JE KISHKI NDIO SULUHISHO KWENYE UKAFIRI WA HARMONIZE || MUHAMMAD BACHU || 19/4/2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 254

  • @GoodluckPaul-wf9gn
    @GoodluckPaul-wf9gn Před 3 měsíci +2

    Sheikh Muhammad Bachu Mwenyezi MUNGU azidi kukupa umri mrefu wenye kheri na akujaalie mwisho mwema Inshaallah

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 Před 3 měsíci +4

    Wanamuziki mnajisahau sana, kumbukeni Allah yupo na mwisho baada ya maisha haya utaenda kuyajibu yote unayofanya!

  • @SirlemNasir
    @SirlemNasir Před 4 měsíci +5

    Masha Allah.. umesema.kweli sheikh Muhammad Bachu.. tatizo kuu ni wapi mtoto wako unampeleka.kusoma.dini. wallahi kama ungelijua hata ule munakasha wa Barzanji, ungejua unaenda kufanya naye mjadala ni mpiga gita na vinanda..usingepoteza mdaa wako.

  • @YusraynatAlly-mo7sq
    @YusraynatAlly-mo7sq Před 4 měsíci +16

    ALLAH(SW) atuhifadhi na atulinde na atuepushe na kufuru,,,,,,,,,,,,,,,mda upoo jamnani tutubuniii hakika Allah (sw) ni mwenye kusamehe,,,,,,,Allah (SW) atujaalie tupate mwisho mwema tuingie katika pepo ya firdaus amiiiin ya rabbi

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud Před 4 měsíci +10

    Maashallah, mwalimu wangu bachu, nakupenda kwa ajili ya allah.

  • @user-of4gj2xb6j
    @user-of4gj2xb6j Před 3 měsíci +1

    Shekh wangu Allah hakuifazi haku zidishie neema na baraka tele

  • @SalehKhatib-ey6ct
    @SalehKhatib-ey6ct Před 4 měsíci +7

    Muhammed bachu nafatilia sana mawaidha yako upo vizur si wote watokupenda ila wew bainisha haki Allah atakupenda hongera sana napenda mawaidha yako unazungumz vitu kwa dalili

  • @SalehKhatib-ey6ct
    @SalehKhatib-ey6ct Před 4 měsíci +5

    Hata sis tumetoka madrasa hizi za maulid na mambo mengi ila namshkuru Allah sw kwa kuijuwa haki pamoja na familia yangu namshkuru Mola kwakuniepusha na batwil na kuijuwa haki

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 4 měsíci +3

    Laahawl walaa quwwata illaa billaah!
    Kwakweli wazazi tunapaswa kua makini na kuchukua hatua stahiki kwa watoto wetu kupitia tukio hili.
    Pia Shekh Muhammaa kwakweli tunamuomba Allaah Azza Wajalla akupe umri mrefu wenye faida kwako na kwa ummah pia.
    Kwakweli umeongea vitu vya maana sana maashaa Allaah, wabaaraka Allaahu fiik.

  • @HussainMaula-tz8dh
    @HussainMaula-tz8dh Před 4 měsíci +5

    Shekhe muhamani bachu twakuombea kwa Allha akuhifazi shekhe wetu na akupe umri mrefu ili watu wazidi kuifahamu haki na kuikataa batili.

  • @user-pt1nl5rl5q
    @user-pt1nl5rl5q Před 3 měsíci +3

    MashaAllah Allah akulipe kher shekh Bachu

  • @tz2014
    @tz2014 Před 4 měsíci +3

    Allah azidi kuwahifadhi masheikh wote wenye kusimama katika haki kufundisha dini kama alivyofanya mtume, maswahaba na wema waliotangulia amiin.

