SEHEMU YA 7 :MFULULIZO WA KUWAJIBU MAWAHABI - SHEIKH MUHAMMAD IDDI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • MFULULIZO WA KUWAJIBU MAWAHABI SEHEMU YA 8 NA 9 ZIPO CZcams.
    Sheikh Muhammad Iddi kawachambua vizuri humu Mawahabi. VItabu vya Kiwahabi vya Bidaa avionesha.
    miladu_tv
    #MiladuUpdates #miladutv #babdeoMiladu
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com...
    CZcams: / @babdeomiladu

Komentáře • 187

  • @mwanamvuajamali8215
    @mwanamvuajamali8215 Před 7 měsíci +2

    Allah awaongoze ndugu zetu masufi wapo kwenye giza zito Sana hoja zote wanazo zibainisha masalafi kwa ufahamu wa maswahaba lakin hawaelew poleni huo ni msiba

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv8973 Před 7 měsíci +2

    ALLAH AKUHIFADHI NA UZIDI KUTUPA NONDO

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein4180 Před 7 měsíci +3

    Sisi wanafunzi twakuelewa sana Shekhe wetu

  • @ingodwetrust1852
    @ingodwetrust1852 Před 7 měsíci +1

    Tunakuelewa sana naanza rasmi kuwashushia heshima mashehe wa kiwahab washenzi wakubwa kbsa

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
    @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh Před 7 měsíci +4

    Shukran shukran sanaa sheikh twa kufwatiliya kwa makini sanaa

    • @fahimaOmary
      @fahimaOmary Před 7 měsíci

      Na akianza kuraddiwa pia mfatlie kwa makini vle vle.

    • @fahmiiidrisa5110
      @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci

      @@fahimaOmary Wa kumraddi nani?

  • @fahmiiidrisa5110
    @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci +3

    Ili umuelewe huyu shekh ima uwe unasoma yan ni twaalib 3ilm au uwe na inswaaf ila manen yake yako wazi sana ALLAH amuhfadhi

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u Před 7 měsíci

      MUongo ww.
      kwani mtu wako amekuwa akitumia Falsafa nying na Talbiisat na wanaomuelewa sanaa Ni watu wavivu na Awaamu na Masufi wenzie.
      ni mtu hana Historia ya Kusoma kwan Alifukuzwa Na Mwalimu wake Huyo kwenye picha.
      Alishaulizwa Maswali Na hajajib mpaka Leo.Kaz yake ni kuleta mijadala Mipya.

    • @fahmiiidrisa5110
      @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci

      @@user-qe8xp6ii1u Wew Falsafa umeisoma wapi??? Hapo hakuna Falsafa tuulize tunaojua hiyo Falsafa hapo shekh katembea na Usuul acha wehu kijana mdogo wa kiwahabi

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u Před 7 měsíci

      @@fahmiiidrisa5110 Falsafa ni Moja kati ya Elimu wanazojifunza masufi.Inaitwa Elimul Kalaami wa ilmul Hisaabi Wa ilimul Mantwiqi.
      Ukitaka Kunambia Sio Zipo wap Dalili za Kielimu??
      Kwanza atueleze Uwahabi ni nin na kama ww waweza Msaidie

    • @fahmiiidrisa5110
      @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci

      @@user-qe8xp6ii1u Jaman mukiambiwa musome kubalini alokwambia mantwiq ndo Falsafa nani?

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u Před 7 měsíci

      @@fahmiiidrisa5110 hahahaaa Ko kuandia elim zote mnazojfunza Ukabaki na moja Ya Mantwiqi.

