Yaani ktk maisha yangu yote saizi ndo napata kuelewa ubaya wa Maulidi hapo mwanzo nilikuwa tu nasikia malidi hayafai lkn ilikuwa cjapata dalili za kutosha. Ahsanteni Sana walimu wetu Allah awafanyie wepesi ktk harakati hii ya da'wah
Naam shukran Sheikh Muhammad na Sheikh Ali. Nyie ni miongoni mwa simba wachache wa Allah waliobaki hapa east Afrika, mnaiwakilisha sunnah ya Rasul SAW ipasavyo. Na mko tayari kukabiliana na fasad wanayoileta hawa jamaa wa bida'a masufi na mashia.
jazaakum Allaahu khayran mashekhe zetu, zidini kuweka safa na kuyasafisha mazingira, watu wengi watoka kwenye bid'a na ushirikina kwa sababu ya hizi clips zenu, Allaahu Atuongoze na awaongoze na atupe sote thabaat mpaka siku tutukayo onana nae. aamiin
Masha Allah. Endeleeni kuwapiga nondo mpaka wanyooke. Haya majibuzano yanawatowa wengi sana katika bidaa wengi wanapata kuijuwa hakki. Allah awape umri mrefu masheikh wetu mzidi kutunufaisha na sisi
Ya sheikh wallah raha sana hawa w2 wa bidaa wana raha muda mwengine na hivi ndivyo wanavyotaka ktk dini hakuna mzaha mashaallah sheikh nakuombea kw allah azid kukupa afya upate kutukumbusha na kutuonesha hakki na batwili
ALLAH azidi kuihifadhi DINI yake kila zama kw kuibua watu wapya..Maasha Allah..ALLAH akuhifadhini na awarahamu Masheykh walotangulia kwa wema na utetezi mzuuri wa Sunnah na walobaki hai awahifadhi na awape siha njema na mwisho mwema...Aaamiin yaa Rabb..
Allahu Akibar hivi hawa masufu wanajitambuakweri subuhanallah mwanaumekasimama amesoma anadanganyawatu eti mtu afe malambili sijuiinakuaje hawaogopi zambi
Amejua uajibizana n mtu asiejielew kelle nyingi 2 mbn alisema atakuj aonane nae Ana kwa Ana hjafik n alisema akijibiwa 2 axbui uaingia Kenya atasumbua wendaqazim wenzak km nyinyi
Wallahi billahi tallahi watu weeeeengi wanafunguka macho na kuona kumbe hao masufi hawana lolote ila kupoteza na kuharibia waislamu dini yao kwa kuzusha kila kukicha na tena mazushi yenye hata mtoto aweza ona ni mchezo
@@swalehjamal4867 alhamdulillah sio uwezo wangu ila Allah alinipa uwezo nikasoma na aknipa akili ya kuchuja mtu kwa kisomo Mungu kanipa wala sio fakhari ila niliongea HIVO kwa kukusudia kakangu muislamu hapo juu kasema alhatimiy ategemea kiarabu kuliko wanazuoni huo ni uwongo wa wazi ziko clip alhatimiy kaongea kwa vitabu na naswi ila ikiwa kiarabu champa mashaka akumbuke kiarabu na fani zake zote ndio kina cha kujua undani na kina cha dini kupitia wanazuoni namna walivyo fasiri ndio mtume s.a.w akasema tusome kiarabu ndio lugha yetu na ni lugha ya peponi
@@matanohassan9667 Alhatimiy tokea ajue كان واخواتها anawaona wenzake wote hawajui lugha yeye pekee tu ndio anajua , utafikiri iyo lugha kaiasisi yeye , hata tafsiri za wanawachuoni hazitaki atoa zake mpya, kwa hiyo anatania mbaya ya kujifanya anajua lugha sana kuliko hata wanawachuoni, mpaka avitafsiri vitabu vya wanawachuoni kwa maoni yake, Wenzake wananukuu yeye ajifanya ajua.
