SHEIKH MUHAMMAD IS'HAKA AWARIPUA WATU WA TWARIQA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 10. 2023
  • #Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo

Komentáře • 194

  • @mwinyihajihassan9299
    @mwinyihajihassan9299 Před 8 měsíci +4

    Baraka Allah fiika. sheikh

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 8 měsíci +6

    SHEIKH MUHAMMAD IS HAAQ
    ALLAH AKUHIFADHWI

  • @user-jk7sm1dl7p
    @user-jk7sm1dl7p Před 8 měsíci +3

    Shukran sana sheikh wambie hao watu wa bidah

  • @fadhiliharuna3934
    @fadhiliharuna3934 Před 8 měsíci +8

    Sichoki kumsikiliza Allah amhifadhi shekh huyu

  • @aliwachu7202
    @aliwachu7202 Před 8 měsíci +1

    MaashaAllah sheikh Mungu akulinde

  • @jumamsangazi2872
    @jumamsangazi2872 Před 6 měsíci

    Kazi ya Mohammad Is-haaq hakupata Ilmu bali alifanikiwa kutengeneza Mbaka tu

  • @universitylink
    @universitylink Před 8 měsíci +4

    Mashaallah sheikh kichwa Sanaa yuko vizuri sana Mashaallah

  • @user-fj3dp2xe4q
    @user-fj3dp2xe4q Před 8 měsíci +2

    Wewe ni jembe masha llah

  • @shabanikebrosi8883
    @shabanikebrosi8883 Před 8 měsíci

    Mash Allah sheikh

  • @saidyusuf9245
    @saidyusuf9245 Před 8 měsíci

    Shukran shekh wangu tumefaidika na amefaidika kilamweye kutaka haki

  • @rashidnassor5608
    @rashidnassor5608 Před 8 měsíci

    Mashallah

  • @athumaniomari9760
    @athumaniomari9760 Před 8 měsíci +5

    aise wazushi wamekamatwa kila kona na uzushi wao wa maulidi

  • @muhamadyabubakary6750
    @muhamadyabubakary6750 Před 8 měsíci

    Allah akuhifadhi Shekh

  • @user-ty8le4vq7o
    @user-ty8le4vq7o Před 8 měsíci +2

    Allah akulipe

  • @issicajosefu9681
    @issicajosefu9681 Před 8 měsíci +3

    Labda nyinyi masufi munona kutukana ndoo mashekh wa sunnah wataacha kufundisha dini ya Allah

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 Před 6 měsíci

    Allah akuhufadhi mwalim nimefaidika sana Baarakallahu fiik 😊

  • @salehselemani6517
    @salehselemani6517 Před 7 měsíci

    Allah akuifadh sheikh wangu, awa ndugu zetu wanajua kama awako ktk haki lakini matamanio ndo inawasumbua

  • @jumamsangazi2872
    @jumamsangazi2872 Před 6 měsíci

    Angalia anavyojichanganya ktk Lugha....Ata امر وجوبي.....kasome tena

  • @fadhiliharuna3934
    @fadhiliharuna3934 Před 8 měsíci +3

    'nakupenda shekh wangu Napata faraja sana

    • @YusufuGoma
      @YusufuGoma Před 8 měsíci

      Acha ujinga alishafundishwa pia kaacha Uwahabi

    • @ruzatuntajadin1274
      @ruzatuntajadin1274 Před 8 měsíci

      Hehe jamani ajifundishe kiarabu kwanza

  • @aliykhamisi1431
    @aliykhamisi1431 Před 8 měsíci

    بارک الله فیک

  • @swalehahmad8947
    @swalehahmad8947 Před 7 měsíci

    Nimekuskiliza mzuka wa choni unavyofasiri ibara za qaswida kichwa chini miguu juu na sura yako imejaa chuki na istihzai ... lakini kama kawaida msema pweke hatolewi makosa ...
    Ispokuwa mashaallaah sauti yako nzuri na imerembeshwa na hizohizo qaswida usizitaka na usozifahamu kwa uhaba wa ilmu ama kwa ubishi na ushindani....

