MAISHA NA HISTORIA YA SHEIKH OTHMAN MAALIM
Vložit
- čas přidán 26. 03. 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Kwenye asilimia 100 ya elimu ya dini nilionayo basi 85 imetoka katika maneno ya othman maalim allah akuhifadhi na akupe qauli thabit inshaallah atupe mwisho mwena
Ammina ya rabbill allamin
Amyn
Mola akuhifadhi Sheikh Othman Maalim
Kama ipi nipe moja tuu
Amiin Amiin yarabii
Sio Zanzibar tu... Tanzania nzima inakupenda... Allah akuhifadhi sheikh wetu kipenzi...akuzidishie kila la kheri...
Allahummah baarik
Masha Allah Alfatah katika siku zote lakini leo nawapongeza saana kwa kumueka Sheikh Wang Othman Maalim,,kipenz chang,,huwa nafaidika saaana kupitia yeye
Naitwa Ahmed kutoka Kenya Malindi....team yote Alfatah Allah awajaze...🙏🙏🙏
Allahuma Amin
Mashallaah shekh wetu tunampenda sanaa mashallaah allaah akujaliee pepoyake yarab akukutanishe namtume wetu muhamad SAW mashallaah
❤
Tunakupenda kwa ajili ya Allah
Shekh wetu kwa hakika usiondoke tena znz mpaka mwisho wa Maisha yako Allah akupe umre mrefu wenye manufaa
Allahuma Amin
Mash Allah kipenzi changu Shekhe Osman Maalim ni moja wapo ya Mashekhe ninao wapenda . Allah akuhifadhi.
Mashaallah leo mimi nimefurahi sana kujua historia ya shekhe Othman Maalim nilikua natamani kusikia historia yake Allah akupeni kila la duniani na akhera
Nilimjua sheikh kupitia redio zanzibar kwenye visa vyake alivyokua anatoa mwezi wa ramadhani visa vya mitume na qisa nilichokua nakupenda sana ni qisa cha nabii yussuf
Mashallah kipenz cha watu shekh wetu mungu amjaalie kila la kheri
Shekh wengi tume ipenda dini kwasababu umekuwa ukifundisha kwa hekma na busara yani mtu asipo kuelewa wewe basi tena Allah akupe umri mrefu wenye manufaa tuna hitaji watu kama nyinyi Allah akuongezee elimu na aiweke nuru aongeze ufaham kwenye kila lakheri akuwekee baraka ❤
Ammina ya rabbill allamin
Amyn
Tunakupenda Sana hata Huku kwetu bara
Allah umpe maisha marefu na umbashirie pepo ya darja ya juu Sana.
Allah amuhifadhi Sheikh wetu na amzidishie kheri na baraka katika Elimu yake.
Ammina ya rabbill allamin
Amiin Amiin Amiin
Mashaallah hakika shekh Allah akupe mwisho mwema ww ndio mwalim wangu bila napokusikiliza uwa nakuelewa moja kwa moja nakupata utulivu wa nafsi nasijawai kuchoka kuludia elimu yako
Ma Shaa Allah ..Umejaaliwa Ilmu..busara..heshma..adabu..uskivu .mara nyingi au zote unajishusha chini kabisa kwa kumuogopa Mola wako mlezi....nahali yakuwa umejaaliwa neema ya ilmu na neema ya kueleweka na kuvutia unapotupatia ilmuu.. pasina na majigambo(majivuno) kwa kujiona mimi ndio mimi..
Nakuombea na kujiombe nafsi yangu na umma wa kiislam Mwenyezi Mungu atupe furaha ya Dunia na kesho Akhera yenye kumpendeza Mola wetu..ameen..ameen Allah humma ameen
Allah Ibarik
Amiin yarab
Amin Yarabi
Ammina ya rabbill allamin allhuma amin
Mm natoka mombasa kenya hua kila siku mpka nisikilizee mawaidha yko allah akuifahdhi na akuzidihie ilmu uzidi kutuilimisha nimepata faida kubwa sana kwako natamani niwekaribu nawe sazote I WISH WAS IN ZANZIBAR❤❤❤❤❤
Maasha-Allah sheikh Othman Allah akupe pepo kwa rehma zake insha-Allah.