  • @answaryhussein256
    @answaryhussein256 Před 7 měsíci +3

    Safi Shekh wabainishe Hawa mayahudi wasiyo jijua

  • @muhammadnassibu7706
    @muhammadnassibu7706 Před 7 měsíci +3

    Sisi tunasubiri siku utakayomaliza porojo zako Sheikh Abul fadhl akuraruerarue

    • @fahmiiidrisa5110
      @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci

      Mafuta mwenyew hana anachokijua naona hupiga kelele tu

  • @iddimutua420
    @iddimutua420 Před 7 měsíci +3

    a.alaikum
    Twaomba ukubali munaqasha
    Alafu kwenye huo munaqasha uje na icho kitabu utetee maulidi na hoja zingine

    • @jabirhussein4180
      @jabirhussein4180 Před 7 měsíci

      Kama unataka munaqasha njoo kwangu nikunyooshe choko wee

    • @mbjunior166
      @mbjunior166 Před 7 měsíci

      @@jabirhussein4180 Mtu wa bidaa umepaniki😂😂😂 Hebu tulia basi dawa ikuingie🙄

    • @fahmiiidrisa5110
      @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci

      @@jabirhussein4180 🤣🤣🤣🤣

    • @fahmiiidrisa5110
      @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci

      @@mbjunior166 Dawa yenyew iko wapi sasa na wewe maana naona nyie ndo mumepewa dawa na shekh letu au unaropoka tu?

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s Před 6 dny

      Sasa wewe uko kwenye dini au ubaradhuli.​@@jabirhussein4180

  • @fahimaOmary
    @fahimaOmary Před 7 měsíci +1

    Muhammad idi ungekuwa mkweli ungemaliza ule mjadala uloanza na shekh mafuta. Na mkakubaliana kuwa hamtakimbiana. Kule hujamalza ushaanzisha mengne. Ww sio mkweli

  • @AhmedWetaka101
    @AhmedWetaka101 Před 7 měsíci +4

    Mash-Allah following from Kampala Uganda.

  • @hamadali-ej4zg
    @hamadali-ej4zg Před 6 měsíci

    Shukran sheikh Muhammad idi

  • @yasiinmtiniko3050
    @yasiinmtiniko3050 Před 7 měsíci +3

    Tupo Tunaoelewa Na Kufahamu Madini Unayoyatoa Usikatike Moyo Shekh Na Wewe Hakika Kbca Mungu Amekuteua Kwa Kazi Hii (Wanafunzi Wenzangu Acheni Ushabiki Sikiliza Hoja Kisha Pambanua) Kisha Nimegundua Kama Mawahabi Wanakimbilia Kukoment Upuuz Kabla Kusikiliza Hoja..

  • @user-lo1uk8dp5f
    @user-lo1uk8dp5f Před 7 měsíci +3

    Alhamdulillah sheikh tunakuomba uzidi kuwabainisha tunapata somo kubwa mno

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 6 měsíci

    Wewe mlevi Abu iddi ama kweli onesha video kama avyo fanya sheikh abdalla humeid

  • @bashirusalumbigapsana673
    @bashirusalumbigapsana673 Před 7 měsíci +1

    Yaani nakuelewa sana

  • @RashidMohamed-cq8jf
    @RashidMohamed-cq8jf Před 7 měsíci +1

    Naam shekh Muhammad Idd sisi tunakupata vizur ..pia bab deo anafanya kaz bora Allah awaongoze...lakin yule shekh Mohamed isihaka hiv shekh unasikiliza kwasababu naona kama anapiga stor mana hana mada wala hiyo radi haieleweki kwakweli sim mtu wa kubishana nae

  • @HUKUUSA2020
    @HUKUUSA2020 Před 7 měsíci +1

    WE NI ABUU JAHALI WA UMMA HUU(Baadala ufundishe watu waache ushirikina na wafanye ibada unafundisha watu ujinga

  • @HassanJamada-pf4jt
    @HassanJamada-pf4jt Před 7 měsíci +1

    JIBU MASWALI 10 ULIYOULIZWA NA SHEKH ABULFADHLI USIRUKIE SEHEMU NYINGINE KABLA YA KUJIBU MASWALI YALE

  • @fareedsseif4297
    @fareedsseif4297 Před 5 měsíci

    Uwahabi umeanza Miaka 200 iliopita.
    Uwahabi ni sawa na Niacea Conference ya Pili.
    Uwahabi uliondoa Dola ya Ban Hashim ya Shariff Hussein na kushirikiana na Wayahudi na Wazungu kuunda dola itayo control Kitivu cha uislam.
    Ni project kubwa ya kijasusi kutoka kwa Mayahudi.
    Hawa pia walifanikiwa Kuwavuruga Wafuasi wa Nabii Issa Aleihi Salam na kuwaundia utatu!
    Tuwe makini sana nao

