MASJID SUNNAH ISLAMIC ZANZIBAR
MASJID SUNNAH ISLAMIC ZANZIBAR
  • 578
  • 320 253

Video

MADA:DALILI ZA UZUSHI WA MAULIDI NA BIDAA ZAKE:SH.NASSOR BACHU
zhlédnutí 204Před 4 hodinami
MADA:DALILI ZA UZUSHI WA MAULIDI NA BIDAA ZAKE:SH.NASSOR BACHU
MDAHALO WA MAULIDI KATI YA ANSWAR SUNNAH NA WATU WA BIDAA
zhlédnutí 1,9KPřed 12 hodinami
MDAHALO WA MAULIDI KATI YA ANSWAR SUNNAH NA WATU WA BIDAA
KHUTBA YA IJUMAA MADA:VIPI MTUME S.A.W ALIVOKUA ANAISHI KATIKA MWEZI WA RABILAWAL:SH.KHAMIS GHARIB
zhlédnutí 81Před 16 hodinami
KHUTBA YA IJUMAA MADA:VIPI MTUME S.A.W ALIVOKUA ANAISHI KATIKA MWEZI WA RABILAWAL:SH.KHAMIS GHARIB
MUHADHARA MADA:KUMJUA MTU MWEMA NA MUOVU KABLA HAJAKUDHURU:SH.NASSOR BACHU
zhlédnutí 104Před 21 hodinou
MUHADHARA MADA:KUMJUA MTU MWEMA NA MUOVU KABLA HAJAKUDHURU:SH.NASSOR BACHU
MADA:HOJA ZOTE ZA UZUSHI NA BIDAA YA MAULIDI SH.NASSOR BACHU ANAZIJIBU SIKILIZA MPAKA MWISHO :
zhlédnutí 472Před dnem
MADA:HOJA ZOTE ZA UZUSHI NA BIDAA YA MAULIDI SH.NASSOR BACHU ANAZIJIBU SIKILIZA MPAKA MWISHO :
MUHADHARA MADA:SH.MZIWANDA AMJIA JUU MULIZAJI KUHUSU KUKATA VIUNO KWENYE MAULIDI YA MTUME S.A.W
zhlédnutí 10KPřed dnem
MUHADHARA MADA:SH.MZIWANDA AMJIA JUU MULIZAJI KUHUSU KUKATA VIUNO KWENYE MAULIDI YA MTUME S.A.W
KHUTBA YA IJUMAA MADA:KUTUMIA WAKATI KWA MALENGO MAZURI HAPA DUNIA:SH.KHAMIS GHARIB
zhlédnutí 128Před 14 dny
KHUTBA YA IJUMAA MADA:KUTUMIA WAKATI KWA MALENGO MAZURI HAPA DUNIA:SH.KHAMIS GHARIB
MADA:AINA ZA MARADHI YA MATAMANIO YA NAFSI:UST: ABBAS ALLY:NO:3:
zhlédnutí 111Před 3 měsíci
MADA:AINA ZA MARADHI YA MATAMANIO YA NAFSI:UST: ABBAS ALLY:NO:3:
KITABU AHKAMUL JANAIZ MADA:JEE MTU AKIFARIKI UNAWEZA KUMBUSU?:SH.NASSOR BACHU:NO:20:
zhlédnutí 122Před 3 měsíci
KITABU AHKAMUL JANAIZ MADA:JEE MTU AKIFARIKI UNAWEZA KUMBUSU?:SH.NASSOR BACHU:NO:20:
KITABU RIYADH SWALIHYNA MADA:KUNA MTU ALISEMA KAMA MUNGU YUPO AUSHUSHE MKONO CHINI:SH.N.BACHU:NO:22:
zhlédnutí 93Před 3 měsíci
KITABU RIYADH SWALIHYNA MADA:KUNA MTU ALISEMA KAMA MUNGU YUPO AUSHUSHE MKONO CHINI:SH.N.BACHU:NO:22:
TAFSIRI SURA ANNABAI AYA:34:MADA: KARAFUU NA TANGAWIZI KUMBE NI VINYWAJI PEPONI:SH.NASSOR BACHU:NO20
zhlédnutí 98Před 3 měsíci
TAFSIRI SURA ANNABAI AYA:34:MADA: KARAFUU NA TANGAWIZI KUMBE NI VINYWAJI PEPONI:SH.NASSOR BACHU:NO20
MADA:SIRUHUSA KUNYOA NYWELE SEHEMU YA MWILI WALA KUKATA KUCHA BAADA YA KUHIRIMIA:SH.NASSOR BACHU:NO2
zhlédnutí 251Před 3 měsíci
MADA:SIRUHUSA KUNYOA NYWELE SEHEMU YA MWILI WALA KUKATA KUCHA BAADA YA KUHIRIMIA:SH.NASSOR BACHU:NO2
KITABU FIQHU SUNNAH MADA:USIFIKISHE SIKU 40:UWE USHANYOA NYWELE SEHEMU ZA SIRI:SH.NASSOR BACHU:NO:19
zhlédnutí 74Před 3 měsíci
KITABU FIQHU SUNNAH MADA:USIFIKISHE SIKU 40:UWE USHANYOA NYWELE SEHEMU ZA SIRI:SH.NASSOR BACHU:NO:19
KHUTBA YA IJUMAA MADA:PESA ZA UPATU NA MIKOPO HAZIFAI KWENDA KUHIJJI MAKKA:UST: MAKAME
zhlédnutí 131Před 3 měsíci
KHUTBA YA IJUMAA MADA:PESA ZA UPATU NA MIKOPO HAZIFAI KWENDA KUHIJJI MAKKA:UST: MAKAME
MADA: KWANINI WATU WANAFATA MATAMANIO YA NAFSI ZAO:UST: ABBAS ALLY: ALLAH AMUHIFADH:NO:2:
zhlédnutí 38Před 3 měsíci
MADA: KWANINI WATU WANAFATA MATAMANIO YA NAFSI ZAO:UST: ABBAS ALLY: ALLAH AMUHIFADH:NO:2:
KITABU AHKAMUL JANAIZ MADA: WAJIBU KWA WAFIWA KUMFUNUA USO MAITI WAO:SH.NASSOR BACHU:NO:19:
zhlédnutí 71Před 3 měsíci
KITABU AHKAMUL JANAIZ MADA: WAJIBU KWA WAFIWA KUMFUNUA USO MAITI WAO:SH.NASSOR BACHU:NO:19:
KITABU RIYADH SWALIHYNA MADA:WATU ELFU SABIINI WATAKAOINGIA PEPONI WEPI HAO?:SH.NASSOR BACHU:NO:21:
zhlédnutí 87Před 3 měsíci
KITABU RIYADH SWALIHYNA MADA:WATU ELFU SABIINI WATAKAOINGIA PEPONI WEPI HAO?:SH.NASSOR BACHU:NO:21:
TAFSIRI SURA ANNABAI AYA 33:34:MADA: LADHA TISINI NA TISA ALIZOPEWA MWANAMKE:SH.NASSOR BACHU:NO:19:
zhlédnutí 40Před 3 měsíci
TAFSIRI SURA ANNABAI AYA 33:34:MADA: LADHA TISINI NA TISA ALIZOPEWA MWANAMKE:SH.NASSOR BACHU:NO:19:
MADA:LIPI TULISHIKE INAFAA KUOWA BAADA YA KUHIRIMIA AU HAIFAI?:SH.NASSOR BACHU:NO:1:
zhlédnutí 100Před 3 měsíci
MADA:LIPI TULISHIKE INAFAA KUOWA BAADA YA KUHIRIMIA AU HAIFAI?:SH.NASSOR BACHU:NO:1:
KITABU FIQHU SUNNAH MADA:JEE INAFAA KUNAWIYA KWA MKONO WA KULIA CHOONI:SH.NASSOR BACHU:NO:18:
zhlédnutí 92Před 3 měsíci
KITABU FIQHU SUNNAH MADA:JEE INAFAA KUNAWIYA KWA MKONO WA KULIA CHOONI:SH.NASSOR BACHU:NO:18:
KHUTBA YA IJUMAA MADA: HAKUNA DINI TAMU NA NZURI HAPA DUNIANI KAMA UISLAMU:UST: ABDULLRAZAK:
zhlédnutí 27Před 3 měsíci
KHUTBA YA IJUMAA MADA: HAKUNA DINI TAMU NA NZURI HAPA DUNIANI KAMA UISLAMU:UST: ABDULLRAZAK:
KITABU AHKAMUL JANAIZ MADA: YALIYO WAJIBU KWA WAFIWA JUU YA MAITI YAO:SH.NASSOR BACHU:NO:18:
zhlédnutí 70Před 3 měsíci
KITABU AHKAMUL JANAIZ MADA: YALIYO WAJIBU KWA WAFIWA JUU YA MAITI YAO:SH.NASSOR BACHU:NO:18:
MADA:AINA ZA MARADHI YA MOYO:UST: ABBAS ALLY: ALLAH AMUHIFADH:NO:1:
zhlédnutí 96Před 3 měsíci
MADA:AINA ZA MARADHI YA MOYO:UST: ABBAS ALLY: ALLAH AMUHIFADH:NO:1:
KITABU RIYADH SWALIHYNA MADA:KUMTEGEMEA ALLAH NA KUWA NA YAKINI:SH.NASSOR BACHU:ALLAH AMREHEM:NO:20:
zhlédnutí 85Před 3 měsíci
KITABU RIYADH SWALIHYNA MADA:KUMTEGEMEA ALLAH NA KUWA NA YAKINI:SH.NASSOR BACHU:ALLAH AMREHEM:NO:20:
TAFSIRI SURA ANNABAI AYA:33:34:MADA:LADHA TISINI NA TISA ALIZOPEWA MWANAMKE:SH.NASSOR BACHU:NO:18:
zhlédnutí 60Před 3 měsíci
TAFSIRI SURA ANNABAI AYA:33:34:MADA:LADHA TISINI NA TISA ALIZOPEWA MWANAMKE:SH.NASSOR BACHU:NO:18:
MADA:MAJABU YALIYOTOKEA KATIKA JABALI THAUR PAMOJA NA MTUME S.A.W. NA ABUBAKAR:SH.NASSOR BACHU:NO:2:
zhlédnutí 155Před 4 měsíci
MADA:MAJABU YALIYOTOKEA KATIKA JABALI THAUR PAMOJA NA MTUME S.A.W. NA ABUBAKAR:SH.NASSOR BACHU:NO:2:
KITABU FIQHU SUNNAH MADA:JEE INAFAA KWENDA CHOONI KUJISAIDIA HALIYAKUA UMESIMAMA:SH.NASSOR BACHU:17:
zhlédnutí 63Před 4 měsíci
KITABU FIQHU SUNNAH MADA:JEE INAFAA KWENDA CHOONI KUJISAIDIA HALIYAKUA UMESIMAMA:SH.NASSOR BACHU:17:
KHUTBA YA IJUMAA MADA:OLEWAO WENYE KUFANYA MIAMALA YA SIMU KWA NJIA YA RIBA:UST:MASOUD NASSOR BACHU:
zhlédnutí 172Před 4 měsíci
KHUTBA YA IJUMAA MADA:OLEWAO WENYE KUFANYA MIAMALA YA SIMU KWA NJIA YA RIBA:UST:MASOUD NASSOR BACHU:
KITABU AHKAMUL JANAIZ MADA: WAJIBU KWA WAFIWA KUMLIPIA DENI MAITI WAO:SH.NASSOR BACHU:NO:17:
zhlédnutí 84Před 4 měsíci
KITABU AHKAMUL JANAIZ MADA: WAJIBU KWA WAFIWA KUMLIPIA DENI MAITI WAO:SH.NASSOR BACHU:NO:17:

Komentáře

  • @user-zu4hd2xx7q
    @user-zu4hd2xx7q Před 10 hodinami

    Watu wavivu wakusoma Kuna katika hadithi Kuna ambayo ni ya takririy ni Ile mtume kaona jambo linafanywa Kisha akalinyamazia hiyo ni sunna takririy , inapokelewa hukumu Kwa watu wote someni vijana wacheni kukurupuka

  • @jamalikatikiro6145
    @jamalikatikiro6145 Před 21 hodinou

    Mawahabi kwa matusitu ilim hakuna

  • @AbdallaMwagora-sm1rj

    Naya penda maulidi naamini mashekhe Waliotangulia kabla yetu Toka Karne ya 9 kwao ilikua ni Suna .na Hadith ipo wazi atakae kuja na jambo zuri katika dini yetu atapata thawabu Kwa alicho kuja nacho ,na atakae kuja na jambo baya nae atalipwa ubaya wake yaani atapata dhambi kiasi Cha alicho kuja nacho.na ninaamini maulidi ni jambo zuri na yamenifanya ni ujuwe ukoo wa mtume na ameletwa kwanini.

  • @alisharifsalim
    @alisharifsalim Před dnem

    Ansaaru sunna ndio mbwa wa motoni

  • @Harunery
    @Harunery Před dnem

    Swali ni maulid au dufu??

