RADI KWA HEMED JALALA|| USHIA NA UISLAM, NIVITU VIWILI TOFAUTI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Please watch: "ZIFAHAMU SEHEM TANO ZA QUR AN,,, Sheikh Sharif Albashir"
    • ZIFAHAMU SEHEM TANO ZA... -~-

Komentáře • 249

  • @abasijuma6989
    @abasijuma6989 Před 2 lety +3

    Mashia ni mashetani walio vaa joho la uislam

  • @mbanomrage604
    @mbanomrage604 Před rokem +5

    Ushia ni ukafir na hao mashia nimakafiri Hilo halina mjadala. Nashangaa sana kuona mashekhe wakubwa wa Bakwata wakiwakumbatia mashia na kuawatetea

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 10 měsíci +1

    Huyu Mwamba Anajua
    Dadekii Allah akulipe kwa Ujasili wako wa Kuutetea Uislam

  • @Stanbul.Y
    @Stanbul.Y Před rokem +3

    Shukran Shekh watu
    Warekebushi wataelewa InshaAllah

  • @shabanikagobe6744
    @shabanikagobe6744 Před měsícem

    Allah akulipe heri nyingi

  • @mkude
    @mkude Před 2 lety +4

    Mashaallah ALLAH akuhifadhi sheikh kwa kuweka bayana ubaya wa mashia

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem7105 Před 9 měsíci +1

    maneno ya kikafiri kabisa hayo,unawalaani maswahaba hadharani,vipi ww utakua Muislam SubhanaAllah,amkeni bana

  • @muhammadmassoud3576
    @muhammadmassoud3576 Před rokem +3

    Tutasema kwa sauti ya juu mashia ni makafiri wa wazi wazi.

    • @maase2023
      @maase2023 Před 5 měsíci

      Mashia ni waislamu kama sisi masunni acha kuingia kwenye dhambi ww

  • @MbanoMrage
    @MbanoMrage Před 2 měsíci

    Maashaallah Allah akulipe kila la kher. Tuaelewa kabisa mashia ni makafir

  • @jumaibrahim9029
    @jumaibrahim9029 Před rokem +1

    Shukran ya sheikh Allah akujalie kila lakreri

  • @kassimsuleiman733
    @kassimsuleiman733 Před rokem +3

    Mashia wote duniani ni makafiri na kama hamujatubia basi mutaiyona adhabu za Allah.

    • @AzizAziz-le1pj
      @AzizAziz-le1pj Před rokem

      Kasimu Suliman , usiingilie mchezo usioujua huyu Shekh kama kweli Shekh ni mfitinishaji hajui USHIA , ukisoma ukaelewa madhehebu mbalimbali za kiislam basi utagundua HAKUNA DHEHEBU LENYE ADABU NA HESHIMA NA LENYE KUMTAFUTA , KUMUABUDU KWA UNYENYEKEVU MOLA MTUKUFU ILA NI USHIA , Hebu jujadili ewe Kasimu nini ukafiri wa ushia uujuao wewe na uthibitisho wake ????? Ewe kasimu usilishwe matango pori usiwe MNAFIKI tujadili hapa

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 Před rokem

    MUNGU AKUBATIKI SHEIKH WETU KWA KUTUXINDUA JUU YA HAWA MASHIA WAJINGA

  • @haidarykufakunoga5973

    Fii Quruubihim Maradhwi fazahaa dahummu LLAHU Maradhwa.

  • @ommynatkibonge9609
    @ommynatkibonge9609 Před 2 lety +1

    Mi nlijuwa mhuni anayodalili Ya kutowalaani abubakar na Umar na Aisha mungu awalaani

    • @abeidpazia1720
      @abeidpazia1720 Před rokem

      Utalaaniwa ww mashia woote ni makafiri..Bora mkristo Ana unafuu mkubwa.. maana aweza silimu jeee Shia ataslimu wapi

