MAJIBU KWA MUHAMMAD AL-HATIMIY|| USTADH ALI ABUBAKAR AFAFANUWA MAANA YA HIKMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 210

  • @idrissakassim824
    @idrissakassim824 Před rokem +42

    Yaani ktk maisha yangu yote saizi ndo napata kuelewa ubaya wa Maulidi hapo mwanzo nilikuwa tu nasikia malidi hayafai lkn ilikuwa cjapata dalili za kutosha. Ahsanteni Sana walimu wetu Allah awafanyie wepesi ktk harakati hii ya da'wah

    • @hamisyshembe419
      @hamisyshembe419 Před rokem +1

      😆😆😆Al maj nuun fununu

    • @hamisyshembe419
      @hamisyshembe419 Před rokem +2

      😆😆😆Al maj nuun fununu

    • @abdulimalikidulle
      @abdulimalikidulle Před rokem +1

      Njooni kwenye daghawat ASALAFYA Haina urongo Kama uku. Utaona ulinganizi sahihi

    • @abdulimalikidulle
      @abdulimalikidulle Před rokem +1

      Sawa uko vizuri. Allah akulipe kheriy na akuzidishie kufaha hakh

    • @idrissakassim824
      @idrissakassim824 Před rokem +1

      Tena nimependa na nimefurahi Sana Allah azidi kutupa ufaham wa kweli tutoke kwenye kundi la upotofu tuingie kwenye Nuru inshaallah 🙏

  • @eastzooadmin6416
    @eastzooadmin6416 Před rokem +21

    Naam shukran Sheikh Muhammad na Sheikh Ali. Nyie ni miongoni mwa simba wachache wa Allah waliobaki hapa east Afrika, mnaiwakilisha sunnah ya Rasul SAW ipasavyo. Na mko tayari kukabiliana na fasad wanayoileta hawa jamaa wa bida'a masufi na mashia.

  • @aliabdalla6998
    @aliabdalla6998 Před rokem +20

    jazaakum Allaahu khayran mashekhe zetu, zidini kuweka safa na kuyasafisha mazingira, watu wengi watoka kwenye bid'a na ushirikina kwa sababu ya hizi clips zenu, Allaahu Atuongoze na awaongoze na atupe sote thabaat mpaka siku tutukayo onana nae. aamiin

  • @yusufsuleiman7886
    @yusufsuleiman7886 Před rokem +14

    Mashallah sheikh , Allah akulipe kila lakheir , umefanunua vizur na imeelewaka zaid kabisa

  • @allydaud117
    @allydaud117 Před rokem +17

    Masha Allah. Endeleeni kuwapiga nondo mpaka wanyooke. Haya majibuzano yanawatowa wengi sana katika bidaa wengi wanapata kuijuwa hakki. Allah awape umri mrefu masheikh wetu mzidi kutunufaisha na sisi

    • @aliabdalla6998
      @aliabdalla6998 Před rokem +6

      kweli kabisa, wengi wetu tumeziacha bid'a baada ya kuiona haqqi, namuomba Allaahu Awaongoze kina Haatimi na jufri waione haqqi na waifuate. aamiin

    • @allydaud117
      @allydaud117 Před rokem +1

      @@aliabdalla6998 Amin Insha Allah

    • @salamanyale2226
      @salamanyale2226 Před rokem

      Hyo siyo haki wala kwahyo niwaulize babu zenu waliokufa wako peponi au motoni sabb walkua kweny bidaa

    • @AishaSelemani-mp9zc
      @AishaSelemani-mp9zc Před 6 měsíci

      😂😂😂😂😂

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Před rokem +5

    Tatizo ni hii dini ya mazoweya. Bila ya kuuliza na kujielimisha. Allah akujaze kheri sheikh wangu. Ahlu bidda wazito kufahamu.