  • @omarkabogo1580
    @omarkabogo1580 Před dnem

    Watu mnadanganywaa nanyie mmetulia😂

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před dnem

    Allah amrahamu shekh wetu na huko aliko amfanyie kaburi lake niongoni mwa ma bustani ametuachia alama kubwa katika sunnah na kuwachapa hawa makhurafi wanaozidi kupoteza watu katika maulidi simba wa khurafi na batwili shekh nasoro bachu allah amrahamu

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 3 dny

    Maulidi ni uvundo na bidah ambayo watu wanawapoteza watu kuzizika sunnah za bwana mtume na kufufua bidah na kuzitangaza bidaah na kuuwa sunnah za bwana mtume ninyi mashekh mnawo wapoteza watu kwenye hii bidah hali mnafanya huku mkijuwa hii ni bidah lengo kufata malaji na ujinga hilo hamtajitetea siku ya kiama saivi daawa ya sunnah imestawi ulimwenguni utasemaje atukujiwa na wakumbushwaji wameamua wenuewe kufata batwili

  • @abubakaromar6101
    @abubakaromar6101 Před 4 dny

    Watu wote ni Bid'aa hakuna ambae hafanyi Bid'aa ni Sunna wala hakuna awezae kuikimbiya Bid'aa hapa sote tunao comments tayari tuna Bid'aa twaweza kuulizana hizi Simu tuzituyazo nani alotumia kutoka Nabii Adam A.S mpaka kwa Mtume SAW wetu au Maswahaba,kwa hivyo Bid'aa zipo na zitaendelea kuwepo ni kila mmoja amejitahidi kwa Qadri ya uwezo wake na misimamo yake

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 3 dny

      W😂😂😂ww kweli ni jahli murakaba mtume alipokemea bidaa alikusudia simu au maspika au tv au 6:00 gari au ndege??? Elimika ww na tumfate mtume vinginevyo utaangamia bidaa ni Jambo lililozuliwa katika dini likapachikwa na kufanyia ni ibada mtume anasema man ahdatha fii amrina hadha Malaysa fahuwa rradi mwenye kuzuwa Jambo katika dini yetu atarejeshewa mwenyewe alikusudia simu?? Acha ufala na ujahli badilika na uitafute hakki utabaki hivyo hivyo unadanganywa wakati watu wanatetea maslahy yao na matamanio.

    • @RashidMkubwa
      @RashidMkubwa Před dnem

      inaonesha hujui kwnn mtume muhammad (s.a.w) alike alikemea bid'aa maana usingea upuuzi huu

    • @RashidMkubwa
      @RashidMkubwa Před dnem

      Bid'aa ni kila jambo jipya linaloingizwa ktk dini yaani ibada mpya ayo masuala ya simu sjui bodaboda viereje

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před dnem

      @@RashidMkubwa kusoma Quran au kumswalia Mtume SAW ni ktk mambo mapya?

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před dnem

      Kabisa, na wakt mwengin hao wanaojinasibu na Sunn inawezekan ndio Wanafanya bidaa mbaya zaidi

  • @YusuphMaziwani
    @YusuphMaziwani Před 4 dny

    Allah subhanah amfanyie wepesi katika kaburi lake

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před 4 dny

    ,wamewadhulumu yatima na mjane hapa tanga hakuna asiyejua lakini hao kiongozi wao wanajua lakini wanamuogopa mungumtu

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před 4 dny

    ,Ansar waache dhulma warejeshe haki za marhum said janjira hao si watu haki hata kidogo

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před dnem

      Anaweza mtu akajinasibu na Haki lkn matatzo tu Hana kitu

  • @seifmohd5357
    @seifmohd5357 Před 4 dny

    Nawapenda sana watu wa bidaa na nazipenda bidaa san kwel kwel

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 3 dny

      Allah atuongoze katika njia ya hakki yani umepotea njia ya sawa arafu bado unafurahiya upotevu subuhana llah unajisifu kufanya bidaah subuhana llah uongoke na kama hutoongoka basi Allah akuangamize na atakao waangamiza katika kundi la mafasiki aamen

  • @abuuzakariyya8630
    @abuuzakariyya8630 Před 4 dny

    Maneno ni mazuri lakini hayana maana hivi kwenye balagha hii kitu inawezekana

  • @shafisaggaf1889
    @shafisaggaf1889 Před 4 dny

    Mawahabi chuki zitawauwa na fitna

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 3 dny

      Chuki kuambiwa ukweli bidaah unazofanya mbona Jambo lipo wazi halikufanywa na mtume Lina umuhimu gani na uzuri gani ikiwa mtume wa mungu akufanya wala maswahaba na sisi dini tunachukuwa kwa mtume tumtafute aloanzisha hayo maulid alikuwa na wadhifa gani katika hii dini aliamriwa na nani?? Ikiwa Allah ametuamrisha ibada zote tuchukue kwa mtume yeye ndo kiigizo bora Sasa maulidi yameanzishwa na nani! ? Je ni ibada au ni Ada? Na ukitumbia ni ibada ibada tunauliza ibada hii mtume hakuijuwa ukijijbu tuu hakukuhuwa tayari utakufulu na ukisema ni Ada ada hii ya kina nani waaarabu au watu gani?? Kitu kwenye kitabu hakipo kwenye hadithi hakipo ww unafanya tuambie imetowa wapi na hali mtume wako hakufanya na sisi tuna hakki ya kuyapinga Sabu hayakufundishwa na mtume kwahiyo kukalia kusema wahaby chuki hizo ni propaganda uendelee na batwil manake watu wasikataze huu munkari siyo.lazima tukataze wapo wanakubali hakki wanawacha ww kama umeona kufa katika batwili ni sawa Allah aliongoze uzinduke na urongo huo.

