KIZAAZAA, BINTI YA YESU ADAI KUWA MJUKUU WA MUNGU 😢

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Tafadhali kumbuka kusubscribe, kucomment, kulike na kushare. Straight Path Da'wah tunajitahidi kufikisha dawah mitaani na mashinani.

Komentáře • 386

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 Před 10 měsíci +1

    Mandiko yanasema lakini watu wana fanya kiburi kuelewa Allah atujalie mwisho mwema 🕋❤️❤️🤲

  • @samxx411
    @samxx411 Před rokem +4

    Sheikh pole sana inanibidi nikupe pole, najua roho inakuuma ila unastahamili, basi ujue na mitume walipata mitihani hiyo hiyo na wengine walishindwa ila usichoke hiyo ndio kazi tuloachiwa na mitume

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Před rokem +11

    Malaika wanakula ,wanaenda Choo na damu ya mwezi pia subhanallah wamepotea xna

    • @user-ie7yt9db6f
      @user-ie7yt9db6f Před 4 měsíci +1

      Innalillah wainnalillah rajiun msiba mkubwa 😂😂😂😂😂😂wanafanya Kila kitu Hadi wajukuu wako subhanah allah

  • @user-xu5rh6ub5j
    @user-xu5rh6ub5j Před rokem +9

    Waisilamu hatuambudu binadamu sisi tunajua Allah ndio mungu mbingu na aridhi

  • @udaudauda8594
    @udaudauda8594 Před rokem +6

    Allah akutangulie sheikh Ramadhan kwa kujitoleya hivi ndivyo vipindi vya kuangalia yafaa tumjuwe mwenyezi mungu atuongoze njia iliyo nyooka siyo ya wale walio kasirikiwa wala ya wale walio poteya🤲

  • @saidhassanahmed4
    @saidhassanahmed4 Před rokem +16

    Da shekhe ramadhan kama ulivosema utochoka kwenda apo mpaka aujue uislamu mungu amuongoze yeye na watu wake wawe waislamu inshaalah mungu akulipe shekhe shekhe ramadhan kuria bila ya hesabu na akupe pepo pamoja na mtume muhamad ww pamoja na familia yako inshaalah nakufatilia sana shekhe wangu from tanzania 🇹🇿

  • @ismailmohamed7730
    @ismailmohamed7730 Před 7 měsíci +1

    AlhamduliAllah 💕 may Allah guide them

  • @twaine40
    @twaine40 Před rokem +8

    Sub'haana Allah astaghfirullah eti Sifa na utukufu niza yesu😢😢 Mwenyeezi Mungu awasameh mana hawajui wanayoyatemda

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 Před rokem +1

      Hhhmmmm kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe uislam hautokubeba mbinguni ndugu hata ukristo hautotubeba mbinguni sema sisi wote tutabebwa na matendo yetu ndugu

    • @twaine40
      @twaine40 Před rokem

      @@lilianeerica3318 Mwenyeezi Mungu akuongoze uijue haki

  • @gloria_justgloria2013
    @gloria_justgloria2013 Před rokem +19

    Wee,,am a Christian and I love your work Ramadhan,,,this is clearly ujinga of the highest level,,,we only know of one God,,muumba wa yote duniani,,,hizi zingine ni sarakasi na vipindi,,,Jesus went 2000 years ago,,huyu mwingine ni "yesu" bandia,,wanawake washaa kua manabii wanaume,,ATI,,Nuhu,,Ariel waah,,Jesu mgani amerejea duniani??watujibu,,this is idolatry period!

    • @stoispapi2380
      @stoispapi2380 Před rokem

      Stop the cap.. You are a polytheist

    • @ufafanuzi4382
      @ufafanuzi4382 Před rokem +5

      Tofauti yake na wewe ni sawa tu. Same story ya kusema yesu mara mungu mara mtu na yeye anatumia hiyo loop hole. Kama haumuelewi huna roho mtakatifu ! Ukiamini mtu ana uungu iwe yesu wa kweli ama huyu bandia , basi huombi Aliye kuumba na kumuumba yesu

    • @abcfisheries2865
      @abcfisheries2865 Před rokem +3

      Hawa wote wamesema wako na 'ROHO', or led by the Holy Spirit.

