Nimekuskiliza mzuka wa choni unavyofasiri ibara za qaswida kichwa chini miguu juu na sura yako imejaa chuki na istihzai ... lakini kama kawaida msema pweke hatolewi makosa ... Ispokuwa mashaallaah sauti yako nzuri na imerembeshwa na hizohizo qaswida usizitaka na usozifahamu kwa uhaba wa ilmu ama kwa ubishi na ushindani....
hongereni masarafi kwakuungana na America na vibaraka wenzenu kwakuwaua watoto wakiparestina maana kila lifanyalo na saudia sawa leo watu wabidaah was I mama na ndugu zao ktk imani
Sawa kama masalafi wameungana kuipiga palastina ,nipe jina la sufi mmoja tu kaenda palastina kuwasaidia wapiganaji, zaidi ya kwenda kula wali wa maulidini,khitma na kwenye matanga,
Rejea tena kwenye قاموس معجم المعاني...مادة...رحل:عن البلد اي تركه،غادره:٢...رحل الى مكان كءا اي سار اليه،انتقل:٣-رحل البلاد:تنقل فيها:٤..رحل الجمل:شد على ظهره الرحل٥:رحل الجمل اي ركبه...
Nmegundua Masuuuf hawasomi wao n kufuata Mkumboo ndıo leo wamekamatwa koooo! Cheki shekh anachumbua kıtu kırlım kabsaa. Masuuf wao n kutukana tu! Haya masuuf nanyı leteni elimu kama hii tuone kuwa wanyama walıongea samaki n.k
Wamaulid wanajua matusi jmn hata mtume alisema hata mnyama msimtukane lkn nyie waulidi hamna ata aibu kutukana mnafunza jamii matusi au mnafunza jamii wafuate maulid aibu izo bimewacheza
Yaani ww kumuogopa Allah kwako yaonesha ni Jambo husilolipenda yaani humekuwa hauna tofaut na manaswara kilichokatazwa kwao ndio wakifanyia ibada kwa ajili ya maslah ya tumbo lako nikushauri fata yaliyo haki na acha yaliyobatili
Ambae yuasema sheikh yuasema urongo ebu asema hapa sheikh umekosea tujisema hivi tunamaanisha hivi wala sio kama unavyosema,asiseme tu sheikh mshenzi matusi ndugu nimakosa Sana na huyu sheik wetu ni mzazi wawatu ni kaka wawatu ni mjomba wawatu ebu tuwe na heshma,kama wewe ni shujaa ebu kosoa kielimu,lakini sheikh yuasema ukweli kabisa na mwenye akili haleti ubishi ukibali haki
Kasema sawa kweli, na hayo maoni yake, lkn hizo ni tungo, haina maana kua ni haramu twataka uharamu wa maulid, wapi ktk kur aan au hadithi imesema maulid haramu? huyo sisi kwetu pia ni sheikh hatumdharau ila nyie ndo wa kwanza kudharau masheikh zetu
Ndg sote tupo ktk haki, usijikweze, sisi twafata kur aan na hadithi, twatofaitiana ktk ufahamu, mafhum na uelewa, futa kauli yako kua nyie mpo ktk haki sisi hatupo haki, hizo ni dharau ambazo kila siku mwazungumza acheni kibri
Huyu bw mjanja sana alikuwa anahamu ya kusoma kaswida na kusoma barazannj kwenye na Kwa sababu Uwahab hautaki vitu hivyo ndiyo anasoma kijanja Hii ibin Kilab ibin kuzaimata ibin Mudirikata ibin Iliasa ni ukoo siyo mbwa wacha kudanganya watu
Hamjaelewa nduguzangu silika anaesoma maulidi ni mshirikina ila kitabu cha maulidi ndiniyake kina ushirikina ila maulidi ni bidaa inawezekana mtu wabidaa kuipata shahada na akafa na dhambi ya bidaa
