Muhammad Bachu UONGO JUU YA WAZAZI WA MTUME ULIOMO KWENYE VITABU VYA MAULIDI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 330

  • @IbrahimuSampa
    @IbrahimuSampa Před 2 měsíci

    Allah akupe umri mrefu wa kher ili tuendelee kupata elimu kutoka kwako shekh wetu.

  • @user-ns4lc3yg2c
    @user-ns4lc3yg2c Před 2 měsíci

    Maasha Allah
    tupo pamoja kwa ajili ya .Allah Subhaanahu wataghala

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před 11 měsíci +2

    Shekhe Muhammad watu wanadhani wazushi wakutukana tu burebure!!!
    Wanajua wewe unawaadhirisha, kwa ukweli na hoja nzito unazo zitoa kuthibitisha uongo wao.
    Allaah akupe umri mrefu na akuzidishie Elimu na Maarifa ktk Dini

    • @allybobsaith
      @allybobsaith Před 11 měsíci

      Omar ally 🫡🫡🫡🫡🫡umeongea fantastik mm nipo na shekhe bachu, bachu anawapiga mkuki wa roho ndio maana wanamchukia😂😂😂😂😂😂ahlu bidaaa

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 10 měsíci

      Bachu hamo na nyinyi hamumo mbona hasemi ukweli mawahabi tawhed tatu amezitoa wapi alafu aseme wazazi wa mtume yuko motoni mawahabi kasomeni aliengia motoni ni ami yake Coz mtume alitumilizwa ami yake akakataa kusilimu bachu wapoteze tu watu

  • @is-hakaame
    @is-hakaame Před rokem +7

    Dini ni dalili Mashaalah na umetupa dalili za wazi wazi.
    Na sisi tulikua wapenzi wa maulidi ila baada ya kupata elimu hiiii nimeachana na mambo ya maulidi.

    • @mohdhakim8216
      @mohdhakim8216 Před 11 měsíci +1

      😅

    • @mohdhakim8216
      @mohdhakim8216 Před 11 měsíci +2

      اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا ونبينا وحبيبنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين ومن تبعهم بإحسان إلى يوم الدين

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri4597 Před 2 lety +5

    Maadam mtumi swalla Allahu alayhi wasallam ametuusia kuhusu nyama za wanazuoni nisumu twendeni tutafika

  • @safinamakoto5533
    @safinamakoto5533 Před rokem +4

    Mungu awaswamee masheke nyinyi mulitajwa katika quruani

  • @abdurahmanabdallah2403
    @abdurahmanabdallah2403 Před 2 lety +1

    SALAAAAAAALA UMEFIKIA HAPO MOHD BACHU KWANI WEWE NI MUHADITH WA KUTAFSIRI HADITHI UNAVO TAKA

  • @saidiabdallah-kv7bd
    @saidiabdallah-kv7bd Před rokem +2

    Yaani ww mpotoshaji sana mshenzi kama ww daah

    • @user-rk3cv3or8q
      @user-rk3cv3or8q Před 10 měsíci

      SubhanAllah.haya amepotosha wapi?hebu tuelimishe.

  • @abubakarmohamed2845
    @abubakarmohamed2845 Před 2 lety +5

    Ndio hawa waliopews funguo za pepo na moto na kuwatia motoni mpaka wazazi wa mtume S.A.W kijana waelekea pabaya sana

    • @habibuhalfani2038
      @habibuhalfani2038 Před rokem +1

      ndugu yangu mimi ni mtu wa maulidi lakini asemayo huyo shekhe namsadikisha maana nimefatilia hadithi zote na baraanji vipengele vyote nikaona yupo sahihi ila ndoivo tutafanyaje ndugu tusibishe haki

    • @ibrahimmohamedmaalim5568
      @ibrahimmohamedmaalim5568 Před 10 měsíci

      Soma qurani wacha uswahili

    • @user-rk3cv3or8q
      @user-rk3cv3or8q Před 10 měsíci

      SubhanaAllah.Wewe wataka uambiwe na Mtume Muhammad (S.A.W).Basi tafakari msg zimekufikia .Uamuzi ni wako.Hata Mimi nimemuelewa vizuri sana.Yuko sawa kabisa.

    • @abdulgadafi1922
      @abdulgadafi1922 Před 3 měsíci

      Hiyo Hadith ni sahihi bro

  • @serengetishipping2196
    @serengetishipping2196 Před 2 lety +6

    Sheikh unapotosha tafsiri kwa mawazo yako sio elimu , unawapotosha watu saanaaa
    Muogope allah sw

  • @burhanisaidi9811
    @burhanisaidi9811 Před 2 lety +9

    Hata waliopita kabla ya sisi hoja zao zilikua ni kusema tumeyakuta haya tokea mababu zetu wao walikua wakiyafanya,
    👉Tusomeni tuifahamu dini ya uislamu na sio kufata mambo ya kurithi toka kwa mababu na mabibi.