  • @khalifa_kuchi
    @khalifa_kuchi Před rokem +12

    Ya sheikh wallah raha sana hawa w2 wa bidaa wana raha muda mwengine na hivi ndivyo wanavyotaka ktk dini hakuna mzaha mashaallah sheikh nakuombea kw allah azid kukupa afya upate kutukumbusha na kutuonesha hakki na batwili

  • @abouhafswa5580
    @abouhafswa5580 Před rokem +4

    ALLAH azidi kuihifadhi DINI yake kila zama kw kuibua watu wapya..Maasha Allah..ALLAH akuhifadhini na awarahamu Masheykh walotangulia kwa wema na utetezi mzuuri wa Sunnah na walobaki hai awahifadhi na awape siha njema na mwisho mwema...Aaamiin yaa Rabb..

  • @hamadali3231
    @hamadali3231 Před rokem +10

    Mashaallah . Allah akujaalie umri mrefu sheikh wetu mpendwa

  • @faisalmohamed727
    @faisalmohamed727 Před rokem +11

    Baraka LLAH fik, raha sana.

  • @sherallysherally1203
    @sherallysherally1203 Před rokem +4

    Allah awabariki nyote Msimamiao Haqi. Twawaombea Nusra na muzidishiwe Ikhlasi juu ya ikhlasi mlizonazo. Aamiin

    • @salamanyale2226
      @salamanyale2226 Před rokem

      Hyo bachu ndio mshirikina mkubwa sababu Ana kibri mpk ajiona yy ni jitu kubwa aita wenzake kijamaa hiki hyo ni kibra na mwenye kibri motoni

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem +10

    Allahu Akibar hivi hawa masufu wanajitambuakweri subuhanallah mwanaumekasimama amesoma anadanganyawatu eti mtu afe malambili sijuiinakuaje hawaogopi zambi

  • @mohammedshikanda7706
    @mohammedshikanda7706 Před rokem +7

    Shukran sheikh jazaakallahu kheir....huyu Muhammad Al hatmy ashajua ukweli ila kibri tu ataonekana amerekebishwa na nyie masheikh vijana

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 Před rokem +12

    🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️ Alhatiiii ame bambwa na ujuaji wake wote

  • @saidmakamejanja3616
    @saidmakamejanja3616 Před rokem +10

    Allah awape nguvu ya kutubainishia haq

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 Před rokem +6

    Hatmy hawezi kujibu, kashajijua kama ypo kwenye batwil ndio maana hana hoya na hana pa kujitetea, Allah amuongoe.

    • @salamanyale2226
      @salamanyale2226 Před rokem

      Amejua uajibizana n mtu asiejielew kelle nyingi 2 mbn alisema atakuj aonane nae Ana kwa Ana hjafik n alisema akijibiwa 2 axbui uaingia Kenya atasumbua wendaqazim wenzak km nyinyi

  • @hashimiddy4142
    @hashimiddy4142 Před rokem +7

    Mashallah

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 Před rokem +4

    Nawapenda hawa masheikh bado vijana wadogo lakini wanafaidisha sana jamii ya kiislamu mfano Muhammad bachu

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před rokem +9

    Wallahi billahi tallahi watu weeeeengi wanafunguka macho na kuona kumbe hao masufi hawana lolote ila kupoteza na kuharibia waislamu dini yao kwa kuzusha kila kukicha na tena mazushi yenye hata mtoto aweza ona ni mchezo

  • @fadhilizomboko459
    @fadhilizomboko459 Před rokem +1

    Mash'allah sheikh wng mungu akupe mwisho mwema karibu Tz

  • @hijahamadi5793
    @hijahamadi5793 Před rokem +15

    Sheikh alhatimiy anategemea kiarabu chake zaidi kutafsiri quran na sunnah kuliko maneno ya wanawachuoni, kwa hiyo hafai.

    • @matanohassan9667
      @matanohassan9667 Před rokem

      We mgonjwa nenda kasoma aliyesoma haonge maneno hayo kama yako ya ujanja ujanja haifai kwako lakini iko watu wengi nyuma yake kielimu

    • @swalehjamal4867
      @swalehjamal4867 Před rokem +1

      @@matanohassan9667 Nenda madrasa Ukasome ww…mtu amashafuka banah iwafufuka ati asilimu 😂😂😂

