MAULIDI HAYASIMAMI BILA YA KUMSINGIZIA UONGO MTUME WETU || Muhammad Bachu || 29/9/2023.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 604

  • @ninononi3674
    @ninononi3674 Před 11 měsíci +13

    M/Mungu amelinyanyua jina lako kwa sababu ya kuipigania Haqi "{Namuomba allah aliye shinda na kutukuka akuthibitishe ktk Haq nawala asikuwache peke yako.

  • @omariweldingfabrication7630
    @omariweldingfabrication7630 Před 11 měsíci +13

    Mashaa Allah shekhewang.
    Allah yupo pamoja na watu wenye kusema ukweli na kuongoza katika haki .

  • @allyabdallah4679
    @allyabdallah4679 Před 11 měsíci +9

    Mashaa Allah sheikh Mohammed bachu Allah akuongoze katika kutetea haki usiache akhy katika kutetea haki

  • @kassimsalim6160
    @kassimsalim6160 Před 11 měsíci +18

    ماشاء الله تبارك الله يا اخي محمد باشو..... الله يحفظك ويبارك فيك ويطول في عمرك أحبك كثيراً في الله ..... استمر الله في هدايتك وهدايتنا

  • @nasherabdalla2478
    @nasherabdalla2478 Před 11 měsíci +7

    Allah hafidh ya sheikh Allah akuwezeshe kuitetea sunnah na kupinga maovu

  • @barkesalim4419
    @barkesalim4419 Před 11 měsíci +8

    Mashallah sheikh mohamed bachui endeleya na darsa tubate elmu kwanza umetuba elmu tumerekeys kwa hagi baulid tumewa nacwengi wamewata na hawa wangune wanskuyukana watakuja kujuwa hagi Allah atawsba imani kujuwa injuya za hagi

  • @rashidabdulrahman6784
    @rashidabdulrahman6784 Před 11 měsíci +9

    Mashallah mashallah mashallah Allah akuhifadhi tunakupenda sana Muhammad bachu

  • @hometownke.9658
    @hometownke.9658 Před 11 měsíci +11

    ALLAH AKBAR HIZI NDIZO KHUTBA TWAHITAJI KUPEWA KILA LEO ZIDNA ILMA WARUZUQNA FAHMA NAFIAN

  • @alaminbahero3604
    @alaminbahero3604 Před 11 měsíci +9

    Bachu
    أسأل الله الكريم رب العرش العظيم أن يتولاك في الدنيا والآخرة وأن يجعلك مباركا أينما كنت وأن يجعلك ممن إذا أعطي شكر وإذا ابتلي صبر وإذا أذنب استغفر
    جزاك الله خيرا وبارك الله فيك

  • @user-tq2iw7tl5p
    @user-tq2iw7tl5p Před 11 měsíci +4

    Mwenyizi mungu akupe umri mrfu shekh

  • @shuaibalula9003
    @shuaibalula9003 Před 11 měsíci +11

    Mashaallah namuomba Allah akuzidishie elimu yenye manufaa nasi tuzidi kufaidika kutoka kwako na viongozi wengine wakisunnah

  • @abubakarhajjabubakarhajj1252
    @abubakarhajjabubakarhajj1252 Před 11 měsíci +7

    Allah akuzidishie subra na akupe malipo mema inshaallah

  • @wildbaobabsafaris
    @wildbaobabsafaris Před 11 měsíci +3

    Wallahi nakupenda kwa ajili ya ALLAH, namuomba ALLAH akuhifadhi sana ukupe umri wa kuzidi kupigania haki

  • @ndayikezaoscar3467
    @ndayikezaoscar3467 Před 11 měsíci +8

    Mimi ni Mkristo ila kwa kweli napenda jinsi ambavyo Muhammad Bachu anadadavua swala la Maulid. UKWELI usemwe. Nakupenda kwaajili ya Allah Sheikh Bachu. Love from🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @aliHassan-my7jv
      @aliHassan-my7jv Před 11 měsíci +1

      Acha unafiki mkristo na maulidi wapi na wapi

    • @allythabiti8150
      @allythabiti8150 Před 11 měsíci +3

      ​@@aliHassan-my7jvsasa unafik gan maana ake anamfuatilia inaweza ikawa ni neema ya kumuingiza katika uislam

    • @zulfahussein6784
      @zulfahussein6784 Před 11 měsíci +2

      @@aliHassan-my7jvebu soma kwaza hilo jina lake kabla yakumwita mnafki

    • @omarmwabege
      @omarmwabege Před 11 měsíci +2

      Tumia kauli nzuri kwaajili ya Allah

    • @Nuru_ya_sunnah.official
      @Nuru_ya_sunnah.official Před 11 měsíci

      ​@@aliHassan-my7jvsio vizur, waislam hatupo ivo, unamwita mtu mnafiki Kwa kipi!?, Yan mkristo anaelewa kua jambo la maulidi ni hakuna Kwa sabab yeye ana tumia akili, na wewe uskaze kichwa skiliza hoja na ufate haki acha ushabiki