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 8 měsíci +3

    Allah akuhüfadhi shelh wetu
    Bidaa ilienea sana , lkn kwa kaz zenu sasa hiv kidoogo wanagopa ogopa
    kile kitabu hakisomwi tena AlBarzanji!

  • @shafikakrabi8490
    @shafikakrabi8490 Před 6 měsíci

    Unaonekana Huna elimu thalaal badru alayna iko kabla hujazaliwa nashangazwa na wewe. Mungu akuhidi

  • @abuukauthar525
    @abuukauthar525 Před 8 měsíci +2

    Allah akubaariki shekhe wetu

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 Před 8 měsíci

    Shekhe umefafanuwa vizuri Sana watu wenye Akili tumekuwerewa vizuri sana

    • @ruzatuntajadin1274
      @ruzatuntajadin1274 Před 8 měsíci

      Hehehe musijifanye wajinga na nyinyi tafsiri hajui ya Qaswida kiarabu kina mchenga maskini

  • @ZubeirTahir-ep1tp
    @ZubeirTahir-ep1tp Před 6 měsíci

    Istihzaaaaaaai

  • @irshadabuhafsi6585
    @irshadabuhafsi6585 Před 7 měsíci

    MashaaAllah fasaha kabisa

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Před 8 měsíci +1

    Wa maulid wajiona wao wana ilmu kumbe bureeer

  • @ramadhanikimweri1240
    @ramadhanikimweri1240 Před 8 měsíci

    Mzee kweli nimeamini mungu anamuongoa amtakaye na anampoteza amtakaye wewe umefuata maadiliyafini nakumpendamtume katikaujanaeakounamkataaa unamkataa unamkataamtume unamkataamtumeu

  • @abakibibi9917
    @abakibibi9917 Před 8 měsíci

    SHEIKH ANA MAKOSA ANAPOZUNGUMZA KUPITIA MFUMO WA MTANDAO ANATAKIWA AANGALIE MBELE ASIANGALIE WASIKILIZAJI ILI MUANGALIAJI KUPITIA MTANDAONI AMUONE

  • @jumamsangazi2872
    @jumamsangazi2872 Před 6 měsíci

    Mbabaishaji tu

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Před 8 měsíci +2

    أبغض سؤال عند أهل البدع أن تسأله هل فعل هذا النبي صلى الله عليه وسلم

  • @user-gs8gs7lb2g
    @user-gs8gs7lb2g Před 8 měsíci +1

    hongereni masarafi kwakuungana na America na vibaraka wenzenu kwakuwaua watoto wakiparestina maana kila lifanyalo na saudia sawa leo watu wabidaah was I mama na ndugu zao ktk imani

    • @user-bl3pn2fl2r
      @user-bl3pn2fl2r Před 8 měsíci +1

      Ujui chochote ww hata kuandika kwenye shida😅

    • @nusalim3389
      @nusalim3389 Před 8 měsíci

      Sawa kama masalafi wameungana kuipiga palastina ,nipe jina la sufi mmoja tu kaenda palastina kuwasaidia wapiganaji, zaidi ya kwenda kula wali wa maulidini,khitma na kwenye matanga,

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 Před 6 měsíci

      Huna Akili hata

  • @jumamsangazi2872
    @jumamsangazi2872 Před 6 měsíci

    Rejea tena kwenye قاموس معجم المعاني...مادة...رحل:عن البلد اي تركه،غادره:٢...رحل الى مكان كءا اي سار اليه،انتقل:٣-رحل البلاد:تنقل فيها:٤..رحل الجمل:شد على ظهره الرحل٥:رحل الجمل اي ركبه...

  • @jumamsangazi2872
    @jumamsangazi2872 Před 6 měsíci

    Umekosea hata kufasiri Barzanj duh...!woh!