    • @matanohassan9667
      @matanohassan9667 Před rokem

      @@swalehjamal4867 alhamdulillah sio uwezo wangu ila Allah alinipa uwezo nikasoma na aknipa akili ya kuchuja mtu kwa kisomo Mungu kanipa wala sio fakhari ila niliongea HIVO kwa kukusudia kakangu muislamu hapo juu kasema alhatimiy ategemea kiarabu kuliko wanazuoni huo ni uwongo wa wazi ziko clip alhatimiy kaongea kwa vitabu na naswi ila ikiwa kiarabu champa mashaka akumbuke kiarabu na fani zake zote ndio kina cha kujua undani na kina cha dini kupitia wanazuoni namna walivyo fasiri ndio mtume s.a.w akasema tusome kiarabu ndio lugha yetu na ni lugha ya peponi

    • @hijahamadi5793
      @hijahamadi5793 Před rokem

      @@matanohassan9667 Alhatimiy tokea ajue كان واخواتها anawaona wenzake wote hawajui lugha yeye pekee tu ndio anajua , utafikiri iyo lugha kaiasisi yeye , hata tafsiri za wanawachuoni hazitaki atoa zake mpya, kwa hiyo anatania mbaya ya kujifanya anajua lugha sana kuliko hata wanawachuoni, mpaka avitafsiri vitabu vya wanawachuoni kwa maoni yake, Wenzake wananukuu yeye ajifanya ajua.

    • @swalehjamal4867
      @swalehjamal4867 Před rokem

      @@matanohassan9667 kwaivo ilmu yako y akwambia maulidi ni sunnah ya mtume ?

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před rokem +2

    Maashaa Allaah, kwa nondo hizi mtu wa bidaa yeyote yule hawezi simama tena hapa

  • @jeyllanghulam7990
    @jeyllanghulam7990 Před rokem +5

    kumbe mpaka wenye kutegemewa hawana hishima na waislam na mashekhe wakubwa subhanallah 😥

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Před 11 měsíci +1

    MashaAllah, sheikh wetu Allah akuhifadh

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696

    Nawashukuru Masheikh Wa kisuni Wamenio kowa Kutoka Kwa Masheikh Wa Bidaaa hapo Awali Nilikuwa Nafanyaa Ibada za Bidaa Ila Sikuwa Najua Allah Anisamee Nimekuga Kugunduwa Makosa Yangu Ya Ibada Kwenye Bidaa Baada Ya Kumfatilia Sheikh Mohammad Bachu Amenisaidia Kiimani Mungu Awape Jana Soten Wana Suni Wote Na Wale Wote Wabidaaa Mungu Awaokowee Wawee Wana Sunii

    • @salamanyale2226
      @salamanyale2226 Před rokem

      Innalillah wainailayh rajiun yn mashekh wote hawakusoma ila bachu ndie ajuae haki na atupe nasaba ya masomo yake mpka afike kwa mtume hyo ikiwa amesoma kweli maan ilmu ni ile inayokua n nasaba mpk kwa mtume Muhammad s.a.w

    • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
      @sanoureyaliwadoakaroyo1696 Před rokem

      @@salamanyale2226 Narudia Tna Tumepotezewa Mda Sana Nasio Tu Kupotezewa Mda. Tumedanganywa Sana Na Hawa Walimu Wa Kupiga Ngoma Yni Maulidi Sikufichi Mim Nilikuwa Mchefa Zafa Ili nilisha Toka uko Baada Ya kujua Ukwel Ila Sikulazimishi Endelea kuamini Kile Unacho Amiin

  • @yuzasivyussuph6087
    @yuzasivyussuph6087 Před rokem +7

    حفظكم الله ويرعاكم

  • @Juleybibsalim
    @Juleybibsalim Před rokem +3

    wallahy hyu kijana ni mfidhuli sana,,,,anatafuta kiki tu kupitia masheikh wa sunnah

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh3177 Před 9 měsíci

    Jazaka Llahu lkhair

  • @triple_a3103
    @triple_a3103 Před rokem +1

    WaLLAHI majibu haya anayopewa hata sisi tusio na elimu basi tunafahamu yani maneno yapo wazi waLLAHI na Mola awalipe khery