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 Před 11 měsíci +7

    بارك الله فيكم وحفظكم الله ورعاكم ويرضى الله عليكم ويسعدكم في الدنيا والاخرة يارب اينما كنتم يااحبابي في الله

  • @rajababdallah579
    @rajababdallah579 Před 11 měsíci +11

    IBADA ASOIJUA ALLAH(S.W) WALA MTUME (S.A.W) WALA MAKHALIFA,WALA ASHARA AL MUBASHIRUNA,WALA MAIMAMU WANNE,WALA WEMA WALOTANGULIA......
    ALLAH AKUPAMBE KWA UMRI NA AFYA TUZIDI KUFAIDIKA SHEKHE LETU

    • @user-hr9kb7ev1i
      @user-hr9kb7ev1i Před 11 měsíci

      Una uhakika Allah na mtume Mohamed (S.A.W) hawajue umma wake watakuja kusoma MAULIDI? Yanayo fanywa katika MAULIDI hayakufanywa wakati wa mtume (S.A.W) NA maswahaba

    • @abuuaisha2619
      @abuuaisha2619 Před 10 měsíci

      allah akbar.

    • @MrNoNonsenseYes
      @MrNoNonsenseYes Před 10 měsíci

      ​@user-hr9kb7ev1i Allah ni mjuzi wa kila kitu, na mtume pia aligusia kuwa kuna zama watakuja watu kumzulia na akatupa onyo, ndo haya twayaona ya maulid na tawasul za kumshirikisha Allah kupitia mtume, tumewaona makhururafa mara ngapi wanampa mtume SAW vyeo visivokua vyake

  • @zawiaissa8912
    @zawiaissa8912 Před 11 měsíci +4

    MashaAllah shukurani sana Allah akulipe mm nimejifunza mengi sana Toka uanze kutoa darasa zako

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 Před 11 měsíci +2

    Allah akulipe kheir na akihifadhi Bachu.. Inaeleweka sana .. Sisi vijana tunakuelewa hao wenye maslahi hawawezi acha ujinga

  • @jumasalum2677
    @jumasalum2677 Před 11 měsíci +22

    Sheikh Mohammed bacho
    Kwanza kupa hongera Kwa kutoa darsa kubwa Kwa watu wenye akili salama wamekuelewa.
    Pili nakuombea Kwa Allah akulinde na akupe mwisho mwema.

    • @jumasalum2677
      @jumasalum2677 Před 10 měsíci

      @@sharifuburuhani1969 Sasa hao waiokimbia wamethibitisha wanyama waliongea wakati mimba ya mtume imeingia.
      Nawewe pia hukusoma ndio maana una tawaliwa kifikra

  • @MrNoNonsenseYes
    @MrNoNonsenseYes Před 10 měsíci +1

    Alhamdulillah ala neemat Al Islam wa noor Al Haq

  • @abdulkrimalawi7165
    @abdulkrimalawi7165 Před 11 měsíci +6

    الله يحفظك يا اخي الكريم اخي المحب احبك لأجل الله اعانك الله في حياتيك

  • @MahmoudMohamed-yc6fr
    @MahmoudMohamed-yc6fr Před 11 měsíci +11

    Masha Allah Mungu akuhifadhi Shekh wetu wewe ni nuur kwa jami

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh3177 Před 3 měsíci

    Allah akuhifadhi Sheikh Muhammad 🤲

  • @EbrahimEbrahim-bc5ko
    @EbrahimEbrahim-bc5ko Před 11 měsíci +4

    Mashallah, تَبَارَكَ اللَّهُ

  • @user-tj5fx2xj6i
    @user-tj5fx2xj6i Před 11 měsíci +6

    Allah akuhifadhi shehke wetu

  • @jumasalum2677
    @jumasalum2677 Před 11 měsíci +14

    Sheikh Mohammed bacho
    Umetufumbua waislam wengi sana asilimia80 tulikua tunadanganywa
    Lakini Allah amekuleta wewe ili utuoneshe njia sahihi
    Allah akulinde na mafasiki
    Akuongoze njia sahihi utumbue
    Majipu Kwa ajili ya kutegemea radhi za ke

  • @mohamedswaleh6778
    @mohamedswaleh6778 Před 11 měsíci +5

    Allah akuhifadh xhek muhamad bachu ukwel utbk ukwel amn mtu atawez kutetea maulid pk qiyama

  • @abubakarkisandoh9541
    @abubakarkisandoh9541 Před 11 měsíci +3

    Allah akulinde endelea kuelimisha ila mm naomba masheikh msiwe mkiongelea bidia na uongo wa barzanji tuu kwenye wa mwezi huu ila wewe hata baada ya msimu huu kwenye khutba zenu kueni mkikumbusha uongo huu

