Video není dostupné.
Omlouváme se.

(B) 060 HABIB MAZINGE Vs MCHUNGAJI YAHYA | NANI KAMPA NABII MUHAMMAD UTUME (SOUTH AFRIKA 2014)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 10. 2015
  • AKASHA DAAWAH CHANNEL

Komentáře • 441

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 Před 5 lety +14

    Masha Allah mungu akuzdishie umri mlefu sheikh mzinge inshallah

  • @abdallahmseven600
    @abdallahmseven600 Před 5 lety +57

    Wewe mazinge Allah akujalie
    Wewe ulinifanya nikawa mwislamu hivi Sasa mimi ni mwislamu mgeni mashallah

    • @mbalahdejr4277
      @mbalahdejr4277 Před 5 lety +3

      Alhamdulilah allah kakuongoza

    • @brothertamiim1930
      @brothertamiim1930 Před 5 lety +1

      mash allh

    • @malikiakimwera9524
      @malikiakimwera9524 Před 5 lety +2

      Mashaallah

    • @martinibrahim8966
      @martinibrahim8966 Před 5 lety

      Jacob polee ndugu yangu...kwa sababu umefanya maamuz pacpo kufanya uchunguz wa kiloho jacob maamuz nimabaya endapo utaamua bila kumshilikisha mungu mwenyewe...uliamua kimwili naco kiloho mungu akuhurumie...

    • @hajrakassim2945
      @hajrakassim2945 Před 5 lety +3

      @@martinibrahim8966 mungu akuhurumie wewe usiejielewa

  • @seifali5973
    @seifali5973 Před 8 lety +44

    sh.mazinge na wenzake wote katikaa daawah mungu awajaalie afya njema na janaatul firdauss kutoa mtu kwa giza kumleta kwa nuru yataka moyoo sanaa jazakallah kheir mashekhee

  • @rukybaribari6883
    @rukybaribari6883 Před 8 lety +36

    Allah barik Mazinge mlinde na umtimie malaika 70 wamlinde kwa kila hila .amin

  • @nadyajuma4108
    @nadyajuma4108 Před 7 lety +14

    Mashallaah Allaah akuzidishie sana mazinge uzid kuutetea uislam Allaah azidi kukup afya na baraq tele inshallaah

  • @kinglionist1331
    @kinglionist1331 Před 8 lety +87

    Hii kazi ambayo mazinge ya fanya halipwi na mtu na ni kazi gumu sana tumuombe mwenyezi mungu amtie janatul fardoss

  • @naimakhalfani8139
    @naimakhalfani8139 Před 5 lety +5

    Mashallah mazinge ALLAH akupe moyo uendelee kuwapa dawa makafiri waweze ingia dini ya HAKI IN SHA ALLAH

  • @fatmabakari545
    @fatmabakari545 Před 8 lety +11

    mola akulipe kheir na akujalie pepo mazinge inshallah kwa kazi njema

  • @farouqisra6502
    @farouqisra6502 Před 5 lety +13

    May Allah protect you with your work until the day of judgement sheikh mazinge

  • @salmaathman1973
    @salmaathman1973 Před 8 lety +17

    mashaallah!!! sio mchezo shekh Mazinge uko juu!!! Allah akuhifadhi sana sana!. mabruk yako.

  • @alhajiomary2294
    @alhajiomary2294 Před 5 lety +8

    Shekh mazinge unahoja konk maashaallah.

  • @neemanitu7522
    @neemanitu7522 Před 5 lety +12

    Mashaallah, wakristo mmepotoka mnasema yesu ndo mungu wenu sasa mungu wenu kafa msalabani. Hivi sasa dunia imebaki na nani. Rudini ktk dini ya haki msijidanganye.