  • @abdallahbrek1698
    @abdallahbrek1698 Před rokem +1

    Hii ndio natija ya kusoma dini kupitia vitabu vilivyoandikwa na mwanadamu na kuacha kitabu alichotuteremshia Allah, Al Quran.
    Mtume Muhammad amekufa, kama walivyokufa mitume wote waliomtangulia aleihumussalaam. Ujumbe wa Allah uko hai.
    Al anaam aya 153

  • @hafsumohd2049
    @hafsumohd2049 Před rokem +1

    Jazakallah kheyran akhy nimestafid vyakutosha kwako

  • @ShabanAmukuyi-vd6yk
    @ShabanAmukuyi-vd6yk Před 9 měsíci

    SubhaanaAllah makubwa haya tunamuomba atuepushe na bid'a

  • @swalehjamal4867
    @swalehjamal4867 Před rokem +4

    Washazoea kuzua mambo hawa wazushi SubhanaAllah (yaani mtu amfufuka akasilimu 😝😝😝mama yangu movie ya kihindi)

  • @ahmedsalim4930
    @ahmedsalim4930 Před rokem

    MashaaAllah tabarakaAllah swadaqtha akhui unapo rekebishwa kubali amesahu yy alipo warekebisha mashekh wenzake kwa kuwakashif sahii zamu yake kurekebishwa aruko hoja

  • @shidiereng7181
    @shidiereng7181 Před 11 měsíci

    mashallah sheikh Allah akupe afya na akulipe jannah inshallah

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 Před rokem +5

    Subhana'Allah kumbe yuko hivyo kumbe ali anza kitambo!?

  • @champion11537
    @champion11537 Před rokem

    Nimezipenda nondo izo , mtu wabidaah asimami apo bio kabisaa Almdulilah Allah akwifazi shekh

  • @amy_jay9669
    @amy_jay9669 Před rokem +2

    Thanks you

  • @saliminswagg-8152
    @saliminswagg-8152 Před rokem +3

    Hawa watu wamaulid kaz yao kutupotosha ss tusio jua din allah awalipe her watu wa sunna

  • @thaniali3030
    @thaniali3030 Před rokem +1

    Maulid n bid.aa uzush Allah atuongoze ktk njia sahihi

  • @binabeidsalim6380
    @binabeidsalim6380 Před rokem

    Ali bakari abedi utadhani ndiwe mwenye funguo za pepo na moto subhanalla

  • @bariyowabdullahi1315
    @bariyowabdullahi1315 Před rokem

    Mungu awahifadhi ma Ustadh wa sunna na awaongoze watu kaburi

  • @diinsormisra8114
    @diinsormisra8114 Před rokem +1

    YAANI MUMEKOMESHWA NA ALHATMY
    SAHIZI MWASHINDANA NA AL MARHUM UT MUHAMMAD AL BIDHI !!!!!!KOMENI

  • @jumajafar8710
    @jumajafar8710 Před rokem

    La ilaha illallah...hivi mtu anapewa maneno ya dini kwa hoja anakimbilia usul fiqhi..kama mmoja wao alivyonishambulia

  • @omarmohamed2168
    @omarmohamed2168 Před rokem +4

    Dini imefanywa kama siasa za chedema na CCM . Laa haula walaa quwwata illa billah. Yaa Allah tuongoze waja wako

    • @aliabdalla6998
      @aliabdalla6998 Před rokem +1

      soma dini yako nduguyangu, ukiijua utafunguka akili, na utajua kinachofanywa hapo ni nini

    • @hijahamadi5793
      @hijahamadi5793 Před rokem +1

      Huyu yuko usingizini , amka ndugu yangu , hapo ni haki na batwili ndizo zinazopingana ,sio hao masheikh.