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 8 měsíci +1

    Nmegundua Masuuuf hawasomi wao n kufuata Mkumboo ndıo leo wamekamatwa koooo!
    Cheki shekh anachumbua kıtu kırlım kabsaa.
    Masuuf wao n kutukana tu!
    Haya masuuf nanyı leteni elimu kama hii tuone kuwa wanyama walıongea samaki n.k

  • @user-sm1kt5xd8k
    @user-sm1kt5xd8k Před 8 měsíci

    Nimrogho

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Před 8 měsíci +1

    Wamaulid wanajua matusi jmn hata mtume alisema hata mnyama msimtukane lkn nyie waulidi hamna ata aibu kutukana mnafunza jamii matusi au mnafunza jamii wafuate maulid aibu izo bimewacheza

  • @muhamedjumaa6867
    @muhamedjumaa6867 Před 8 měsíci

    Waona maulidi yanavyo kuathiri sana hiyo nilaana ya shekh mohamedi Ayoub inakuaathiri

    • @ibnhassan9980
      @ibnhassan9980 Před 8 měsíci +1

      Kwani sheikh mohamed Ayubu anatoa laana?

  • @mdoekibai3991
    @mdoekibai3991 Před 5 měsíci

    hili lisenge kbs

  • @YussuphIsmail-qh2gg
    @YussuphIsmail-qh2gg Před 8 měsíci +1

    Baraza nje haifai ni shirki TUp

  • @muhamedjumaa6867
    @muhamedjumaa6867 Před 8 měsíci

    Wewe ni shekhe maslai

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 8 měsíci +1

    Mm nilimhaur bach kabla ya kwemda Kenya amtafute shekh!
    Hpja zake n Hatar sana kwa masuuf
    Allah hawahifadh

  • @muhamedjumaa6867
    @muhamedjumaa6867 Před 8 měsíci

    Yaani kama ujafika madrasa utakuta uyu shekh anasema kweli .lakini ni muongo sana wasikia vinavyo muasiri.kama amefyetuka umefyetuka

    • @HassanKatumbi-hr5lg
      @HassanKatumbi-hr5lg Před 8 měsíci

      Yaani ww kumuogopa Allah kwako yaonesha ni Jambo husilolipenda yaani humekuwa hauna tofaut na manaswara kilichokatazwa kwao ndio wakifanyia ibada kwa ajili ya maslah ya tumbo lako nikushauri fata yaliyo haki na acha yaliyobatili

  • @user-rf3mg3bh9j
    @user-rf3mg3bh9j Před 8 měsíci +2

    Kweli nenda Kenya Kwa watu wa twarika omba mnakasha tuone kama kweli siku zote mtu akisem peke anashindw fancy mnakasha tujue

    • @abdullahiomary5534
      @abdullahiomary5534 Před 8 měsíci

      sahih kbc aeende tukaone

    • @ruzatuntajadin1274
      @ruzatuntajadin1274 Před 8 měsíci

      Watu kama hawa ndio kabsaa hafai hata kidogo

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 Před 6 měsíci

      Watu wa bidaa wanatumia Akili zao zaidi ya dalili katika kitabu na sunna
      Huwez shindana na mtu anayeendeshwa na matamanio

  • @user-ze8rk9ye6r
    @user-ze8rk9ye6r Před 8 měsíci +2

    Ambae yuasema sheikh yuasema urongo ebu asema hapa sheikh umekosea tujisema hivi tunamaanisha hivi wala sio kama unavyosema,asiseme tu sheikh mshenzi matusi ndugu nimakosa Sana na huyu sheik wetu ni mzazi wawatu ni kaka wawatu ni mjomba wawatu ebu tuwe na heshma,kama wewe ni shujaa ebu kosoa kielimu,lakini sheikh yuasema ukweli kabisa na mwenye akili haleti ubishi ukibali haki

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Před 8 měsíci

      Kasema sawa kweli, na hayo maoni yake, lkn hizo ni tungo, haina maana kua ni haramu
      twataka uharamu wa maulid, wapi ktk kur aan au hadithi imesema maulid haramu? huyo sisi kwetu pia ni sheikh hatumdharau ila nyie ndo wa kwanza kudharau masheikh zetu

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Před 8 měsíci

      Ndg sote tupo ktk haki, usijikweze, sisi twafata kur aan na hadithi, twatofaitiana ktk ufahamu, mafhum na uelewa, futa kauli yako kua nyie mpo ktk haki sisi hatupo haki, hizo ni dharau ambazo kila siku mwazungumza acheni kibri

  • @MuwadhiFula-st9tn
    @MuwadhiFula-st9tn Před 8 měsíci

    Kwakuchapia hujambo!

