MAISHA NA HISTORIA YA SHEIKH OTHMAN MAALIM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 03. 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Komentáře • 336

  • @SalmaSalum-qw8yo
    @SalmaSalum-qw8yo Před 3 měsíci +60

    Kwenye asilimia 100 ya elimu ya dini nilionayo basi 85 imetoka katika maneno ya othman maalim allah akuhifadhi na akupe qauli thabit inshaallah atupe mwisho mwena

  • @ummahmed3354
    @ummahmed3354 Před 3 měsíci +32

    Sio Zanzibar tu... Tanzania nzima inakupenda... Allah akuhifadhi sheikh wetu kipenzi...akuzidishie kila la kheri...
    Allahummah baarik

  • @AIFOSMUGOTV
    @AIFOSMUGOTV Před 4 měsíci +60

    Masha Allah Alfatah katika siku zote lakini leo nawapongeza saana kwa kumueka Sheikh Wang Othman Maalim,,kipenz chang,,huwa nafaidika saaana kupitia yeye
    Naitwa Ahmed kutoka Kenya Malindi....team yote Alfatah Allah awajaze...🙏🙏🙏

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Před 3 měsíci +2

      Allahuma Amin

    • @harthaseif5497
      @harthaseif5497 Před 3 měsíci +1

      Mashallaah shekh wetu tunampenda sanaa mashallaah allaah akujaliee pepoyake yarab akukutanishe namtume wetu muhamad SAW mashallaah

    • @mohamedkalme5075
      @mohamedkalme5075 Před 2 měsíci +1

  • @massudidadi679
    @massudidadi679 Před 3 měsíci +22

    Tunakupenda kwa ajili ya Allah
    Shekh wetu kwa hakika usiondoke tena znz mpaka mwisho wa Maisha yako Allah akupe umre mrefu wenye manufaa

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před 3 měsíci +28

    Mash Allah kipenzi changu Shekhe Osman Maalim ni moja wapo ya Mashekhe ninao wapenda . Allah akuhifadhi.

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 Před 3 měsíci +23

    Mashaallah leo mimi nimefurahi sana kujua historia ya shekhe Othman Maalim nilikua natamani kusikia historia yake Allah akupeni kila la duniani na akhera

  • @SalmaSalum-qw8yo
    @SalmaSalum-qw8yo Před 3 měsíci +13

    Nilimjua sheikh kupitia redio zanzibar kwenye visa vyake alivyokua anatoa mwezi wa ramadhani visa vya mitume na qisa nilichokua nakupenda sana ni qisa cha nabii yussuf

  • @rahmahamidu9319
    @rahmahamidu9319 Před 3 měsíci +18

    Mashallah kipenz cha watu shekh wetu mungu amjaalie kila la kheri

  • @hadijagere
    @hadijagere Před 3 měsíci +18

    Shekh wengi tume ipenda dini kwasababu umekuwa ukifundisha kwa hekma na busara yani mtu asipo kuelewa wewe basi tena Allah akupe umri mrefu wenye manufaa tuna hitaji watu kama nyinyi Allah akuongezee elimu na aiweke nuru aongeze ufaham kwenye kila lakheri akuwekee baraka ❤

  • @shamte9musicofficial126
    @shamte9musicofficial126 Před 2 měsíci +2

    Allah umpe maisha marefu na umbashirie pepo ya darja ya juu Sana.

  • @khalidahmed6900
    @khalidahmed6900 Před 3 měsíci +20

    Allah amuhifadhi Sheikh wetu na amzidishie kheri na baraka katika Elimu yake.

  • @user-zt3nj5yj2j
    @user-zt3nj5yj2j Před 3 měsíci +4

    Mashaallah hakika shekh Allah akupe mwisho mwema ww ndio mwalim wangu bila napokusikiliza uwa nakuelewa moja kwa moja nakupata utulivu wa nafsi nasijawai kuchoka kuludia elimu yako