    • @woah.africa99
      @woah.africa99 Před rokem +2

      Ujinga nuhu duh

    • @virusimbayajunior
      @virusimbayajunior Před rokem

      You are not a Christian,, I pity you,, rethink and get saved

  • @ftoomibrhoom7512
    @ftoomibrhoom7512 Před rokem +11

    Mungu awaongoze wasilimu wawe waisilamu Tena kwa kupenda kwao nakujiridhisha kua mungu ni mmoja nahana mshiriki

    • @mushmorrytv
      @mushmorrytv Před rokem

      Amini

    • @enockkorir6404
      @enockkorir6404 Před rokem +1

      Huyu wife wa yesu ananisinya saaana!!!!!!!

    • @mushmorrytv
      @mushmorrytv Před rokem

      @@enockkorir6404 waache ujinga watuambie majina Yao kamili😅😅

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Před rokem +7

    Ubarikiwe ishallah kwa sababu wamepotea kweli kweli mpaka wamevunja mipaka ya mungu hâta yesu hakujidai kua yéyé nimjukuu wa mungu subuhana Allah mungu ya wawokoe ishallah

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před rokem +9

    Shekhe Ramadhani inakuwaje hucheki wakati Yesu anapo kujibu ? Wallah me nacheka 😅😅alafu nawahurumia 😢. Mwenyezi Mungu awaongoze hawa ndugu zetu Amiin.

  • @patrickmshaughi4155
    @patrickmshaughi4155 Před rokem +3

    Subah Allah, hapo Pana kazi Dawah yatakikana kwa nguvu hapo. Yarabbi Mungu awaongowe

  • @hitmanabelo3218
    @hitmanabelo3218 Před rokem +1

    Uko so clear kwa maono zako,kulingana na hao wengine nikama wanajichanganya

  • @user-cz7li3hc8u
    @user-cz7li3hc8u Před 5 měsíci

    Allahu Akbar.... Ya Allah tuongoze sote tuliopotea ameen yarabi inshaallah

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 Před rokem +5

    Inna Lilahi Wa Inna Ilaihi Rajiun, Allah awaongoze kwenye haki na waijue haki na Allah awaonyeshe shari waijue shari na waweze kuiepuka Allah Ummah Amiin

  • @maryamjuma1980
    @maryamjuma1980 Před rokem +4

    Allah akulipe kheri sheikh Ramadhan pamoja na walinganiaji wenzio na Allah atufishe tukiwa waisilamu

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani1337 Před rokem +6

    Hatari mjukuu wa Mungu tena ama kweli mmepotea kabisa Mwenyezi Mungu awajalie ufahamu

  • @yassinali3123
    @yassinali3123 Před rokem +5

    MashaAllah my brother napenda unavo enda nao, Allah awaongoze waje kwa dini ya islam

  • @marymukolwe5137
    @marymukolwe5137 Před rokem +6

    Mungu anisamehe lkn kuna manabii wauongo na ni yeye,,mpaka mtoto mdogo wakike kaa shapotea mungu amuokoe uyu mtoto,,na mbn ni familia tuu ndio watumishi apo😮😮

  • @OmaryJuma-vj2on
    @OmaryJuma-vj2on Před rokem +5

    Sheikh Ramadhani allah akuhifadhi Inshaallah

  • @aminashabangonzi4020
    @aminashabangonzi4020 Před rokem

    🤣🤣🤣 nacheka kama mazur ila hii dunia ina mamb jmn. Shukran sana shekh Rama na wenzak endeleen kuizindua dunia ukwel na uongo utajipambanua kwa wenye akili In Sha Allah

  • @nassersalim1283
    @nassersalim1283 Před rokem +1

    Mashallah mashallah shekh Ramadhan.huyo yesu na manabii wake ni kiboko Ila inshallah ALLAH AKUONGOZE UZIDI KUWAPA DAWA

  • @markmurunga5215
    @markmurunga5215 Před rokem +4

    Sheikh today u got my subscription

  • @innocentjay5844
    @innocentjay5844 Před rokem +2

    Allah akupe afya njema sheikh Ramadan

  • @musaguga
    @musaguga Před rokem +2

    Huyu mpuuzi sana, nach yetu Tanzania haijatokana na tanzia kama alivosema, Tanzania imetokana na muungano WA Tanganyika na Zanzibar, ikapatikana Herufi zenye neno TANZANIA, wawe makini wasipotoshe watu kwakutaja nchi yetu, naipenda TANZANIA yangu.

