Muhammad Iddi afukuzwa TAMTA baada ya kushindwa mdahalo na Sheikh Muhammad Is'haqa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024
  • Full video on CZcams
    Channel : Ihsaan Tv
    No. 1 - czcams.com/users/li...
    No. 2 - czcams.com/users/li...
    #bidaa #ukumbusho #taarifa #mawaidha #video #umuhimu #dini #islam #sunni #sunnah #jumuiya #swahili #mafunzo #ujumbe #nasiha #maarifa #utafutaji #elimu #uislamu #maombi #ujumbe #ufahamu #mihadhara #imani #tawhid #fadhila #Mazingira #MUHIMU #sunnah #fıkra

Komentáře • 211

  • @ebrahimadan3630
    @ebrahimadan3630 Před 4 měsíci

    Mashallah Jazzakallahu khayran, good one and on point.

  • @salummbarouk4216
    @salummbarouk4216 Před 4 měsíci

    Masha Allah Allah akufanyie wepesi sheikh umepoa

  • @user-co8el9vg9y
    @user-co8el9vg9y Před 7 měsíci

    Maashallah naon ume mtaj al marhumu shkh suleiman mbwana hap ndg yang ht mm usinge fany chcht hoj dhaifu san

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Před 7 měsíci +1

    👉 MOHAMED IDD

  • @lhabibysheikhyahya
    @lhabibysheikhyahya Před 7 měsíci +2

    Wallah nimekuelewa Sana sheikh

  • @arrawaahiyahtv9800
    @arrawaahiyahtv9800 Před 8 měsíci +4

    Huyu naona laana inamtafuna kidogo kidogo maana haogopi hata kuwadanganya watu maskini

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu Před 6 měsíci

      Kwani ana laana ya mzazi wake au sheikh wake?

  • @zeitunMohammed
    @zeitunMohammed Před 7 měsíci

    Kumbe huyu shekh mnafiki.subhanallah

  • @athumanimahunda6541
    @athumanimahunda6541 Před 7 měsíci +1

    Kweli laana la Shekhe linafanya kazi. Kwa hiyo kipindi hicho Muhammadi Ishaaqq alikuwa na elimu kuliko Shekhe wake! Hii si laana hii? Linasema uongo hadharani!

  • @user-nv7jg6xc8l
    @user-nv7jg6xc8l Před 8 měsíci +3

    Kuna mashekhe wananunuliwa wanapewa wengine mpaka milioni 500 kwa ajili ya kubishana kwa ajili ya maulidi ili fikra za waislam zibakie hapo tu wakat wanajua ukweli jambo LA khilafu watu hawagombani nalo yaan mtihani

  • @abumaryam6909
    @abumaryam6909 Před 7 měsíci +1

    Nasoma comments nyingi lakini naona ukosaji wa nidhamu! sheikh amezungumzia kilichotokea kama mna hoja leteni.. acheni chuki, matusi na ushabiki.. sio lazima uifuate haki!! Moto pia umeandaliwa kwajili ya wanaadamu ni juu yako kuifuata au kutoifuata

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv8973 Před 8 měsíci +4

    HAHAHAHAA... MDAHALO HUO NA SHEKH WEWE ULIKIMBIA NA UKAWEKA VIATU VYAKO MAKWAPANI KISHA UKAULIZA VIATU VYANGU VIKO WAPI KWA NAMNA ULIVYOCHANGANYIKIWA .. HAHAHAHAHA
    WACHA URONGO . SUBHAANALLAH NILIKUWA NAKUHESHIMU SANA LKN URONGO WAKO UMEZIDI SADA

    • @Abuu-lr5bz
      @Abuu-lr5bz Před 8 měsíci

      Wakumbuka mdahalo wa Mombasa moja kati ya masheikh zenu aliweka maiki kwenye sikio akaacha mdomoni vp na hapo

  • @mussajangwa4878
    @mussajangwa4878 Před 7 měsíci

    Bismillah rrahmaan rrahiim
    Assalaam alaykum warahmatullaah wabara kaatuh
    Sheikh Kwa hakika unatuaminisha kwamba" laana ya sheikh Mohammed ayyoob inakutafuna
    Kwa hakika kwa hapa mtandaoni itashuka heshima yako kwa7bu umesoma kwa sheikh Mohammed ayyoob na amewalea vzr kwa wema sana
    😭😭😭😭😭😭😭
    Nakuahd utaanguka na utafdheheka sana😭😭😭😭

  • @Ujumbewadini
    @Ujumbewadini Před 8 měsíci +2

    Acha kujisifu na subiri usifiwee Mzee wangu

  • @saidnaggy5209
    @saidnaggy5209 Před 8 měsíci +1

    Maulid ni birthday ya mtume wa ALLAH

    • @abuutamiimattanzaaniy8676
      @abuutamiimattanzaaniy8676 Před 8 měsíci +2

      Naam, na kusherehekea birthday si katika mila zetu, NI MILA ZA MAYAHUDI NA MANASWARA, haifai kufuata mila zao