  • @adamaliali2206
    @adamaliali2206 Před 4 měsíci +7

    Allah akulinde Mohammad bachu

  • @kizitofarid9414
    @kizitofarid9414 Před 4 měsíci +1

    Mashaallah Allah akuhifadhi sheikh wangu na akuzidishie Elimu na ufaham zaidi na zaidi uzidi kuwafahamisha watu dini ipoje na sivyo wanavyofikiria Allah azidi kukufungulia ufaham wallah wataelewatu

  • @muhunzijunior5153
    @muhunzijunior5153 Před 4 měsíci +5

    Allah atunusur atuepushe na kufuru na atujaalie mwisho mwema in Shaa Allah

  • @user-wk5ju8kd3u
    @user-wk5ju8kd3u Před 3 měsíci

    Allah akulinde Insh Allah uzidi kutuilimisha nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @amuribazira9350
    @amuribazira9350 Před 4 měsíci

    Shukran masheikh zetu kusimamia HAKI. Ila tusiumize vichwa vyetu,huyo msanii anasifa ya kuwa mfuasi wa sheitani. Anapo kufturu ndio naingia kwenye Ibada ya kisheitwani.
    Allah tunusurishe na huo upotevu.

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 Před 4 měsíci +6

    Mtihani wallai kijana Kaleft Group.. watu wanaomba mwisho mwema yeye Ndo anaharibu dakika za mwisho .. mungu amrejeshe kwenye akida .. maana wale wanaosema mungu ana mtoto mbingu zinatetemeka je kauli alotoa harmonize 😢

  • @shaabansheehabdallah8770
    @shaabansheehabdallah8770 Před 4 měsíci +3

    MAA SHAA ALLAH
    BarrakkAllah fiik. Ujumbe umetulia kabisa

  • @barakoibrahim
    @barakoibrahim Před 4 měsíci +1

    Masha Allah Sheikh, nlikua natafuta mtu ka wewe wa kuwaambia Hawa watu was Lamu ukweli. Wallah kwa kweli nakushukuru kwa upande wangu ❤❤❤

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 Před 4 měsíci +2

    Nikweli Sheikh wng lkn wkt mwngn tusiwalaumu tu Wazazi
    Kuna Familia Wazazi wao hufanya Bidii ya kila namna lkn mwsh wa sku mtt akakosa Elimu au akabadilika ukubwan
    Na kuna watt wengn hata hai Wazazi hawawajui-mfano mtt analelew na Mzazi 1 tu na mwsh wa sku mtt akawa mweye juhud ktk Dini....Wallahu Aa'alam

  • @niffonlinetz7214
    @niffonlinetz7214 Před 4 měsíci +2

    BACHU KAMA BACHU ALLAH AKULIPE KILA LENYE KHERI SHEKHE WETU

  • @TijosHaba-xi8vy
    @TijosHaba-xi8vy Před 4 měsíci

    Waarabu hao wapiga gita eeehh Allah atupe mwisho mwema. Sheikh Muhamad Allah akuhifadh😊itikadi sahihi ni yamuhimu yaa Allah tuongoze

  • @HarunaKhamisi
    @HarunaKhamisi Před 2 měsíci

    Atakaefahamu atafahamu laa watu kama wapo kishabiki zaidi bac ila hao wsikuvunje nguvu fanya kazi allah atawajalia iposiku w atafahamu nn unamainisha

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 4 měsíci +5

    Naukiangalia. Wanamuziki wote wametokea madrasa za madufu. Mtiihani. Allah atuongoze hawamashehe ubwabwa mtuhani.madufuni muzikitu .. zambi zilezile

    • @mzalendohasa
      @mzalendohasa Před 4 měsíci

      Kwa hiyo na wanaziki wanao imba nyimbo zinazo itwa nashidi wametoka kwenye madrasa za dufu tuache chuki zisizo za maana ndugu

    • @cityhuntermkali2468
      @cityhuntermkali2468 Před 4 měsíci

      ​@@mzalendohasahuo ukweli wala hakuna mjadala

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Před 4 měsíci

      @@mzalendohasa kwani anashidi ni halali zone ni bidaa sugu hizo hazitakiwi ni walewaletu

