- 654
- 1 401 317
SHALBA OnlineTV
Tanzania
Registrace 28. 10. 2019
SHALBA Onlinetv_ ni Chanel ya kiislam (Islamic Chanel tv online) dhumuni yake nikuelimisha jamii na kuwarekebisha watu pale wanapokosea taratibu za Mungu, furahia nasi Darsa mawaidha navisomo vya Ruqya(Dua) kila kukicha.
SHALBA Onlinetv_ is an Islamic Chanel (Islamic Chanel tv online) whose purpose is to educate the community and correct people when they violate God's laws, enjoy with us Darsa reminders and lessons of Ruqya (Dua) every morning.
SHALBA Onlinetv_ هي قناة إسلامية شانيل (قناة شانيل الإسلامية على الإنترنت) والغرض منها هو تثقيف المجتمع وتصحيح الناس عندما يخالفون قوانين الله ، واستمتع معنا بتذكيرات درسية ودروس الرقية(الدعاء) كل صباح.
SHALBA Onlinetv_ is an Islamic Chanel (Islamic Chanel tv online) whose purpose is to educate the community and correct people when they violate God's laws, enjoy with us Darsa reminders and lessons of Ruqya (Dua) every morning.
SHALBA Onlinetv_ هي قناة إسلامية شانيل (قناة شانيل الإسلامية على الإنترنت) والغرض منها هو تثقيف المجتمع وتصحيح الناس عندما يخالفون قوانين الله ، واستمتع معنا بتذكيرات درسية ودروس الرقية(الدعاء) كل صباح.
𝕊𝕚𝕠 𝕊𝕚𝕒𝕤𝕒 𝕓𝕒𝕝𝕚 𝕦𝕞𝕞𝕒 𝕦𝕞𝕖𝕞𝕦𝕚𝕥𝕚𝕜𝕚𝕒 𝕄𝕥𝕦𝕞𝕖 𝕄𝕠𝕙𝕒𝕞𝕞𝕒𝕕 𝒮.𝒶.𝒲
𝕊𝕚𝕠 𝕊𝕚𝕒𝕤𝕒 𝕓𝕒𝕝𝕚 𝕦𝕞𝕞𝕒 𝕦𝕞𝕖𝕞𝕦𝕚𝕥𝕚𝕜𝕚𝕒 𝕄𝕥𝕦𝕞𝕖 𝕄𝕠𝕙𝕒𝕞𝕞𝕒𝕕 𝒮.𝒶.𝒲
zhlédnutí: 77
Video
𝑴𝒘𝒂𝒏𝒂𝒎𝒌𝒆 𝒖𝒌𝒊𝒔𝒉𝒊𝒌𝒂 𝒎𝒊𝒎𝒃𝒂 𝒍𝒂𝒛𝒊𝒎𝒂 𝒎𝒕𝒐𝒕𝒐 𝒘𝒂𝒌𝒐 𝒂𝒌𝒖𝒕𝒘𝒆 𝒏𝒂 𝒎𝒂𝒎𝒃𝒐 𝒎𝒂 𝒏𝒏𝒆 |4| 𝚂𝚑𝚎𝚒𝚔𝚑 𝚂𝚑𝚊𝚛𝚒𝚏 𝙰𝚕𝚋𝚊𝚜𝚑𝚒𝚛
zhlédnutí 159Před 19 hodinami
𝑴𝒘𝒂𝒏𝒂𝒎𝒌𝒆 𝒖𝒌𝒊𝒔𝒉𝒊𝒌𝒂 𝒎𝒊𝒎𝒃𝒂 𝒍𝒂𝒛𝒊𝒎𝒂 𝒎𝒕𝒐𝒕𝒐 𝒘𝒂𝒌𝒐 𝒂𝒌𝒖𝒕𝒘𝒆 𝒏𝒂 𝒎𝒂𝒎𝒃𝒐 𝒎𝒂 𝒏𝒏𝒆 |4| 𝚂𝚑𝚎𝚒𝚔𝚑 𝚂𝚑𝚊𝚛𝚒𝚏 𝙰𝚕𝚋𝚊𝚜𝚑𝚒𝚛
ʜɪɪ ɴɪᴋᴡᴀ ᴡᴀɴᴀᴜᴍᴇ ᴡᴇɴʏᴇ ᴀᴋɪʟɪ ᴛᴜ || 𝚂𝙷𝙴𝙸𝙺𝙷 𝚂𝙷𝙰𝚁𝙸𝙵 𝙰𝙻𝙱𝙰𝚂𝙷𝙸𝚁
zhlédnutí 167Před dnem
ʜɪɪ ɴɪᴋᴡᴀ ᴡᴀɴᴀᴜᴍᴇ ᴡᴇɴʏᴇ ᴀᴋɪʟɪ ᴛᴜ || 𝚂𝙷𝙴𝙸𝙺𝙷 𝚂𝙷𝙰𝚁𝙸𝙵 𝙰𝙻𝙱𝙰𝚂𝙷𝙸𝚁
𝚠𝚊𝚒𝚗𝚐𝚒𝚕𝚒𝚎𝚗𝚒 𝚠𝚊𝚔𝚎 𝚣𝚎𝚗𝚞 𝚟𝚢𝚘𝚟𝚢𝚘𝚝𝚎 𝚖𝚙𝚎𝚗𝚍𝚊𝚟𝚢𝚘 || 𝑺𝒉𝒆𝒊𝒌𝒉 𝑺𝒉𝒂𝒓𝒊𝒇 𝑨𝒍𝒃𝒂𝒔𝒉𝒊𝒓
zhlédnutí 263Před dnem
𝚠𝚊𝚒𝚗𝚐𝚒𝚕𝚒𝚎𝚗𝚒 𝚠𝚊𝚔𝚎 𝚣𝚎𝚗𝚞 𝚟𝚢𝚘𝚟𝚢𝚘𝚝𝚎 𝚖𝚙𝚎𝚗𝚍𝚊𝚟𝚢𝚘 || 𝑺𝒉𝒆𝒊𝒌𝒉 𝑺𝒉𝒂𝒓𝒊𝒇 𝑨𝒍𝒃𝒂𝒔𝒉𝒊𝒓
𝒉𝒂𝒘𝒂 𝒉𝒂𝒘𝒂𝒕𝒐𝒎𝒖𝒐𝒏𝒂 𝑴𝒕𝒖𝒎𝒆 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑸𝒊𝒂𝒎𝒂 || 𝑺𝒉𝒆𝒊𝒌𝒉 𝑺𝒉𝒂𝒓𝒊𝒇 𝑨𝒍𝒃𝒂𝒔𝒉𝒊𝒓
zhlédnutí 153Před dnem
𝒉𝒂𝒘𝒂 𝒉𝒂𝒘𝒂𝒕𝒐𝒎𝒖𝒐𝒏𝒂 𝑴𝒕𝒖𝒎𝒆 𝒔𝒊𝒌 𝒚𝒂 𝑸𝒊𝒂𝒎𝒂 || 𝑺𝒉𝒆𝒊𝒌𝒉 𝑺𝒉𝒂𝒓𝒊𝒇 𝑨𝒍𝒃𝒂𝒔𝒉𝒊𝒓
𝘂𝘀𝗶𝘄𝗮𝗳𝘄𝗮𝘁𝗲 𝗛𝗮𝘄𝗮 𝗺𝗮𝘀𝗮𝗹𝗮𝗳𝗶 𝘄𝗮 𝗺𝗰𝗵𝗼𝗻𝗴𝗼 || 𝑺𝒉𝒆𝒊𝒌𝒉 𝑺𝒉𝒂𝒓𝒊𝒇 𝑨𝒍𝒃𝒂𝒔𝒉𝒊𝒓
zhlédnutí 209Před 14 dny
𝘂𝘀𝗶𝘄𝗮𝗳𝘄𝗮𝘁𝗲 𝗛𝗮𝘄𝗮 𝗺𝗮𝘀𝗮𝗹𝗮𝗳𝗶 𝘄𝗮 𝗺𝗰𝗵𝗼𝗻𝗴𝗼 || 𝑺𝒉𝒆𝒊𝒌𝒉 𝑺𝒉𝒂𝒓𝒊𝒇 𝑨𝒍𝒃𝒂𝒔𝒉𝒊𝒓
JINI HUYU ALIMTUMA SWAHABA KWA MTUME || SH.SHARF ALBASHIR (sawaad bin Qaarib)
zhlédnutí 127Před 14 dny
JINI HUYU ALIMTUMA SWAHABA KWA MTUME || SH.SHARF ALBASHIR (sawaad bin Qaarib)
NDIO MAANA MALAIKA HAWAKUPEWA JINSIA #sheikhsharifalbashir