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Před 8 měsíci +1

    Watu wa bidaaa watu masufi acheni kumtukana sheikh kwani mumelazimishwa kumskiliza

  • @yusuphdachi1387
    @yusuphdachi1387 Před 6 měsíci

    Huyu bw mjanja sana alikuwa anahamu ya kusoma kaswida na kusoma barazannj kwenye na
    Kwa sababu Uwahab hautaki vitu hivyo ndiyo anasoma kijanja
    Hii ibin Kilab ibin kuzaimata ibin Mudirikata ibin Iliasa ni ukoo siyo mbwa wacha kudanganya watu

  • @user-ze8rk9ye6r
    @user-ze8rk9ye6r Před 8 měsíci +2

    Hivi watu wamaulidi mwatakaje ndio muelewe

    • @salehpandu2250
      @salehpandu2250 Před 8 měsíci

      Shida ni kuwa watu wanaopinga maulid wanatafsiri neno Kwa neno

  • @fahmiiidrisa5110
    @fahmiiidrisa5110 Před 6 měsíci

    Hata wenzke walianza kama yey mwisho walijikojolea hadharani

  • @muhamedjumaa6867
    @muhamedjumaa6867 Před 8 měsíci

    Umewacha kwa sababu ya pesa za mawahabii

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u Před 8 měsíci +1

      😂😂😂😂 mbona mawahabi maskini tu!!! Huku kenya matwariqa matajiri sanaaa..... tafuta jingine kaka...

  • @mohamedimcheni2068
    @mohamedimcheni2068 Před 8 měsíci

    Omba munaqasha mamburui

  • @saydouside9468
    @saydouside9468 Před 8 měsíci +2

    Tafsiri mzee..hayo ndio walikuwa wayajibu wale wazee wa mpunga..na wanajuwa ila mchele mtamu..

  • @AliMohamed-wp1op
    @AliMohamed-wp1op Před 8 měsíci

    SIO QASWIDA ZOTE ZILIZO NAMAKOSA SHEKHE

  • @sijartv9554
    @sijartv9554 Před 8 měsíci

    Konyagi

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před 8 měsíci +1

    LAKINI NYINYI MAWAHABI MNAJUA KAMA KUNA WASOMA MAULIDI WENGI WAMESHUHUDIWA WAKITOA SHAHADA WANAPOKUFA JEE INAWEZEKANA MSHIRIKINA ATOWE SHAHADA??

    • @khadijamohamed8919
      @khadijamohamed8919 Před 8 měsíci

      Nakunnga mikono kweli kabisa wapo wengi sana wa maulid na wamekufa na shahada.

    • @maalimhamad1297
      @maalimhamad1297 Před 8 měsíci

      Hamjaelewa nduguzangu silika anaesoma maulidi ni mshirikina ila kitabu cha maulidi ndiniyake kina ushirikina ila maulidi ni bidaa inawezekana mtu wabidaa kuipata shahada na akafa na dhambi ya bidaa

  • @user-sm1kt5xd8k
    @user-sm1kt5xd8k Před 8 měsíci

    Mikoba yabibi yakusumbuwa

  • @ruzatuntajadin1274
    @ruzatuntajadin1274 Před 8 měsíci

    Mpaka chakula chao cha msaada kili kaa mpakani Allah aliikata kwanza zetu za kenya japo kidogo zikafika na kwengineko mma palastine waka nufaika za ma wahabi malory zilipangana ehh Mungu na Mtume si wakuchezewa

  • @user-mi3cs9lc6y
    @user-mi3cs9lc6y Před 8 měsíci

    Kweli huyu ni mweupe peee

  • @user-gs8gs7lb2g
    @user-gs8gs7lb2g Před 8 měsíci

    masarafi waungana na masarafi wakiyaudi America ufaransa Italian ujeruman kuwaua wait watoto wa Palestine wasio hatia hakina Bachu na wezio mtafakali mchofata saudia kila wanachokifanya kisa mnalipwa mishahara na saudia