  • @barkesalim4419
    @barkesalim4419 Před 11 měsíci +11

    Allah akuhifadhi wewe na kizazi yako tutaonana pepini za bustani yarabb

  • @jamaldineali3228
    @jamaldineali3228 Před 11 měsíci +7

    Daima nakupenda kwa ajili ya Allah sheikh wango Mozambique

  • @sahraqaalib902
    @sahraqaalib902 Před 11 měsíci +12

    Kumbe Leo nimewajuwa wengi Mashekh wanasherekea Maulid kwa sababu tu kijana mdogo ambao wengine wanamzaa wanamsema vibaya kwa ajili tu Ya Mawlid
    Kwa kweli Sheikh Bachu uko juu endelea kufundisha Sunnah mpaka kieleweke

  • @MaulidFadhil-qi2dh
    @MaulidFadhil-qi2dh Před 11 měsíci +20

    Bachuu wewe n kiboko wa masufi nakupenda kwa ajili ya allah endelea kuwanyoosha watakuelewa tu!

    • @alumbulaisinda9746
      @alumbulaisinda9746 Před 11 měsíci

      Lugha za kujifariji

    • @saidimussa-lh8pz
      @saidimussa-lh8pz Před 11 měsíci +3

      Bachu ni kiboko ya wazushi, Allah ampe umri mrefu na afya na amani na adumu katika kamba ya Allah.

    • @abdallahally842
      @abdallahally842 Před 11 měsíci

      Kwanza bachu hapo anafanya bidaa mtume wapi katoa khutba ya ijumaa Kwa lugha nyengine zaidi ya kiarabu na khutba ya ijumaa ni ibadaa khatibu lazima awe na udhu toa hadithi mtume au abubakara au Omar alitoa khutba ijumaa Kwa lugha nyengine yoyote zaidi ya kiarabu

    • @rukiakhamis-le6kg
      @rukiakhamis-le6kg Před 11 měsíci +1

      ​@@abdallahally842Mhh kwakweli kumbe kuna watu ni maboxi. Mimi nimekuona wewe ni miongoni mwao

    • @khaliphaabubakar9466
      @khaliphaabubakar9466 Před 10 měsíci

      @@abdallahally842naam
      Hawa mawahabi hawajui maana ya bidaa katika dini.
      Bidaa ni ibada au kitu kilichokuja baada ya Mtume Mohamed Rehma na Amani iwe juu yake.kila kitu tunachotumia kufanya ibada havikuwepo na Mtume hakuvitumia.Quraan tukufu ilivyo andikwa na Irabu iwe rahisi kwetu sisi kusoma,juzuu zilizo orodheshwa toka juzuu 1 mpaka ya 30 istitoshe aya ya kwanza mpaka ya 114.
      Leo iko train toka Jedda to Makkah to Madina badala ya farasi na punda,……..
      Vyote hivyo havikuharamishwa lakini Maulid.
      Eti tunamsingizia uwongo Mtume
      Allah awasamehe Hawa majahil

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 Před 11 měsíci +10

    أسأل الله أن يبارك لكم في حياتكم ويكتب لكم الخير ويوسع أرزاقكم ويهبكم الصحة العافية ويجعل لكم في كل أمر يسر وفي كل رزق بركة ويرزقكم نعيم الدنيا الاخرة

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Před 11 měsíci +4

    Jazakallah khaira jazaa

  • @qurankareem582
    @qurankareem582 Před 11 měsíci +34

    Mimi kwakweli nampenda sana huyu kijana pamoja na babayake wallahi hayupo duniani ila kama yupo ametuachia faraja ya mtoto mwema 😢😢😢

  • @binbuhakhamis4336
    @binbuhakhamis4336 Před 11 měsíci +5

    ALLAHU AKUHIFADHI

  • @gilailarashid6838
    @gilailarashid6838 Před 11 měsíci +4

    Mashallah, Allah akuzidishie subra

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 11 měsíci +10

    mashallah
    baraka Llah fiikum
    Munaqasha wa Tanga na Momnasa , huku kwetu umeleta ATHARI KUBWA sana .
    Watu wengi wameanza kuifuata Suunna
    Leo kila kijana akıwambia MAULID! Atakuuliza wapi dalilii!!!

  • @athumaniomari9760
    @athumaniomari9760 Před 11 měsíci +5

    maaashaallah allah akulipe kila lakheri uskate tamaa

  • @user-dh4gh8sx4j
    @user-dh4gh8sx4j Před 11 měsíci +2

    maAshaallah mungu akuhifadhi na uendelea kutuelimisha

  • @khatibrashid172
    @khatibrashid172 Před 11 měsíci +4

    Enyi waja wa Allah muogopen mola wenu acheni kuchangia ujinga acheni matusi mcheni allah

  • @user-lc5cp1hx5s
    @user-lc5cp1hx5s Před 11 měsíci +2

    الله يحفظك يا يشخنا ويعيذك من كل ذي عين وحسد وسحر وكل سوء .

