Mzee Yusufu Kaenda Makka Kumtapeli Mungu / Mungu Kapiga Laana/Dua Yake Haikuswii Makka Pro . Mazinge

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 08. 2023
  • Mzee Yusufu Kaenda Makka Kumtapeli Mungu / Mungu Kapiga Laana / Dua Yake Haikuswii Makka/ Pro . Mazinge
    Mashaa Allah Pro.Habibu Mazinge akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Sababu Ya Mzee Yusufu Kaenda Makka Kumtapeli Mungu / Mungu Kapiga Laana / Dua Yake Haikuswii Makka/ Pro . Mazinge
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Airtel Money +255782466586
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    CZcams @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv
  • Zábava

Komentáře • 69

  • @ffed1876
    @ffed1876 Před 11 měsíci +6

    Innaka laa tahdii man ahbabta walaakinna Llaha yahdii man yashaau.Mola atuongozee vizazi vyetu na atuswameh tusiyoyajua.Aamin.

  • @mcheshslim
    @mcheshslim Před 11 měsíci +6

    Wasiojielewa wanakupinga unachokifanya ustadhi

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Před 11 měsíci +4

    SUBHANA ALLAH! ALLAH Atusamehe Ya Rabb. AMIIN

  • @pythagorasgibson6368
    @pythagorasgibson6368 Před 3 měsíci

    Isha Allah

  • @rajabusaidi6692
    @rajabusaidi6692 Před 3 měsíci

    Subhana allah❤❤❤

  • @TunnuAlly-bp7ur
    @TunnuAlly-bp7ur Před 10 měsíci +2

    Allah akusamehe we uliemiita sheikh jina baya

  • @athmanmuhammed7333
    @athmanmuhammed7333 Před 11 měsíci +7

    MWENYEZI MUNGU AKUPE UMRI MREFU SHEIKH MAZINGE

  • @TunnuAlly-bp7ur
    @TunnuAlly-bp7ur Před 10 měsíci +1

    Mungu ukupe umri mrefu sheikh

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 Před 11 měsíci +1

    Wewe mbaba angalie usiwe kuni za kuzimu wewe🙏

  • @user-jo9fb7df5z
    @user-jo9fb7df5z Před 4 měsíci

    Shekhe mazinge allah akujaalie upate daraja la juu kabisa peponi insha'allah unafanya kazi kubwa sana kwenye dini ya kiislam allah akupe afya njema uendelee kutoa dawa

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 Před 11 měsíci +5

    Allah akuifadh sheikh Mazinge

  • @sarahmohamed3968
    @sarahmohamed3968 Před 23 dny

    Kwani Allah hukuletea salam wewe mazinge nani kamsamehe na nani hajamsamehe

  • @khamissalim8708
    @khamissalim8708 Před 8 měsíci

    Ameen ya rabbi

  • @saidaabdalla2854
    @saidaabdalla2854 Před 11 měsíci +3

    Yaa Allahu Bihusni khatima

  • @radjabubizimana5065
    @radjabubizimana5065 Před 5 měsíci

    Alhmdulillahi

  • @abdallahkhamisi4791
    @abdallahkhamisi4791 Před 4 měsíci

    Mungu akupe umr mrefu shk maznge

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 Před 11 měsíci +2

    Hao mateja pia ni laana zenu,,,wengine ni watoto wa watu mlowafanya misukure kuwabadirishia maisha mwisho wanakuwa mateja coz hawajielewi,,,Pia sanda isiwe tusi ,,nyie ndo mnasababisha watu wanaufata ukristo hakuna mtu anataka kusimangiwa hadi kifo🙏🙏🙏🙏

  • @abubakariali9848
    @abubakariali9848 Před 11 měsíci +5

    Sheikh Mazinge utatunga san Visa vyako 😮😮 hujatoa hio tarekh kama ilivyokuja kweny masimulizi

    • @omaryhaytham2899
      @omaryhaytham2899 Před 11 měsíci

      Mpingaji wewe😂😂

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim Před 3 měsíci

      Hajatunga..ni kweli kabisa anachokisema we km hujui kasome

  • @johnsulle4679
    @johnsulle4679 Před 11 měsíci +2

    Au mungu wenu ni mwarabu

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 Před 11 měsíci

      Yaani wapo radhi wampe mwarabu matako hawa jamaa 😂

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim Před 3 měsíci

      We km hayakuhusu na hujui jambo tulia..kwn wewe Mungu wako ni mzungu..Acha kufuru

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 Před 11 měsíci +3

    Harafu nguvu za kiume ni sifa ya mume,,,bila nguvu ya kiume mnataka tuwasage na kuwakoboa then mpakatwe na wazungu????