  • @rashidmwaita5163
    @rashidmwaita5163 Před 2 lety +4

    Fanya mjadala wa uso kwa uso na jalala ndo utajua huna elimu

  • @AliMohamed-gv7nw
    @AliMohamed-gv7nw Před 2 lety +5

    Mashia nimakafiri kazi yao kutukana maswahaba tu

  • @saidmbaruok2731
    @saidmbaruok2731 Před rokem +1

    Ukimkubali Allah subhaana wataala na mtume wake alafu ukawakataa baadhi ya maswahaha bas wew si muislam

  • @mbanomrage604
    @mbanomrage604 Před rokem +1

    Mashia sio wenzetu. Shekh sharifu hata ukitoa ushahid lkn Bado mashia watakupinga kwakua wameshashibishwa ushia lkn mashia Ni makafiri Hilo halipingiki. Mashia wanatumia nguvu nyingi kuusambaza ushia Hadi pesa wanatumia tunashukuru mashekhe zetu Kwa kitupa elimu kuhusu mashia

  • @alannceasar3444
    @alannceasar3444 Před 2 lety +2

    Mashia hawatukani maswahaba

  • @AdamuMkimbu-x1q
    @AdamuMkimbu-x1q Před 17 dny

    Duuuu

  • @alannceasar3444
    @alannceasar3444 Před 2 lety +2

    Wacha kuedite vibaya ayatu llahi sayyid gani wacha amalize

  • @hassanimangare8966
    @hassanimangare8966 Před rokem

    Ukiswali katika tashahhd sema Allahumma swalli ala Muhammad tu bas, usipotia waala aali Muhammad huna swala hivi, hujui aali Muhammad ni pamoja Alii. Isome vizuri qur an utamjua Alii ninani. Ukishindwa njoo nikufundishe.

  • @khuswayikidaghanya6321
    @khuswayikidaghanya6321 Před měsícem

    TUNAOMBA MDAHALO WA WEWE NA SHEKHE JALALA TAFADHAL SHEKHE WETU ILI TUUUJUE UKWELI ZAIDI

  • @chaposhamo8970
    @chaposhamo8970 Před 2 lety +5

    ndo maana jina lake ni jalala takakata

  • @pambwemaulidpambwe5526
    @pambwemaulidpambwe5526 Před rokem +1

    Ukisoma na kuelewa utaamini kuwa MASHIA sio waislamu wapo sawa tu na Makadiani@ Ahmadiyya. Hakuna mjadala hapo wao sio waislamu. wana shahada zaidi ya tatu

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 Před rokem

    KWAHIYO YEYE MWENYEWE RASUL MUHAMMAD SALALWAHU ALIHIWASALAM YEYE NI NANI SHIYA AU ALL SUNNA

  • @feisal6592
    @feisal6592 Před rokem +2

    Ushia ni uislamu full Shia n mim nanavyi juwa shia ni imamu wanayomfuta

  • @SaidKatuga-qx1xr
    @SaidKatuga-qx1xr Před 2 měsíci

    Mashia wanajijua kabisa kuwa Ni wa motoni ila wamekhiari maisha ya dunyaa na ibilis alayhi laana kawazuga kwelikweli hawana nguvu ibilisi kawateka vilivyo.mimi niliwasikia wamtaja Ally (r.a)kuwa mtume nikawapa Aya ya 40 Qur'an Al ahzab ghafla wakaruka eti hapana hatusemi Ni mtume ,Hawa kweli Ni MAKUFFAR kabisaaaaaa!!!! La shakka.

  • @hasanainkhalid5367
    @hasanainkhalid5367 Před 2 lety

    Wewe shekh unamatatizo umesomea comedi unatuletea comed

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 Před 2 lety +1

    Safi sana, wapige hao washenzi

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 Před rokem +1

    Lakini black shia hawajipigi visu, wala hawana sauti ya kuwatusi masahaba na mama Aisha, kwa sababu wao si mashia wa mioyo, ni maslahi tu.
    Mashia white naona ndio wana huo ukafiri.