    • @muadhihassan4486
      @muadhihassan4486 Před 8 měsíci

      Aliisherehekea mara ngapi

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před 7 měsíci

      Ni sahihi Maulid ni birthday na ndio tafsiri sahihi lkn kwanini munasema ya Mtume? Na je hiyo birthday ya Mtume imeletwa na Nani?na imekuja mwaka gani? Maana wale Maswahaba wanne(Ulafauu rrashidin)yaani Abubakary,Omar,Othman na Ally bin Abi twalib hawakufanya sasa watwambie Nani kaleta utata huu unaotutafuna Waislamu!

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před 7 měsíci

      Makureish wakati wa uhai wa Mtume(saw)walimwendea na kumwambia"Wana wa Ezraeil wanasherehekea kuzaliwa Kwa Nabii wao!je na Sisi tufanye hivyo kwako? akasema hapana musifanye!maana wao walifanya hivyo na mwisho wakavuka mipaka na kumwita Nabii ISSA mtoto wa Mungu na wengine kumwita Mungu! lkn anayetaka kusherehekea kuzaliwa kwangu naafunge siku ya Jumatatu kwani ndiyo siku niliyozaliwa

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před 8 měsíci +2

    NA ALHAD ALIEKUWA SHEKHE WA MKOA ALISEMA YEYE NDO ALOMLETA DAR SHEKHE MUHAMMAD IDDY SASA SIJUI INAKUAJE HAPO??

  • @alhadajjmohammedsmith9042
    @alhadajjmohammedsmith9042 Před 7 měsíci +2

    Pelekeni Uislamu mbele wacheni Malumbano/Mipasho (Michambano) yenu.Hapo hakuna M'bora isiookuwa M'bora wetu ni yule Amchae Mungu ktk Wingi wa Ubora wa Kumcha Mungu.

  • @user-km5jc6sv5f
    @user-km5jc6sv5f Před 7 měsíci +1

    Sheikh humuezi Sheikh Abdallah Ayub wala humuezi Sheikh Samir tamta ndio chimbuko la mashekhe East Africa nzima ukitoa mambrui Mombasa Tamta lazima uiheshimu

  • @salimakida95
    @salimakida95 Před 7 měsíci +3

    Nikweli hata mashindano ya kusoma quran yalikua hayapo

    • @hafidhseif9638
      @hafidhseif9638 Před 7 měsíci +1

      Sio kweli yalikuwepo ila sio kama mtindo wa kisasa ,mtume saw, alikua anampa uwongozi aliye hifadh Quran anampa kipaumbele ,kuna watoto walitaka kwenda vitani mmoja akaruhusiwa na mtume mwengine akakataliwa mtoto asema yeye kahifadh al bakarah akaruhusiwa, halafu Allah karuhusu watu washindane wenye kushindana hiyo ni Quran, na hii aya iliposhuka hakuna maulid,washindane katika yale ambayo Allah na mtume wake wameyaridhia na yamefanywa na mtume

  • @omarsuleiman9064
    @omarsuleiman9064 Před 8 měsíci +3

    Watu wanataka elimu ya dini wasome wao wanaleta story ya vitu walivyafanyiana wakiwa wanasoma

  • @zeitunMohammed
    @zeitunMohammed Před 7 měsíci

    Shekhe,Aya hii ilipoteremka Quran haikuwekwa kwa kitabu wasemaje wakati imewwkwa baada ya Aya kushuka

  • @kasimmohamed8225
    @kasimmohamed8225 Před 7 měsíci

    Masheikh siku hizi ni watetea tumbo tu na siyo watetezi wa dini

  • @HusseinPaula
    @HusseinPaula Před 7 měsíci

    Wewe Mohamed is haqa inapaswa utoe ushahidi wa uharamu wa maulidi sio porojo kukosa kitu kwenye aya haimaanishi ni haramu

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2n Před 7 měsíci

    Mashehe mnapotea

  • @user-wf8eb6nm4s
    @user-wf8eb6nm4s Před 4 měsíci

    Hona hoja mashairi yalikuwepo kasida ilisomwa alipopokelewa mtume Madina dufu limepigwa mbele ya mtume

  • @nassermohamed6174
    @nassermohamed6174 Před 7 měsíci +1

    Assallaam alleykum....Yaani watu kila kukicha mnarumbana tu! Hivi kunashida gani mkakaa sehmu mmoja mkamaliza tofauti zenu? Mnapindishapindisha vitu kwa kutaka sifa mitandaoni kujiona wasomi. Kila kukicha Bidaa Maulid Bidaa Maulid kila siku hamna mambo mengine kwenye dini uislam??