    • @ahlusunna8932
      @ahlusunna8932 Před rokem

      Dah ndugu yangu jitafakari sana kama mpaka unaandika maneno hayo kuwa hujaelewa chochote kilichobainishwa na hao masheikh tusome dini ndugu yangu utaujua ukwel. Hapo wanabainisha ukwel kwa ummah ili watu wasipotee kwenye njia na kuelekea kwenye haq

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 Před rokem +5

    Altamy ni kituko

  • @tanzaniaonmzamiloon8627
    @tanzaniaonmzamiloon8627 Před rokem +2

    Nyote elimu zenu ndogo hazifai kuchukuliwa Bora Bora upaki pila ya elim kuliko kuwa na elim kama Muhammad na jamaa sio

  • @faizamri7144
    @faizamri7144 Před rokem +1

    Mashaallah

  • @yasrearafat1662
    @yasrearafat1662 Před rokem +2

    Jamani hata mkiona wenyewe hivi hamuoni
    Hivi kweli kama hawa ndo wahadhiri gani acheni ujinga mtakuwa mnatumia virevi mbona jaziba na nondo zenyewe haZijashiba ni makelele kila siku nimekuwa nikisikiliza tu ila jamani tunahitaji watu wenye elim jaman

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před rokem

    Sunnah ime badilishwa na kufanywa bidaa, kipindi kirefu, kwaio shirikianeni Madu'aat wa Haqqi kuisambaza Sunnah na Uislamu uliokua sahihi.
    Baaraka Allaahu fiikum

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před rokem +9

    Mashekh wetu hawa watu wa bidaa waacheni sisi tumeshawajua mda sanaa
    Hutumia akili kuliko dalili
    Halafu watu wa kingoma hawachelewi kusahauu
    Allah awajalie afya na salama muzidi kutupa elimu aliyoacha Mtume SAW pamoja na MASWHABA Radhwi 😊za Allah ziwe juu yaoo

    • @hajjijm9935
      @hajjijm9935 Před rokem

      Wallah waachane nao 2 saiv ss tushawajua wote ahlul bidaaa

    • @johariabdalla3319
      @johariabdalla3319 Před rokem

      Ww ushawajuwa au sisi tushawajuwa,ila kuna wengine huko bado wanawandelea kuwapotowa,waliokuwa bado wako gizani,kwahyo lazima huu msasa uendelee wa kuwazindua waliolala kutoka kwenye kuzinduka,wameharibu sana..na wanaendelea kuharibu.

    • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
      @sanoureyaliwadoakaroyo1696 Před rokem

      @@johariabdalla3319 Dada Katika Iman Masheikh Wa Bidaaa Wameniaribu Sana Katka Ibada Yangu Ila Namshukuru Allah Kuniokoa Baada Ya kumfatilia Sheikh Mohammed Bachu

    • @yussufmassoud2790
      @yussufmassoud2790 Před rokem

      kinachowaponza masufi katk dini nikuamini akili zao zaidi kuliko kutumia dalili

  • @osos9073
    @osos9073 Před rokem +1

    Muhamed bachu ni kama brother k wa futuhi wakukurupuka

  • @Juleybibsalim
    @Juleybibsalim Před rokem +4

    bora angenyamaza kimya tu akafanya da'awa kiupande wake,,,,,yy anasema masheikh wa sunnah hawajui kufanya da'awa amesahau ya nyuma aliyozungumza kuhusu masheikh tena wakubwa zake ki elimu na ki umri

  • @jeyllanghulam7990
    @jeyllanghulam7990 Před rokem +2

    naam ni d3wah ya kishetwani tna yakiiblisi ikiwa da3wah yake yaenda hio

  • @tushuhassan3809
    @tushuhassan3809 Před rokem +3

    Jufri nihatari kwa jamii

  • @thefoodshaikh811
    @thefoodshaikh811 Před rokem

    Huyu hatimy ni mpuuzi sana kila mwaka analeta ubishi katika dini.

  • @omarmohamed2168
    @omarmohamed2168 Před rokem +4

    Mashekhe wa zama hizi wapenda kuonekana kila mtu ajiona mjuzi kuliko mwenzie

  • @abynduwimana1767
    @abynduwimana1767 Před rokem +1

    Naaam al akh

  • @mkude
    @mkude Před rokem

    Baraka llahu fyik

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Před rokem +2

    ABUU HATIMY ASITAFUTE SABABU . Ye alisema akufundishe. Sasa ndo afundishe masomo yote nidhamu Nah,w fiqh n.k bila kusahau BARZANJI. ATUPE MAJIBU YAKINA TUKINAI MDAHARO KWANI UNAGHARAMA GANI??????