  • @samiaahmad6182
    @samiaahmad6182 Před 3 měsíci +14

    Ma Shaa Allah ..Umejaaliwa Ilmu..busara..heshma..adabu..uskivu .mara nyingi au zote unajishusha chini kabisa kwa kumuogopa Mola wako mlezi....nahali yakuwa umejaaliwa neema ya ilmu na neema ya kueleweka na kuvutia unapotupatia ilmuu.. pasina na majigambo(majivuno) kwa kujiona mimi ndio mimi..
    Nakuombea na kujiombe nafsi yangu na umma wa kiislam Mwenyezi Mungu atupe furaha ya Dunia na kesho Akhera yenye kumpendeza Mola wetu..ameen..ameen Allah humma ameen
    Allah Ibarik

  • @AnwarAli-vs9mp
    @AnwarAli-vs9mp Před 3 měsíci +7

    Mm natoka mombasa kenya hua kila siku mpka nisikilizee mawaidha yko allah akuifahdhi na akuzidihie ilmu uzidi kutuilimisha nimepata faida kubwa sana kwako natamani niwekaribu nawe sazote I WISH WAS IN ZANZIBAR❤❤❤❤❤

  • @abalkib2866
    @abalkib2866 Před 3 měsíci +7

    Maasha-Allah sheikh Othman Allah akupe pepo kwa rehma zake insha-Allah.

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez Před 3 měsíci +10

    Mashaallah shekhe othman maalim mungu akuzidishie umri mrefu wenye mafanikio kheri nyingi na Baraka 🙏 🙏 amin ishaallah. Natamani pia mimi mtoto wangu awe ka wewe ishaallah ❤❤❤asante kwa historia yako nzuri😊

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 Před 3 měsíci +7

    Maashallah walitoka watatu kuja TZ yaani Ali, Omar na Othman. Majina yote ya masahaba wa bwana mtume S.A.W

  • @naimachiza3939
    @naimachiza3939 Před 3 měsíci +3

    Kipenzi cha Watanzania Nzima ❤❤❤Tunaomba Serekali ikupee Uraiya Kabisa Upate Passport ya Tanzania ❤❤❤

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 Před 3 měsíci +6

    Mashaallah Mashaallah nakupenda kwajili ya Allah Allah akuhifadhi...tunafaidika sana na mawaidha yako yanatubadilisha allah akulipe kheri

  • @artisthusnatalal3099
    @artisthusnatalal3099 Před 3 měsíci +4

    *Allahumma baarik sheikh kwa mawaidha zote ulizotufundisha tumefaidika mno. Jazaa yako kwa Allah. Na daima matani yako / comedy ndiyo huzidisha ladha kwa mawaidha yako.😂😂😂 Shukran sana* 💞

  • @sultanaswaleh7813
    @sultanaswaleh7813 Před 3 měsíci +6

    Masha-Allah. Allah Akuzidishie Umri , Na Akujaze Kula la Kheir ! 🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪 Ni Sheikh ni nae mpenda sana ! .na masheikh wote vile vile na wapenda wote. Allah ! Atawalipa kula la kheir. 🙏🙏🙏

  • @hanifahnabakiibi6929
    @hanifahnabakiibi6929 Před 3 měsíci +4

    JazaakAllahu khair sheikh Othman. We appreciate your teaching. Team Uganda 🇺🇬 😊

  • @FamilyVideos-pt1mo
    @FamilyVideos-pt1mo Před 7 dny

    Mashallah yaani sii mashekh wengi tunojua biography zao, Tunashkuru sana maalm wetu Allah akulipe kheri duniani na Akhera

  • @hamisisamuli6055
    @hamisisamuli6055 Před 3 měsíci +3

    MaShaAllah, Allah Akuhifadhi Sheikh Wetu Tunajifunza Mengi kutoka kwako.

  • @bushraaljadidi7747
    @bushraaljadidi7747 Před 3 měsíci +7

    ما شاء الله شيخنا نحن نحبك كثيرا 😍

  • @mutaladjasmini4815
    @mutaladjasmini4815 Před 3 měsíci +4

    Masha Allah Masha Allah sheikh wetu Allah mpe umri mrefu wenye kheri na barka tele ili tuzidi ilimika

  • @abdikanzu5261
    @abdikanzu5261 Před 3 měsíci +6

    Allah akujaalie umri mrefu wenye siha na amali njema, ili uweze kutuelimisha na kuwafundisha tuliokuwa hatujui

  • @hatujuanisalum9354
    @hatujuanisalum9354 Před 3 měsíci +1

    Mimi nashindwa nimepata kigugumizi kuona historia ya ya huyu baba,nampenda kwa ajili ya Allah simu yangu imejaa maneno yake yake sauti mawaidha mafunzo matamu murua ya visa vya mitume yote hayachoshi kuyasikiliza nimejua mengi kupitia mawaidha yake .nashindwa kuelezea Allah ampe umri mrefu azidi kutuelimisha azidi kuelimisha sisi na vizazi vyetu vijavyo. Mimi dada yako. Nakupenda kwa ajili ya Allah.