Mpaka chakula chao cha msaada kili kaa mpakani Allah aliikata kwanza zetu za kenya japo kidogo zikafika na kwengineko mma palastine waka nufaika za ma wahabi malory zilipangana ehh Mungu na Mtume si wakuchezewa
masarafi waungana na masarafi wakiyaudi America ufaransa Italian ujeruman kuwaua wait watoto wa Palestine wasio hatia hakina Bachu na wezio mtafakali mchofata saudia kila wanachokifanya kisa mnalipwa mishahara na saudia
Mashekhe wang ingawa tunayapenda maulid lakin tusimameni kweny hakii nakiri kwakusema mim sas yananipa utata. Pia izo hadithi mnazozitoa kwakuyatetea mauli tuseme ndo mumezifaham nyinyi tu mashekhe wa karne hizii... Maswahaba naviongoz wadin wakubwa walio pia kina swalafii tuseme ufaham wao ulikua mdogo au vp et jamn
Weka nondo sheikh ukweli unauma huu mwaka watu wa bidaa wameshikwa pabaya ofu yao ukweli ushajulikana sasa wakiacha maulid maokoto watapata wapi si watakufa na njaa
Ndgu yangu kaka yangu Mohammad Is-haaq utaumbuka bure acha kujifunza kupitia social Media.... Unazidi kuwadanganya tu...ati hadi ni راوي الحديث humuji?tutajie kitabu kilichosema kuwa hayo ni maneno ya swahaba...unasema tu hutaji References
@@tanzaniaonmzamiloon8627unafananisha maulid n sehem takatifu ,unapajua ww pale,mtu wowote atakaefanya dhulma pale Allah ameahid kumpa adhabu chungu,je vipi kuhusu maulid?na mchanganyiko ule unatukumbusha cku y kiama ndio hekma yke.tafadhali ucfananishe Makka n ibada y Hijja n maulid
Lamu imehifadhi tarehe ulio kwenda msikiti wa pwani uliisoma qasida makosa na ukalazimishwa kuisoma sawa ulishindwa na ulipo shindwa uliambiwa ukito isoma hiyo kasida sawa hakuna muhadhara na kweli ulitoka mbio wewe na wafuasi wako mukaukimbia msikiti . Acha uongo. JEE UPO TAYARI KUINGIA KWENYE MJADALA ?.
Kumbe Moh'd Is' haka hoja unazo za kutosha kwa nini huitisha mjadala kama wenzio wanavyofanya ? Badala yake umejifungia na wenzio msemaji na ww peke yako .
usichukie ..Allah aliniambia lqra..tusome sio kama wanatupeleka Sisi tuitikie tu..hapana..tunavitu vingi tumepelekwa sana..na wavivu wa kufanya kazi..sio hivi tu matanga..hitma..VP..tusome
Mashallah sheikh Allah akujaze kheir lkni nataka nikwambie sheikh mselem ametoka lamu na amezungumza sana kuhusu maulid ww sio wakwanza na wengi tu wameongea
Sasa mtu asema peke yake. Lazima ajione amepata na kama kweli kidume aite hao wa maburui aone hata kusoma ibara za kiarabu itakua balaa kwake. Kwenye hadithi MTUMI ASEMA 'ADHWIMU DHWAHAAYAKUM FAINNAHU 'ALASSIRAATI MATWAAYAKUM. MAANA YAKE FANYENI VIKUBWA VICHINJWA VENU KWANI KWENYE SIRATWI NDIO VIPANDWA VYENU. SIJUI ALIPATA WAPI TAFSIRI YA MATWAYA KUNA NI MATAKO😂😂😂. USITAMANI AKAPAMBANA NA HAO WAMAMBURI ATAFANYWA KAMA SADUKU
Mohammad Is-haaq rejea qur aan.... وجعلنا من الماء كل شيء حي....،nikweli maji ni uhai?...rejea Qur aan....كتاب انزلناه اليك لتخرج الناس من الظلمات الى النور...swali anayewatoa watu kwenye kiza cha ukafiri ni Allah au Mtume?lete maana yake?ndio utafahamu hiyo. الناي والطار ....الى تحيينا maana yake ni Nai na twari vinatupa uhai?au vinatuburudisha?acha urongo Is-haaq