    • @rassanleezedon6861
      @rassanleezedon6861 Před 5 lety +1

      Tahila wewe.. kafa kafufuka...mtume kafa mazima

    • @aivanimaedard6314
      @aivanimaedard6314 Před 5 lety

      Neema Nitu
      Usihukumu mungu ndo Anajua ss wote niwake coz kila MTU na Imani Yake

    • @frankjohn8570
      @frankjohn8570 Před 5 lety

      Neema Nitu JINA lako zuri waitwa Neema vp upo nje ya Neema ya Mungu, YESU aliye hai wamkana Leo, yeye atakaekuja kuwahukumu waliohai na wafu, tena hakuna mtu wa dini yeyote anaebisha kuhusu kurudi kwa YESU hata wahuni wanaosema atakuja kuoa hawasemi kwa sasa yupo wapi

  • @jumannemashaka9439
    @jumannemashaka9439 Před 5 lety +3

    MashaAllah ndugu yetu mazinge katika imani kwakazi nzuri unayoifanya Allah Akujaliee kila lilo la Heri Akujaliee Afya njema na Akujaliee umri mrefu Aminaaa

  • @zawadally9097
    @zawadally9097 Před 5 lety +11

    Sh. Mazinge allah akuongezee umri mrefu innshaallah uzidi kuwaelimisha hao makafili

  • @reubenngonyo1308
    @reubenngonyo1308 Před 2 lety +4

    I'm proud to be a Christian

  • @alfanomar242
    @alfanomar242 Před 7 lety +32

    nafuraia sana zaid ya sana kusikia ukwel wa mambo najivunia kua muislam

  • @omargbabagbaba4231
    @omargbabagbaba4231 Před 8 lety +12

    MashaAllah mazinge wape vitu

  • @jamilaallyally2411
    @jamilaallyally2411 Před 7 lety +32

    mashaallah shekh mazinge allah akuzidishie umri

  • @jafarisintoo3743
    @jafarisintoo3743 Před 5 lety +5

    Allah akulipe sheikh wangu.

  • @zawadisembeguli3435
    @zawadisembeguli3435 Před 5 lety +6

    Am proud to be chiristianity thanks Lord 😘😘😘

    • @111dudi
      @111dudi Před 2 lety

      Nenda kwa Mfalme Zumaridi mungu mpya wa wakristo

  • @akareemtamimy35
    @akareemtamimy35 Před 8 lety +2

    mashallah tabaraka allah mola akupe umri mrefu ustadh mazinge kwa kutangaza dini ya haki hawakuezi

  • @munirayusra91
    @munirayusra91 Před 7 lety +14

    Ameen thumma Ameen

  • @fahadorkholam7376
    @fahadorkholam7376 Před 5 lety +4

    Allah awabashirie jannatul firdaus mashehe wapenzi

  • @jokhanassor3507
    @jokhanassor3507 Před 5 lety +1

    dah shekh wetu Alla akulinde na mikafiri isio elewa

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Před 5 lety +6

    Mazinge nikiboko ww ninomaa sanaaa unajua

  • @ndumbajr9037
    @ndumbajr9037 Před 5 lety +1

    Sheikh Suleiman Mazinge Allah akubariki sana ..uishi miaka mingi yenye Kheri na baraka tele ili uendelee kutoa dawa na kuwasilimisha makafiri...
    #proudbemuslim

  • @lokeredavid9754
    @lokeredavid9754 Před 2 lety +1

    Yesu alisema chunganeni na mmtume wa uongo Mohammad

  • @mohdwasia7309
    @mohdwasia7309 Před 5 lety +4

    Naomb mung akuzidishie umr mref il upate kuwafundisha hao wanafunzi

  • @halimamwachilimwachili5099

    Allah akubariki Sheikh Mazinge.

  • @swaleheismail46
    @swaleheismail46 Před 5 lety +3

    mash Allah hadi raha mazinge utabaki kuwa juu, juu mawinguniii

  • @derickomoghela9948
    @derickomoghela9948 Před 2 lety

    Yohana, utukufu wa Mungu uwe juu yako daima.

  • @abdiqaanurow5924
    @abdiqaanurow5924 Před 9 měsíci

    Allah atakulipa InshaAllah sh. Maxinge

  • @derickomoghela9948
    @derickomoghela9948 Před 2 lety +1

    Yesu na Muhammad wapi na wapi!
    Muhammad hana sifa za utume.

