Video není dostupné.
Omlouváme se.
MZIWANDA MTUPIA KOMBORA MUHAMMAD BACHU | HUNA ELIMU HUNA HESHIMA HATA KWA BABA YAKO ELIMU SIKUTUKANA
Komentáře • 151
Další v pořadí
Automatické přehrávání
SHEIKH MZIWANDA ATEMA CHECHE MKOANI KIGOMA JIFUNZE MAHUSIANO MAZURI NA WATUMANAAZIL ONLINE TV
zhlédnutí 3,1K
"TUSIWE KAMA KUKU", MASHEKHE WANAGOMBEA MISAMIATI - SHEIKH MZIWANDABABDEO MILADU
zhlédnutí 4,4K
MWAIPOPO AMPASUA BACHU VIBAYA MNO "MOMBASA HUPAWEZI KUNA WASOMI KWELIKWELI, MASWALI YANGU MATATU TU"QIBLATEIN ONLINE
zhlédnutí 54K
Pineapple Pizza (ft. Lionfield)Nick DiGiovanni
zhlédnutí 7M
Crossing the Most Dangerous CrosswalkZach King
zhlédnutí 15M
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRushalbert_cancook
zhlédnutí 111M
A little girl was shy at her first ballet lesson #shortsFabiosa Animated
zhlédnutí 15M
SAFARI YA MAISHA NA MIKIKI MIKIKI YA MWANASIASA JUMA DUNI (BABU DUNI) (SEMA NASI)AL FATAH TV ONLINE
zhlédnutí 3,8K
KAMA KIPATO CHAKO HAKIELEWEKI NJIA HII HAPA QURAAN IMEELEKEZA | SHEIKH WALID IBUN SHEIKH ALHAD OMARMASJID MTORO ONLINE TV
zhlédnutí 24K
SHEIKH MUHAMMAD IS'HAKA AWARIPUA WATU WA TWARIQAAL MUBAJJAL TV
zhlédnutí 23K
SHEIKH HUNA MWANAFUNZI, UNATEMBEA NA WALINZI, UNABUNDUKI, MTU WA MADILI | WEWE NISHEIKH KWELI?MASJID MTORO ONLINE TV
zhlédnutí 31K
SHEIKH IZZUDDIN ANASTAHIKI KUPONGEZWA KWA KUKUBALI MAKOSA || Muhammad Bachu. 4/2023.Muhammad Nassor Bachu
zhlédnutí 60K
MCH :HANANJA AMTOLEA UVIVU NABII KIBOKO YA WACHAWI SIRI ZA KUTOA MAPEPOBongo Touch
zhlédnutí 217K
SHEIKH MZIWANDA -KHUTBA YA IJUMAA (UFIKISHAJI WA KIMAADILI)Africa TV2
zhlédnutí 1,4K
KUMBE HILI NDILO AMBALO LILIMSHINDA BACHU | WENGI WAMESHANGAZWA NA UMARIDADI WA UST SAID KATIKA HILIKHAIRIYYA ONLINE TV
zhlédnutí 54K
#breaking "MAKONDA" MAJONZI NA MACHOZI VIMETANDA PIGO KUBWA KWA TANZANIAYuhai media
zhlédnutí 80K
CHURAQ CLIQUE - STRÁŽEMilujeme Párno
zhlédnutí 145K
Maybe a little TOO much gel 😂Alyssa's Ways
zhlédnutí 20M
Inside Out 2: Test IQ Joy, Envy, Anger, Anxiety in One Line #shorts #animationAnythingAlexia
zhlédnutí 22M
Barbie Style Gear Knob Makeover: Glamour for Your Drive! 💅🏻🚗Crafty Champions
zhlédnutí 8M
Bike maintenance lifehack. Correct way to lubricate your bicycle🚴 #shorts #diy #bike #tipsSimple Creative
zhlédnutí 8M
Haiset @HaiseT - RECASTDuklock
zhlédnutí 493K
PROČ JSOU KURÝRNÍ SLUŽBY UTRPENÍ 📯 💀MarleyKKT
zhlédnutí 428K
Jak Vypadají Noví Nejbohatší Youtubeři v Česku?Bige
zhlédnutí 504K
Sheikh nassor bachu ALLAH akulipe pepo ya daraja ya juu Aamin Aamin
Acha kumpoteza mtt wamwenzio utakuja kuulizwa
Akulipe PEPPO BIN NASSOR
Maashaallah sheikh. Wetu allahu akuifadhi Amin
Vyovyote iwavyo ila nilivyoona mimi muhammad Bachu anazidiwa mbali sana na hawa masheikh wa twariqa kielimu
Anazidiwa kusoma maulid lakini so kufunuwa vitabu, issue sisi tupo katika hakki sabu tunauliza mtume wetu muhammadi alifanya maulidi jibu hakufanya wala hakufundisha maulidi basi nasis tumeacha kwakuwa mtume wetu hakufanya na sisi tumeacha fanya swali kwa nyie mnae fanya mmetowa wapi uzushi huo? Na kama alofundisha dinni hajawahi funuliwa hili ninyi ndo mmemzidi ilmu mtume?? Jiulize maswali jijibu mwenyewe so kusifia tuu shekhe wanamshinda wamshinde kwa lipi uo urongo wanaotetea ndomana anawazidi hojja na wanashindwa kuxijibu