Nawashukuru Masheikh Wa kisuni Wamenio kowa Kutoka Kwa Masheikh Wa Bidaaa hapo Awali Nilikuwa Nafanyaa Ibada za Bidaa Ila Sikuwa Najua Allah Anisamee Nimekuga Kugunduwa Makosa Yangu Ya Ibada Kwenye Bidaa Baada Ya Kumfatilia Sheikh Mohammad Bachu Amenisaidia Kiimani Mungu Awape Jana Soten Wana Suni Wote Na Wale Wote Wabidaaa Mungu Awaokowee Wawee Wana Sunii
Innalillah wainailayh rajiun yn mashekh wote hawakusoma ila bachu ndie ajuae haki na atupe nasaba ya masomo yake mpka afike kwa mtume hyo ikiwa amesoma kweli maan ilmu ni ile inayokua n nasaba mpk kwa mtume Muhammad s.a.w
@@salamanyale2226 Narudia Tna Tumepotezewa Mda Sana Nasio Tu Kupotezewa Mda. Tumedanganywa Sana Na Hawa Walimu Wa Kupiga Ngoma Yni Maulidi Sikufichi Mim Nilikuwa Mchefa Zafa Ili nilisha Toka uko Baada Ya kujua Ukwel Ila Sikulazimishi Endelea kuamini Kile Unacho Amiin
Hii ndio natija ya kusoma dini kupitia vitabu vilivyoandikwa na mwanadamu na kuacha kitabu alichotuteremshia Allah, Al Quran. Mtume Muhammad amekufa, kama walivyokufa mitume wote waliomtangulia aleihumussalaam. Ujumbe wa Allah uko hai. Al anaam aya 153
Dah ndugu yangu jitafakari sana kama mpaka unaandika maneno hayo kuwa hujaelewa chochote kilichobainishwa na hao masheikh tusome dini ndugu yangu utaujua ukwel. Hapo wanabainisha ukwel kwa ummah ili watu wasipotee kwenye njia na kuelekea kwenye haq
Jamani hata mkiona wenyewe hivi hamuoni Hivi kweli kama hawa ndo wahadhiri gani acheni ujinga mtakuwa mnatumia virevi mbona jaziba na nondo zenyewe haZijashiba ni makelele kila siku nimekuwa nikisikiliza tu ila jamani tunahitaji watu wenye elim jaman
Sunnah ime badilishwa na kufanywa bidaa, kipindi kirefu, kwaio shirikianeni Madu'aat wa Haqqi kuisambaza Sunnah na Uislamu uliokua sahihi. Baaraka Allaahu fiikum
Mashekh wetu hawa watu wa bidaa waacheni sisi tumeshawajua mda sanaa Hutumia akili kuliko dalili Halafu watu wa kingoma hawachelewi kusahauu Allah awajalie afya na salama muzidi kutupa elimu aliyoacha Mtume SAW pamoja na MASWHABA Radhwi 😊za Allah ziwe juu yaoo
Ww ushawajuwa au sisi tushawajuwa,ila kuna wengine huko bado wanawandelea kuwapotowa,waliokuwa bado wako gizani,kwahyo lazima huu msasa uendelee wa kuwazindua waliolala kutoka kwenye kuzinduka,wameharibu sana..na wanaendelea kuharibu.
@@johariabdalla3319 Dada Katika Iman Masheikh Wa Bidaaa Wameniaribu Sana Katka Ibada Yangu Ila Namshukuru Allah Kuniokoa Baada Ya kumfatilia Sheikh Mohammed Bachu
bora angenyamaza kimya tu akafanya da'awa kiupande wake,,,,,yy anasema masheikh wa sunnah hawajui kufanya da'awa amesahau ya nyuma aliyozungumza kuhusu masheikh tena wakubwa zake ki elimu na ki umri
Wale ambao si waislamu wafanyeje kama nyinyikwa nyinyi waislamu mwashindana wakati nyinyi nyote mwamuamini mungu na mtume wake... ibilisi awacheka sana haifai waislamu kushindana tena misikitini hamuoni haya nakuekeana video ya mikato musiharibu amal zenu... muogopeni Allah.
