
Wasio jielewa wewe ni mmoja wao
Umeonaaaaa naona anatapika upuuz km huijui din vizur kaa kimyaaa
Ommy dimpoz kaenda kuhiji na anaimba mbona umekaa na mzee Yusuf
Ommu Ajahiji kaenda umrah ...Umrah na hija tofauti
@@faridmobji hijja ni nn? Na umrah ni nn??
Halafu ommi hakutangaza kuacha mziki kama alivyo sema kaka yangu nimeacha na akawa akitembea kwenye mihadhara na mashehe kutangaza dini .ndio mana wamemuandama sanaaa.wamsamehe mungu ndio ata muhukumui.
@@zulekhasaud483 kwahiyo ommy yupo sawa Akon sawa Dj khaleed sawa Mzee Yusuf wrong?? Msiwe hivyo muacheni mzee Yusuf
@jesusislord9190 Mungu ndio atakaye hukumu pengine yy ndio msafi kuliko wao
Sheikh sorry,,Hivi wewe ni ALLAH kujua duaa ya nani au hijja ya nani imepokelewa???hivi huyu mzee YUSUPH siku akiacha ajira yake ya masong kuna siku nyie mtamlisha???mtamfaa???mtampa huduma stahiki yeye na mkewe???au mtampa mshahara kulingana na hadhi yake???
Kuna mlango wa tauba kauangalie Kuna mambo utajifunza ,utajua mengi apa Kisha ndio useme mambo mengine
Kasome dini...kwn kuimba ni halali au haramu?bs wewe imba alf ukifa ndo utajua maana mtu akisema ukweli mnaporomoa maneno machafu.
@@SoudShuraim una dhambi ngapi we kima mpaka leo hadi kuimba kukupeleke motoni???Kwahiyo akiwa shoga au jambazi atapata thawabu au pepo siku akifa???ask mohammad if he is in Jehannam or??
Tumeisha wajuwa ni matapeli
Wewe huwezi kuhumu hija za watu