  • @alisalum8908
    @alisalum8908 Před 7 měsíci +2

    Jazaakumullahu khayraa

  • @kagumbaharuna2466
    @kagumbaharuna2466 Před 7 měsíci

    Asante shekh Idd Hawa watu sio waislam hatupaswi hâta kula n'ai ndio wameharibu wislam kila Kona n'a kuleta makundi yanayokufurisha waislam laana ya Allah iwafikie kwa upotofu wao.

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s Před 6 dny

      Kama nyinyi ni waislamu mungelijibu hoja uislami ni elimu na hoja na kujiamini sio kukimbia mada iliopo ubaoni kisha ukazungumza mengine.

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein4180 Před 7 měsíci +1

    Muhammad isihaka ni mpuuzi sana half muongo sanaa kama ibilisi

  • @Abswai
    @Abswai Před 7 měsíci +2

    Mungu akubariki

  • @mohamedomary2887
    @mohamedomary2887 Před 7 měsíci +1

    Mawahabi hawana tofauti na mayahudi

    • @Arkhamz_95
      @Arkhamz_95 Před 7 měsíci

      Hii usawa wao kweny jamb gan?

    • @jabirhussein4180
      @jabirhussein4180 Před 7 měsíci

      Ktk kumpinga mtume

    • @Arkhamz_95
      @Arkhamz_95 Před 7 měsíci

      @@jabirhussein4180 hakuna wahabi anaempinga mtu hata mmoja na siku y kiama utakua mwenye kuulizwa unayoyasema

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u Před 7 měsíci

      Uwahabi ndo nn???Nahitaj Dalili za Vitabu

    • @Arkhamz_95
      @Arkhamz_95 Před 7 měsíci

      @@user-qe8xp6ii1u hakuna dalili uwahabi ni madhhabu kutok kw mwanazuoni abdul wahab ndio likatok hilo neno

  • @user-mg6hn6os6y
    @user-mg6hn6os6y Před 5 měsíci

    HUYU Sheikh badala ya kuwaleta watu kwenye Uislamu au kwenda vijijini kuwasilimisha watu,kazi yake ni kuleta mfarakano ndani ya Uislamu. Anafurahia kubaki tu mjini Dar mbele ya camera 😊

  • @habibuchakusaga7981
    @habibuchakusaga7981 Před 7 měsíci +2

    Umeitwa tangamano vip tena

    • @fahmiiidrisa5110
      @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci

      Meambieni Muongo wenu aje yeye Dar hapa ajikojolee kama bachu

  • @bagalucha
    @bagalucha Před 7 měsíci +2

    Tunataka kujua namna ulivyofukuzwa TAMTA.

  • @alhabibymasoud3445
    @alhabibymasoud3445 Před 7 měsíci

    بارك الله فيك يا شيخ

  • @MasudiAthumani-kx7ye
    @MasudiAthumani-kx7ye Před 7 měsíci +1

    Maaasha allha

  • @halidijuma1884
    @halidijuma1884 Před 7 měsíci +5

    Naam SHEIKH HIZI SOMO ZAKO UNAZIDI KUNIFANYA NI JIELEWE,,

  • @mbjunior166
    @mbjunior166 Před 7 měsíci

    Huyu kweli itakua anavuta bangi khaaa😂😂😂Saa nzima utumbo mtupu! Ila nmecheka zaidi hapo mwisho aliposema eti "Sisi waislamu tunaamini kuwa maiti wanasikia" Nmejiuliza ni waislamu gani hao wasiojua kauli yake Allah mtukufu " Mukiwaita/mukiwaomba hawawezi kuyasikia maombi yenu..."