  • @mariamwanjiku7518
    @mariamwanjiku7518 Před 11 měsíci +1

    Ww kazi yako uwa kuwahukumu watu tu kwani ww ni nani

  • @jumahaji4141
    @jumahaji4141 Před 11 měsíci +4

    wewe ulie muita shekhe tapeli jiangalie ww

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 Před 11 měsíci +1

    Nyie ndo walee masheikh mnaovunja ndoa za wenzenu kutumia kivuli cha dini,,.ila uwezo wa kuwahudumia hamna,,,afya pia ya kuwamiliki hamna,,kazi kunukisha ugoro wake za wenzenu

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Před 10 měsíci +1

    Jamaa analinganisha aya kwa ufaham wake

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 Před 11 měsíci +1

    Haituishi Tanzania ya misiba,,,hata hukooo mataifa nao hujiburudisha kwa muziki mzuriiiii,,,hadi majini mnaowaabudu wanapenda MUSIC so be yourself babu🙏

  • @LovelyFountainPen-bf7fb
    @LovelyFountainPen-bf7fb Před 4 měsíci

    Kajitapeli mwwnyewe yeye mola tajiri hafilisiki

  • @user-zc1xq8xk1i
    @user-zc1xq8xk1i Před 6 měsíci

    Mazinge acha kutisha watu

  • @nyabendamathieu
    @nyabendamathieu Před 10 měsíci +1

    Mazinge ww uko wa motoni na waislamu wanaokufwata aca uongo

  • @johnsulle4679
    @johnsulle4679 Před 11 měsíci +3

    Mshamba ww huwezi kumhukumu mtu wakati ya kwako bado hujayaweza

  • @johnsulle4679
    @johnsulle4679 Před 11 měsíci

    Kwan hii lugha yenu ya kutudanganyia haitafsiriki kwa kiswahili

    • @FatmaZena
      @FatmaZena Před 11 měsíci +1

      Soma elimu zote ndugu

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před 11 měsíci

      Kwani na nyie si mtumie lugha ya Yesu, mbona haina shida.

  • @FarahJey
    @FarahJey Před 11 měsíci

    Mazing Horatio kuzungumza,kaliningrad nakupa nasaha,na hii nasaha pia kwa wale wanao kuwa mfano wako.
    Nasaha yenyewe inao husu aya (ان لله وان اليه راجعون) aya kama hii huwa mwasoma,nusu na munatarajia nusu nyengine watu wakamilishe wenyewe,bila shaka hivi ni makosa.unapo soma aya kamilisha mwenyewe.

    • @omaryhaytham2899
      @omaryhaytham2899 Před 11 měsíci +1

      Sawa lkn alichokisema umekielewa lkn

    • @issaathmet
      @issaathmet Před 11 měsíci

      Naam ila umekosea kuiandika hiyo aya

    • @FarahJey
      @FarahJey Před 11 měsíci +1

      @@issaathmet sawa
      شكرا جزاك اللح خيرا
      الكمال لله
      (إنا لله وإنا إليه راجعون)

  • @mariamwanjiku7518
    @mariamwanjiku7518 Před 11 měsíci +1

    Mzee Yusuf ndio keshakwenda iyo makka ww ushakwenda??

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim Před 3 měsíci

      Hujielewi na hujamuelewa mazinge

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 Před 11 měsíci

    Dua yako ipi imefila mzee tangu uanze kuomba???Mtume yupi kamuomba MUNGU????kumbe mzee YUSUPH alikuwa mtume wako???acheni dhurma kwa kutumia jina la ALLAH

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 Před 11 měsíci

    Nyie mwapenda watu wawe majambazi then waigize maisha?kwani Allah hajui hao waimba muziki hizo ndo ajira zao???au mlitaka muishi na EID AMIN DADAA ndo mumsifie swala zake???nyie ndo mnataka waislaam wawe mafukara hadi waende kupakatwa LGBTQ ili mjue kuwa kipaji cha mtu ni karama na mtaji wake wa kumfikisha hadi MACCA na MADINA

  • @sarahmohamed3968
    @sarahmohamed3968 Před 23 dny

    Kisha unavyoongea unajiamini wewe ni mtu wa peponi hicho ni kibri

  • @Abuuabdillah259
    @Abuuabdillah259 Před 11 měsíci +1

    Ww mwenyewe tapeli tuu.