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před 7 měsíci

      Kwani hili la Maulid kuwa bidaa wewe huamini?na kwanini wasomi na wajuzi wadiseme kuwa ni bidaa!ivi nini maana ya wao kuitwa wasomi?waone mambo siyo wake kimyaaa?huijuwi kama itakuwa dhima kwao siku ya hesabu mbele ya Allah?

    • @mohammedmhina3973
      @mohammedmhina3973 Před 5 měsíci

      Mawahbi hawanag akili vibarak wa wayahudu

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před 5 měsíci

      @@mohammedmhina3973 unajuwa maana ya Wahabi?nadhani inaonesha hata kunawa mkono wako hujuwi ujinga umekutawala

  • @farijalakhalid5558
    @farijalakhalid5558 Před 8 měsíci +1

    Jamaa ni muongo eti chanzo cha she Muhammed idd kwenda dareslamu ni kushindwa mdahalo

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Před 6 měsíci

    Biddable hawalipwi ispokuwa dhambi

  • @Filamumaridhawa
    @Filamumaridhawa Před 8 měsíci

    Jamani hem wacheni ayo mikushanyiko yanaoitwa maulidi zogo liishe

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 Před 7 měsíci

    HILI JITU NI JINGA SIJAONA MFANO WAKE,
    KWANI HIYO AYA ILIKUWA NDIO YA MWISHO KUSHUKA KATIKA QUR,ANI!?
    IKIWA HAPANA JE HIZO ZILIZOKUJA BAADA YA HIYO AYA zilikuja kufanya nini wakati dini ilishakamilika!?
    Hili ni jendawazimu tu

  • @user-co7fk6uw2g
    @user-co7fk6uw2g Před 7 měsíci

    Mh

  • @user-mx9ey9tt3m
    @user-mx9ey9tt3m Před 7 měsíci

    Lakini mzee wetu pía wew watafuta umaaruu ,kwani aya zilizoshuka baadae hazimo

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Před 6 měsíci

    Hasa na were lddi sema kama hukufukuzwa kwa sabaubu ya kushindwa

  • @RayaAlySalumRayasalum
    @RayaAlySalumRayasalum Před 24 dny

    Usidanganye

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 7 měsíci

    Abuu Iddi anamfahamu vizuri sana Shekh Muhammad Is-haqa, na anaelewa fika kua ni msomi miongoni mwa wasomi, walio wakaa kooni masufi, ndiomana haja hoja ya kupinga alio ongea Shekh Muhammad Is-haqa, ispokua kufanya propaganda tu.
    😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
    Abuu Iddi hii ni zama ya ukweli na uwazi hakuna tena kudanganya watu, udanganyifu wako utakufedhehesha mbele za watu pale inapoletwa bayana.
    Sasa wewe umefukuzwa tamta kwa kipigo na kichapo alicho kupa Shekh Muhammad Is-haqa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-bm2pd8jd3u
    @user-bm2pd8jd3u Před 7 měsíci

    Wallah nyinyi mnatuchelewesha sana kila mara mnataka mabishano tu hakuna jambo jingine muhimu katika uislamu?

  • @japharytwaha8552
    @japharytwaha8552 Před 7 měsíci +2

    Assalaamu aleikum warahmatulllah wabarakatuh, ndugu zangu waislamu, kutumia mic kutumia saa ya mkononi, au kwenda maka kwa wingi sio bidaaa, bidaaa ni kufanya jambo ukaitakidi kuwa ni ibada na haikuwepo wakati wa mtume, wakati wa maswahaba, kwa hiyo vitu vyovyote haviko kwenye ibada

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 Před 7 měsíci

      Kaa usome kijana

    • @hamzaqaacm1869
      @hamzaqaacm1869 Před 7 měsíci

      Kwa Hy ndio jibu Hilo??​@@ibnayub2374

    • @hafidhseif9638
      @hafidhseif9638 Před 7 měsíci

      Mbona munapata shida sana hapo panazungumzwa uzushi kwenye dini sio maisha kwani saa si imo kwenye Quran

    • @hafidhseif9638
      @hafidhseif9638 Před 7 měsíci

      Saaa unajua nini?

    • @hafidhseif9638
      @hafidhseif9638 Před 7 měsíci

      Enzi ya mtume magorofa hayakuwepo sasa unataka tusikae kwenye magorofa ? Munapo ambiwa bidaa ni kuleta kitu ambacho hakipo kwenye dini ukakiingiza, nahata hivyo magorofa haya kuwepo lakini mtume aliyataja,

  • @ismailhadid1573
    @ismailhadid1573 Před 7 měsíci

    Baba yangu hiyo aya uliyo itowa kuwa dini imekamilika isizifishwe je Kuna aya ilikuja baada ya dini kukamilika natena niya huku masaa ya wirathi je tu ifanyaje

  • @kingibandajembe2247
    @kingibandajembe2247 Před 7 měsíci

    Twalahallbadri alaina minthani ayatu sitaki kuendelea hila ndiyo siku alipokelewa mtume na maulidi tulivyo fundishwa

