Usituchokoze waislamu,kabla haujamuita Rais Samia mdini tazama hizi Takwimu - Sheikh Mziwanda

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 03. 2023

Komentáře • 461

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Před rokem +6

    Shukran sheikh, ALLAH akuhifadhi, huyo mzee warioba naona fyuzi zinakatika mara kwa mara

  • @shersaid7988
    @shersaid7988 Před rokem +9

    Shukran Sheikh hukupindisha maneno na data unayo hao wanaomsema mama wanataka fitna.Mama anajitahidi kuonyesha upendo kwa wananchi wote na kwa muda mfupi ameonyesha mabadiliko.Kwani hijabu ndio inayoongoza nchi au hikma.Allah akubariki Shekhe.

  • @alwymohammad5336
    @alwymohammad5336 Před rokem +5

    Asante Shekhe. Ukweli ni mafuta yaelea. Allah atawavunja miguu mahasidi wasiweze kusimama.

  • @soudia9084
    @soudia9084 Před rokem +7

    Sheikh Ilunga.mmMwenyezi Mungu amrahamu

  • @ibnomar8144
    @ibnomar8144 Před rokem +5

    Sheikh mziwanda ❤ Allah akupe mwingi

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 Před rokem +4

    ukweli waislam ndio kauli zenu maashallah shekhe 🤲hao wa upande wa pili wafe vinywa wazi inshaallah kwa ubaguzi wanapenda 😭😭 yarab mpe nguvu na subra samia wet❤😭😭😭😭

  • @nassorbinfundi1196
    @nassorbinfundi1196 Před rokem +21

    Wanashindwa kustahmili wenzetu, kikubwa dua ziwe nyingi ndg za waislam tumuombee huyu Rais wetu Mola amlinde,

    • @davidsimbeye1548
      @davidsimbeye1548 Před rokem +1

      Tena waislam ndo wanaoongoza kumpinga mama na hasa wanawake,.
      Mimi ni mkristo lkn namkubali sana rais Samia.

    • @zubedabunto1296
      @zubedabunto1296 Před rokem

      Kwa kweli subira hawana na hawana kumbukumbu. Allah tulindie mama yetu na umpe hekima ya nabii Suleiman.
      David Simbeye nmekuelewa na nimekukubali, Allah akuongoe uijue haki

    • @zubedabunto1296
      @zubedabunto1296 Před rokem

      hawa majirani zetu kwa kweli!!!

    • @mansooralaisri5200
      @mansooralaisri5200 Před rokem

      Tatizo wakristo, akitawala mwislam roho inawauma sana. Wanavo Amini wakristo kwamba Tz ni yao. Hata zanzibar wanajenga makanisa ili kuimeza iwe ya wakristo. Hapo ndio mmekosea. Makanisa ya Znz yote yana majini Cheketu.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před 3 dny

      ​@@mansooralaisri5200Kila anapotawala mtu wenu kuna kuwa na Mambo mengi ya hovyo lakini pia elimu kwenu iko chini sana kulinganisha na wenzenu

  • @mrishojuma4695
    @mrishojuma4695 Před rokem +9

    Huyu sheikhe Huwa namkubali saana yaani Allah akutangulie katika ukweli wako

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 Před rokem +8

    Jamani hawa wazee waliostaafu tusiwape nafasi ktk vyombo vya habari, wanaongea hovyo.

  • @basharahamtzhalisi6871

    Usipojua maana huambiwi maana,
    Usipojua kinachokupasa kufanya utababaika mpaka mwisho wa maisha yako. Ubabaifu tu ukweli tunauficha. Hongera sana Sheikh kwa neno hili ""msituchokozeee""

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 Před rokem +9

    Mimi Kwa mawazo yangu ni kwenye uongozi tuangalie uwezo na sio dinin ya mtu

    • @rugetehassan5942
      @rugetehassan5942 Před rokem

      In position Integrity is first thing

    • @sadikiissa7756
      @sadikiissa7756 Před rokem

      Tatizo Wakristo wengi wameshalishwa sumu na wazungu ili wauchukie Uislam ili iwe vyepesi kupitisha sheria za mila za Wazungu zenye kwenda kinyume na maandiko. Ndipo Leo unaona ushoga umeshamiri.
      Lkn Wazungu wanawajua vyema Waislam kwqmba asilimia kubwa wameshika maandiko hivyo ni vigumu kuwashawishi kupitisha mila zao za kishenzi.
      Wakristo na Waislam tushikamane na tuijue hii mitego ya Wazungu mapema.

