HUU SASA NDIO MJADALA WA MAULIDI ORIGINAL

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 70

  • @user-cv8je6cz9u
    @user-cv8je6cz9u Před 11 měsíci +11

    Nimeupenda kweli kweli huu mnakasha sema mishoni ndio picha ina sumbua ila wezee wetu wa suna wametoka mbali na wamefanya kazi kubwa Sana ya kunusuru suna za mtume Allah awalipe kila la kheri

  • @suleyazidu4991
    @suleyazidu4991 Před 11 měsíci +8

    Allah awarehemu meshekh wote walio tangulia, na awahifadh waliyopo

  • @abubashir3475
    @abubashir3475 Před 11 měsíci +6

    Allah awerehemu mashekhe zetu walokwenda mbele zahaki nawalio hayi Allah awape umri wakheri na awape mwisho mwema mashekhe wapande zote mbili Wana inswaf sio Leo chuki nyingi hawana hikma mambo wanayoyafanya hata wahuni hawawezi kufanya Allah awaongoze

    • @masoud0045
      @masoud0045 Před 10 měsíci

      Hakika ni chuki tu kupandikizana na kuugawa uislam

  • @user-fj3dp2xe4q
    @user-fj3dp2xe4q Před 11 měsíci +4

    Jamani kwani ule mnaqasha ulikua unaelezea furaha au unapinga uongo wa barzanji na maneno yaliyo na shubha za kishirikina nikuulize hao wanyama ni nani aliowaona wakipashana khabari kwa sababu ya mazazi ya bwana mtume s.a.w

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216 Před 10 měsíci +4

    Maulidi yatasomwa mpaka Qiyama na ambae hataki asisome mpaka Qiyama. Dalili tunazo tutasoma inshaAllah

    • @is-haqmf8513
      @is-haqmf8513 Před 10 měsíci

      Swali ni, yatakupeleka wapi?

    • @hashimgola862
      @hashimgola862  Před 10 měsíci +1

      Wewe soma madhali dalili unazo soma TU sh.khalifa

    • @_IBN_RAJAB
      @_IBN_RAJAB Před 10 měsíci +2

      Zina itakuwepo mpaka Qiyama na ambaehataki asiifanye mpaka Qiyama. Dalili zipo za kukataza uzinzi na wengine watazini na Allah atuongoze in sha Allah

    • @abouswaleh7375
      @abouswaleh7375 Před 10 měsíci +1

      Hata walevi mpaka kiyama wataendelea kuwepo licha ya dalili za kukaataza pombe hìi si hoja hata kidogo

    • @darajanida
      @darajanida Před 2 měsíci

      zikowap izo dalili za kukatza maulid

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 11 měsíci +1

    Wekeni kungu zaidi kwenye ushonga na usagaji wazazi kutaka mahari nyingi mwisho wa cku n watoto wa zinaa muamsheni kadhi amelala sna kenya sasa hvi waislimu wanahukumu kesi zao na kitambu chao quran tukufu mwambieni kadhi amkeeee amelaaaa sna aleke sheria kwa kiongozi wa nchi na JAJI MKUU CJ JII N KWA AJILI YA waislimu tu kwenye kutatua kesi zao hii nguvu ongeee hli swala

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216 Před 10 měsíci +4

    جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الحبيب الأستاذ الشيخ باحسن

  • @hassankiloba217
    @hassankiloba217 Před 11 měsíci +4

    Uchache waelim ndiyo 1:01:22 mana hamjuwe kitu maulidi siyo bidaa

  • @ahmadaliabbad1818
    @ahmadaliabbad1818 Před 10 měsíci

    Allah atawalipa kwa jitihada zenu kesho akhira awarahamu na awafutie dhambi zenu. Awaingize peponi kwa rehma zake Allah.
    Amin

  • @universitylink
    @universitylink Před 11 měsíci +5

    Allah awarehemu masheikh wote waliotangulia mbele ya haqi na awasamehe makosa yao na awalipe janatul firdous kwa rehema zake