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 Před 9 dny

    Alafu kiongozi wa bakwata ndiyo marafiki wakubwa wa Mashia

  • @hassanheresiwambura8341
    @hassanheresiwambura8341 Před 2 lety +2

    Mashallah shekh nimekuelewa sana

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 Před rokem

    WALIKUWA WASIMAMISHWE HAWA WASIINGIE MSIKITI WA AL SUNNA WAWE NA MISIKITI YAO TU BASI NA WASIPEWE NAFASI KUZUNGUMZA KWA KUWAPOTOSHA WAISILAMU WA AL SUNNA KWA NGUVU SANA NA WAJIKAZA KWA KUWAPOTOSHA WAZANZIBARI WALIKUWA HAKUNA MASHIA SASAIVI WANAWAKE WENGI WANAINGIYA KWENYE USHIA

  • @khalfanhemed4808
    @khalfanhemed4808 Před 2 lety +1

    Mashaalah Allah akuzidishie kheri shekhunaa

  • @HamadHamduni
    @HamadHamduni Před 5 měsíci

    Mashia hata mfanye Nini,hamuwezi kuuthibitisha ushia kua ni uislaamu,kwasababu ushia uko kinyume na Quran na suna

  • @kitaaofficial4119
    @kitaaofficial4119 Před rokem

    HIZI NDIO FITNA ZA MADHEHEBU..!! UISLAMU NI KUMUAMINI ALLAH NA MTUME MUHAMMAD (SAW)
    TAKBIIR

  • @hamynas
    @hamynas Před 2 lety +1

    unachofanya siyo uadllifu wala haq
    unatafuta vipande pande vya mawaidha ya sheikh jalala halafu unamsingizia sheikh jalala

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 Před rokem +2

    MASHIA WANA SURA ZA MBWA NA NGURUWE

  • @abasiismaili167
    @abasiismaili167 Před 2 lety +1

    Ndugu we umechokaa

  • @mustafaibrahim5200
    @mustafaibrahim5200 Před 4 měsíci

    na mwenye mashaka juu ya ukafiri wa mashia huenda naye ni katika wao

  • @issambamba9236
    @issambamba9236 Před 10 měsíci

    Hivi we mpuvu ndo unapatikanawapi?

  • @feisal6592
    @feisal6592 Před rokem

    Aslmku muoombaa m,uguu hachipo

  • @HamadHamduni
    @HamadHamduni Před 5 měsíci

    Huyo jalala mungu amlaani

  • @ramadhanitwahili6837
    @ramadhanitwahili6837 Před rokem

    Njaaa tu uyo shehe jalala wanasema jibrii alikosea kumpa utume muhamadi eti alitakiwa kupewa utume ni saydina ahalii jibrii kasea akampa muhamadi kweli hawa mashia wanakili timam malaika sio viumbe wenye hila kama sisi binadam, Allah awaongoze kwenye heli

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 Před 2 lety +1

    kAMA SYYEDNA ABUBAKAR ALIRIDHIWA NA MTUME KUWA KHALIFA MBONA WAISILAMU WALIMCHAGUA KWA KUMPIGIA KURA KULE KWENYE UWANGA WA SAKIFA , NA MBONA ALI HAKUTOA BAIYA KWA ABU BAKARI MPAKA ALIPOPITA MIEZI SITA , JARIBU KUFIKIRI SIO KUKURUPUKA.

  • @dottosaidy457
    @dottosaidy457 Před 2 lety +2

    Ahsante kwa elimi

  • @khamisptrany9393
    @khamisptrany9393 Před rokem

    Ndugu yangu haifai kukatakata maneno ukajenga ufaham mbovu na ukawazulia watu

  • @ommynatkibonge9609
    @ommynatkibonge9609 Před 2 lety

    Tahriif ilifanyika kwenye kwenye mpangiliyo ya ayah...sura ya kwanza kuteremka ni ipi???

  • @salusuleiman1437
    @salusuleiman1437 Před 2 lety +1

    Asalam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh

    • @salusuleiman1437
      @salusuleiman1437 Před 2 lety

      Ivo mbona jamani uislam munaifanya ni ngumu sas cc tulio kua hatujui kusoma tuwaelewe wpi ety jamani munatuchanganya akili

  • @jumamohamed1233
    @jumamohamed1233 Před 2 lety +2

    WEWE UNAUPUNGUFU WA AKILI, YAANI UMEWEKA VIPANDE VYA MAWAIDHA UKASEMA MASHIA WANAWATUKANA MASWAHABA KWA VIPANDE HIVYO, HUYO MWANAWACHUONI WA KISHIA ALIKUWA ANANUKUU MANENO YA WATU WALIOKUWA WANASEMA MASWAHABA WA MTUME WAMELAANIWA, HIVI MTU AKINUKUU NDIYE ANAKUWA AMESEMA?