zhlédnutí 99Před 21 dnem
NDIO MAANA MALAIKA HAWAKUPEWA JINSIA #sheikhsharifalbashir
USTADH kamlaghai msichana kwa kupigiwa ramli #sheikhsharifalbashir
zhlédnutí 186Před 21 dnem
USTADH kamlaghai msichana kwa kupigiwa ramli #sheikhsharifalbashir
Kulia unapomuomba Allah ni Ishara yakujibiwa Dua yako
zhlédnutí 145Před 21 dnem
Kulia unapomuomba Allah ni Ishara yakujibiwa Dua yako
ZIDISHA IBADA (HAKUNA UBAYAA) Sheikh Sharif Albashir
zhlédnutí 88Před 21 dnem
ZIDISHA IBADA (HAKUNA UBAYAA) Sheikh Sharif Albashir
DUA HII KUBWA SANA || unatapika uchawi papohapo || inaondoa maumivu papohapo || Sharif Albashir
zhlédnutí 128Před měsícem
DUA HII KUBWA SANA || unatapika uchawi papohapo || inaondoa maumivu papohapo || Sharif Albashir
QUR AN SIYO MATESA KWETU WAISLAM || Sheikh Sharif Albashir
zhlédnutí 97Před měsícem
QUR AN SIYO MATESA KWETU WAISLAM || Sheikh Sharif Albashir
DU'A MUJIIR || inaondoa nuksi || unafutiwa dambi zako|| unafungukiwa rizki #sheikhsharifalbashir
zhlédnutí 87Před měsícem
DU'A MUJIIR || inaondoa nuksi || unafutiwa dambi zako|| unafungukiwa rizki #sheikhsharifalbashir
KUNA WAFU WANAOTEMBEA DUNIANI ||SHARIF ALBASHIR
zhlédnutí 205Před měsícem
KUNA WAFU WANAOTEMBEA DUNIANI ||SHARIF ALBASHIR
uki zini namke wamtu Lodge mke wako ataziniwa chooni #mawaidha #shalbatv #sheikhsharifalbashir
zhlédnutí 129Před měsícem
uki zini namke wamtu Lodge mke wako ataziniwa chooni #mawaidha #shalbatv #sheikhsharifalbashir
usiwafwate masheikh wanaowasema vibaya watu wanaomtukuza Allah || #sheikhsharifalbashir
zhlédnutí 2,2KPřed měsícem
usiwafwate masheikh wanaowasema vibaya watu wanaomtukuza Allah || #sheikhsharifalbashir
KAMA MKE WAKO ANAFANYA KAZI || WEWE MWANAUME NI DHAIFU NAHUWEZI KUMHUDUMIA MKE WAKO
zhlédnutí 273Před měsícem
KAMA MKE WAKO ANAFANYA KAZI || WEWE MWANAUME NI DHAIFU NAHUWEZI KUMHUDUMIA MKE WAKO
maji machafu ukeni || kukosa hisia || na kuumwa wakati wakuona hedhi hii nihatari sana kwa mwanamke
zhlédnutí 113Před měsícem
maji machafu ukeni || kukosa hisia || na kuumwa wakati wakuona hedhi hii nihatari sana kwa mwanamke
nyota inakaa sehemu gani kwenye mwili wa mwana Adamu || sh.sharif albashir
zhlédnutí 164Před měsícem
nyota inakaa sehemu gani kwenye mwili wa mwana Adamu || sh.sharif albashir
AYA TATU ZA QUR AN || USIPO ZISINGATIA UNAAGAMIA || SH. SHARIF ALBASHIR
zhlédnutí 175Před měsícem
