JE MAULID NI BIDAA AU JAIZ NO.1 AMIR FARID

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • #jtvznz#

Komentáře • 227

  • @maallimumusa6085
    @maallimumusa6085 Před 10 měsíci +1

    Ukisha kuwa swufi allah anaondoa ufaahamu

  • @swalehahmed5061
    @swalehahmed5061 Před 10 měsíci +2

    ALLAHALLAH S.W AKUHIFADHI HABIB NAKILA SHARI AKUPE NA UMRI MREFU WA TWAA NA TAWBA ALLAHUMMA AAMIIN

  • @kitosio
    @kitosio Před 10 měsíci +1

    Shekh Faridi tuwekee Bayana. Maulidi NI Ibada au Mubaha.

  • @masshaka
    @masshaka Před 10 měsíci +2

    Mashehe wa uamsho wote ni watu wa maulidi😂. Washavuruga kule kwenye siasa, sasa wanaona waje wachafue hali ya hewa huku😂😂. Hadith inasema, mtawafuata manasara na mayahudi kila kitu, hata kama wataingia kwenye shimo la kenge😢.

  • @shara8256
    @shara8256 Před 10 měsíci +4

    Allahumma swalli a'laa Muhammad

  • @user-dy5mm6er8m
    @user-dy5mm6er8m Před 10 měsíci +2

    shukran she Kwa kutuelimisha Allah akubariki

  • @saidmadai2828
    @saidmadai2828 Před 10 měsíci +1

    Barakallahu fiiyk . Wallah nyinyi ndio hao warith w mitume inshaallah Mungu awalipe kheyr kw kz mnayoifanya ktk umma

  • @user-ys1kb7zk6k
    @user-ys1kb7zk6k Před 10 měsíci +3

    جزاك الله خيرًا أيها الشيخ حفظك الله ورعاك

  • @allymahaba3425
    @allymahaba3425 Před 10 měsíci +2

    Allah (SWT) Akujaze kheri sheikh.

  • @alifakimati9614
    @alifakimati9614 Před 10 měsíci +1

    Mola akubariki sheikh wetu umeingia kotekote .

  • @rashidsaid9409
    @rashidsaid9409 Před 10 měsíci +1

    Hakika hii dini nielimu. Basi tuangalie hio elimu ya dini tunachukua kwa watu gani. Haya ni maneno ya Ibnu siiriiin Allah amrehemu. Kweli haiba ya mtu sio yaliyokuwemo moyoni make. You Allah atuongoe ktka njia ya haqqi. Amin.

    • @user-mg1mi3uw3g
      @user-mg1mi3uw3g Před 10 měsíci

      Hizi ni moja katika pingu za fikra na mawazo ambazo matelef taleh huwatia watumwa wao ili wabakie wawabudu wao
      Bali muisilam ambiwa usijali nani kasema bali jali nini kasema

  • @user-iv6hx2xv3t
    @user-iv6hx2xv3t Před 10 měsíci +2

    Shekh umemaliza bando langu hata sielewii iunazungumza nini

    • @Naaam353
      @Naaam353 Před 10 měsíci

      Sikiliza kwa umakini uelimike achana na udogma,chuki na kasumba

    • @abdallahdataguy
      @abdallahdataguy Před 10 měsíci

      😂😂😂

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Před 10 měsíci +5

    😂BACHU. Kamaloliza yani kwasasA mpaka Makafiri wanajua kua MAULID HAIMO KTK QURAN NA SUNNA SAHIHI BADO NYIE TU MAZINGE KASHINDWA KUJIBU SWALI HUKO .

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor Před 10 měsíci +1

      Kwa sababu bachu na makafiri ni kitu kimoja au

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor Před 10 měsíci +1

      Kweli kamaliza maana Katia aibu linaonekana shehe kumbe hata kusoma halijui ningelikua namfatilia ingelikua mwisho juzi

    • @Naaam353
      @Naaam353 Před 10 měsíci

      Ushabik umepandikizwa kuhakisha mtume hatajwi na asipewe hadh yake

    • @yusufmahadh9595
      @yusufmahadh9595 Před 10 měsíci

      Sikiliza dalili hizo wewe sio fulan. Utafeli ndugu.

    • @IbrahimMachano
      @IbrahimMachano Před 10 měsíci

      Masha llah baraka Allah liy walaku

  • @hajiomar5950
    @hajiomar5950 Před 10 měsíci

    Allah akubarik maalim wetu tumekufahamu sanaaa.allah atakulipa ujira wako

  • @nurasalimu2403
    @nurasalimu2403 Před 10 měsíci +1

    Mashaa Allah shekhe nakupenda kwa ajili ya Allah❤

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa Před 9 měsíci

    Wew shekhe nyoosha ibada lazima iwe na dalili je maulidi ni farabhi au suna au swahabu kasoma uelewa wako mdogo

  • @user-qv5tt7zn8k
    @user-qv5tt7zn8k Před 10 měsíci +2

    Watu Wana kuelew vibaya shekh una mtihan maalim kama utakua unaijua haki alaf una potoa watu Kuna vitu hufunguk vizur Nina Iman ya kua Wana wa zuon Wana nebeshwa mtiahan mzito sana kama wangelikuepo kipindi hiki Kila mmoja ange Kaa pembeni na maulid xio maulid hay shekhe yanayo zumgumzwa hapo ndugu yangu

    • @omaryjumas6327
      @omaryjumas6327 Před 10 měsíci

      Wewe na kaumu yako endeleeni kubeba bango la Ibilisi la kuwakataza watu wasisherehekee ujio wa Mtume halafu bado mjipe tamaa kwamba nyinyi ni Muislamu.
      Ukitaka ushahidi wa hayo angalia jinsi ulimwengu wa makafiri wanavyochukia maadhimisho haya ya ujio wa Mtume halafu na nyinyi eti waislamu mnawaunga mkono makafiri katika kuwakataza watu wasisherehekee ujio wa Mtume.
      Pole sana.

