Mashalah. .maneno kuntu ayo ostaz...Yan ayo mawaiza yaleo yananigusa Sana..Yan apo kama unanizungumzia mim kabisa ostaz....ama kwali nimejifunza kumbe nishajua jinsi yakudili nao mahasidi...kumbee izo nidalili za wivu wao dhidi yang...nimeelewa Sasa ostaz ...nawala sipati tabu nao tena
Wallahi Sheikh ww ni mmoja Kati ya Mashekhe ninaowapenda kwa maneno yako ya busara Allah amekupa kipao cha hali ya juu Namuomba Allah akuzidishie Ameen
Inachokisema kuntu ostaz...mim nilikuwa nawasapoti watu lakini wakawa wananishambulia na kutoona kama sifanyi kitu...kiukwel ukifikilia icho inaweza ikakuledisha nyuma na usisapoti watu hata kama unapenda kusapoti watu...kikubwa tu kufokas na mambo yako unachofanya japokuwa inaumiza
Assalam alaykum wa rahma tullahi wa barakatuh Sheikh ; wAllahi Allah kakupa kipaji cha ku fundisha. Ni Hussein nafwatilia darsa zako on line from 🇨🇩 🇨🇩 🇨🇩
Mimi nimefaidika na darsa hii ni muhimu sana MUNGU amjalie kiongozi huyu azidi kuwafumbua macho waislam kwani sana wakati tulionao watu takriban wengi ni mahasidi
Mungu azidi kukupa elimu njema Amin . Nafurahi sana kwa mawaidha yako . Insha’allah Mungu azidi kukudumisha kwa kutuelimishi .
Allah akupe umri mrefu wakuendeleza mafunzo ya dini, tunashkuru sana sheikh wetu
Mashalah.
.maneno kuntu ayo ostaz...Yan ayo mawaiza yaleo yananigusa Sana..Yan apo kama unanizungumzia mim kabisa ostaz....ama kwali nimejifunza kumbe nishajua jinsi yakudili nao mahasidi...kumbee izo nidalili za wivu wao dhidi yang...nimeelewa Sasa ostaz ...nawala sipati tabu nao tena
Yah Allah tulindie shekh wetu yaraby ❤
Ni maneno ya busara sana na Hekima nyingi Allah Azid kukuweka ili Tunufaike Zaid 🙏🙏.
Allah akulipe KHEIR NYINGI napa duniani, kaburini, na akhera pia, amiin
Wallahi Sheikh ww ni mmoja Kati ya Mashekhe ninaowapenda kwa maneno yako ya busara Allah amekupa kipao cha hali ya juu Namuomba Allah akuzidishie Ameen
😊😊
Kweli kabisa amejawa na wingi wa hikma Allahuma barik
Allah akuzdishie neema ya afya uzidi kutuelimisha
Mungu atujalie kheiyr zaka insha Allah nawe Mungu akujazi kheiyr nyigi insha Allah
Allah akuongoze sheikh uzidi kutuelimisha.
Maneno.mazuri.sana
ماشاء الله تبارك الرحمن❤
اللهم آمين يارب العالمين
Jazzakah llahu kheir sheikh Othman
MashaAllah❤
Mashaaallah 😢🎉🎉🎉🎉🎉
Ma shaa Allah
Inachokisema kuntu ostaz...mim nilikuwa nawasapoti watu lakini wakawa wananishambulia na kutoona kama sifanyi kitu...kiukwel ukifikilia icho inaweza ikakuledisha nyuma na usisapoti watu hata kama unapenda kusapoti watu...kikubwa tu kufokas na mambo yako unachofanya japokuwa inaumiza
Nakupenda sn cheikh wetu kwa akili ya Allah Allah akulipe kheri zisizo kua n'a hesabu duniani n'a akhera
Assalam alaykum wa rahma tullahi wa barakatuh Sheikh ; wAllahi Allah kakupa kipaji cha ku fundisha. Ni Hussein nafwatilia darsa zako on line from 🇨🇩 🇨🇩 🇨🇩
Mimi nimefaidika na darsa hii ni muhimu sana MUNGU amjalie kiongozi huyu azidi kuwafumbua macho waislam kwani sana wakati tulionao watu takriban wengi ni mahasidi
Yani Allah alimpa jibu lizuri kua ni mafunzo kwetu kiukweli inaumiza kabisa
Cheikh acha kunichekesha