  • @MusalMahamud-ye6on
    @MusalMahamud-ye6on Před 7 měsíci

    Kupitia babdeo miladu tunawaomba masheikh zetu sasa wasiwajibu tena inatosha

  • @binnyandwecheikhmuhamed
    @binnyandwecheikhmuhamed Před 7 měsíci +1

    وفقك الله يا فضيلة الشيخ ابو عيد ،ربي يهديهم

    • @abuuuyaynah8801
      @abuuuyaynah8801 Před 7 měsíci

      أبا

    • @abuuuyaynah8801
      @abuuuyaynah8801 Před 7 měsíci

      Acha mbwmbwe wewe andika kiswahili

    • @muhammadnassibu7706
      @muhammadnassibu7706 Před 7 měsíci

      ويهديك كمن

    • @fahmiiidrisa5110
      @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci

      @@abuuuyaynah8801 sasa unajuaje je kama yeye hajaifanya kuwa badal Shekh wang alinambia ukipenda kukosoa sana unawaonesha watu kuwa wew kiwango chak kdog

    • @fahmiiidrisa5110
      @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci

      @@abuuuyaynah8801
      إذا رمت أن تحيا سليما من الأذى
      ودينك موفور وعرضك صين
      لسانك لا تذكر به عورة امرئ
      فكلك عورات وللناس ألسن
      وعيناك إن أبدت إليك معايبا
      فدعها وقل يا عين للناس أعين

  • @mdoekibai3991
    @mdoekibai3991 Před 7 měsíci

    isihaka anaweweseka laana yababake inamtafuna tartibu

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Před 7 měsíci +1

    Nyie Babdeo hawa ndio watu wenu.
    Na ile Kauli yenu kusema eti hamfungani na yeyote ktk Masheikh Eti mnaweka Audio za yeyote.
    Mbona hamkuweka Audio Za Radd dhidi ya huyu mtu Kuhusiana na UWAHABI,MWEZI MWANDAMO.

    • @mbjunior166
      @mbjunior166 Před 7 měsíci

      Hii ni chanel ya bidaa hilo liko wazi kabisa

  • @musawaziri5088
    @musawaziri5088 Před 7 měsíci +1

    Acha kulalamika shekhe rete dalili maulidi yanafaa bas

  • @salimqatada39
    @salimqatada39 Před 7 měsíci +4

    maulidi sio mawahabi ndio wasema ni bidaaa Bali maulidi ni uzushi ktk dini ya yangu
    maulidi yamezusha karne ya 7 na mashia
    na kama kweli wampenda mtuma mtume alishasema kuwa anafunga siku ya JUMA tatu kwa sababu kazaliwa ,kwa hiyo kama wampenda funga kama mtume صلى الله عليه وسلم

  • @edwinismail9401
    @edwinismail9401 Před 4 měsíci

    nimefuatilia argument zako inapendeza sana

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s Před 6 dny

      Tatizo lake hujaliona?Au ni ushabiki?Anakimbia hoja hsjibu masuali anayiulizwa,anazungumza mengine.

  • @user-uo3wx9fe2c
    @user-uo3wx9fe2c Před 7 měsíci +3

    Tuambie ulifukuzwaje tamta

    • @fahmiiidrisa5110
      @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci +1

      Haikuhusu ndo tatizo la mawahabi hamuna muqtadhwal haal wala Muqtadhwal mahall

    • @ingodwetrust1852
      @ingodwetrust1852 Před 7 měsíci

      Tuanze na Mafuta kwanza kukaa jela Saud arabia nini sabab

    • @fahmiiidrisa5110
      @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci

      @@ingodwetrust1852 🤣🤣🤣

  • @user-vl8ks7ps6l
    @user-vl8ks7ps6l Před 7 měsíci

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatu
    Mimi sijaona sehemu ya 7

  • @canoksancomprehensivelearn7182

    Sheikh kasome bado elimu hujafikia hata akida yako ni mtihani sana. Lugha tu lakin elimu ya sheria hakuna kitu kabisa mweupe sana. Ila kiuoande wa siyasa ukiingia unafaa sana sheikh Abuu Eid maana wanasiyasa wapo hivi. Njoo ukae muhadhara wa kujibizana macho kwa uso na usikimbie ndiko wanafunzi wako watasoma kweli na kuelewa vizuri bali sio ukimbie pembeni ukiweka picha ya sheikh kama vile ndio nguzo yako.