  • @shafisaggaf1889
    @shafisaggaf1889 Před 4 dny

    Watu wa fitna

  • @hashimgola862
    @hashimgola862 Před 5 dny

    Kwani nani hapa ninae mchukia wote hawa masheikh wangu nawapenda sana

  • @darajanida
    @darajanida Před 5 dny

    Wewe mjuinga ulieandika kichwa cha habari hichi Wacha chuki kuwa na inswafu

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 4 dny

      Ni sahihi tuuh kwani ninyi so watu wa bidaah Hilo sahihi, ni watu wa bidaah insafu gani ssasa

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 4 dny

      ​@@user-yj5on8cz3enyinyi masalafi ni pote la mayahudi huo ndiyo uhalisia ingawa nanyi mkiambiwa hivyo mnawaambia wenzeni hawana inswaf ktk dini

    • @darajanida
      @darajanida Před 4 dny

      ​@@user-yj5on8cz3e sisi tuna bidaa kukushindeni nyinyi mawahabi au

    • @darajanida
      @darajanida Před 4 dny

      ​@@user-yj5on8cz3e hemu taja iza unazo ziona kuwa nibidaa kwetu na sisi tutaja bidaa mlizo nazo uone

  • @hassankisuda1189
    @hassankisuda1189 Před 5 dny

    Wanaume ni sawa na wanawake? Kama wakubali wanawake ndio walipiga dufu mbele ya Mtume swala Allahu alayhi wasallam, mbona wanaume ndio wapigaji hapo hujajibu...

  • @aliabdillahalialiabdillaha4475

    Hapa sija kuelewa sheikh inamaana dufu lipigwe na msichana mbichii Sisi wanaume tukae tukimuangalia inataka ukumbuke miyoyo yetu Sisi nithaifu lazima utakuwa na mawazo mabaya au hisia

  • @user-fz9ir4nj1y
    @user-fz9ir4nj1y Před 5 dny

    Jaman nnacho kusudia mi kher namuomba allah amrehem shkh wet lkn tukiangalia kila mtu anafata wazee hata wao hakuna alomuona mtume sote tumepata din kwa wazee ile aya imekusudiwa makafir mana wao walikuw wakiabhdu masanam hii ni hoja kwa mtu asiye jua t lkn sio hoja ya kielim ni tafsir kutoka kwake shkh mana hatujaona kauli ya mwanachion yoyote

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 7 dny

    Ahsante sana Al khy mwenye chanel umetukumbusha mbali tunamuomba Allah amrahamu shekh wetu kipenz nasoro bachu allah amfanyie kaburi lake katika mabustani ya peponu

  • @user-rg6ll1om5z
    @user-rg6ll1om5z Před 7 dny

    Mashallah mwanamme nadhani tukifanya hivyo tutakuwa tumerudisha tabia Na maadili mazuri kama Zamani

  • @ameirameir4349
    @ameirameir4349 Před 7 dny

    Ahsante Sana Hashim Gola tunapata faida kubwa kupitia Channel yako

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l Před 7 dny

    Dufu alosema mtume ndo hilo la Leo? msizunguke maulidi bidaa maulidi sehem ya kuchangisha watu pesa mpaka matajiri mnawakwangura

  • @user-vr6lu8tq1n
    @user-vr6lu8tq1n Před 7 dny

    Ivi wewe umesoma wp ulizwa karanga unajibu utumbo jibu swali

  • @hafidhissa4405
    @hafidhissa4405 Před 7 dny

    Allah akurehemu ❤

  • @user-jp8lf7dy5z
    @user-jp8lf7dy5z Před 8 dny

    Halafu Masheikh wanauliza je wamepiga wanaume ila mbona mnapiga wanaume na kila sehem wamepiga wasichana tena nyie wanaume mumeona wap heb nawapige hao majaria au tupe hio hadith ya wanaume kupiga dufu

  • @user-jp8lf7dy5z
    @user-jp8lf7dy5z Před 8 dny

    Situ kufaaa ndani yake mna shirki umo

  • @haroubsalim779
    @haroubsalim779 Před 8 dny

    Katika umbumbu aliosema ni huu, zinaa ni Bora kuliko maulidi Wanajibebea mzigo ya madhambi Kwa midomo Yao, na huu ndio uzushi wa kumzulia Mtume.