  • @ahmadimahmoud9014
    @ahmadimahmoud9014 Před 3 měsíci +2

    Shukran kwake mwalim wetu kwa yote unayo tufunza sisi ni wanafunzi wake kutoka Congo drc goma

  • @FamilyVideos-pt1mo
    @FamilyVideos-pt1mo Před 7 dny

    Namkumbuka Sh.Othman Maalim, ndio kwanza hajajulikana sana Zanzibar, nakumbuka Msikiti mabluu pale Alasir akitoa mawaidha watu wachache sana, nakumbuka alitoa kisa cha binaadam (alipowekwa kwenye baridi akalalamika, alipowekwa kwenye joto akalalamika) nadhani miaka karibu 20 na ilopita.Allah akupe umri mrefu na uzidi kutusomesha na sisi atupe ilmu.

  • @idrisjumadarusi3037
    @idrisjumadarusi3037 Před 3 měsíci +1

    Masha Allah Sheikh ama kwa hakika chema hujiuza...Allah atuzidishie na atujaalie Kila kheir yake ...Amin

  • @OmanOman-gu1wy
    @OmanOman-gu1wy Před 3 měsíci +3

    Maasha allah shelhe wangu nataman sikumoj tukutan nitafurah zaid nampenda shekhe othuman najifunz mambo meng kupitia mawaidha yake allah akuhifadhi

  • @user-sf3ym8pk6h
    @user-sf3ym8pk6h Před 3 měsíci +2

    Tafadhali Sheikh, umetueleza juu ya wazazi wako na ndugu zako na tumefaidika sana but pia tueleze juu ya familia yako, yaani mke (au wake) na watoto wako

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 Před 3 měsíci +4

    Katika masheli nawapendao Tanzania yy ndio namba moja Allah amuhifadhi na kila shari za watu wabaya

  • @muskhaj1230
    @muskhaj1230 Před 3 měsíci +5

    Mashallah SHEIKH RASHID KWA KUMLETA MWALIM WETU SHEIKH WETU HATA WW NI MWALIM WAKO.
    KUNA SIKU ULINISABABISHA NIJE MSIKITINI NILISIKIA SAUTI YA SHEIKH OTHMAN MAALIM KUMBE KUJA UPO WEWE SHEIKH RASHID SALIM
    MASHALLAH ALLAH AKULIPENI KHERI.

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Před 3 měsíci +5

    Masha ALLAH Tabarakallah ❤ ♥❤.ALLAH akuhifadh sheikh wetu kipenz 4rm Kenya 🇰🇪

    • @kimarumarwa3464
      @kimarumarwa3464 Před 3 měsíci

      Zanzibar ni Makka ndogo tangu zamani,

    • @aishakinia4957
      @aishakinia4957 Před 3 měsíci

      Amiin Yaraab nimeenukia na mawaidha ya sheikh othman maalim Allah ampe umri mrefu

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před 3 měsíci


      😅AL-KAABA IPO? 😅

    • @SakinaSakinat-qd9rs
      @SakinaSakinat-qd9rs Před 3 měsíci

      ​@@aishakinia4957.. Amiin Amiin Amiin my dada

  • @nzabahabwanimanaaisha9923
    @nzabahabwanimanaaisha9923 Před 3 měsíci +3

    A A W W Othuman Maalim sauti yoko ukisoma Qor an roho yangu inapata uturivu nakupenda kwa ajiri ya Allah.Aisha kutoka Rwanda ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @ummohammed8380
      @ummohammed8380 Před 3 měsíci

      Asallam aleikum ndugu yangu usiifupishe hii Usiandike kwa kifupi
      Kwenye salam kuna jina la Mungu haifai kukatishwa

    • @1nesoch
      @1nesoch Před 3 měsíci

      ​@@ummohammed8380
      Allah atusaheme makosa tunayofanya bila kujuwa ao kwa kusahau.
      Allahuma Amin.

