Video není dostupné.
Omlouváme se.

MZIWANDA MTUPIA KOMBORA MUHAMMAD BACHU | HUNA ELIMU HUNA HESHIMA HATA KWA BABA YAKO ELIMU SIKUTUKANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 08. 2023

Komentáře • 151

  • @abuuamourmuhamed1934
    @abuuamourmuhamed1934 Před 11 měsíci +7

    Sheikh nassor bachu ALLAH akulipe pepo ya daraja ya juu Aamin Aamin

  • @BilaliNungu
    @BilaliNungu Před 2 měsíci

    Maashaallah sheikh. Wetu allahu akuifadhi Amin

  • @halidmauga96
    @halidmauga96 Před 9 měsíci +1

    Vyovyote iwavyo ila nilivyoona mimi muhammad Bachu anazidiwa mbali sana na hawa masheikh wa twariqa kielimu

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

      Anazidiwa kusoma maulid lakini so kufunuwa vitabu, issue sisi tupo katika hakki sabu tunauliza mtume wetu muhammadi alifanya maulidi jibu hakufanya wala hakufundisha maulidi basi nasis tumeacha kwakuwa mtume wetu hakufanya na sisi tumeacha fanya swali kwa nyie mnae fanya mmetowa wapi uzushi huo? Na kama alofundisha dinni hajawahi funuliwa hili ninyi ndo mmemzidi ilmu mtume?? Jiulize maswali jijibu mwenyewe so kusifia tuu shekhe wanamshinda wamshinde kwa lipi uo urongo wanaotetea ndomana anawazidi hojja na wanashindwa kuxijibu

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 Před 11 měsíci +4

    Assalamu aleykum bachu hakuchukana ulochukana niwewe hata huoni haya mzee wewe masomo yako hayana maana

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b Před 10 měsíci +1

    Yaani ukitoa challeng kwa Maghurafi juu ya shirk na kuzua ktk dini wao kwao ni matusi na hii ni sababu hawana hoja wala majibu juu ya maushirikiana na mazushi ktk dini

  • @AminaDodios-ml2lv
    @AminaDodios-ml2lv Před 11 měsíci +3

    Allah umpa utukufu anae mtaka, na umnyima utukufu anae mtaka! Mahasidi wanaendeleya na husda zao, na ulinzi wa Allah unaendeleya kumzunguka sh.wetu kijana muhamadi nasoro bachu.

  • @KondoBaraka-ou7yl
    @KondoBaraka-ou7yl Před 11 měsíci +1

    Waisalam acheni kutukana kwenye mitandao tuombeni mungutuwe sawa airuhusiwi kumtukana mwenzio nakama umekosa kubali kuelimishwa huo ndio uisilamu si kutukanana allwa atufanyie wepesi

  • @mustafapandu5189
    @mustafapandu5189 Před 10 měsíci +1

    Acheni unafiki kumtaja bachu mkubwa mnajuwa kilichomkuta zanzibar wakati anaifufua sunna na kutufunza uislamu wa kweli kama kwamba uislamu ulikuwa moya serikali na mashekhe karibuni wote walimtesa na kumuacha mkono lkn hakurudi nyuma na tukaisoma dini vizuri jamaa ikaingia nuru tena.

  • @daudyussuf8180
    @daudyussuf8180 Před 10 měsíci +2

    Ukweli utabaki ukweli Mohamed bacho asema ukweli

  • @user-pl8zu4nv8r
    @user-pl8zu4nv8r Před 10 měsíci +1

    Jibuni hoja sio maneno mengi

  • @user-qs6pm6zi4g
    @user-qs6pm6zi4g Před 9 měsíci

    Wallah uongo si kitu kizur shekh Muhammad Bachu hajatukana,,

  • @MohammadJumah-qk2xc
    @MohammadJumah-qk2xc Před 11 měsíci +3

    Hata mzee bach mlimchukia kwa nawaidha yake kwa sbb alikemea kuswali miskit yenye makabur n, k

    • @mdoekibai5063
      @mdoekibai5063 Před 11 měsíci

      ss nayy sialikua mkosefu2 kwani kunaalie msefu na hilo hatahuyo kukuwake kadhibitishaa hilo kwamba babake hakua saw cc tutamkubali vipi?