  • @FreePalestineoneummah
    @FreePalestineoneummah Před 3 měsíci

    Kukufuru kukubwa uliodhahiri, Subhanallah,hyo ni bangi

  • @JahyAlnadhir
    @JahyAlnadhir Před 4 měsíci +2

    Mungu akubadilishe pua ya tumbiri

  • @halimamohamed4842
    @halimamohamed4842 Před 3 měsíci

    Shukrn sanaa sheekh Allah akuhifadhi❤❤upo sahihi,,watching from kenya🇰🇪🇰🇪

  • @allysalimu338
    @allysalimu338 Před 4 měsíci +1

    Allaah akuhifadhiii! Shekh bachu❤

  • @SalehKhatib-ey6ct
    @SalehKhatib-ey6ct Před 4 měsíci

    Muhammed bachu unafiks ujumbe sana Allah akuhifadh ila kuns watu wanakukejeli ila siku zote ukizungumza ukwel utachukiwa madui watakuwa wengi ilw Allah sw atawaongo endelea kutubainishia haki

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu Před 3 měsíci

    Allah ti abençoe irmao insha-Allah 🙏

  • @ShamuniShamun
    @ShamuniShamun Před měsícem

    Allah hakuifadh. Na kila baya

  • @omarmwabege
    @omarmwabege Před 4 měsíci +1

    Maa shaa Allah,أحبك في الله يا أخي

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja Před 2 měsíci

    Amefanyaa makosa makubwa mungu ampea mazingatio atubiea AMEEN YA RABII

  • @slimdaszwagaza2202
    @slimdaszwagaza2202 Před 4 měsíci

    Watching from ethiopia kenya border mashAllah sheikh mungu akujazie kheir na akuongoze kwa njia kamili ya Tawhid

    • @user-qd6iy9gt5l
      @user-qd6iy9gt5l Před 4 měsíci

      Sheikh huyo msaa nii jashakiri kama amemkosea Allah

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py Před 4 měsíci

    Subbhanna Allah, mola amuongoze kijana huyo , arudi kuwa muislam safi , Hakika kakosea sana

  • @user-pt4qj4qh3r
    @user-pt4qj4qh3r Před 3 měsíci

    Ndo mana Allah kasema tusimfikirie san yupoje tutamkufuru ndo hivy sasa

  • @leilakhamis983
    @leilakhamis983 Před 4 měsíci

    Muhammad bachu Allah akuhifaz aamin

  • @safiaMsellem
    @safiaMsellem Před 2 měsíci

    Mashallah shekh

  • @KomboHussein
    @KomboHussein Před 4 měsíci

    Allah akuhifadhi shekh Mohammad Bachu,

  • @cityhuntermkali2468
    @cityhuntermkali2468 Před 4 měsíci

    Muhammad bachu Allah akupe uhai mrefu tuendelee kunufaika na madini yako

  • @user-nc5ug2pj3j
    @user-nc5ug2pj3j Před 4 měsíci

    Asc ,,,Maa,SHaa,Allah,,Allahuma,Ahfith,,kullu Sheikh,,Allmusliiin☝️👍

  • @mzeemzee7503
    @mzeemzee7503 Před 3 měsíci

    TAFADHALINI MASHEKHE NAWAOMBA MUNATOKA KATIKA MALENGO YA DINI WAKATI TULIONAO SASA NIKUWAOKOWA UMMAH NA MOTO WA ALLAH AWE MUHUNI MCHAWI MZINZI MALAYA NAWENGINEO ZAMA ZILISEMWA ELIMU WASOMI KUTAKA UMARUFU NA SIFA SIO KULINGANIYA WATU WAIPENDE NAKUINGIA KWA DINI SHETANI AMEWAZIDI NGUVU DIAMOND KONDE BOY NA ALI KIBA SABABU YA MAISHA NA ANASA MASHEKHE HAMTUMII HEKMA YA QURAN NA HADITH ALLAH AWAPE TAWFIQ WARUDI KWA MUONGOZO KUMBUKA WANAMUZIKI WANAFILM WACHEZA MIPIRA WANATUMIYA KUANGAMIZA JAMII NA MWISHO WAKICHOKA WANAULIWA MFANO MINGI BOB MARLEY WHITENY HOUSTON CELINE DEON NAWENGI MAMBO YAKO WAZI SHUKRAN