  • @mbaroukbakar572
    @mbaroukbakar572 Před 11 měsíci +8

    "Masha Allah "

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před 11 měsíci +8

    🤲 YAAA ALLAH TULINDIE SHEIKH WETU NASHARI ZA WASIO TAKA KUKUBALI KAMA MAULIDI NI UZUSHI YA RABI🙏

  • @AishaHamisi-tl9ek
    @AishaHamisi-tl9ek Před 11 měsíci +6

    Mashaykhi wa maulidi acheni wivu na mtoto wa mwenzenu jifunzeni kupitia huyu mtoto anatisha kwakweli mm ni mtoto mdogo ila nimeingia kwenye sunna mwenyewe kwa mawaidha ya mtoto wa vachu

    • @Nuru_ya_sunnah.official
      @Nuru_ya_sunnah.official Před 11 měsíci +3

      Allah akuongoze na uzidi kudumu kuishika sunnah Kwa meno ya magego na usiiache❤❤

  • @user-lq3yr4zl4l
    @user-lq3yr4zl4l Před 11 měsíci +3

    Vizuli sheikh kutfundish sis tulikuwa twasom maulid ingali wadog mpk twajitambuwa Allah akupe afya njema uwendelee kutufndisha

  • @AliMasigaSaleh-vs2jh
    @AliMasigaSaleh-vs2jh Před 11 měsíci +7

    Alhamdullilah wauslamu wengi sasa wanafungua macho, na sunnah zimeingia karibu kwa kila mji tangu ukweli usemwe.

    • @Nuru_ya_sunnah.official
      @Nuru_ya_sunnah.official Před 11 měsíci

      Hakika maana na sis wengine ndo tulikua wapiga madufu lkn saiv mm binafsi kupitia bachu na Dr. Islam kw uwezo wa allah nimeacha maulidi na aina zingine za uzushi

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Před 11 měsíci +19

    MashaAllah Mwenyezmung akupe umri mrefu upate kuwafungua macho vipifu na una sauti kama ya baba yako

  • @mustafahakim-iq7dj
    @mustafahakim-iq7dj Před 11 měsíci +6

    mashallah

  • @muhammadjelle-jk3tu
    @muhammadjelle-jk3tu Před 11 měsíci +5

    maa Sha Allah

  • @AishaHamisi-tl9ek
    @AishaHamisi-tl9ek Před 11 měsíci +5

    Bachu nakupenda sana uje utusalinie uku bumbuli wanabumbuli wanakupenda sana na uku Sunna inaenea kwa kasi

  • @chigoboy38
    @chigoboy38 Před 11 měsíci +5

    Allah ukulinde na hao waovu watu wa twarika

  • @oman6124
    @oman6124 Před 11 měsíci +4

    بارك الله فيك

  • @mzeemmwinyihajihatibuhatib9331
    @mzeemmwinyihajihatibuhatib9331 Před 11 měsíci +10

    Ma shaa Allah walllah tumekuelewa mia mia na hoja zako ziko wazi.
    Allah awaongoze wote walio tawaliwa na nafsi nyoyo zao azilainishe sababu ni ngumu kuliko mawe au zaidi ya mawe .

  • @mgeninaima9866
    @mgeninaima9866 Před 11 měsíci +1

    Ameeeeen 🤲🤲 🤲

  • @muhamadyabubakary6750
    @muhamadyabubakary6750 Před 11 měsíci +16

    Allah akuhifadhi shekh wetu

  • @abkmavoko
    @abkmavoko Před 11 měsíci +2

    Alhamdulila nimepata kujifunza kitu kutoka kwako, sikuwa najua zaidi ya haya.allah akupe umri mrefu na atuongeze walimu wengi kama wewe wenye msimamo huu insha'Allah

  • @badrudinsalum3139
    @badrudinsalum3139 Před 11 měsíci +4

    Mashallah shekh Allah akulipe kheri kwa jitihada zako hawa watu wa bidaa wanatamani ardhi ipasuke wajichimbie chini na ukitaka kujua hilo angalia comments zao ni matusi tu ila kazi wanayo kichwa kimoja tu kinasumbua Afrika mashariki wanapokezana vijiti tu leo huyu kesho yule na bado wanafyata mkia. Allah akulinde wewe kizazi chako

    • @Nuru_ya_sunnah.official
      @Nuru_ya_sunnah.official Před 11 měsíci +1

      ❤😂😂❤❤ alopewa kapewa wewe waache waseme kijana bachu yupo na allah ukizingatia anasema. Hakki yenye dalaili na inayoingia akilini😊