  • @YusufMatianyi1388
    @YusufMatianyi1388 Před 7 měsíci

    Maskini Wahabi huyu kazeeka vibaya , inalilahi wainailayhi rajuun ,nilidhania ana Elimu Akijisifu na jopo lake bovu kumbe ni mkebe uliochakaa msiba kwa umma

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470 Před 8 měsíci +1

    Mzee wangu naomba hem nenda mambrui kule kjna wanafunzi wa shekhe fadhil Allah amhifadhi utaona kama ukianza we au kama utaanzwa we e bana huna hoja we we hata mwanafunzi wa ustadh said point hizo anakunyoosha

    • @shazyahya4121
      @shazyahya4121 Před 8 měsíci +1

      Uwezi kumsumbua sheikh akaweke munaqasha na wapiga mziki kwanza waislam wa mambrui wa twarika mna kashfa mzito sana kwenye madrasa zenu mnachowafanya wanafunzi wenu inaonyesha wazi maulidi huwezi kuitenganisha na shia tabia zenu hamtakua Salama siku ya Qiyama.

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 8 měsíci

      ​@@shazyahya4121wapiga muziki mbona waliwakojoza mkachafu viti kule mombasa

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Před 8 měsíci

      ​@@abiabi9353Said wa Mambrui alishinda kwa ujinga wake, wajinga wataona kama Said alishinda lakin wenye elmu walielewa nan alikua kwny haqqi

  • @user-op8cd5tg5p
    @user-op8cd5tg5p Před 7 měsíci +1

    Sheikh is,haka eee hivi chanel ya mtume ilikua chanel Gani ktk hizo tv zenu kama hakuna bac wewe ni mbeba Bango la bidaa wakwanza

  • @Ujumbewadini
    @Ujumbewadini Před 8 měsíci

    Sheikh wangu ukisimama kwenye hiyo aya basi elewa kuwa kuna vitu vingi sana utawajibika usvihalalishe kutokana havijatajwa ndani ya Qur’an wala katika hadithi za mtume salla llahu alayhi wassallam.

  • @gudimbwana8088
    @gudimbwana8088 Před 4 měsíci

    Mbona mnamundama MOHAMAD IDDI kwa amekuwa na kujulikana na kuwazid ? DINI Ina mengi ya kuwasilisha na kufunza jamii hamyafanyi mnaleta habari za mabishano yenu hapa sasa tumepata nn kila siku mtadhalilishana hivi ndio DINI itasonga mbele kweli?

  • @jumamohamed628
    @jumamohamed628 Před 7 měsíci +1

    Ukiitwa Munaaqasha karibuni usikatae

  • @abdallahshelufumo4602
    @abdallahshelufumo4602 Před 8 měsíci +1

    😂😂😂kunaitwa kupatwa kwa sheikh ibn is'haq

  • @RayaAlySalumRayasalum
    @RayaAlySalumRayasalum Před 24 dny

    Wacha ungo tuoneshe nasisi tone uwo Uganda

  • @mohamedamini4268
    @mohamedamini4268 Před 8 měsíci +1

    Umevaa saa unatmia mic , dini haikuvitaja ,vipi unavitumia .

  • @user-oj2ol9il8k
    @user-oj2ol9il8k Před 7 měsíci

    Sasa hayo mabishano yenu yana tina taji gani katika kuupeleka uislamu mbele zaidi yafitina, majungu na kutafuta ria na ukubwa usio na maana

  • @waziri19
    @waziri19 Před 8 měsíci

    We dini unatumika na wahabi tubia mana unajua Kila kitu hata hyo Aya unayoisema hapo haionyeshi kuwa baada ya aya hyo hakuna Aya zilizoteremka zenye maamrisho mengine,ila unaamua kupotosha umma tubia umri wako mkubwa hupaswi kudanganya umma acha huo upuuzi wa kiwahabi haitakusaidia ktu.

  • @HusseinPaula
    @HusseinPaula Před 7 měsíci

    Kama kweli masheikh wana kuogopa sikuile sheikh Muhammad burhan alipokuja kituoni wewe ulikuwa wapi bwana

  • @user-yx3ex4vy7o
    @user-yx3ex4vy7o Před 7 měsíci

    Mabidaa kwani munapofanya bidaa zenu za maulid,Hitma,Tahlili n.k munalipwa nanani?Mana mlipaji kashazikataa bidaa zenu.kwa Hadithi ya mama Aisha