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 Před 2 lety +11

    Lakini wewe ambaye USO na Akili na upungufu WA elimu wamwita barzanji mrongo na kumpakia urongo kukifasiri kitabu cha barzanji Kwa fikra zako

    • @eidallyeidally5093
      @eidallyeidally5093 Před 2 lety +2

      Km niuongo itakua anatafsir bibliaa

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 Před 2 lety +2

      Huyu mtoto ni jahil na anataka kuwafanya wanazuoni wetu waonekane majahil kama yeye.Allah atuhifadhi na shari zake yeye na mawahabi wenzake

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 Před 2 lety +1

      Barzanji hakuwa mtu mwenye elimu ya dini, alikua ni mshairi tu kwahiyo nafasi ya kukosea ni kubwa

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 Před 2 lety +1

      @@mhogomchungu7168 acha ujahili wako.Hawa washairi wa kiarabu ni hodari sana kwa lugha ya kiarabu na wanazijua lugha za mafumbo .Tatizo mawahabi ndio wanatuharibia dini yetu.Barzanji ni mtaalamu wa lugha ya kiarabu hata wasaudi,mawahabi na mayahudi wanamuogopa kwa elimu yake.

    • @shariffjuma7974
      @shariffjuma7974 Před 2 lety

      Ukweli hamuutaki mshazoea mziki ndio dini yenu

  • @yusuphsaad4349
    @yusuphsaad4349 Před 2 lety +4

    Kwa hakika vijogoo vinavyowika viko vingi....tuweni makini sana...Allah akusamehe mdogo wetu....

  • @AsmaAli-je2zz
    @AsmaAli-je2zz Před 2 měsíci

    Naomba mawasiliano yako shekhe

  • @mohamedabu3268
    @mohamedabu3268 Před 2 lety +5

    Masha ALLAH ndio maana umeambiwa huja baleghe ni kweli si kwamba ni kiumri kumbe ni kiilimu ndio huja baleghe

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 Před 2 lety +1

      Haja balehee vip nyie wajinga hadis sahihi za mtume hizo anawasomea mtadanganywa mpaka lin na uzush

    • @hamisimuhammad3656
      @hamisimuhammad3656 Před rokem +1

      @@awadhally1052 hawajielewi hawa

    • @allybobsaith
      @allybobsaith Před 11 měsíci

      @@hamisimuhammad3656jiulize bachu adanganye watu apatefaidagani

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 10 měsíci

      @@awadhally1052 ww kasome na bachu wako mpotoshaji hana ilimu sisi tutasoma tukutane siku ya kiyama

  • @omariweldingfabrication7630

    Mshaa Allah

  • @mchagagaspar6649
    @mchagagaspar6649 Před rokem

    NIME AMINI HUYU KIJANA HANA RADHI NA ANAZO CHENGA AKILINI MWAKE ,ALLAH MVUWE MARADHI ALONAYO NA UMTENGENEZE NDIMI YAKE ASIWE SABABU SISI KUKOSA REHMAZAKO NA KHERI ....

    • @abuibra
      @abuibra Před 11 měsíci

      Anasema Kweli

  • @saidiabdallah-kv7bd
    @saidiabdallah-kv7bd Před rokem +1

    Uyo babaako akipinga maulid lkn hakufikia kusema hayo daaaah

  • @alimohamedahmedahmed1050

    Ndiyo kama ulivyo sema baba wa Ibrahim na mke wa nuhu na mke wa lut wako motoni ni kwa sababu wali onywa wakakata maonyo but wazizi wa mtume nani aliwa onya wakakata na mingu mwenyewe ame sema hanga mizi mtu ila akikata ma onyo hata firauni haku anga miziwa ila baada ya yeye kupiga wajumbe wa mungu

  • @abdallahmkomboz2679
    @abdallahmkomboz2679 Před 2 lety +3

    Hadithi kutoka kwa Annas:Mtume (SAW) anasema MIMI NIMETOKA KWENYE NDOA WALA SIKUTOKA KWENYE ZINAA KUANZIA ADAM MPAKA NILIPOFIKA KWA BABA YANGU NA MAMA YANGU. BASI MIMI NI MBORA WENU KINAFSI NA BABA YANGU NI MBORA KULIKO BABA ZENU!! Hio hadith unayoitoa hujaelewa mafuhumu yake coz neno Abii / Abuu hutumika hata kwa baba mdogo au mkubwa kwa lugha ya kiarabu!! Mtume hapo alimmaanisha Baba yake mdogo Abuu lahabi!!

    • @mafaza.tv.tz255
      @mafaza.tv.tz255 Před 2 lety

      Katika aheria ya kiisalmu ndoa inatambulika hata ikifungwa kanisani au mila, ndomana mtu akisilimu na mkewe hawafungishwi ndoa upya... Bab yake na mama yake mtume walioana lakin haimanishi waliowana kwa sheria ya kiislamu.... Ni ndoa ya mila... Mtu kweli sio mtoto wa zinaa, hilo ni hakika... Lakn haimanishi wazee wake ni waislamu... Wallahi aalamu

    • @habibuhalfani2038
      @habibuhalfani2038 Před rokem

      shekhe wewe hiyo hadithi yako bado kabisa haina upinzani hata mimi kama wazazai wangu wangekua waikristo kisha mimi nikasilimu ukubwani japo wazazi wangu ni makafiri ciwezi sema kuwa mimi ni mtoto wa zinaa eti kwa kuwa wazaz wangu hawakufungua ndoa ya kiislamu namaanisha kupitia ndoa walofunga tayari inahesabika ni ndoa hata mtume alimuo bikhadija kabla ya kupewa utume na bado ni ndoa halali

    • @MtapankunduLyowa
      @MtapankunduLyowa Před 4 měsíci

      Kwani hakuna ndoa za ki mila???? tumia akili wapagani hawana wake?