  • @innocentomar16
    @innocentomar16 Před 8 lety +21

    mazinge wape maneno yahaki

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa7664 Před 6 lety

    Hongera ustadh Mazinnge Allah akuzidishie umri upate elimisha makafiri Aamin

  • @rozinahamisi84
    @rozinahamisi84 Před 5 lety +4

    Alhamdulillah nimeingia kwa dini ya haki nikatoka uko kwa wakristo

  • @ahmedbaga26
    @ahmedbaga26 Před 5 lety +16

    Kweli wakriso hawana dini

  • @fatamiqw1298
    @fatamiqw1298 Před 8 lety +5

    hawa wamepoteya njiya allah atawaongoza inshaallah

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 Před 8 lety +4

    Masha allah

  • @khuzeimaabdul4275
    @khuzeimaabdul4275 Před 5 lety +1

    Mungu akuweke shekhe wetu

  • @mohammedabdinur6236
    @mohammedabdinur6236 Před 2 lety +1

    Sheakh Mazinge mungu akulinde kwa Maisha yako

  • @korentinisilayo8125
    @korentinisilayo8125 Před 2 lety +1

    Mtume wa mungu kalogwa na binadamu hiii kali sana ikiwa ndio hivyo basi musa angelogwa na wachawi wa misri

  • @soccertv293
    @soccertv293 Před 8 lety +14

    mazinge juu

  • @dancewithlils
    @dancewithlils Před 2 lety

    May Allah protect you shekh Mazinge

  • @achivanejaphary2534
    @achivanejaphary2534 Před 8 lety +4

    hata Mimi namwo mbea dua afanye kazi vizuri Achivanejaphary

  • @rukiaissa5878
    @rukiaissa5878 Před 6 lety

    Allah akupe nguvu sheikh mazinge na akujaalie kila la kheri ktk safari ya kuutangaza na kuunyanyua uislamu

  • @davisrotich116
    @davisrotich116 Před 5 lety +3

    Mazinge umekula kibano mpaka kijasho chakutoka pole sana njoo kwa Yesu ubatizwe wachana na mtume wa uongo

    • @fatmahamad2156
      @fatmahamad2156 Před 5 lety +1

      Km ni muongo ,subiria hapo siku utakayotolew roho ndo utajua km ni muongo au mkweli

  • @morrisevarist6706
    @morrisevarist6706 Před 2 lety +1

    Waislam wote naomba muache mbwembwe zenu za majini,HEBU soma Biblia 1Yohana 5:18-21 amen.

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper5235 Před 7 lety +3

    Mchungaji Yahay kwanza ni Genius akienda kwenye maiki haendi na vikaratasi Korani yote imo kichwani na hoja zake ni za maandiko Big up sana mchungaji uislam haueleweki

    • @selemankibago4341
      @selemankibago4341 Před 7 lety

      USIMSIFIE MTU AANZA KWANZA WEWE MWENYEWE HUJUI MOYONI MWAKE ANAMUAMINI NANI!!!

    • @moviesandinfotv9933
      @moviesandinfotv9933 Před 5 lety

      Pole Sana hujielew ww

    • @aishahakizimana5868
      @aishahakizimana5868 Před 5 lety

      Hakuna kafiri anaeweza kuhifadhi kitabu kitukufu coran, hamjielewi nyie 🤣🤣🤣😂😂😂😂

    • @yusuphally4204
      @yusuphally4204 Před 5 lety

      ww kwel ni tahira hauon huyo mchungaji ana karatasi hapo unatia huruma kweli

  • @fbhj443
    @fbhj443 Před 7 lety +1

    AllaH akupe afya Sheikh wetu wallah kuelimisha kafiri ni kazi kubwa

  • @aivanimaedard6314
    @aivanimaedard6314 Před 5 lety +4

    Hakuna mwenye kutoa haki bari mwenyezi mungu tu Alie mbinguni

  • @mrsdully1613
    @mrsdully1613 Před 8 lety

    kweli kabisa hapa ni kazi ngumu sana sheikh mazinge mungu akubarik na akulinde na mahasid wote hao utabishananaooo mpaka nahawatokubal
    mung atakuwezesha kwakila jambo insgaAllah

    • @pierremira
      @pierremira Před 7 lety

      mwisho WA manabii maanayake no masiha kwa huyo Mohammed masiha?????? masiha ktk Hadith alivyooa aliruhusiwa pekee kuoa hao wanawake peke take mungu awafungue macho shetani,jini wote mapepo ujuzi wote elimu zote majini nikweli majini yana uhamu elimu nyingi na kunavitabu vingi vya elimu hizo

    • @pierremira
      @pierremira Před 7 lety

      ndugu zangu mungu alisema nitafute kama kweli unataka ukweli sali kutoka ktk Moto wako muulize atakujibu utajua ukweli mungu tu ndiye atakujibu mtume hawezi kukujibu ala hawezi kukujibu NG'o kwanini jubu unalo ala ni shetani ametengeza Dini aabudiwe kama mungu

  • @111dudi
    @111dudi Před 2 lety

    Huyu Yohana muongo sana na mpindisha aya,Mtume alirogwa mara moja sio katika maisha yake yote tangu azaliwe. Huyu bwege sana.mazinge Mungu akulinde na akupe maisha marefu.