  • @user-mi3cs9lc6y
    @user-mi3cs9lc6y Před 7 měsíci +1

    Leo ndio nimeamin urongo wako

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 5 měsíci

    Kulu muhudathat bidaa,wakulu bidaat dhwalala,wakulu dhwalala finnari, mtume kasema kila lenye kuzuliwa ni bidaa na kila bidaa upotofu na kila upotevu motoni,mpo wapi nyie alhl bidaa mnadalili gani, wa kutetea huo uzushi wenu wa maulidi hakuna katika quruani wala hadithi ni mambo yalozuliwa tu na watu wakaone watunge mashahili ya kusherehekea mtume hali yakuwa yemwenyew siku yake ya kuzaliwa alifunga ,ninyi mnajuwa zaidi kuliko mtume wa mungu dinni no wahyi tokabinguni so kila mtu uamua mambo atakavyo

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 5 měsíci

    Ninyi watu wa maulid mmezua bidaa ,ushauli wangu badilikeni na mrudieni mtume mbona hadithi ziko wazi zinazokataza bidaa na mashekhe zenu wanaziona, na laiti mngejuwa asili ya maulid imetoka kwa mashia walowatukana maswahaba ndo waanzilishi wakubwa,wa maulidi someni historia.mtume kaja na mambo chungu mzima hamtaki kuyafata mmeamua kufata yenu,ingekuwa mulidi Jambo lakheri mtume asingeacha kufanya na swahaba zake karne ya 6 watu walikaa chini na kutunga maulid hata maimamu wale wanne wa kutegemewa kina imamu shafi,imamu Malik ,imamu Ahmad,imamu Abuhanifa wangeunga mkono basi hata kufanya nao hawakulijuwa Jambo hilo ninyi mmezuwa zuwa mambo katika dini ya Allah kama mayahudi na mamaswara rudini katika sunna mtasalimika

  • @HusseinPaula
    @HusseinPaula Před 7 měsíci

    Ingepaswa tu wakuulize je hizo aya ulizo soma na hadithi zimeharamisha maulidi

    • @hajjimasoud6272
      @hajjimasoud6272 Před 7 měsíci

      Zilizo halalisha Allah na mtume wake haja tushushia kuwa Hadith Wala Aya kwenye qur an

  • @mohammedal7864
    @mohammedal7864 Před 7 měsíci

    Nakushauri fanya ibada soma ili ujue ulichoamrishwa fanya ulokatazwa wacha mengine utapoteza muda na safari ya duniani ni fupi fanya haraka jikite ktk ibada

  • @rajabungatanda630
    @rajabungatanda630 Před 7 měsíci

    Ndoumepata nini baada ya hapo?
    Munatia aibu tu kila siku munakashifiana nyinyi kwa nyinyi
    Mpaka nawatilia mashaka uwenda mukawa na dosari

  • @silimakhamis7088
    @silimakhamis7088 Před 8 měsíci +1

    Iyo ndo pesa,famchezo ni ,watu wanacheza na pesa tu,ukitaka pesa pinga maulidi tu

    • @MohammadJumah-qk2xc
      @MohammadJumah-qk2xc Před 8 měsíci +2

      Ninavyofahamimi Kwa kuona ukitaka pesa narudia ukitaka pesa yakubali maulidi , maandalizi ya maulidi ya wilaya ya temeke tu pesa yake milioni 400 na zaidi na zaid lkn hii pesa tote haifanyi maandalizi ya maulid nyingne ni kitoga cha mashekh ndo maana wakali wakiambiwa maulidi hayana asili kwa sababu ni KAZI ya watu kuanzia sas tambua hilo ima Fanya uchunguz , na kufanya uchunguz ktk majambo ya dini sio bidaa

    • @user-ry4kh6fg9j
      @user-ry4kh6fg9j Před 7 měsíci

      Ni kweli ndugu tumeamrishwa tufanye tahasus na sio tajajus

  • @HusseinPaula
    @HusseinPaula Před 7 měsíci

    Wadanganye mawahabi sio sisi

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 8 měsíci

    Mzee unachozungumza ndio dini yenyewe Mangine ni Mazingaombwe tu sio dini

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před 8 měsíci

    Msubiri Abuu Iddy aje akunyooshe kama ilikua hakuna maulidi hakuna hitima ila mashindano ya Quran yalikuwepo na Masahaba walikua wakishinda na kupewa zawadi.

    • @abuushakiraddausiy8666
      @abuushakiraddausiy8666 Před 8 měsíci +1

      Hii sio hoja yajiilimu

    • @PAZI_TV
      @PAZI_TV Před 8 měsíci

      Sheikh anatumia microphone katika msikiti wa Allah wakati hizo mic zilikuwa hamna kabla ya mtume

    • @waziri19
      @waziri19 Před 8 měsíci

      Hoja ya kiilimu ni ya kiwahabi ila hoja nje ya wahàbi sio hoja mnashida kwenye akili zenu wahabi wengi akili hamna ,huyo anasema lililokuja baada yaMtume ni bidaah Sasa mashindano ya Qoran yalikuwepo na je Mtume aliyafanya ama maswahaba ,kwanini mawahabi wanayafanya kama wao wanafanya kile kilichoafanywa na Mtume tu acheni ubabaishaji wa kupotosha watu katika dini ,,mawahabi tubieni acheni ukafiri​@@abuushakiraddausiy8666

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 8 měsíci

      ​@@PAZI_TVpia muuliza hukumu ya tarawehe jamaa ilikuwepo? Pia muulize hukumu ya talaka tatu kwa mpigo ilikuwepo wakati wa mtume?