    • @SHEIKHMWAIPOPOTV
      @SHEIKHMWAIPOPOTV Před 2 lety +2

      Muongo wewe huna elimu tatizo ni Hilo nimekuona unakata maneno Mimi swari dogo tu mashia Kama ni makafiri mbona wanaenda hija kafiri anaweza kwenda hija mbona mnawachanganya watu

    • @SHEIKHMWAIPOPOTV
      @SHEIKHMWAIPOPOTV Před 2 lety +2

      Hivi kafiri anaweza kufunga ramadhani hebu Pima hayo kwanza ndio uenderee

    • @maalimjobe7636
      @maalimjobe7636 Před 2 lety

      @@SHEIKHMWAIPOPOTV .ndivyo mnavyodanganywa.kufanya jema kisha ukafanya kufru unabaki kuwa muislam au unakuwa umekufuru?angalia quran suuratut tawba aya ya 65-66"......je Allaah na alama zake na mtume wake mnafanyia mzaha?msilete udhuru leo mmekwishakufuru baada kuwa waumin,..........."hao wanaoambia wamekufuru walitoa shahada,waliswali,walihij ,walifunga nk.msisema msilolijua juu ya dini ya Allaah

    • @shalbaonlinetv
      @shalbaonlinetv  Před rokem

      @@SHEIKHMWAIPOPOTV tatizo lako ni upofu wa kuona na uziwi wakusikia na uvivu wakusoma

  • @maase2023
    @maase2023 Před 5 měsíci

    Ww unajiita ustaaz kwa hsani yako katafute kazi ingine ufanye tu lkn hili la dini acha kabisa maana huna elimu

  • @feisal6592
    @feisal6592 Před rokem

    Lniliswali ndani ya msikituu mpaka mmojaa waonakaniuliza wew ninShia nikamjibu mim ni muislam kamili karithika na majibubyangu akanijibu tunakuomba ukuje ukuwe Shia nikamjibu mim nimuislam

  • @machoguhamery3731
    @machoguhamery3731 Před rokem

    Hakika yule Mungu aliyemwambia Musa na Msafara wake toka Misri baada ya kuliona jeshi la Firaun. mbele bahari ya shamu,nyuma jeshi ya Farao hakika. Musa na bana Israel wakapata hofu kubwa.Musa akaijaa hofu ya watu wake.Mungu akamshushia ujasiri akamwambia: Musa " Simameni kimya hakika hawa wamisri na jeshi lao mnaloliona leo hamtaliona milele"Walahi jeshi lote la Firauni waliangamizwa wote. Leo tunawaona Waislamu waliokuwa wakinadi kuwa dini yao ni Dini ya kweli ya Mwenyezi Mungu wakawa ni wenye kuwatukana sana Wakristo kuwa ni Makafiri na kuwa biblia sio kitabu cha Mwenyezi Mungu. Leo wanatukanana wao kwa wao wakiitana kuwa ni makafiri na koruani yao imefanyiwa tahalif maana yake imebatirishwa.Wamegeuzisna panga wao kwa wao.Hakika Mungu wa Wakristo ndiye Mungu wa kweli tumfuateni.