Niwaombeee kina alkhatim mukikosowa haya yaliosemwa safisheni maneno ya jufri nitawaelewa ila sidhan kama atasafika kwakiasi alivyojichafuwa jufri Allah akuongowe atuongoe na sisi .
hyu kijana kweli hana akili,,,,sasa akiskia na darsa hyo atatafuta darsa ya sheikh mwengine aanze kumtolea makosa,,,,,inaonekana ana chembe chembe za hasad kwa masheikh wenzake
Kwa vyoyote hawezi akawa mtu mwanachuoni halafu hajui tawhiid huyo sio mwanachuoni bali mwanachooni na hujamuelewa imam shafi maana mtu kama hana dalili ya kitabu na sunna na ni mtu wa mantwiq au falsafa tu huyo anafasiri kitabu kwa akili yake na hajui bali anang'ang'ania ushabiki Allah hatamuongoza huyo mtu maana amechagua matamanio ya nafsi bali wanaotaka kuongozwa na Allah watapima maogezi haya na kusoma na kumjua Allah kwa dalili za Quran na sunnah kwa faham ya salaf wema na sio kina Jufri na makafiri aina hizo zao huyo atapata muongozo. haki imekuja na batil ishadhihirika. chukien mnaochukia na furahini mnao furahi na muombeni Allah awaongoze na atuongoze sote katika njia sawia
Nadhani hawa mashekhe wote hawakusoma wakaielewa dini vizuri wanatakiwa warudi wakasome tena maana hakuna kiongozi wa dini anaefuatwa na watu wengi wakawa hawajui kuzungumza baina yao viongozi kwa hekma.
Yaani ktk maisha yangu yote saizi ndo napata kuelewa ubaya wa Maulidi hapo mwanzo nilikuwa tu nasikia malidi hayafai lkn ilikuwa cjapata dalili za kutosha. Ahsanteni Sana walimu wetu Allah awafanyie wepesi ktk harakati hii ya da'wah
😆😆😆Al maj nuun fununu
😆😆😆Al maj nuun fununu
Njooni kwenye daghawat ASALAFYA Haina urongo Kama uku. Utaona ulinganizi sahihi
Sawa uko vizuri. Allah akulipe kheriy na akuzidishie kufaha hakh
Tena nimependa na nimefurahi Sana Allah azidi kutupa ufaham wa kweli tutoke kwenye kundi la upotofu tuingie kwenye Nuru inshaallah 🙏
Naam shukran Sheikh Muhammad na Sheikh Ali. Nyie ni miongoni mwa simba wachache wa Allah waliobaki hapa east Afrika, mnaiwakilisha sunnah ya Rasul SAW ipasavyo. Na mko tayari kukabiliana na fasad wanayoileta hawa jamaa wa bida'a masufi na mashia.
jazaakum Allaahu khayran mashekhe zetu, zidini kuweka safa na kuyasafisha mazingira, watu wengi watoka kwenye bid'a na ushirikina kwa sababu ya hizi clips zenu, Allaahu Atuongoze na awaongoze na atupe sote thabaat mpaka siku tutukayo onana nae. aamiin
Mashallah sheikh , Allah akulipe kila lakheir , umefanunua vizur na imeelewaka zaid kabisa
Masha Allah. Endeleeni kuwapiga nondo mpaka wanyooke. Haya majibuzano yanawatowa wengi sana katika bidaa wengi wanapata kuijuwa hakki. Allah awape umri mrefu masheikh wetu mzidi kutunufaisha na sisi
kweli kabisa, wengi wetu tumeziacha bid'a baada ya kuiona haqqi, namuomba Allaahu Awaongoze kina Haatimi na jufri waione haqqi na waifuate. aamiin
@@aliabdalla6998 Amin Insha Allah
Hyo siyo haki wala kwahyo niwaulize babu zenu waliokufa wako peponi au motoni sabb walkua kweny bidaa
😂😂😂😂😂
Tatizo ni hii dini ya mazoweya. Bila ya kuuliza na kujielimisha. Allah akujaze kheri sheikh wangu. Ahlu bidda wazito kufahamu.
Ya sheikh wallah raha sana hawa w2 wa bidaa wana raha muda mwengine na hivi ndivyo wanavyotaka ktk dini hakuna mzaha mashaallah sheikh nakuombea kw allah azid kukupa afya upate kutukumbusha na kutuonesha hakki na batwili
ALLAH azidi kuihifadhi DINI yake kila zama kw kuibua watu wapya..Maasha Allah..ALLAH akuhifadhini na awarahamu Masheykh walotangulia kwa wema na utetezi mzuuri wa Sunnah na walobaki hai awahifadhi na awape siha njema na mwisho mwema...Aaamiin yaa Rabb..
Mashaallah . Allah akujaalie umri mrefu sheikh wetu mpendwa
Baraka LLAH fik, raha sana.
