SHIRKI NDANI YA VITABU VYA MAULID || SHEIKH MUHAMMAD IS-HAQ
Vložit
- čas přidán 14. 12. 2021
- 🔴LIVE_MUHADHARA
✍️MADA : Bidaa ya Maulid
🕌Masjid IHSAN ULIOPO BARABARA 21, Simba mtoto
🔢22/10/2021
🎤 WAHAADHIR : sheikh Juma Ally & sheikh Muhammad is-haq
(Kuwa sehemu ya kheri hii kwa KU-SHARE muhadhara huu mara nyingi uwezavyo)
@sadicktv1198
Kazi yao nikusifu mlevi nanyimbo za walevi
Shekh Nakuombea In Sha Allah siku ya Qiyama kabla ya Hukmu Allah akupe Nafasi ya kufanya Mdahalo baina yako wewe na Shekh Muhammad Ayoub mbele ya watu wote ili naye apate Nafasi ya kukujibu In Sha Allah....
Jazaka llahu khayra shekh
MaanshaAllah Allah hakulinde na husda na hakupe Umri mrefu wenye baraka tuwenye ku soma zaid na zaid
SHEikh naomba no zako sheikh muhammad I shaq
Mashia wametuletea ngoma kwenye dini balaa kubwa hili
Kamuombe radhi Shekh Muhammad ayyoub
Mungu atusamehe soote maana nani anajua mwisho wake utakuwaje tunakosoana tuuu hapo mshindi nani zaidi ya ibilis
HUJIELEWI SHEIKH NAIKIWEZEKANA UNAONEKANA HUNA RADHI
Dah shekh upo sahihi baarakallwahu fiyka
Mashallah,
Abrdi umuongo
MashaaAllah umeelezea kwa makini sana Allah akujazi
Mabrouk yaa sheikh mummad baligh,ta.
Mashallah
Shekh Allah akuhifadhi
Huyu analaana ya shekhe wake
Ahmadi madaai makhurafi ndio hawana nuru sura zao kama wanawake. Kama huna ndevu tofauti yako na mwanamke ni ipi? Mitumewote walikua wana ndevu nyinyi makhurafi mna kwangua. Hebu mcheni Allah. Angalia watu wasunna wananuuru ya ndevu
Huyu ni mwamba makhurafi wenyewe wanajua
MashaALLAH.