Shekh katika masla hya ya kuomba dua baada ya kuzuru kaburi tuelekee ama tuangalie kibla mbona wasema ni hrmu ,Al imam shaukan amesem hakika wamekubliana waisilamu wote kivitendo juu ya dua baada ya ziara ya kaburi Mwenye kuzru baada kukamilisha ziara yke?akasema shekh shaukaan yawezekna kuelekea kibla aukulipa mgongo kabri tukufu la mtume,kisha akasema huwenda wakalielekea baadhi ya watu kaburi la mtume na wakaomba dua zao,kisha akasema shekh shaukan hili la kielekea kburi la mtume na kuomba hakuna anaesubutu kulipinga haya yapo ktika kitabu (FAT'HU RABBAN)Wew wasema ni haramu hivi Sheikh Shaukan yuwaenda Motonii??? Ama wasemaje kuhusiana na kauli ama maneno haya ya Al Imam Shaukaan???????
Shekh swali umeulizwa kuhsiana n kutawasal na mahaba juu ya mtume,pia aliulizwa shekh nassru din al alban ktka mausua yke akasma yafaaa kutawasal kwa mapenzi yko kwa watu wema au kwa mtume na pia Ibn Baaz aliulizwa ktka fatawa arqanu islam na Duraru saniyah akasema yafaa kutawasal kwa mahaba ya mtume,Je shekh tutawasli na mahaba ya mtume je ni ikiwa yuko hai ama amekufa? Na kama yafaa kutawasal na Mahaba ya mtume akiwa amekufa je huoni kama takuwa huko nikutawasal na Maiti?????
Sheikh Muhammad Bachu NakupendaSana Kwa ajili ya Allah
MAA SHAA ALLAH ALLAH Akubaarik
Barakallahu feyk Allah awahifadhi Leo na kesho Akhera
Mashallah
Barakh Allah fikh
MASHAALLAH ALLAH awahifadhi
Masha allah
Mashaallah allahu yahfadhuka
Assalam aleykum.Ustadhi wangu,kiongozi wangu,ningependa kujua mtoto alie zaliwa inje ya ndoa
Shekh katika masla hya ya kuomba dua baada ya kuzuru kaburi tuelekee ama tuangalie kibla mbona wasema ni hrmu ,Al imam shaukan amesem hakika wamekubliana waisilamu wote kivitendo juu ya dua baada ya ziara ya kaburi Mwenye kuzru baada kukamilisha ziara yke?akasema shekh shaukaan yawezekna kuelekea kibla aukulipa mgongo kabri tukufu la mtume,kisha akasema huwenda wakalielekea baadhi ya watu kaburi la mtume na wakaomba dua zao,kisha akasema shekh shaukan hili la kielekea kburi la mtume na kuomba hakuna anaesubutu kulipinga haya yapo ktika kitabu (FAT'HU RABBAN)Wew wasema ni haramu hivi Sheikh Shaukan yuwaenda Motonii??? Ama wasemaje kuhusiana na kauli ama maneno haya ya Al Imam Shaukaan???????
Shekh swali umeulizwa kuhsiana n kutawasal na mahaba juu ya mtume,pia aliulizwa shekh nassru din al alban ktka mausua yke akasma yafaaa kutawasal kwa mapenzi yko kwa watu wema au kwa mtume na pia Ibn Baaz aliulizwa ktka fatawa arqanu islam na Duraru saniyah akasema yafaa kutawasal kwa mahaba ya mtume,Je shekh tutawasli na mahaba ya mtume je ni ikiwa yuko hai ama amekufa? Na kama yafaa kutawasal na Mahaba ya mtume akiwa amekufa je huoni kama takuwa huko nikutawasal na Maiti?????