Anaewatoa watu katika Giza ni Allah sio mtume Muhammad Swalla llaahu alayhi wasallama kazi ya mtume Muhammad Swalla llaahu alayhi wasallama ni kufikisha tu ujumbe kazi ya kuongoza ni kazi ya ALLAH
Kama dhamiri hurudi kwa akrabil madhkuri haya tueleze katika aya ya 6 aliposema kwenye suwrat Nnisaai "ومسحو براوسكم وارجلكم ال" tutilie irabu tukuone na hiyo akrabil madhkuri yako
yani wewe huna lolote ulijualo shekh kataja dhamiri ww unamletea mfano wa ghatfi hivi hata hujaweza kufautisha kati ya dhwamiiri na ghatfi allah akusamehe
Maneno yake hayo Tangu Arusha nihayo hayo....ukitaka kujua kuwa hajui Lugha anadanganya...rejea ktk قاموس المعاني...مطايا جمع مطية...nini maana yake...الدابة التى تركب.....وقال ايضا تعريف المطية فى معجم المعاني الجامع مطية جمع مطايا...المطية من الدواب:ما يركب و يتمطى كالبعير و والناقة(للمذكر والمؤنث)
Nikweli neno مطايا nimatako?na ndio asw-li ya neno hilo?aweke wazi zaidi kwa kurejea kwa Asw-li ya neno,mufrad wake,na hata hilo neno وارحل...aweke wazi...aache njaa
Je wewe unazungumza wewe peke yako waliyoyazungumza Hao wenzako huyataj unasemat waliruk wakiruk walikujibuj unasemat huko ndiko tulikotoko yan mtu mkubwa kam wewe unakuj hapo kuchonganisha Waislam
Baraka Allah fiika. sheikh
SHEIKH MUHAMMAD IS HAAQ
ALLAH AKUHIFADHWI
Shukran sana sheikh wambie hao watu wa bidah
Sichoki kumsikiliza Allah amhifadhi shekh huyu
Mimi pia namfuatilia sana
MaashaAllah sheikh Mungu akulinde
Kazi ya Mohammad Is-haaq hakupata Ilmu bali alifanikiwa kutengeneza Mbaka tu
Mashaallah sheikh kichwa Sanaa yuko vizuri sana Mashaallah
Huyu hata hafai kushindana nae
Pole elmu sio ushabik
Wewe ni jembe masha llah
Mash Allah sheikh
Shukran shekh wangu tumefaidika na amefaidika kilamweye kutaka haki
Mashallah
aise wazushi wamekamatwa kila kona na uzushi wao wa maulidi
Allah akuhifadhi Shekh
Allah akulipe
Labda nyinyi masufi munona kutukana ndoo mashekh wa sunnah wataacha kufundisha dini ya Allah
Allah akuhufadhi mwalim nimefaidika sana Baarakallahu fiik 😊
Allah akuifadh sheikh wangu, awa ndugu zetu wanajua kama awako ktk haki lakini matamanio ndo inawasumbua
Angalia anavyojichanganya ktk Lugha....Ata امر وجوبي.....kasome tena
'nakupenda shekh wangu Napata faraja sana
Acha ujinga alishafundishwa pia kaacha Uwahabi
Hehe jamani ajifundishe kiarabu kwanza
بارک الله فیک
Nimekuskiliza mzuka wa choni unavyofasiri ibara za qaswida kichwa chini miguu juu na sura yako imejaa chuki na istihzai ... lakini kama kawaida msema pweke hatolewi makosa ...
Ispokuwa mashaallaah sauti yako nzuri na imerembeshwa na hizohizo qaswida usizitaka na usozifahamu kwa uhaba wa ilmu ama kwa ubishi na ushindani....
we mwenye elimu toa nawe elimu yako
usiwe mjinga kiasi hicho
Allah akuhüfadhi shelh wetu
Bidaa ilienea sana , lkn kwa kaz zenu sasa hiv kidoogo wanagopa ogopa
kile kitabu hakisomwi tena AlBarzanji!