  • @omaryselemani6575
    @omaryselemani6575 Před 2 lety +3

    Kichaa siokuvua nguo tu

  • @tamashamagoma2941
    @tamashamagoma2941 Před 2 lety +3

    Allah akujaze kheri shekh Bachu, endelea kutuelimisha, wanaokasirika huwenda wanamanufaa na hayo. Allah atuongoze

  • @saidiabdallah-kv7bd
    @saidiabdallah-kv7bd Před rokem +1

    We mfitnishaji tu na mvunjaji nakaziako kupotoa watu tu hauna jengne

  • @saidiabdallah-kv7bd
    @saidiabdallah-kv7bd Před rokem +1

    Astaghfirullaaaah kwaio wamaanisha kwamba mamaetu bibi amina ataingia motoni daaah we jamaa hufai hata kdg yaani tena ww mshenzi tu sii sheikh

  • @mickidadmiraji5949
    @mickidadmiraji5949 Před 3 měsíci

    Sheikh said Omary kijana kaanza tena fujo tunataraji afundishwe tena tangu.

  • @fakijuma8713
    @fakijuma8713 Před 11 měsíci +1

    Sibitisha baba wa mtume kuwa ameabudia sanamu?

  • @AhmedMohamed-po5vh
    @AhmedMohamed-po5vh Před 2 lety +2

    MaAshallah SHEIKH! THANKS SO MUCH!

  • @albaharyhaji8231
    @albaharyhaji8231 Před 2 lety +2

    Nenda kazidi kutafuta elmu kwa wanavyuoni hicho unachokisema ni uwongo mtupu hasa shida ya sasa hivi mkishajuwa kusoma kiarab basi tayari mshakuwa wasomi wa dini

    • @selemanmartin
      @selemanmartin Před rokem

      Wewe una elimu? Omba nafasi ktk mimbar tukusikie, acha chuki wakati huna ujuacho

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 Před rokem

    Bachu kasome baba wa mtume aingie motoni swali alifkiwa na ujumbe akaupinga mungu hamuadhbu mtu mpaka afkiwe na ujumbe

  • @oldpoultry9341
    @oldpoultry9341 Před 2 lety +3

    Masha’allaah tabaarakallah
    Allahumma baarik fyikum

  • @HassanMohamed-pt2dy
    @HassanMohamed-pt2dy Před 2 lety +2

    Hii naona imeeleweka,hayakuwepo maulid na hakuyaacha Mtume wetu (SWA). So tujiepushe na bid'a. Ustadh naona wameelewa tufunze vitu vyengine In Shaa Allah.barakaAllah fiik

    • @adamsamata8754
      @adamsamata8754 Před 2 lety

      Bas tusipande ndege wala basi maana ni kitu kulikua haipo unasema hapo

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Před rokem

      @@adamsamata8754 bado unaulizaga hayo maswali ndg yangu??? siku zote bidah zinazoongelewaga ni bidah ndani ya dini katika ibada

    • @adamsamata8754
      @adamsamata8754 Před rokem

      @@Yu-jr9uf ahaa sawa Sasa somo la Nahau limezuka mtume halijui wala hakuna mtume aliyesoma na vilevile spika za msikitini mtume hakutumia ni bidaa hapo je vipi au navyo sio dini

    • @adamsamata8754
      @adamsamata8754 Před rokem

      @@Yu-jr9uf kama hujatosheka nikuongeze

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Před rokem

      @@adamsamata8754 spika ni ibada??? unajua maana ya ibada lakini ndugu yangu??

  • @sameermilo2492
    @sameermilo2492 Před 2 lety +3

    Hamna Elimu hapo , kuna chuki tu na kiburi

  • @user-fb6dz4zh6e
    @user-fb6dz4zh6e Před 2 lety +1

    Ww kuwa na adabu na wazazi wa mtume
    Juzi tu Mohammad mafuta kamtaja babako kukosa usalafi ukajawa na jazba mpaka kuwakosea heshima kina kasim mafuta
    Keif hao wazazi wa mtume unawakufurisha

  • @hamadidodi5295
    @hamadidodi5295 Před rokem

    Huna adabu mtoto wa bachu

  • @hashimmzee9109
    @hashimmzee9109 Před 2 lety +9

    Kwanini mnaoshabikia mawlid mnakuwa na jazba mnaponasihiwa ukweli? Kwani hiyo Barzanji maneno yake na ubora wake washinda Quran? Yeyote anaetafuta haki kwenye dini yampasa arudi kwenye mafundisho ya Quran na Sunnah.. vyenginevyo hatoifahamu haki na batil ikiwa atakuwa ni mwenye kushabikia itikadi walizofanya mababu zetu wakitakidi kuwa ni mambo ya dini...

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 Před 2 lety

      Kwani wewe maneno yako na quraan bora yepi ni muhim kufaham kwa hiyo quraan .ukiwa hujaifaham basi .utayumba bora tusali na fardhi tujitahidi .

    • @farruqali8879
      @farruqali8879 Před 2 lety +1

      @@karimdaud3993 kwan Quran inaonyesha wapi kama maulid ni ibada

    • @abbasmabewa320
      @abbasmabewa320 Před rokem

      Hashim mzee,nataka mimi na wewe tufundishane Qur'an na sunna,kisha tuje kumfundisha Mwamedi bachu,Wewe uje na tafsiri ya Qur'an nami In Shaa Allah nitakuja na Ta'awil ya Qur'an tujadiliane,tufundishane na tuelekezane kwa adabu na utaratibu mzuri kisha tuje kwa mwamedi bachu pia.