  • @hamoudabdullah5497
    @hamoudabdullah5497 Před rokem +14

    Mzee Warioba amekosea Sanaa. Kimsingi maneno yake si sahihi kwa Amani ya nchi yanaweza yakachochea mivutano na MIGOGORO ya kidini hususan kwa wakuwa Takwimu zinaonesha wazi kuwa Raisi anapokuwa Mkiristo Waislamu wachache ndio wanaingizwa Serikali na wala hawapigi kelele. Lakini Raisi anapokuwa muislamu na akatenda haki kwa dini zote, Basi wenzetu wanaona hivyo si sahihi kwasababu wamezowea kupendelewa.
    Wanapenda kutaja neno udini kwasababu wanakusudia kutisha. Lakini wakati wa kuogopa umeondoka na Sasa tutaenda kitakwimu kwa kueleza ukweli.
    TUVUMILIANE ILI TUENDELEZE AMANI NA UPENDO WA NCHI.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před rokem +4

      Mmmh! Inaweza kuwa kweli lakini katika maraisi wote wakristu JPM aliweka waislaam wengi, sio tu mawaziri hata wakuu WA mikoa na wilaya, aliwachanganya sana.
      Alikuwa na ukanda lakini sio udini.
      Mungu atusaidie Kwa kweli.

    • @hamadimatano4503
      @hamadimatano4503 Před rokem

      @@MsAggie5 apo ni kupigwa mtu tu uwo uvumilivu ndio matongea 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před rokem +1

      Mzee Walioba amezeeka vibaya mno! 🤦‍♂️😃😃

    • @hamoudabdullah5497
      @hamoudabdullah5497 Před rokem +1

      @@MsAggie5 Takwimu zinaonesha kuwa MAGUFULI ndie alieongoza kwa kupunguza Waislamu katika Serikali. Ni asilimia 20 ya nafasi zake za uteuzi ndio alizowapa Waislamu.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před rokem +2

      @@hamoudabdullah5497 sio kweli! Fanya utafiti tena. Mkapa na Kikwete walikuwa na udini lakini Magufuli nakataa na wengi wao walikuwa wala hawajulikani. Ukinambia ukanda siwezi bisha alikuwa nao lakini sio udini

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před rokem

    Tunajivuni kuwa waisilamu sababu mwisilam maishani kwetu tunapenda salama alhamdulilah rabillamin mwenyezi mungu atupe uvumilivu wajuu ameen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 Před rokem +10

    Raisi Samia kawekwa na MUNGU, na MUNGU ndie atakae mlinda .

  • @jeremiatitus4414
    @jeremiatitus4414 Před rokem

    Basi shekh Mungu azidi kukupa hekima katka kuelekeza mema ktk jamii ya tz tuishi kwa amani,

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před rokem +3

    Waislam mnatakiwa muamke sasahv mnachafuliwa kwa ajir Samia ni muislam mnapandikizwa chuki mumchukie muislam mwenzenu mama Samia amkeni mumuunge mkono

  • @abdallahmgaya7521
    @abdallahmgaya7521 Před rokem +2

    SEMA SHEIKH MZIWANDA, HUWA NAKUPENDA KWA KUSEMA UKWELI NA KUTOOGOPA MAZIMWI MA MASOKWE

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před rokem +7

    Masheikh wengi wakifuga ndevu na kupunguza suruali wameuliwa wakiitwa magaid

  • @charleslugemalila1168
    @charleslugemalila1168 Před rokem +6

    Hizi si hoja za msingi kwa sasa sote watanzania mzee wetu sijamsikia lakini kama kasema hivyo kateleza au kakosea. Kweli kabisa hizi kelele ningeweza kuanza awamu iliyopita maana teuzi tuliziona

    • @lulachahayeshi93
      @lulachahayeshi93 Před rokem

      Ndugu yangu Charles asante kwa maoni yako mazuri, natumai yangekuwa mazuri sana iwapo ungeyatafuta maneno yanayodaiwa kusemwa na huyo kiongozi mstaafu hadi kumfanya Sheikh Mziwanda atoe hotuba hii. Tuipende nchi yetu kuliko kitu chochote kwani hata uhuru wa kuabudu tunaupata na kuutumia vilivyo kwasababu tunayo nchi yenye amani, uimara na ustahmilivu baina ya watu wake ambao wana imani na dini tofauti.

    • @adammj6258
      @adammj6258 Před rokem

      Ametaja watu 7 wote wakristo hapakua na Muslim ht mmoja lkn kulikuwa kimya,uteuzi wa muislam mmoja Wakristo tena viongozi wa juu kelele nyiingiii,,,,,hapo katumia namba so please tumia namba kukanusha, Shekh kaweka 7

    • @simbillamachiyya
      @simbillamachiyya Před rokem

      Mzee Warioba akujibu mwenyewe, yeye aeleze maana ya udini! Watanazania wengine, hatuelewi Nini maana udini? Hebu iweke hiyo clip tumsikie mzee Warioba anasema habari za udini!!!