  • @user-zr7on8ys1l
    @user-zr7on8ys1l Před 4 měsíci +2

    Alhaa Akubariki na Akuepush fitin za duniya

  • @user-kb7bk3sq6v
    @user-kb7bk3sq6v Před 4 měsíci +1

    Allah umuongoze kijana wetu

  • @faisalmohamed727
    @faisalmohamed727 Před 4 měsíci +3

    Wanamiziki wa east Africa wanaodai kuwa ni waislamu wote ni wanafunzi wa masufi, masufi hufundishwa uimbaji kuanzia madrasa.

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu Před 4 měsíci +1

      Ndio maana wengi masufi hupenda migoma

    • @mbarakomarmbarak5863
      @mbarakomarmbarak5863 Před 4 měsíci

      bachu alishindwa kwa elimu si kwa Gita

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 Před 4 měsíci

      Acha zako Sikiliza yalio hapa uyafuate acha kusema watu bila ⁷bu et masufi kule madrsa hawafundishwi mzik bali kumsifu Allah na Mtume wake

    • @faisalmohamed727
      @faisalmohamed727 Před 4 měsíci

      @@jamilashabani8580 Ulionapi mtu wa sunnah muwaitao (mawahabi) kiwa mwanamziki au mpiga ramli mganga? Hao hupatikana kwa masufi tuu, waganga wapiga ramli waimbaji na wanaoabudu masharifu na makaburi yao.

  • @sarahabdullatif8556
    @sarahabdullatif8556 Před 4 měsíci

    Mungu hapiganiwi kwa Yesu Raha anajuwa sio mungu wa kweli ndio mana anafanya hivyo hebu hayo naayafanye kwa Yesu

    • @mohamedlali4229
      @mohamedlali4229 Před 4 měsíci

      1 Samweli. 15: 2-3 soma humo utaona kama Mungu wako anataka apiganiwe au vipi

  • @ibrahimjumaa538
    @ibrahimjumaa538 Před 4 měsíci +1

    Muombeeni Duah!!❤

  • @abdulmwakubambanya9091
    @abdulmwakubambanya9091 Před 4 měsíci +1

    Barakh Allah Kher sheikh

  • @jumasalum2677
    @jumasalum2677 Před 4 měsíci +2

    Masha Allah

  • @HamisMtonnya
    @HamisMtonnya Před 3 měsíci

    Maneno ya kweli kabisa ,mashaallah

  • @abdulkadirhaji3947
    @abdulkadirhaji3947 Před 4 měsíci +1

    Shk Mohamed bachu uko miskiti gani nataka kuja kusikiliza kudba zako wallahi kwajili ya allah

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 Před 4 měsíci

      Hua yuko Migadini sana sana,

    • @tztanzania2262
      @tztanzania2262 Před 4 měsíci +1

      ​@@habibasalim3092upo Kenya?

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 Před 4 měsíci

      @@tztanzania2262 yes

    • @abuubakaramer7782
      @abuubakaramer7782 Před 4 měsíci

      kwani zanzibar hayupo tena au

    • @musakibindo6345
      @musakibindo6345 Před 4 měsíci

      Mmojawapo ya watu ambao haifai kuchukuliwa dini kwao ni wewe. Maana unatumia nguvu nyingi, siasa nyingi na propaganda tele kuwanasa, na kuwavuta watu upande wako. Hivi siku zote hamjawahi kuuona dharura ya kuwazungumzia wanamziki ambao ni waislamu waache kuimba mziki wa kishaitwan. Nyinyi Mashekhe mchongo bin propaganda Allah anawaona. Yaani siku zote Harmonize alikuwa mwema mpaka hivi majuzi ndio akaanza kufru hapo mbeleni hakuwa na kufru yoyote? Mungu anawaona.