  • @abdullahamoody1002
    @abdullahamoody1002 Před 3 měsíci +1

    Alhamdullillah nimejifunza mengi kuhusu othman mwalim na uisikize mpaka mwisho utafaidika naomba masheikh wote wajitahidi kuheshimiane kupate kuwa adhabu nasisi tufaidike ameeeen yarabeel alameeeen

  • @Dalilahothaman
    @Dalilahothaman Před 3 měsíci +5

    Kama shekhe Othman maalim nikimsikia roho yangu inasuzika mashaallh nani nampenda

  • @emmanuelahmedbyona2353
    @emmanuelahmedbyona2353 Před 3 měsíci +1

    Othmaan Maalim kwangu ni mwokozi😢 nilikua musharati, mwongo... nilikua kama umbwa mpaka nikaachwa na mke wangu. Sijui ilikuaje niskie mawaidha yake ya " Mali na Dunia" from that day nili badirika kua muisilamu, nikawa mtu sio umbwa tena. Na pia kila siku jua nakufwatilia kama umbwa yako Sheikh😢 hakuna kipindi kitanipitaka. Hekima na heshima naitosha kwako😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @katore1982
    @katore1982 Před 3 měsíci +1

    TabarakaAllah fii nimyenyekevu kujibu maswali Allah azidi kukujaaliya Elmu utufunze dini yetu Islam

  • @user-ez4df7qg2f
    @user-ez4df7qg2f Před 3 měsíci +1

    Allah akujalie maisha mema duniani na akhera inshallah babuu uthman Maalim .Much love from wajukuu zako upande huu wa kwale

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 3 měsíci +5

    Alhamdulilah. Watu wa Unguja na Pemba wamekuvuliya kofiya na ushakuwa mtu wa hapo Unguja mpaka ucheshi wako na lafdhi ya lugha yako tunaipenda. Mashaallah

  • @mikidadibandu3998
    @mikidadibandu3998 Před 3 měsíci

    Nikimwacha dr sule hakika othuman maalimu ana hekima sana hata wakristo upenda kumsikiliza mungu ampe afya njema amina

  • @DaudaBilikesi
    @DaudaBilikesi Před 3 měsíci +2

    Ni Sheikh mzuri na Mwalimu aliyetimia.Amejaaliwa mvuto wa kusikilizwa na kutochosha masikio ya wasikilizaji wake.Hakika ni mjuzi aliyejaaliwa karama njema ya kufikisha.Allah amhifadhi na kumpanua zaidi ili Ummah uendelee kumfaidi na yeye anufaike pia,Biidhnillah.

  • @user-fc4vl8zi4r
    @user-fc4vl8zi4r Před 3 měsíci +1

    Mashaallah mashaallah mashaallah sheikhe wetu nakupenda sana sana kwa ajili ya Allah Allah akuhifadhi akujaliye umri wenye afya akuzidishie elimu zaidi akujaliye uwe miongoni wa waja wake walioridhiwa

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Před 3 měsíci +1

    MashaAllah mm hua najua katokea sehemu ya mjini kumbe katoka Digo ....Mola akuhifadhi sheikh wetu

  • @guyogalora-gl2lu
    @guyogalora-gl2lu Před 2 měsíci

    Mashaallah barak Allahu feek sheikh wetu mpendwa otham maalim

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r Před 3 měsíci

    Maa Shaa Allah Sheikh Othman Allah azidi kukuhifadhi kwa ajili yangu na wengine
    Allahumma Aamiyn

  • @aishakinia4957
    @aishakinia4957 Před 3 měsíci +2

    Mashaallah masjid konzi Jamiii inakufahamu Sana sheikh othman maalim Allah akupe umri mrefu. Cha ajabu sijawahii kusikia ukiongea kwa ukali upole na ukarimu ndio miongoni mwa sifa zako. Twakupenda kwa ajili ya ALLAH