Mashaallah shekhe othman maalim mungu akuzidishie umri mrefu wenye mafanikio kheri nyingi na Baraka 🙏 🙏 amin ishaallah. Natamani pia mimi mtoto wangu awe ka wewe ishaallah ❤❤❤asante kwa historia yako nzuri😊
Maashallah walitoka watatu kuja TZ yaani Ali, Omar na Othman. Majina yote ya masahaba wa bwana mtume S.A.W
MaaShaaAllah ❤
Kipenzi cha Watanzania Nzima ❤❤❤Tunaomba Serekali ikupee Uraiya Kabisa Upate Passport ya Tanzania ❤❤❤
HHHH
Mashaallah Mashaallah nakupenda kwajili ya Allah Allah akuhifadhi...tunafaidika sana na mawaidha yako yanatubadilisha allah akulipe kheri
*Allahumma baarik sheikh kwa mawaidha zote ulizotufundisha tumefaidika mno. Jazaa yako kwa Allah. Na daima matani yako / comedy ndiyo huzidisha ladha kwa mawaidha yako.😂😂😂 Shukran sana* 💞
NDUGU
HIZO LETTER ZAKO
UMEZIANDIKAJE????
NIME PENDA ULIVY ANDIK
@@allahisone6386 Shukran
Masha-Allah. Allah Akuzidishie Umri , Na Akujaze Kula la Kheir ! 🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪 Ni Sheikh ni nae mpenda sana ! .na masheikh wote vile vile na wapenda wote. Allah ! Atawalipa kula la kheir. 🙏🙏🙏
JazaakAllahu khair sheikh Othman. We appreciate your teaching. Team Uganda 🇺🇬 😊
NYABO, U KNOW
KISWAHILI LANGUAGE?
Mashallah yaani sii mashekh wengi tunojua biography zao, Tunashkuru sana maalm wetu Allah akulipe kheri duniani na Akhera
MaShaAllah, Allah Akuhifadhi Sheikh Wetu Tunajifunza Mengi kutoka kwako.
ما شاء الله شيخنا نحن نحبك كثيرا 😍
Masha Allah Masha Allah sheikh wetu Allah mpe umri mrefu wenye kheri na barka tele ili tuzidi ilimika
Allah akujaalie umri mrefu wenye siha na amali njema, ili uweze kutuelimisha na kuwafundisha tuliokuwa hatujui
Mimi nashindwa nimepata kigugumizi kuona historia ya ya huyu baba,nampenda kwa ajili ya Allah simu yangu imejaa maneno yake yake sauti mawaidha mafunzo matamu murua ya visa vya mitume yote hayachoshi kuyasikiliza nimejua mengi kupitia mawaidha yake .nashindwa kuelezea Allah ampe umri mrefu azidi kutuelimisha azidi kuelimisha sisi na vizazi vyetu vijavyo. Mimi dada yako. Nakupenda kwa ajili ya Allah.
Shukran kwake mwalim wetu kwa yote unayo tufunza sisi ni wanafunzi wake kutoka Congo drc goma
Namkumbuka Sh.Othman Maalim, ndio kwanza hajajulikana sana Zanzibar, nakumbuka Msikiti mabluu pale Alasir akitoa mawaidha watu wachache sana, nakumbuka alitoa kisa cha binaadam (alipowekwa kwenye baridi akalalamika, alipowekwa kwenye joto akalalamika) nadhani miaka karibu 20 na ilopita.Allah akupe umri mrefu na uzidi kutusomesha na sisi atupe ilmu.
Masha Allah Sheikh ama kwa hakika chema hujiuza...Allah atuzidishie na atujaalie Kila kheir yake ...Amin
Maasha allah shelhe wangu nataman sikumoj tukutan nitafurah zaid nampenda shekhe othuman najifunz mambo meng kupitia mawaidha yake allah akuhifadhi
Tafadhali Sheikh, umetueleza juu ya wazazi wako na ndugu zako na tumefaidika sana but pia tueleze juu ya familia yako, yaani mke (au wake) na watoto wako
Katika masheli nawapendao Tanzania yy ndio namba moja Allah amuhifadhi na kila shari za watu wabaya
Mashallah SHEIKH RASHID KWA KUMLETA MWALIM WETU SHEIKH WETU HATA WW NI MWALIM WAKO.