Labda mjinga wew
@@tanzaniaonmzamiloon8627 اتق الله
Unaonekana Huna elimu thalaal badru alayna iko kabla hujazaliwa nashangazwa na wewe. Mungu akuhidi
Allah akubaariki shekhe wetu
Shekhe umefafanuwa vizuri Sana watu wenye Akili tumekuwerewa vizuri sana
Hehehe musijifanye wajinga na nyinyi tafsiri hajui ya Qaswida kiarabu kina mchenga maskini
Istihzaaaaaaai
MashaaAllah fasaha kabisa
Wa maulid wajiona wao wana ilmu kumbe bureeer
Mzee kweli nimeamini mungu anamuongoa amtakaye na anampoteza amtakaye wewe umefuata maadiliyafini nakumpendamtume katikaujanaeakounamkataaa unamkataa unamkataamtume unamkataamtumeu
SHEIKH ANA MAKOSA ANAPOZUNGUMZA KUPITIA MFUMO WA MTANDAO ANATAKIWA AANGALIE MBELE ASIANGALIE WASIKILIZAJI ILI MUANGALIAJI KUPITIA MTANDAONI AMUONE
Mbabaishaji tu
أبغض سؤال عند أهل البدع أن تسأله هل فعل هذا النبي صلى الله عليه وسلم
hongereni masarafi kwakuungana na America na vibaraka wenzenu kwakuwaua watoto wakiparestina maana kila lifanyalo na saudia sawa leo watu wabidaah was I mama na ndugu zao ktk imani
Ujui chochote ww hata kuandika kwenye shida😅
Sawa kama masalafi wameungana kuipiga palastina ,nipe jina la sufi mmoja tu kaenda palastina kuwasaidia wapiganaji, zaidi ya kwenda kula wali wa maulidini,khitma na kwenye matanga,
Huna Akili hata
Rejea tena kwenye قاموس معجم المعاني...مادة...رحل:عن البلد اي تركه،غادره:٢...رحل الى مكان كءا اي سار اليه،انتقل:٣-رحل البلاد:تنقل فيها:٤..رحل الجمل:شد على ظهره الرحل٥:رحل الجمل اي ركبه...
Umekosea hata kufasiri Barzanj duh...!woh!
Nmegundua Masuuuf hawasomi wao n kufuata Mkumboo ndıo leo wamekamatwa koooo!
Cheki shekh anachumbua kıtu kırlım kabsaa.
Masuuf wao n kutukana tu!
Haya masuuf nanyı leteni elimu kama hii tuone kuwa wanyama walıongea samaki n.k
Nimrogho
Wamaulid wanajua matusi jmn hata mtume alisema hata mnyama msimtukane lkn nyie waulidi hamna ata aibu kutukana mnafunza jamii matusi au mnafunza jamii wafuate maulid aibu izo bimewacheza
Waona maulidi yanavyo kuathiri sana hiyo nilaana ya shekh mohamedi Ayoub inakuaathiri
Kwani sheikh mohamed Ayubu anatoa laana?
hili lisenge kbs
Baraza nje haifai ni shirki TUp
Wewe ni shekhe maslai
Mm nilimhaur bach kabla ya kwemda Kenya amtafute shekh!