  • @ZubedaMgalla-tn1df
    @ZubedaMgalla-tn1df Před 3 měsíci +1

    Maa shaaa ALLAH kazi nzuri walimu zetu...MOLA AWAHIFADHI KWA KAZI KUBWA MUNAYOIFANYA amin

  • @habibiddy8096
    @habibiddy8096 Před 3 měsíci +2

    MashaAllah hii ni miongoni mwa CZcams channel ambayo hujutii kuitazama Allah akujaalie heri na aikuze zaidi na zaidi ifike mbali

  • @user-md5od3xm2g
    @user-md5od3xm2g Před 3 měsíci +4

    Mashallah Allah akuhifadhi shekhe wetu

  • @user-me6gv6tm8h
    @user-me6gv6tm8h Před 3 měsíci +1

    Mashaallah mashaallah tabarakallahu may❤Allah bless him and happiness umuri tawilli.Allahu ma amini thuma amini

  • @user-ey9vf2xo6l
    @user-ey9vf2xo6l Před 3 měsíci +5

    Maa shaa Allah baraaka Allah fika masheikh wetu Allah awalipe kila lenye kher nanyi

  • @user-zi3iu3es5i
    @user-zi3iu3es5i Před 14 dny

    ALLAH amjaalie sheikh Othman maalim...ampe kila lenye heri

  • @lamuchidon7643
    @lamuchidon7643 Před 3 měsíci

    Asalaam aleikum Mungu amjaze kheri sheikh langu othman maalim. Nakumbuka siku nilipokutana na sheikh Othman maalim Mombasa kenya.nikamuuliza sheikh anipe nasaha mm kama kijana basi nasaha alonipa ni same haya maneno asemayo hapa. Masha Allah 😊 Mungu akujaze kheri

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py Před 3 měsíci

    Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe

  • @DON_CARE
    @DON_CARE Před 3 měsíci +1

    Nakupenda sana sheikh othmaan maalim kutoka moyoni 🤝😊

  • @Athmanobo
    @Athmanobo Před 3 měsíci +1

    Mashallah ustadh osman amenisomesha Islamic teachers training college mikindani mombasa Allah (sw) amuhifadhi.

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 Před 3 měsíci

    MashaAllahu al imam Sheikh Othman Maalim na Sheikh Rashid 🎉❤

  • @SaidNassor-xj6yp
    @SaidNassor-xj6yp Před 3 měsíci

    Mashallah allah Al Fatah kwa history nzr ya sheikh Othman maalim.

  • @saumujumanne8866
    @saumujumanne8866 Před 3 měsíci

    MashaAllah, Sheikh Othman Maalim, my best sheikh, Mwenyezi Mungu akujaalie umri mrefu, afya njema, baraka na mafanikio tele ili tuendelee kufaidika na ilmu yako

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 Před 3 měsíci

    MaashaaAllah. Tabaarakallaah. Sikutaka program imalizike. Namuomba Allah Tabaaraka waTa’aalaa ampe Sheikh Othman umri mrefu wenye baraka, afiya, busara, ikhlaas, tawfeeq na mwisho mema. Allah awahifadhi watoto na family wake. Allah abariki killa kitu la kheri akilofanya. Yaa Allah! Tunampenda Sheikh Othman bila kuwonana naye na tunakuomba umpende yeye na dhuriya na jamii yake. Umpe killa la kheri.

  • @fatmamohammed9933
    @fatmamohammed9933 Před 3 měsíci

    Mashallah Mashallah yaani nimefurahi sana kujua historia ya sheikh othman Maalim Allah azidi kumpa umri mrefu mwenye furaha na imani kubwa na ampe afya azidi kuweza kutuelimisha na ampe pepo ❤❤❤❤😊😊

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 Před 3 měsíci

    Mashallah mashallah Mashallah Ama leo mmenifurahisha jaman Nampenda Sheikh Othman Maalim Sana sana Allah ampe umr mrefu wenye kher na yeye Amuepushe na Shari Kwa hakika mim Tangia nimdogo Nimekulia kuskia saut yake bas Ramadhan kila ikifika saa 8 Kuna visa vya mitum mama angu atega sikio Kumsikiliza bas kama mama Amwnirisisha yaan na Mamb haya ya mitandao Mashallah Allah ametupe neema Sasa tunamuona Live🥺Mashallah Wallah katika Masheikh walojaaliwa Vipaj bas mmoja ni yeye huyu Sheikh ninampenda Mpaka bas Halaf Sheikh Rashid ni kwel Saut yako Ukizungumza utasema ni shwilh Othman Maalim Na Nlijua tu utakuwa ni mwanafunz wake Mashallah Jazakumullah kher Allah akupen Umr mref wenye kher Akuhifadhin Dunian na kesh akhera😭🤲🥺😍🌹Ramadhan رمضان مبارك علينا وعليكم🌙🌹☺️❤️😍