  • @salmaomar7979
    @salmaomar7979 Před rokem

    Muhammad umeowa wake wawili umewaweka nyumba moja hata mtume hakufanya hivo kwa hiyo nawewe pia mnafik

  • @bakarhaj9214
    @bakarhaj9214 Před 8 měsíci

    Kwa kweli huyu bado anathibitisha ni mchache wa elimu kila siku anaharibu yeye.
    Kwani ukisema baba kwa kiarabu inakua baba mzazi?
    Kwa kweli mudi unawapotosha watu na utakwenda kujibu.
    Ami na babu pia unaweza kuita Abii.
    Aabaaukum mababa zenu

  • @abdallahmkomboz2679
    @abdallahmkomboz2679 Před 2 lety +19

    Innalillahi waina ilaih rajiuun!! Uchache wa elimu ndo unakufanya uongee usiyojua...nenda kaisome nasaba ya mtume (s.a.w) umjue Abdullah alikua nani kwa baba yake,,je ni hakua muislamu au alikua anafanya ibada ziliochwa na nabii Ibrahimu!! Nenda kamsome Abdull mutwalib (babu yake mtume) alikua vp,,Kamsome Hashim na jina lake halisi ni nani , na kwann ameitwa Hashim,kamsome Abdul manaf na jina iake halisi ni nani na kwann anaitwa Abdul-manafi!! kasome nasaba yake yote mpaka ya Adinani utawajua ubora wa kizazi cha mtume (s.a.w)

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 Před 2 lety +2

      Kwahiyo hiyo hadithi bi yauongo? Mtume hajasema kua baba yake yupo huko motoni??? Naomba nijibu tafadhali

    • @abdallahmkomboz2679
      @abdallahmkomboz2679 Před 2 lety +9

      @@suleymansalim5732 hadithi ni ya kweli lkn inataka mafuhumu sababu neno Abuu/ abi hutumika hata kwa baba mkubwa au mdogo! Na hapo mtume (s.a.w) amemmaanisha Abuu lahabi ambae alikua baba yake mkubwa!! Hadithi inayoonesha ubora wa baba yake mtume moja wapo ni hii kutoka kwa Annas kwa Mtume (s.a.w) amesema Na nimetoka kwenye ndoa wala sikutoka kwenye zinaa kuanzia kwa Adam mpaka Baba yangu na Mama yangu, basi mimi ni mbora wenu kinafsi na baba yangu ni mbora kuliko baba zenu!! Na ukisoma nasaba ya mtume mpaka kwa Ismaili(a.s) wote hawa walikua wanamuabudu Allah na kufuata mila za nabii Ibrahim (a.s) !! Nakushauri isome hii nasaba kwa undani..Zipo Hadithi za mtume zenye majaz na kinaya ndani yake mfano mtume alipomjibu yule kibibi kizee kwamba Peponi hawaingii wazee ,,, maaanake kuna kinaya sio kwamba wazee wataingia motoni bali pepon tutaingia kwa umbo la ujana!! Kufasiri Qur-an ,hadithi au beti kama hzo hitajiii tu kujua lugha na nahau!! Bali kuna fani za usuulu , Balagha , Mantwik na kujua kilichokusudiwa !! Huyo Barzanji anaemkosoa hapo alikua ni Mufti wa Madina katk Uhai wake na Alifundisha darsa zake katk Msikiti wa Mtume (s.a.w) sasa yeye anakurupuka kufasiri beti kwa kiarabu cha kawaida hvo vnampa tabu sana!! mfano mtu wa darasa la saba kumpa kitabu cha mashair ya wasaka tonge akute shairi la jiwe si mchi , Mvuja jasho au Mfereji maringo alafu atafsiri kwa kawaida bila kujua dhamira za tungo hzoo!! Tusomeni Dini , tupo kwenye zama za fitna!! Hivo kamsome Abdullah bin Abdul-mutwalib ambae alikua ni mtt wa mwisho wa Abdul-mutwalib

    • @sheikhabdallahabdulkarim2470
      @sheikhabdallahabdulkarim2470 Před 2 lety +3

      Kweli

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 Před 2 lety +7

      @@abdallahmkomboz2679
      ALLAH AKUPE UMRI WENYE BARKA .
      NA MOYO ULIVO NIDUNDA .
      KUMSIKIA MTU ANASEMA MAMENO MAZITO JUU YA RASULULLAH. ALLWAAHUAKBAT.

    • @muhidinn5648
      @muhidinn5648 Před 2 lety +2

      Huyu haha akili eti yeye ndo mkweli na hao walioifanya kazi yote mpaka wakatunufaisha kielimu kwa mijeledi ya vitabu ni waongo الجنون فنون والاحمق من المجنون

  • @ramadhanmakame1328
    @ramadhanmakame1328 Před 2 lety +6

    Umma w Kiislamu unaandamwa kila kona na makafiri, sheria za Allah s.w.t hazitekelezwi duniani. Bado mpaka leo mada ni "MAWLID" ndo Uislamu wetu umeishia hapo?

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 Před 2 lety

      Hizo sheria tekeleza ktk family yako huwezi waminisha watu unacho amini wewe

    • @ramadhanmakame1328
      @ramadhanmakame1328 Před 2 lety

      @@michaelthobias9967 kufa kwa chuki zako

    • @mahamoudduchi3318
      @mahamoudduchi3318 Před 2 lety

      @@michaelthobias9967 Huna ulijualo katika uislamu endelea na upuuzi tu ila maisha ya kweli yapo baada ya kufa.