Hpja zake n Hatar sana kwa masuuf
Allah hawahifadh
Yaani kama ujafika madrasa utakuta uyu shekh anasema kweli .lakini ni muongo sana wasikia vinavyo muasiri.kama amefyetuka umefyetuka
Yaani ww kumuogopa Allah kwako yaonesha ni Jambo husilolipenda yaani humekuwa hauna tofaut na manaswara kilichokatazwa kwao ndio wakifanyia ibada kwa ajili ya maslah ya tumbo lako nikushauri fata yaliyo haki na acha yaliyobatili
Kweli nenda Kenya Kwa watu wa twarika omba mnakasha tuone kama kweli siku zote mtu akisem peke anashindw fancy mnakasha tujue
sahih kbc aeende tukaone
Watu kama hawa ndio kabsaa hafai hata kidogo
Watu wa bidaa wanatumia Akili zao zaidi ya dalili katika kitabu na sunna
Huwez shindana na mtu anayeendeshwa na matamanio
Ambae yuasema sheikh yuasema urongo ebu asema hapa sheikh umekosea tujisema hivi tunamaanisha hivi wala sio kama unavyosema,asiseme tu sheikh mshenzi matusi ndugu nimakosa Sana na huyu sheik wetu ni mzazi wawatu ni kaka wawatu ni mjomba wawatu ebu tuwe na heshma,kama wewe ni shujaa ebu kosoa kielimu,lakini sheikh yuasema ukweli kabisa na mwenye akili haleti ubishi ukibali haki
Kasema sawa kweli, na hayo maoni yake, lkn hizo ni tungo, haina maana kua ni haramu
twataka uharamu wa maulid, wapi ktk kur aan au hadithi imesema maulid haramu? huyo sisi kwetu pia ni sheikh hatumdharau ila nyie ndo wa kwanza kudharau masheikh zetu
Ndg sote tupo ktk haki, usijikweze, sisi twafata kur aan na hadithi, twatofaitiana ktk ufahamu, mafhum na uelewa, futa kauli yako kua nyie mpo ktk haki sisi hatupo haki, hizo ni dharau ambazo kila siku mwazungumza acheni kibri
Kwakuchapia hujambo!
Watu wa bidaaa watu masufi acheni kumtukana sheikh kwani mumelazimishwa kumskiliza
Huyu bw mjanja sana alikuwa anahamu ya kusoma kaswida na kusoma barazannj kwenye na
Kwa sababu Uwahab hautaki vitu hivyo ndiyo anasoma kijanja
Hii ibin Kilab ibin kuzaimata ibin Mudirikata ibin Iliasa ni ukoo siyo mbwa wacha kudanganya watu
Hivi watu wamaulidi mwatakaje ndio muelewe
Shida ni kuwa watu wanaopinga maulid wanatafsiri neno Kwa neno
Hata wenzke walianza kama yey mwisho walijikojolea hadharani
Umewacha kwa sababu ya pesa za mawahabii
😂😂😂😂 mbona mawahabi maskini tu!!! Huku kenya matwariqa matajiri sanaaa..... tafuta jingine kaka...
Omba munaqasha mamburui
Tafsiri mzee..hayo ndio walikuwa wayajibu wale wazee wa mpunga..na wanajuwa ila mchele mtamu..
SIO QASWIDA ZOTE ZILIZO NAMAKOSA SHEKHE
Konyagi
LAKINI NYINYI MAWAHABI MNAJUA KAMA KUNA WASOMA MAULIDI WENGI WAMESHUHUDIWA WAKITOA SHAHADA WANAPOKUFA JEE INAWEZEKANA MSHIRIKINA ATOWE SHAHADA??
Nakunnga mikono kweli kabisa wapo wengi sana wa maulid na wamekufa na shahada.
Hamjaelewa nduguzangu silika anaesoma maulidi ni mshirikina ila kitabu cha maulidi ndiniyake kina ushirikina ila maulidi ni bidaa inawezekana mtu wabidaa kuipata shahada na akafa na dhambi ya bidaa
Mikoba yabibi yakusumbuwa
Mpaka chakula chao cha msaada kili kaa mpakani Allah aliikata kwanza zetu za kenya japo kidogo zikafika na kwengineko mma palastine waka nufaika za ma wahabi malory zilipangana ehh Mungu na Mtume si wakuchezewa
Kweli huyu ni mweupe peee
masarafi waungana na masarafi wakiyaudi America ufaransa Italian ujeruman kuwaua wait watoto wa Palestine wasio hatia hakina Bachu na wezio mtafakali mchofata saudia kila wanachokifanya kisa mnalipwa mishahara na saudia