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 Před 11 měsíci

    Mboma hamjadiri mahirizi yalokutwa katika mji mtakatifu wa ALLAH???nyie mna mema yapi???kutongoza makahaba vichochoroni na kuficha dhambi kwenye makanzy yenu na daawa???baasi na mimi nipakateni nipate hela waislaam wote tuwe mafukara

    • @user-yx3ex4vy7o
      @user-yx3ex4vy7o Před 5 měsíci

      Samiramawby1257 .5mo ago :Wewe nimuislam au kafiri?Tujuane kwanza

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 Před 11 měsíci +1

    Kwanini ufatilie mambo ya watu usiopatana nao katika matendo???wewe wa ALLAH kwanini uwadis kina HARMONIZE ???unawafatilia wa nini???nyie ndo mnafanya hadi Qaswida ipotee Tanzania make hamjui hata sauti nzuri humvutia ALLAH na huumbwa na ALLAH iwe msaada,,,kila mtu ana mda wake wa tooba so MIND YOUR own business dear old man

    • @aliykhamisi1431
      @aliykhamisi1431 Před 11 měsíci +1

      Wasio jielewa wewe ni mmoja wao

    • @user-lq6kr2gl7n
      @user-lq6kr2gl7n Před 3 měsíci

      Umeonaaaaa naona anatapika upuuz km huijui din vizur kaa kimyaaa

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 Před 11 měsíci

    Ommy dimpoz kaenda kuhiji na anaimba mbona umekaa na mzee Yusuf

    • @faridmobji
      @faridmobji Před 11 měsíci +2

      Ommu Ajahiji kaenda umrah ...Umrah na hija tofauti

    • @jesusislord9190
      @jesusislord9190 Před 11 měsíci

      @@faridmobji hijja ni nn? Na umrah ni nn??

    • @zulekhasaud483
      @zulekhasaud483 Před 11 měsíci +1

      Halafu ommi hakutangaza kuacha mziki kama alivyo sema kaka yangu nimeacha na akawa akitembea kwenye mihadhara na mashehe kutangaza dini .ndio mana wamemuandama sanaaa.wamsamehe mungu ndio ata muhukumui.

    • @jesusislord9190
      @jesusislord9190 Před 11 měsíci

      @@zulekhasaud483 kwahiyo ommy yupo sawa Akon sawa Dj khaleed sawa Mzee Yusuf wrong?? Msiwe hivyo muacheni mzee Yusuf

    • @zulekhasaud483
      @zulekhasaud483 Před 11 měsíci

      @jesusislord9190 Mungu ndio atakaye hukumu pengine yy ndio msafi kuliko wao

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 Před 11 měsíci

    Sheikh sorry,,Hivi wewe ni ALLAH kujua duaa ya nani au hijja ya nani imepokelewa???hivi huyu mzee YUSUPH siku akiacha ajira yake ya masong kuna siku nyie mtamlisha???mtamfaa???mtampa huduma stahiki yeye na mkewe???au mtampa mshahara kulingana na hadhi yake???

    • @omarmakame3027
      @omarmakame3027 Před 7 měsíci

      Kuna mlango wa tauba kauangalie Kuna mambo utajifunza ,utajua mengi apa Kisha ndio useme mambo mengine

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim Před 3 měsíci

      Kasome dini...kwn kuimba ni halali au haramu?bs wewe imba alf ukifa ndo utajua maana mtu akisema ukweli mnaporomoa maneno machafu.

    • @samiramawby1257
      @samiramawby1257 Před 3 měsíci

      @@SoudShuraim una dhambi ngapi we kima mpaka leo hadi kuimba kukupeleke motoni???Kwahiyo akiwa shoga au jambazi atapata thawabu au pepo siku akifa???ask mohammad if he is in Jehannam or??

    • @sarahmohamed3968
      @sarahmohamed3968 Před 23 dny

      Tumeisha wajuwa ni matapeli

    • @sarahmohamed3968
      @sarahmohamed3968 Před 23 dny

      Wewe huwezi kuhumu hija za watu