KUNA SIKU ULINISABABISHA NIJE MSIKITINI NILISIKIA SAUTI YA SHEIKH OTHMAN MAALIM KUMBE KUJA UPO WEWE SHEIKH RASHID SALIM
MASHALLAH ALLAH AKULIPENI KHERI.
Masha ALLAH Tabarakallah ❤ ♥❤.ALLAH akuhifadh sheikh wetu kipenz 4rm Kenya 🇰🇪
Zanzibar ni Makka ndogo tangu zamani,
Amiin Yaraab nimeenukia na mawaidha ya sheikh othman maalim Allah ampe umri mrefu
😅AL-KAABA IPO? 😅
@@aishakinia4957.. Amiin Amiin Amiin my dada
A A W W Othuman Maalim sauti yoko ukisoma Qor an roho yangu inapata uturivu nakupenda kwa ajiri ya Allah.Aisha kutoka Rwanda ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asallam aleikum ndugu yangu usiifupishe hii Usiandike kwa kifupi
Kwenye salam kuna jina la Mungu haifai kukatishwa
@@ummohammed8380
Allah atusaheme makosa tunayofanya bila kujuwa ao kwa kusahau.
Allahuma Amin.
Alhamdullillah nimejifunza mengi kuhusu othman mwalim na uisikize mpaka mwisho utafaidika naomba masheikh wote wajitahidi kuheshimiane kupate kuwa adhabu nasisi tufaidike ameeeen yarabeel alameeeen
Kama shekhe Othman maalim nikimsikia roho yangu inasuzika mashaallh nani nampenda
INASUZIKA
NDIOOO WAMAANISHA?
Othmaan Maalim kwangu ni mwokozi😢 nilikua musharati, mwongo... nilikua kama umbwa mpaka nikaachwa na mke wangu. Sijui ilikuaje niskie mawaidha yake ya " Mali na Dunia" from that day nili badirika kua muisilamu, nikawa mtu sio umbwa tena. Na pia kila siku jua nakufwatilia kama umbwa yako Sheikh😢 hakuna kipindi kitanipitaka. Hekima na heshima naitosha kwako😢😢😢😢😢😢😢😢😢
TabarakaAllah fii nimyenyekevu kujibu maswali Allah azidi kukujaaliya Elmu utufunze dini yetu Islam
Allah akujalie maisha mema duniani na akhera inshallah babuu uthman Maalim .Much love from wajukuu zako upande huu wa kwale
Alhamdulilah. Watu wa Unguja na Pemba wamekuvuliya kofiya na ushakuwa mtu wa hapo Unguja mpaka ucheshi wako na lafdhi ya lugha yako tunaipenda. Mashaallah
Nikimwacha dr sule hakika othuman maalimu ana hekima sana hata wakristo upenda kumsikiliza mungu ampe afya njema amina
Ni Sheikh mzuri na Mwalimu aliyetimia.Amejaaliwa mvuto wa kusikilizwa na kutochosha masikio ya wasikilizaji wake.Hakika ni mjuzi aliyejaaliwa karama njema ya kufikisha.Allah amhifadhi na kumpanua zaidi ili Ummah uendelee kumfaidi na yeye anufaike pia,Biidhnillah.
Amiin Amiin Amiin
Mashaallah mashaallah mashaallah sheikhe wetu nakupenda sana sana kwa ajili ya Allah Allah akuhifadhi akujaliye umri wenye afya akuzidishie elimu zaidi akujaliye uwe miongoni wa waja wake walioridhiwa
MashaAllah mm hua najua katokea sehemu ya mjini kumbe katoka Digo ....Mola akuhifadhi sheikh wetu
Mashaallah barak Allahu feek sheikh wetu mpendwa otham maalim
Maa Shaa Allah Sheikh Othman Allah azidi kukuhifadhi kwa ajili yangu na wengine
Allahumma Aamiyn
Mashaallah masjid konzi Jamiii inakufahamu Sana sheikh othman maalim Allah akupe umri mrefu. Cha ajabu sijawahii kusikia ukiongea kwa ukali upole na ukarimu ndio miongoni mwa sifa zako. Twakupenda kwa ajili ya ALLAH
Naaam...Amerithi kutoka kwa babake!