    • @MohammadJumah-qk2xc
      @MohammadJumah-qk2xc Před 11 měsíci

      @@mdoekibai5063 mbona mnapayuka kwamba anamtukana babke haliyakua manhaji ya ahlu sunn pindi mwalimu anapokosea mwanafunz anatakiwa kurekebisha kaam bachu mtt kaona kosa kwa bab yake na akaja na ddlil bas yupo kwenye hakk ninavyojua mm na huwenda ikawa msamaha bab ake

    • @MohammadJumah-qk2xc
      @MohammadJumah-qk2xc Před 11 měsíci

      @@mdoekibai5063 tumche allaah

  • @nadyasalim7956
    @nadyasalim7956 Před 11 měsíci +5

    Muhammad Bachu ni gift from God ana kipaji mashallah

    • @raiyaaaraiyaa6054
      @raiyaaaraiyaa6054 Před 11 měsíci +4

      Kipaji cha mdomo na matusi km mwanamke

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 Před 11 měsíci

      @@raiyaaaraiyaa6054 unamuonea choyo huna lolote

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Před 11 měsíci +1

      Kipaji cha kusema watu na masheikh acho, lkn sio ilimu, allah wala mtume hajatufunza hivyo, nyie washabiki akili hamna na huyo bacho wenu pia, ilimu ni vazi la uchamungu na adabu, bacho kajifunza kutokua na adabu na ni mshenzi
      musitake kumpa sifa na kuidhalilisha dini kwa mbwa au paka mmoja

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Před 11 měsíci +1

      Kipaji cha kusema watu na masheikh acho, lkn sio ilimu, allah wala mtume hajatufunza hivyo, nyie washabiki akili hamna na huyo bacho wenu pia, ilimu ni vazi la uchamungu na adabu, bacho kajifunza kutokua na adabu na ni mshenzi
      musitake kumpa sifa na kuidhalilisha dini kwa mbwa au paka mmoja

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 Před 11 měsíci

      @@mafiatv5479 huna lolote achana na sheikh wangu anasema kweli ndomana inakuumeni ukweli mtupu anaosema hamuwezi tatizo ndo hilo

  • @user-ry4kh6fg9j
    @user-ry4kh6fg9j Před 11 měsíci +3

    Hakika Allah amemuandalia Moto yule anaemtukana Muislam Muumini ambae Wala hajawah kumtukana mtu huyo.
    Muogopeni Allah siku utaenda Kabirini na clips zako zitabakia hewani watu watasikiliza na itakua unalipwa Kwa Yale uyasemayo watu wanayoyangalia kwenye clips hizo.

    • @abdallahally842
      @abdallahally842 Před 10 měsíci

      Jee anaemkufurisha muislam mwenziwe atapata adhabu gani

  • @khamissmohd
    @khamissmohd Před 10 měsíci +1

    Bachu kuwa makini jamaa zako mawahabi wanakumaliza kwa kukaa sifia

  • @amyassyassin7909
    @amyassyassin7909 Před 11 měsíci +1

    Hawa masufi wana choyo kwa Waislam wanaokataza watu waache mambo yaliyozuliwa ambayo hayana faida

  • @adilihassan8455
    @adilihassan8455 Před 10 měsíci

    Ameona amsingizie uongo xxa ,na uyu ni sheikh ,tutakutana yaumul haqq

  • @SadaKassm
    @SadaKassm Před 8 dny

    Asslamu alykum.
    Hivi kwani akili zetu tunazitumia vp jamani? Hawa mawahabi kabla hajazaliwa BACHU walikuwa hali gani kielimu? Kwani baada ya kuzaliwa bachu tu mawahabi wote Mwalimu wao amekuwa bachu na ndio tegemeo lao , hili ni jambo la ajabu mno. Kwa ufupi tuseme basi mawahabi hawana elimu , wala hawana sheikh wala Mwalimu. Wanaomtegemea BACHU hebu wasikilize maneno mazuri hayo huenda tukazinduka japo kidogo Inshallah. Tunawaombea DUA japo hawa mawahabi DUA hawaitaki . Msiba huu, da !