    • @kiumbenatural-ii5jb
      @kiumbenatural-ii5jb Před 10 měsíci

      Hawa ni makafiri hawataki kumsiki mtume hata ktk misikiti yao hawataki kumsalia mtume wakimaliza kusali hukaa imya kama mabubu na kila mmoja hunyanyuka bila kuombeana dua wahuni

    • @nooralhadidi6420
      @nooralhadidi6420 Před 10 měsíci

      ​@@omaryjumas6327kn

    • @jumaa052
      @jumaa052 Před 10 měsíci

      Haya iyo maulidi una ifahamu ww ina faa au haifai ?

    • @abasijuma6989
      @abasijuma6989 Před 10 měsíci

      Bidaa ni jambo ambalo mtume amelikemea vikal vp malaika waitane ktk jambo hilo

  • @mohamedumri4176
    @mohamedumri4176 Před 9 měsíci

    SHEKHE WANGU NAOMBA TUSITOKE KWENYE MADA HIYO KULLU MUHDATHATUN BID-A MASWAHABA WALIWEKA TILES NA FLYOVER MAKKA KATIKA BEITULLAHI HARAAM.

  • @user-mg1mi3uw3g
    @user-mg1mi3uw3g Před 10 měsíci

    Hizi ni moja katika pingu za fikra na mawazo ambazo matelef taleh huwatia watumwa wao ili wabakie wawabudu wao
    Bali muisilam ambiwa usijali nani kasema bali jali nini kasema

  • @user-hk1jy6rl5e
    @user-hk1jy6rl5e Před 10 měsíci +1

    Barakallah shkh

  • @user-ey3bk3pl6k
    @user-ey3bk3pl6k Před 10 měsíci

    Allah akujaalie rehma hapa duniani na akhera

  • @muhidinzuberi8708
    @muhidinzuberi8708 Před 10 měsíci

    Shekhe Allah akujalie kheri darsa nzito sanaa wallah

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 Před 10 měsíci +4

    mimi nashangaa kichwa kama hiki kinatiwa Jela halafu Waislam wanashangiria,kwa akili zangu mimi kama ningelikuwepo Zinjibar watu wapumbavu walipowatia jela hawa walimu mimi ningelitanza jihadi saawa.thanks

    • @user-mq6lu2po3y
      @user-mq6lu2po3y Před 10 měsíci +1

      Wewe nauli si unayo?

    • @mchagagaspar6649
      @mchagagaspar6649 Před 10 měsíci

      WANA SIASA HASA WASIE JUA HAKI NA UKWELI UZITO WAKE WASIMAMIA WAPI ,NDOHAO WALIO WA TIA JELA HAO WATU WALIE TAKA NCHI KAMILI ALLA ATAWALIPIA ( Kikwete n Sheni Magufuri )

    • @solomonadams6337
      @solomonadams6337 Před 10 měsíci

      @@mchagagaspar6649 aliye wapeleka katika nchi ya Tanganyika Alikua ni Seif Ali Idi mtanganyika mwenzao...

    • @centralzonetvtanzania7313
      @centralzonetvtanzania7313 Před 10 měsíci

      Acha chuki

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 10 měsíci

      ​@@solomonadams6337Mungu atalipa kwa kila na namna alivyohusika, usifanye siasa hapa Maalim Seif alikuwa Makamo 1 wa Rais, Marehemu Abubakar Khamis Bakari alikuwa Waziri wa Katiba na Sheria , Mhe. Othman Masoud alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

  • @sja7966
    @sja7966 Před 10 měsíci +2

    Maa Shaa Allah.
    Shukran Sheikh wetu kwa kutuelimisha. Allah akulipe khair

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před 10 měsíci

    VIONGOZI WANAFIKI MADHALIM HAWANA IMANI NA DINI MAJINA YAO TUU YA KIISLAMU LAKINI NYOYO ZAO HAZIPO KATIKA UISLAM.😮😮

  • @muftiahmadimahmudulemba1918
    @muftiahmadimahmudulemba1918 Před 10 měsíci

    Fundisha mwalimu wasio mtakamtume wamefeli na wamechemka kama bidaa hakuna asiefanya wanavyeti walivyopewa nimaprofesa ni madoctor wamesoma madrasa wapimtime kayafanya hayo au maswahabagani nimaprofesa au mtume kawapashahada wapi mtume maswahaba wamefundisha madrasa? sio bidaa hizo kwanimtume au maswahaba wamefanya?

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 Před 10 měsíci +1

    Mashallah. Sheikh leo umemaliza utata wote. Kama kuna wahabi atakayepinga maulid baada ya kusikia clip hii, du basi tumuombee mungu.

