JE MAULID NI HALALI | IKHITILAF | MOSHI TZ PART 2

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • AKASHA DAAWAH CHANNEL +254 721 310 082

Komentáře • 42

  • @ibrahimjumbe6434
    @ibrahimjumbe6434 Před rokem +4

    Sheikh fadhil ni mwanachuoni (sheikh wake Syd Muhammad albeidh alisikika akitamka hili) linathibitika kila anapokuepo

  • @akashadaawah6071
    @akashadaawah6071 Před 8 lety +1

    Ma shaa Allah ,imefikia patamu lkn kana kwamba inaendelea twasubiri prt 3.
    Allah akulipeni kla khair na akufanyieni wepec ktk lenu jambo

  • @jarshekhar8854
    @jarshekhar8854 Před 2 lety

    Asalaam aleyku dini nyepesi tu muongozo tumeachiwa ukienda tofauti na muongozo mwingine allah hautambui tusome ukimsogelea allah allah atakusogelea kwa karibu

  • @faridahfaa8856
    @faridahfaa8856 Před 8 lety +2

    akasha daawh allah awape kila heri

  • @mybabyarchive2104
    @mybabyarchive2104 Před 3 lety +1

    Yes kuna ajali zingine ni nzuri maana hakuna waliopata madhara lkn ni ajali

  • @shaniabrar2508
    @shaniabrar2508 Před 8 lety +1

    Mashallah this is niec

  • @JabirBakar-ys8dw
    @JabirBakar-ys8dw Před rokem +2

    mawahabi bhana toa hadithi inayoonesha kwamba maulidi hayafai mtume hakufanya maana mtume alikuwa anafunga kwa kuzawa kwake wewe unataka maulidi gani ukiacha hayo

  • @JabirBakar-ys8dw
    @JabirBakar-ys8dw Před rokem +2

    mawahabi kumi hakuna hata mmoja aliyekuja na hadithi maulidi ni haramu

    • @eddieeddie2755
      @eddieeddie2755 Před rokem +1

      We ulio libeba ndio useme umelitoa wapi? Uibe wewe halafu nikamatwe mimi ?

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 Před 11 měsíci

    WANAOPINGA MAULID IQ YAO NI NDOGO NA WANAPASWA WAKASOME ILI WAWE WAELEWA.
    Kama chuki yao ni watu waliokusanya hii SIRA ktk vitabu na wengine wakaitumia hilo ni suala lao binafsi.

  • @saidikipoto1090
    @saidikipoto1090 Před 11 měsíci

    Jamani mawahabi kwani mtume hakuzawa ?najee hakufunga ?

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 Před 11 měsíci

    SHIDA NI NINI ?
    SHIDA NI MAULID AU MKUSANYAJI WA ILE SIRA.?
    KTK MAULID HUPATIKANA HISTORIA YA MAISHA YA MTUME. JEE NI TATIZO?
    WATU KUFAHAMISHWA HISTORIA YA MTUME WAO NI KOSA ?
    Hawa watu wana akili au wanachanganyikiwa ?
    ❤MAULID YATAKUWEPO DAIMA ASIETAKA AFE❤

  • @eddieeddie2755
    @eddieeddie2755 Před 8 lety +3

    mashekhe wa maulidi wamekosa dalili hata moja😂😂😂, kweli kuutetea uongo ni sawa na kutaka bahari iwe tamu

    • @SelemanUbuguyu-cd7hz
      @SelemanUbuguyu-cd7hz Před rokem +2

      Wamekosa dalili kwakua ww umeshajiekea kufata upepo ila ukikaa darsan utajua Allah akuongoze

    • @eddieeddie2755
      @eddieeddie2755 Před rokem +2

      @@SelemanUbuguyu-cd7hz nyinyi mulio soma si mutupe dalili ktk Quran au Sunna, km nyinyi ni wakweli.

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Před rokem +2

      @@eddieeddie2755 ww unaye pinga ndio utoe dalili kwamba maulidi hayafai kwa mujibu wa ayaa hii ama hadithi nyinyi mawahabi ilimu yenu ndogo ndio mana hamumuelewi maustadh wa twarika

    • @eddieeddie2755
      @eddieeddie2755 Před rokem

      @@fikafikan8484 wewe ndio mwenye kidhibiti halafu nishikwe mimi nikatoe ushahidi 🤣🤣🤣 sijawahi kusikia uzuka huu.

    • @eddieeddie2755
      @eddieeddie2755 Před rokem +1

      @fikafikan8484 kwa akili yako basi unaweza kula miraa bangi na heroine maana hamna ktk Quran wala sunna zilipotajwa, NITOLEE USHAHIDI KAMA HAVIFAI 🤣🤣🤣, maulidi yamewaharibu akili hata kufikiri munashindwa.

  • @universitylink
    @universitylink Před rokem

    Hukmu si jambo la kheir ni useme kama ni sunah,wajibun,mubaha,Makruhu, au haraam

  • @rapafata1108
    @rapafata1108 Před 6 lety

    Dini yenyewe uzushi kwani kiongozi hajui atafanyiwa nini. Na alizugwa na kuchezewa akili

  • @eddieeddie2755
    @eddieeddie2755 Před 8 lety +2

    kweli maulidi ni uzushi ktk uislam, Allah(s.w.) atulinde ktk uzushi huu na mwingine, alhamdulillah mi nilishajitoa huku ktk upotofu.

    • @yusufntamila541
      @yusufntamila541 Před rokem

      na tawhid 3 ni upotevu kumbuka hilo

    • @eddieeddie2755
      @eddieeddie2755 Před rokem

      @@yusufntamila541 tauhid 3 ndio nini? Umechanganyikiwa?

    • @yusufntamila541
      @yusufntamila541 Před rokem

      @@eddieeddie2755 Ww ndio umechanganyikiwa hujui unacho shabikia hao wanaosema maulid ni upuuz wao nao wana upuuzi wako mkubwa kushinda maulid jifunze moja ni hilo la tauhid 3 hajasema mungu mtume wala swahaba ila hao unao washabikia ww wanalo sasa mnao fata mkumbo ndio mnajikuta mfata mihemko ili hali ufahau wenu ni mdogo

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Před rokem

      ​@@eddieeddie2755kawauluze mashekhe wako wanaupinga maulid yani mawahabi tauhidi wameigawa mara 3 mtume s a w na swahaba wake waligawanya wapi

    • @eddieeddie2755
      @eddieeddie2755 Před rokem

      @@fikafikan8484 si ukawaulize wewe kama unashida nao, mimi inanihusu na nini? Au umechanganyikiwa?