  • @ArunaDjumapili
    @ArunaDjumapili Před 4 měsíci

    Mwenyezi Mungu asamehe na amuongoze

  • @MteleShadia-lc6gi
    @MteleShadia-lc6gi Před 4 měsíci +3

    Mashallah mashallah,,shekh,,,pia nurudin kishik Allah amlipe,,kwaa Kaz nzr yake,, anayoyafanya kwenye din hi Allah amlipe,,popote alpo

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp Před 4 měsíci +1

    Muhammad bachu ❤❤❤

  • @anthonykariuki2438
    @anthonykariuki2438 Před 3 měsíci

    Ali iga hayo maneno kutoka kwa mwanamuziki mwenye asili ya kimarekani anayejulikana kama Shaggy katika ule wimbo wake strength of a woman.

  • @user-nk4px3bt1m
    @user-nk4px3bt1m Před 4 měsíci +1

    Shekha Allah akulipe nimekuelewa

  • @sofiaadamugi1650
    @sofiaadamugi1650 Před měsícem

    Subhanaallah,porque tanto shirk😢

  • @allysalimu338
    @allysalimu338 Před 4 měsíci

    Kwahaki ulionayonna unayo wapa watu sikilq mmoja atakupenda wako wenye husdaa ilaa toa haq sheikh wangu mpka itapokufika yakin😢

  • @user-rz2ek3qw3h
    @user-rz2ek3qw3h Před 3 měsíci

    Kwa maana hii basi ata kwenda hija maka pia ni upuuzi katika uislamu, kwa sababu wanokwenda kule ni kwenda kudhulu kaburi pale maka. Ndugu Zangu waislam tutafute ukweli sisi wenyewe tusipelekwe kama bendera inavyopelekwa na upepo.

  • @SeaPower-pu1mq
    @SeaPower-pu1mq Před 4 měsíci +1

    Upo Sahihi shekh langu

  • @user-nk3dp9cv9c
    @user-nk3dp9cv9c Před 4 měsíci

    Alhamdulillah, umetufunza na nimepata kitu kupitia video yako hii, Alhamdulillah

  • @bakarihote
    @bakarihote Před 4 měsíci

    Allah amlinde shekhe bachu 6:32

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 Před 4 měsíci

    Walahawla walaquwwata illa-billaah, inakuwaje wazungu sasa hivi wanaukumbatia uislamu wakiwemo ma priests, khasara hii ya harmonize

  • @idrismaalim2254
    @idrismaalim2254 Před 4 měsíci +1

    Sasa Mpiga gitaa alikunyamazisha ukiletewa maUstadh si utahara.?

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před 3 měsíci

    Kitu cha kwanza ninachompendea bachu simnafiki na haogopi kuchukiwa kwa ajili ya allahh

  • @SalehKhatib-ey6ct
    @SalehKhatib-ey6ct Před 4 měsíci

    Bachu endelea kusambaza dawa sisi tunakupenda kwa ajili ya Allah endelea kuwanyoshaa na waepukane na batili waje kwenye haki inshaallah Allah atawajalia kuijuwa haki

  • @user-ny3dw4xs1z
    @user-ny3dw4xs1z Před 4 měsíci

    Shekh nauwakika wengi wanachukia mawaidha yako2 lakin wengi wanapenda mawaidha yako ila mungu akipende zaid akulipe janna insha Allah

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe Před 4 měsíci +2

    shekh bachu natka unipe dalili ya uharamu wa kuomba dua ya pamoja baada ya swala ya faradh

    • @amourshadhil2005
      @amourshadhil2005 Před 4 měsíci +1

      Suala zuri. Cku akikujibu na mm tafadhali nitumie hata inbox

    • @rafiimkufya1173
      @rafiimkufya1173 Před 4 měsíci +1

      Hakuna uharamu wowote sema mtume hajafundsha hvyo na mtume ndio kiigzo chetu kwenye kila jambo la dini

