MASHEIKHE WA KISUFI NDIO WALIO WATENGANISHA WAISLAMU - Sheikh Muhammad Is'haka

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • #Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo

Komentáře • 41

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 5 měsíci

    Mashallah
    huyu shekh namsıkılıza mar kwa mara
    Nmejifunza meng juu ya bidaa kaswada na muandamo wa mwezi kwa hojjadgabiti kabsa kupitia kwa huyu shekh Allah akuhifadhi sana Muhamma İs'haka

  • @abudardaiasaa7700
    @abudardaiasaa7700 Před 7 měsíci +1

    Walllah allah atuongoze sana tuna pata elimu kubwa kuhusu barazanji na mamb meng sana allah awajaalie makhurafy wabadilike wasifuate mkumb kwa masheikh zao na uhasama na uadui wa sunnah

    • @abdikadirshariif5311
      @abdikadirshariif5311 Před 7 měsíci

      Saahi tu ndo umepoteya

    • @user-ym3en6kg8f
      @user-ym3en6kg8f Před 6 měsíci +1

      Hamna mwenye elimu ya kumkosoa saidina jaafari kati yenu nyinyi mawahabi, na mnajipakazia elimu wakati hamuna elimu nyinyi Sasa mawaidha gani ya hivo khaa, eti ndy anjisifu huyu Kwa mawaidha haya

    • @abdikadirshariif5311
      @abdikadirshariif5311 Před 6 měsíci

      @@user-ym3en6kg8f kweli hio. Hawana elimu hawa mawahabi. Mtu hata haja andika kitabu kimmoja ndo anaweza kukosowa mtu alie andika vitabu mpaka saahii tunasoma.

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Před 4 měsíci

    Nakuunga mkono sheikh.....

  • @user-ch5xl9ou4w
    @user-ch5xl9ou4w Před 7 měsíci +2

    Unashangaza umma kumuona sheikh wa kislam anaacha hadithi za mtume analingania maneno ya kipagani

  • @sallimkassim9150
    @sallimkassim9150 Před 7 měsíci +1

    Sio kweri ila mmekumbatia sifa baada kumcha mungu dini kushindana kufuata maamlisho n.a. kuacha makatazo ukiona moyo wako unatamani upate ushindi wa kidunia jichunguze utakua ria

  • @salimnassor1177
    @salimnassor1177 Před 7 měsíci +3

    حياك الله شيخ محمد اسحاق

  • @jujanreeves6925
    @jujanreeves6925 Před 7 měsíci +1

    Quran na Sunnah itadhihiri na bidaa kuabudu makaburi khitma arubaini maulid na hauli yatatoweka na Ummah wa Kiislam utaepukana na makorokoro yanayosababisha Uislam na Waislam kutokwenda mbele

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Před 4 měsíci

    Nakuunga mkono sheikh ,masheikh wengi wamebaki kuwa kama wanasiasa wanajali matumbo yao ...

  • @ahmedmattar4661
    @ahmedmattar4661 Před 7 měsíci +1

    Huyu sk au shehena hawa ndio mawahabi wanaotumiwa na mayahudi kùwafitinisha waislamu

  • @user-ch5xl9ou4w
    @user-ch5xl9ou4w Před 7 měsíci +1

    Haaaa lione hili jitu mawaidha yake innaa lillahi wa.innaa ilaihi rajiuun muswib mkubwa sana tangazo tangazo kwa ummati muhammad jitahadhalini na mtu huyu ni adui wa kislamu hafai hata kidogo by doctor hussein mtwara

    • @manrectorz
      @manrectorz Před 3 měsíci

      Kama hujaelewa sema ueleweshwe. Sawa tukiacha kumsikiliza wewe tuambie tukamsikilize nani?. Unadhani Hao mashia wanaowapandikizia chuki watawaacha nyie salama!?

  • @jujanreeves6925
    @jujanreeves6925 Před 7 měsíci +1

    Mashekh wa Kisufi wakiguswa wafuasi wao wanaruka juu sijui hamuwaoni masheikh wa Kisufi wanavyosema hovyo kwa masalafi

  • @twaybaal-khalifah3632
    @twaybaal-khalifah3632 Před 7 měsíci +1

    Mwahabi yupo KAZINI hapo, kuwatumikia wayahudi.
    Mbaya zaidi anawasema walitanguliza mbele ya haki ambao wawezi kujitetea.

  • @mahadhikawia3610
    @mahadhikawia3610 Před 7 měsíci +1

    Wakati muwaffaka Qur ani na Sunna lazima zi dhihiri , japo watu wapendao bida'a wanachukia .