    • @gregolyhaule6928
      @gregolyhaule6928 Před 2 lety

      acha matusi basi

    • @111dudi
      @111dudi Před 2 lety

      @@gregolyhaule6928 mtu anaesimama mbele ya hadhara kwa nia ya kupotisha waumini kwa kutumia uongo anastahili zaidi ya hiyo

    • @111dudi
      @111dudi Před 2 lety

      @@gregolyhaule6928 mtu anaesimama mbele ya watu anasema uongo au kumkadhibisha mtu mkweli, anastahili nini?

  • @amosmalakyese1227
    @amosmalakyese1227 Před 5 lety

    Ubarikiwe Mtumishi wa Baba. Mungu akuwezeshe kuisema kweli. Kweli humweka MTU kua huruuuuu

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing1780 Před 5 lety +4

    Mazinge ana confidence anaijua biblia kuliko wenyewe

  • @pierremira
    @pierremira Před 7 lety +4

    Bwana yesu asifiwe amen kwanza ninaomba katika jina la yesu nakomba yesu umwage damu Yako kwa watu wote duniani iliwaweze kufunuliwa macho yao fahamu zao waweze kuona,kusikia wafunguliwe katika vifuniko vyote vya shetani na majini yote yaliyo katika vitengo mbalimbali vyakuwapotosha binadamu ili wasijue ukweli ulioyo kweli
    naamini haya katika jina la yesu kristo amina
    swali langu kwa waislam wote mtueleze wapi huyo Muhammad anaye jiita mtume WA mwisho yaani masiha swali langu Sasa kama yeye ni masiha wapi alifanya Mambo yaliyotabiliwa kufanywa na masiha yaani kuponya, wapi aliponya, wapi alifufua kama ilivyo tabiliwa masiha ? wapi nataka jibu

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 Před 2 lety +1

    Kweli waislam Hamna hoja mpaka mwalim wenu anaulizia muda ya point zimeisha mpaka kila time anaulizia muda

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 Před 2 lety +2

    ILA 😂😂😂😂 Mazinge Kwa kuzuga sasa hapo alikua anajifutafuta nini kwenye domo lake😂😂😂 zee zima akili halina

  • @harbisulub
    @harbisulub Před 8 lety +10

    jazaka llah khair kwa hizi video baraka Allah feek, iko part C?

  • @mkomboziathumani4986
    @mkomboziathumani4986 Před 8 lety +27

    wakristo ni wacheza dance tu hawana dini

    • @abdallahmseven600
      @abdallahmseven600 Před 5 lety

      Wewe kumbe unajua zaidi

    • @abdallahmseven600
      @abdallahmseven600 Před 5 lety

      Uko saw bro

    • @rassanleezedon6861
      @rassanleezedon6861 Před 5 lety +1

      Kapime ufahamu wako milembe

    • @frankjohn8570
      @frankjohn8570 Před 5 lety

      Mkombozi Athumani mtu hajulikani kabisa kwenye kundi la mitume na manabii ambao Mungu aliwatuma kwaajili ya wana waisrael sasa vipi atajwe ana fungu gani katika israel

  • @malikiakimwera9524
    @malikiakimwera9524 Před 5 lety +2

    Najivunia kuwa muislamu pia naamini uislamu ndio dini ya khaq kwa mungu

  • @humairahtomicky2454
    @humairahtomicky2454 Před 5 lety +5

    yn mazinge amekaa kibabe😂😂😂

  • @ABDULRAZAKADAMHASSAN
    @ABDULRAZAKADAMHASSAN Před 11 měsíci

    Good affect

  • @saifalbarwani4993
    @saifalbarwani4993 Před 6 lety +2

    mungu akuweke mazinge inshaalwa

  • @yusuphmanyata4541
    @yusuphmanyata4541 Před 5 lety

    Alahu akbaru ewe mungu mlinde ndugu mazinge kwakuwafahamisha hao makafir

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966

    Mashaallah tabaraka llahu

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 Před 5 lety

    Mwalimu Yohana ukafiri umekutawala.Mungu akuongoze akupe nuru ya uislamu, hakika uko katika upotovu.