  • @user-tc8sh2se1q
    @user-tc8sh2se1q Před 11 měsíci +1

    Ule sio munaqasha Yale ni mabishano ya kitoto tu elimu chukueni hapa

  • @suleyazidu4991
    @suleyazidu4991 Před 11 měsíci +2

    Kwelii huu ndo mjadala wa kielimu

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Před 11 měsíci +6

    Subhanallah 😢Allah awaraham mauti wote 😢 Maulidi ni bidaa Tena bidaa chafu 😢

    • @muhibbualii4580
      @muhibbualii4580 Před 11 měsíci

      Quran aliokusanya uthman baada ya kufa Mtume ni bidaa kubwa zaidi.

    • @JRN2612
      @JRN2612 Před 11 měsíci

      ​@@muhibbualii4580wewe mwislamu au?

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 11 měsíci +1

      KUMBE KUNA BIDA'A SAFI NA CHAFU. BASI HUENDA IKAWA SAFI ILA KWA ELIMU YAKO NDIO UMEDHANI CHAFU.

    • @abouswaleh7375
      @abouswaleh7375 Před 10 měsíci

      @@muhibbualii4580 kasome ujue maana ya bidaa ewe ndugu yangu kisha utakuja ona kuwa hicho ulichoandika si sawa kabisa....

  • @harithhemed9920
    @harithhemed9920 Před 11 měsíci +1

    hii ni dini acheni huchukuliwa kwa walioshushiwa na sio ujanja ujanja na utapeli

  • @awatifomar5185
    @awatifomar5185 Před 10 měsíci

    ALLAH NDIE MJUZI ZAIDI ATUONESHE HAKI TUEZE KUIFUATA

  • @ahmadabdallah6641
    @ahmadabdallah6641 Před 11 měsíci +1

    Afadhali kufunga mara mamilioni kuliko kupiga mngoma na kucheza ndombolo kama wenzetu wa dining nyingine

  • @universitylink
    @universitylink Před 11 měsíci +1

    Sheikh Ahmed Zuber na Sheikh Musalaam walivyokuwa vijana ndio Leo namuona Sheikh Msalam Allah awarehemu akiwa kijana

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 Před 11 měsíci +2

    Wallah Hawa mashekhee walikuwa na Inswaaf hawazungumz kichuki kabsa

    • @omarmwabege
      @omarmwabege Před 11 měsíci

      Na Zama zao zimepita

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 Před 11 měsíci

      😢😢

    • @user-cv8je6cz9u
      @user-cv8je6cz9u Před 11 měsíci

      Shekhe juma poli mimi nimesoma kwake kwa hakika huyo mzee ni mpole Sana na anabusara Sana wakat namaliza masomo alituhusia wasia mrefu Sana unao busy maisha ya kuamiliana na waisilam na wasiokuwa waisilamu na wasia mwingine ambao sitasahau mpaka anaingia kaburini ni kunako kutafuta mke unaye landana naye ama hakika kwa hayo huyu mzee amekuwa ni mzazi wangu wa maisha kwa nyasia zake

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před 11 měsíci +4

    Kwani mukiandika maulidi ni bidaa ni kweli lakini ni bidaa hasn sababu bidaa ina aksam vigawanyo ajabu mawahabi wmegawanya tawheed mara tatu na ndio dhambi kubwa kushinda bidaa lakini hawaoni hayo.

    • @saidmohammed2830
      @saidmohammed2830 Před 11 měsíci

      Jee mtume ndio aligawanya hizo aksamu za bidaa Ama ni swahaba gani aliyee sema hayoo bidaa ni bidaah tuuuh Kila Bidah ni upotevu na Kila upotevu ni motoni

    • @rushu1232
      @rushu1232 Před 11 měsíci

      @@saidmohammed2830 nahiyo tawheed tatu Mtume aligawanya au mumekuwa wakirito mungu baba na mwana na roho mtakatifu.