  • @muhamedjumaa6867
    @muhamedjumaa6867 Před 8 měsíci

    Wewe unaukiritimba

  • @idihsingano-kq2sy
    @idihsingano-kq2sy Před 8 měsíci

    Wee mzee acha uongo

  • @jumamsangazi2872
    @jumamsangazi2872 Před 6 měsíci

    Sasa rejea kwenye hii kamusi uwaambie ukweli kuwa maana yake tikisa matako....?au nimtikise mnyama wako na safiri au nenda

  • @user-fe6fu8mz8n
    @user-fe6fu8mz8n Před 8 měsíci

    Mashekhe wang ingawa tunayapenda maulid lakin tusimameni kweny hakii nakiri kwakusema mim sas yananipa utata. Pia izo hadithi mnazozitoa kwakuyatetea mauli tuseme ndo mumezifaham nyinyi tu mashekhe wa karne hizii... Maswahaba naviongoz wadin wakubwa walio pia kina swalafii tuseme ufaham wao ulikua mdogo au vp et jamn

  • @user-nk1lj2ms7w
    @user-nk1lj2ms7w Před 8 měsíci

    Huyu nae hana jipya

  • @shazyahya4121
    @shazyahya4121 Před 7 měsíci +1

    Weka nondo sheikh ukweli unauma huu mwaka watu wa bidaa wameshikwa pabaya ofu yao ukweli ushajulikana sasa wakiacha maulid maokoto watapata wapi si watakufa na njaa

  • @user-gg1zh6oe2w
    @user-gg1zh6oe2w Před 8 měsíci

    HUNA ADABU

  • @muhsinsalim6257
    @muhsinsalim6257 Před 8 měsíci +1

    Akili yako kama sura zako mbovu

  • @abduhanafi8143
    @abduhanafi8143 Před 3 měsíci

    Wacha kujitekenya mzee ukachekamwenyewe

  • @jumamsangazi2872
    @jumamsangazi2872 Před 6 měsíci

    Mimi Mohammad Is-haaq...maarufu....jina lake ROTTO...hata hajui Lugha nakama anajua basi anatumia upotoshaji anaosema

  • @muhamedjumaa6867
    @muhamedjumaa6867 Před 8 měsíci

    Je , nilaana hiyo yakutokumuogopa shekh lako eti wajisifia

  • @jumamsangazi2872
    @jumamsangazi2872 Před 6 měsíci

    Ndgu yangu kaka yangu Mohammad Is-haaq utaumbuka bure acha kujifunza kupitia social Media.... Unazidi kuwadanganya tu...ati hadi ni راوي الحديث humuji?tutajie kitabu kilichosema kuwa hayo ni maneno ya swahaba...unasema tu hutaji References

  • @idihsingano-kq2sy
    @idihsingano-kq2sy Před 8 měsíci

    Kwaiyo unatafuta wakukupinga?

  • @mbarakaalmasi4955
    @mbarakaalmasi4955 Před měsícem

    Huyu mzee ni mnafiki tu hana lolote analipwa na marekani huyo

  • @TijosHaba-xi8vy
    @TijosHaba-xi8vy Před 7 měsíci

    Nacheka hadi mwisho kwa tafsiri uliotupa yahayo ma kaswida😅

  • @BintChiwaya-rr8rf
    @BintChiwaya-rr8rf Před 8 měsíci

    Anachosema shekh kwel jaman newala kwenye mauld wanawake wanacha nganyka na wanaume wanacheza alafu wakat wa unyago wanawake wanavaa kanz fup nafimbo wanawaimba answal

    • @Abuuhurayrahsaalim
      @Abuuhurayrahsaalim Před 8 měsíci

      Allaah atakulipa ndugu yetu sheikh wetu hiyo ni Moja ya mitihani,kwani tupo ktk zama ambazo Hali inapingwa na batili inawekwa kipao mbele

    • @tanzaniaonmzamiloon8627
      @tanzaniaonmzamiloon8627 Před 8 měsíci

      Na Makkah wanavyochanganyika Nako tusemaje? Haifai

    • @mjaaliakhalfan9030
      @mjaaliakhalfan9030 Před 7 měsíci

      ​@@tanzaniaonmzamiloon8627unafananisha maulid n sehem takatifu ,unapajua ww pale,mtu wowote atakaefanya dhulma pale Allah ameahid kumpa adhabu chungu,je vipi kuhusu maulid?na mchanganyiko ule unatukumbusha cku y kiama ndio hekma yke.tafadhali ucfananishe Makka n ibada y Hijja n maulid