  • @HashimMohd-wg3cy
    @HashimMohd-wg3cy Před rokem

    Nenda ukasome tena, usiropokwe mambo usiyoyajua.

  • @SaidAli-rb2tp
    @SaidAli-rb2tp Před 2 lety +3

    Wazazi wa mtume Mohamad s.a.w wapo peponi tena janatul firdaus ww ni laaana zakusumbua

    • @kukww2024
      @kukww2024 Před 2 lety +1

      Asalam aleikum warhmatulah wabarakatu angaliya kauli zako kaka

    • @sayman158
      @sayman158 Před 2 lety

      @@kukww2024 soma dini kaka acha kukurupuka wewe

    • @mafaza.tv.tz255
      @mafaza.tv.tz255 Před 2 lety +1

      Tupe hadithi inayosema hivo.... Maana hata sisi twatamani wangekuwa peponi..... So Tupe hadithi yaonekana umesoma sana ndg

    • @habibuhalfani2038
      @habibuhalfani2038 Před rokem

      tuliza mshono kaka acha kukurupuka
      tumia hoja kasema mtume mwenyewe wewe nanai tukisikiliza wewe kajambe mbele

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 10 měsíci

      @@kukww2024 mbona usimwambie bachu achunge na wanazuoni na mtume alikataza kuwatusi wanazuoni

  • @hidayarashidi5484
    @hidayarashidi5484 Před rokem +3

    Mashehe kama hawa ndio mimi nawafuata maashaallah

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 10 měsíci

      Fuata upote wapotoshaji hawa bachu mpotofu

  • @abamohamed7092
    @abamohamed7092 Před 2 lety +1

    Ukosefu wa elimu na kukosa adabu ndiko kunakokupelekea kuzua hayo unayoyazua,

  • @user-tb5mc2wm1z
    @user-tb5mc2wm1z Před 11 měsíci

    MAULIDI NI UWONGO KWELI WALA HAIFAI..ILA NASHANGAA MASHEKHE WOTE WANAMSEMA BACHU..KWANZA VP UTASHEREHEKEA SIKU YAKUFA

  • @arjenarjen6718
    @arjenarjen6718 Před 2 lety +3

    Wewe bado kielimu japo kua mtoto wa shekhe

  • @majmaulbahraintv5535
    @majmaulbahraintv5535 Před rokem

    Huna ELIM dogo ndo maana hujui kitu soma Kwanza chali

  • @abubakarfaiz2401
    @abubakarfaiz2401 Před rokem

    Sheikh Abdallah Humeid(Dilele) alivyokuwa akisema mulimwita maneno kibao na kusema ana matusi lakini sahii mwaona maneno mazito alokuwa akiyasema.

  • @swabiralii140
    @swabiralii140 Před rokem

    Unawazimu bachu umeishiwa na darsa

  • @ElMafunzoTv770
    @ElMafunzoTv770 Před rokem +1

    Daaaah we jamaa jahilia sana mpumbavu kabisa yani Allah akuongoze uijue dini Aaamin

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Před 2 lety +3

    Maashaallaah. Allaahu akubaariki.

  • @HashimMohd-wg3cy
    @HashimMohd-wg3cy Před rokem

    Baadae utaelewa tu inshallah na upumbavuwako uwo

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 Před 2 lety +4

    hujatunga hata kitabu cha kurasa 10 Leo hii wamkosoa barzanji Kweli una upungufu WA elimu na Akili

    • @aliybecka5169
      @aliybecka5169 Před 2 lety

      Kwa kweli ww ni mjinga dah pole sana zero brain

    • @shariffjuma7974
      @shariffjuma7974 Před 2 lety

      Ww unakijua au ni kufuata tu bila kujua ulisemalo

    • @aliybecka5169
      @aliybecka5169 Před 2 lety +1

      Jamani kumbe kuna watu wagonjwa kweli ee sasa wewe nani alikuambia kama mtu akitunga kitabu ndio yupo sawa, sasa mimi nakuambia barzanj ni kitabu kilichojaa shirki shirki shirki za waziiiii na uongo mkubwaa

  • @abdallahmwasiho1521
    @abdallahmwasiho1521 Před 2 lety +1

    Mm sina elimu lakini siku zijazo makafiri watakuwa wakija kwny debet watakuwa wana uliza maswali khs maulid,kwny mihadhara itakuwa hvy hvy innahlillah wainnalillah rajuun!!!!!!!

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 Před 2 lety +1

      Haina uzito hiyo hoja pale ni Quran na baibo . Sasa ajekuulza barzanje nikitabu cha mashairi sasa aulize vina au

  • @rashidabasi7940
    @rashidabasi7940 Před 2 lety +1

    Masheikh tulobaki nao.... Kubwa ni kuzungumzia madhehebu .
    Ebu jikite kutoa elimu kama Ustadh Othman maalim watu waelimike wachague wenyewe.