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 Před 2 lety +1

    Mashia niwahuni nazaidi nimakafiri

  • @katomaendeka5798
    @katomaendeka5798 Před rokem +2

    Mada zako azina mashiko

  • @jumajuma1324
    @jumajuma1324 Před rokem

    Hayo nimijikafiri tushayajua hayatupumbazi

  • @mahmud_chilu
    @mahmud_chilu Před 2 lety +1

    unalipwa bei ngapi inayoshinda malipo ya Mola wako? mpaka ufanye fitna namna hii kijana

  • @allymohamed2724
    @allymohamed2724 Před rokem

    Kumbuka hata BARA ARABU vazi rasmi ni kanzu. Iwe kwa Mwiislam. Mpagani. Mkiristo. Utamaduni ndo huo hukooo

  • @aunbandali
    @aunbandali Před 2 lety

    Unapotoa mifano basi pia uweke link za hizo videos ili tuweze kusikia kikamilifu kuliko kuchagua kinachokupendeza. Huo sio uislamu unaofanya.

  • @khamisomary7428
    @khamisomary7428 Před rokem +1

    Tunaomba clip nzima
    Tunajua hilo ulilofanya

  • @user-ox9cu9hx2r
    @user-ox9cu9hx2r Před 5 měsíci

    Ayaturajim iko wapi mimi sio shia

  • @khamisihamadi629
    @khamisihamadi629 Před 4 měsíci

    Umeelewa taharfu ya Quran hapo

  • @adnaankhanbhai7057
    @adnaankhanbhai7057 Před rokem

    Nyie mashia mwatakiwa mu uliwe kwaza kabla ya mayahudi

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 Před rokem +1

    HAWA MASHIA NI BALAA SANA. NI WASHENZI NA WANAFIKI.

  • @jailaniramadhan1788
    @jailaniramadhan1788 Před 2 lety +2

    Unatafuta umaarufu tu we

  • @ssalimsalim3864
    @ssalimsalim3864 Před rokem

    Sasa tatizo liko wapi??
    mbona mnahukumiana?Quran ni maneno ya mw/mungu,hukumu anayetoa mw/mungu sasa kila mtu asali na aombe anavyojua na mw/mungu sub-hanahu wataala yeye ndie atae toa hukum who was right and who was wrong,sasa kama ni makafir kama ulivyowaita QUESTION: Kwani makafir wanaruhusiwa kwenda kuhij Maka?? acheni kutuzingua.

  • @aishaally2611
    @aishaally2611 Před 2 lety

    We sheikh ni mpuuzi sana,Eti Sayyid na Ali ni mtu tu katika uislam,muulize Othman Maalim akueleza fadhila za Sayyid na Ali

    • @hashimsaid5546
      @hashimsaid5546 Před 2 lety

      Kwani sayyidna Ally ni Nani Kama sio mtu tu swahaba tu wa mtume Kama wengine Hana la ziada kuwazidi kina aboubakar na omary hawafikii hata kidogo

  • @shurahbiil9988
    @shurahbiil9988 Před 2 lety +1

    Shekhe endelea kuwabainisha hao makafiri wa kishia

  • @mrishomrisho5349
    @mrishomrisho5349 Před 2 lety

    shukran sheikh

  • @asriyaaljabry27
    @asriyaaljabry27 Před rokem

    Bila shaka katika madhehebu ya shia kuna tofauti kati yao wapo hawatukani maswahaba wala mama yetu Aisha radhi za Allah ziwafikie ila hoja iko kwa wale wanatukana maswahaba na bi Aisha wanaojiona wako tofauti warudi kwa Allah Allah Rahim

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Před rokem

      unaweza ukatujuza nani anatukana na nan awatukani?

  • @almurajjabuaswabbu250
    @almurajjabuaswabbu250 Před 2 lety +2

    Kuonesha hujui unachokifanya hata aayatullah udhmaa huelewi

  • @venancegaspatv1961
    @venancegaspatv1961 Před 2 lety +3

    na wakazibadilisha aya za Quran.........hakuwa anamaanisha AYA ZA QURAN ZIMEBADILISHWA ALIKUWA ANAONGELEA SUALA TOFAUTI NA UNALOZUNGUMZIA,umeweka nusu video kuupendezesha uongo wako

    • @jamalsalum8726
      @jamalsalum8726 Před rokem

      Kwani Mashia Golo nyie mnasemaje kuhusu Maswahaba wa Mtume(SAW)

  • @allykagoma5168
    @allykagoma5168 Před 2 lety +4

    Mm nadhani mjipange vizuri hapa naona mnafanya dhulma mwite Jalala ufanye nae muhadhara kama unajiamini kweli badala ya kuweka clip vipande vipande.