  • @user-os4zn7zd1o
    @user-os4zn7zd1o Před 11 měsíci +4

    Mashallh ostazi ulie shikaman na kitabu na sunnah Kwa ufaham wa salaf wema

  • @generalabdize3647
    @generalabdize3647 Před 11 měsíci +5

    Masha Allah tabaraka Allah ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @husseindiba2169
    @husseindiba2169 Před 10 měsíci

    Mashallah sheikh bachu

  • @omarsaid2818
    @omarsaid2818 Před 11 měsíci +2

    Kiboko ya Makhurafi. Allah akupe elimu zaid

  • @AngoligaJamada-ps7zu
    @AngoligaJamada-ps7zu Před 10 měsíci

    MashaAllah ustadh

  • @zafarmohamed9413
    @zafarmohamed9413 Před 11 měsíci +4

    sheikh mm nakushauri achana na mambo ya maulid tufundishe mambo mengine ktk dini na yapo mengi sana.

    • @omarchaijefwa729
      @omarchaijefwa729 Před 11 měsíci

      Acha ushetani kama uko nayo wewe hayo mengine tufunze lakn achana na Bachu manake twarika na team ya maulid imeoza hata afadhali WAKIRSTO sasaivi unawezakumlingania na akakuelewa

    • @zafarmohamed9413
      @zafarmohamed9413 Před 11 měsíci +1

      @@omarchaijefwa729 astaghfirullah ssi sote tunatamka kalima moja ya Laa ilaha illa llah . Unasema afadhali wakiristo kweli mawahabi wanachuki kisa maulid. Wakati ukiangalia bidaa zimejaa tele zama hizi fikiria kidgo kabla hujasema.

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Před 11 měsíci +11

    Nimekufahamu. Allah akuzidishie.

  • @calicabqaricalicabqari6598
    @calicabqaricalicabqari6598 Před 11 měsíci +10

    NDUGU YANGU IBNU BACHU NAKUNASIHI SANA UCHUNGE ADABUL IKHTILAF
    LEO KUNA MAMBO MENGI MUHIMU YA KUZUNGUMZIA AMBAO NI MUHIMU MNO USISHUKULISHE NA MAULIDI TUSIWE KAMA WANASIASA FIKRA YAKO NI WAZI HESHIMU FIKRA YA WENZAKO SHUKRAN

    • @eddieeddie2755
      @eddieeddie2755 Před 11 měsíci +2

      Ktk Uislamu hakuna fikra za binafsi ni Qur'an na Sunna tu, ukifanya usafi unaanza ndani kwanza, hayo ya ushoga yako wazi maasi yake. Shk Bachu yuko sahihi kabisa.

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 Před 11 měsíci +2

      Kila mtu afanye kazi kwa nafasi yake. Ndio Maana unawaona kina Mazinge wanapambana na wakristo ukiwaleta huku hawana hiyo elimu ila vifungu vya biblia vimejaa. Wafanya kazi kubwa sana. Na wengine wao ni wataalam wa maswala ya historia wengine wao ni wataalam wa lugha, wengine wao ni Qur'an n.k kwahiyo usitake Bachu aongelee kila kitu wakati wapo wengine pia kila mtu afanye kwa nafasi yake.

    • @canoksancomprehensivelearn7182
      @canoksancomprehensivelearn7182 Před 11 měsíci +1

      Hakuna khilafu juu ya Maulid bali khikaf iko kuna wanaofiata matamanio ya nafsi na kuna wanao fuata haki tulikuwa masufi kama ninyi msijaribu kuturudisha huko tumesoma kama ninyi mnaturudisha katika upotevu tena jamani?

    • @omarchaijefwa729
      @omarchaijefwa729 Před 11 měsíci

      Kua na dabu wewe pia sababu hata wakati wa mtume muhammad saw unataka kusema walikua wote wakifanya kazi moja tu? Kuna wengine walienda pigana jihad wengine walienda lingania dini kivyengie wengine wakawa askari wa nyumban kwahyo achaneni na Bachu kama mnaumia mshtakieni Allah tuu ndio kila kitu.

    • @eddieeddie2755
      @eddieeddie2755 Před 11 měsíci

      @@omarchaijefwa729 Sasa Uzuka wa maulidi unaingiaje ktk ikhtilaf? Wanyama waliongea ilivoingia mimba ya mtume (s.a.w) ni urongo, km ni kweli wathibishe basi😅😅😅

  • @AhmadaTahir-cu8se
    @AhmadaTahir-cu8se Před 11 měsíci

    Wallahi Billaahi Tallahi,Bachu na wenzake nataka watembee ukimwengu mzima kuendelea kuyapinga Maulidi basi Maulidi hayo yataendelea kuwepo Ulimwenguni

    • @jumamahmoud9271
      @jumamahmoud9271 Před 10 měsíci

      ni kweli kwasababu m/mungu anaaema kua hakika ya wale walioamini na kutenda matendo mazuri ni wachache.kwaio kupitia aya hii watakao kua ktk haqi ni wachache na watakao ktk batwil(maulid) ni wengi.