Allah awabariki nyote Msimamiao Haqi. Twawaombea Nusra na muzidishiwe Ikhlasi juu ya ikhlasi mlizonazo. Aamiin
Hyo bachu ndio mshirikina mkubwa sababu Ana kibri mpk ajiona yy ni jitu kubwa aita wenzake kijamaa hiki hyo ni kibra na mwenye kibri motoni
Allahu Akibar hivi hawa masufu wanajitambuakweri subuhanallah mwanaumekasimama amesoma anadanganyawatu eti mtu afe malambili sijuiinakuaje hawaogopi zambi
Shukran sheikh jazaakallahu kheir....huyu Muhammad Al hatmy ashajua ukweli ila kibri tu ataonekana amerekebishwa na nyie masheikh vijana
🏃♀️🏃♀️🏃♀️ Alhatiiii ame bambwa na ujuaji wake wote
Allah awape nguvu ya kutubainishia haq
Hatmy hawezi kujibu, kashajijua kama ypo kwenye batwil ndio maana hana hoya na hana pa kujitetea, Allah amuongoe.
Amejua uajibizana n mtu asiejielew kelle nyingi 2 mbn alisema atakuj aonane nae Ana kwa Ana hjafik n alisema akijibiwa 2 axbui uaingia Kenya atasumbua wendaqazim wenzak km nyinyi
Mashallah
Nawapenda hawa masheikh bado vijana wadogo lakini wanafaidisha sana jamii ya kiislamu mfano Muhammad bachu
Wallahi billahi tallahi watu weeeeengi wanafunguka macho na kuona kumbe hao masufi hawana lolote ila kupoteza na kuharibia waislamu dini yao kwa kuzusha kila kukicha na tena mazushi yenye hata mtoto aweza ona ni mchezo
Umesema ukweli wa wazi kabisa
Mash'allah sheikh wng mungu akupe mwisho mwema karibu Tz
Sheikh alhatimiy anategemea kiarabu chake zaidi kutafsiri quran na sunnah kuliko maneno ya wanawachuoni, kwa hiyo hafai.
We mgonjwa nenda kasoma aliyesoma haonge maneno hayo kama yako ya ujanja ujanja haifai kwako lakini iko watu wengi nyuma yake kielimu
@@matanohassan9667 Nenda madrasa Ukasome ww…mtu amashafuka banah iwafufuka ati asilimu 😂😂😂
@@swalehjamal4867 alhamdulillah sio uwezo wangu ila Allah alinipa uwezo nikasoma na aknipa akili ya kuchuja mtu kwa kisomo Mungu kanipa wala sio fakhari ila niliongea HIVO kwa kukusudia kakangu muislamu hapo juu kasema alhatimiy ategemea kiarabu kuliko wanazuoni huo ni uwongo wa wazi ziko clip alhatimiy kaongea kwa vitabu na naswi ila ikiwa kiarabu champa mashaka akumbuke kiarabu na fani zake zote ndio kina cha kujua undani na kina cha dini kupitia wanazuoni namna walivyo fasiri ndio mtume s.a.w akasema tusome kiarabu ndio lugha yetu na ni lugha ya peponi
@@matanohassan9667 Alhatimiy tokea ajue كان واخواتها anawaona wenzake wote hawajui lugha yeye pekee tu ndio anajua , utafikiri iyo lugha kaiasisi yeye , hata tafsiri za wanawachuoni hazitaki atoa zake mpya, kwa hiyo anatania mbaya ya kujifanya anajua lugha sana kuliko hata wanawachuoni, mpaka avitafsiri vitabu vya wanawachuoni kwa maoni yake, Wenzake wananukuu yeye ajifanya ajua.
@@matanohassan9667 kwaivo ilmu yako y akwambia maulidi ni sunnah ya mtume ?