💯%🤝
U read my mind
Maa shaaa ALLAH kazi nzuri walimu zetu...MOLA AWAHIFADHI KWA KAZI KUBWA MUNAYOIFANYA amin
MashaAllah hii ni miongoni mwa CZcams channel ambayo hujutii kuitazama Allah akujaalie heri na aikuze zaidi na zaidi ifike mbali
Mashallah Allah akuhifadhi shekhe wetu
Mashaallah mashaallah tabarakallahu may❤Allah bless him and happiness umuri tawilli.Allahu ma amini thuma amini
Maa shaa Allah baraaka Allah fika masheikh wetu Allah awalipe kila lenye kher nanyi
ALLAH amjaalie sheikh Othman maalim...ampe kila lenye heri
Asalaam aleikum Mungu amjaze kheri sheikh langu othman maalim. Nakumbuka siku nilipokutana na sheikh Othman maalim Mombasa kenya.nikamuuliza sheikh anipe nasaha mm kama kijana basi nasaha alonipa ni same haya maneno asemayo hapa. Masha Allah 😊 Mungu akujaze kheri
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe
Nakupenda sana sheikh othmaan maalim kutoka moyoni 🤝😊
Mashallah ustadh osman amenisomesha Islamic teachers training college mikindani mombasa Allah (sw) amuhifadhi.
MashaAllahu al imam Sheikh Othman Maalim na Sheikh Rashid 🎉❤
Mashallah allah Al Fatah kwa history nzr ya sheikh Othman maalim.
MashaAllah, Sheikh Othman Maalim, my best sheikh, Mwenyezi Mungu akujaalie umri mrefu, afya njema, baraka na mafanikio tele ili tuendelee kufaidika na ilmu yako
MaashaaAllah. Tabaarakallaah. Sikutaka program imalizike. Namuomba Allah Tabaaraka waTa’aalaa ampe Sheikh Othman umri mrefu wenye baraka, afiya, busara, ikhlaas, tawfeeq na mwisho mema. Allah awahifadhi watoto na family wake. Allah abariki killa kitu la kheri akilofanya. Yaa Allah! Tunampenda Sheikh Othman bila kuwonana naye na tunakuomba umpende yeye na dhuriya na jamii yake. Umpe killa la kheri.
Allahuma ameen
Mashallah Mashallah yaani nimefurahi sana kujua historia ya sheikh othman Maalim Allah azidi kumpa umri mrefu mwenye furaha na imani kubwa na ampe afya azidi kuweza kutuelimisha na ampe pepo ❤❤❤❤😊😊
Mashallah mashallah Mashallah Ama leo mmenifurahisha jaman Nampenda Sheikh Othman Maalim Sana sana Allah ampe umr mrefu wenye kher na yeye Amuepushe na Shari Kwa hakika mim Tangia nimdogo Nimekulia kuskia saut yake bas Ramadhan kila ikifika saa 8 Kuna visa vya mitum mama angu atega sikio Kumsikiliza bas kama mama Amwnirisisha yaan na Mamb haya ya mitandao Mashallah Allah ametupe neema Sasa tunamuona Live🥺Mashallah Wallah katika Masheikh walojaaliwa Vipaj bas mmoja ni yeye huyu Sheikh ninampenda Mpaka bas Halaf Sheikh Rashid ni kwel Saut yako Ukizungumza utasema ni shwilh Othman Maalim Na Nlijua tu utakuwa ni mwanafunz wake Mashallah Jazakumullah kher Allah akupen Umr mref wenye kher Akuhifadhin Dunian na kesh akhera😭🤲🥺😍🌹Ramadhan رمضان مبارك علينا وعليكم🌙🌹☺️❤️😍
Maa sha Allah tabaaraka llahu, shekhe unanipa faraja sana kwa darsa zako najifunza mengi awali sikuyajuwa Alhamdulillah mungu akujaalie maisha marefu yenye mwisho mwema ❤
May Allah accept your deeds sheikh. You have done a lot, we have learnt a lot your exemplary behaviour. May Allah bless you more and more!