    • @tanzaniaonmzamiloon8627
      @tanzaniaonmzamiloon8627 Před 7 měsíci

      @@mjaaliakhalfan9030 wew kweli mbumbmbu Nini maana ya maulid kisha jenga hoja acha ufala

  • @abdulgadiralahdal901
    @abdulgadiralahdal901 Před 8 měsíci

    Lamu imehifadhi tarehe ulio kwenda msikiti wa pwani uliisoma qasida makosa na ukalazimishwa kuisoma sawa ulishindwa na ulipo shindwa uliambiwa ukito isoma hiyo kasida sawa hakuna muhadhara na kweli ulitoka mbio wewe na wafuasi wako mukaukimbia msikiti .
    Acha uongo.
    JEE UPO TAYARI KUINGIA KWENYE MJADALA ?.

  • @baruakivuma8024
    @baruakivuma8024 Před 8 měsíci

    Kumbe Moh'd Is' haka hoja unazo za kutosha kwa nini huitisha mjadala kama wenzio wanavyofanya ? Badala yake umejifungia na wenzio msemaji na ww peke yako .

  • @karimdaud3993
    @karimdaud3993 Před 8 měsíci

    Huyu kajisomesha hakusomeshwa ndi tatizo

  • @yusufsadic2930
    @yusufsadic2930 Před 8 měsíci

    Wengine wanasem wanakupenda mimi nasem sikupend

    • @saydouside9468
      @saydouside9468 Před 8 měsíci

      usichukie ..Allah aliniambia lqra..tusome sio kama wanatupeleka Sisi tuitikie tu..hapana..tunavitu vingi tumepelekwa sana..na wavivu wa kufanya kazi..sio hivi tu matanga..hitma..VP..tusome

  • @HemedAbdalla
    @HemedAbdalla Před 8 měsíci

    Mtu kajisomesha mwenyew 😂😂😂

  • @abdullatifhamisi2276
    @abdullatifhamisi2276 Před 8 měsíci +3

    Mashallah sheikh Allah akujaze kheir lkni nataka nikwambie sheikh mselem ametoka lamu na amezungumza sana kuhusu maulid ww sio wakwanza na wengi tu wameongea

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 8 měsíci +2

    ENYI WATU WA BID'A MNASEMA SHEIKH IS HAAQ MUWONGO?
    LETENI NYIE DALILI YA KWAMBA MAULID NI IBADA!!

  • @user-wu5zw3rr3v
    @user-wu5zw3rr3v Před 8 měsíci

    Watu wa mabrui wako wapi wasiyapinge haya??

    • @yahyamaulana7791
      @yahyamaulana7791 Před 8 měsíci

      Sasa mtu asema peke yake. Lazima ajione amepata na kama kweli kidume aite hao wa maburui aone hata kusoma ibara za kiarabu itakua balaa kwake. Kwenye hadithi MTUMI ASEMA 'ADHWIMU DHWAHAAYAKUM FAINNAHU 'ALASSIRAATI MATWAAYAKUM. MAANA YAKE FANYENI VIKUBWA VICHINJWA VENU KWANI KWENYE SIRATWI NDIO VIPANDWA VYENU. SIJUI ALIPATA WAPI TAFSIRI YA MATWAYA KUNA NI MATAKO😂😂😂. USITAMANI AKAPAMBANA NA HAO WAMAMBURI ATAFANYWA KAMA SADUKU

  • @jumamsangazi2872
    @jumamsangazi2872 Před 6 měsíci

    Mpka حرك مطاياك وارحل hajui kabisa au ndio upofu wake tu?nakama si upofu basi hajui Lugha yakiarabu