Wewe unaukiritimba
Wee mzee acha uongo
Ukweli unauma
Watu wa bidah mtauniasna
Sasa rejea kwenye hii kamusi uwaambie ukweli kuwa maana yake tikisa matako....?au nimtikise mnyama wako na safiri au nenda
Mashekhe wang ingawa tunayapenda maulid lakin tusimameni kweny hakii nakiri kwakusema mim sas yananipa utata. Pia izo hadithi mnazozitoa kwakuyatetea mauli tuseme ndo mumezifaham nyinyi tu mashekhe wa karne hizii... Maswahaba naviongoz wadin wakubwa walio pia kina swalafii tuseme ufaham wao ulikua mdogo au vp et jamn
Huyu nae hana jipya
Weka nondo sheikh ukweli unauma huu mwaka watu wa bidaa wameshikwa pabaya ofu yao ukweli ushajulikana sasa wakiacha maulid maokoto watapata wapi si watakufa na njaa
HUNA ADABU
Akili yako kama sura zako mbovu
اتق الله
Wacha kujitekenya mzee ukachekamwenyewe
Mimi Mohammad Is-haaq...maarufu....jina lake ROTTO...hata hajui Lugha nakama anajua basi anatumia upotoshaji anaosema
Je , nilaana hiyo yakutokumuogopa shekh lako eti wajisifia
Ndgu yangu kaka yangu Mohammad Is-haaq utaumbuka bure acha kujifunza kupitia social Media.... Unazidi kuwadanganya tu...ati hadi ni راوي الحديث humuji?tutajie kitabu kilichosema kuwa hayo ni maneno ya swahaba...unasema tu hutaji References
Kwaiyo unatafuta wakukupinga?
Huyu mzee ni mnafiki tu hana lolote analipwa na marekani huyo
Nacheka hadi mwisho kwa tafsiri uliotupa yahayo ma kaswida😅
Anachosema shekh kwel jaman newala kwenye mauld wanawake wanacha nganyka na wanaume wanacheza alafu wakat wa unyago wanawake wanavaa kanz fup nafimbo wanawaimba answal
Allaah atakulipa ndugu yetu sheikh wetu hiyo ni Moja ya mitihani,kwani tupo ktk zama ambazo Hali inapingwa na batili inawekwa kipao mbele
Na Makkah wanavyochanganyika Nako tusemaje? Haifai
@@tanzaniaonmzamiloon8627unafananisha maulid n sehem takatifu ,unapajua ww pale,mtu wowote atakaefanya dhulma pale Allah ameahid kumpa adhabu chungu,je vipi kuhusu maulid?na mchanganyiko ule unatukumbusha cku y kiama ndio hekma yke.tafadhali ucfananishe Makka n ibada y Hijja n maulid
@@mjaaliakhalfan9030 wew kweli mbumbmbu Nini maana ya maulid kisha jenga hoja acha ufala
Lamu imehifadhi tarehe ulio kwenda msikiti wa pwani uliisoma qasida makosa na ukalazimishwa kuisoma sawa ulishindwa na ulipo shindwa uliambiwa ukito isoma hiyo kasida sawa hakuna muhadhara na kweli ulitoka mbio wewe na wafuasi wako mukaukimbia msikiti .
Acha uongo.
JEE UPO TAYARI KUINGIA KWENYE MJADALA ?.
Kumbe Moh'd Is' haka hoja unazo za kutosha kwa nini huitisha mjadala kama wenzio wanavyofanya ? Badala yake umejifungia na wenzio msemaji na ww peke yako .
Huyu kajisomesha hakusomeshwa ndi tatizo
nikwel kbc atowa maelezo tyu
Wengine wanasem wanakupenda mimi nasem sikupend
usichukie ..Allah aliniambia lqra..tusome sio kama wanatupeleka Sisi tuitikie tu..hapana..tunavitu vingi tumepelekwa sana..na wavivu wa kufanya kazi..sio hivi tu matanga..hitma..VP..tusome
Mtu kajisomesha mwenyew 😂😂😂
Mashallah sheikh Allah akujaze kheir lkni nataka nikwambie sheikh mselem ametoka lamu na amezungumza sana kuhusu maulid ww sio wakwanza na wengi tu wameongea
ENYI WATU WA BID'A MNASEMA SHEIKH IS HAAQ MUWONGO?
LETENI NYIE DALILI YA KWAMBA MAULID NI IBADA!!
Watu wa mabrui wako wapi wasiyapinge haya??