Assalamu aleykum bachu hakuchukana ulochukana niwewe hata huoni haya mzee wewe masomo yako hayana maana
Yaani ukitoa challeng kwa Maghurafi juu ya shirk na kuzua ktk dini wao kwao ni matusi na hii ni sababu hawana hoja wala majibu juu ya maushirikiana na mazushi ktk dini
Allah umpa utukufu anae mtaka, na umnyima utukufu anae mtaka! Mahasidi wanaendeleya na husda zao, na ulinzi wa Allah unaendeleya kumzunguka sh.wetu kijana muhamadi nasoro bachu.
Waisalam acheni kutukana kwenye mitandao tuombeni mungutuwe sawa airuhusiwi kumtukana mwenzio nakama umekosa kubali kuelimishwa huo ndio uisilamu si kutukanana allwa atufanyie wepesi
Acheni unafiki kumtaja bachu mkubwa mnajuwa kilichomkuta zanzibar wakati anaifufua sunna na kutufunza uislamu wa kweli kama kwamba uislamu ulikuwa moya serikali na mashekhe karibuni wote walimtesa na kumuacha mkono lkn hakurudi nyuma na tukaisoma dini vizuri jamaa ikaingia nuru tena.
Ukweli utabaki ukweli Mohamed bacho asema ukweli
Jibuni hoja sio maneno mengi
Wallah uongo si kitu kizur shekh Muhammad Bachu hajatukana,,
Kwani kutukana ni vipi mnavyojua?
Hata mzee bach mlimchukia kwa nawaidha yake kwa sbb alikemea kuswali miskit yenye makabur n, k
ss nayy sialikua mkosefu2 kwani kunaalie msefu na hilo hatahuyo kukuwake kadhibitishaa hilo kwamba babake hakua saw cc tutamkubali vipi?
@@mdoekibai5063 mbona mnapayuka kwamba anamtukana babke haliyakua manhaji ya ahlu sunn pindi mwalimu anapokosea mwanafunz anatakiwa kurekebisha kaam bachu mtt kaona kosa kwa bab yake na akaja na ddlil bas yupo kwenye hakk ninavyojua mm na huwenda ikawa msamaha bab ake
@@mdoekibai5063 tumche allaah
Muhammad Bachu ni gift from God ana kipaji mashallah
Kipaji cha mdomo na matusi km mwanamke
@@raiyaaaraiyaa6054 unamuonea choyo huna lolote
Kipaji cha kusema watu na masheikh acho, lkn sio ilimu, allah wala mtume hajatufunza hivyo, nyie washabiki akili hamna na huyo bacho wenu pia, ilimu ni vazi la uchamungu na adabu, bacho kajifunza kutokua na adabu na ni mshenzi
musitake kumpa sifa na kuidhalilisha dini kwa mbwa au paka mmoja
Kipaji cha kusema watu na masheikh acho, lkn sio ilimu, allah wala mtume hajatufunza hivyo, nyie washabiki akili hamna na huyo bacho wenu pia, ilimu ni vazi la uchamungu na adabu, bacho kajifunza kutokua na adabu na ni mshenzi
musitake kumpa sifa na kuidhalilisha dini kwa mbwa au paka mmoja
@@mafiatv5479 huna lolote achana na sheikh wangu anasema kweli ndomana inakuumeni ukweli mtupu anaosema hamuwezi tatizo ndo hilo
Hakika Allah amemuandalia Moto yule anaemtukana Muislam Muumini ambae Wala hajawah kumtukana mtu huyo.
Muogopeni Allah siku utaenda Kabirini na clips zako zitabakia hewani watu watasikiliza na itakua unalipwa Kwa Yale uyasemayo watu wanayoyangalia kwenye clips hizo.