    • @maryamjuma1980
      @maryamjuma1980 Před rokem +1

      Tena ashukuru kazaliwa Kenya angekua anaishi Tanzania huyo angeshashuhulikiwa kitambo azungumze uongo wake tu asiingize nchi yetu

    • @shakila3982
      @shakila3982 Před rokem

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mimi nimecheka tu, cos anajichanganya

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před rokem +1

    Subhanaallah Hawa binadamu wanaleta maneno hayaeleweki. Inalilah wanaileh rajuuni

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Před rokem +4

    Mungu akuhifadhi mwalim ramadhan inshalha

  • @zakariakiema621
    @zakariakiema621 Před rokem +2

    Malaika wakiluyha na yesu 😅😅I enjoy this comedy,,Aminaaa, amina, aminaaa,,,halafu matamshi pia wololo 😄,,alitoka-alidoka, macho-majo nakadhalika

  • @aminaadanaminaadan1359

    Ramadan Allah akujaze kheyr na umri na afya wa kufikisha da'awa ....watu Hawa wanaelewa bt hawataki watu kujua kwama ni uongo.... Allah awaongoze in shaa Allah

  • @ambbabu4122
    @ambbabu4122 Před rokem +2

    Innalillahi wa innaillahi rajjiun ukweli huu n msiba mkubwa sana haki, mwenyezi mungu awaongoze wallahy,
    Sababu cjui huyu mzee aliwafanyaje hawa watu, yani hakuna hata mwenye nafuu haki yani woote akili zao zimelala

  • @omunilihanda2238
    @omunilihanda2238 Před rokem

    I like the composure of this yesu and family...., hajakataa chochote n its good juu anasikiza. Hapo ndo tofauti ya waliopotezwa....., thummun bukmun...

  • @godfreyoluoch3832
    @godfreyoluoch3832 Před rokem +6

    Allah rabila izza the most merciful may he guide you all.

    • @miraclesonke137
      @miraclesonke137 Před rokem

      Ajitaarishe n lazima tumsulubishe huyo yesu wa tongereni

  • @theresiamateru6426
    @theresiamateru6426 Před rokem

    Ushindwe kwa jina La Yesu wewe siyo Yesu

  • @issackhussein356
    @issackhussein356 Před rokem +4

    Kazi nzuri sana shehe wangu,God bless you and may Allah open the guess of your audience to see the right path InshaAllah!

  • @ruthkamau4489
    @ruthkamau4489 Před rokem +4

    Ati mpaka kuna grandchild wa mungu 😂😂😂😂mm nitaisha nikucheka...halafu nafurahia vile shekh anauliza maswali

  • @vincentlusige9532
    @vincentlusige9532 Před rokem

    Waislamu wana viereere Sana wachaneni Na yesu wetu wa kiafrika and ata nyinyi hamwoni mmepotezwa na waarabu mliwaacha Mila zenu

    • @user-ie7yt9db6f
      @user-ie7yt9db6f Před 4 měsíci

      Mungu akuongoze katika njia iliyonyooka. Maana mnapotea ss waislamu hatufati kabila la waarabu tunafata dini ya kiislamu alhamdulillah

  • @janetjay2020
    @janetjay2020 Před rokem +4

    This man ,knows in and out of this word of God,salute you bro

  • @abrahmanifarouckissa5662

    Ramadhani Nakupenda kwa ajili ya Allah Mungu akupe elimu zaidi ya zaidi ilamic

  • @radhiamohaa3723
    @radhiamohaa3723 Před rokem +1

    Sasa yesu leo Kawa mluya ,jamani dunia imeisha 😢😢😢😢😢😢😢

  • @sakow747
    @sakow747 Před rokem +5

    Mashaalah allah protect you keep going

  • @nasra8436
    @nasra8436 Před rokem +2

    Ramadhani Allah akulipe mema,Ramadhani karimu

  • @stellananyama5724
    @stellananyama5724 Před rokem +7

    Sheikh thank you for the good preachings.