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Před 8 měsíci

      ​@@abiabi9353 Mtume saw asema shikamaneni na sunnah zangu na sunna za makhalifa wangu waongofu!!! so hoja ya taraweh usiilete tena!!, hoja ya maulid ebu ilete kwa hadithi hii utufundishe!!

  • @user-dq6vv9eo4l
    @user-dq6vv9eo4l Před 7 měsíci

    Mzee hiyo niabu kuleta Aya hii kama sehemu yausha hidi naomba nikuulize aliyaumu akmaltu lakum diynakum je hiyo ni ayayamwisho kushuka semakweli ayaziliendelea kushuka kilicho kamilishwa ni nguzo zauislm sitano hija ndio yamwisho shahada teyar swaumu teyr swala Tyr zaka teyr kilchobaki nihija Sasa hija ndiokahiji ndiomanayake hojayako zaifusana ww

  • @ADAMADAM-bf8wn
    @ADAMADAM-bf8wn Před 8 měsíci +1

    Mbona macho yake hayatulii ana shida gani?

  • @allyjuma8836
    @allyjuma8836 Před 7 měsíci

    Asalaam alaikum warahmatullah. Naomba utanisamehe kusema uongo ni sawa Ili uwafurahishe watamaji. Kwanza kabisa mdahalo wa pangani shekhe Mohamedi Ayubu hakuwepo wala shekhe Suleimani Mbwana white Hawa walishatangulia mbele za haki. Je maneno Yako ni ukweli. Mdahalo ule Mimi nilikuwepo nikiwa ni Moja ya wanafunzi tuliotoka tamta. Na kweli ulishindwa na ndio sababu kuu ya Ansari kuendelea na midahalo.

  • @farijalakhalid5558
    @farijalakhalid5558 Před 8 měsíci +1

    Liongo kweli kweli .kah!

    • @muadhihassan4486
      @muadhihassan4486 Před 8 měsíci +1

      Uongea wewe ukweli wako

    • @farijalakhalid5558
      @farijalakhalid5558 Před 8 měsíci

      @@muadhihassan4486
      Jamaa yako muongo kwa sababu eti jamaa kapewa hoja mpaka anadondoka mtaroni.
      Huu ni uongo wa dhahiri.
      Khalafu maswali yenyewe eti.
      Dini imekamilika mbona haikutaja maulidi?
      Swali anacho uliza ni mulidi jina?
      Naulidi mfumo?
      Maulidi siku?
      Naulidi kutaja Siira ya mtume?

  • @rshidmwasa8493
    @rshidmwasa8493 Před 7 měsíci

    Kwahiyo midahalo siku hizi ndio imekuwa dini au!!!

  • @saidramadhani8678
    @saidramadhani8678 Před 7 měsíci

    Maulidi hayawezi kufakwahoja zakizembe Kama hizi nashangaa hata huyo alikaa kumsiliza huyu mwehu

  • @user-tm7qy2fl1t
    @user-tm7qy2fl1t Před 8 měsíci

    ww mzee mbona hiyo aya sio yamwisho kushuka

  • @HarunaMohamed-ui7nq
    @HarunaMohamed-ui7nq Před 8 měsíci

    Dini imekuwa mpira wa miguu,mna Hadi kamisaa, kweli hakuna ulamaa nchi hii

  • @aliissahaji33
    @aliissahaji33 Před 7 měsíci

    Yy ww Mzee cjui hata unaongea kitu gani, maana mm cjui chochote kinachoendelea lkn nikisikiliza tu hayo maneno yako basi unaonekana wazi kuwa ni mdogo.
    Mm nikuulize, kipindi hicho Cha mtume watu walikuwa wakienda hija kutoka nchi tofauti tofauti kwa kutumia miguu au vipando vyengine hasa wanyama lkn saiv karibu watu wote wanatmia ndege, jee sheikh hii nayo pia ni bidaa...?
    Maa Salam

    • @japharytwaha8552
      @japharytwaha8552 Před 7 měsíci

      Wewe nawe ni debe tupu bidaaa ni kufanya ibada ambayo haikuwepo wakati wa mtume, wakati wa maswahaba na wakati wa Tabii tabiina

  • @mohamedhamismagoraonlinetv459

    BARAHIYAN NI HATARI KWA UMOJA NA MSHIKAMANO WA WAISLAMU.
    czcams.com/video/BnRibZ4iKNA/video.htmlsi=29NLMGK22NsBklh9