    • @adammj6258
      @adammj6258 Před rokem

      @@simbillamachiyya pengine peke yako ndio habari hii umeikutia hapa mwishoni,,,andika tu 'ripoti ya Warioba' kisha njoo tubishane hapa

    • @simbillamachiyya
      @simbillamachiyya Před rokem

      @@adammj6258 suala so kubishana, suala ni kufanya suluhu baina ya khitilafu Kati ya wanaokhitilafiana, Haki huwa haisemwi popote na vyovyote hii ndio Sera ya uisilam.

  • @isaaabdala7016
    @isaaabdala7016 Před rokem +3

    Ni tabiayao hiyo sisi.mnyezi.mungu ametukataza.kubagua watu.lakini.kaziyao.kubagua.waislam.nashangaa dinigani inabagua watu.dini ya mungu watu hawabaguliwi

  • @abdallahmgaya7521
    @abdallahmgaya7521 Před rokem +3

    Na ndio maana warioba alipigwa mtama na Makonda hadi Chali, wakati anazindua Katiba ya Warioba.

  • @mzeemzee7503
    @mzeemzee7503 Před rokem +8

    NDUGU WATANZANIA MUWE MACHO SANA MUMEANZA KUCHOCHEWA KIDINI WATU WAWAIBIYE RASILI MALI ZENU VIZURI KUWENI IMARA ALIYATABIRI HAYATI MAGHUFULI SHIKAMANENI KITU KIMOJA

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před rokem +5

    Watanzania wanaozungumzia kuwa mama ni mdini ,mpango wao sio dini ,mpango wao ni kutaka madaraka ndio maana wanawashwa na viherehere ,Sasa sisi tunaishi mitaani waislamu na wakristo mbona tuko poa ,hao wanaoongea sisi hatuwataki watuache na NCHI yetu bhana

    • @SAM_163
      @SAM_163 Před rokem +1

      Nikweli bro

    • @SAM_163
      @SAM_163 Před rokem +1

      Hawa ni watu Hatari sana kwenye nchi

    • @Kiyonga2014
      @Kiyonga2014 Před rokem

      Wapagani mbona wananyimwa haki zao!! Au hawana haki ya kuwa viongozi?

  • @hamisiramadhani3538
    @hamisiramadhani3538 Před rokem +6

    Allah akuongoze sheikh

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Před rokem +10

    Sheikh wangu unaupiga mwingi

  • @cosmasparkire1837
    @cosmasparkire1837 Před rokem +13

    Mimi ni m kristo lakini nawakubali sana kwa msimamo wenu kuhusu Hali hii ya kupinga hili la ushoga

    • @rahimgwotta68
      @rahimgwotta68 Před rokem +1

      MASHAALLAH
      Karibu kwenye UISLAMU Dini ya Mitume wa Mwenyezi Mungu.

    • @ngoni7944
      @ngoni7944 Před rokem

      ​@@rahimgwotta68 dini ya mohamed ya mtume alie abuse mtoto wa miaka 6 aisha

    • @rehemaabinelynyagawa2878
      @rehemaabinelynyagawa2878 Před rokem

      ​@@rahimgwotta68 😂😂😂😂

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před rokem

      Mbona mashoga wengi ni hao hao? Kitchen parties au ukienda Zanzibar wamejaa,well sio kama hakuna mashoga WA dini nyingine ila ushoga ni janga la taifa.

    • @annaniasbyarugaba5788
      @annaniasbyarugaba5788 Před rokem +1

      Ushoga umejaa Zanzibar

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Před rokem +5

    Kuna Askofu yeyote au Kiongozi yeyote wa Kikristu alietoa tamko Hilo au watu ambao ni Wakristu?. Maana kama Suala Hilo halikutamkwa na Askofu au Kiongozi mkubwa wa Kikristu lilipswa kutafutiwa namna ya kuliongea badala ya kuwachanganya Wakristu wote. Ukristu ni mpana sio Kila anaetamka kitu eti Kwa Kwa vile mkristu basi ni Suala la Wakristu wote

    • @jumamustapha8254
      @jumamustapha8254 Před rokem +1

      Ndiyo maana ya kuonywa warioba kwa ujinga wake wa uzeeni.