AYA TATU ZA QUR AN || USIPO ZISINGATIA UNAAGAMIA || SH. SHARIF ALBASHIR
OMBA UPEWE VITU VIWILI {2} || SH.SHARIF ALBASHIR
zhlédnutí 109Před měsícem
OMBA UPEWE VITU VIWILI {2} || SH.SHARIF ALBASHIR
UKISOMA AYA HII UNAFANIKIWA PAPO HAPO ||SH.SHARIF ALBASHIR
zhlédnutí 296Před měsícem
UKISOMA AYA HII UNAFANIKIWA PAPO HAPO ||SH.SHARIF ALBASHIR
Zifaham herufi saba (7) za usomaji wa Qur an ||sheikh sharif albashir
zhlédnutí 116Před měsícem
Zifaham herufi saba (7) za usomaji wa Qur an ||sheikh sharif albashir
Mashia waja na Qur an yao mpya Jalala Haamini Qur an iliopo ||sheikh sharif albashir
zhlédnutí 203Před měsícem
Mashia waja na Qur an yao mpya Jalala Haamini Qur an iliopo ||sheikh sharif albashir
Mtume Muhammad Hajaumbwa kutokana na udongo ||sheikh sharif albashir
zhlédnutí 315Před měsícem
Mtume Muhammad Hajaumbwa kutokana na udongo ||sheikh sharif albashir
Ana jitangaza eti yeye ndiye mtume Muhammad
zhlédnutí 9KPřed měsícem
Ana jitangaza eti yeye ndiye mtume Muhammad
Huyu ni mjinga jiepushe naye || sheikh sharif albashir
zhlédnutí 126Před 2 měsíci
Huyu ni mjinga jiepushe naye || sheikh sharif albashir
Mwanaume mlaghai na mwanamke mpumbavu || sheikh sharif albashir
zhlédnutí 137Před 2 měsíci
Mwanaume mlaghai na mwanamke mpumbavu || sheikh sharif albashir
kuajiriwa ni utumwa || Muajiriwa ni Mtumwa ||sheikh sharif albashir
zhlédnutí 110Před 2 měsíci
kuajiriwa ni utumwa || Muajiriwa ni Mtumwa ||sheikh sharif albashir
Mbn mashia wanakaa kwa mshangao ivo nikama wanataka kukimbia
Mashia: wanaambiwa wanawatukana wake za mtume na maswahaba zake. Kosa hilo linawafanya mpaka watolewe ndani ya dini. Kisa ni utukufu wao mbele za mtume na Allah. Mawahabi: wanawatukana wazazi wa mtume na kuwasifu wake zake na masahaba zake. NB: Tusi kubwa ni kumjaalia mja wa Allah kuwa ana laana na hawez kuzipata rehema zake. Ivi jamani mizozo itaisha lini? Sufi: Bidaa katika maulidi na mengineyo ila bidaa zao zipo ktk fiq hi. Wahabi: Tawheed wamezitawhidisha mpaka kufikia tatu. Bidaa ktk aqida. Yaani msingi wa imani. Mawahabi mnayaona ya wenzenu wakati yenu ni makubwa zaidi?. Tusomeni jaman Allah alituachie dini sahihi na sio hizi za mitaala ya kizayuni.
thin headed people God can't be religious Jesus was didn't have a religion religion can't make you get to heaven God is not a Muslim or a Christian Jesus is the way