  • @yammuhamed736
    @yammuhamed736 Před 8 měsíci +10

    Mzee wangu samahani kama ntakua nakukosea kama kila kilicho kuja baada ya aya ya AL yauma akmaltu lakum din ni bidaah inakuaje ju ya hukmu za riba mana aya zake zilikuja baada ya tukio hilo hivyo hapo hakuna hoja ungeniuliza mimi afu ungekua ungekua umri makamu yangu ungeyakamyaga

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 8 měsíci

      😂😂😂😂😂

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 8 měsíci

      Mawahabi si wasomi watakusumbua bura

    • @MohammadJumah-qk2xc
      @MohammadJumah-qk2xc Před 8 měsíci +1

      Subhaana llaah ama hakika Zama zimefika za kuikamata din Kwa Meno ya magego Kwa I majambo yapo peupe lkn nyoyo zimezibwa na matamanio ya dunia hatuoni chochote eeeee allaah type taufik yako tuzijue ibada aliyoifanya mtume wetu saw , Abu bakr waumar wauthumaan waaliyy Ra Kwani walipopita hawa twahitajika Nas tupite

    • @Abuu-lr5bz
      @Abuu-lr5bz Před 8 měsíci +2

      Wewe kiakili yako hapo hiyo aya maana yake nini na makusudio yake nini

    • @MohammadJumah-qk2xc
      @MohammadJumah-qk2xc Před 8 měsíci

      Ibnu Abbas lbnu Kathir wamujaahd wahakatha tuwaulize wao wameielewa VP sis ni wakunukuu tu ktk dini

  • @alhadajjmohammedsmith9042
    @alhadajjmohammedsmith9042 Před 7 měsíci

    Sasa Kuyasema hayo Ili iweje/Kuna Manufaa gani ktk Uislamu, Waislamu na Kwa Jamii Kwa Ujumla?!
    Kweli Adui wa Muislamu ni Muislamu

  • @salehally1082
    @salehally1082 Před 7 měsíci

    Wewe Rudi Tena darasani kasome na uelimike !; unaongea pumba na hujengi Dini ila unavunja umoja wa kiislam

  • @answaryhussein256
    @answaryhussein256 Před 7 měsíci

    Wew hujitambui kabisa

  • @saidysangoda6009
    @saidysangoda6009 Před 8 měsíci

    Shekh unajenga ama unabomoa hii dini yetu sote Haina mwenyewe chuki Yann unatufarakanisha kwann?

  • @farijalakhalid5558
    @farijalakhalid5558 Před 8 měsíci +1

    Jamaa kiukweli umekuja na style mpya...unaamua zako kua muongo tuu.

  • @braqutourssafaris4672
    @braqutourssafaris4672 Před 7 měsíci

    Kumbe abuu idy anavyo kuita muongo haja kosea😅😅huna hata aibu utazan sio msomi yaan ukiangaalia hata uso wako tu unajua kua ni uongo

  • @swahibually8349
    @swahibually8349 Před 7 měsíci

    Mzee umejichokea kwa LAANA za Sheikh wako,na unazidi kupauka na Nuru imekuondoka kabisaaa,sivyo ulivyokua Mwanzo,umepauka kama uliepapakwa Masinzi.Chiziiiiiiii.

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein4180 Před 8 měsíci

    Duuh jamaa muongo halafu yuko baridiii hahah jamaa anapig fixiii huyu duu

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed254 Před 7 měsíci

    Ndio mana tunasema maulidi ni upuzi na sio ibada Kama wanavyodai watu wa twarika.

    • @omaryhunte
      @omaryhunte Před 7 měsíci

      kwa iyo unataka kusema Wanaofanya maulid ni wapuuzi tu hawana chochote.

    • @iddimohamed254
      @iddimohamed254 Před 7 měsíci

      @@omaryhunte Yap wanafanya kitu ambacho hakipo kwenye sunnat rasuulu Allah,alaf hata wema walotangulia hawakufanya,eg.abuu hanifa,Malik,shafii n hambali.

  • @islamseyffden7723
    @islamseyffden7723 Před 7 měsíci

    Linatisha 😂sura halina hta nuru mohamed qasim mnafki asee

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 7 měsíci

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Masufi mtaisoma namba mwaka huu, maana kila kona ya uchafu wenu mulio uficha wana Sunnah wapo kwa ajili ya kuufichua uchafu wenu watu wa bid'ah

    • @rshidmwasa8493
      @rshidmwasa8493 Před 7 měsíci

      Hakuna MTU wa Sunnah mwenye mipasho.
      Halafu Sunnah huwa inajipambanua kwa matendo Yako na sio mtu kujinadi eti mtu wa Sunnah..
      Hakuna Sunnah ya kujisifia