  • @ahmedmattar4661
    @ahmedmattar4661 Před 7 měsíci

    Hawa watu wanapokea pesa ili kuuharibu uislamu

  • @abdikadirshariif5311
    @abdikadirshariif5311 Před 7 měsíci +1

    Wewe bangi tupu. Mohamad Ibnu Abdiwahab alikuwa suufi?

  • @HemedAbdalla
    @HemedAbdalla Před 7 měsíci

    Yani awa mawahabi ni Mtihan ktk umma wa kiisalm...Mawahabi nyny ndio mmekuja kufarikisha waislam...Mayahudi wakubwa nyi

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 Před 7 měsíci

    ليس شيء على محد العيد بعلم ولا فقرا بل هو منفق ونقص من العلم

  • @MkambaSaleh-kr7pi
    @MkambaSaleh-kr7pi Před 7 měsíci

    Kurani ni hikima ndugu Waisilamu wezangu .mbona mnabeuwana kumbukeni mtaenda ulizwa sikumoja.yadhihiriswe yaliyo vifuani.🎉

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470 Před 7 měsíci +1

    We mzee we umri huo usikuhadae waachie watto huu upuuuzi we saiz unasubiri tu bonus yako ya jwenda akhera malumbano ya nn hem somesha watu acha kujibujibu we mzee bana jiheshimu utaheshimiwa ukishindwa hilo utadhalilika acha haya mambo

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty Před 7 měsíci +1

      Kujibu pia ni katika kusomesha kukubwa.

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty Před 7 měsíci +1

      Mnasihi ndo wewe eti.

    • @SaidJangoli-hr7ww
      @SaidJangoli-hr7ww Před 7 měsíci +1

      Bora afikishe haki na akifika huko awe hakunyamaza akawa bubu ktk haki . Allah atuongoze tuzidi kujuwa haki ❤

    • @binfarhan879
      @binfarhan879 Před 7 měsíci +1

      Huyu Mzee sio mjenga Bali anasema haki na ndio inavyotakiwa pia ni nasaha kwa anaewambia watu vibaya.
      hebu fuatilia clips za Abuu Iddi utajua huyu Mzee anamaneno mazuri kias GANI.
      Tafuta mada kuwajibu mawahabi by Abuu Iddi

  • @zeitunMohammed
    @zeitunMohammed Před 7 měsíci

    Alafu huyu sheikh kamwe hasome hadith wala aya.ajabu sna

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 Před 7 měsíci

    Huna kazi ya kufanya wataka uumaarufu

    • @abuushakiraddausiy8666
      @abuushakiraddausiy8666 Před 7 měsíci +1

      Mjinga kimekulamba shekh aongea ukweli mtupu lakini makhuraafi kikiwalamba mwaongea mbaya

    • @fadhilimusa9732
      @fadhilimusa9732 Před 7 měsíci

      ​@@abuushakiraddausiy8666mama acha matusi

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty Před 7 měsíci +1

      Maneno hayo mmpelekee Abuu Iddi

  • @user-ch5xl9ou4w
    @user-ch5xl9ou4w Před 7 měsíci +1

    Sheikh kwani ww muislamu au kafili maana tunawasiwasi na ww maana hauna mawaidha ya kuwalingania waislam unamawaidh ya kuwabomoa waislam ww muislamu au kafilii nipe jib

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 Před 7 měsíci

    Sio nyinyi mawahabi wewe si ulisoma kwa masufi sasa wahabi walitokea wapi nyinyi mna waambia watu ktk itikadi zenu kuwa masufi makafiri mpaka shahada mnawaanzisha upya wasilimu upya

  • @user-ym3en6kg8f
    @user-ym3en6kg8f Před 6 měsíci

    Huna lolote wewe hivi muna elimu gani nyie ya kumkosowa saidina jaafari? Hivi unajua utaalamu wa lugha alioitumia sidina jaafari kwenye kitabu barzanji? wacha kutafuta umaarufu wewe, nyie mshawezwa na shetani basi hamna lolote mawahabi na msipotubia nyie kujaumu siku ya qiama kunamuhusu wapotoshaji wakubwa nyie kwanza nanai kakuambia kuwa nyie mwajua? eti wauliza maswalli ya kitoto kabisa khaaa

  • @user-lm7lk5kj1m
    @user-lm7lk5kj1m Před 7 měsíci

    Mpuuzi mkubwa wewe aduwi wa umma .mzee wa farqa mwenye chili na umoja na mshikamano wa waislam

    • @user-ym3en6kg8f
      @user-ym3en6kg8f Před 6 měsíci

      Sanaa huyu mtu ni mpuuzi bhana umeliona hilo we!!

  • @mahadhikawia3610
    @mahadhikawia3610 Před 7 měsíci +1

    Wakati muwaffaka Qur ani na Sunna lazima zi dhihiri , japo watu wapendao bida'a wanachukia .