Maashaa Allaah, kwa nondo hizi mtu wa bidaa yeyote yule hawezi simama tena hapa
kumbe mpaka wenye kutegemewa hawana hishima na waislam na mashekhe wakubwa subhanallah 😥
MashaAllah, sheikh wetu Allah akuhifadh
Nawashukuru Masheikh Wa kisuni Wamenio kowa Kutoka Kwa Masheikh Wa Bidaaa hapo Awali Nilikuwa Nafanyaa Ibada za Bidaa Ila Sikuwa Najua Allah Anisamee Nimekuga Kugunduwa Makosa Yangu Ya Ibada Kwenye Bidaa Baada Ya Kumfatilia Sheikh Mohammad Bachu Amenisaidia Kiimani Mungu Awape Jana Soten Wana Suni Wote Na Wale Wote Wabidaaa Mungu Awaokowee Wawee Wana Sunii
Innalillah wainailayh rajiun yn mashekh wote hawakusoma ila bachu ndie ajuae haki na atupe nasaba ya masomo yake mpka afike kwa mtume hyo ikiwa amesoma kweli maan ilmu ni ile inayokua n nasaba mpk kwa mtume Muhammad s.a.w
@@salamanyale2226 Narudia Tna Tumepotezewa Mda Sana Nasio Tu Kupotezewa Mda. Tumedanganywa Sana Na Hawa Walimu Wa Kupiga Ngoma Yni Maulidi Sikufichi Mim Nilikuwa Mchefa Zafa Ili nilisha Toka uko Baada Ya kujua Ukwel Ila Sikulazimishi Endelea kuamini Kile Unacho Amiin
حفظكم الله ويرعاكم
wallahy hyu kijana ni mfidhuli sana,,,,anatafuta kiki tu kupitia masheikh wa sunnah
Kushinda jufri na
Jazaka Llahu lkhair
WaLLAHI majibu haya anayopewa hata sisi tusio na elimu basi tunafahamu yani maneno yapo wazi waLLAHI na Mola awalipe khery
Hii ndio natija ya kusoma dini kupitia vitabu vilivyoandikwa na mwanadamu na kuacha kitabu alichotuteremshia Allah, Al Quran.
Mtume Muhammad amekufa, kama walivyokufa mitume wote waliomtangulia aleihumussalaam. Ujumbe wa Allah uko hai.
Al anaam aya 153
Jazakallah kheyran akhy nimestafid vyakutosha kwako
SubhaanaAllah makubwa haya tunamuomba atuepushe na bid'a
Washazoea kuzua mambo hawa wazushi SubhanaAllah (yaani mtu amfufuka akasilimu 😝😝😝mama yangu movie ya kihindi)
MashaaAllah tabarakaAllah swadaqtha akhui unapo rekebishwa kubali amesahu yy alipo warekebisha mashekh wenzake kwa kuwakashif sahii zamu yake kurekebishwa aruko hoja
mashallah sheikh Allah akupe afya na akulipe jannah inshallah
Subhana'Allah kumbe yuko hivyo kumbe ali anza kitambo!?
Nimezipenda nondo izo , mtu wabidaah asimami apo bio kabisaa Almdulilah Allah akwifazi shekh
Thanks you
Hawa watu wamaulid kaz yao kutupotosha ss tusio jua din allah awalipe her watu wa sunna
Maulid n bid.aa uzush Allah atuongoze ktk njia sahihi
Umelazimishwa kufanya
Ali bakari abedi utadhani ndiwe mwenye funguo za pepo na moto subhanalla
Mungu awahifadhi ma Ustadh wa sunna na awaongoze watu kaburi
YAANI MUMEKOMESHWA NA ALHATMY
SAHIZI MWASHINDANA NA AL MARHUM UT MUHAMMAD AL BIDHI !!!!!!KOMENI
La ilaha illallah...hivi mtu anapewa maneno ya dini kwa hoja anakimbilia usul fiqhi..kama mmoja wao alivyonishambulia
Dini imefanywa kama siasa za chedema na CCM . Laa haula walaa quwwata illa billah. Yaa Allah tuongoze waja wako
soma dini yako nduguyangu, ukiijua utafunguka akili, na utajua kinachofanywa hapo ni nini
Huyu yuko usingizini , amka ndugu yangu , hapo ni haki na batwili ndizo zinazopingana ,sio hao masheikh.
Dah ndugu yangu jitafakari sana kama mpaka unaandika maneno hayo kuwa hujaelewa chochote kilichobainishwa na hao masheikh tusome dini ndugu yangu utaujua ukwel. Hapo wanabainisha ukwel kwa ummah ili watu wasipotee kwenye njia na kuelekea kwenye haq
Altamy ni kituko
Nyote elimu zenu ndogo hazifai kuchukuliwa Bora Bora upaki pila ya elim kuliko kuwa na elim kama Muhammad na jamaa sio
Mashaallah
Masha Allah
Jamani hata mkiona wenyewe hivi hamuoni
Hivi kweli kama hawa ndo wahadhiri gani acheni ujinga mtakuwa mnatumia virevi mbona jaziba na nondo zenyewe haZijashiba ni makelele kila siku nimekuwa nikisikiliza tu ila jamani tunahitaji watu wenye elim jaman
Sunnah ime badilishwa na kufanywa bidaa, kipindi kirefu, kwaio shirikianeni Madu'aat wa Haqqi kuisambaza Sunnah na Uislamu uliokua sahihi.
