Dini ya kwanza ni ukristo mnayoiita ukafili, na kitabu kitakatifu ni kimoja tu Biblia. Quran haiwezi shindana na biblia ikiw Quran yenyew baadhi ya vitabu wametoa kwenye Biblia. Yesu Kristo ndo wa kwanza kabla ya mtume, aliekuja miaka kibao mbele. Na kuna baadhi ya aya kwenye Quran Uyo mtume wenu amewaambia mtufuate sisi wakristo ambao tumewatangulia. Shida yenu ndugu zangu ni wabinafsi mno na ni wajuaji kupitiliza. Yesu Kristo hakuwhi kuoa wala kumuolea yoyote ukiacha wanafunzi wake. Wewe UOGOPI. Ila ajabu nawapenda sana waislamu sijui kwanini! Eeh Mungu nisaidie.
Mtu pekee anaeruhusiwa kumuita mwingine kafiri ni yule mkamilifu, aya ww dada angu apo! Sijui nikuulize au nikuache, mana najua fika haujakamilika bali ila hila ndo umebarikiwa! Hahaha, uwiii! Ongezeni nguvu na nia ya kumuomba Mungu mwingi wa rehema, na sio kunyoosha vidole kwa wengine. Ninakumbusha tuu...... Amani ya bwana iwe nanyi ndugu zanguni.
Djazakallahubka ira a ukht .. akramakilllah walykum hafadhwakillah amin
Mashallah tabarakallah makumbusho mazuri ukhty mngu akuwezeshe utuelimishe.ni ya ukweli mtupu tukubali ndugu zetu tujirekebishe
Ma Sha Allah ukhty nimekuelewa.
Ma shaa Allah ukhty wetu kapendezaa 😍😍
Jazakallah khayran
MASHA ALLAH ALLAH AKULIPE KWA DARSA LENYE MAFUNSISHO MEMA YA KIISLAM
Shukurani Ukht wetu Allah akuzidishie kheri nyingi😊
Mashaa Allah ukhty daras nzur san shukuran
TabarakAllahu.. nimejifunza
maaashaAllah Allah akulipe kher kwa Elmu unayotupa
Maashaallah Allah akulipee kheri khuty
MASHA ALLAH DARSA NZURI SANA ASANTE KWA KUTUKUMBUSHA
Mashallah sadakta
Ni full makelele sasa hivi.
Mauno, madoido, bi harusi havalishwi kwa sitara, shida shida tu.
Mashallah
Kweli kabisa
💙
Ukty uposahihi sana
🙏
Good
Waelezee haswa
Swadakta huyu ustadhat yukomakini
Masifa mingi na vijino vako.sheikha alitoa darsa hadharani.huo wako uzinifu.watafuta umaarufu na likes.shenz kabisa
Dini ya kwanza ni ukristo mnayoiita ukafili, na kitabu kitakatifu ni kimoja tu Biblia. Quran haiwezi shindana na biblia ikiw Quran yenyew baadhi ya vitabu wametoa kwenye Biblia. Yesu Kristo ndo wa kwanza kabla ya mtume, aliekuja miaka kibao mbele. Na kuna baadhi ya aya kwenye Quran Uyo mtume wenu amewaambia mtufuate sisi wakristo ambao tumewatangulia. Shida yenu ndugu zangu ni wabinafsi mno na ni wajuaji kupitiliza. Yesu Kristo hakuwhi kuoa wala kumuolea yoyote ukiacha wanafunzi wake. Wewe UOGOPI. Ila ajabu nawapenda sana waislamu sijui kwanini! Eeh Mungu nisaidie.
Mtu pekee anaeruhusiwa kumuita mwingine kafiri ni yule mkamilifu, aya ww dada angu apo! Sijui nikuulize au nikuache, mana najua fika haujakamilika bali ila hila ndo umebarikiwa! Hahaha, uwiii! Ongezeni nguvu na nia ya kumuomba Mungu mwingi wa rehema, na sio kunyoosha vidole kwa wengine. Ninakumbusha tuu...... Amani ya bwana iwe nanyi ndugu zanguni.