Jee anaemkufurisha muislam mwenziwe atapata adhabu gani
Bachu kuwa makini jamaa zako mawahabi wanakumaliza kwa kukaa sifia
Hawa masufi wana choyo kwa Waislam wanaokataza watu waache mambo yaliyozuliwa ambayo hayana faida
Ameona amsingizie uongo xxa ,na uyu ni sheikh ,tutakutana yaumul haqq
Asslamu alykum.
Hivi kwani akili zetu tunazitumia vp jamani? Hawa mawahabi kabla hajazaliwa BACHU walikuwa hali gani kielimu? Kwani baada ya kuzaliwa bachu tu mawahabi wote Mwalimu wao amekuwa bachu na ndio tegemeo lao , hili ni jambo la ajabu mno. Kwa ufupi tuseme basi mawahabi hawana elimu , wala hawana sheikh wala Mwalimu. Wanaomtegemea BACHU hebu wasikilize maneno mazuri hayo huenda tukazinduka japo kidogo Inshallah. Tunawaombea DUA japo hawa mawahabi DUA hawaitaki . Msiba huu, da !
😢mawahabi hawana suna wangewarudi, yati waliowazulumu haki yao waoachiwa marehem Baba yao na kumshtaki mama yao mahakamani
Dalili ya mtu kuzidiwa majibu na kushindaa hulopokwa.
Mawahabi mnatusema tunapinga maulidi tupo katika hakki, nakupa home work kaa jiulize mwenyew. Sisi mnaotuita mawahabi tupo katika hakki sisi hatufanyi maulidi kwa kuwa mtume wetu muhammadi hakufanya maulidi na wala hakufundisha hayo maulid je ninyi mnaofanya ndo mtuambie mmetowa wapi uzushi huo ikiwa mtume kila ibada alitufundisha na hakufunuliwa kuhusu maulidi je kama mtume hakufunuliwa nnyi mnaofanya mmemzidi ilmu mtume wa mungu au? Jiulize kisha jijibu so kubuluzwa tuu na kushabikia kama simba na yanga hiii dini tutakwenda kwa dalili
Bachu axipoomba msamaha Ipo sikua atajinyea kabsa acha ile aliyojikojolea na kunywa maji kama kabreta iliyofel
Bachou'l kibri
Ukisema hana elim utakuwa unaongopa. Tumeona alivyo watoa povu leo kila kona anasemwa bachu. Ikiwa hana elim asinge wataabisha kiasi mmeshindwa kula na kulala mwamsema na kumtusi.
Sasa c mpuuzi kajitokeza mbele ya wenye elimu lazma afundshwe kuongea mbele ya watu
Ukweli utabaki kuwa ukweli tu
Na washafanikiwa washammaliza
Bachu achana na watu wako hawana nia njema na wewe
Assalam alaykum WarahmatuLlahi Wabarakatuhu.... Sheikh Mziwanda Kwanza Ahsante kwa mawaidha Allah akuhifadhi pamoja nami pili Ulichokisema Kuhusu Muhammad Bachu sicho na ni Dhulma.Kielimu ilipasa utetee unachokitenda kwa dalili.Yeye amekemea Hadhara za Maulid kwa dalili kwa kutoa hoja 19 na wewe tetea kupitia hoja hizo.
Yani ulivoanza kutoa salam nikajua nimtu unaejielewa kumbe naww hamna kitu yani maneno yalioko kwenye bibilia nayaona nahuku kwamba watu wanamacho lkn hawani wanamaskio lkn hawaskii ndonyie mziwanda ameongea kiutuuzima na kielemu lkn kwakua nyie mmefundishwa kibisha bac hamuelewi hoja za zahuyo mjinga mwenzenu siihoja izo akilene ndo zinajua nihoja kwakua hamtaki kusoma nakuelewa
Wamujibu kwanza yale maswali 19 kabla yakuongeya sana. I stand with sheikh Muhammad Bachu ❤🇿🇲
Yes . me two
As,alykum shekh huyo mtoto wa bacho kakaa kwenye jamvi amesoma hata wew haumzid kwa elimu yako hiyo mchunguze utakujakupata majibu
Inawezekana kama kasoma ila hanaaa uadilifuuu Wala Hana adamu za kuwaheshimu aliokhitalifiana nao na jambo hilii ni msiba mkubwa Sanaa ,tunatakiwa tuheshimu wenzetu Kila mmoja anakhiari yake kufuata amaa asifuate ,yy Muhammad bachu analazimisha jambo ambalo hakiwezekani kutaka lazima sote waislam tuwe na fikra sawa ichoo kitu hakiwezekani ,haikuwa maswahaba wa mtume walitofautiana je sisi tutaweza kuwacha kutofautiana!