    • @ramadhanimtetu7246
      @ramadhanimtetu7246 Před 2 lety +1

      JALALA HAWEZI MJADALA
      ALIKIMBIAGA MJADALA KULE ILALA SHARIFU SHAMBA

    • @abuukauthar4607
      @abuukauthar4607 Před rokem +1

      Mashia yatosha kua ni viumbe wa Shari kwa kuwatusi kwao maswahaba na wakeze pamoja na kuitakidi kua qur an ni pungufu

    • @alikassukunha7667
      @alikassukunha7667 Před rokem

      Ww kafir tu

    • @mtorosenga1272
      @mtorosenga1272 Před rokem

      Wewe hujaelewa nini hapo?

  • @user-wu5dk2jd2r
    @user-wu5dk2jd2r Před 3 měsíci

    Huna elimu hata kidogo ww Kaa na jalala ana kwa ana uone moto

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Před 2 lety +4

    Mashia wahindi wanawatumia hawa Waswahili wenzetu kutupoteza

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 Před 2 lety

    Ustaadhi tubainishie Zaidi na Zaidi tuzidi kuwajua hawa Jamaa

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 Před 2 lety +2

    Huyu kijana ni mshenzi kweli.yani anachukua kipande cha clip cha sheikh Jalala akielezea watu wanaosema takhriful Quran alafu anadai jalala anakubali taarifu.labda kichaa ndo atasubscribe Chanel hii ya fitna

    • @brmtvtibaasili8289
      @brmtvtibaasili8289 Před 2 lety

      Ww ndio mshenzi mshiia ww tena mshenzi na nusu

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 2 lety

      @@brmtvtibaasili8289 unajua hadith ya mtume inayo sema kuwa utamjua muumin kwa jinsi anavyo mpenda Ali na utamjua mnafiki kwa jinsi anavyomchukia imama Ali.vitabu vinaonyesha abubakar,omar na aisha walimbughudhi sana Imam Ali.kwahiyo wao ni kina nani?....

    • @chaposhamo8970
      @chaposhamo8970 Před 2 lety

      hawa wanaokana kuwa sheikh hasemi ukweli either hawataki kuuona ukweli au ni maiti hai wanaotembea

    • @maalimjobe7636
      @maalimjobe7636 Před 2 lety

      @@abiabi9353 umesahau kuwa umar amemuoa mtoto wa ally?ummukuluthum

  • @ismailnasibu49
    @ismailnasibu49 Před 2 lety +2

    Wewe sheikh subir jahannam tu. Huwez kukata clip na kutengeneza fitna..
    Hakuna shaka juu ya waislaam kwamba qur ani imefanyiwa taharif, ila mjadala unakuja katika suala la aina ya tahrif.
    Iy0 taarif ya qur an ni ya aina gani?

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 Před rokem

    WABAKI NA USHIA WAO
    WATUACHE NA UISLAM WETU

  • @halimamatola5483
    @halimamatola5483 Před rokem

    Waongeaji mmekua wengi mnapotosha watu.
    Mwenye elimu hakimbilii MITANDAO.
    Nyote nyie mpo kwa maslahi ya dunia tu.
    Kwann msiulizane wenyewe nyinyi kwa nyinyiwenye elimu ya dini?
    Maana yake nn kuja ktk mitandao?

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před rokem

    Hao ni washenzi sana

  • @HamadHamduni
    @HamadHamduni Před 5 měsíci

    Huyo jalala ni kafiri mkubwa,Dunia inamdanganya

  • @eidallyeidally5093
    @eidallyeidally5093 Před 2 lety

    Shekh ungetaja maraajigh ili tunaojifunza tupate rejeaa

  • @d-maxplatnumz8849
    @d-maxplatnumz8849 Před 9 měsíci

    Ushia ni ukafiri.

