MASHEIKH WA BAKWATA WANAWASAPOTI MASHIA TANZANIA sheikh Mohammed Issa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024

Komentáře • 36

  • @abdulrashidjuma8229
    @abdulrashidjuma8229 Před rokem +2

    Allaahu akuzidishie kheir nyingi sheikh Mohammed Kwa kusema kweli

  • @mams1892
    @mams1892 Před rokem +2

    Innalillahi wainnaillahi Rajionn Allah atustiri na vizazi vyetu amin ya Rabb

  • @HassanAhmedAbdallah
    @HassanAhmedAbdallah Před 3 měsíci

    Allah akuhifadhi na akufanyie wepesi wa kuingia jannah kama unavyo ifanyia haki wepesi wa kufahamika

  • @HabibuMudhwahir
    @HabibuMudhwahir Před 2 měsíci +1

    Umefeli sanaa

  • @SherallyHussein-tu1nk
    @SherallyHussein-tu1nk Před 3 měsíci +2

    Nyie mpingao maelezo hayo ya Sh. Muhammad Issa, katika watetezi wa Mashiia au Mashiia wenyewe, Cha kufanya ni KULETA HOJA DHIDI YA KAULI YAKE. SI kubwabwaja TU. :- Qul haaatuuu burhaanakum inkuntum Saadiqiin.

  • @HamijeyHamijey
    @HamijeyHamijey Před 4 měsíci +1

    Sheikh umewaambia ukwer hela ndio inamkoroga amemsahau allah

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před rokem +1

    KWELI MASHIA ARUSHA WAMEANZA KUONYESHA MAKUCHA YAO KUPAMBANA NA AHLUSUNNAH WALJAMAA!!

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před rokem +4

    BAKWATA ILIUNDWA KUUSAMBARATISHA UISILAM TANZANIA !!
    LEO WAMEUZA NYUMBA NA PLOT ZA WAKFU ZA WAISLAMU!!

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 Před 4 měsíci

    Allah akuongoze ktk sunna

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 Před 3 měsíci +1

    mpaka mseme mashia ni bora kuliko waisilam wengine , hampambani na mambo mengine kila siku mashia na mashia wana elimu ya kutosha ila ninyi hamna elimu yoyote

  • @user-gp1rj2hp2u
    @user-gp1rj2hp2u Před 2 měsíci

    Yani kweli watu wanawatukana maswahaba munafurai ALLAHU atatuadhibu siku ya kiamaaaa

  • @habibuchakusaga7981
    @habibuchakusaga7981 Před rokem

    Jazaka llaah kheira

  • @user-gp1rj2hp2u
    @user-gp1rj2hp2u Před 2 měsíci

    Hadi huruma watoa comment umu wengi munaonekna ni mashiaaa....badilikeni.

  • @HabibuMudhwahir
    @HabibuMudhwahir Před 2 měsíci +1

    Wewe shiba ukalale

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 Před 3 měsíci +1

    mashia ndio wakweli masuni waongo sana

  • @HabibuMudhwahir
    @HabibuMudhwahir Před 2 měsíci +1

    Hata sisi tulizaliwa tu tulikua hatujui uwahabi

  • @Kekulebenzene
    @Kekulebenzene Před 5 měsíci +2

    Unakuta kuna mtu ana akili zake timamu anawafuata na kuwasikiliza masheikh wa BAKWATA

    • @Kekulebenzene
      @Kekulebenzene Před 5 měsíci +1

      Kama hawaogopi kuwasapoti mashia, wataogopa kuwaongopea waislamu?
      BAKWATA ni sehemu ya kupiga pesa tu

    • @wazirihamisi6484
      @wazirihamisi6484 Před 4 měsíci

      ​@@Kekulebenzenebaarakallahu fiyka

  • @rajabuhashimu-bv8qt
    @rajabuhashimu-bv8qt Před 3 měsíci +1

    Hakuna ulicho ongea ni kupiga kelele tu ongea kwa dalili acha kutupigia kelele

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 Před 3 měsíci

    😀😃😄😁😆🤣😂 shekh anajiwekea kinga ya usalama kwa kuielezea answari inavyofanya kazi zake nchini

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa Před měsícem

    Kumbe Kuna wakati mashia wanakuwa siyo waislam na wakati mwingine ni waislam,nasema haya baada ya kuwaona waislam wengi wakiwasapoti Iran kwamba ni waislam wenao lakini mijadala kama hii mnawakataa kwamba siyo waislam

  • @AbasHabimana
    @AbasHabimana Před 10 dny

    Maneno ya hekma mwenye kutaka kuelewa ataelewa uko sahihi kabisa

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před rokem +3

    BAKWATA WAPATA PESA KWA MASHIA NJAA ZIMEWAWEKA MOYONI BUSTARDS

  • @HabibuMudhwahir
    @HabibuMudhwahir Před 2 měsíci +1

    Wewe rudi darasani ukasome hekima huna elimu yadini

  • @dauddavid6837
    @dauddavid6837 Před 2 měsíci

    Yani huyu anavyoongea anaonesha wazi kwamba hana alijualo kuhusu mashia bali nikuropoka tu

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 Před 3 měsíci

    hamna shekh hapa sasa hivi anawasifu nyerere na madiba wakati alinza kumponda ayatollah khomeini kwa kupinga umagharibi na kusimamisha dola ya kiisilam ya iran , hamna akili hapa bali ni hasira

  • @Sh_Taqee
    @Sh_Taqee Před 3 měsíci

    Huyu ni Mzuri kwa kupiga kelele na ni Jahili.

  • @dauddavid6837
    @dauddavid6837 Před měsícem

    Huyu mzee muongo nyie mawahabi na salafy sindo mmenza kuwatenga wenzenu mkawaita watu wabidaa na makhuraf leo wasema mlikua pamoja mzee acha uongo

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před 3 měsíci +1

    Ukiingia mtandaoni Mawahabi utadhani nchi nzima wamejaa wao ila uhalisia uwahabi wachache sana.
    Mawahabi wazee wa Mtandao

  • @AL-WAARITHUUNTZtv
    @AL-WAARITHUUNTZtv Před 7 měsíci

    Wee mzee wewe hapo unawapaka mafuta .au jamaii gani kwani hiyo jamii mashia hawao we tengeneza nchi yako uhamie

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 Před 3 měsíci

    elimu ndogo haongei kwa kutoka kwenye kitabu cha hadith wala quran bali apapatika toa hoja ya kidini sio kuongea usichokijua . kazi ni kuponda hamna lolote