    • @niffonlinetz7214
      @niffonlinetz7214 Před 4 měsíci

      MTUME HAKUFANYA HILO JAMBO SHEKHE

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe Před 4 měsíci

      @@niffonlinetz7214 sawa mwalimu

  • @kheirjuma931
    @kheirjuma931 Před 4 měsíci

    Uko vyema sheh masha allah

  • @kassimsalim6160
    @kassimsalim6160 Před 4 měsíci

    سبحان الله الله أكبر 😭😭😭😭💔💔💔 الله المستعان والله العظيم 🤲😭💔

  • @user-pd2fk6kt5i
    @user-pd2fk6kt5i Před 4 měsíci

    Bangi ni mbaya kwakweli 😢😢😢
    Allaah azidi kutuongoza kwa Neema zake sababu huyu ni msiba mkumbwa sana kufuru kama hiii Daah

  • @user-zg6hx6xi3x
    @user-zg6hx6xi3x Před 4 měsíci

    Subhanallah! Hawo wenye wako kwenye makaburi na dufu ni wapi? Msiba

  • @user-cz9pm9qt9z
    @user-cz9pm9qt9z Před 4 měsíci +1

    Harmonize laanatullah

  • @bashishimrisa
    @bashishimrisa Před 4 měsíci

    man was created from the dust and in the dust you will return

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 4 měsíci +2

    Masufi wapiga madufu mtihani. Allah atuongoze atujaalie mwishomwema atuepushe na shilki

    • @MWAMBAZanzibar
      @MWAMBAZanzibar Před 4 měsíci

      Wao ndio wanao sema hivyo ?

    • @user-mw8cv2pq2k
      @user-mw8cv2pq2k Před 4 měsíci

      Tatizo vijana kashfa nyingi kwa walimu wa mwanzo fanyeni subra kwani Wew unapata fursa ya kumjua bachu kuna wengine ata kanzu hawaijui acheni zalau kwa ndugu zenu

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Před 4 měsíci

      @@user-mw8cv2pq2k kwani kanxu ndiyo kujia Dini. aundiyo. Kufata haki kanxu mavazitu

  • @hajiamiri1658
    @hajiamiri1658 Před 4 měsíci

    Jazaakhallah kher

  • @AshrafBunu
    @AshrafBunu Před 4 měsíci

    Allah akuhifadhi sheikh wetu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 4 měsíci +1

    Alaaaa dj said bwana

  • @user-zg6hx6xi3x
    @user-zg6hx6xi3x Před 4 měsíci

    Mashallah , mawaidha mazuri

  • @IdrisaHamad-w1b
    @IdrisaHamad-w1b Před 2 měsíci

    Dj said mwalim mkuu wa madrasa

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 4 měsíci +1

    Tatizo mitoto inayolelewa kwenye madrasa za bidaa ndo matokeo yake. Hayo watu wa bidaa wanapanda mbegu chafu xana kwa kizazi chetu leo watoto wanakosa tawhid wanamtukana Allah kazi yao kubwa kule kuimba tuu,

