SHEIKH MZIWANDA AWALIPUA MASHIA ATOA SIRI ZAO ~ DINI HAIITAJI UJANJAUJANJA ~ PESA ZITATUUA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024

Komentáře • 53

  • @masoudrashidmohammed4124

    Maa sha Allah shukran habibi Mziwanda wape vitu hao wenye kupenda dunia ukweli ndio Allah kashamaliza kusema zamani piga vitasa kuliko hivyo

  • @mjedamjeda4734
    @mjedamjeda4734 Před rokem +1

    Mashaallah mashaallah nakupenda sana shekh wg mziwanda

  • @ajumaakange1483
    @ajumaakange1483 Před rokem

    Shekhe Allaah akulinde Isha allaah 🙏 🙏🙏 tuko nyumayako

  • @suleimansaidi6913
    @suleimansaidi6913 Před rokem

    Allah akupe umri mrefu wenye KHERI tupambane nao hao tupo nyuma yako shekh

  • @islahil3878
    @islahil3878 Před rokem

    Shukran shekhe wangu kwaku sema ukweli nakupenda sana shekhe pia Mawahabi utupe ukweli wao nao wako sawa shekhe?

  • @thuwaibahassan5225
    @thuwaibahassan5225 Před rokem

    Mashaallah Allah akuhifadhi sheikh wetu mziwanda Allah akujalie msimamo wako uendlee hivohivo na Allah atakulinda na wabaya wako....

  • @abduwahabi7019
    @abduwahabi7019 Před rokem

    Shekhe njoo ktk usalafi hayo unayo yasema wanaoyatekeleza nisisi masalafi njoo tutakuhami karibu sana

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja Před měsícem

    Ust mziwandaa asemaa kweli kabsaa Hao masha ni watu wa pesa

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 Před 3 dny

    Masheikh zetu wakisalafi peke yao ndiyo wanao simamia haqi peke yao.

  • @abuunajmah404
    @abuunajmah404 Před rokem

    Aisee Allah akulipe kila la kheri baraka allahu fiika
    Ukweli nimefurahi Hawa mashia woote niwaongo

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa6054 Před rokem

    Allah. Akuhifadh sheikh Mziwanda

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 Před 3 dny

    Dini ahitaji ujanja ujanja....mziwanda unafanya ujanja ujanja katika dini. Jitenge na bakwata tutakujua kama wewe unatetea haqi na sio tumbo lako. Bakwata ni Tawi la Mashia....babake Mo Dewji...ana ushawishi mkwubwa Bakwata. Na Vile vile Mr Dewji ni Kiongozi mkubwa wa Mashia Tanzania.

  • @husenimmussa6479
    @husenimmussa6479 Před rokem

    بارك الله فيك

  • @sulekato4330
    @sulekato4330 Před rokem

    Naaam
    Maa Shaa Allah

  • @huseinhamidu7367
    @huseinhamidu7367 Před rokem

    Shehe wetu upo sahii Sana Yan mashia hawawezagi kukujibu hata siku moja zaidi yakukutusi tu Ila ukweli wangu unaongeaga point sana

  • @jamalmohamed2559
    @jamalmohamed2559 Před rokem

    Mungu akulinde shekhe letu

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 Před rokem

    انشاء الله شكرا.

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 Před 3 dny

    Aya kumbe unazijuwa Sheikh Mzuwanda, lakini matendo yako na hizo Aya baina ya mbingu na Ardhi. Mtu yupo katika dini ya rafiki yake. Marafikizako tuna wajua kwa hiyo dini yako wewe aupo katika mstari wa kisawasawa. Umepinda Sheikh.

  • @omaryteddy535
    @omaryteddy535 Před rokem

    Mashaallah

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 Před 3 dny

    Maulid ni sehemu ya kufuwata matamanio. Kwa hiyo jitadhimini mkubwa. Ubwabwa wa maulid unaupenda Sheikh Mziwanda.

