UAMINIFU NIKATIKA FUNGUO ZA RIZKI / SHEIKH HASSAN AHMED

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 08. 2023
  • KHUTBA YA IJUMAA MASJID RAYYAN KILIFI #khutba #darsa #islamlecture #jamiamosque #fadhakkir #kilificounty

Komentáře • 49

  • @SharifaSalim-cc5dg
    @SharifaSalim-cc5dg Před 29 dny +3

    Jman mm Nina shida kubwa sana sana sana n huyu shekh atakaenisaidia kumpta bas namuombea kwa Allah amjalie noor katk dunia na akhera

  • @KadeejaKadeeja-ej4bu
    @KadeejaKadeeja-ej4bu Před 26 dny +2

    Mashallah alhamdulillah uwa nikisikiliza mawaidha napata falaja Allah akuzidishie kila la kheri inshallah ❤

  • @AliMohamed-pj1sb
    @AliMohamed-pj1sb Před měsícem +3

    Barakkah ALLAH fiyk

  • @hawajibril775
    @hawajibril775 Před 11 měsíci +7

    Masha allah.nimefaidika Nakuombea mema katika hii dunia na keaho akhera

  • @busaleh5494
    @busaleh5494 Před 2 měsíci +1

    Allah tunamuomba utujaalie tusimamie uaminifu na ukweli...

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw Před 11 měsíci +10

    Allah yarabi ebu tujirekebishe kutunza upendo na kutunza siri za majumbani🎉🎉🎉 kujishusha kwa waume ili watoto wapate kiigizo chema

  • @AminaDodios-ml2lv
    @AminaDodios-ml2lv Před 8 měsíci +1

    Ma sha Allah mawaidha mazuri

  • @Nasirdwin
    @Nasirdwin Před 14 hodinami

    Mashallah

  • @rahmaali916
    @rahmaali916 Před 2 měsíci +1

    Baraka llah fiik

  • @halimamuketi6738
    @halimamuketi6738 Před 13 dny

    Allah akupe kila la lenye heir akuepushie kila lenye shari

  • @HamuzaHabibu
    @HamuzaHabibu Před 4 měsíci +1

    Shuran sheikh❤

  • @rostamhamis4374
    @rostamhamis4374 Před 10 měsíci +2

    Masha Allah

  • @abdikafarabdi2021
    @abdikafarabdi2021 Před 2 měsíci +1

    S.c.w❤❤❤❤

  • @user-ts8im5fz8h
    @user-ts8im5fz8h Před 3 měsíci +1

    Rizki Yake Kwa Allah

  • @naadiyahuda1161
    @naadiyahuda1161 Před 11 měsíci +3

    Mashallah tabaraka Allah Shukran jazakallahu kheir sheikh Hassan kwa kutupa nasaha Juu ya uwaminifu kwa kweli ni jambo ambalo twatakiwa tulipe kibao Miele.

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw Před 11 měsíci +4

    Allah ukiwa na rizki isikufanye chanzo cha kuona wenzako sio chochote wala lolote

  • @abdikafarabdi2021
    @abdikafarabdi2021 Před 2 měsíci +1

    Barka allah fiik

  • @nismaali2982
    @nismaali2982 Před 5 měsíci +1

    Maashallah Tabarak Allah ❤❤🤲🤲

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 Před 11 měsíci +6

    Sheikh shukran mungu akupe afya njema

  • @user-ts8im5fz8h
    @user-ts8im5fz8h Před 3 měsíci +1

    Sheik shukran mungu akupe afiya njema

  • @user-fc4vl8zi4r
    @user-fc4vl8zi4r Před 3 měsíci +1

    Mashaallah ❤

  • @ZainabMasoud-in5ph
    @ZainabMasoud-in5ph Před 8 měsíci +1

    Allah akulipe kheri zaidi dunia na kesho akheraaaaa.....

