I take this opportunity to thank My God ,Allah (Swt) for leading me to Islam in 2015 when I was desparately trying to find the truth.Though I lost my friends and family.I gained the most peace.Alhamdillah🤲🏾
SubhanllAh innallah wainaillah rajoon 😭😭😭 yaan hawa wabishi na waongo kweli yeye Yesu kwahiyo Yesu amesharudi ameoa na ana watoto mafundisho yameshawaingia wanajitoa ufahamu wakikaa peke yao wanasema nikweli mafundisho ya shekh Ramadhan yako sahihi Mwenyeez Mungu awaongezee waione khaki na waifuate
Allah afanye wepesi katika kazi ya daawa tuko pamoja kutoka Zanzibar
Hapo sawa yaonyesha tukopamoja ramadhan mungu akujalie umri mrefu inshaallah
I take this opportunity to thank My God ,Allah (Swt) for leading me to Islam in 2015 when I was desparately trying to find the truth.Though I lost my friends and family.I gained the most peace.Alhamdillah🤲🏾
Kenya hata vichaa wanapata wafuasi ndio maana watu wanauliwa, serikali iko wapi jamani.
Yaan hyu baba anakeraah yaan anapotoshaa watu sijui akil yake inawazaa nn
SubhanllAh innallah wainaillah rajoon 😭😭😭 yaan hawa wabishi na waongo kweli yeye Yesu kwahiyo Yesu amesharudi ameoa na ana watoto mafundisho yameshawaingia wanajitoa ufahamu wakikaa peke yao wanasema nikweli mafundisho ya shekh Ramadhan yako sahihi Mwenyeez Mungu awaongezee waione khaki na waifuate
Ananikeraah hyo baba htr maan anajidai haelew wakt anaelewaa dhahr
Sheikh Ramadhan nakupenda kwa ajili ya Allah ❤❤ , Allah akupe umri mrefu wenye mafanikio ndani yake na uwendelee kuwafundisha wasiojiwa ukweli
Shekh Mungu akufanyie wepesi katika kuwalingania ummat Muhammad
ma shaAllaah, mwenyezi Mungu akuhifadhi
Kazi nzr shekh wetu Ramadhan Kuria bin Kaguo nipo Qatar nakufatilia sana na navutiwa kuifanya kaz ya Allah
Jesus on the phone. Ajaabu
Subhanna Allah … Ati Anaitwa Nabii 😂😂
Ramadhan umeniongezea siku moja
Mwenye Enzi Mungu amhidi yaarab huyu anae jiita yesu, kwa kweli ana wapotosha watu kwa uja hili wake
Haionyeshi
Mungu akuongezee akufanyie wepesi kazi yako nzuri mwalimu Ramadan
😂😂😂 huyu bb wa yesu ataki hio story anaona huyo bwanake ataogeza bb😂😂😂😂
Sh. usimpe sana huyu jamaa platform yakueneza kufr zake
INNAH ILLAH WA INNAH ILLAH RAJIUN ... ALLAH amuoneshe njia aingie katika Dini ya haki Islam... INSHAA ALLAH kwa sababu hajui anachokifanya