    • @shilolemwakizenga4204
      @shilolemwakizenga4204 Před 4 měsíci

      Sikiliza kilichoelekezwa kisha uliza moyo wako.....bidaa unamaanisha nn

    • @saidmwakulika706
      @saidmwakulika706 Před 4 měsíci

      Waongea makosa ustadhi wangu

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 4 měsíci

      Naam maudhui yangu yapo na mada ya shekhe ukunielewa ww,namanisha shekhe kasema huenda kutosomesha watoto ilmu ,ndo kunafanya watu kukufuru au kumpeleka akasome kwa watu ambao so sahihi akichukuwa ilmu kwa watu so sahihi kunapelekea napo mtoto kutojitambua Sasa nihivi ndo nkasema kumpeleka mtoto katika walimu wa bidaa akasome dinni haambulii kitu mtoto bado atabaki kuwa mjinga tuu, sabu hakufunzwa vzr tawheed ya kumjuwa vzr Allah si lazima atakuwa jahli kama harmonize sabu si kwenye vyuo vya bidaa hakufundishwi tahweed nzur watoto, upiga dufu,kuimba makaswida tuu, ndo mwisho wanakuwa wanamuziki badae mwanamtukana Allah lakini akisoma madrasa za sunna atamjuwa vzr Allah na kutomshikisha na atamuogopa hivyo kama kuna lingine uliwaza labda au ukunifahamu

  • @user-ss2vt5dx9u
    @user-ss2vt5dx9u Před 4 měsíci

    Subhaanallah

  • @issambamba9236
    @issambamba9236 Před 4 měsíci

    Kiukweli hakuna mwenye kumjua Allah kiuhakika ya dhati yake,kikubwatu tuamini uwepo wa Mungu muumbaji wetu.

  • @ali_ford
    @ali_ford Před 4 měsíci

    Mungu=miungu shirki
    Mwenyezimungu sahihi

  • @HashimOmaro-s3p
    @HashimOmaro-s3p Před 8 dny

    AsamuAlyim

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 Před 4 měsíci

    Shukran Sheikh wangu

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Před 4 měsíci

    Mm ningefurah ungemwita ukammkanya 🤝

  • @Abuusaad-uy5cx
    @Abuusaad-uy5cx Před 4 měsíci +1

    MM BINAFSI HAKUNA HATA SHUBHA INAYONIBABAISHA HAPO... KASOME KIJANA UJUHA UWACHE

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 Před 4 měsíci

    waislam nguvu nyingi zinatumika kuslimisha wasiokua waislam kwa garama zozote zile pahali popote pale wafika watu wa tablih wanafanya juuhudi kubwa sana na safari za kila siku kuelimisha mbali na hata karibu mijini hadi vijijini ila masheikh na madai wengi hilo halip;o vijana wanafaa watembeleo na kupawa nasaha hilo ndio la msingi na lamaana

  • @user-oe9xm3jx2n
    @user-oe9xm3jx2n Před 4 měsíci

    Kauli kama alizosema hermonize ziko mitaani yeye ni maarufu ndo maana ikaskika, this is summation of the individuals you hang around with, kuna wasee ni kama wametumwa kupoteza watu wanaongea na ushawishi ili kupoteza watu, ideology ya kuwa huru , free to think ,to say ,to act as u wish. If u question it ndo watakuambia "you have a colonic mentality " opposite yake ni ?

  • @UlamaaWaUlamaa
    @UlamaaWaUlamaa Před 4 měsíci

    Mashallah huyu namfuatilia yeye na baba yake Shekh Nassoro Bachu

  • @badarbinthabit290
    @badarbinthabit290 Před 3 měsíci

    Allah Mustaan

  • @AthmanAmina
    @AthmanAmina Před 4 měsíci

    Hasbunallah

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem7105 Před 4 měsíci

    MashaAllah

  • @abuuaidh6500
    @abuuaidh6500 Před 4 měsíci +1

    Inafaa kupiga dufu ,Asiliyao hao wanamiziki wote ni kutoka Madrasa za gitaa na kasida ndugu yake taarabu.

  • @AnordyNyoka
    @AnordyNyoka Před 3 měsíci +1

    Harmonize lazima aende peponii

  • @mariamhussein2737
    @mariamhussein2737 Před 4 měsíci

    Mashallah

  • @HappyClogShoes-hp9ho
    @HappyClogShoes-hp9ho Před 4 měsíci

    Subhanaalah

  • @MchinaMchinaboy
    @MchinaMchinaboy Před 4 měsíci

    Awa jamaa wamekaa kama makondo akili hawana kabisa yani wanaenda kuabudu makaburi ushirikina mtu wallahi mungu awaongoze inshallah