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před 10 měsíci

    😢mawahabi hawana suna wangewarudi, yati waliowazulumu haki yao waoachiwa marehem Baba yao na kumshtaki mama yao mahakamani

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

      Dalili ya mtu kuzidiwa majibu na kushindaa hulopokwa.

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

      Mawahabi mnatusema tunapinga maulidi tupo katika hakki, nakupa home work kaa jiulize mwenyew. Sisi mnaotuita mawahabi tupo katika hakki sisi hatufanyi maulidi kwa kuwa mtume wetu muhammadi hakufanya maulidi na wala hakufundisha hayo maulid je ninyi mnaofanya ndo mtuambie mmetowa wapi uzushi huo ikiwa mtume kila ibada alitufundisha na hakufunuliwa kuhusu maulidi je kama mtume hakufunuliwa nnyi mnaofanya mmemzidi ilmu mtume wa mungu au? Jiulize kisha jijibu so kubuluzwa tuu na kushabikia kama simba na yanga hiii dini tutakwenda kwa dalili

  • @sirajimsuya6226
    @sirajimsuya6226 Před 10 měsíci

    Bachu axipoomba msamaha Ipo sikua atajinyea kabsa acha ile aliyojikojolea na kunywa maji kama kabreta iliyofel

  • @MohamedAli-lj2zl
    @MohamedAli-lj2zl Před 9 měsíci

    Bachou'l kibri

  • @ibinmgeta2406
    @ibinmgeta2406 Před 9 měsíci

    Ukisema hana elim utakuwa unaongopa. Tumeona alivyo watoa povu leo kila kona anasemwa bachu. Ikiwa hana elim asinge wataabisha kiasi mmeshindwa kula na kulala mwamsema na kumtusi.

    • @AdamRajab-xd3zg
      @AdamRajab-xd3zg Před 17 dny

      Sasa c mpuuzi kajitokeza mbele ya wenye elimu lazma afundshwe kuongea mbele ya watu

  • @user-pl8zu4nv8r
    @user-pl8zu4nv8r Před 10 měsíci

    Ukweli utabaki kuwa ukweli tu

  • @khamissmohd
    @khamissmohd Před 10 měsíci

    Na washafanikiwa washammaliza

  • @khamissmohd
    @khamissmohd Před 10 měsíci

    Bachu achana na watu wako hawana nia njema na wewe

  • @ngomberayebuhure8780
    @ngomberayebuhure8780 Před 11 měsíci

    Assalam alaykum WarahmatuLlahi Wabarakatuhu.... Sheikh Mziwanda Kwanza Ahsante kwa mawaidha Allah akuhifadhi pamoja nami pili Ulichokisema Kuhusu Muhammad Bachu sicho na ni Dhulma.Kielimu ilipasa utetee unachokitenda kwa dalili.Yeye amekemea Hadhara za Maulid kwa dalili kwa kutoa hoja 19 na wewe tetea kupitia hoja hizo.

    • @mdoekibai5063
      @mdoekibai5063 Před 11 měsíci

      Yani ulivoanza kutoa salam nikajua nimtu unaejielewa kumbe naww hamna kitu yani maneno yalioko kwenye bibilia nayaona nahuku kwamba watu wanamacho lkn hawani wanamaskio lkn hawaskii ndonyie mziwanda ameongea kiutuuzima na kielemu lkn kwakua nyie mmefundishwa kibisha bac hamuelewi hoja za zahuyo mjinga mwenzenu siihoja izo akilene ndo zinajua nihoja kwakua hamtaki kusoma nakuelewa

  • @isarichard
    @isarichard Před 11 měsíci +2

    Wamujibu kwanza yale maswali 19 kabla yakuongeya sana. I stand with sheikh Muhammad Bachu ❤🇿🇲

  • @IddiNkupe-no8lh
    @IddiNkupe-no8lh Před 11 měsíci +2

    As,alykum shekh huyo mtoto wa bacho kakaa kwenye jamvi amesoma hata wew haumzid kwa elimu yako hiyo mchunguze utakujakupata majibu

    • @user-cu8xc5yl9x
      @user-cu8xc5yl9x Před 10 měsíci

      Inawezekana kama kasoma ila hanaaa uadilifuuu Wala Hana adamu za kuwaheshimu aliokhitalifiana nao na jambo hilii ni msiba mkubwa Sanaa ,tunatakiwa tuheshimu wenzetu Kila mmoja anakhiari yake kufuata amaa asifuate ,yy Muhammad bachu analazimisha jambo ambalo hakiwezekani kutaka lazima sote waislam tuwe na fikra sawa ichoo kitu hakiwezekani ,haikuwa maswahaba wa mtume walitofautiana je sisi tutaweza kuwacha kutofautiana!