Baaraka Allaahu fiikum
Mashekh wetu hawa watu wa bidaa waacheni sisi tumeshawajua mda sanaa
Hutumia akili kuliko dalili
Halafu watu wa kingoma hawachelewi kusahauu
Allah awajalie afya na salama muzidi kutupa elimu aliyoacha Mtume SAW pamoja na MASWHABA Radhwi 😊za Allah ziwe juu yaoo
Wallah waachane nao 2 saiv ss tushawajua wote ahlul bidaaa
Ww ushawajuwa au sisi tushawajuwa,ila kuna wengine huko bado wanawandelea kuwapotowa,waliokuwa bado wako gizani,kwahyo lazima huu msasa uendelee wa kuwazindua waliolala kutoka kwenye kuzinduka,wameharibu sana..na wanaendelea kuharibu.
@@johariabdalla3319 Dada Katika Iman Masheikh Wa Bidaaa Wameniaribu Sana Katka Ibada Yangu Ila Namshukuru Allah Kuniokoa Baada Ya kumfatilia Sheikh Mohammed Bachu
kinachowaponza masufi katk dini nikuamini akili zao zaidi kuliko kutumia dalili
Muhamed bachu ni kama brother k wa futuhi wakukurupuka
bora angenyamaza kimya tu akafanya da'awa kiupande wake,,,,,yy anasema masheikh wa sunnah hawajui kufanya da'awa amesahau ya nyuma aliyozungumza kuhusu masheikh tena wakubwa zake ki elimu na ki umri
naam ni d3wah ya kishetwani tna yakiiblisi ikiwa da3wah yake yaenda hio
Jufri nihatari kwa jamii
Huyu hatimy ni mpuuzi sana kila mwaka analeta ubishi katika dini.
Mashekhe wa zama hizi wapenda kuonekana kila mtu ajiona mjuzi kuliko mwenzie
Wewe ni mtu wa matari
Huyu itakuwa ni wale wale
Kwa hiyo Hawa wazushi wewe ndio unawaona wako sahihi hawa ni waovu sana
Naaam al akh
Baraka llahu fyik
ABUU HATIMY ASITAFUTE SABABU . Ye alisema akufundishe. Sasa ndo afundishe masomo yote nidhamu Nah,w fiqh n.k bila kusahau BARZANJI. ATUPE MAJIBU YAKINA TUKINAI MDAHARO KWANI UNAGHARAMA GANI??????
Wale ambao si waislamu wafanyeje kama nyinyikwa nyinyi waislamu mwashindana wakati nyinyi nyote mwamuamini mungu na mtume wake... ibilisi awacheka sana haifai waislamu kushindana tena misikitini hamuoni haya nakuekeana video ya mikato musiharibu amal zenu... muogopeni Allah.
Hahahaha tuko nao mambrui hao eti ndio masharifu waso na madhambi SUBHANALLAH
Huu mjadala uliisha kitambo. Haki iko wazi. Usipokua sasa Al_Hatimy analaumu watu. Tuweni wenye kufuata haki itakapo dhihiri.
Mbona makha na madina dini imeanza kwao nasijaona vitabu vya barazanji vikiuzwa.yamaanisha nikitabu chakuuzwa Africa
Niwaombeee kina alkhatim mukikosowa haya yaliosemwa safisheni maneno ya jufri nitawaelewa ila sidhan kama atasafika kwakiasi alivyojichafuwa jufri Allah akuongowe atuongoe na sisi .