    • @Miynuh_01
      @Miynuh_01 Před 2 lety

      Kabisa, yaani badala kufindisha watu Tawhid na mengineyo yao huyu ni mrongo,huyu ni mzushi huyu ni hivi. Subhana Allah sijuwi twaelekea wapi ,mola atupe fahamu na Tawfiq tuweze kujuwa batil katika dini bila kutegema sheikh yeyote😢

    • @wignaspaschal38
      @wignaspaschal38 Před rokem

      We nae masikio huna huoni kuwa Anaongea point

  • @saidiabdallah-kv7bd
    @saidiabdallah-kv7bd Před rokem +1

    Huo ukweli wako ww twambir

  • @drchinamodi6373
    @drchinamodi6373 Před 2 lety +2

    kibaleghee weee

  • @abubakarfaiz2401
    @abubakarfaiz2401 Před rokem

    Bidaah ni uzushi tu katika dini baaas hakuna lingine

  • @swabiralii140
    @swabiralii140 Před rokem

    Huyu badchu jamaa yuwajua anachoongea

  • @kukww2024
    @kukww2024 Před 2 lety

    Asalam aleikum warhmatulah wabarakatu shukran sana sheikh nakukuba Allah akuweke akupe husnul hatima

  • @athaum05
    @athaum05 Před 2 lety +2

    فسئلوا أهل الذكر إن كنتم لا تعلمون
    Hili ndio tatizo la mtu kuacha kuuliza wajuzi wa jambo,
    Anaamua kujiuliza mwenyewe na kujijibu mwenyewe
    Kisha anajipongeza kwamba kapatia kujijibu!

  • @Marwatv255
    @Marwatv255 Před 2 lety +1

    Kunavitu kama huna elimu huwez kosoa Nahw uliyo nayo na Lugha Hsikutoshi kukosoa

    • @harounmussa846
      @harounmussa846 Před rokem

      Naona umengangana kupotosha watu wewe nimchanga ktk elim kasome huna elim yakuzidi sayidinaa jaafari

  • @omarykinolo3628
    @omarykinolo3628 Před 2 lety

    Hana ilmu

    • @bwagizoselemani8434
      @bwagizoselemani8434 Před 2 lety

      Wewe unaelimu kaka au waongea tu sikiliza hoja tu zakielimu sio unabisha alafu hujui kitu kama kunashekhe yoyote anajiamini kihoja za maulid azilete online mbn wapo kimya

    • @habibuhalfani2038
      @habibuhalfani2038 Před rokem

      wewe una kichaa ndugu hana elimu haya wewe mwenye elimu njoo utuelimisha au kawatafute mashekhe wako wapiga madufu waje watuelimisha on line

  • @swabiralii140
    @swabiralii140 Před rokem

    Wewe ulimuona ama kumskia mtume ulisoma madrassa gni una kibri

  • @omarykinolo3628
    @omarykinolo3628 Před 2 lety +2

    Innaa lillahi wainnaa ilaihi raajiuu ni msiba mzito sana

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali7192 Před rokem

    Hee mtihani kwa kweli mie kwa hapa sikubali

    • @selemanmartin
      @selemanmartin Před rokem

      Hukubali lipi? Tueleze msimamo wako ni upi? na umesoma wapi maandiko tofauti na hayo?

  • @alijabz1204
    @alijabz1204 Před rokem

    Ndugu zangu yauma kweli na nichungu sana lkn yabidi turidhike na tumize madamu dalili zimedhibiti

  • @mohdmohd2550
    @mohdmohd2550 Před rokem

    Tuseme ndio hujui kulingania au vipi, mbona kila sikua wasoma maulidi wanaongezeka tu tena hadi staili mpya za maulidi zinaanzishw, wallah ungekua hujikwezi na kujisifu bac watu wangekuelew

  • @fikratulmuhibbonlinetvismail

    Watumia hadithi zaifuu kuwaingiza motoni wazazi wa mtume

    • @selemanmartin
      @selemanmartin Před rokem

      Kaa pembeni, hata maandishi yako makosa matupu--hujielewi

    • @fikratulmuhibbonlinetvismail
      @fikratulmuhibbonlinetvismail Před rokem

      @@selemanmartin hadithi ya kuwa wazazi wa mtume ni wamotoni ni dhaifu shekh sasa huyuu au kisa iko sahihi muslim

  • @bythamtz8642
    @bythamtz8642 Před rokem +1

    Hauna akili ivyo ulivyo elewa wewe jiulize maneno yako yana akili? Acha kutukana wanawazuoni nenda kasome uelewa wako mdogo sana, Kisha jifunze kuwaheshim Wana zuoni ili uelewe, ndo maana hujui na hutojua mpk kiama, maana wewe unawatukana wenyej kujua kwa umbumbumbu wako

  • @shafiisalim5481
    @shafiisalim5481 Před 2 lety +1

    czcams.com/video/CM7mX19MBM0/video.html
    Raddi kwa Muhammad Bachu jee katika Barzanji kuna shirki (1)

  • @ahmedhusseinshnoor1210
    @ahmedhusseinshnoor1210 Před 2 lety +1

    Nilidhani yeyote anayepingana Mowlid ni salafi, kumbe mahizbi na maikhwani pia wanapinga mowlidi.. yaa hizbiyuun mwanzo jirakibisheni Na Biddah zenu ‘

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 Před 2 lety +2

    Kwa hakika tumewaona mashekhe walokutangulia WA kiwahabi Vigo wakisawasawa hawajadhubutu hats siku moja kuwatukana swahib barzanji Wala waliotunga vitabu vingine

    • @alamoodyfauzi9658
      @alamoodyfauzi9658 Před 2 lety +1

      Kwani huyu shekhe pia? Hata hana quality za mashekhe. Amejaza roho yako chuki kinyume cha mafundisho ya mtume..He is in a lot of pain..namuhurumia.