  • @user-hf4pb7wi1j
    @user-hf4pb7wi1j Před 8 dny

    Umepayuka tu maulid haikuthibiti enzi bora

  • @MusaRamadhani-wj2dw

    Kamua baba kamua mziwandaa weee toa vitu waambie sio lazima wote tuwe mashekh hapo umesema ndipo kabisaa

  • @abdullahmenrasse
    @abdullahmenrasse Před 9 dny

    اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناته وجعل قبره روضة من رياض الجنة

  • @yussufhamad3721
    @yussufhamad3721 Před 9 dny

    Shekhe mziwanda ww ukifurukuta WATAALAMU away WATAALAMU wa nn mm nimegunduwa kuwa ww ni mbabaishaj ukiulizwa kuhusu dufu unazungusha watu sijui ktk machungwa nakuchekesha watu

  • @bwagizoselemani8434

    Mmmh kwel mashekh sasa hiv kila mmoja anafafanua mambo kwa elimu yake kama shekhe unajiamin weka mdahalo na Wana sunna alafu hapo ndio tutajua

  • @adnanestropa7092
    @adnanestropa7092 Před 10 dny

    Shukran jazilla❤

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 Před 10 dny

    Mzinifu, mwizi, msema uongo, mla riba, mfitinishaji ... wote hawa wanajua na kukiri juu ya makosa hayo. Mfanya bida'a anayakinisha wayafanyayo kama ibada sahihi

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 Před 9 dny

      Wapi ulipoambiwa maulid ni ibada

    • @mkude
      @mkude Před 8 dny

      Mimi sikubaliani na maulid lakini huwezi kufananisha na mzinifu,na hayo mengine ulisema.

  • @JamalKishangu-p7w
    @JamalKishangu-p7w Před 10 dny

    Mayahudi wanataka kulazimisha Uislamu uonekane ni dini nzito, dini isiyokuwa na furaha ila huzuni.

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv Před 10 dny

    Swali mziwanda maulid mtume Muhammad Sala na Salam ziwe juu yake ameyafunza ivyo tu tunaomba dalili sio porojo na hawaa za nafsi yako

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv Před 10 dny

    Masjid sunnah wa marehemu nassor bachu saiv anapewa nafasi mtu wa bidaa mziwanda kutetea bidaa na uovu wake mtihan sana huu yote haya Muhammad bachu kuwacha daawah ya salafi na kulingania uhizbi matunda yake ndo haya

    • @AthumaniAmiri-fv5zp
      @AthumaniAmiri-fv5zp Před 9 dny

      Tubu ila LLAH

    • @mkude
      @mkude Před 8 dny

      Kasim Mafuta na majadida wenzake wanapewa nafasi kwenye musikiti ya bidaa na wanahudhuria.

  • @AbubakariHassnKisodya

    Bac hapo kunavijitu badala visikilize Sheikh anatoa elim gan wamekalia ujinga et huyo hafai kusikilizwa utadhan mtume alikua babayao yan mtu kama Sheikh mziwanda bingwa mnashindwa kuchukua elimu vimekalia et usalafi

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa Před 10 dny

      Vijitu kama hvyo ndio Vifala fala sana havina akili ndio vinashadadia wake zao kuvaa Nguo moja tu so sad kabisa Akhuy

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 10 dny

      @@AbubakariHassnKisodya inaonekana watu wote nyie ni wahuni hamjui kitu sabu lugha mnazotumia tuuh inamanisha ww ni jahli murakaba, unamuhusishaje mtume na maulidi kwani mtume ndo aloleta hayo maulid?? Nyi mloyaleta ndo mtoe dalili yalianxia kwa nani ikiwa alifundisha hii dini hajui hayo maulid wala swahaba wala maimamu wa 4 Al imamu Maliki Al imamu shafii, Al imamu ahmadi hanbal, Al imamu abuu khabifa hawajui hi haya mambo ya kukaa mbele za watu na kukata viuno unasema unamsherehekea mtume, ibada hiyo ineanzishwa na nani?