  • @abuunutsamuonlinetv2703
    @abuunutsamuonlinetv2703 Před 7 měsíci

    Wewe umeshikwa babaya endelea na ngonjera zako hupunguzi chochote

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein4180 Před 7 měsíci +1

    Mawahabi wametumwa kuja kukometi ufedhuli ktk darasa zetu masufi

  • @fahmiiidrisa5110
    @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci +1

    Me mwenyew nimesomesha mpaka leo sina kibali hata kimoja Muhamed isihaka MUONGO 😂😂😂😂

  • @luvmo04
    @luvmo04 Před 7 měsíci +1

    Hujadadavuwa hilo la kufukuzwa madrasa baada kushindwa mjadala

  • @rajahleather2035
    @rajahleather2035 Před 7 měsíci +1

    Salamu yenyewe hajui kutoa eti taaaala mzee hajajiandaaa kabisa mala abehue mala jashoo 😂😂😂 mzee hajui kusoma kwanza mashekhe zetu inabidi watuachie hawa wazee

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Před 7 měsíci

    Kama Sifa ya mawahabi ni kuwadharau Masheikh Basi na ww ni Wahabi Mkubwa kwani ulimdharau Sheikh Kilemile Na kusema ni Mpotoshaji.Mwaka 2020...
    Na tukizingatia Sheikh Kilemile amekuzid umri Abuu Idd.Na ana digrii of Aqida.

  • @AnbdulaziziJuma-qn7qw
    @AnbdulaziziJuma-qn7qw Před 7 měsíci

    😅😅😅 ngoja Shekh aje akukande tena unapota ukikandwa unakimbia

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn Před 7 měsíci

    Barra Barra

  • @zuberimussa5508
    @zuberimussa5508 Před 7 měsíci +1

    Huyo mwanamke kweli alikua anaakili ndio maana alitambua muislam sahihi aliokua anaulingania Mohammed bin Abdulwahaab Baada ya kuwa umeharibiwa na masufi zama hizo

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 6 měsíci

    Abu iddi mpotosha Acha kuropokwa

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 Před 7 měsíci +1

    Umeitwa kwenye munaqasha mbona hutaki

  • @husseinazizi1275
    @husseinazizi1275 Před 7 měsíci

    قال ابن تيمية رحمه الله.
    ومن اتبع هواه وقصر في طلب الحق وتكلم بلا علم. وهو عاص مذنب

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401 Před 7 měsíci

    Huyu ndio yule babdeo aliempigia shekhe wetu Abu Khawla mbwana😅

    • @allywaziry6419
      @allywaziry6419 Před 7 měsíci +1

      Ndio huyu huyu Ndio maana sheikh alimbainisha mapema kama ww kazi yako ni ku deal na watu wa bidaa.

    • @mbjunior166
      @mbjunior166 Před 7 měsíci

      Ndio huyohuyo mtu wa bidaa😅😅😅

  • @user-ic1mu7ko2q
    @user-ic1mu7ko2q Před 6 měsíci

    Hichokitabu kimeandikwa kwakiarabi chotehikoo usitusomee kwakiswahili

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 Před 7 měsíci +1

    Wewe muongo Sana mmetudanganya Sana tumeshajuwa ukweli hata uongee mpaka asubuhi hatukuwelewe