  • @rihanakhatri1101
    @rihanakhatri1101 Před rokem

    Subhanallah wababaisha sana lakini Allah yuko nanyie

  • @hitmanabelo3218
    @hitmanabelo3218 Před rokem

    Huyo yesu amechanganikiwa,kazi nzuri sana Mohammed,

  • @amanikhalif9958
    @amanikhalif9958 Před rokem +2

    Great job may God bless you sheikh Ramadhan❤

  • @binpodah6003
    @binpodah6003 Před rokem +4

    Barakallah brother.

  • @stevenomondi3263
    @stevenomondi3263 Před rokem +2

    Lakini binti wa yesu ni kienyeji safi😊

  • @laylasaid8406
    @laylasaid8406 Před rokem +2

    Jamani kazi ipo Allah waoneshe njia

  • @catherine7202
    @catherine7202 Před rokem

    Yaani yesu amerudi na mke nawatoi wake iwonder😢😢😢😮

  • @allyngozi9571
    @allyngozi9571 Před rokem +1

    huyu yesu na wafuasi wake vichaa sana, tanzania to tanzia, tanzia ni neno la kiswahili na maana yake ni tangazo la kifo

  • @Quietpost
    @Quietpost Před rokem +1

    MashaAllah Ramadhan Allah akuhifadhi

  • @THEPROBLEMCHILD_
    @THEPROBLEMCHILD_ Před rokem +2

    Mashaalah Allah akujaliye Barak 😊

  • @naimaabuualii578
    @naimaabuualii578 Před rokem +1

    Niulize ivi lini hizi subscribers zitaongezeka mwaka gani jamani igekua ni nyimbo za masitar wakubwa mugekua mushafikisha million subscribers na viws ni nyingi ila mimi nawakumbusha alie kua anapenda hii chanali halafu hasabscab mungu anamuona

  • @user-vx8lj5li7m
    @user-vx8lj5li7m Před rokem

    Masha Allah shukran ya sheikh

  • @momojr9749
    @momojr9749 Před rokem

    SubhanAllah hiyi dunia, tuta ona mengi, Allah atu stiri na atu nusuru, awo wame potea, ivi wana amini jesus ndio huyo alio kaa pale

  • @amandasarah3558
    @amandasarah3558 Před rokem +1

    Those women wamekaa tu hapo ni kuchekacheka, eti mimi ni Nuhu mjenga safina,

  • @mgeninaima9866
    @mgeninaima9866 Před rokem +2

    Subhaana Allh mtihani mkubwa sana kwakweli

  • @MarkMandare-sk6qu
    @MarkMandare-sk6qu Před rokem

    Yesu wa tongeleni ana faa kusubiwa na kama ni mashada Niko tayali ulkusapot ❤

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv1356 Před rokem

    Yani kenya aki ukikufa n pressure au stress ni we umejitakia mwenyewe,eti nuhu mjenga safina 🤣🤣🤣🤣🤣oh Allah okoa watu wko kabla waangamie,am great full to be Amuslim hii ujinga hautaii ona kw waislamu utapigwa bakora ushangae

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 Před rokem +1

    Ramadhan leo umemkamata sana Yesu mpaka anaanza kuwa na wasiwasi na wafuasi wake.Hawajiamini wanatafakar maandiko

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Před rokem +6

    Subkhanallah,Inalilahi wainailahi Rajiuni.

    • @hahs3822
      @hahs3822 Před rokem

      Komashetani kwajinala yesu uyo niyesu wawapi ndunia imeisha isha kabisa mwenye nziMugu tuulumie baba 🎉

  • @vitelinenyambura5650
    @vitelinenyambura5650 Před rokem

    Ni wito was Mungu ako nayo, but hakua na mfafanusi akamfafanulia

  • @ruthkamau4489
    @ruthkamau4489 Před rokem +4

    Kwani nuhu alikuwa mwanamke.😂😂😂😂😂..