  • @calicabqaricalicabqari6598
    @calicabqaricalicabqari6598 Před 11 měsíci +20

    علامات محبة الرَّسول ﷺ :
    ١- الإيمان بِهِ ﷺ.
    ٢ - تقديم محبته على محبة النفس والولد والوالد..
    ٣ - تقديم طاعته ﷺ على طاعة غيره مِنَ المخلوقين.
    ٤ - تقديم طاعته ﷺ على هوى النفس وشهواتها.
    ٥ - اتباع سنته والاقتداء بِهِ في أقواله وأفعاله.
    ٦ - تصديق أخباره وأقواله.
    ٧ - كثرة ذكره ﷺ والصلاة والسلام عليه .
    ٨ - الدفاع عَنْهُ وعن سُنَّته ﷺ .
    ٩ - تعظيمه وتوقيره ﷺ حيَّا وميتًا .
    ١٠ - مولاة أوليائه وبغض أعدائه ﷺ.
    ١١ - تمني رؤيته ﷺ.
    ١٢ - عَدَم رفع الصوت في حضرته ﷺ.
    ١٣ - عَدَم رفع الصوت عِنْدَ سماع حديثه .
    ١٤ - عدم رفع الصوت في مسجده.
    ١٥ - عدم ذكر اسمه ﷺ مجرداً.
    ١٦ - الصلاة عليه ﷺ عِنْدَ ذكر اسمه.
    ١٧ - مطالعة سيرته ﷺ
    ١٨ - الغيرة له وعلىه وعلى شرعه وسنته.
    ١٩ - الغضب إذا نتقص منه ﷺ وبذل النفس فداء له.
    ٢٠ - عدم ذكر مَا يُزري به ﷺ

  • @Captainome
    @Captainome Před 11 měsíci +12

    Maa shaa Allah endelea kutoa elimu.

  • @hameidseif7083
    @hameidseif7083 Před 11 měsíci +3

    good boy

  • @user-dg9pn5tl2d
    @user-dg9pn5tl2d Před 11 měsíci +3

    ASSALAM WAALEIKUM SHK MOHAMED BACHU ASIYE TAKA KUKUELEWA WALLAHI HUWEZI KUKUELEWA KWA SABABU YA HAWAA ZAO LKN USICHOKE KUWAELEZA WALLAHI HAYA YOTE ULIYO YAELEZA HAWAWEZI KUYAJIBU NA HII NI CHALLENGE CHALLENGE KAMA KWELI WAO NI WATU ILIMI KAMA WANAVYODAI KINA D.J WAJIBU

  • @FadhilSaid-mb2yk
    @FadhilSaid-mb2yk Před 11 měsíci +2

    MASHAALLAH

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 Před 11 měsíci +6

    Mashaallah

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 10 měsíci

    Haya maneno yamekuja mahala pake khasa Wallaahi, na masufi nivichwa ngumu, lkn wanyooshwe hivohivo, ipo siku watakuja kuku kumbuka Shekh Muhammad.

  • @TijosHaba-xi8vy
    @TijosHaba-xi8vy Před 11 měsíci +1

    Unafundisha baba Allah akuhifadhi Na fitna za walimwengu

  • @Mswahili-12
    @Mswahili-12 Před 11 měsíci +6

    Wallah hawa jamaa wanaoikumbatia bida'a wanajua wazi kwa wanalolifanya halimo kwenye dini ila ni kwamba wanalinda heshima zao .

    • @Nuru_ya_sunnah.official
      @Nuru_ya_sunnah.official Před 11 měsíci +1

      C waache tu au wataona wameshindwa na hao wanao waita mawahabi??!

    • @canoksancomprehensivelearn7182
      @canoksancomprehensivelearn7182 Před 11 měsíci +1

      Maulid yanachakaa kila siku. Sisi tunaopinga leo tulikuwa twayatetea kabla na watu akili zinafunguka, ni kweli yataendelea kuwepo lakin kasi itakuwa ndogo sana masna nakumbuja miaka ya 87 moaka tisini na kitu yalikuwa na nguvu sana na lilikuwa jambo la kitaifa na kila kijiji kila nyumba ya muislam lakin linepungua kama asilimia 75 nzima imekatika bado 25 na hii ni kutokana na muamko wa watu kusoma na kujitambua na kuwacha ushabiki wakat wa kusoma.