    • @user-cp5fh3tc1j
      @user-cp5fh3tc1j Před 7 měsíci +2

      Hamumuelewi namwenzio nani? Mawahahi tu ndo hamumuelewi

  • @alisalum8908
    @alisalum8908 Před 7 měsíci

    Ahsant

  • @adamh1751
    @adamh1751 Před 7 měsíci +1

    Huyu wampeleke hospitali ya akili c sheikh 😂

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401 Před 7 měsíci +1

    Huyu hadi hajielewi na makaratasi😅

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Před 7 měsíci +1

    Jambo ambalo Tunaliona kwa Abuu Idd Ni Lahaja ya Kiarabu hana,Halafu Muoga wa kusoma Ibara kwa Lugha ya kiarab ila ni kidogo Na pia Anakosea pia.
    Na haya ndio Aliwahi kusemwa Ktk Radd dhid yake.

    • @ingodwetrust1852
      @ingodwetrust1852 Před 7 měsíci

      Yupo kutuelewesha sisi tusiojua ww unaleta ni majivuno ya kijinga na kashaelezea sheh hapa ndio mlivyo

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u Před 7 měsíci

      @@ingodwetrust1852 Huyu ni Sheikh Kwa kipimo gani??amesoma wapi??
      Alijitokeza hadharani Kama hiv anavofanya na kudai madai ya uongo kuwa Yeye alimsomesha Qassim Mafuta Pale Shamsiyah.
      Na Qassim mafuta Alikanusha na kupinga kwa kiapo,na Alimwambia Aoneshe lini na wap na kitab gan Ambacho Aliwahi kumsomesha...!?Alirudi kujing'ata ng'ata.
      Nasemaje huyu anaskilizwa Na Wajinga kama wew mnaowafanha kila anayeongea Ni Sheikh.Sisi tunaofatilia Dini yetu kwa Dalili Hatuna haja na porojo zake mtandaoni.Na mtume Alishasema Watakuja Maruweybidhwa.Hakika amesema kweli mtume wa Allah

  • @user-rg5yp1lp7o
    @user-rg5yp1lp7o Před 7 měsíci

    is haka tapeli adanganya watu 😂😂😂

  • @HUKUUSA2020
    @HUKUUSA2020 Před 7 měsíci +1

    Wewe ni mtu wa bidaa tuu huna hoja ya msingi

  • @abuukauthar525
    @abuukauthar525 Před 7 měsíci +4

    wewe acha porojo sie tuna akili timamu

  • @HUKUUSA2020
    @HUKUUSA2020 Před 7 měsíci +1

    DINI YA UISLAMU SI YA MTU FULANI(AMRI YA KWANZA NI SOMA )usipotoshe watu

  • @IsmailIsmail-ix1yd
    @IsmailIsmail-ix1yd Před 7 měsíci

    Ah acheni Mambo ya malumbano hayo, diini inapotea makafiri wanaibomoa mbele nyuma, nyie mnaoneshana Nani mwenye elimu zaidi ya mwenziwe, vijana wanasema sio poa kabisa. Ah miaka hii raddi! Tusubiri kizazi kijacho yamjaaliwaye tuone vimbwanga vyengine, maana UMEKUWA Kama fasheni Sasa. Badilikeni mashekhe zetu.

    • @khalfanikimanta6663
      @khalfanikimanta6663 Před 7 měsíci

      Hata hawa masheikh vilevile wanaweza kuwa ulafiri vilevile au wakawa waharibifu wa diini zaidi hata ya wasio waislamu chukua tahadhari na soma dini yako sio kuskiiza shida tunaskiiza saana kwa vi point point vinavyohitajika na nafsi yako

  • @rajahleather2035
    @rajahleather2035 Před 7 měsíci

    Hukumwambia kama umeanza ku record😂😂😂😂😂😂

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan1272 Před 7 měsíci

    Masheikh wa bidaa hawa jibuni hoja maulid sio dini mmepata wapi hayo ikiwa mtume na maswahaba zake hawajui?