Mwalimu ndacha kweli uko na hekima
Astaqfirullah,, inna lillahi wainna ileyhi rajiun, laana ya Allah iwe juu yako,, huyu kafiri anafaa kukatwa kichwa, laana tullah 😭😭
mashia ndo waliazisha maulid na hitima lau kama mtume angelifanya haya mbele ya maswahaba ingekuwa bora zaidi na mtume amefiwa na mke wake bi hadija na watoto wake hatujaona kwamba alikuwa akiwasomea maiti kuruani
mashekhe wengi wanazungumza kwa machungu sana na ukitazama kila mmoja unaweza kumwami ni maana wote wako sawa na waislamu kwa kuwa hatutaki kufuatilia elimu ya dini ni haki mtu kutokujua bidaaa
hizi ni alama za kiama kama walivyotabiri mitume watu watagombana wao kwa wao kama walivyobishana watu wa zama zilizopita
nashauri waislamu tutaangamia maana kimwanandani ni hatari sana kikubwa ndugu islamu hakuna kitu bora kama swala tusimamishe swala na yale aliyotuamrisha umma huu hakuna mtume wala nabii ni bali ni kufuata yale aliyotuachia mtume wa allah
.maulama wa karne hii ni mtihani sana na mashekhe wanaodai ni wachambuzi wa vitabu ndoo hao mtihani maana baadhi yao huhalalisha bidaa kuwa ni bora kuliko quruani na sunna hata mtume aliwaona watu wa namna hiyo na kuwakataza kufanya hivyo kinyume na mtume
Msomaji power
Ndacha power
Kafiri mazinge amekomeshwa
Bakwata hawana maana pesa mbili moto wanao
Mbavu moya see it from king villa tv
Ata kama mnautuhumu ushia na mashia ipo haja ya matusi? Hivi ninyi mnao comment mmesoma sana hata mnaona matusi ndo elimu ya kuwapambanulia watu waende kinyume na ushia? Aya ya tatu ktk surat hujjirat inatueleza wazi kwamba hata mtu fasik akitujia na habar kwanza tuichunguze vyema tusije tukaipuuza na kujuta baadae kabla hatujaeneza uongo, hivi mmesoma sana ninyi? Na hata huo usuni mnaodai ndo dini iliyo sahihi Allah na mtume wake wanawafundisha kuwa muwatukane wenye mitazamo tofauti na yenu? Mtume alitabiri juu ya mchipuko wa madhehebu 73 vipi imani yenu ni kwamba ninyi mko sawa tu mbona msisome mkapata uyakini wa mambo kabla hamjaanza matusi. Wallah hii haikubaliki ktk dini na mwombeni Allah amuepushe na chuki mfano huu inshallah
Vp
Ndacha mkaidi jamani dah akili yake inajua kama uislamu ni dini ya haki lakin hakubali#
Kumbe MAWAHABI AKILI HAWARUHUSIWI KUTUMIA AKILI. IMAM ALIKUA CHINI YA UTAWALA WA ABUUBAKAR,OMAR. UTAWALA NA UONGOZI NI VITU VIWILI TOFAUTI
Aliyoeleza JALALA KUHUSU syd ALI ...je ni KWELI!???