  • @muhmmadilutando9561
    @muhmmadilutando9561 Před 2 lety +3

    Ushia ni ukafiri wa wazi kabisa

  • @abdulkarimmavuo645
    @abdulkarimmavuo645 Před rokem

    Shia makafiri, Makkah Yao ni Qom, Madina Yao ni Karbala. Mtume (s.a.w) alikwenda lini Qom,Karbala au Mashahd kuhiji? Sasa kama mtume hakwenda huko,mashia waenda Kwa kumuiga nani huko ? Mashia wajibu hili.

  • @asomasom9666
    @asomasom9666 Před rokem

    Mda Zina badilisha wao walikuwa wapi kama sio ukafiri tuu

  • @kaporokaporo4982
    @kaporokaporo4982 Před rokem

    Midahalo ya aina yeyote, Kati ya dini na dini, dhehebu na dhehebu, ife, kubakie kukumbushana. Hli likishindikana, kila mmoja ashike lake, MUAMUZI NI JALALI.

  • @athmanidi7388
    @athmanidi7388 Před rokem

    Alama za MTU mnafik NI tatu. Unazo zote. Waulize waliokuwa SAGIFA kumchagua Abubak SAGIFA soma.

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Před rokem

    Shia si waislamu. Msifanye nao mdahalo kama waislamu, bali kama makafiri. Mnawapa platform na mnahalalisha itikadi zao potofu kwa kukaa nao pamoja. Ndio wanavyotaka wao, waonekame mainstream. Wakati umefika kuwatenga na kusema wazi wazi kuwa shia si waislamu.

  • @ommynatkibonge9609
    @ommynatkibonge9609 Před 2 lety

    Aya Ya mwisho Ya qur'an ni ipi??

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Před rokem

      ni kweli kweli kwamba kuna sura mbili ziliondolewa kwny quran katika itikadi za kishia?

  • @mugabekazimiriam6693
    @mugabekazimiriam6693 Před 2 lety

    sam time watu watakua wana sema kweli kua mna lipwa kuliko kutoa mafunzo ya mwenyezi emungu na mtume wake

  • @yusuphsasamalo504
    @yusuphsasamalo504 Před rokem

    Mbona ayatollah ludma hukumalizia ni nani ?

  • @nasrisaidi7175
    @nasrisaidi7175 Před 2 lety +1

    WEWE KAMA UNATUKUMBUSHA TU LAKINI HAKUNA MUISLAMU ASIEJUA KAMA MASHIA NI MAKAFIRI NA WAKICHINJA NYAMA HIO HAILIWI LABDA AWE HAJIELEWI

    • @rehemathoya1887
      @rehemathoya1887 Před 2 lety

      Uislamu wala haujui ww na mkristo sawa

    • @alhajibakari9157
      @alhajibakari9157 Před 2 lety

      Yaani huyu jamaa anashindwa hata kusimamia madai yake dhidi ya ishia
      pili Hayo maneno ya ibn hanafiya aliyoyasema kuwa eti imamu Ali asema sio chochote ktika hii dunia masunni pia hawaamini jambo hilo

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA3211 Před 2 lety

    Wote mazezeta wapumbavu mtume Muhammad alikuwa muislam tu hakuwa Shia, Sunn, Aswal,Suf wote matapel tu

  • @maasaingorongoro3799
    @maasaingorongoro3799 Před 2 lety

    Acheni tusubiri hiyo siku ya hukumu, mbivu na mbichi zitajulikana kazi yenu hiyo ya kukufurishana na kumilikishana pepo na mmeacha mamia kwa maelfu ya watu wanakufa bila DINI, kwani mganyiko/ makundi katika UISILAMU, MTUME s.a.w alisha yasema wazi, sasa cha kusikitisha mtetea watu wachache walio wengi wanaangamia 🤔

  • @mugabekazimiriam6693
    @mugabekazimiriam6693 Před 2 lety

    hivi kweli nyinyi kama waislam wapi aya aima khadith inayo kuruhusu kumtukana

  • @ramadhanimwajamvi4957

    Hauna akili shekh

  • @twalibsaid2614
    @twalibsaid2614 Před rokem

    Were ni mbumbumbu unambitious jalala out of context huo ni unafiq wa kimuawia na ya zidi.