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 Před rokem +2

      Wallah mbavu sina dunia ina watu wake😅😅😅😅😅😅😅

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 Před rokem +2

    MashaAllah ustadh,umeuliza swali zuri sana kuhs safina hta yy mwenyew hajui alilingania watu kwa miaka mingapi 😂😂 ila yesu amelipindua

    • @Awatee
      @Awatee Před 7 měsíci

      😂Astaghfurullah huyu Yesu Mhh sidhani kama yupo sawa kama kachanganyikiwa

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 Před rokem +2

    Ust wetu hongera hawa nivichwa ngumu kabisa.

    • @Sal.0
      @Sal.0 Před rokem

      Kama Khoko la Nazi! 😅😅

  • @samawadeahmed4380
    @samawadeahmed4380 Před rokem +5

    I love Kenyans very peaceful nation that is why they are the most knowledgeable people in Africa . Imagine they are debating in a way of understanding each other with a good atmosphere.

  • @zainaal-nabhani9034
    @zainaal-nabhani9034 Před rokem

    Hapa nakwambiya kazi ipo daa yani mungu akupe nguvu shehewetu na uzima najop lako inshallah akujaliye husni hatima

  • @paradisomwagala-jh3ki
    @paradisomwagala-jh3ki Před rokem +1

    Awa wametoka wapi jamani shetani anahangaika 😅😅😅 mpaka aibu😅😅

  • @mutiembingi-le6kz
    @mutiembingi-le6kz Před rokem

    Wape washike icho kitabu shehe wasome sababu ni wanadamu ukiwanyima kushika icho kitabu ni Cha majini mungu hajumo hekima muhimu

  • @saidramadhani9060
    @saidramadhani9060 Před rokem

    Ramadhani mwenyezi mungu akusimamie hadi mwisho huyo mzee kishapote pamoja na familia yake niko pamoja na wewe nitazidi kukuombea dua ili mwenyezi mungu asimame na wewe hadi mwisho

  • @NassirHassan-zm8cb
    @NassirHassan-zm8cb Před rokem +1

    We really love you brother Ramadhan may Allah give you strength and ability to spread the religion of ALLAH i.e islam

  • @vitelinenyambura5650
    @vitelinenyambura5650 Před rokem

    Huyo Ramadhani anasema ,ukiingia kua muisilamu usimshirikishe Mungu, kwani ukiwa mwislimu unamshirikisha Nani au shetani

  • @eunicemoraa9293
    @eunicemoraa9293 Před rokem +1

    Heeewe yesu tusamee mana watu wako wamepotea na kujifanya awajui na wanajua kuwa pudu pinadamu Ramadan sidi kulisa maswali adi hao watu wajitambue kuwa wamepotea wapadilike

  • @SaidiHassani-vr3dd
    @SaidiHassani-vr3dd Před 4 měsíci

    Mungu kujaalie nguvu ya kuwaslimisha kaka

  • @allywilson4155
    @allywilson4155 Před rokem +3

    Hao watu wakachunguzwe akili
    Hapo sawa mentally..

  • @user-nx7jd3cf1m
    @user-nx7jd3cf1m Před 4 měsíci

    MSIBA.
    INNA LILLAHI WA INNA ILAIHI RAAJI'UUN.

  • @ahmedmattar4661
    @ahmedmattar4661 Před rokem

    Shekhe unajitahidi sana kueneza dini mungu akusimamie inshaala 😊

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 Před rokem

    Munadaganyana watu kwa akijili ya njaa zenu nyinyi hamujui kitu chochote mumepotea mungu awasamehe hamujui mutendalo tubuni dhambi zenu kabla hamajafa

  • @LillianS-qt6gi
    @LillianS-qt6gi Před 3 dny

    Kweli kabisa hiyo ni njaa inayomsumbua huyo mzee kujiita Yesu. Anatafuta kiki ili naye awe mwanamziki au muigizaji 😂😂😂

  • @metrinenyakoe1764
    @metrinenyakoe1764 Před rokem

    Sheikh thanks tumejivunza mengi kuhusu biblia 🙏🙏

  • @Adm9464
    @Adm9464 Před rokem +3

    Kila kitu ni ki roho hapo.