Mashallah Allah atuekee sheikh wetu inshallah
Mwenyezi Mungu amuhifadhi sheikh wetu Othman maalim kwa kazi kubwa anayoifanya tunaomba pia aje sehemu za Tanariver county Kenya
Mashaallh Allah akupe kila la kheri sheikh wetu kipenzi
Manshaallah l love u shekh othman allah akulipe mema kesho akher amin
Masha Allah tabarakallah, mungu akuzidishie 🎉🎉🎉
Salafy wanaumia san kukuona sheikh upo katik ubora na kazi ya kushajihisha watu waendelea kukazania kusoma san sira za mtume SAW nakupenda sana
ALLAH (S.w)akuweke sheikh wetu akupe afya njema na nguvu na sifa tunajifunza mengi tunaelimika na mengi kupitia vipindi vyako,mawaidha yako na Elimu yako
Masha ALLAH sheikh ALLAH akupe umri🤲🤲
Masha Allahukana Laahawulla qoywat illa billah jazakallahu kheir'na sheikh Othman na Mwenyezi Mungu atujalie sote kheir ya dunia na ya kesho akhera.
Mimi nampeda sheikh othman nikimsikiliza namuelewa sana na najifunza mengi pia kupitia yeye mungu amlipe heri na anasaidia kunibadilisha sana katika mapito yangu na uelewa juu ya dini amii yarabi
Mashaa Allah Mashaa Allah,sheikh wetu ndugietu kutoka kenya mola akuzidishie umri uziidi kutuelimisha Raha kukusikia ukijielezea umewatia moyo vijana wengi sana
Masha Allah sheikh Allah akuhifadhi amiin
Huyu ni sheikh wangu
حفظه الله
Mashalla barakallahu fii kum wallah nakupenda shekh kwa ajili ya Allah nafurahi sana unapotaja markit shukran sana jazakallah kheyr Allah akupe umri mrefu wa ibada
mashallah Allah akuhifadhi sheikh
MASHALLAH ALLAH IBARIQ
Maasha'Allah Tabaarakallah,,,Allah Akujaze mema
Maa shaa Allah tabaraka Allah sheikh Othman maalim ❤
Mashaaalllah alfatah ❤
Video yenye manufaa mengi MaashaaAllah. Allah amhifadhi Sh Othman na ambariki. Allah awarehemu wale ambao wamemlea Sheikh Othman na wale wamemsomesha. Yaa Allah! Tunampenda Sh Othman na tunakuomba umpende. Yaa Allah wahifadhi watoto wake na students wake na mlipe malipo mema.
Jazzakllah kheir
Mashaallah mashaallah shekh wet Othman ❤
MaashaaAllah. Ahsante sheikh Rashid kwa kutuwekea Sheikh wetu.,....
Mashallah Tabaraqallah mie nilitamani kujua na familia yake ana watt wangapi wake
Mi pia nilitamani kusikia swali ilo
MaashaAllah Allah akuhifadhi sheikh wetu...Alhamdulillah kwa ilmu tunayopata kwako
MaashaAllah shekh amepambana sana Allah amuhifadh aendelee kutufundisha visa vya waja wema
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER SHEIKH WETU ALLAH AKUJAALIE KHER DUNIANI NA AKHER NA SS ALLAH ATUJAALIE TUWE MIONGONI MWA WAJA WEMA NA MWISHO MWEMA INSHALLAH
MAASHAAALLAH TABAARAKALLAH LEO NIMEFURAHI KUIJUA HISTORIA YA SHEIKH WETU KIPENZI OTHMAAN MAALIM WATANZANIA WENGI TUNAKUPENDA SANA ALLAH AKUBARIKI KTK MAISHA YAKO YAWE NI NYENYE KHERI NA BARKA TELE ALLAHUMMA AMIIN🙏
Mashallah , tungelipenda kuwajuwa zaid mashekh wet kama hv❤❤ kwahiy musichoke kuwapa mualiko na wengine inshallah ili tupate faida
Naam
Naam
Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatu...Sheikh Maalim Othman..nakumbuka ulipokua ukitoa khutba ijumaa masjid Amani maratbu wakikuita jina la kishik Mimi moja wa nakumbuka ukiitwa kishik...Masha Allah Tabaraka Allah..
Maa Shaa Allah...Maa Shaa Allah
Tamaa zangu zote shekhe wangu najua nimzaliwa wa Zanzibar nakupenda sana kwa ajili ya Allah mungu akupe umri mrefu wenye kheri na barka lkn pia Allah akulipe janna pamoja namtume inshallah