SHEIKH MUHAMMAD IDDI" MAJIBU YA MAWAHABI | MAWAHABI WALIPINGWA NA SISI TUNAPASWA KUWAPINGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 14

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh

    Shukran sanaa sheikh

  • @abdulrahmanbakar5416
    @abdulrahmanbakar5416 Před 9 měsíci +1

    Ebdelea tunaweka kumbukumbu tu. Kuna kizazi kitakuja kukuelewa baada ya kupata shida sana ktk kuwafata mawahabi. Hili pote la uwahabi duh ni shida sana.

  • @ibrahimabdul8257
    @ibrahimabdul8257 Před 9 měsíci

    “Mtu anaye mtukana baba yako ni mbaya zaidi bora akutukane wewe” 6:57 vipi wale wanao tukana maswahaba

  • @Naaam353
    @Naaam353 Před 9 měsíci

    Tunakuelewa sana

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 9 měsíci +1

    Vipi Mohd iddi mpotosha wa wa njia aliyotufundisha Mtume wetu Muhammad (s ,a,w)

  • @mrafm7285
    @mrafm7285 Před 9 měsíci

    Huyu jamaa ana chuki na watu wa Sunna lkn bure yake tu Hana hoja za msingi

  • @Issa-ud6sy
    @Issa-ud6sy Před 9 měsíci

    Mimi binafsi si wakubali sana hawa jamaa,kwa jaziba zao,na kujiona wao niwa peponi wengine wa motoni

  • @mohamedswalehe4442
    @mohamedswalehe4442 Před 9 měsíci

    Wewe ndio humuelewi sheikh wangu hyu ila wewe nimbumbumbu

  • @shabanihugo8332
    @shabanihugo8332 Před 9 měsíci

    Mbna hatukuon unapinga mashia

  • @Issa-ud6sy
    @Issa-ud6sy Před 9 měsíci

    Uislam umeingia Tanzania miaka zaidi ya mia mbili,uwahab Umeingia Tanzania miaka ya 1970,je? Miaka yote hiyo yote walikuwa wapi?

  • @Issa-ud6sy
    @Issa-ud6sy Před 9 měsíci

    Andika vitabu Ili nawatu wa vijijini wapate elimu hiyo.

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 9 měsíci

    Mohd iddi wewe Kazi Yako kula tumbaku .Na sidhani kama mdomoni mwako imo