Amezungumza SHIA tumeoneshwa JALALA,CHA AJABU ANAONGEA WAHABI BADO TUNAONEHSWA JALALA. HUYO ALI MUNAE MUELEWA NYIE MUELEZENI,PENGINE NI TOFAUTI. KWANI HATA MTUME MUNAVYOMUELEZA NYINYI NI TOFAUT KABISA NA MTUME ANAVYOELEZWA NA MASHIA
MASHIA NA WASIOKUA MASHIA KUNA TOFAUT KUBWA YA UELEWA KUHUSU UONGOZI. NA KUMSALIA MTUME...mashia Lazima wakimsalia Mtume lazima waseme Waalihi. Lakini Bidaa kubwa ya USUNNI NI KUFUNGA DUA KWA KUSEMA WASWAHABIHI BADALA WAALIHI
Ngoma Droo Kumbe nanyi Mumeweka nguzo ya saba ya IMANI, KUTETEA MASAHABA KWANI KUTUKANA MASAHABA HUMTOA MTU KWENYE IMANI...AMA DHAMBI YA KUTUKANA TU. AMA KUTUKANANA NI DHAMBI KUBWA KULIKO KUUA. ANGALIZO TU: Kura zenu Hazisaidii Chochote kwenye CHAGUZI ZETU. ALAA KUMBE MASHIA WALIKUWEPO TOKEA VITA VYA ALI NA MUAWIYA...KUMBE NI DHEHEBU LA ZAMANI KABLA uwahabi na Salafi
ALLAHU AKBAR ALLAH AKUHIFADH AKULINDE UKWEL MUTUPU NA MUSEMA KWELI NI KIPENZI CHA ALLAH....❤❤❤
Elimisha hyo budaa
Hahaha tafaakari na utengue kauli zako
MBONA MAWAHABI WANAONGELEA GIZANI HAWAONEKANI!! HIYO NI AIBU WANAOGOPA KUONEKANA KWA NINI!!
Shekhe weka mamba yasimu tuchukue mama mm naishi namashiia🎉🎉
Ndacha, Mungu akubariki sana. Tena sana
inshaaaaalah
Mashaa Allah
Acheni ujinga nyie matapeli
Hata baba yako alimtapeli mama yako ndio ukazaliwa kibwebgo
@@mafaatihuonlinetv5477 Alla akusamehe na akuongoze na akuonyeshe usio yaona katika haqqi
@@mafaatihuonlinetv5477 mmmh
Duuuh UONGO HUOOOOO UNAPAA
❤ ALLAH AKBAR ❤️ JAZAKALLAHU KHEIR MASHEIK
Pelekeni ujinga huko shehe zima unaongea utadhani una elimu na hshia. Eti wanamuabudu husein. Acha kupotosha watu kwaajili ya chuki. Usisambaze uongo shehe mzima utakuja kujibu mbele ya mungu. Acheni chuki nyie mawahabi maana mnajiona kama nyie ndio mtaingia peponi kwa kuona wenzenu makafiri.
Alafu kiongozi wa bakwata ndiyo marafiki wakubwa wa Mashia
Ila miminaonaka kilamtu anae jiita mweslam aenezi ama ama anataka kua mfumu aumlozi kwasababu zaidi yaayo sioni yengine dili wapiuliona dini onanunua watu?
Asante sana Mungu akutunze
Waalimu hawa wanaapa kwa uongo..bure kabisa!!
Niliskia dacha nikatoka uislam mbio Sana, bwana yesu asifiwe saaana
😂😂😂 Laughing at Mazinge
Asalam aleykum shekh shariff nakuomba ufike na garissa tunakuhitaji sana
Allah akufanyie wepesi... Akujarie kila leny kheri.... Amar zako utazikut kwa Allah inshallah 🤲
Batiza mtu pastor plz 🙏
Jazakharau kher
🙏🙏
Mashallah
Semoga sehat sllu panjang umur beliau amiin yra
Matanya penuh cahaya masya Allah
Masya Allah matanya bening