  • @amirsaid5426
    @amirsaid5426 Před rokem

    Wale ambao si waislamu wafanyeje kama nyinyikwa nyinyi waislamu mwashindana wakati nyinyi nyote mwamuamini mungu na mtume wake... ibilisi awacheka sana haifai waislamu kushindana tena misikitini hamuoni haya nakuekeana video ya mikato musiharibu amal zenu... muogopeni Allah.

  • @omarchaijefwa729
    @omarchaijefwa729 Před rokem

    Hahahaha tuko nao mambrui hao eti ndio masharifu waso na madhambi SUBHANALLAH

  • @Learn4TechTrainings
    @Learn4TechTrainings Před rokem +2

    Huu mjadala uliisha kitambo. Haki iko wazi. Usipokua sasa Al_Hatimy analaumu watu. Tuweni wenye kufuata haki itakapo dhihiri.

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Před rokem +1

    Mbona makha na madina dini imeanza kwao nasijaona vitabu vya barazanji vikiuzwa.yamaanisha nikitabu chakuuzwa Africa

  • @hafsumohd2049
    @hafsumohd2049 Před rokem +1

    Niwaombeee kina alkhatim mukikosowa haya yaliosemwa safisheni maneno ya jufri nitawaelewa ila sidhan kama atasafika kwakiasi alivyojichafuwa jufri Allah akuongowe atuongoe na sisi .

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Před 11 měsíci +1

    Alhamdulillah Leo nimejua maana ya hikma ni nn

  • @seifseif5549
    @seifseif5549 Před rokem

    Kwanza jifunze kiswahili

  • @swalehjamal4867
    @swalehjamal4867 Před rokem +2

    Sheikh Bachu Kuna kijana mmoja aitwa manswab Nataka umwangalie vzuri Pia Huyo maaana hao kwa kuzua mambo 😝😂😝😂na ushindani kwa juu

  • @swaaleh
    @swaaleh Před rokem

    Ingependeza zaidi video kutiwa subtitles za kiswahili kwa wale wengi ambao hawajui kiarabu kwa vile vipande vyenye maneno ya kiarabu

  • @yyyyyy4144
    @yyyyyy4144 Před rokem +3

    usufi mwisho wake ni kuabudia makaburi au kuwaomba waliokufa

  • @swalehjamal4867
    @swalehjamal4867 Před rokem

    Hua hawa wazushi wakikosa hoja ya kujitetea ndio huleta istiizai katika dini ..lkn Allah atawaongoza .

  • @Juleybibsalim
    @Juleybibsalim Před rokem +2

    hyu kijana kweli hana akili,,,,sasa akiskia na darsa hyo atatafuta darsa ya sheikh mwengine aanze kumtolea makosa,,,,,inaonekana ana chembe chembe za hasad kwa masheikh wenzake

  • @yassinm69
    @yassinm69 Před rokem +1

    ALHATIMY tatizo ubishi

  • @ummurahma7597
    @ummurahma7597 Před 11 měsíci

    Innal bathwila kana zahuka

  • @abdullahimayike1182
    @abdullahimayike1182 Před rokem

    Hatumtabuwi Fowzani Kabsaaaaa

    • @selemanmartin
      @selemanmartin Před rokem

      Humtambui Fawzan!! Wamtambua nani sasa?! Jufri? Masimosya.

  • @tushuhassan3809
    @tushuhassan3809 Před rokem +2

    Hawa utafkir wamekula kiyapo cha kutetea maulid watawaumiza vichwa 😀

  • @naimaabdallah4002
    @naimaabdallah4002 Před rokem

    Nakweli hakusoma uslul fiki bahero

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před rokem

    HAO MASUFI,
    WAPIGENI NYUNDO ZA VICHWA MMPA WAACHE BID'A ZAO!!

  • @Juleybibsalim
    @Juleybibsalim Před rokem +3

    anajiona kuvaa vilemba vikubwa ndio kuwa sheikh,,,,,lakini ndivyo walivyo masheikh wa maulidi,,,,,wanafanya da'awa kwa kupata rizki zao

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před rokem +2

    Ukiwa Muongo usiwe msahaurifu

  • @abdullahimayike1182
    @abdullahimayike1182 Před rokem

    Kwani Fowzani Ni naani Tunamjuwa Ni Mujisim Akisema Jambo Huwa Ni Wahyi Umeshuka ?

