Asalaam aleyku dini nyepesi tu muongozo tumeachiwa ukienda tofauti na muongozo mwingine allah hautambui tusome ukimsogelea allah allah atakusogelea kwa karibu
mawahabi bhana toa hadithi inayoonesha kwamba maulidi hayafai mtume hakufanya maana mtume alikuwa anafunga kwa kuzawa kwake wewe unataka maulidi gani ukiacha hayo
WANAOPINGA MAULID IQ YAO NI NDOGO NA WANAPASWA WAKASOME ILI WAWE WAELEWA. Kama chuki yao ni watu waliokusanya hii SIRA ktk vitabu na wengine wakaitumia hilo ni suala lao binafsi.
SHIDA NI NINI ? SHIDA NI MAULID AU MKUSANYAJI WA ILE SIRA.? KTK MAULID HUPATIKANA HISTORIA YA MAISHA YA MTUME. JEE NI TATIZO? WATU KUFAHAMISHWA HISTORIA YA MTUME WAO NI KOSA ? Hawa watu wana akili au wanachanganyikiwa ? ❤MAULID YATAKUWEPO DAIMA ASIETAKA AFE❤
@@eddieeddie2755 ww unaye pinga ndio utoe dalili kwamba maulidi hayafai kwa mujibu wa ayaa hii ama hadithi nyinyi mawahabi ilimu yenu ndogo ndio mana hamumuelewi maustadh wa twarika
@fikafikan8484 kwa akili yako basi unaweza kula miraa bangi na heroine maana hamna ktk Quran wala sunna zilipotajwa, NITOLEE USHAHIDI KAMA HAVIFAI 🤣🤣🤣, maulidi yamewaharibu akili hata kufikiri munashindwa.
@@eddieeddie2755 Ww ndio umechanganyikiwa hujui unacho shabikia hao wanaosema maulid ni upuuz wao nao wana upuuzi wako mkubwa kushinda maulid jifunze moja ni hilo la tauhid 3 hajasema mungu mtume wala swahaba ila hao unao washabikia ww wanalo sasa mnao fata mkumbo ndio mnajikuta mfata mihemko ili hali ufahau wenu ni mdogo
Sheikh fadhil ni mwanachuoni (sheikh wake Syd Muhammad albeidh alisikika akitamka hili) linathibitika kila anapokuepo
Muhabi amepigwa haswa
Ma shaa Allah ,imefikia patamu lkn kana kwamba inaendelea twasubiri prt 3.
Allah akulipeni kla khair na akufanyieni wepec ktk lenu jambo
Asalaam aleyku dini nyepesi tu muongozo tumeachiwa ukienda tofauti na muongozo mwingine allah hautambui tusome ukimsogelea allah allah atakusogelea kwa karibu
akasha daawh allah awape kila heri
+Faridah Faa NAWE PIA
Yes kuna ajali zingine ni nzuri maana hakuna waliopata madhara lkn ni ajali
Mashallah this is niec
mawahabi bhana toa hadithi inayoonesha kwamba maulidi hayafai mtume hakufanya maana mtume alikuwa anafunga kwa kuzawa kwake wewe unataka maulidi gani ukiacha hayo
mawahabi kumi hakuna hata mmoja aliyekuja na hadithi maulidi ni haramu
We ulio libeba ndio useme umelitoa wapi? Uibe wewe halafu nikamatwe mimi ?
WANAOPINGA MAULID IQ YAO NI NDOGO NA WANAPASWA WAKASOME ILI WAWE WAELEWA.
Kama chuki yao ni watu waliokusanya hii SIRA ktk vitabu na wengine wakaitumia hilo ni suala lao binafsi.
Jamani mawahabi kwani mtume hakuzawa ?najee hakufunga ?
SHIDA NI NINI ?
SHIDA NI MAULID AU MKUSANYAJI WA ILE SIRA.?
KTK MAULID HUPATIKANA HISTORIA YA MAISHA YA MTUME. JEE NI TATIZO?
WATU KUFAHAMISHWA HISTORIA YA MTUME WAO NI KOSA ?
Hawa watu wana akili au wanachanganyikiwa ?
❤MAULID YATAKUWEPO DAIMA ASIETAKA AFE❤
mashekhe wa maulidi wamekosa dalili hata moja😂😂😂, kweli kuutetea uongo ni sawa na kutaka bahari iwe tamu
Wamekosa dalili kwakua ww umeshajiekea kufata upepo ila ukikaa darsan utajua Allah akuongoze
@@SelemanUbuguyu-cd7hz nyinyi mulio soma si mutupe dalili ktk Quran au Sunna, km nyinyi ni wakweli.
@@eddieeddie2755 ww unaye pinga ndio utoe dalili kwamba maulidi hayafai kwa mujibu wa ayaa hii ama hadithi nyinyi mawahabi ilimu yenu ndogo ndio mana hamumuelewi maustadh wa twarika
@@fikafikan8484 wewe ndio mwenye kidhibiti halafu nishikwe mimi nikatoe ushahidi 🤣🤣🤣 sijawahi kusikia uzuka huu.
@fikafikan8484 kwa akili yako basi unaweza kula miraa bangi na heroine maana hamna ktk Quran wala sunna zilipotajwa, NITOLEE USHAHIDI KAMA HAVIFAI 🤣🤣🤣, maulidi yamewaharibu akili hata kufikiri munashindwa.
Hukmu si jambo la kheir ni useme kama ni sunah,wajibun,mubaha,Makruhu, au haraam
Dini yenyewe uzushi kwani kiongozi hajui atafanyiwa nini. Na alizugwa na kuchezewa akili
kweli maulidi ni uzushi ktk uislam, Allah(s.w.) atulinde ktk uzushi huu na mwingine, alhamdulillah mi nilishajitoa huku ktk upotofu.
na tawhid 3 ni upotevu kumbuka hilo
@@yusufntamila541 tauhid 3 ndio nini? Umechanganyikiwa?
@@eddieeddie2755 Ww ndio umechanganyikiwa hujui unacho shabikia hao wanaosema maulid ni upuuz wao nao wana upuuzi wako mkubwa kushinda maulid jifunze moja ni hilo la tauhid 3 hajasema mungu mtume wala swahaba ila hao unao washabikia ww wanalo sasa mnao fata mkumbo ndio mnajikuta mfata mihemko ili hali ufahau wenu ni mdogo
@@eddieeddie2755kawauluze mashekhe wako wanaupinga maulid yani mawahabi tauhidi wameigawa mara 3 mtume s a w na swahaba wake waligawanya wapi
@@fikafikan8484 si ukawaulize wewe kama unashida nao, mimi inanihusu na nini? Au umechanganyikiwa?