  • @swalehmohammed3491
    @swalehmohammed3491 Před 11 měsíci +1

    Mashallah tumefurahi kutupa vitu vya roho Allah akuhifadhi

  • @aliathman7609
    @aliathman7609 Před 11 měsíci +7

    mashaallah sheikh bachu jazaa yako iko kwa Allah.khutba umeitowa kwa hamasa mapaka ikanikumbusha aya hii; { وَلَقَدۡ نَعۡلَمُ أَنَّكَ یَضِیقُ صَدۡرُكَ بِمَا یَقُولُونَ }

    • @Nuru_ya_sunnah.official
      @Nuru_ya_sunnah.official Před 11 měsíci

      Imenigusa kuona Aya hii ni. Sawa na mtume akiwalingania watu kama hawa masufi

    • @MussaRashidi-ds6hn
      @MussaRashidi-ds6hn Před 11 měsíci

      Shekhe yote unayosema nisawa swali nani kamzulia urongo nachukizenu munajiita watuwasunna nahali niwatu wakujivuna Hali inazungumza kabla ya maneno hizochuki bali jengeni uwelewa

    • @aliathman7609
      @aliathman7609 Před 11 měsíci

      @@MussaRashidi-ds6hn covid 19 bado iko palepale. hayajajibiwa

  • @dostikarogi8521
    @dostikarogi8521 Před 11 měsíci +7

    Well said n its true wanatafuta ya tumbo yao allah akuhifadhi uzidi ku elimisha ndugu zetu.

  • @amaroo1220
    @amaroo1220 Před 11 měsíci +17

    Wape Bro! Simama na ukweli, usihofu makundi. Hata ndugu zake Sayyidna Yusuf 3alayhi-Salaam walkuwa "3usbah"

  • @MUBKAM-th3ln
    @MUBKAM-th3ln Před 11 měsíci +2

    Safi kabisaaa ni mwendo wa kupigilia misumari tuu watanyooka mbona😂😂😂

  • @thefoodshaikh811
    @thefoodshaikh811 Před 11 měsíci +11

    Napenda kuwakumbusha msisahau kabisa kuzungumzia haya ma ziara ya Kwenda makaburini kila siku kwa shangwe na ngoma watu kwenda kufanya shirk. Ni msiba mkubwa huu.

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 Před 11 měsíci

      Hakika kifo ni ukumbusho kwa kila mwenye kukumbuka kama wnaenda na kuwafanyia dua hkuna shida yoyote piga goti soma mwenyewe uckukubali kusomewa shukran

  • @ShaabaniAyyubu
    @ShaabaniAyyubu Před 11 měsíci +2

    ماشاالله

  • @mohamedkibwana7558
    @mohamedkibwana7558 Před 11 měsíci +4

    MashaAllah

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 10 měsíci

    Huu ndio uongo wanao rithishana kizazi baada ya kizazi, wakidai wana mapenzi kwa Bwana Mtume Muhammad Swallallaahu Alayhi Wasallama!!!
    Lakini kwenye vitendo niziro.
    Allaah akupe nguvu na ujasiri huuhuu wa kuitangaza Sunnah na kuikanyaga Bid'ah

  • @user-bd7xm6sm3o
    @user-bd7xm6sm3o Před 11 měsíci

    Khotuba nzur maaashllah,lakni mbna ulishindwa kuthibitisha kweny munaqasha Mombasa....kuhusiana tu na hadithi 😮

  • @fatmasuleiman2710
    @fatmasuleiman2710 Před 11 měsíci +9

    MashaaAllah simbaa wetu wape mpaka kieleweke,haki yabaki kuwa haki.

  • @abdallahsaid9574
    @abdallahsaid9574 Před 11 měsíci +2

    elimu ni taufiq ya allah wau wanadhani ukiwa mdogo huwezi pewa elimu laa wallah Kama sio hivyo mtume wetu asindepewa utume ilhali kulikuwa na watu Bora kuliko yeye

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Před 11 měsíci +2

    Shekh wewe msulimoto jazzka allh kheir

  • @user-gj7by1nr2x
    @user-gj7by1nr2x Před 10 měsíci

    Allah akuhidi mtume ametumilizwa ili kutimiza tabia njema je una ushahidi kwa uyasemayo umehifadhi hadithi ngapi umemsoma mtume wp

  • @suleimanabdul-karim1212
    @suleimanabdul-karim1212 Před 11 měsíci +2

    Mashallah Sheikh Muhammed Allah akupe uzima na afiya njema akupe mwisho mwema akuepushe na hasada

  • @user-hr9kb7ev1i
    @user-hr9kb7ev1i Před 11 měsíci

    Hao wanao kusikiza pia hawaja soma, lao wangekua wasomii wange kuweka chini na kukutahadharisha na kauli unazo ongea , Allah akupe ilmu na akuzidishie ufahamu

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 Před 11 měsíci

      Siku zote wapenda maslahi yao binafsi lazima wachukie haki, hivi mpaka mtu afanye bida'a ndo aonekane msomi? Hayo anayoyasema si ya kwakwe ananukuu kwa wanachuoni na anaudhihirishia umma, sasa wewe unataka asome nini ili akurudishe wewe? Yeye kazi yake ni kufikisha tu wanao ongoka wanaongoka na wanaoziba masikio yao kwa pamba waendelee tu, ila Alhamdulillah wengi tunafaidika na tumebadilika, Allah amlipe kheri shekh Bachu na wengine wote wnaoshikamana na Sunnah za Mtume