Alhamdulillah Leo nimejua maana ya hikma ni nn
Kwanza jifunze kiswahili
Sheikh Bachu Kuna kijana mmoja aitwa manswab Nataka umwangalie vzuri Pia Huyo maaana hao kwa kuzua mambo 😝😂😝😂na ushindani kwa juu
Ingependeza zaidi video kutiwa subtitles za kiswahili kwa wale wengi ambao hawajui kiarabu kwa vile vipande vyenye maneno ya kiarabu
usufi mwisho wake ni kuabudia makaburi au kuwaomba waliokufa
Kilemba Cha mtume masufi
Hua hawa wazushi wakikosa hoja ya kujitetea ndio huleta istiizai katika dini ..lkn Allah atawaongoza .
hyu kijana kweli hana akili,,,,sasa akiskia na darsa hyo atatafuta darsa ya sheikh mwengine aanze kumtolea makosa,,,,,inaonekana ana chembe chembe za hasad kwa masheikh wenzake
ALHATIMY tatizo ubishi
Innal bathwila kana zahuka
Hatumtabuwi Fowzani Kabsaaaaa
Humtambui Fawzan!! Wamtambua nani sasa?! Jufri? Masimosya.
Hawa utafkir wamekula kiyapo cha kutetea maulid watawaumiza vichwa 😀
Nakweli hakusoma uslul fiki bahero
HAO MASUFI,
WAPIGENI NYUNDO ZA VICHWA MMPA WAACHE BID'A ZAO!!
anajiona kuvaa vilemba vikubwa ndio kuwa sheikh,,,,,lakini ndivyo walivyo masheikh wa maulidi,,,,,wanafanya da'awa kwa kupata rizki zao
Ukiwa Muongo usiwe msahaurifu
Kwani Fowzani Ni naani Tunamjuwa Ni Mujisim Akisema Jambo Huwa Ni Wahyi Umeshuka ?
Kwa vyoyote hawezi akawa mtu mwanachuoni halafu hajui tawhiid huyo sio mwanachuoni bali mwanachooni na hujamuelewa imam shafi maana mtu kama hana dalili ya kitabu na sunna na ni mtu wa mantwiq au falsafa tu huyo anafasiri kitabu kwa akili yake na hajui bali anang'ang'ania ushabiki Allah hatamuongoza huyo mtu maana amechagua matamanio ya nafsi bali wanaotaka kuongozwa na Allah watapima maogezi haya na kusoma na kumjua Allah kwa dalili za Quran na sunnah kwa faham ya salaf wema na sio kina Jufri na makafiri aina hizo zao huyo atapata muongozo. haki imekuja na batil ishadhihirika. chukien mnaochukia na furahini mnao furahi na muombeni Allah awaongoze na atuongoze sote katika njia sawia
nyote hamna inshuu kasoneni
shekh bachu nauliza vipi hawa watoto wa temeke walipomkosoa Al hatimy vp wakosa ama
Naitizama zaidi ya mara 10 haishi utamu.
Kwani tumemaliza ibada zote mpaka tunataka nyongeza ya maulid
masufi ni WAOVU kuliko abuu lahab na abuu jahal
una dalili ya hili???
yeah... wataka kurasa ngapi kaka
Mashekh mtangazeni mungu ndio kazi yenu
Hata haya pia ni kumtangaza mungu
Hawa wengine mshekh au
Kwahyo wote waliotangualia wenda motoni sabb walkua wakipiga maulidi pepo mwaanza nyinyi n Muhamad Bachu hya nendeni
Hatumtambui jufry hata kidogo…akataze miraa kwao kwanza
Haka kajamaa....alhatimiy hajielewe....kiburituu ndo champonza..
Huyo jufri iwalikata ajabu
NYIE MNAOJIITA MASHARIF WA MCHONGO ACHENI UWONGO!!
KILA JAMBO LENU LAZIMA MDANGANYE WATU!!
Upuuzi mtupu
Nadhani hawa mashekhe wote hawakusoma wakaielewa dini vizuri wanatakiwa warudi wakasome tena maana hakuna kiongozi wa dini anaefuatwa na watu wengi wakawa hawajui kuzungumza baina yao viongozi kwa hekma.
Hakika mtume wetu wahaki yeye ndio mwenye sifa zote katika umati wake kwahivo kumsifu na kumtukuza ni haki yake
Imekua mgogororo tu naona huku
Bachu is kind. Alhamudul llah for ur presence
Tukananeni,, Kashfianeni,,,,,Toleeni aibu kisha mukimaliza mutatwambia....
Maana sijui mwatufundisha nini....
Kusoma Dini Asaivi imekua ni kutafuta Kiki mitandaoni