    • @saidmohammed2830
      @saidmohammed2830 Před 11 měsíci

      Shida yako hutaki ukweli waongea na chuki jee ukipata dalili za vigawano vya tauhid utaachaa ..........

    • @rushu1232
      @rushu1232 Před 11 měsíci

      @@saidmohammed2830 namimi nitakuonesha vigawanyo vya bidaa na unioneshe hadithi ya hizo tawheed tatu pia.

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 Před 11 měsíci

      ​@@saidmohammed2830naomba nipatie hyo dalila marhaban

  • @Thestrangers3169
    @Thestrangers3169 Před 11 měsíci +3

    اللهم اهد قوم فإنهم لا يعلمون

  • @saidyusuf9245
    @saidyusuf9245 Před 11 měsíci +4

    ماشاءالله تبارك الله mungu awarehemu masimba wasunnah

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1yd Před 10 měsíci

    Huyu sheikh anazungumzia watu ambao walio buni mambo wakiwa katka wakati bora wa karine 3 ambao mtume wetu Mohammad S.A.W.alizungumzia mimi sina shaka na watu wa wakati bora.karine 3 bora zimekwisha sasa wapiga ngoma kawaleta nani katka dini yetu?

  • @muftiahmadimahmudulemba1918
    @muftiahmadimahmudulemba1918 Před 11 měsíci

    Fundisha mwalimu watu hawaijui kullu كل wanabeba beba tu mambo jumla jumla tusome fani za lugha ili tujue kutafsiri hadiythi na kuifasiri Qur aani

  • @user-hr9kb7ev1i
    @user-hr9kb7ev1i Před 11 měsíci

    Sheikh ambaye hana adaabu na hiqma ilimu yake haifaye yy wala mwengine 😢

  • @bymb9868
    @bymb9868 Před 11 měsíci +1

    😂 walifanya kusudi kuharibu clip...lakini tmfahamu

  • @albabaly8297
    @albabaly8297 Před 11 měsíci +1

    Kuna Jamaa hapo ni shia rafidha

  • @JAFARYMUSSA-bg8mf
    @JAFARYMUSSA-bg8mf Před 11 měsíci

    allah atuongoze

  • @rukandamohamed5161
    @rukandamohamed5161 Před 10 měsíci

    Maashaallaah

  • @shabaniissa3464
    @shabaniissa3464 Před 11 měsíci +1

    Kwani munaqasha wa juzi ulihusu maulid au uongo wa Barazanji ?

  • @user-st8hh5ti3r
    @user-st8hh5ti3r Před 10 měsíci

    Mashallah

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Před 11 měsíci +1

    Maulid ni bid'aa

  • @khamisali9907
    @khamisali9907 Před 11 měsíci

    Mashallahu

  • @fahadAlloufy
    @fahadAlloufy Před 11 měsíci +2

    Mukisema huu ndio original munamaanisha ule wa juzi wa huyu mtu mwenye kibri sio mjadala ni mauzauza tu kwasababu kashindwa kujibu swali au mumekusudia nini??? Mimi sijaelewa hapo

  • @hassankiloba217
    @hassankiloba217 Před 11 měsíci +1

    Maulidi ni Bada siyo haram

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu Před 11 měsíci

      Na maana ya kullu bid'aa fi dhwalaala ni nini? Wajua maana ya neno KULLU ?

    • @user-fq6iw1pb7q
      @user-fq6iw1pb7q Před 11 měsíci

      Hahaha

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu Před 11 měsíci

      Shetwani lazma awapambie mambo ndio muingie mtegoni vizuri hakuna cha bid'aa nzuri

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 11 měsíci

      @@Khalid-mf3iu MAANA YAKE. KILA UZUSHI (WA DINI NA MIUNDO MBINU) NI UPOTEVU, WAKULLU DHALALA FINNAR NA KILA UZUSHI MBAYA UNAKUINGIZA MOTONI

    • @rashidabasi7940
      @rashidabasi7940 Před 10 měsíci

      Someni vijana
      *Shida ni Kullu*
      Pitieni Quran ziko Kullu pia