  • @abuunutsamuonlinetv2703
    @abuunutsamuonlinetv2703 Před 7 měsíci

    Chamsingi unacho kiongea hakuna ni pumba tupu

  • @fahmiiidrisa5110
    @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci

    Mohamed isihaka kwel Muongo 😂😂😂😂

  • @fahmiiidrisa5110
    @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci

    Mohamed isihaka Mudallis 😂😂😂

  • @user-uw8pg9ju5s
    @user-uw8pg9ju5s Před 7 měsíci

    Muongo ni muongo tu hatazwamwi ni nani

  • @rajahleather2035
    @rajahleather2035 Před 7 měsíci +1

    Shekhe muongo wewe eti ulimfundisha Abuu fadhiri 😂😂😂😂

    • @jabirhussein4180
      @jabirhussein4180 Před 7 měsíci

      We ulikuwepo kipindi hicho?

    • @ingodwetrust1852
      @ingodwetrust1852 Před 7 měsíci

      Kibri Mafuta hawez kubal baada ya kwenda uarabun

    • @JumaMsangaziMsangazi-nq1ru
      @JumaMsangaziMsangazi-nq1ru Před 7 měsíci

      Usihukumu moja kwa moja kuwa Abuu Idd ni muongo juu ya kauli yake yakumsomesha Kassim Mafuta...wewe hukuwepo aliposoma Tamta na pia mwenyewe Mafuta anasikia na bado hajakanusha kuwa hajasomeshwa...sioni shida yeye kusema kamsomesha kwasababu Mafuta alimkuta Abuu Idd na alitangulia kiilmi...sasa kama hujui usihukumu

    • @user-kx8lg8dm1n
      @user-kx8lg8dm1n Před 6 měsíci

      Alishakanusha na kaambiwa ataje kitabu gani kamfundisha abul fadhili.... hana majb ya yale ya mwanzo hata moja ila miongoni mwalo ni hilo kukataliwa kutomfundisha abulfadhil

  • @mustaphamkali7476
    @mustaphamkali7476 Před 7 měsíci

    Sheikh abuu eid mm naskia vibaya au ndo sahihi hapo
    لا يجوز قراءةُ
    au sahihi ni
    لا يجوز قراءةَ؟؟؟

  • @jumamaulidi8023
    @jumamaulidi8023 Před 7 měsíci +1

    Unaongea Kama mtoto mdogo huna hoja ya kielimu hata moja hapo hauongei na wanafunzi unaongea na watu ambao hawajishuhgulisha na elimu

  • @user-uo3wx9fe2c
    @user-uo3wx9fe2c Před 7 měsíci

    Huna hoja

  • @jumamaulidi8023
    @jumamaulidi8023 Před 7 měsíci +2

    Yaani tuache kumsikiliza mwana wa chuoni tukusikilize wewe mpuuzi usie jitambua

  • @abuukauthar525
    @abuukauthar525 Před 7 měsíci +2

    elimu yako haina baraka ulifukuzwa chuoni

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 7 měsíci +1

      Abuu kauthar ulikuweko wakati abuu idd alipofukuzwa madrasa ama umesikia tuu mche mwenye ezi mungu acha matusi dini ni nasaha

    • @fahmiiidrisa5110
      @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci

      Nyie ndo kabsaa bora yake haina baraka nyie hamuna elimu kabsaa pumbavu nyie

  • @bagalucha
    @bagalucha Před 7 měsíci

    Elimu hana,lakini antaka kujifanya ana elimu,mambo ya kitoto

  • @abdulmuminabdullah1296
    @abdulmuminabdullah1296 Před 6 měsíci

    Kaddhaab wewe, toast, hoja.