    • @IddiNkupe-no8lh
      @IddiNkupe-no8lh Před 10 měsíci

      @@user-cu8xc5yl9x duuh!! Fuatilien ndipo mutafaham alikuwa akirekebisha kitu gan ?napia kuna khitilafu za kawaida na kuna bida'a usimpe hukumu mbaya bila ya kumsikiliz kuwa anasema nn

    • @nabillkhamis8188
      @nabillkhamis8188 Před 10 měsíci

      Na hana elim yule balehe ss wazazibar huku hatumkubal yule

    • @IddiNkupe-no8lh
      @IddiNkupe-no8lh Před 10 měsíci

      @@nabillkhamis8188 hahahaa sema haumkubali wew ila kwa elimu anayo anayomapungufu yakiubinaadam ambayo kila mtu anayo ila kwa elimu yuko nayo

    • @IddiNkupe-no8lh
      @IddiNkupe-no8lh Před 10 měsíci

      @@nabillkhamis8188 mfuatilie chinichini utagundua amesoma wapi na wapi amefundishw na mwanafunz WA shekh Albany Rahmahullah na mwanafunz WA shekh Ibnu baaz Rahmahullah alisoma katk maahad zao

  • @khamissmohd
    @khamissmohd Před 10 měsíci

    Mie nadhani kuna kundi lanitaka kumbomoa bachu hao jamaa zake mawahabi wana mtomeza

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Před 11 měsíci +1

    Hawa masufi lazima wamtokane Dh Mohamed Bachu sababu amewachibia shimo hawezi kuthubutu wawo kujibu hoja 19 wanaelewa sana kuwa hizo ni zauongo haskuthubu kuwa Mtume Mohamed SAW wala ma Asahabazate uongo tu pili zimo maneno yakumpeleka mtu ushirikina, kuwa sababu hizo na kuepushana nafsizao hilo shimu liliochimba na Bachu watowe mbingu zakumtukana Bachu.

  • @user-iv6hx2xv3t
    @user-iv6hx2xv3t Před 11 měsíci

    Unakaa masa 4 kumsingizia mtume andaa makao yako motoni

  • @rajabmembe6695
    @rajabmembe6695 Před 11 měsíci +3

    Covid 19 haujajibu mziwanda jibu kwanza hizo tuone ilim yako

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Před 11 měsíci +1

    Masufi musipige makelele saana mutazidi kuumia .thibitisheni kwa dalili yale yaliyosemwa kuwa ni uongo ktk bazanji

  • @Alliymm
    @Alliymm Před 11 měsíci +1

    Anaehisi Muhammad Bachu huyuposawa naajibu hizo hoja 19 zilizopo mezani Ili umma uamin km Bachu hayuposawa maana bila ya kumjibu hoja zake mkabakia kumchafua tu hiyo haijawa suluhu Sasa km yeye hajasoma tafadhali masheikh msomesheni Kwa kumjibu haja zake zote

  • @sharifuburuhani1969
    @sharifuburuhani1969 Před 11 měsíci +3

    Akiyasikia haya yeye mwenyewe mtamkoma

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 Před 11 měsíci +2

      wakae wakijuwa Muhammad Bachu anakipaji mashallah yule ni gift from god hawamuwezi

    • @omaar5693
      @omaar5693 Před 11 měsíci

      ​@@nadyasalim7956na kiburi kinachangia......