@@user-cu8xc5yl9x duuh!! Fuatilien ndipo mutafaham alikuwa akirekebisha kitu gan ?napia kuna khitilafu za kawaida na kuna bida'a usimpe hukumu mbaya bila ya kumsikiliz kuwa anasema nn
Na hana elim yule balehe ss wazazibar huku hatumkubal yule
@@nabillkhamis8188 hahahaa sema haumkubali wew ila kwa elimu anayo anayomapungufu yakiubinaadam ambayo kila mtu anayo ila kwa elimu yuko nayo
@@nabillkhamis8188 mfuatilie chinichini utagundua amesoma wapi na wapi amefundishw na mwanafunz WA shekh Albany Rahmahullah na mwanafunz WA shekh Ibnu baaz Rahmahullah alisoma katk maahad zao
Mie nadhani kuna kundi lanitaka kumbomoa bachu hao jamaa zake mawahabi wana mtomeza
Hawa masufi lazima wamtokane Dh Mohamed Bachu sababu amewachibia shimo hawezi kuthubutu wawo kujibu hoja 19 wanaelewa sana kuwa hizo ni zauongo haskuthubu kuwa Mtume Mohamed SAW wala ma Asahabazate uongo tu pili zimo maneno yakumpeleka mtu ushirikina, kuwa sababu hizo na kuepushana nafsizao hilo shimu liliochimba na Bachu watowe mbingu zakumtukana Bachu.
Unakaa masa 4 kumsingizia mtume andaa makao yako motoni
Covid 19 haujajibu mziwanda jibu kwanza hizo tuone ilim yako
Jibu
Masufi musipige makelele saana mutazidi kuumia .thibitisheni kwa dalili yale yaliyosemwa kuwa ni uongo ktk bazanji
Anaehisi Muhammad Bachu huyuposawa naajibu hizo hoja 19 zilizopo mezani Ili umma uamin km Bachu hayuposawa maana bila ya kumjibu hoja zake mkabakia kumchafua tu hiyo haijawa suluhu Sasa km yeye hajasoma tafadhali masheikh msomesheni Kwa kumjibu haja zake zote
12:10 12:17
12:10 12:17
Akiyasikia haya yeye mwenyewe mtamkoma
wakae wakijuwa Muhammad Bachu anakipaji mashallah yule ni gift from god hawamuwezi
@@nadyasalim7956na kiburi kinachangia......
Yamesemwa hayo ili ayasikie na ajirekebishe asiongee fedhuli huyu mtoto wa bachoo
Dhaifu huyo projo mambiene awache kutukana ajibu hoja 19
حدثنا محمد بن العلاء أخبرنا معاوية بن هشام عن عمران بن أنس المكي عن عطاء عن ابن عمر قال قال رسول الله صلى الله عليه وسلم اذكروا محاسن موتاكم وكفوا عن مساويهم * (ضعيف _ الترمذي 1030) _ ضعيف الترمذي 172، المشكاة 1678، ضعيف الجامع الصغير 739
😂BACHU KAHAMISHA UPEPO SASAHIVI KILA KIKAO CHA MAULID KINAMTAJA BACHU NA BARZANJI MTUME KASAHAULIKA BADO KUMTAJA NA SHANGAZI YAKE SASA
Kiliyako nayake havina tifauti
😂😅😊
SHEKHE TAARABU NYINGI 🤣😂 JIBUNI HOJA 19 ZILE ACHENI KULUKA LUKA
Masheikh mnakosea sana. Sheikh Mohammad Bachu hajamtukana mtu. Lakini ana haki kama Muislam kuonyesha haki panapo batwili. Tuambieni kusema baranzji kuna uwongo na shirki ndio kutukana???
Jibuni mwaswali yalioulizwa tujue kweli maulidi yafaa musituchanganye acheni kumlaumu
N kwann mumtaje bbke yahusu nn
nakuuliza, kumwita mtu mushrik nini sio tusi?
Yeye yupo sahihi kutukna wtu mtume ndy vyo alivo fundisha kutukan watu
Hadithi ni dhaifu na udogo wake naujawaje
😂😂😂😂😂😂
Shekha mi naomba niulize suali.