    • @balqeessalum1081
      @balqeessalum1081 Před rokem

      Sahihi ulichosema

    • @amriomar3398
      @amriomar3398 Před rokem

      Sawa lakin yy hyo kajibi kutokan na walioba alivyongelea udin kwaiyo yy anawek saw udin gani ambao mama samia anaufany ingaw mm cpendwez na uongoz wa mam samia lakin kweny hli namtetea 😊

  • @HadaikaNgabona
    @HadaikaNgabona Před 3 měsíci

    Tusije tukakupoteza Kama sheikh Ilunga❤❤❤❤❤❤❤😂

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 Před 11 měsíci +1

    Hawa Maqafiri Tusipowakemea kwa Ukali hawatotuheshim na kutuhofia na ALLAH Amesema Maqafiri Wanawaogopeni Sana Kwa Itikadi zenu Kuliko Mimi Nilie Waumba
    Sasa Tumewavumilia Maqafiri tumechoka Sasa Tunaenda Nao Kama Wanavyotaka

  • @martedimohamed6327
    @martedimohamed6327 Před rokem +4

    Tumesoma na kz hatupat walivyokuw wabaguz

  • @mohamedmwatuwano5526
    @mohamedmwatuwano5526 Před 20 dny

    Masheikh leteni mapya yasaidie masikini.

  • @aliali-ji9ym
    @aliali-ji9ym Před rokem

    ALLAH AKULIPE KHAIR NA NGUVU KUISIMAMIA DINI KWA NAFASI YAKO INSHALLAH.

  • @michaelkibiki3309
    @michaelkibiki3309 Před rokem +5

    Mmeshaanza kelele Nchi hii haina Dini ila wananchi Ndio wenye Dini shehe Acha Uchochezi wewe ndio unataka kupeleka Dini serikalini Acha watu wachaguliwe kulingana na uwezo na utendaji KAZI wao

    • @suleimansalym7537
      @suleimansalym7537 Před rokem +2

      Kama hujui alieanza kuleta udini ni wazir mkuu mstaafu sheikh ndio anasema watu wasilete udini labda ww hujamuelewa tu

    • @ramyramso
      @ramyramso Před rokem +1

      Rudi darasni ili ue muelewa sikiliza kwanza ndo uje ukoment so unkurupuka we vip

    • @shahakaisi1920
      @shahakaisi1920 Před rokem +1

      Kwl ww ni mpummbavu mbona huyo aliyesema serikali inaendeshwa kidini , humsemi? Shekh anataka kujua huyo warioba alikuwa na maana gn anaposema serikali ya awamu 6 ni yakidn!

    • @haidhabushiri9558
      @haidhabushiri9558 Před rokem

      Umemuelewa lakini shekh au ndo slow learner

    • @muzneali4747
      @muzneali4747 Před rokem

      Michael kibiki Kwanza sikiliza Kisha ndio u comment sio kudandia train Kwa mbele

  • @omaryomaryally7420
    @omaryomaryally7420 Před rokem +4

    Mungu akuifadhi shekhe

  • @cafejohn3582
    @cafejohn3582 Před rokem +2

    Mungu wetu ni wa wote mungu ibariki Tanzania wabariki wakirito wote na waisilam wote sis ni wamoja na pia hizi niyakati za mwisho tubuni kwa maana ufarumu wa mbinguni umekaribia

  • @juliusmshani6985
    @juliusmshani6985 Před rokem +3

    Hivi warioba ni mwakilishi wa wakriso? Mtu akiongea jadili alichokiongea kutumia akili yake usiweke udini wakati sio mwakilishi wa dini

    • @jumamustapha8254
      @jumamustapha8254 Před rokem +1

      Ulikuwepo serikalini akiwa waziri mkuu, atueleze yeye alisimamiaje hakhi.

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 Před rokem +1

    Wao wakiwa madarakan wanafanya watakavyo nakuweka watu wao sie hatusemi ila wariomba anamdomo sana ndio maana alipigwa kumbe alikuwa anasitahili tulimuonea huruma sana

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Před rokem

    Ni kweli kabisa, sheikh. Mwl. Nyerere alishirikiana bega kwa bega na Waislamu wakati wa kupigania Uhuru wa Tanganyika.
    Waislamu na Wakristo wote ni Watanzania. Kamwe tusiendekeze udini hapa Nchini.
    Wote tu wamoja.

  • @abubakarmustwafa-lg8fe
    @abubakarmustwafa-lg8fe Před rokem +2

    Mungu akuhifadhi mwamba!!Sheikh Zubeir aliyasema haya,yakatokea mengine,ila liwalo acha liwe

  • @fastanzania
    @fastanzania Před rokem

    Mashallah ♥️ maalmu mziwanda

  • @kennedyngusa8890
    @kennedyngusa8890 Před 11 měsíci

    Mmm mbona waklisto hawaongelei Mambo haya nyie. Vip?

  • @samuelmuthui4699
    @samuelmuthui4699 Před rokem +1

    The big question is, Magufuli chose Samia as his vice president. Ana makosa Gani?