    • @sikandarsuleimanTV
      @sikandarsuleimanTV Před 11 měsíci

      Yamesemwa hayo ili ayasikie na ajirekebishe asiongee fedhuli huyu mtoto wa bachoo

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Před 11 měsíci +2

    Dhaifu huyo projo mambiene awache kutukana ajibu hoja 19
    حدثنا محمد بن العلاء أخبرنا معاوية بن هشام عن عمران بن أنس المكي عن عطاء عن ابن عمر قال قال رسول الله صلى الله عليه وسلم اذكروا محاسن موتاكم وكفوا عن مساويهم * (ضعيف _ الترمذي 1030) _ ضعيف الترمذي 172، المشكاة 1678، ضعيف الجامع الصغير 739

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Před 11 měsíci +2

    😂BACHU KAHAMISHA UPEPO SASAHIVI KILA KIKAO CHA MAULID KINAMTAJA BACHU NA BARZANJI MTUME KASAHAULIKA BADO KUMTAJA NA SHANGAZI YAKE SASA

  • @niffonlinetz7214
    @niffonlinetz7214 Před 11 měsíci +2

    SHEKHE TAARABU NYINGI 🤣😂 JIBUNI HOJA 19 ZILE ACHENI KULUKA LUKA

  • @muhidinally3753
    @muhidinally3753 Před 11 měsíci +4

    Masheikh mnakosea sana. Sheikh Mohammad Bachu hajamtukana mtu. Lakini ana haki kama Muislam kuonyesha haki panapo batwili. Tuambieni kusema baranzji kuna uwongo na shirki ndio kutukana???

    • @faizaa155
      @faizaa155 Před 11 měsíci

      Jibuni mwaswali yalioulizwa tujue kweli maulidi yafaa musituchanganye acheni kumlaumu

    • @faizaa155
      @faizaa155 Před 11 měsíci

      N kwann mumtaje bbke yahusu nn

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Před 11 měsíci

      nakuuliza, kumwita mtu mushrik nini sio tusi?

    • @user-lz4ku2xh8p
      @user-lz4ku2xh8p Před 11 měsíci +1

      Yeye yupo sahihi kutukna wtu mtume ndy vyo alivo fundisha kutukan watu

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Před 11 měsíci

    Hadithi ni dhaifu na udogo wake naujawaje

  • @sharifuburuhani1969
    @sharifuburuhani1969 Před 11 měsíci

    😂😂😂😂😂😂

  • @user-ry4kh6fg9j
    @user-ry4kh6fg9j Před 11 měsíci +1

    Shekha mi naomba niulize suali.
    Ikiwa baba amekosea kwenye mtendao na nikiangalia Kuna views nyingi sana zimemsikiliza na nikiamini kua watu watatumia makosa haya ya baba kwenye dini. Nifanyeje ili nisafishe kosa la baba ili watu wasiendelea kukosea Sababu ya kosa la baba katika niwalisikiliza mi siwajuwi ila najua kwenye mtendao pia watasikiliza?
    Nipe njia nifanyeje kulisawazisha Kosa la baba yangu kwenye mtandao.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 Před 11 měsíci

      Kweli. Halfu baba ake si km amekosea kwa makusudi Ila kwa ufahamu wake kwa wkt ule uliishia pale lkn pengine angekuepo mpaka ssa angerekebisha mwenyewe.

    • @zanzibaronlytv3470
      @zanzibaronlytv3470 Před 10 měsíci

      unaakili sana ww mashaallah

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Před 11 měsíci +8

    Bachu hana mtu aliemtukana acheni kusema uongo muogopeni allah... kushindwa kwenu kumjibu points 19 ndo munamchafua

    • @hamisself6820
      @hamisself6820 Před 11 měsíci

      Kijana acha maneno angalia vizuri mdaharo ndio uongee sawa acha pupa ata kama huna elimu bc soma na omba mungu akujalie upeo wa kuona mbna sawa

    • @mdoekibai5063
      @mdoekibai5063 Před 11 měsíci

      Ujui unachokiongea kama kibachu

    • @khamiskhamis3165
      @khamiskhamis3165 Před 11 měsíci +1

      Sahihi kabisa sie tunatak dalili sio porojo sheikh Muhammad Bachu yupo sawa Maulid hayafai

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Před 11 měsíci

      Sawa, kumwambia mtu mushrik tusi si tusi?

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Před 11 měsíci

      ​@@khamiskhamis3165tupe aya au hadithi isemayo maulid haramu
      na km ipo mimi leo leo nayaacha maulid

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 Před 11 měsíci +1

    Moto hauzai Moto ,,huyo mtoto Hana adabu kabisa mbona asiwe kama Baba yake ??