    • @YussufSaid-ok4pu
      @YussufSaid-ok4pu Před 10 měsíci

      Sio wahabi t ata maswahaba hawakufanya Maulidi na km wamefanya lete dalili

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 Před 10 měsíci

      ​@@YussufSaid-ok4puLete dalili kuwa jambo hakufanya suhaba lisifamywe na sisi wa ulimwengu huu

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 10 měsíci

      @@YussufSaid-ok4pu Du hapa ndo utagundua ujahili wa mawahabi. Hadith zote zilizotolewa hata ile abu Daudi hawajaisikia.lkn mawahabi wwngi kwasababu ya ujahili wao wanapinga maulidi bila kueleza maulidi nini. Kabla sijakujibu naomba unipe taarifu ya maulid

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 10 měsíci

      @@sadiqselengu4197 ndio, na huo ndio msimamo wa masahaba na wema waliotangulia katika zile karne tatu bora. Je na masahaba walikuwa mawahabi?
      Hadith za mtume zipo kuhusu kuzua ibada. Ibn Masoud (r) anasema jambo lolote ambalo halikuwa Dini kipindi cha mtume saw, halitokuwa Dini hata wakati mwengine wowote

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 10 měsíci

      @@abiabi9353 na hapo ndo utagundua nyinyi masufi ni wapumbavu kama alivyosema imaam Shafy.
      Hivi nyinyi punda wa mashia mnajua zaidi kuliko masahaba wa mtume.
      Hivi ibnu Masoud na wao walikuwa mawahabi? Maana wao very strict katika kukemea uzushi katika Dini.

  • @AbdallahMpemba
    @AbdallahMpemba Před 9 měsíci

    Shkh ww ni mwasiasa kasome dini kwanza

  • @AliDaud-si3fg
    @AliDaud-si3fg Před 10 měsíci +2

    Shehe tunataka nchi yetu 😂😂

    • @mussamgonola3983
      @mussamgonola3983 Před 10 měsíci

      Mhhhhh humtakii mema miaka 8 jela muache ndugu atupe darsa

    • @yasiniselemani3917
      @yasiniselemani3917 Před 10 měsíci

      Acha shekhe afanye dawa na ibada kwa uhuru usitake shekhe aingilie dunia mambo ya nchi awaachie wa siasa

  • @Abdalajumaa-fx6cj
    @Abdalajumaa-fx6cj Před 10 měsíci

    Hakuna jambo zuri linalokuja baada ya mtume likawa ibada ikiwa mtume mwenyewe alionywa na Allaha kuwa akiongeza chochote ktk dini atakamatwa mshipawake ya pumzi masheh angalieni kauli zenu hakuna jambo la ibada litakuja baada ya mtume

  • @mwalimjecha6893
    @mwalimjecha6893 Před 10 měsíci

    Asante tumekuwelewa vyema

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 10 měsíci

    Mimi sikudhani hapo mwanzo yakwamba una jahli kiasi hiki

  • @omarabedi1372
    @omarabedi1372 Před 10 měsíci

    Sheikh allah akulipe umesema ukweli

  • @khasimjeilani5647
    @khasimjeilani5647 Před 10 měsíci

    Jazaka Allahu kheyran

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Před 10 měsíci +1

    Duuh njaa mbaya

  • @saidmadai2828
    @saidmadai2828 Před 10 měsíci +1

    Nyie wengine mlizaliwa n laana ata mupewe dalili gn huwa hamuikubali ila kw itikadi n misimamo kw mnavyovipenda nyinyi 2 ndio vyafaa 😂

    • @saidmadai2828
      @saidmadai2828 Před 10 měsíci

      Ila sheh farid apo kapita mapito ndani y dalili kbs kielimu cy kibalbala km bachu mwanazuoni wenu ata kusoma ibara hajui 😂

  • @salhasadik366
    @salhasadik366 Před 10 měsíci

    Nenda katika alwaafy sherhe ya arbaina nawawy kitabu cha doctor mustwafa albughaa

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 10 měsíci +2

    Hakuna bidaa nzuri .Bidaa zote mbaya.

    • @murtalla2826
      @murtalla2826 Před 10 měsíci +1

      Acha kufata mkumbo kasome kwanza kichwa chungu wewe 😅😅

    • @coolpara8192
      @coolpara8192 Před 10 měsíci

      Una ushahid kuwa hakuna bidaa nzur ?

    • @rashidmohd115
      @rashidmohd115 Před 10 měsíci +1

      Cimu yko yko je ni bidaa gani

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 Před 10 měsíci +1

      Bid'aa na simu tena 😂😂
      Kweli WAJINGA Bado wengi

    • @rashidmohd115
      @rashidmohd115 Před 10 měsíci

      @@ramadhanimtetu3656 ndio dhana yenu kila ambacho hajafanya mtume ni bidaa sasa je mtume alitumia cm,

  • @allymuhammad8956
    @allymuhammad8956 Před 10 měsíci +2

    Anajizonga kweli

  • @omarkanout8684
    @omarkanout8684 Před 10 měsíci

    Masha allah

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před 10 měsíci

    Mimi namnukuu muft khalili kua maulid wati wa mtume ss na wakti wa masahaba mauldi barazanji yalikua hayapo na hata kama tunayapenda haifai kuyafanya faradhi kunawatu hawasali lakni maulid hawayakosi na kudhikiri ndio nini nguzo huwitak unataka jani

  • @w4058
    @w4058 Před 10 měsíci +1

    Ajabu tena Waislam wenzao ndio walowatilia fitna lakini wajuwe kama tudinu tudanu

  • @mkubwamasoud2776
    @mkubwamasoud2776 Před 10 měsíci

    Ugonjwa huo wapi kuna kigawanyo cha bida'a hassan

  • @aliyidrisa1536
    @aliyidrisa1536 Před 10 měsíci

    Mashaalwah

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Před 10 měsíci

    Jee saumu ya ijutatu na alhamisi si sunnah oo bidaa?

  • @salhasadik366
    @salhasadik366 Před 10 měsíci +1

    Unaesema hakuna biidaa nzuri biidaa zote mbaya halafu unakuta mtu huyo anasalia msikiti wenye zuulia mbona husali nje ya msikiti basi kwasababu msikiti wote una vitu vilivyozushwa havikuepo ktk zama za rasuul

    • @earthmanhassan656
      @earthmanhassan656 Před 10 měsíci

      Sharifu wangu usiwe hivyo, bid'aa ni kwa kile kilichoongezwa kwenye ibadah ambacho Mtume Wetu Swalla Allaahu Alayhi Wa Sallam hajakifanya kwenye ibada. Basi uongelee zulia, fan, speaker!!! ujahil huu alhabib

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 Před 10 měsíci

    Ume zungumza vituu vikubwa mnoo, habib!