Ikiwa baba amekosea kwenye mtendao na nikiangalia Kuna views nyingi sana zimemsikiliza na nikiamini kua watu watatumia makosa haya ya baba kwenye dini. Nifanyeje ili nisafishe kosa la baba ili watu wasiendelea kukosea Sababu ya kosa la baba katika niwalisikiliza mi siwajuwi ila najua kwenye mtendao pia watasikiliza?
Nipe njia nifanyeje kulisawazisha Kosa la baba yangu kwenye mtandao.
Kweli. Halfu baba ake si km amekosea kwa makusudi Ila kwa ufahamu wake kwa wkt ule uliishia pale lkn pengine angekuepo mpaka ssa angerekebisha mwenyewe.
unaakili sana ww mashaallah
Bachu hana mtu aliemtukana acheni kusema uongo muogopeni allah... kushindwa kwenu kumjibu points 19 ndo munamchafua
Kijana acha maneno angalia vizuri mdaharo ndio uongee sawa acha pupa ata kama huna elimu bc soma na omba mungu akujalie upeo wa kuona mbna sawa
Ujui unachokiongea kama kibachu
Sahihi kabisa sie tunatak dalili sio porojo sheikh Muhammad Bachu yupo sawa Maulid hayafai
Sawa, kumwambia mtu mushrik tusi si tusi?
@@khamiskhamis3165tupe aya au hadithi isemayo maulid haramu
na km ipo mimi leo leo nayaacha maulid
Moto hauzai Moto ,,huyo mtoto Hana adabu kabisa mbona asiwe kama Baba yake ??
Achana n bbyke
Jibu ww
ungekua unamfatilia baba ake sheikh Mohammed usingesema hivyo
Nyie Masufi wenye Elimu basi jibuni home 19 za Bach u na si propaganda za kumshambulia tu
Tubishani na wasiojielewa nakuelewa umekarirshwa ujinga eti nukta19 bac mmeshikiria apo2 na ujingawenu
Sio ujinga mwambieni Shekhe mziwanda ajibu kwanza nukta 19 ili tuwaamini 😂😂
sufi babako na mamako kua na adabu ktk dini dharau mtume hajatufundisha
ikiwa allah mwenuewe katwita waislam. wewe utwite masufi umeipata wapi?
@@mdoekibai5063mjinga babako na mamko
@@mdoekibai5063
Kwahio unahisi zile hoja 19 zishajibiwa tayar?
Elimu bila hikma💯
Ivi nyie mashia ndo mnajiona muna wlimu sio?
Mbona hoja 19 mpk leo hakuna shia hata mmoja alozijibu mnaunya unya tu?
kanzu fupi ni huislam wa marekani tunaita huislam mpya
Ushatoka kwenye uislam kwa kubeza sunna alokuja nayo mtume s.a.w....😢
soma uislam kaka yaaani huujui kabbisa
Yyte anaye dharau sunna ya mtume s.a.w,amekufuru...umetoka kwenye uislam ndugu...piga shahada upya..
Jitu la wapi hili jahili lisilojuwa mavazi alovaa mtume au tukupe hadisi swahihi mtume kukataza kubuluta mavazi cchini wallahy huo ni msiba unatweza sunna ya mtume we jahili sijui hata kama uislamu unaujuwa vzr ww nawasi wasi vuta bangi tuu hili halijui uislamu unachangia comment bila kuelewa dini kamshabikie Diamond ndo ulopokwe kama hivi dini inataka uongee kwa ilmu kaka itakuwa hata kuswali haliswali unachangia pointi utopolo kuvaaa kanzu fupi ni umarekani ndo mnavyofundishwa na shekhe zenu mzihaki sunna ya mtume poleni sana
Shaikh Ali Asaa Ali, (Masta) Allah akupe umri mrefu na mwisho mwema.
Amna lolote lengo kujaribu kutetea uzushi wa maulid sasa ninyi na sisi wapi wapo kwenye hakki sisi hatufanyi maulidi sabu mtume wetu muhammadi hakufanya maulid kwani yey sindi kiongozi ninyi mnaofanya ndo mtuambie mmetowa wapi huo uzushi.ikiwa mtume wetu akufundisha so propaganda hapa.
Jibuni hoja 19 alizozitoa apo ndo tutaelewa kwamba Muhammad bachu kasema uongo na hana elimu,ila kwa kumshambulia yeye tu bila kujibu hoja zake mtakua hamueleweki daima, Mimi rabda nikupeni rai fupi ya kumuweza huyu ni kujibu zile hoja zake 19 ,mkizijibu tu bac watu wote watakueleweni laasihivyo mtachanika midomo maana hakki haikaliwi juu