  • @canoksancomprehensivelearn7182

    Kwa vyoyote hawezi akawa mtu mwanachuoni halafu hajui tawhiid huyo sio mwanachuoni bali mwanachooni na hujamuelewa imam shafi maana mtu kama hana dalili ya kitabu na sunna na ni mtu wa mantwiq au falsafa tu huyo anafasiri kitabu kwa akili yake na hajui bali anang'ang'ania ushabiki Allah hatamuongoza huyo mtu maana amechagua matamanio ya nafsi bali wanaotaka kuongozwa na Allah watapima maogezi haya na kusoma na kumjua Allah kwa dalili za Quran na sunnah kwa faham ya salaf wema na sio kina Jufri na makafiri aina hizo zao huyo atapata muongozo. haki imekuja na batil ishadhihirika. chukien mnaochukia na furahini mnao furahi na muombeni Allah awaongoze na atuongoze sote katika njia sawia

  • @abdallamohammed6069
    @abdallamohammed6069 Před rokem

    nyote hamna inshuu kasoneni

  • @khamisalimohamad8308
    @khamisalimohamad8308 Před rokem

    shekh bachu nauliza vipi hawa watoto wa temeke walipomkosoa Al hatimy vp wakosa ama

  • @trucking2298
    @trucking2298 Před rokem +1

    Naitizama zaidi ya mara 10 haishi utamu.

  • @abdulngarubulwa5249
    @abdulngarubulwa5249 Před rokem

    Kwani tumemaliza ibada zote mpaka tunataka nyongeza ya maulid

  • @sulaimaanunda2840
    @sulaimaanunda2840 Před rokem +2

    masufi ni WAOVU kuliko abuu lahab na abuu jahal

  • @yussufkina
    @yussufkina Před rokem

    Mashekh mtangazeni mungu ndio kazi yenu

  • @HakeimBakar-zr9zb
    @HakeimBakar-zr9zb Před rokem

    Hawa wengine mshekh au

  • @salamanyale2226
    @salamanyale2226 Před rokem

    Kwahyo wote waliotangualia wenda motoni sabb walkua wakipiga maulidi pepo mwaanza nyinyi n Muhamad Bachu hya nendeni

  • @swalehjamal4867
    @swalehjamal4867 Před rokem +1

    Hatumtambui jufry hata kidogo…akataze miraa kwao kwanza

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy8666 Před rokem +1

    Haka kajamaa....alhatimiy hajielewe....kiburituu ndo champonza..

  • @swalehjamal4867
    @swalehjamal4867 Před rokem

    Huyo jufri iwalikata ajabu

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před rokem

    NYIE MNAOJIITA MASHARIF WA MCHONGO ACHENI UWONGO!!
    KILA JAMBO LENU LAZIMA MDANGANYE WATU!!

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Před rokem +1

    Upuuzi mtupu

  • @mazruyonlinetv2423
    @mazruyonlinetv2423 Před rokem

    Nadhani hawa mashekhe wote hawakusoma wakaielewa dini vizuri wanatakiwa warudi wakasome tena maana hakuna kiongozi wa dini anaefuatwa na watu wengi wakawa hawajui kuzungumza baina yao viongozi kwa hekma.

  • @eshaaly5404
    @eshaaly5404 Před rokem

    Hakika mtume wetu wahaki yeye ndio mwenye sifa zote katika umati wake kwahivo kumsifu na kumtukuza ni haki yake

  • @fahadhilal1611
    @fahadhilal1611 Před rokem

    Imekua mgogororo tu naona huku

  • @itsmelatz
    @itsmelatz Před rokem

    Bachu is kind. Alhamudul llah for ur presence

  • @abdukhan4718
    @abdukhan4718 Před rokem

    Tukananeni,, Kashfianeni,,,,,Toleeni aibu kisha mukimaliza mutatwambia....
    Maana sijui mwatufundisha nini....
    Kusoma Dini Asaivi imekua ni kutafuta Kiki mitandaoni