  • @zenarajab5104
    @zenarajab5104 Před 3 měsíci

    Maa sha Allah tabaaraka llahu, shekhe unanipa faraja sana kwa darsa zako najifunza mengi awali sikuyajuwa Alhamdulillah mungu akujaalie maisha marefu yenye mwisho mwema ❤

  • @rashiddzambo7789
    @rashiddzambo7789 Před 3 měsíci

    May Allah accept your deeds sheikh. You have done a lot, we have learnt a lot your exemplary behaviour. May Allah bless you more and more!

  • @user-ck8ln8ed4z
    @user-ck8ln8ed4z Před 2 měsíci

    Mashallah Allah atuekee sheikh wetu inshallah

  • @hamisisaid-zz2ye
    @hamisisaid-zz2ye Před 3 měsíci

    Mwenyezi Mungu amuhifadhi sheikh wetu Othman maalim kwa kazi kubwa anayoifanya tunaomba pia aje sehemu za Tanariver county Kenya

  • @khadijaali-gm4yw
    @khadijaali-gm4yw Před měsícem

    Mashaallh Allah akupe kila la kheri sheikh wetu kipenzi

  • @ziadamohamed9554
    @ziadamohamed9554 Před 3 měsíci

    Manshaallah l love u shekh othman allah akulipe mema kesho akher amin

  • @user-qh9jj5xz3p
    @user-qh9jj5xz3p Před měsícem

    Masha Allah tabarakallah, mungu akuzidishie 🎉🎉🎉

  • @mahershadhil2493
    @mahershadhil2493 Před 2 měsíci

    Salafy wanaumia san kukuona sheikh upo katik ubora na kazi ya kushajihisha watu waendelea kukazania kusoma san sira za mtume SAW nakupenda sana

  • @user-or8xv5bp1b
    @user-or8xv5bp1b Před 3 měsíci

    ALLAH (S.w)akuweke sheikh wetu akupe afya njema na nguvu na sifa tunajifunza mengi tunaelimika na mengi kupitia vipindi vyako,mawaidha yako na Elimu yako

  • @fadiahshamekhatib3701
    @fadiahshamekhatib3701 Před 3 měsíci

    Masha ALLAH sheikh ALLAH akupe umri🤲🤲

  • @jichokodoabdullatifabdi3995
    @jichokodoabdullatifabdi3995 Před 3 měsíci

    Masha Allahukana Laahawulla qoywat illa billah jazakallahu kheir'na sheikh Othman na Mwenyezi Mungu atujalie sote kheir ya dunia na ya kesho akhera.

  • @user-jb3uq6jg5f
    @user-jb3uq6jg5f Před 3 měsíci

    Mimi nampeda sheikh othman nikimsikiliza namuelewa sana na najifunza mengi pia kupitia yeye mungu amlipe heri na anasaidia kunibadilisha sana katika mapito yangu na uelewa juu ya dini amii yarabi

  • @halimaomari3415
    @halimaomari3415 Před 3 měsíci

    Mashaa Allah Mashaa Allah,sheikh wetu ndugietu kutoka kenya mola akuzidishie umri uziidi kutuelimisha Raha kukusikia ukijielezea umewatia moyo vijana wengi sana

  • @user-if3ti3hw2j
    @user-if3ti3hw2j Před 3 měsíci

    Masha Allah sheikh Allah akuhifadhi amiin

  • @bwengyeashraf5081
    @bwengyeashraf5081 Před 3 měsíci +2

    Huyu ni sheikh wangu
    حفظه الله

  • @safinajuma7310
    @safinajuma7310 Před 3 měsíci

    Mashalla barakallahu fii kum wallah nakupenda shekh kwa ajili ya Allah nafurahi sana unapotaja markit shukran sana jazakallah kheyr Allah akupe umri mrefu wa ibada