  • @saidkhamisi9592
    @saidkhamisi9592 Před 10 měsíci

    Kwahiyo unataka kutufahamisha kua watu bora kabisa ambao hawajawahi kutokea na waliishi na Kipenzi chetu Swalallahu alaihi wasalam hawakuliona hili wala wale walioishi Karne 3 bora ambazo amezisema Mtume swalallahu alaihi wasalam iweje baada ya karne ya 5 au 7 ndio waione ibada hii ?.......Haiwi dini jambo hakulifundisha Mtume swalallahu alaihi wasalam hata kama jambo hilo watu weeeengi walipenda..Nas alu llah aafiya wasalama

    • @mrjagenmuuz5704
      @mrjagenmuuz5704 Před 10 měsíci

      Acha ujınga wewe fahamu alıcho kıxungumxa amırı usıwe jahılı muraqab kıla kıtu na wakatı wake mpuuzı wewe kama ufahamu wako ndouko ıvoo hemu nambıe maisha unayoıshı sasahıvı ndomaısha alıyoyaıshı mtume na swahaba xake ??? Kwaıyo maswahaba walishındwa kujıongeza wakavumbua matekenologıa kama haya tunonayo sısı??

    • @HamadMbarouk-xo9et
      @HamadMbarouk-xo9et Před 10 měsíci

      Sheria haisemi hivyo

  • @JumaKhamis-cw8ec
    @JumaKhamis-cw8ec Před 10 měsíci

    Ila leo hawafanyi ivo maalimu wangu wanacheza zefe wanapiga magoma wanakata viuo wanakata keki ya birthday 🎂 ya mtume wanampa sifa sizo tusiwaruhusu shekhe hawa mukiondoka. Nyinyi ndio watazidi

    • @tanzaniaonmzamiloon8627
      @tanzaniaonmzamiloon8627 Před 10 měsíci

      Labda wew ndo unakata vionu na kucheza ngoma

    • @yussuphsaleh767
      @yussuphsaleh767 Před 10 měsíci

      Tatizo kubwa ambalo linaleta utata ni maandiko ya kitabu cha barazanji ,kingetafsiriwa tukaona huo utata uliokuwemo

    • @tanzaniaonmzamiloon8627
      @tanzaniaonmzamiloon8627 Před 10 měsíci

      @@yussuphsaleh767 some dini Kisha utajua maana yake au mtafute shekh akufundishe mwanzo mwisho huenda ukaelewa lakini kiskiza na wewe kupandisha mihemko sio dini lakini kusoma ni wajibu juu ya kila mwislamu sio kusikiliza utachanganywa mpk ukome utajikuta unawachukia watu na kuwaona wamepotea kwasababu ya kiskiliza mimi zamani nilikuwa nasikiliza tu baadhi ya mashekh walikuwa wanawasema vibaya aswaru na kuwaita mawahabi lakini baada ya kusoma nikajua kila mtu ila aminike Kwa watu lazima atafute kasoro za makundi mengine

  • @soudhussein7396
    @soudhussein7396 Před 10 měsíci

    JE MAULID ni IBADA mahali pa kufanyia IBADA ? Vizuri Masheikh, Ma ULAMAA, kwanza mlitazame hilo. Je jambo hilo lina ukweli na ushahidi ? Kama mngalijuwa wala msingebishana juu ya hilo. Ni jambo ambalo

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA3211 Před 10 měsíci

    Sheikh unajuwa Mtume Muhammad s.w. alikuwa mtu mweus? Na hawa waarab weupe ni wa Turuk waliingia kibiashara makka na kufuta kabra la waarab weus walikimbiria Somaria, Sudan paka tunao huku Tanzania Wa Rangi? Unajuwa Hilo!!

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 Před 10 měsíci

    Naam! habib

  • @zamdaswaleh5410
    @zamdaswaleh5410 Před 10 měsíci

    Leo nimeona kua ahlalbayt ni viongozi.
    tumeachiwa Qur na kiongozi baada yake.

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 Před 10 měsíci

    Kwa hivyo Maalim, maulid ni ibada? Kama ulivyo zichambua sala mtu kutosali muda usiotakiwa, kwa sababu ni ibada.
    Yule kijana kasema kitabu barzanji kuna maandiko ni uongo, hebu ajibiwe na tuone, kwa sababu barzanji hakuandika Quran, ni mashairi.

    • @fareedahmad6857
      @fareedahmad6857 Před 9 měsíci +1

      Ikiwa BARZANJI kuna maneno ya uongo tuyaache tusome yaliyosahihi

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Před 10 měsíci +2

    Maulidi n8 sherehe ya kuzaliwa mtume muhammad si haari ya sira wala kumsalia mtume kwani hayo yote yanaweza kufanywa siku yoyote tu si lazima mfunguo sita

  • @mwambashiiddi9295
    @mwambashiiddi9295 Před 10 měsíci +1

    Tuambie wanawachuoni wasawasawa walifasiri hadithi hiyo nikina nanii

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 10 měsíci +1

    We mzee vpi
    Watu hawapingi kumswalia mtume s.a.w
    Watu wanacho pinga yale yaliomo kwenye barzanji yamethibiti?
    Kwa mfano:
    Dalili gani inaonesha wanyama wote na mimea ilitamka wakati mimba ya mtume ilipotunga?
    Je ni kweli mtume anasamehe madhambi?
    Jibu haha acha kujizungusha mzee

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před 10 měsíci

      Na mama Maryam na mama Asia walihudhuria siku ya kuzaliwa Mtume, wakati wakiwa washakufa kwa miaka na miaka, Je ushahidi wa aya ama hadithi ya mtume ipo. Aseme hoja hizo za waulizaji juu ya hizo nyimbo za barzanji.