  • @mayaniphilipo9256
    @mayaniphilipo9256 Před rokem +1

    Hv Kwann Rais Akiwa Muislam Lazima Chokochoko Ziwe Nyingi!?

  • @rajabsumba7786
    @rajabsumba7786 Před rokem

    Tanzania ni majirani wazuri na uhusiano kati ya watanzania wenyewe kwa wenyewe ni mzuri pia baina yao na majirani zao hauna kasoro, lakin uchochezi wowote haufai.
    Uchochezi ndio unao sababisha maafa.
    Tunamuombea Rais Samia Suluhu nusra ya Allah.

  • @ignasmalema8354
    @ignasmalema8354 Před rokem +3

    Kwanza elimu mmeanza kusoma juzijuzi tu ,mlikua mnasema elimu ni za makafiri ,kwanza samia amewekwa na wakristo ,uislam hauruhusu mwanamke kua kiongozi,

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před rokem

      kwa hiyo CCM ni wakristo?!

    • @khatibbakhresa7615
      @khatibbakhresa7615 Před rokem

      Rekebisha kauli yako

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 Před rokem

      Wewe yahudi acha ujnga Tanzania sio dola ya kiislamu hivyo mwanamke anaweza kuongoza acha ushamba

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 Před rokem

      Wewe yahudi acha ujnga Tanzania sio dola ya kiislamu hivyo mwanamke anaweza kuongoza acha ushamba

    • @ignasmalema8354
      @ignasmalema8354 Před rokem +1

      @@salehesalehe2967 hata kama tz sio dola ya kiislam bado anapaswa kuishi uislam ,basi ale nguluwe ,sasa kwa kua haishi nchi ya kiislam

  • @edoedo4973
    @edoedo4973 Před rokem

    LAANA KHUM MWENYEZIMUGU ANATUAMBIA MWANAMKE AFAI KUWA IMAMU WALA KIONGOZI MASHEKHE TANZANIA HII NILAANA NDANI NCHI YETU MNASHINDWA KUWONGEA UKWELI MASHEKHE MNAIBEBEA MBELEKO LAANA MNALIJUA HILO SEMA DUNI MMEIWEKA MBELE AYA ZA MWENYEZI MUNGU MMEZIWEKA MIFUKONI

  • @gessanabuu2099
    @gessanabuu2099 Před rokem +7

    Allah atawaangusha muda si mrefu hao makafir

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Před rokem +1

      Qafir mama yako na baba yako walio kukunya we nyoko

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Před rokem

      @@ramadhanmahongole9293 matusi ya nini Ramadhan

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Před rokem

      @@Yu-jr9uf muulize "gessan abuu "anaewatykana wakiristo eti ni makafiri huku yeye anajiona si kafiri wakati sisi wakiristo tunawaona waislamu ndio makafiri

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před rokem

      @@ramadhanmahongole9293 Kwani tafsiri ya KAFIRI ni ipi hasa? Nawe ukiwa ndio mkristo, mtoto wa Paulo aliyewezaa katika kristo.
      Yuda 1:4 Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Před rokem

      @@Sheba4651 kafiri ni yule mtu ambae anaepinga dini ya Mungu wa kweli Jehova ya ukiristo huyo ndio anatakiwa kuitwa kafiri

  • @shd12m55
    @shd12m55 Před rokem +1

    Inaumiza Sana aisee😢

  • @user-xw9hg3zr4d
    @user-xw9hg3zr4d Před rokem

    Swala liko kwenye hu mkataba tuache kupashana umbea ambao hauna maana na hao wanatoa maon yao kwenye mitandao ni watu kama watu wengine turud kwenye mkatab unafaa au aufai tushaur serekali. Sasa tukianza maswala y sijui tusichokozane sijui nini haina maana tena mimi naona kama nyie ndo mnachochea kabisa udini hakuna kiongozi wa kikristo ametoa kaul ya ya udini ni watu tu wakawaida tena watanzania

  • @kassimali2273
    @kassimali2273 Před rokem +2

    Maneno mazima Akhii

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Před 11 měsíci

    Kweli kabisa kwa NINI muingilie dini,KWA KUWA KIONGOZI NI MUISLAM,DINI HII INATETEA KILA MTU NA HAKI ZA WATU,SIO MAASI

  • @DawsonKiwia-qt6zf
    @DawsonKiwia-qt6zf Před 11 měsíci

    Wewe ni mfano wa kuigwa suluhisho la milele kuanzia leo sio kukaa kimya tena. Maridhiano ya kweli ni kukutanisha madhehebu yote na kukusanya mawazo, malalamiko n.k kisha kuundwa mfumo wa haki sawa kwa wote katika idara zote za serikali. (Kuondoa pia na ukabila ktk tass zote pia.