  • @twahirburhan3726
    @twahirburhan3726 Před 11 měsíci +1

    Nyie Masufi wenye Elimu basi jibuni home 19 za Bach u na si propaganda za kumshambulia tu

    • @mdoekibai5063
      @mdoekibai5063 Před 11 měsíci

      Tubishani na wasiojielewa nakuelewa umekarirshwa ujinga eti nukta19 bac mmeshikiria apo2 na ujingawenu

    • @nzwibasaidi7953
      @nzwibasaidi7953 Před 11 měsíci +1

      Sio ujinga mwambieni Shekhe mziwanda ajibu kwanza nukta 19 ili tuwaamini 😂😂

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Před 11 měsíci

      sufi babako na mamako kua na adabu ktk dini dharau mtume hajatufundisha
      ikiwa allah mwenuewe katwita waislam. wewe utwite masufi umeipata wapi?

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Před 11 měsíci

      ​@@mdoekibai5063mjinga babako na mamko

    • @jordan.3109
      @jordan.3109 Před 11 měsíci

      ​@@mdoekibai5063
      Kwahio unahisi zile hoja 19 zishajibiwa tayar?

  • @muhammadmbaraka4515
    @muhammadmbaraka4515 Před 11 měsíci

    Elimu bila hikma💯

  • @jordan.3109
    @jordan.3109 Před 11 měsíci

    Ivi nyie mashia ndo mnajiona muna wlimu sio?
    Mbona hoja 19 mpk leo hakuna shia hata mmoja alozijibu mnaunya unya tu?

  • @user-uv6en7xu6c
    @user-uv6en7xu6c Před 11 měsíci

    kanzu fupi ni huislam wa marekani tunaita huislam mpya

    • @athmandaba1420
      @athmandaba1420 Před 10 měsíci

      Ushatoka kwenye uislam kwa kubeza sunna alokuja nayo mtume s.a.w....😢

    • @zanzibaronlytv3470
      @zanzibaronlytv3470 Před 10 měsíci

      soma uislam kaka yaaani huujui kabbisa

    • @athmandaba1420
      @athmandaba1420 Před 10 měsíci

      Yyte anaye dharau sunna ya mtume s.a.w,amekufuru...umetoka kwenye uislam ndugu...piga shahada upya..

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

      Jitu la wapi hili jahili lisilojuwa mavazi alovaa mtume au tukupe hadisi swahihi mtume kukataza kubuluta mavazi cchini wallahy huo ni msiba unatweza sunna ya mtume we jahili sijui hata kama uislamu unaujuwa vzr ww nawasi wasi vuta bangi tuu hili halijui uislamu unachangia comment bila kuelewa dini kamshabikie Diamond ndo ulopokwe kama hivi dini inataka uongee kwa ilmu kaka itakuwa hata kuswali haliswali unachangia pointi utopolo kuvaaa kanzu fupi ni umarekani ndo mnavyofundishwa na shekhe zenu mzihaki sunna ya mtume poleni sana

  • @IddiKibaja-wk6zs
    @IddiKibaja-wk6zs Před 11 měsíci +1

    Shaikh Ali Asaa Ali, (Masta) Allah akupe umri mrefu na mwisho mwema.

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

      Amna lolote lengo kujaribu kutetea uzushi wa maulid sasa ninyi na sisi wapi wapo kwenye hakki sisi hatufanyi maulidi sabu mtume wetu muhammadi hakufanya maulid kwani yey sindi kiongozi ninyi mnaofanya ndo mtuambie mmetowa wapi huo uzushi.ikiwa mtume wetu akufundisha so propaganda hapa.

  • @suleimanahmadaali5989
    @suleimanahmadaali5989 Před 11 měsíci

    Jibuni hoja 19 alizozitoa apo ndo tutaelewa kwamba Muhammad bachu kasema uongo na hana elimu,ila kwa kumshambulia yeye tu bila kujibu hoja zake mtakua hamueleweki daima, Mimi rabda nikupeni rai fupi ya kumuweza huyu ni kujibu zile hoja zake 19 ,mkizijibu tu bac watu wote watakueleweni laasihivyo mtachanika midomo maana hakki haikaliwi juu