  • @idihsingano-kq2sy
    @idihsingano-kq2sy Před 8 měsíci

    Achakuleta komedi

  • @jumamsangazi2872
    @jumamsangazi2872 Před 6 měsíci

    Mohammad Is-haaq rejea qur aan.... وجعلنا من الماء كل شيء حي....،nikweli maji ni uhai?...rejea Qur aan....كتاب انزلناه اليك لتخرج الناس من الظلمات الى النور...swali anayewatoa watu kwenye kiza cha ukafiri ni Allah au Mtume?lete maana yake?ndio utafahamu hiyo. الناي والطار ....الى تحيينا maana yake ni Nai na twari vinatupa uhai?au vinatuburudisha?acha urongo Is-haaq

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 Před 5 měsíci

      Anaewatoa watu katika Giza ni Allah sio mtume Muhammad Swalla llaahu alayhi wasallama kazi ya mtume Muhammad Swalla llaahu alayhi wasallama ni kufikisha tu ujumbe kazi ya kuongoza ni kazi ya ALLAH

  • @user-ze7pm3ut9c
    @user-ze7pm3ut9c Před 8 měsíci

    Kama dhamiri hurudi kwa akrabil madhkuri haya tueleze katika aya ya 6 aliposema kwenye suwrat Nnisaai "ومسحو براوسكم وارجلكم ال" tutilie irabu tukuone na hiyo akrabil madhkuri yako

    • @RaslaniAbedy-qs8vd
      @RaslaniAbedy-qs8vd Před 8 měsíci

      yani wewe huna lolote ulijualo shekh kataja dhamiri ww unamletea mfano wa ghatfi hivi hata hujaweza kufautisha kati ya dhwamiiri na ghatfi allah akusamehe

  • @saidasimai3240
    @saidasimai3240 Před 7 měsíci

    shekh baki na msimamo huo huo

  • @jumamsangazi2872
    @jumamsangazi2872 Před 6 měsíci

    Maneno yake hayo Tangu Arusha nihayo hayo....ukitaka kujua kuwa hajui Lugha anadanganya...rejea ktk قاموس المعاني...مطايا جمع مطية...nini maana yake...الدابة التى تركب.....وقال ايضا تعريف المطية فى معجم المعاني الجامع مطية جمع مطايا...المطية من الدواب:ما يركب و يتمطى كالبعير و والناقة(للمذكر والمؤنث)

  • @jumamsangazi2872
    @jumamsangazi2872 Před 6 měsíci

    Nikweli neno مطايا nimatako?na ndio asw-li ya neno hilo?aweke wazi zaidi kwa kurejea kwa Asw-li ya neno,mufrad wake,na hata hilo neno وارحل...aweke wazi...aache njaa

  • @abdulgadiralahdal901
    @abdulgadiralahdal901 Před 8 měsíci

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
    Dah :
    صفت لي حميا خلي .
    Hivi ubaiti huo maana yake ni hayo uliyo yafasiri ?.
    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅.
    النفاج البجباج .

  • @ZubeirTahir-ep1tp
    @ZubeirTahir-ep1tp Před 6 měsíci

    Kitu bidaa cha haramu halafu unakisoma iwejeeeeeee

  • @jumamsangazi2872
    @jumamsangazi2872 Před 6 měsíci

    Mohammad Is-haaq naona nimtupu wa Lugha na pia nahisi pale Tamta alipita tu...hakuelewa chochote zaidi yakutengeneza mbaka tu

  • @saidmwakulika706
    @saidmwakulika706 Před 7 měsíci

    Waambie ulicho fukuzwa lamu ni kipi?

  • @HemedAbdalla
    @HemedAbdalla Před 8 měsíci

    Dah! Kweli mnajua kuburuza watu...Si museme tu bc km Wahabi anashushiwa wahyi...😂😂😂

  • @yusufsadic2930
    @yusufsadic2930 Před 8 měsíci

    Je wewe unazungumza wewe peke yako waliyoyazungumza Hao wenzako huyataj unasemat waliruk wakiruk walikujibuj unasemat huko ndiko tulikotoko yan mtu mkubwa kam wewe unakuj hapo kuchonganisha Waislam

  • @makamekhalfan5968
    @makamekhalfan5968 Před 8 měsíci

    muongo huyu mzee

  • @BiusiYusuphu-ib6dg
    @BiusiYusuphu-ib6dg Před 8 měsíci

    Ww mbona n Muong mm natak ututajie huyo sheikh wak wa tanga ?