  • @saidsuleiman9018
    @saidsuleiman9018 Před rokem +3

    Allah anasema hawatokubali mayahudi na na wakiristo mpka mufuwate mila zao kuyafanya haoakafri wana hatushangai wache tu waendelee kulikoroga iko siku watalinywa wenyewe

  • @hamadimatano4503
    @hamadimatano4503 Před rokem +3

    sisi waislam twawapenda hao makafir ila wao hawana haja na sisi hata kidogo 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @angelomalimi2444
    @angelomalimi2444 Před rokem

    Ni kweli ni serikali la udini

  • @salehabri6957
    @salehabri6957 Před rokem

    Tushachokozwa sana waislamu lakini hatuna ishu tumejaa unafip mtupu,tuachane na siasa feki ,siasa orig ni laa ilaaha illallah muhammadu rasulullah basi.

  • @gessanabuu2099
    @gessanabuu2099 Před rokem +5

    Wape ukwel wao hao wanezid ubinafs

  • @hashimhassan4812
    @hashimhassan4812 Před rokem

    Wasema kweli hawawezi kwisha duniani hata iwe iweje, walikufa wengi kama ilunga lkn bado

  • @user-xw9hg3zr4d
    @user-xw9hg3zr4d Před rokem

    Dah sijaon pwent hum ni kama kupashana umbea tu, kiujumla kila mtu anajua mkataba ni mbovu au fai sasa kwanin nyinyi mnaunga mkono na unawambia waislam watulie maanake nini. Alaf naona nyie ndo mnachochea udin kwan kuna kiongoz w kikristo ameongelea swala la kislam je sisi wAkiristo wangekua wanasikiliz maon ya watu kwenye mitandao na kuja ju ingekuaje achen unafk

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Před rokem

    Haya yote yanasababishwa na kukopa kopa hovyo anae kurisha atakupangia mpaka mda WA kurara kwako JPM arikataaa haya ndo haya sasa

  • @SAM_163
    @SAM_163 Před rokem +1

    TUNACHAGUA UONGOZI KWA KUANGALIA UWEZO WA MTU SIO DINI.....
    PELEKENI WATOTO SHULE SIO MKO BUSY NA MADRASA AFU MNATAKA UONGOZI...

    • @omaar5693
      @omaar5693 Před rokem

      Unachamba bila kuelewa kilichosemwa nani hajapeleka mtoto shule?

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 Před rokem

    Waislamu tulikuwa pembeni mwa serikali miaka mingi wenzetu wamezoea kuwa wao ndio wanaoatahili kuwa serikalini sasa wameshikwa na butwaaa kuona sisi kwanini tupo serikalini kwa sasa

  • @kaegemagafu7828
    @kaegemagafu7828 Před rokem

    Ubinafsi na unafiki unalitafuna taifa hili . Katiba mpya itamaliza hili pale nafasi za uongozi zitakapo koma kuwa kuteuliwa na kubaki za kushindaniwa maana watu wanajadili kama walevi tu

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 Před rokem +2

    Na Makamba aliyesema wazuri hawafi tuseme nini sisi wakatoliki.

  • @jumakapesa2940
    @jumakapesa2940 Před rokem

    Maneno haya yanathibitisha usemi wa Jaji Waryoba. Khutba hii inaonyesha udini waziwazi. Kama wakristo nao watasimama kusema hayo tutaenda wapi jamani?
    Tukaeni pamoja katika nchi yetu tumuunge mkono Rais wetu ili afanye kazi yake vizuri. Huu udini ni hatari kwa Taifa sana.

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u Před 10 měsíci

    Musipotoshe tatizo linalolikabili taifa.hili hakuna wakupindisha taifa linaelekeakuzimu labudakamanawewe.ulitupiwa.minazi ukaotakutokachini ukasahau hata dhsmbi ikoje...

  • @azzanalkhatry4625
    @azzanalkhatry4625 Před rokem +2

    Warioba kachoka na akili pia

  • @yohanamoikan7709
    @yohanamoikan7709 Před rokem

    Ni suluhisho la udini ingawaje Samia unanadanganya wasio na ufahamu manake serikali ni watu watatu tu ikianzia Samia, majaliwa , tulia mwanzo mwisho ????? Na ndo maana Rais Samia hajawai kuulizwa matrilion anayotumia kusafiri kwenye nchi zinzo kubali ushoga ??? Na serikali ya CCM Kuna Siri kubwa kwenye kugawa madaraka waliapa

  • @antonymathias8219
    @antonymathias8219 Před rokem

    Mama kwahilo usikubali kui ngiza neno dini hainamaana linapokuja utwala viongozi hawezi ridhisha kilamtu hizo nikelele Dada yangu watumikie wananzengo

  • @zahorsalum4976
    @zahorsalum4976 Před rokem

    Warioba tuache we mzee ss waTanzania tunaishi kwaupendo bl kujali dini muislam rafikiyake mkewake mpz wake mkiristo. Namkristo. Mpz wake ndo hv hv. Hatujali dini kwenye .umoja wetu .warioba tuache .utakuja kujuta. sn.ww.