    • @KassimSaid-qk8sw
      @KassimSaid-qk8sw Před 10 měsíci

      @@Sheba4651kuna vitu vimeelezwa kupitia riwaya mbalix2 kwa usaidizi wa akili hutavikubali,mfano kisa cha mtume kusafiri kwenda israi aliwakuta mitume waliomtangulia kwa karne na makarne na walishakufa akawaongoza katika ibada ya swala unaweza ukajiulza hapo tu juu ya hilo na pia swala ilikuwa ya namna gani na hayo ni masimulizi ya riwaya na hilo unaloliuliza lipo katika riwaya (Hadith )kama kweli unataka kujuwa na si kufanya ubishani unachotakiwa ni kujituliza darasani ujuwe riwaya hizi zilizotumika kumsifia ni za ukweli au za uwongo kwa kuwa hizo riwaya ni elimu tosha,na sio kama tunavyofanya porojo katika mtindo huu,hutopata kufaidika katika mambo hasa yenye kuwachanganya watu na kuchagua kundi la kukaa wakati mtu akiulizwa swali la kielimu anaanza kuyayatika.

    • @HamadMbarouk-xo9et
      @HamadMbarouk-xo9et Před 10 měsíci

      Baiti gani inayozungumza mtume ana FUTA madhambi

    • @HamadMbarouk-xo9et
      @HamadMbarouk-xo9et Před 10 měsíci

      @@Sheba4651 wewe na barzanj nani mwenye elimu

    • @HamadMbarouk-xo9et
      @HamadMbarouk-xo9et Před 10 měsíci

      Unamjua vizur jaafar barzanj au unaropokwa tu

  • @Mh_69rz
    @Mh_69rz Před 10 měsíci +1

    يا الشيخ ما تكثر الكلام ، وحاسب من كلامك ، ولا تخلط الأمور بعضها البعض

    • @fareedahmad6857
      @fareedahmad6857 Před 9 měsíci

      Naona unaikoroga Lugha ya kiarabu.... Sema kwa Kiswahili

  • @unknown-zz8ih
    @unknown-zz8ih Před 10 měsíci +1

    Wanawazuoni ni kina nani mbele ya mtume na maswahaba wake... tufuate nani zaidi mtume au wanazuoni?

    • @swahibually8349
      @swahibually8349 Před 10 měsíci

      Kwa Upande wako,utawezaje kujua Mtume aliyoyafundisha Kama sio kupitia Wanawachuoni? Mtume amesema Wanawachuoni ni warithi wa Mtume,na Wanawachuoni tayari wameshakhitalifiana kwenye hili,je wewe unasemaje? Maana wewe ni mpumbavu mwenye kiwango cha juu sanaa,na nina wasiwasi na Wewe yawezekana ni Kafiri ila umejitangaza kwa jina la KIISILAMU, maana kama huwakubali Wanawachuoni basi Wewe huna tofauti na Ibilisi,yaani maelekezo yote hayo Bado hujaelewa,basi ni Bora maiti kuliko Wewe uliye hai na una Akili ya kipuuzi kama hiyo,au una maelezo yoyote kuhusu uharamu wa Maulidi?

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor Před 10 měsíci +1

      Mtume (S.A.W)anakujibu ni warathatul Anbiyaai juha wewe

    • @ababakryally8827
      @ababakryally8827 Před 10 měsíci

      Juha huyoo hajui

    • @HamadMbarouk-xo9et
      @HamadMbarouk-xo9et Před 10 měsíci

      @@ababakryally8827 kua na adabu unapo fahamishwa

    • @HamadMbarouk-xo9et
      @HamadMbarouk-xo9et Před 10 měsíci

      We unajina la swahaba ebu jitambue

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk Před 10 měsíci

    SISI TULIOTAHIRIWA ZAMANI WAZEE KAMAHAWA NDIO TUNAWALETA NA TUNAWATHAMINI. MANA WAMETUZIDI KI UMRI NA KIUCHAMUNGU PIA. HALAFU LA AJABU KUNA MATU WANAJINASIBU NA UISLAMU WANASEMA MASHEKHEHAWA WA UAMSHO NI WA BIDAÃ . HII ndio hali tuliokuanao khasa kwavijana wasomao miakahii SAUDIA. Jamani VYUOVIKUU VYA KIISLAMU na khutba za IJUMAA za Kiswahili HIZI ni SUMNAAA ?