  • @hamisimasimbi5019
    @hamisimasimbi5019 Před 7 měsíci

    Kumuita mtu mnafiki siojambo dogo. Vijana acheni jazba katka dini

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 Před 8 měsíci

    Mda halo na Hasan khuzema wewe Muhammad ishaka wewe uli shindwa kigombe mda halo ukatoka na viatu vyako sasa mbona unadanganya tupo usiseme yasio kweli sasa Aya hiyo ndio inayo fanya tusi fanye vitu vingine sheria hii umesoma wapi hadithi zipo nyingi tu kwani wewe uli fahamu vp sheria kama hivi ndio ulivyo fahamu basi dini huja fahamu

  • @salehfarsy802
    @salehfarsy802 Před 7 měsíci

    Unatafuta Umaarufu sio Dini

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Před 8 měsíci

    Shekhe tapeli wewe hina elimu yoyote tapeli wewe

  • @ShabaniJuma-xx9bz
    @ShabaniJuma-xx9bz Před 7 měsíci

    Siomaulidituu wewe nani alikuambia mtume s.w.s. alitumia simu ndege

  • @w4058
    @w4058 Před 7 měsíci

    Anabomowa hao mashehena kama hawa hawana Jipya hawana heshima na kazi zao na elimu zao pia kwani mkinyamaza kimnya mkawaachia wenyewe na Maulid yao nyie mtapunguwa wapi zogo na mitafaruk ndio mnayoipenda heee hebu kama mna elimu zitimieni kwa mangine nendeni vijijini kuna Waislam hata kusali hawajui nyie mumo kuleta ubishi bidaa bidaa na nyie tu

  • @silimakhamis7088
    @silimakhamis7088 Před 8 měsíci

    Je, maulidi hakuna ,elimu ya usuli ,na miaahafu?

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972

    Kwa hiyo aliacha uwahabi au usalafi? Pumbavu

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 Před 7 měsíci

    Hata usafiri mtume katumia chombo cha usafiri sasa usije kufukiria usafi ni ni magari tu na ndege ngamia na farasi nao walikua usafiri

  • @mohammedmhina3973
    @mohammedmhina3973 Před 5 měsíci

    Mawhbi tatzo san nyinyi

  • @ayubuzomboko9502
    @ayubuzomboko9502 Před 8 měsíci

    Halafu huyu mtumzima lakiniiiii.Unatudhalilisha wazee wenzio,,taja aibu zako kwanza,au hunaa?

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 Před 8 měsíci

    Haha du huyujamaa kwa uongo tu. Yani mtu yeyote mwenye kutumia akili yake vizuri atagundua huyu jamaa ni tapeli wa maneo.yani an uwezo mkubwa wakuchagua maneno yakukushawishi umuamini.na kama unakili ndogo kama wahabi basi utamuamini tu. Eti sheikh Abdallah ayubu kaingia mtaroni kwa hoja zako za kitoto. Nahivyo ndivyo mawahabi wote wanavyojenga hoja zao.yani hoja za kijuujuu tu hambazo hazitokani na elimu yoyote ya maana

  • @twahamachozi8018
    @twahamachozi8018 Před 8 měsíci

    Muhammad bachu yuko wap skuhizi naona umekuja ww ambaye nimweupe

  • @mailacamillius
    @mailacamillius Před 7 měsíci

    Liongo hili lisallafi😂

  • @AbumndhualijumaAbumndhua-vu8bx

    Chungaunayoyasemaachaporojo

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja8837 Před 7 měsíci

    Talakini maulidi ndio tofauti mpaka mnawaita waisilamu makafiri? Au mnamambo mengine?

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před 7 měsíci

      Hakuna aliyeowa kafiri Kwa sababu ya Maulid ila wanaambiwa wanaleta mambo ya bidaa ambayo Mtume na Maswahaba zake hawakufanya!na hapa muelewe city viwili:BIDAA NA UKAFIRI musichanganye mambo Kwa utashi hii ni dini ya Allah ameileta kwetu kupitia Mitume yake na kama walivyopewa ndivyo walivyoifikisha na hakuna sababu ya kuongeza wala kupunguza hivyo basi, simameni katika hoja hizi mbili!na sio kutombana na kuzusha yasiyokuwepo

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před 7 měsíci

      Aliyeitwa

  • @princefeisla3692
    @princefeisla3692 Před 7 měsíci

    L.G.B.T.Q.+mbona haiongelewi namna hii kwanini maulid tuu?

    • @hassanhussein-ow7qh
      @hassanhussein-ow7qh Před 7 měsíci

      Subhanallah, nilitaka kusema lakini nimekutana na hii comment, najazia hivi
      Kuna maovu mengi makubwa kwenye jamii, Masheikh hawasemi wao wanatambiana tu na mbwembwe za nani msomi,
      LGBTQ - USHIRIKINA - UZINIFU - UFISADI -MAADILI MEMA KWA WATOTO Wao hawazungumzi kukemea, na ndio madhambi makubwa kuliko hayo wanayogombania