  • @annaniasbyarugaba5788

    Wakati unataja asilimia unasahau kutaja asilimia ya waislamu na wakristo hapa nnchini? Haya mambo ya Dini msipende kuyakuza sana, ndo uchochezi mwenyew huu.
    Kwan aloongea haya mambo ya Udini ni askofu/kiongozi wa juu wa Dini?? Mbona povu sana hapa Kama sio kukuza Inshu na kutaka kuifanya hii iwe hoja?
    Kuna wakati mambo mengine inabd kunyamaza ili kuonekana una akili timamu badala ya kutumia majukwaa ili kupata umaarufu

  • @mosesembughi4284
    @mosesembughi4284 Před rokem

    Munapopata mtonyo lazima mtetee .nchi ya tz haitakuja kuwa na maendelee.sababu wengine wanania ya maisha yao.sio kusimamia maendelee ya nchi.mnazani tz hatuna macho.

  • @youssouphsalum786
    @youssouphsalum786 Před rokem

    Wauwawee tu wasituangamize wadhalim haoooo

  • @ansilakimwenyi2003
    @ansilakimwenyi2003 Před rokem

    Sijawahi kuona kiongozi wa dini mjinga kama huyu mwendawazimu muda wote kimejaa chuki mpaka makalioni kinazungumza udini tu akili finyu sana

  • @abdallahkikungulu9141

    Yuyo mzee gongo inamsumbua kichwani

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 Před rokem

    Let say kweli aliyasema either kwa kumaanisha au kwa kuteleza kwahiyo ww ndo umeyasikia peke yako ktk dini yako na ukaamua kutoa tamko au umetumwa?? Angalia ukosoaji wako usijekuwa ndo unatia chumvi zaidi maana tunayaona mengi ila tunanyamaza kmya, Afu elewa ukiongelea Ukristo unaongelea madhehebu mengi sana.

    • @andrewkissavah8272
      @andrewkissavah8272 Před rokem

      Huyu shekhe kuna kitu nyuma yske anataka kuhamazisha vurugu nivizuri vyombo vya dora kumkataza kumnyamazisha shekhe huyu ,maana haoni aibu kusema ,mbona viongozi wote wa ngazi za juu wote Bara na visiwani wote ni waisilam lakini wakristo wamenyamaza kimya ,alafu tena mnaanza kumsumbua Mzee wetu warioba hebu kabula hamjaanza chokochoko mwe watu wa kutafakari

  • @nestor384
    @nestor384 Před rokem +1

    Huyu sheikh ni nonsense! mambo haya na fikra hizi za kipumbavu usingeyasikia kipindi cha Mr Kazi Tu

  • @pilatoonlinetv9660
    @pilatoonlinetv9660 Před rokem

    Waislamu kwa uchochezi hamjambo. Kitu kidogo tiyari mshaanza kuandamana c mgemuuliza aliyesema awafafanulie kwanini anasema hivo? Ndo muyazungumze kwenye hadhara.!!??

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Před rokem +1

    Takbirrrrrrr

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 Před rokem

    Sasa sheikh kwani ww mgeni ktk maneno ya M'MUNGU ? Ni kwamba hakuna jipya ktk hizi Imani tofauti...hayo mambo twende nayo hivyo tukimtegemea Allah tabalakah

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Před rokem +3

    Huyo mzee anaongea sana maneno siyo mazuri wakati nayeye alikuwa serikalini mungu anakuona wewe mzee

  • @popiya2368
    @popiya2368 Před rokem

    Yaani wenzetu bwana akiongoza Muislam lazima walete maneno dha

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 Před 10 měsíci

    Mnakuza nyie wapenda kiki mnaotaka kuonekana mitandaoni,sisi uraiani hatuoni huo udini kutoka Kwa mama,mnamuonea nyie mnaodadavua hata kama aliesema hakua na maana hiyo,mnayakuza nyie ni wachochozi,nahamtuhamasishi kubaguana Kwa udini

  • @yahayahassani7627
    @yahayahassani7627 Před rokem +1

    huyu anaeitwa mdini ni yupiiiii..,

    • @ahmadamohamed1907
      @ahmadamohamed1907 Před rokem

      Warioba

    • @alizaharan1471
      @alizaharan1471 Před rokem

      KWAHAKIKA
      NDIO MAANA WAISLAM .TUNAAMBIWA SUBRA TUNAYO NA MUNGU ATUPE SUBRA KWAKWELI
      NDIO MAANA MUNGU AMLEHEMU SHEKHE HASSANI IRUNGA ALIKUWA ANAONGEA SANA MUNGU AKAMPUMZISHA MUNGU ATULIPE WAISLAMA KWA SUBRA

