YESU WA TONGAREN AMKANA YOHANA MBATIZAJI KISHA KUMCHOCHEA BINTI YAKE AKATAE POSA YA RAMADHAN 😄 🤣

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 04. 2023
  • ‪@StraightPathDawah‬ ni chaguo la wengi tafadhali subscribe kwenye channel yetu.

Komentáře • 212

  • @JumaJuma-jf6cd
    @JumaJuma-jf6cd Před rokem +24

    Allah afanye wepesi katika kazi ya daawa tuko pamoja kutoka Zanzibar

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Před rokem +15

    Hapo sawa yaonyesha tukopamoja ramadhan mungu akujalie umri mrefu inshaallah

  • @muthoni2102
    @muthoni2102 Před rokem +17

    I take this opportunity to thank My God ,Allah (Swt) for leading me to Islam in 2015 when I was desparately trying to find the truth.Though I lost my friends and family.I gained the most peace.Alhamdillah🤲🏾

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 Před rokem +6

    Kenya hata vichaa wanapata wafuasi ndio maana watu wanauliwa, serikali iko wapi jamani.

  • @OmanOman-vb4uj
    @OmanOman-vb4uj Před rokem +5

    Yaan hyu baba anakeraah yaan anapotoshaa watu sijui akil yake inawazaa nn

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d Před rokem +7

    SubhanllAh innallah wainaillah rajoon 😭😭😭 yaan hawa wabishi na waongo kweli yeye Yesu kwahiyo Yesu amesharudi ameoa na ana watoto mafundisho yameshawaingia wanajitoa ufahamu wakikaa peke yao wanasema nikweli mafundisho ya shekh Ramadhan yako sahihi Mwenyeez Mungu awaongezee waione khaki na waifuate

  • @OmanOman-vb4uj
    @OmanOman-vb4uj Před rokem +4

    Ananikeraah hyo baba htr maan anajidai haelew wakt anaelewaa dhahr

  • @munawwarbashir2680
    @munawwarbashir2680 Před rokem +6

    Sheikh Ramadhan nakupenda kwa ajili ya Allah ❤❤ , Allah akupe umri mrefu wenye mafanikio ndani yake na uwendelee kuwafundisha wasiojiwa ukweli

  • @asl6295
    @asl6295 Před rokem +4

    Shekh Mungu akufanyie wepesi katika kuwalingania ummat Muhammad

  • @buyuni1
    @buyuni1 Před rokem +7

    ma shaAllaah, mwenyezi Mungu akuhifadhi

  • @azizsaid818
    @azizsaid818 Před rokem +4

    Kazi nzr shekh wetu Ramadhan Kuria bin Kaguo nipo Qatar nakufatilia sana na navutiwa kuifanya kaz ya Allah

  • @Adm9464
    @Adm9464 Před rokem +3

    Jesus on the phone. Ajaabu

  • @chidolakhatib7847
    @chidolakhatib7847 Před rokem +5

    Subhanna Allah … Ati Anaitwa Nabii 😂😂

  • @dorisdo3418
    @dorisdo3418 Před rokem +7

    Ramadhan umeniongezea siku moja

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Před rokem +1

    Mwenye Enzi Mungu amhidi yaarab huyu anae jiita yesu, kwa kweli ana wapotosha watu kwa uja hili wake

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Před rokem +4

    Haionyeshi

  • @Leseelasumayia
    @Leseelasumayia Před rokem +4

    Mungu akuongezee akufanyie wepesi kazi yako nzuri mwalimu Ramadan

  • @tracymbithez3888
    @tracymbithez3888 Před rokem +2

    😂😂😂 huyu bb wa yesu ataki hio story anaona huyo bwanake ataogeza bb😂😂😂😂

  • @buyuni1
    @buyuni1 Před rokem +3

    Sh. usimpe sana huyu jamaa platform yakueneza kufr zake

  • @rashidbilal1150
    @rashidbilal1150 Před rokem +1

    INNAH ILLAH WA INNAH ILLAH RAJIUN ... ALLAH amuoneshe njia aingie katika Dini ya haki Islam... INSHAA ALLAH kwa sababu hajui anachokifanya