    • @bagalucha
      @bagalucha Před 7 dny

      Mziwanda hilo analolisimamia kulitetea,hajawa na uwezo nalo kielimu,yupo mbali sana na ufahamu wake,analolijibu na lililoulizwa ni tofauti,nimemsikiliza muulizaji kauliza vizuri,kwa adabu na heshima za kielimu,lakini majibu sijui niyaweke kwenye mantiki gani ??,ya kidunia??,yamebeba hawaa binafsi??,ya kisiasa??,au majibu qayimati ,yaliyonyooka kwa kufuata haki na maelekezo ya Allah na mtume wake Muhammad Sallalahu Allayh wasalaam,mnasisitiza kutengeneza ibada baada ya kukujieni bayyana???. Nimesikiiza yalilonenwa,kwa ukweli,hakunala kielimu lililozungumzwa,kuna kila aina ya dalili za kuleta upinzani kwa jambo asilokuwa na elimu nalo,alimradi anene kwa kutoa makosa,jamani tuchunge ndimi zetu,tusitengeneze upinzani kwenye Kauli za mtume wa Allah. Tunajua kwamba Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) ndiye mjuzi zaidi wa watu wote juu ya Mwenyezi Mungu. Hii ibada ya maulidi,tujiulize imetokea wapi??,kutoka kwa Allah Subhana wataalla au mtume wake??.angetoa maelekezo kutoka kwenye aya au Mtume wake,ambayo yana ushahidi wa wazi,kama zili to ibaada nyengine. Hii tafaraka tumeitengeza sisi wenyewe wanaadamu,haikutoka kwa Allah na mtume wetu Muhammad SAW,miezi mitukufuiliyotajwa kwenye Quran minne,leo mmetengeneza wenu huu,Suala nani aliekuelekezeni haya???,yapı ya ibada ya kufanya fanyeni,yasikushindeni. Msimtengenezee Allah ibada.

    • @bagalucha
      @bagalucha Před 6 dny

      Asalam Aleikum Akhy Mziwanda hilo analolisimamia kulitetea,hajawa na uwezo nalo kielimu,yupo mbali sana na ufahamu wake,analolijibu na lililoulizwa ni tofauti,nimemsikiliza muulizaji kauliza vizuri,kwa adabu na heshima za kielimu,lakini majibu sijui niyaweke kwenye mantiki gani ??,ya kidunia??,yamebeba hawaa binafsi??,ya kisiasa??,au majibu qayimati ,yaliyonyooka kwa kufuata haki na maelekezo ya Allah na mtume wake Muhammad Sallalahu Allayh wasalaam,mnasisitiza kutengeneza ibada baada ya kukujieni bayyana???. Nimesikiiza yalilonenwa,kwa ukweli,hakunala kielimu lililozungumzwa,kuna kila aina ya dalili za kuleta upinzani kwa jambo asilokuwa na elimu nalo,alimradi anene kwa kutoa makosa,jamani tuchunge ndimi zetu,tusitengeneze upinzani kwenye Kauli za mtume wa Allah. Tunajua kwamba Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) ndiye mjuzi zaidi wa watu wote juu ya Mwenyezi Mungu. Hii ibada ya maulidi,tujiulize imetokea wapi??,kutoka kwa Allah Subhana wataalla au mtume wake??.angetoa maelekezo kutoka kwenye aya au Mtume wake,ambayo yana ushahidi wa wazi,kama zili to ibaada nyengine. Hii tafaraka tumeitengeza sisi wenyewe wanaadamu,haikutoka kwa Allah na mtume wetu Muhammad SAW,miezi mitukufuiliyotajwa kwenye Quran minne,leo mmetengeneza wenu huu,Suala nani aliekuelekezeni haya???,yapı ya ibada ya kufanya fanyeni,yasikushindeni. Msimtengenezee Allah ibada.

    • @yahyadenny4368
      @yahyadenny4368 Před 5 dny

      Sheikh Mziwanda uko vizuri kielimu na ufafanuzi, Najua umesimama kwa uhakika. Ombi langu, kuna utata kuhusu uhalali wa tiba ktk Uislam kiasi kwamba watwabibu wa kisuna bado wanaitwa" washirikina" na kudhalilishwa kwamba hawafai kusimamia majukumu ya Waislam. Naomba uandae mada maalum na pana yenye ueledi wako uliopea ili kuondoa unyanyapaa na ubaguzi miongoni mwa Waislam.

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib Před 10 dny

    MZIWANDA UNACHANGANYA MAMBO. DUFU NI HALALI KWA WANAWAKE. NA HADITHI ULIOITOA INAONYESHA WALIOPIGA DUFU MBELE YA MTUME NI VISICHANA NA SIO VIVULANA

    • @user-br6er7zf5z
      @user-br6er7zf5z Před 10 dny

      We we ndugu fungua fahamu uelewe hatuja kataa swali jee jambo lilianzishwa na wana wake haifai kufanya wanaume kama ni hivyo basi swafa na marua mbona wote twafanya wakekwawaume hujui muanzilishi ni mama hajira au mtume aliposema kullu mhdathatin bid AA hujui dhamiri hapo niya kike kwaiyo vyenye kuzushwa nivyakiketu