  • @bernardchesoli4322
    @bernardchesoli4322 Před rokem

    Wachungaji Mungu awalinde huu mjadala mazinge kashindwa kumtetea Mohamed.

  • @thuebamohammedswaleh6897
    @thuebamohammedswaleh6897 Před 8 lety +8

    section c iko wapi jamani nakosa mauthamu

  • @zainabuhamisi2176
    @zainabuhamisi2176 Před 7 lety +2

    Hasbunallah waneemalwakili

  • @igiraneza4
    @igiraneza4 Před 7 lety +4

    itakuwaje waislaam wakifundisha kuwa mwanaume akiamini maandiko peke yake itakuwa ngazi pia yakuwapeleka wake zao peponi! wakati tunajuwa kila mtu atalipwa kutokana na matendo yake mwenyewe, hayo yakwenda peponi na wake je na kama mke hatokuwa ametii amri za Mungu? atalazimishwa kumfuata mume aliyo tii peponi. !!!!

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 Před 2 lety +1

    Mchaji Mungu hawezi logwa

  • @salmamambo8820
    @salmamambo8820 Před 7 lety +2

    tatizo.wakiristo. wanadanganywaa.tuuu wao.hawana kubishaa kila kitu Kwao nindiyo huyo pasta anabadilisha mamboo tu wao wanafurahiya tu nishida manzinge Allah akuongonzee Maisha marefu kwauwenzoo wake waerimishe wafahamu

  • @omarymasoudykisondo389
    @omarymasoudykisondo389 Před 7 lety +1

    tunachotafuta ni kwenda kwa mungu ila kwa mafundisho ya wakristo ukifatiria hakuna kitu mala yesu mungu mala sasa mungu anakufa

  • @boazonsongo8508
    @boazonsongo8508 Před rokem

    Me christ Jesus my way always

  • @othmanabdallah1948
    @othmanabdallah1948 Před 7 lety +3

    aaamin thuma amini

  • @salehlofy4251
    @salehlofy4251 Před 7 lety +4

    Wakristo hawana hoja wala Mungu, Mungu wao ni mzungu na wakati hata mtume mmoja hakuna aliekua mzungu vp watakua na dini jaman acheni mchezo kuna kufa na kufufuliwa na kulipwa

  • @evalineakuku590
    @evalineakuku590 Před 5 lety +1

    yesu ndiye mulango wa uzima si muhamed muhamed baba wa kuzimu

  • @jaffarhadji7580
    @jaffarhadji7580 Před 8 lety +17

    mazinge kiboko yao

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 Před 5 lety

    Mashaallaaah UST mazinge

  • @gracecypiliani3520
    @gracecypiliani3520 Před 6 lety +1

    Yaani nyie munasumbuliwa namapepo ya uzinzi bibilia ilasema mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa wote tutabadilishwa na kufanana na Yesu atakapo dhihilishwa kwanza mute alikuwa mzinzi aliowa idadi yawanawake zaidi ya idadi mulio amuliwa nahayo mapepo yenu ety ni mungu wenu

  • @khayriyamussa5680
    @khayriyamussa5680 Před 5 lety +1

    Mhh babu tafaaa waislam duniani hatumfati Yesu usidanganye watu.. sisi tunamfata Allah naMuhammad mjumbe wake kwa mafundisho sahihi ya Qur-An... yesu ni Nabii Issa..ambaye si Mungu wala Simwana WaMungu..

  • @deone728
    @deone728 Před 7 lety +1

    Barikiwa Mchungaji

  • @magembesitta5657
    @magembesitta5657 Před 2 lety

    Nany mtaijua kwel nanyi itawaweka huruuuu

  • @mesaidtsozi8797
    @mesaidtsozi8797 Před 8 lety +12

    Mazinge juu.

