UST. HABIB OTHMAN MAZINGE | MZEE YUSUF NAKUDAI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 04. 2021
  • #mazinge #mzeeyusuph #deni #islam
    Ust. habib othman mazinge amlipua mzee yusuf kuhusu deni lake utalilipa tu
    Don't forget to SUBSCRIBE | COMMENT | LIKE | SHARE

Komentáře • 42

  • @adamonvitapitanvitapita4891

    Usthaz wangu ninaomba mola Mungu aliye nhayuwa mbuingu saba, akuzidichie rehema.insha Allah

  • @AhmadHanbal-tr4gi
    @AhmadHanbal-tr4gi Před 2 měsíci

    Mancha'allah sheik wetu Habib llah Allah akupe kila lakheri

  • @khamismohd8616
    @khamismohd8616 Před 3 lety +4

    Hata mm nampenda sheikh mazinge Kwaajili ya Allah

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079

    Jamani mm nacheka huyu shekhe nampenda san anajiamini haogopi mazinge ndiyo ndiyo tiba ya makafiri wanasilimu san Allah amhifadhi na akawe na mtume jannatu fridauthi

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 Před 3 lety +7

    Mazinge nampenda sana aisee 🙏🙏

  • @johombu9302
    @johombu9302 Před 3 lety +7

    mwenzi mungu akupe maisha marefu sheikh weyu

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 Před 3 lety +4

    Allah akupe umri mrefu
    IN shllh

  • @yahyamaulana7791
    @yahyamaulana7791 Před 2 lety

    Mazinge fanya kazi ya mungu acha kujisifia mbele ya hadhra. Na kama ulivyo fanya kazi ya mungu ukiondoka mungu ataleta wengene wafanye kazi. Uislamu hautegemei mtu maalumu

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 Před 3 lety +3

    Lazima Sheikh Mazinge uwe na hasira na mzee yusuf, alituhadaa

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 Před 3 lety +4

    Dunia inamhadaa Mzee yussuf. Kutaka maisha mazuri ndio maana anahangaika tu mara sheikh, mara taarab. Mtihani wallah

    • @hamisimfaumenamwewe193
      @hamisimfaumenamwewe193 Před 3 lety

      Watu wa Bidaa hawana lolote. Huyu mzee comedy sana.

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 Před 3 lety +1

      @@hamisimfaumenamwewe193 Bidaa yake lakini iliwaingiza wengi kwenye dini ya uislamu. Ww umeufanyia nini uislamu badala ya kusema tu " bidaa" bidaa

    • @hamisimfaumenamwewe193
      @hamisimfaumenamwewe193 Před 3 lety

      @Yphware HCo Zaidi ya 10. hao wakina mazinge ze comedi Tawheed hawana. Ndo mana wana sifa za kijinga sama

    • @hamisimfaumenamwewe193
      @hamisimfaumenamwewe193 Před 3 lety

      @Yphware HCo Masalafi utawafananisha nao hao mashoga wanyoa ndevu na kuburuza suruali.

  • @issmuking3987
    @issmuking3987 Před 3 lety +2

    Allah mpe kila la kheir mazinge na wahadhir woote wanaoutangaza uislamu Allah wape nguvu na mapenz ya kumpenda Allah

  • @jumamitamba6029
    @jumamitamba6029 Před 3 lety +3

    Mwezi mungu akupemaishamalefu malim

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 Před 3 lety +3

    Hahaha mzee yusufu kweliibiris

  • @magichand7482
    @magichand7482 Před 2 lety +1

    Mashallah

  • @MohamedTuga-dn9su
    @MohamedTuga-dn9su Před rokem

    Mashaalhah

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 Před 3 lety +3

    Njaa tu inamtafuna mzee yussuf, dunia tu

  • @agiasaidi5294
    @agiasaidi5294 Před 3 lety +1

    MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 Před 2 lety +1

    Mazinge unanifurahishaga Sana....😂😂😂😂😂😂

  • @amossamwel2266
    @amossamwel2266 Před 3 lety +2

    Tatizo la shekhe mazinge mtu akipotea kwenye dini au akiasi badala ya kumuombea arudi kundini lakini kwann yy anawahukumu maana kagoma hata kumuombea dua, pia anagalia kwa afande sele alaivyotoa hukumu kiukweli dini haitakiwi kuwa hivyo mtu akipotea inabidi aombewe arudi kwenye mstari ulionyooka ss huyu mazinge ana hukumu sio vizuri hivyo

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Před 2 lety +1

      Acha kutetea ujinga. Yy aliitangazia dunia anarudi kwa M'mungu. Napia aliwafata kina mazinge was hanging lzm waseme hivyo masheikh.

  • @xinyingmiao4996
    @xinyingmiao4996 Před 3 lety +1

    we mzee kwnn unawabagua wengine unawaita makafiri hii cyo unakosea

    • @user-bt1nc1pd7x
      @user-bt1nc1pd7x Před 5 měsíci +1

      Kama kafir acha aitwe kafir na kafir ni mtu asiye na dini na dini ni moja2 ambayo ni uislam sawaaa ww

    • @AhmadHanbal-tr4gi
      @AhmadHanbal-tr4gi Před 2 měsíci

      Bliblia ndo inawaita makafiri

  • @gaudenciavedastus4997
    @gaudenciavedastus4997 Před 2 lety

    Kipozo

  • @remigimtenga7608
    @remigimtenga7608 Před 2 lety

    Mzee acha kudanganya watu.
    Mwamini Yesu Kristo la sivyo utapotea.

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 Před 3 lety +1

    Mzee Yusuf piga kazi,ucsubiri sadaka,wote wakisema 2cimbe,ndani aimbe ss? Hao vyangu madoa huwaoni?shoga huwaoni? Yusuf ndo mmeuona? Mpirani wakitoa hela zakuuma,wazitaka,? Ulifika kwa Allah ndo kakuambia wakristo wataenda Motoni? Ungeimba taarabu ungepata mamillio.

  • @kauthali2151
    @kauthali2151 Před 2 lety

    Mashallah