    • @Al.habeebAl.habaaib
      @Al.habeebAl.habaaib Před 10 dny

      @@user-br6er7zf5z DUUUUU

  • @mfakimwakulonda3481
    @mfakimwakulonda3481 Před 10 dny

    Maulidi na daawa ni vitu mbalimbali kabsaa tuelimishe umma

  • @balkisamisi2131
    @balkisamisi2131 Před 11 dny

    Barakallahufik sheikh wetu

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 10 dny

      @@balkisamisi2131 anazidi kuwatia Chaka yani kama upotevuni muendelee kupotea subuhana llah walinganizi kama kina mziwanda wanadhima nzito siku ya kiama kubeba mizigo yao na wale walowapoteza tafuta ilmu umekaa mtandaoni unamsubili fatuwa ya mziwanda we utajuwa hili haramu au linafaa kweli issue waislamu wengi hawataki kujifunza dini yao na kutafuta ilmu ndo mnasibiri mtu atoe fatuwa watu wapo kutetea matumbo yao so kutetea hakki ni wajibu wako ww kujishughulisha kujuwa ilmu vinginevyo utaendelea kupotea njia ya sawa na Allah amekupa akili chaguwa ww utakapo hakki ipo wazi na batwili iko wazi ungesoma vzr quruani na hadithi za mtume usingeshabikia hayo maulidi

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před 11 dny

    BASI TUSIPEANE DHAMBI KILA MTU AFANYE ANACHOKIAMINI

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 10 dny

      @@user-hi8le2vb7z mayahudi waliadhibiwa baada ya kuharifu jumamosi na wakiambiwa wasiende kuvua samaki na wao wakaenda, Allah akawaletea adhabu na kuwageuza manhaji kwa kukiuka amri yake na wale walojikataza kwenda lakini hawakuwaambia wenzao pia adhabu iliwakuta ni sawa na ww akili yako inavyowaza et kila mtu aendelee na vyake kusema hatutoacha sabu si batwili hawezi nyamaziwa ikiachwa itapoteza vizazi fyetu hiyo maulid watoto watakuwa ni halali na ni dini kumbe siyo dini wa ibada iloshariwa na allah na mtume wake ni ibada batwil na uzushi

  • @amritwaha-kp3hu
    @amritwaha-kp3hu Před 11 dny

    Kukata kiuno si haramu sema kuna sehemu lazima ukate kiuno na kama wewe huwezi kata kiuno basi mke wako atakukimbia kwa hiyo kuna sehemu kakata kiuno ni faradhi na wala sio sunnna

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 10 dny

      @@amritwaha-kp3hu subuhana llah watu wa maulid ndo mlipofikia kukata viuno mbele za wanawake na kudance hayo mambo yanafanywa na wendawazimu watu waso na akili timamu huwezi mtu mwenye akili yako timamu ukate viuno mbele za ummah na wanawake huruka mpk nguo zinavulika mnatofauti gani na wale wasanii wa bongo flavour na saivi mnaingizia Hadi maneno yao huko maulidini usufi ni upumbavu xana mambo mengine wanayapeleka ki haryawani dhikri za kunguruma kama punda yani uchafu kibao mnao na hata huko maulidini wengine hawaswali na hupeana Kodi na wanawake kwenda kuzini yani watu wa ovyo sana ninyi arafu mashekhe wenu wanawatetea Sabu ya maslahy yao matumbo yavimbe so kufundisha hakki

  • @amritwaha-kp3hu
    @amritwaha-kp3hu Před 11 dny

    Mwamba uko vizuri mziwanda wee safi sanaaa

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 10 dny

      @@amritwaha-kp3hu safi kutetea hayoo maulidi au anakuingiza Chaka soma itafute ilmu ya hii dini so kuelimikia mitandaoni soma vitabu ndo utajuwa maulidi ni haramu au so haramu unakalia ushabiki uislamu haujui unasubil fatuwa za kina mziwanda utakwenda kichakani watu wapo kwaajili ya maslahi zao shauli zako.

  • @amritwaha-kp3hu
    @amritwaha-kp3hu Před 11 dny

    Ukweli utajilikana tu someni

  • @husseinshamte7129
    @husseinshamte7129 Před 11 dny

    Maneno hayo Mtume alipomwambia wacha maneno hayo endelea kuimba angeyasema mbele ya Muhammad Ibn ABDEL WAHAB angemuua kwakisingizio cha Shirki Ndio ujue Kwa Mawahaby hata mtume hawamfwati japo kwa hekima yake tu

  • @KhadijakhamisMasoud
    @KhadijakhamisMasoud Před 11 dny

    Masshallah