  • @zuhuramohamed7306
    @zuhuramohamed7306 Před 10 měsíci

    Shekh am so confused kwa haya uliyo yasema so vile maswahaba walivyo kusanyika juu ya kumtaja Allah na mtume wake walikuwa hali gani walikuwa wakipiga dufu au wakichiza?na je hali kama hii watu waki kusanyika juu ya kumdhukuru Allah na kumsifu mtume na kupiga dufu na kucheza je kikao kama hichi pia huwa malaika huwa wanahudhuria dhikri sampuli kama hizi?hapo ndio am so confused kwa haya nilyo yaskka kutoka kwako naomba majibu ili nipate faida pliz...jazakallahu kher

    • @murtalla2826
      @murtalla2826 Před 10 měsíci

      Kwani sheikh kazungumzia dufu au maulidi ama kweli wee kichwa pakacha uliona wap watu wanafanya maulid mfunguo sita alaf wanapiga dufu ndan yake

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 10 měsíci

      ​@@murtalla2826yani hivi ndivyo walivyo mawahabi wote.yani wana akili mgando ndo maana ufahamu wao ni mdogo

    • @zuhuramohamed7306
      @zuhuramohamed7306 Před 10 měsíci

      I think ni swali ndio namuuliza shekh mm hayo mambo ya maulid yasomwe yasisomwe kwangu haini husu ninacho kitafuta ni elman naafian na ahsant kwa kunitusi kwa kuniambia akili yangu kama pakacha mm kama mwislam na kama vile nimetunfisha na mtume wetu swallahu aleihi wassalam tuwe na subra na huruma baina yetu kama waislam so the way u called me ati kichwa changu is like pakacha wallh nakusameh...jazakallahu kheiran

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 10 měsíci

      @@zuhuramohamed7306 labda nikusaidie. Si lazima maulidi yapigwe tufu.hukumu ya maulidi ni mbali na hukumu za dufu ni mbali. Kama unadhani dufu ndiyo shida basi fanya mkusanyiko wako wa maulid bila dufu. Lkn hatahiyo hakuna dalili yoyote ya kuharamisha dufu

    • @murtalla2826
      @murtalla2826 Před 10 měsíci

      @@zuhuramohamed7306 pakacha kweli kweli

  • @user-it3ee7zq2y
    @user-it3ee7zq2y Před 10 měsíci

    Hizo sherehe alizifanya namaswahama wake

  • @Abdalajumaa-fx6cj
    @Abdalajumaa-fx6cj Před 10 měsíci

    Kwaio unawaaminisha waumini maulidi ni ibada

  • @mohammedlipindula5415
    @mohammedlipindula5415 Před 10 měsíci +1

    Sheikh mbona maelezo yako nimengi sana tatizo sio maulidi matendo yanayofanyika ktk hiyo shughuli yenyewe imejaa uongo ndani yake usitete kitu ambacho unachokiona ktk hivyo vitabu

    • @KassimSaid-qk8sw
      @KassimSaid-qk8sw Před 10 měsíci

      Hiyo ni darasa na ukitaka kulijuwa jambo lolote uwelekezwe ni kutulia darasani na kusikiliza na kufahamu na hutoelewa kwa undani wake kwa kupitia mijadala soma pande zote mbili utafungukiwa na kutosumbuka kwa maswali ya nayopita kichwani mara kwa mara na yanayokukatiza.

  • @user-qv5tt7zn8k
    @user-qv5tt7zn8k Před 10 měsíci

    Kam una akili timamu msikilize shekhe alaf ufikilie nimaulid hay ya Sasa tunayo soma sisi hapa

    • @jumaa052
      @jumaa052 Před 10 měsíci

      Kinacho tajwa maulid mtu kama Ana kosea maulid ni yeye ila jambo ni maulid jinsi ya ufanyaj ni jambo jengine ?

  • @cath-ef7wd
    @cath-ef7wd Před 10 měsíci

    Mhh huyu jamaa kakonda na kazeeka

  • @masshaka
    @masshaka Před 10 měsíci

    Mushafungua mlango wa shari, sasa tuendelee wengine wanacheza ngoma, kukata viuno, na upuuzi kibaao. Njama kubwa ya ibilisi ni kukupambia jambo la uovu, ukaliona wewe zuri. Vitabu vya historia ya uongo kuwa samaki waliongea😂😂

    • @Naaam353
      @Naaam353 Před 10 měsíci

      Hujaskiliza uelimike umetanguliza chuki na upinzani

    • @masshaka
      @masshaka Před 10 měsíci

      @@Naaam353 hio unanihukumu. Nimesikiliza kwa makini nilidhan nitapata hoja mpya ambayo sijawah kuiskia, lakini tunazunguka pale pale. Muhim ujue hii ibada ya maulidi walianzisha Mashia. Sie tikaanzisha hitima, wakasema je kusoma Quran ni vibaya. Baadae tukaleta kukaa matanga, kisingizio kuwafariji wafiwa. Na mengineo yanakuja.

    • @Naaam353
      @Naaam353 Před 10 měsíci

      Uwahabi umewafunza hoja fupi fupi za kijazba na chuki kwenye jamii saiv mnajibiwa mnachanganyikiwa

    • @masshaka
      @masshaka Před 10 měsíci

      @@Naaam353 sasa kama imam Shaatib kahusika vipi na uwahab. Alikuwako miaka 400 nyuma kabla huyo wahabi hajazaliwa. Nae Shaatibi akipiga vita maulidi na bidaa zote kama ni sumu. Lakini kama umeafikiana na hoja z hao uamsho si mbaya. Wewe ni mfuasi tu huna kosa vile hujui. Hao wengune ndio wana masuali ya kujibu

  • @rahimhassan6722
    @rahimhassan6722 Před 10 měsíci

    Sasa tuelimishe je kusema maneno ya uongo ni sunnatul hasana je bibi asia na bi maryam walishuka kuja kushuhudia mazazi ya mtume? Tupe dalili km unavotoa dalili hizo.tunataka kujua dini ustadh

  • @user-je6qh6it5w
    @user-je6qh6it5w Před 10 měsíci

    Mashallah,
    Sheikh umejitahidi kadiri Allah alivokuwezesha.
    Hatuwezi kuwa sawa kama malaika, ikhtilafu lazima zitakuepo, hata kama ingekua hakuna maulid.
    Tushikamane kwenye mambo mengine tunayoenda sambamba, ikhtilafu zetu atahukumu Allah siku ya kiama.