    • @omarchaijefwa729
      @omarchaijefwa729 Před 11 měsíci

      Wewe unaishi dunia gani?? Twarika yupi unaemjua katoa hutba yak kielimu? Moyo wako ushakua mgumu tulalia ukate viuno

  • @IbrahimIsmail-te7mw
    @IbrahimIsmail-te7mw Před 11 měsíci +11

    mashaallah

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn7182 Před 11 měsíci +12

    Hii ni jihad maana watu wamefuata matamanio badala ya haki na kuthubutu kubishana tu kwa maslahi ya matumbo na hishma zitakazokwisha punde (majina) na Allah hawaongozi madhalimu ambao wanafuata matamanio yao bila haki na kukata mauno. Kama maulid ni halali angetoa hoja na kuingia katka barzanji kwa kutoa ushahid lakin matamanio ya nafsi zao. Niambien imama shafi alisema kama akifanya maulid au malik wakikatika vipi? Viuno vinatakiwa viende kushoto kulia au juu kwenda chini au chini kwenda juu na maulamaa wakakhitalifiana hilo? Wazee wazima waislam wanafanya aibu sana kwa kweli aibu sana mpaka nawashuku akili zao hazipo sawa. Kukatika ni kukatika tu hakuna mahali muwakataze wanaofanya mauno ya matusi katika maulid maadam hamna dalili ya hayo muyatendayo

    • @canoksancomprehensivelearn7182
      @canoksancomprehensivelearn7182 Před 11 měsíci +2

      Mbinu waloitumia masufi kukwa isha munaqasha ni ile walokuwa wakitumia wayahudi kutaka nabii S.A.W aonekane kama muongo wamdhalilishe. Ati wanadai kwenye comment sheikh Bachu kapata kichapo. Kichapo kipi? Mbona hapakuwa na swali pale zaidi ya ubabaishaji? Hivi nikikuuliza ati toa ushahidi kwenye Quran mahali andazi limetajwa kwa jina kuwa ni halali kuliwa ili tuendelee na munaqasha hilo ni swali la kielimu? Wallaahi naye Said akiulizwa ataje mahali alonakili hadithi munkar anaitwa mkweli hana. Hayo mazwaki yanaitwa ya kupoteza muda, au ninyi washabiki jibuni. Sio kila swali mtu anaulizwa na hali muulizaji mwenyewe pia hajui jibu hii ilikuwa ni trick walokuwa nayo wayahudi kutaka tu sio kuelewa bali kushindana na mtume S.A.W aonekane sio, wayahud ndio tabia yao tangu zamani kwaushahidi huu
      { هَـٰۤأَنتُمۡ هَـٰۤؤُلَاۤءِ حَـٰجَجۡتُمۡ فِیمَا لَكُم بِهِۦ عِلۡمࣱ فَلِمَ تُحَاۤجُّونَ فِیمَا لَیۡسَ لَكُم بِهِۦ عِلۡمࣱۚ وَٱللَّهُ یَعۡلَمُ وَأَنتُمۡ لَا تَعۡلَمُونَ }
      [Surah Āli-ʿImrān: 66]
      (Enyi Watu wa kitabu) Angalieni! Nyinyi mlibishana katika yale mliyo yajua. Mbona sasa mnabishana katika yale msiyo yajua? Na Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye, na nyinyi hamjui.

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Před 11 měsíci +3

    Miaka 2007 nilivyokuwa bado mdogo na rafiki zangu tulikuwa tukienda maulidini usiku wallah tulikuwa tukiona maajabu,

  • @TijosHaba-xi8vy
    @TijosHaba-xi8vy Před 11 měsíci +1

    Mashaallah tabarakallah

  • @Fardadihd
    @Fardadihd Před 11 měsíci +5

    ❤❤❤

  • @wildbaobabsafaris
    @wildbaobabsafaris Před 11 měsíci +2

    Wewe kweli ni Simba, Masha ALLAH

  • @bakariomari9304
    @bakariomari9304 Před 11 měsíci

    Ustadhi saidi anakuita ukajibu swali na utakufa jahili ,waitwa maburui ukasome acha kubabaika

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official Před 11 měsíci +1

    Sheikh bachu Nina ombi Mimi kama mmiliki wa chanel ya # 24 QURANIC UPLOADS inayo husika na Quran wateja wangu wameomba kwamba wewe shaikh MUHAMMAD NASSOR BACHU urekodi QURAN yote nzima Kwa sauti Yako,,... Natumai ombi langu litafanyiwa kazi in shaa allah