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 Před 4 měsíci +1

    hamna shekh hapa unafuata akida ya uongo halafu hakuna kitu kwenye quran kwa unachokifuata

  • @khamischega2418
    @khamischega2418 Před rokem

    Sahihi mwamba

  • @jujanreeves6925
    @jujanreeves6925 Před 10 měsíci

    Lkn kwenye maulid Khitma na Arobaini mmechukua kutoka kwa Mashia nyinyi Masufi hilo vipi

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 Před rokem

    Bakwata hawataki ukweli wanatka kula kwa jina la dini lkn dini kwao haina thamani

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 Před 3 dny

    Jiangalie mziwanda na hao Mashia unao wasema Sheikh wako mkuu wa Tanzania ndiyo vipenzi wake. Na wewe upo nao pamoja vile vile. Jiangalie.

  • @abdililahahmed3095
    @abdililahahmed3095 Před rokem

    Sheikh Muharam upo sahihi kabisa, niliwahi kusali swala ya Eid kwenye msikiti wao Kigoma, kabisa nilitoka pale nilijiona hamna kitu, wana vitissue paper wanagawiana na mawe yani vurugu mechi.

  • @alwyjahdhamy8094
    @alwyjahdhamy8094 Před rokem

    Hio kauli ni dhaifu shekhe mziwanda katika biharul anwar. Umejibiwa kuhusu hio kauli ya Ali ibn Hussein.

  • @husseinmohamedjama6316

    Mimi huwa najiuliza sana hawa jamaa ni dini gani hiyo inayoruhusu kujipiga mapanga kichwani na usoni kwa kukumbuka kifo cha Imam Hussein?

  • @wakizimbaniwakizimbani6596

    Wambie ukweli hao vijisenti vina matatizo.

  • @user-wu5dk2jd2r
    @user-wu5dk2jd2r Před 9 měsíci

    Huna elimu yoyote ww njoo nikupe dogo langu tu akufundishe din

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 Před rokem

    Ninachojua huyu sheikh huwa mtu kunyoosha tu.nyeupe nyeupe kama nyeusi nyeusi

  • @masoudrashidmohammed4124

    Habibi kipenzi chetu Mziwanda tunakuomba ndg zako au wanao hao usiwajibu ww waachie tuu ila ukiona hivyo jiwe limewapiga gizani vitasa kwenda mbele tuu

  • @kingbassai5329
    @kingbassai5329 Před rokem

    Sheikh kishki talaka tatu

  • @SHAFIIAbdully
    @SHAFIIAbdully Před rokem

    Shekhe nataka unisomeshe je nakupataje

  • @jafarshossy5830
    @jafarshossy5830 Před rokem

    Shehe mziwanda watuaibisha maaswari wenzio waonekana humuezi kijana wa kishia kwa elimu afadhali unyamaze

    • @rashdhamdun
      @rashdhamdun Před rokem

      We sio answari ni shia acha uongo

    • @shabanhassan9224
      @shabanhassan9224 Před rokem

      Sio kutiabisha anaongea ukweli, Kuna mmoja ktk hao mashia anaitwa sheikh Mohammed mm alikuwa mwalimu wng wa chuon , akapata nafas ya kwenda kusoma mwaka 1996 au 97 ,akatuaga uzur kurudi ndo Kawa shia

  • @abubakarnyere1792
    @abubakarnyere1792 Před rokem +1

    Bahna kila mtu aende upande anao taka, ila ushauli wangu, Muslim tusiishie kuambiwa tu, tusome kwanza kwani ndo maana yakupewa akili na Allah, kama hapo amesema mjukuu wa mtume amesema abubakar na omary ni makafili Sasa wewe unakataa ni yupi wewe, tumia akili apo

    • @mkude
      @mkude Před rokem +4

      Wewe itakuwa unaumwa ugonjwa wa akili maana hata ulichokiandika hakieleweki vizuri,nyoosha maelezo, acha unafiki

    • @ahmadnonela3215
      @ahmadnonela3215 Před rokem +1

      Sheikhe ww umeisha chukuwa mzigo Acha fitina waislam wenzako wapate mzigo kama ulivyopata ww

    • @ahmadnonela3215
      @ahmadnonela3215 Před rokem +1

      Achakuwa kuku

    • @ahmadnonela3215
      @ahmadnonela3215 Před rokem +1

      Elim yako imeishia hapo Ndiyo Maana huwezi kuwaeleza hunak

    • @abubakarnyere1792
      @abubakarnyere1792 Před rokem

      @@ahmadnonela3215 hutaki au