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Před 7 měsíci +3

    Huyu ni mpotoshaji.
    Twariqa sio Dini ni Vikundi tu.
    Hadith inayosema
    من سن في الإسلام سنة حسنة......
    Yeyote atakayehuisha sunna njema(nzuri).......
    Kinachomsumbua Hapa Sufi huyu Ni Tafsir ya neno "Sanna" ametafsiri kwa maana "Bidaa" Haelewi Tofaut ya Maneno haya mawili ktk Lugha ya kiarabu.
    Pili :Sababu ya Hadith hii Ni Swahaba Aliyetowa sadaqa.wakat mtume Anahimiza watu watowe sadaka lakin Walichelewa Mpaka Alipoanzisha huyu kuitowa Ndipo wengne wakaamka na kuanza kutowa...
    Kwa hyo sabab Ya hadith ni Sadaka swali kwa Masufi je,Sadaka haipo au haikuwepo mpaka Alipotowa huyu Swahaba.???

    • @mbjunior166
      @mbjunior166 Před 7 měsíci +1

      Huyu wanaomjua wanasema anavuta bangi😂

    • @fahmiiidrisa5110
      @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci +1

      Tafsiri hii uneipata wapi?

    • @fahmiiidrisa5110
      @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci +2

      @@mbjunior166 na bangi zake lakin anachokisema ni cha kwel tunaangalia maslah

    • @AhmedWetaka101
      @AhmedWetaka101 Před 7 měsíci

      @@fahmiiidrisa5110 Ibn Baaz!!!!

    • @fahmiiidrisa5110
      @fahmiiidrisa5110 Před 7 měsíci

      @@AhmedWetaka101 kanuni ya kisheria inasema inaposhindikan kutafsir neno kwa hakika ndo utumie majazi إذا تعذرت الحقيقة يصار إلى المجاز kweny hlo neno sanna kuna udhur gan wa kutafsri kwa tafsri yake ya hakika mpka mtu atumie majazi?

  • @abuuuyaynah8801
    @abuuuyaynah8801 Před 7 měsíci +1

    Bwana huyu kila akiongea analalamika tu lete hojja bwana usilalamike

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 Před 7 měsíci

    Wahabi yeyote unae komenti matusi apa hujielewi hvi mtu anakuonesha kitubu unadai dalili gani au nyie mkifungua clp hamaikilizi mnawahi kwnye kukoment ujinga tu aisee kwel mmekaririahwa nyie wehu sanaa

  • @user-uw8pg9ju5s
    @user-uw8pg9ju5s Před 7 měsíci

    Mvuta bangi tu wewe

  • @abuukauthar525
    @abuukauthar525 Před 7 měsíci

    wee dawa yako munaaqasha

  • @fareedsseif4297
    @fareedsseif4297 Před 5 měsíci

    Uwahabi umeanza Miaka 200 iliopita.
    Uwahabi ni sawa na Niacea Conference ya Pili.
    Uwahabi uliondoa Dola ya Ban Hashim ya Shariff Hussein na kushirikiana na Wayahudi na Wazungu kuunda dola itayo control Kitivu cha uislam.
    Ni project kubwa ya kijasusi kutoka kwa Mayahudi.
    Hawa pia walifanikiwa Kuwavuruga Wafuasi wa Nabii Issa Aleihi Salam na kuwaundia utatu!
    Tuwe makini sana nao

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s Před 6 dny

      Uwe na yakini unayoyasema hilo ulilolizungumza ni kubwa mno na utowe hoja na dalili ukiwazushia uongo watu wema hukumu yake ni kubwa mbele ya Allah.Haya si mazungumzo wala utani kama wa simba na yanga.Chunga ulimi.

  • @mohamedomary2887
    @mohamedomary2887 Před 7 měsíci +1

    Mawahabi hawana tofauti na mayahudi

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s Před 6 dny

      Toa hoja na dalili maana tunaishi nao hatuwaoni hivyo zaidi ya kuwaona wao wanafuata qur an na hadithi za mtume katika maisha yso kila siku wao na familia zao.Toauti na hao wengine.

  • @user-uo3wx9fe2c
    @user-uo3wx9fe2c Před 7 měsíci +1

    Tuambie ulifukuzwaje tamta

  • @MohdAliHaji
    @MohdAliHaji Před 7 měsíci

    Kumbe sheikh Mohammed iddi usharudi kweny media sasa