  • @mrmuhammed8790
    @mrmuhammed8790 Před rokem

    Eeee mwanawee vip kwani mbona unapotosha watu we kama hunakaz nenda kauze njugu darajani dahhh kaz

  • @luqmansadi3724
    @luqmansadi3724 Před 2 lety +1

    Uwongo je wewe ulikuepo

  • @anwarambar6141
    @anwarambar6141 Před 2 lety

    mrongo wewe, kuwa na adabu, mashekhe wote ulimwenguni sijawasikia wakisema kuwa wazazi wa mtume wetu Muhammad wamekufa ilhali mushrikina, umevuka mipaka wewe, wewe ni kazi yako kubishana TU

  • @omarymtumbatu6157
    @omarymtumbatu6157 Před 2 lety +2

    Kushachelewa ww shekhe, tutasoma maulidi mpaka kiama

  • @user-gl6ep3xp9s
    @user-gl6ep3xp9s Před 10 měsíci

    Wacha upuuzi na ujinga ww kijana kaa chini ukasome

  • @burayhin
    @burayhin Před 2 lety +9

    Muhammad utakuja kudhurika ndugu yangu nenda ukasome, haya yote ni kwasababu hujakaa kusoma kwa ambao zimesakimika sanadi zao za ilmu.

    • @zaitunmohamed9398
      @zaitunmohamed9398 Před 2 lety

      Akasome wapi nae ahahitimu kitabu cha kupinga maulidi mengine hajui ya kufundisha manake kuna watu watamani hata hii twahara hawajui km engelifundisha angalipata thawabu ngapi?

    • @zahorsuleyman3429
      @zahorsuleyman3429 Před 2 lety

      Ndio walivo watu wamaulid wasema msitafsiri kitabu Cha maulid kina malagha kubwa subhanallah kitabu Cha maulid kina malagha kubwa kuliko Qur-aan nayo imetafsiriwa

    • @zahorsuleyman3429
      @zahorsuleyman3429 Před 2 lety

      Nyie mnaemwambia akasome hamjui lolote na km hamjui lolote utajuaje kua Hana elimu ililhali wewe mtupu

    • @addaalmedia
      @addaalmedia Před 2 lety

      Wacha mambo ya kudhurika kama uko na hadith ambaye ni kinyume alivyo sema sheikh leta

    • @zaitunmohamed9398
      @zaitunmohamed9398 Před 2 lety

      Samahani nielewe vizuri nimekwambia kuna mbao ya muhimu kufundisha watu sikupinga maulidi kuna watu hata hii swala hawajui kwanini asifundishe watu na ndicho kitu cha kwanza kaburini tutaulizawa

  • @feisal6592
    @feisal6592 Před rokem

    Piaya stusemee yakweli usisome uwongoo ttuu

  • @yahyajunior6569
    @yahyajunior6569 Před rokem

    Huyu jamaa ana akili duni hana busara hata kidogo.... Ajiandikishie kitabu chake asipuuze vitabu vya wenyewe

  • @hamhahamha9446
    @hamhahamha9446 Před 2 lety +1

    We Muhammed Bachu Uchizi kama chizi wengine tu.

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 Před 2 lety +1

    Mitume wengine walikuwa na dini gani kama watu walokufa kabla ya mtume kutumilizwa wataingia motoni ambao ni ahlu fitra

    • @eastzooadmin6416
      @eastzooadmin6416 Před 2 lety

      Mbona upo kama bunju, yani bado tu hajaelewa, au ni kusudi tu. Ndo nyinyi watoto wa barzanji 😁

  • @fahmisaid8998
    @fahmisaid8998 Před 2 lety

    Huna mengine ya kuongea mtu wewe ni Mawlid tu? Kuna mengi yakuongea jamii imepotoka yahitaji kurekebishwa...nyinyi ni Mawlid tu utapasuka kundru angalia ya muhimu boss

  • @abdalhasaid8408
    @abdalhasaid8408 Před 2 lety

    Ww kazi yakufanya huna unatafuta mashekhe wameteleza wapi upate ukosowe wachana na waislam wenzio kugombana nao ila nimekumbuka nimipango yenu malumu munalipwa kufanya hivo na viongozi wenu

  • @issajaha5162
    @issajaha5162 Před 2 lety

    Kwakweli sijaelewa hoja zako za kupinga maulidi kwahiyo mama yake mtume hakuwa mwema

    • @mafaza.tv.tz255
      @mafaza.tv.tz255 Před 2 lety

      Assalam Alykm, ndugu usitsfute hoja ya kupinga maulidi... Waulize wanaofanya wametumia hadithi gani, au aya gani, au swahaba gani au imamu gani shafi, hambal, maliki, hanifa... Nani alifundisha maulidi... Hao ndio maimamu wa kutegemewa... Kama ni mtu tu kaja nayo basi hiyo si ibada.. So usiulize kwanin haifai, uliza kwanin watu wafanye jambo ambalo si mtume, wala swahaba, wala taabin, wala maimamu wanne wakubwa amewahi kufanya hilo

    • @ashasalum4467
      @ashasalum4467 Před rokem

      Mtihaaani kwa kweli.

  • @abunufilaabunufila2152
    @abunufilaabunufila2152 Před 2 lety +1

    Wewe mjinga kweli kuna makahaba yanafanya yatakayo miziki aina tofauti tena yanaharibu watoto sibora upigevita hayo machafu wewe

  • @ashraf.e.o
    @ashraf.e.o Před rokem

    Sabasibul Kubra... pwaguzi wako
    خالف تعرف ،

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 Před 2 lety +3

    Mwanzo kamsome barzanji ni nani ndio alafu umkosoe

    • @user-rk3cv3or8q
      @user-rk3cv3or8q Před 10 měsíci

      Akamsome kivipi?sisi tunatafuta ukweli tupate muongozo

  • @omarmuhidin7261
    @omarmuhidin7261 Před 2 lety

    Samhnn naomba niulize kwani Mzazi wa Nabii Ibrahim Baba wa iiman Babaake Ameingia wapi? Je alikua Muislamu au Mshirikina?