  • @ahmedsoudathman5088
    @ahmedsoudathman5088 Před 11 měsíci +5

    Allah akuhifadhi sheikh hassan

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před 4 měsíci +1

    Masha Allah ❤

  • @mariammohamedahmed4243
    @mariammohamedahmed4243 Před 11 měsíci +1

    Masha Allah jazakallah kher

  • @omanmuscatmus2155
    @omanmuscatmus2155 Před 8 měsíci +1

    Manshaallah tabakaall Allah akuifadhi shekhe 😍

  • @UmmuUmayr33
    @UmmuUmayr33 Před 7 měsíci +1

    Jazakaallahu hayrah

  • @HamuzaHabibu
    @HamuzaHabibu Před 4 měsíci +1

    Shukran sana ustadh❤

  • @abdikafarabdi2021
    @abdikafarabdi2021 Před 2 měsíci +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw Před 11 měsíci +5

    ❤❤ mashallah

  • @omarramadhan1829
    @omarramadhan1829 Před 3 měsíci

    Barakallahfq shekh wetu

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw Před 11 měsíci +4

    Isitoshe huwezi jua aliekujia nyumbani kwako ni mtu mbaya sasa ❤❤❤kumpakwako ile rizki kutia mdomoni nikinga yako wewe na ndomaaana tunaambiwa hakikisha akikujieni mja nyumbani mwenu usiache aondoke bila kutia rizki mdomoni na unaambiwa kama huna rizki ya kumpa mpe hata maji ya kunywa takbiriiii huuu ni mtihani mkubwa kwa wale waja wachoyo

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw Před 11 měsíci +3

    Allah hakika rizki nipopote na rizki ya mja ipo mikononi mwa mtu

  • @farhiyanoor6516
    @farhiyanoor6516 Před 10 měsíci +1

    ❤❤🎉

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw Před 11 měsíci +3

    Allah ukiwa unarizki mola mtukufu kakujaaalia rizki ya kutosha usiridhike kula bila kujali mafukara mayatima kunacwasio jiweza wakikutokeeni basi usisite kumsaidia au kimsitiri mwenzio huwenda kumsaidia kwako huwenda allah akakuengeza maradufu

  • @hamedyahya9291
    @hamedyahya9291 Před 11 měsíci +2

    Subhana llah kweli kabisa Masha allah

  • @shebanishebe7866
    @shebanishebe7866 Před 11 měsíci +2

    Sheikh shukran sana, mungu akuzidishie umri

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Před 11 měsíci +2

    MashaAllah ❤❤❤

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw Před 11 měsíci +2

    Allah kingine anapo kujieni mja nyumbani kwenu hakikisha akitoka asiondoke bila kumpa chochote hata kama ni chakula huwezi jua kakuletea rizki ila kwa uvhoyo wako utabaki hatakama ulikuwa unakula unaficha sw

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw Před 11 měsíci +3

    Allah naomba niongeee hata kama nipo nje ya mada kwakuwa sisi wa mama ❤️ ♥️ 💖 tumezidi a tumekuwa nichanzo cha ugomvanishi ktk familia 💖 ❤️ 💙

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Před 11 měsíci

      Umepata mume mwenye ihsani wewe ungefahamu wanawake wanavyoishi majumbani huku ingewaonea huruma wanaume maana utashindwa kujua kwa dhuluma wanazofanyiwa wanawake Kama Allah hajaamua kuwasamehe itakuwaje!!!

    • @adnanmwakulombaabdi5017
      @adnanmwakulombaabdi5017 Před 9 měsíci

      Hili ni swala muhim sana. Mustaqbal wa jamii una tegemea ndoa njema ambayo inatoa matunda mema - yaani watoto. Na hapa lawama ziko kila upande - kwa waume na pia kwa wake. In shaa Allah tuweni na ikhlas katika maswala haya ya jamii. Na kujua kila mmoja ana jukumu la kufanikisha Mahusiano mema.

  • @AbdallahSowa
    @AbdallahSowa Před 20 dny

    Uishi maisha malef shehe letu😮

  • @McChikampunda5411
    @McChikampunda5411 Před 11 měsíci +2

    Asalamu lekhumu

  • @AminaDodios-ml2lv
    @AminaDodios-ml2lv Před 8 měsíci +1

    Ma sha Allah mawaidha mazuri

  • @ZainabMasoud-in5ph
    @ZainabMasoud-in5ph Před 8 měsíci +1

    Allah akulipe kheri zaidi dunia na kesho akheraaaaa

  • @IranezerezaSmail
    @IranezerezaSmail Před 16 dny

    ❤❤❤❤❤❤