  • @hamzayusuf1894
    @hamzayusuf1894 Před 10 měsíci

    Wewe nimsomi tena hodari lakini hawa mawahabi hata ukiwatiya payip za mikundupi hawaelewi mungu kafunga miyoyoyawo hawatakuelewa

    • @abdichongowe2255
      @abdichongowe2255 Před 10 měsíci

      Ndugu yangu usiseme maneno haya makali kuwatukana waislamu wenzako kwani hatuwezi kuwa sawa ktk kufahamu, namuomba Allah akusamehe 😭😭

    • @user-hk1jy6rl5e
      @user-hk1jy6rl5e Před 10 měsíci

      Yan kwakweli Hawa wanakera Sana inamfamya mtu azungumze maneno makali ilaa wajirekebushe kwakweli sio kutukana watu Kila siku et Kila mtu afate akili zao fup kama wao wenyewe haiwezekan

    • @mdungiaabdu6800
      @mdungiaabdu6800 Před 10 měsíci

      Hongera

  • @kiumbenatural-ii5jb
    @kiumbenatural-ii5jb Před 10 měsíci +1

    Mlikaa kikao ili kuua uislam kwanza mumshambulie mtume asitajwe? Mnataka kutangaza ushoga kwani madina hakuna makafiri au wanafiki?. Nyie mlikula pesa za wazungu mtume ataswaliwa nasi siku zote mpaka kiyama kisimame nyie sio pamoja nasi

  • @Desireyakubu
    @Desireyakubu Před 10 měsíci

    Hivi baada ya kusikiliza clip hii kuna watu watajitokeza tena wakadai kwamba maulidi hayafai?

    • @Manimajura
      @Manimajura Před 10 měsíci

      Kwani tatizo lao ni hoja. Wao wanapinga ilimradi tu

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor Před 10 měsíci

      Wanaopinga maulidi wote ni majuha

    • @ramadhanitwahili6837
      @ramadhanitwahili6837 Před 10 měsíci

      Watakwepo hadi kihama kije kwasababu kila mtu na khakili yake na uwelewa wake.

  • @zamdaswaleh5410
    @zamdaswaleh5410 Před 10 měsíci

    kumbe hadith ni bidaa.

  • @zamdaswaleh5410
    @zamdaswaleh5410 Před 10 měsíci

    uasi ni wa mtu

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 Před 10 měsíci

    Ktk dini sheikh ww nani uonheze lako,ivi kama na mm leo nitakuja na langu kwakua lina sura nzuri ndio ww utafata utarijie na ujira kutoka kwa Allah,acheni mambo ya kijahil nyinyi masufi

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu Před 10 měsíci

      Sheikh anazungumza kiswahili, unaanguka wapi usimuelewe? Bora mtu apofue macho ya kichwani kuliko kupofua moyo.

    • @jumaomar8419
      @jumaomar8419 Před 10 měsíci

      Haiwi MTU wa kawaida hufanya sherehe za kuzaliwa Kwa gharama seuze kusherehekea mazazi ya Mtukufu wa Daraja

  • @KubwaKuliko-dk4bm
    @KubwaKuliko-dk4bm Před 10 měsíci +1

    Sasa shk tunaomba ufafanuzi kwa yale yanayosomwa kwenye vitabu vya maulid kua nimambo ya uongo tena anaesingiziwa ni mtume kwa madai ya kumsifu hivyo ni kweli kua kuna uongo katika vitabu hivyo..na hili ndio lina tuchanganya tuna omba uchambuzi wa ndani ya vitabu kwa yale yanayosemwa ni uongo....

    • @murtalla2826
      @murtalla2826 Před 10 měsíci

      Kasome kwanza usifate mkumbo bichwa maji ww

    • @muddycantona6286
      @muddycantona6286 Před 10 měsíci

      ​@@murtalla2826ww umesoma au unajiona kama mwanazuoni mbona hata kitovu au kikaratas hauna unajiona umesoma kumbe bichwa mbweembweee maskini huyu

    • @KubwaKuliko-dk4bm
      @KubwaKuliko-dk4bm Před 10 měsíci

      @@murtalla2826 hujui ndugu yangu kua kuuliza kwa wanaojua ni katika kusoma na nikheri!!!

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 Před 10 měsíci

      ​@@murtalla2826si hekima ungemjibu vizuri usingepungukiwa kitu .

  • @user-dp9rr7xg9q
    @user-dp9rr7xg9q Před 10 měsíci

    😅

  • @muhammadnassibu7706
    @muhammadnassibu7706 Před 10 měsíci +1

    Amir wa makhawaarij

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 10 měsíci

      Muwahabi wee

    • @HassanHassan-sn5cj
      @HassanHassan-sn5cj Před 10 měsíci

      Acha uswahili ndugu nakukaririshwa ibara za vibaraka!
      Khawaariji niwaletu wanaopinga utawala kiongozi Muislam sio Mnavyowaita Alshabbaab eti khawaariji au sheikh Faridi khawaariji unatumia mizani gani!?
      Ikiwa tunaruhusiwa kua chini ya twaa ya Makafiri basi kuna sura inabidi mzifute ktk Qur an maana zinaenda kinyume kabisa na mitazamo ya wanachuoni wenu !!
      Utasikia sheikh Rabii kasema wakati maandiko yapo wazi !!
      Ndugu kasome vizuri kuhusu khawaariji kabla hujaja humu mtandaoni ukasema au kuwahukumu watu kua ni mbwa wa motoni maana Mtume saw alisema makhawaarij ni Kilaabunnaar _ Mbwa wa Motoni huo ni upofu mtu ako hai unamwita mbwa wa motoni Subhaanallaah!!