  • @lukakyauke3258
    @lukakyauke3258 Před 2 lety

    Apo Mmesema kweli Wazazi wa Muhammad walikuwa makafiri
    Na kwa mojibu wa Biblia kitu Kichafu akiwezi kutoa kitu kisafi
    Kwa msingi huwo Muhammad ni Nabii feki

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 Před rokem

    Bachu unatia kichefuchefu

  • @binamiin8144
    @binamiin8144 Před rokem

    Muhadii mashalifuu watakulaaani

  • @fatmaabdallah8471
    @fatmaabdallah8471 Před 2 lety +1

    wewe bado tuu umekazana maulidi niuongo wajuao ilimu hawapingi maulidi athman maalim na ezdin huashidi kwa ilimu hawapingi maulidi una nini wewe kijana ama umepewa pesa upwa yukwe mtumi mungu amemsifu alianza mungu kumsifu mtumi usitusemeshe kijana tafuta ilimu kwanza wewe huna ilimu bachuuu wacha kusema maulidi niurongo wewe ndie mrongo huna ukweli kabisa

    • @criminal03mostwanted71
      @criminal03mostwanted71 Před 2 lety +2

      Wewe Sasa unaakili kweli ❓❓❓❓❓Sasa Izuddin na othman maalim wameyapata wapiiii hayo maulidi na hayo maneno yaliopo kwenye hayo mabarazanje, na simtuddurari......... Pia hawana ilmu kumshinda mtume hat imaam shafiy hawamkuti

    • @criminal03mostwanted71
      @criminal03mostwanted71 Před 2 lety +2

      Thibitisha uongo wa Muhammad Bachu maana upuuzi wenu wa vitabu vitabu vya kipuuuzi kama barazanji

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 Před 2 lety +1

      Barzanji alikua mshairi na hakuwa mwanachuoni wa dini , soma quran 26.224
      وَالشُّعَرَاء يَتَّبِعُهُمُ الْغَاوُونَ
      224. Na watungaji mashairi (yasiokuwa na faida ) wanafuatwa na watu wapotofu (wenye akili zao hawafuati watu hao).
      Tafsiri ya Sheikh Abdallah Saleh Farsy
      Hivi unafikiri hiyo aya imeshuka kwa bahati mbaya ?

    • @fatmaabdallah8471
      @fatmaabdallah8471 Před rokem

      wewe mwalimu wako haja kupa ilimu maulidi ni sera ya mtumi huna ilimu wewe tafuta ilimu kwa wasomi

  • @swabiralii140
    @swabiralii140 Před rokem

    Fanya adabu na mashekhe sasa na wewe utamuuliza vipi mtume natayri ushakataa kuwanuri yke haiko ushamba mwingi kasome

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 Před 2 lety +1

    Mungu akuhifadhi lakini unapoelekea ni pabaya na yatadhihiri si mbali

    • @allysharifu9049
      @allysharifu9049 Před 2 lety +2

      Sio kusoma tu ajifunze na adabu

    • @allysharifu9049
      @allysharifu9049 Před 2 lety

      Anapenda sana kudhalilisha wazee anastahili kuwaita babu

    • @yussufisaack7436
      @yussufisaack7436 Před 2 lety +1

      Mashekh walio na elimu wametulia hawasemi kuhusu maulidi,haswa baada ya kishki kuja juu akatulizwa na Muhammad Alhaadiy.lakini huyu debe tupu haachi ........lakini pia yy ni Muhaddith!!!!

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 Před 2 lety +1

      @@yussufisaack7436 acha kuongea usoyajua!! Sikiliza clip utaelewa Muhaddith ninani? Usiongee bila ujuzi sio vzri ndugu yangu tafuta clip alozungumzia kuhusu Muhaddith .usiweke chuki chuki hufunga ufahamu

    • @abubakarmohamed2845
      @abubakarmohamed2845 Před 2 lety

      Yaani mtu hata su chochote si lolote kusema ati wazazi wake mtume wako motoni! Audhu billah.

  • @Ahmed-wj5md
    @Ahmed-wj5md Před 2 lety +1

    Please don't come to give wrong words you need to study

    • @selemanmartin
      @selemanmartin Před rokem

      Colonial mentality, why don't you write in Kiswahili? Uonekane umesoma sana! Jinga

    • @selemanmartin
      @selemanmartin Před rokem

      He has studied that's why he's speaking reality infront of you with no doubt with perfect references

  • @abunufilaabunufila2152
    @abunufilaabunufila2152 Před 2 lety +1

    Shekhegani wewe uliekosa busara na adabu

  • @TJ-gv5bz
    @TJ-gv5bz Před rokem

    Amelaaniwa yeyote mwenye kusema na kuamini ya kuwa Wazazi wake Mtume SAWW waliishi na wakafa katika Ukafiri. Wahhabism is the most disgusting distorted belief.

  • @abrahmankubo4857
    @abrahmankubo4857 Před rokem

    Fanya eshima wew wachakuwatukana masheghe nakujiona wewe unaelimi

  • @abunufilaabunufila2152

    Wewe unejifunza jihadi kwa ajili ya kupigana na waislamu wenzako