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 Před rokem +2

    Ndio ndio shekhe sawa sawa,

  • @jumasalimo6360
    @jumasalimo6360 Před rokem +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏👏👏👏👏

  • @turojosephrukiko1622
    @turojosephrukiko1622 Před rokem

    Huna maana hatupigan kuongoza Dunia waongoze watu kufanya mema ya kaisari mpe kaisari na ya mungu mpe mungu

    • @issakitundu617
      @issakitundu617 Před rokem

      kwan kuwaeleza watu waache udini kwa njia iliyo sawa ili kuleta aman ya nchi ni makosa?

  • @Zamb90
    @Zamb90 Před rokem +1

    Tusome

  • @stanleymollel9860
    @stanleymollel9860 Před rokem +2

    Nashangaa hutuba hii ni hutuba au ni kampeni

    • @ramyramso
      @ramyramso Před rokem +1

      We fala kweli hujui kinachoongelewa au acha ushamba

    • @shahakaisi1920
      @shahakaisi1920 Před rokem

      Lazma ushangae lkn, kabla ya kushangaa, ungemshangaa huyo warioba alipoongea alidhani watu hawatamjibu?

  • @josegambi7149
    @josegambi7149 Před rokem

    Mmmmh waarabu wataka tawala na Tanzania kidini. Mwache mama awaongoze hii siyo nchi ya udini wala ukabila

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 Před rokem

    Umefika mbali sheikh, hadi namba za mitihani kwahiyo kutumia majina au namba kwenye mitihani ipi njia bora.. kwahiyo Waislam walifaulu kwa majina yao..?, ongea kwa ufupi utaeleweka, sisi kwetu kuna msemo unasema mwongea mengi usifiwa na wachache..

    • @shaabanbellege3374
      @shaabanbellege3374 Před rokem

      Mwenye akili kashaelewa ila vilaza lazma ndo wameduwaa mpk sasa

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před rokem

      @@shaabanbellege3374 Sasa hapa ameongea Nini zaidi ya kuonglea dini

  • @salimabdallah5304
    @salimabdallah5304 Před rokem

    Mamfuti mbona hayaongei. Yanashiba tu. Mabwenyenye mamufuti.

  • @ahmedmassoud8758
    @ahmedmassoud8758 Před rokem

    Tatizo la hawa ndugu zetu mafriji yao hayagandishi

  • @deusmoris3036
    @deusmoris3036 Před rokem

    kwani mzee walioba amesema nini mnijuze na mimi

  • @sharomdguda
    @sharomdguda Před rokem

    Hakuna kitu hapo , wanatafuta kick 2 raisi samiah Hana ayo, sheikh huyu anatafuta chokochoko tu, hana chakuhubiri fitna tu, km kasema waryoba kwanini asimwambie mwenyewe kuliko kuleta collective kana kwamba ni wakristo wote. Hakuna kitu hapo ni fitna tuu

    • @israelmwasomola6155
      @israelmwasomola6155 Před rokem

      Mungu atusimamie Sasa Tanzania tulizoeya kuishi kwa aman Ila tunako elekea maneno maneno mara na machukizo ya ushoga mala udini haya mambo nikukaribisha majanga ya asili na ya vita, shekhe waambie watu waliombe taifa la Tanzania ili MUNGU amuongoze rais wetu ateuwe viongoz Bora, ukiingiz maswal ya din unachochea vita

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před rokem +1

    Wakati wa Magufuli Makamo wa Rais alikuwa mama Samia na waziri mkuu alikuwa Majaliwa wote hawa ni waislam na haikuwa na shida yoyote mbona unataka kutengeneza chuki wewe Wakristo na waislam ni ndugu Hapa Tanzania hatutaki udini hapa siyo Somalia.

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 Před 11 měsíci +1

    Watakaoleta vita nchi hiii ni WAKIRISTO

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před 3 dny

      Tangu uliwahi kuona wakristo wakichoma Makanisa na kuuwa watu kwa misingi ya dini

  • @fadhilindunguru7946
    @fadhilindunguru7946 Před rokem

    Shekh....! Nakuelewa then sikuelewii...!

  • @abdulmajidkarama6469
    @abdulmajidkarama6469 Před rokem +2

    huyu sheikh aitwaje? Mungu amzidishie hikma InshaAllah

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před rokem +3

    Tuvumiliane tutafika na tusameheane tu Maana