    • @HassanHassan-sn5cj
      @HassanHassan-sn5cj Před 10 měsíci

      Sorry nilikua naijibu comment ya hapo juu ila nawewe usiwaite watu majina flani kwa nia mbaya!!

    • @nassorseif2799
      @nassorseif2799 Před 10 měsíci

      Kijana soma uelimike elimu ya dini ni kubwa usiwe mjing

    • @muhammadnassibu7706
      @muhammadnassibu7706 Před 10 měsíci

      @@nassorseif2799 kama kusoma dini lengo ni kuja kuwa khawaariji na ni afadhali kutokusoma kabisa!!! Jaaahil murakkab

  • @salimsms111
    @salimsms111 Před 10 měsíci

    Mbona hawa bimbazi. Uthaymin fauzani hawataji

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 10 měsíci +3

    Kwaio unataka kuwaaminisha wajinga kua bidaa inafaa?
    Hadithi imetaja ibada ya kutoa, na kutoa sadaka ni ibada isio kua na shaka, na msingi wa hio hadithi ume jengwa kwenye Ibada, kwaio ikifanywa ibada na muislamu ambayo imeachwa na watu, baada ya kuonekana yeye anaifanya na watu wakaifanya, hii ndio mada kwenye hio hadithi.
    Sasa utwambie kua man sanna fii al-islaami bid'atan, atapata malipo na watakao itenda bidaa hio pia watalipwa malipo yao, na ........kama ilivyo eleza hadithi.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 10 měsíci

      Kwa Mungu hataingia mtu peponi wala motoni kwa sababu ya Maulid.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před 10 měsíci

      ​@@hajihassan5433Kwa hivyo hiyo siku ikifika kama mtu atakua haendi peponi ama motoni sasa atakua anazurura zurura tu, yaani mzururaji kama vile hapa ulimwenguni, asiye na kazi ama jambo la kufanya huwa mzururaji?
      Huko siku ikifika lazima iwe ama motoni Jehanamu 🔥 ama uwe peponi, na si kuwa mzururaji.
      Kwenye Uislamu nako kuna makundi, na Mtume alisema yatafikia hata makundi 73, na ni moja tu ndilo la peponi, ndio hayo makundi tuliyonayo, la muhimu ujisomee uende darsa ulijue kundi lako, Je ndio la Mtume na maswahaba zake ama kundi katika yale 72 yaliyobaki. Majibu mbona unayapata tu hapa hapa kabla kufikia huko akhera, majibu unayapata kwa matendo yetu sisi wenyewe wanadamu, matendo ya kila siku kwenye huu uhai wetu wa kila siku mpaka tunakufa.
      ### KAMA VILE WANADAMU WALIVYO NA MAKUNDI, WAKIWEPO NA MAKAFIRI NA UISLAMU UNA MAKUNDI, CHAGUA MOJA.

    • @allymahaba3425
      @allymahaba3425 Před 10 měsíci

      @@hajihassan5433 Wapo wataoingia in-shaa-Allah. Pepo ni mali ya Allah, sio mali yako. Allah (SWT) Atamuingiza Amtakae na kumnyima Amtakae. Wewe mtu mdogo sana, huna mamlaka ya kuhukumu watu, wala kuwaingiza peponi au motoni, wewe ni nani??? Kwani wewe ni Allah? Ngojea Siku ya Kiama utajua kama wewe unayo mamlaka ya kuwazuia watu pepo ya Allah eti kwa kuwa unachukia Maulidi. Kama huyapendi chukia peke yako, na utakufa na chuki yako, sio kuhukumu na wengine. Kwani wamekupunguzia nini weweeee??? Soma Quran halafu ujiongeze.

    • @user-pe9nq3wu4p
      @user-pe9nq3wu4p Před 10 měsíci

      Hujalazimishwa kutumiya MB

    • @Naaam353
      @Naaam353 Před 10 měsíci

      Allah akuongoze,huyu ni mwanachuoni anafanya jitihada kutoa elimu aliyonayo wewe unabeza kwa chuki

  • @FathimaZubair-jt4cg
    @FathimaZubair-jt4cg Před 10 měsíci +1

    Nlizani una Akil kumbe stupid🤣 huelekei kushabikia maulid

  • @farajisanga343
    @farajisanga343 Před 10 měsíci

    mimi napita tuuuu

  • @salhasadik366
    @salhasadik366 Před 10 měsíci

    Wewe fadhima acha kumtukana mwanawazuoni kama ikiwa mumetofautiona baadhi ya Mas Ala si sababu ya kufanya hivyo kwa taasubi zako kumwita shekh stupid

  • @anyeresa928
    @anyeresa928 Před 10 měsíci +1

    Sheikh maulidi ni ibada? Yes or no

    • @jumaa052
      @jumaa052 Před 10 měsíci

      Kula ibada ' kutafuta ibada kulala ibada una shangaa maulid habib?

    • @AliDaud-si3fg
      @AliDaud-si3fg Před 10 měsíci

      ​@@jumaa052 kula na kulala kumekua ni ibada kwa sababu kuna muongozo wa mtume ﷺ saasa tuleteeni muongozo wa mtume ﷺ juu ya hayo yanayoitwa maulid.

    • @jumaa052
      @jumaa052 Před 10 měsíci

      Habib mtume Muhammad s.a.w ame fanya maulid ama la?

    • @Naaam353
      @Naaam353 Před 10 měsíci

      Ndio

    • @Naaam353
      @Naaam353 Před 10 měsíci

      @@jumaa052ndio

  • @zamdaswaleh5410
    @zamdaswaleh5410 Před 10 měsíci

    tatzo ufuasi wa uarabu dhidi ya wairan