  • @111dudi
    @111dudi Před 2 lety

    Huyu Yohana muongo na anabadilisha maneno. Mazinge kasema padri kathibitisha utume wa Muhammad, Yohana anasema ati padri kampa utume Muhammad. Yaani muongoooo.Hiyo aya 25:5 ni maneno ya makafiri ambayi huyu Yohana kakwepa kusema "walisema" neno la kwanza ktk aya. Yaani muongo sana na tapering wa aya

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 Před 5 lety

    Huwez kumjua Mungu wa kweli kwa style hiyo. Sidhan kama mnajua mnachokifanya. Huwez kumjua Mungu kusoma vitabu vya dini pekee. Ni lazima uende zaid ya hapo. Maana hata waliondika hayo maandiko nao hawajajua kila kitu kuhusu Mungu. Huwez kuujua ukweli kwa kubishana hivyo.

  • @hamisimohamed2269
    @hamisimohamed2269 Před 6 lety

    Mazinge Allah akuzidishie

  • @albassamjjamali9286
    @albassamjjamali9286 Před 5 lety +1

    aaa bora ushindane na wote si mazingee mazinge anaelimu

  • @ibrahimabdul5490
    @ibrahimabdul5490 Před 8 lety +2

    Inatakiwa Shekhe atembeze na fimbo.
    Mana watu wanajibiwa swali ekesha wanarejea hilohilo.
    Ekesha kitu kingine nilichokipima mm hawa Mapastor ukosefu wa kutokujuwa kiswahili fasagha.
    Mana hawajui maana ya kuchaguliwa wala kutumwa.
    Au kama wanafahamu basi itakuwa wanataka watu wawaone kama wasomi na majibu wanayojibiwa sio sahihi.
    Au hawakubali kushindwa na kama hawakubali kushindwa,unaambiwa siku zote asiekubali kushindwa sio mshindani.!
    Au kama vp kaeni hivohivo na ukafiri wenu ipo siku ndo mtamjua M/mungu ni nani.?
    Mana siku zote unaambiwa kuku wako mwenyewe umshikie manati yanini.
    Wee muache aruke rukee jioni akiingia bandani tu unamkamata.
    Ndo M/mungu nyinyi anakufanyeni kama kuku tu ipo siku mkifika mbele yake ndo mtamjua kama Mungu ni nani..?

  • @hamisijmussa6983
    @hamisijmussa6983 Před 5 lety +1

    Nabii issa bin mariam (yesu) alitumwa kwaajili ya wana wa israel (taifa la israel) ila mtume wa umma wote ni mtume MohammaD (s. A. W) wakiristo mtambue kwamba yesu hawahusu msiwe na shobo

  • @ImDevin25
    @ImDevin25 Před 5 lety +1

    Mazinge hajui kuitetea uislam Kwa hoja yeye hua anajipiga kifua Tu,

    • @selemanishabani6843
      @selemanishabani6843 Před 5 lety

      Tumia akili

    • @ImDevin25
      @ImDevin25 Před 5 lety

      @@selemanishabani6843 Hamna cha akili hapo tunahoji mtu kulingana na uwezo wake wa kujadhili mambo.

    • @malitiguyo5584
      @malitiguyo5584 Před 2 lety

      Kataa muhammad pamoja na bibilia..usitumie akili yako ya ziada...kama muhammad wa kukataliwa toa hoja

  • @mohamedkisoma3492
    @mohamedkisoma3492 Před 5 lety +1

    mashallah mazinge

  • @amanhamza9401
    @amanhamza9401 Před 5 lety +1

    Mashaallah

  • @frankanold9803
    @frankanold9803 Před 5 lety +1

    mohammad alirogwa, alimwingilia mtoto wa miaka 9, alikuwa hajui kusoma wala kuandika,afu mnamuita mtume,mna akili sawasawa kweli nyie😀😀😀

  • @festotmwacha9855
    @festotmwacha9855 Před 5 lety

    Yesu. Ni Bwana

  • @maulidabdallah8384
    @maulidabdallah8384 Před 6 lety +1

    Nakubali Sana mazinge

  • @achivanejaphary2534
    @achivanejaphary2534 Před 8 lety +1

    hata Mimi namwo mbea dua afanye kazi vizuri

  • @kingnotorious6178
    @kingnotorious6178 Před 5 lety +1

    Subhanallah mpaka nimelia kwa furaha

  • @macalimaadxaliiso2192
    @macalimaadxaliiso2192 Před 6 lety

    MashaAllah