Sasa mtu asema peke yake. Lazima ajione amepata na kama kweli kidume aite hao wa maburui aone hata kusoma ibara za kiarabu itakua balaa kwake. Kwenye hadithi MTUMI ASEMA 'ADHWIMU DHWAHAAYAKUM FAINNAHU 'ALASSIRAATI MATWAAYAKUM. MAANA YAKE FANYENI VIKUBWA VICHINJWA VENU KWANI KWENYE SIRATWI NDIO VIPANDWA VYENU. SIJUI ALIPATA WAPI TAFSIRI YA MATWAYA KUNA NI MATAKO😂😂😂. USITAMANI AKAPAMBANA NA HAO WAMAMBURI ATAFANYWA KAMA SADUKU
Mpka حرك مطاياك وارحل hajui kabisa au ndio upofu wake tu?nakama si upofu basi hajui Lugha yakiarabu
Achakuleta komedi
Mohammad Is-haaq rejea qur aan.... وجعلنا من الماء كل شيء حي....،nikweli maji ni uhai?...rejea Qur aan....كتاب انزلناه اليك لتخرج الناس من الظلمات الى النور...swali anayewatoa watu kwenye kiza cha ukafiri ni Allah au Mtume?lete maana yake?ndio utafahamu hiyo. الناي والطار ....الى تحيينا maana yake ni Nai na twari vinatupa uhai?au vinatuburudisha?acha urongo Is-haaq
Anaewatoa watu katika Giza ni Allah sio mtume Muhammad Swalla llaahu alayhi wasallama kazi ya mtume Muhammad Swalla llaahu alayhi wasallama ni kufikisha tu ujumbe kazi ya kuongoza ni kazi ya ALLAH
Kama dhamiri hurudi kwa akrabil madhkuri haya tueleze katika aya ya 6 aliposema kwenye suwrat Nnisaai "ومسحو براوسكم وارجلكم ال" tutilie irabu tukuone na hiyo akrabil madhkuri yako
yani wewe huna lolote ulijualo shekh kataja dhamiri ww unamletea mfano wa ghatfi hivi hata hujaweza kufautisha kati ya dhwamiiri na ghatfi allah akusamehe
shekh baki na msimamo huo huo
Maneno yake hayo Tangu Arusha nihayo hayo....ukitaka kujua kuwa hajui Lugha anadanganya...rejea ktk قاموس المعاني...مطايا جمع مطية...nini maana yake...الدابة التى تركب.....وقال ايضا تعريف المطية فى معجم المعاني الجامع مطية جمع مطايا...المطية من الدواب:ما يركب و يتمطى كالبعير و والناقة(للمذكر والمؤنث)
Nikweli neno مطايا nimatako?na ndio asw-li ya neno hilo?aweke wazi zaidi kwa kurejea kwa Asw-li ya neno,mufrad wake,na hata hilo neno وارحل...aweke wazi...aache njaa
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Dah :
صفت لي حميا خلي .
Hivi ubaiti huo maana yake ni hayo uliyo yafasiri ?.
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅.
النفاج البجباج .
Kitu bidaa cha haramu halafu unakisoma iwejeeeeeee
Mohammad Is-haaq naona nimtupu wa Lugha na pia nahisi pale Tamta alipita tu...hakuelewa chochote zaidi yakutengeneza mbaka tu
Waambie ulicho fukuzwa lamu ni kipi?
Dah! Kweli mnajua kuburuza watu...Si museme tu bc km Wahabi anashushiwa wahyi...😂😂😂
Ulipoandika hii sms ulikua umelala au?
Je wewe unazungumza wewe peke yako waliyoyazungumza Hao wenzako huyataj unasemat waliruk wakiruk walikujibuj unasemat huko ndiko tulikotoko yan mtu mkubwa kam wewe unakuj hapo kuchonganisha Waislam
muongo huyu mzee
kinachotakiwa ni hoja sio maneno yako
mtume pia aliitwa muongo lakn we toa hoja
Ww mbona n Muong mm natak ututajie huyo sheikh wak wa tanga ?