  • @mohamedswaleh800
    @mohamedswaleh800 Před 3 měsíci

    mashallah Allah akuhifadhi sheikh

  • @hassanachunis1166
    @hassanachunis1166 Před 3 měsíci

    MASHALLAH ALLAH IBARIQ

  • @camillas.edrees6155
    @camillas.edrees6155 Před 3 měsíci

    Maasha'Allah Tabaarakallah,,,Allah Akujaze mema

  • @SakinaSakinat-qd9rs
    @SakinaSakinat-qd9rs Před 3 měsíci

    Maa shaa Allah tabaraka Allah sheikh Othman maalim ❤

  • @HumoudSalim-ct1tz
    @HumoudSalim-ct1tz Před 3 měsíci

    Mashaaalllah alfatah ❤

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 Před 3 měsíci

    Video yenye manufaa mengi MaashaaAllah. Allah amhifadhi Sh Othman na ambariki. Allah awarehemu wale ambao wamemlea Sheikh Othman na wale wamemsomesha. Yaa Allah! Tunampenda Sh Othman na tunakuomba umpende. Yaa Allah wahifadhi watoto wake na students wake na mlipe malipo mema.

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 Před 3 měsíci

    Jazzakllah kheir

  • @user-lr2wd3zs1k
    @user-lr2wd3zs1k Před 3 měsíci

    Mashaallah mashaallah shekh wet Othman ❤

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline Před 3 měsíci

    MaashaaAllah. Ahsante sheikh Rashid kwa kutuwekea Sheikh wetu.,....

  • @RahmaRashid-lc6nw
    @RahmaRashid-lc6nw Před 3 měsíci +2

    Mashallah Tabaraqallah mie nilitamani kujua na familia yake ana watt wangapi wake

  • @rukiashinen7634
    @rukiashinen7634 Před 3 měsíci

    MaashaAllah Allah akuhifadhi sheikh wetu...Alhamdulillah kwa ilmu tunayopata kwako

  • @saidabdurahman9631
    @saidabdurahman9631 Před 3 měsíci

    MaashaAllah shekh amepambana sana Allah amuhifadh aendelee kutufundisha visa vya waja wema

  • @ashashaban6484
    @ashashaban6484 Před 3 měsíci

    MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER SHEIKH WETU ALLAH AKUJAALIE KHER DUNIANI NA AKHER NA SS ALLAH ATUJAALIE TUWE MIONGONI MWA WAJA WEMA NA MWISHO MWEMA INSHALLAH

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 Před 3 měsíci

    MAASHAAALLAH TABAARAKALLAH LEO NIMEFURAHI KUIJUA HISTORIA YA SHEIKH WETU KIPENZI OTHMAAN MAALIM WATANZANIA WENGI TUNAKUPENDA SANA ALLAH AKUBARIKI KTK MAISHA YAKO YAWE NI NYENYE KHERI NA BARKA TELE ALLAHUMMA AMIIN🙏

  • @user-zj6uz6dt9j
    @user-zj6uz6dt9j Před 3 měsíci +2

    Mashallah , tungelipenda kuwajuwa zaid mashekh wet kama hv❤❤ kwahiy musichoke kuwapa mualiko na wengine inshallah ili tupate faida

  • @abujassarlimited294
    @abujassarlimited294 Před 3 měsíci

    Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatu...Sheikh Maalim Othman..nakumbuka ulipokua ukitoa khutba ijumaa masjid Amani maratbu wakikuita jina la kishik Mimi moja wa nakumbuka ukiitwa kishik...Masha Allah Tabaraka Allah..

  • @maryamzdelights1352
    @maryamzdelights1352 Před 3 měsíci

    Maa Shaa Allah...Maa Shaa Allah

  • @user-fe9jc5di9f
    @user-fe9jc5di9f Před 3 měsíci

    Tamaa zangu zote shekhe wangu najua nimzaliwa wa Zanzibar nakupenda sana kwa ajili ya Allah mungu akupe umri mrefu wenye kheri na barka lkn pia Allah akulipe janna pamoja namtume inshallah