  • @HARUN_MOHA
    @HARUN_MOHA Před rokem +1

    Ndugu nakupogeza Allah atakulipa

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 Před rokem

    Duh Kaka ebu wahubiri hao maake tafsiri zao na maelezo yao hayaendani. Sasa Yesu huyo asulubiwe afufuke ndio tutaamini. Alisimama mkono wa kuume lini huyu jamani

  • @d.abigail.j4127
    @d.abigail.j4127 Před rokem

    Wacha upuzi
    YESU Chrito alirudi mara ya pili ni kuja kuhukumu
    Si basi uanzebkutuchoma sisi wenye dhambi
    Mkikosa kazi maanake si kutumia ukristo vibaya😢😢😢

  • @allyngozi9571
    @allyngozi9571 Před rokem +2

    nabii nuhu amerudi kuwa mwanamke 😀😀😀

  • @yusufmwangichannel6692

    Yani wanajichekea kumaanisha kuamini kwao ni upuuzi na ujinga ila Allah atawaongoza katika haki na waweze kuifuata Amiin Thumma Amiin

  • @nasramusaro
    @nasramusaro Před rokem +2

    Jaman kazi ipo watu wanajitoa ufahamu hasaa ukweli unakataliwa kinaga ubaya bila haya yarab wafungue waja wako

  • @ramoomar3699
    @ramoomar3699 Před rokem +2

    My brother in faith, you're really doing a Great job, and honestly speaking, is not an easier job as people think it's, please! Remember that obstacles are always there, don't give up, and Allah will always find easier way for you to deliver His messages, and He will always shower you with His blessings whenever you step. Imagine someone to claim that He's Jesus the Prophet of Allah who was given a book of Injili, and he took the same book to read for his fellowship that Jesus said this while he claims that he's the one.

  • @dorambaga2667
    @dorambaga2667 Před rokem

    Yesu Kristo Wa mbinguni pekee ndo twaokolewa nae acha kusambaza uislamu

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Před rokem

    Mnayumbishwa na mpumbavu wakati Yesu anaingia sinagogi uisilamu haukuepo .sinagogi. au msikiti ulikua makutaniko wawayahudi sasa kwaakilizenu Muhammed alikuako kwenye hilo sinagogi

  • @guenterernst5481
    @guenterernst5481 Před rokem +2

    Wanajiona wanajua sana

  • @abdallahsaid1968
    @abdallahsaid1968 Před rokem +1

    Allah aendelee kukutunza naakupe umri mlefu wenye manufaa

  • @augustinemwengi8779
    @augustinemwengi8779 Před rokem

    Yesu mwenyewe akasema watajitokeza wengi nyakati za mwisho na kujiita yesu,huyu anavaa kupigwa burukenge sana,eti yesu amerudi Mara ya pili,alisema atarudi Kama mwizi nyinyi ni pumbavu sana

  • @farhadimranmoodyimran5119

    Hata kitabu chao chenyewe hawakijui innah lillah waina lillah rajiun 😢😢

  • @yaqubabdi9532
    @yaqubabdi9532 Před rokem +3

    😂😂😂. Malaika tena . Wakiristo , mko na vituko

  • @isaiahyego
    @isaiahyego Před rokem

    Umeolewa amina siuseme tw nimeolewa

  • @fauziajoseph643
    @fauziajoseph643 Před rokem

    Jesu alikuwa anaingia kila mahali akiwahmbili neno la mungu ,i we nikwa musiti amwa kwa kanisa.

  • @salmaali6605
    @salmaali6605 Před rokem

    Allah ongoza watu wako wasipoteye mungu onesha miujiza watu wako.huyo yesu nipubafu wa togereni

  • @HerculesPaulin-zg7pj
    @HerculesPaulin-zg7pj Před 4 měsíci

    Muna poteza wakati bure tu,moto Ina wa subiri milele🔥🔥🔥 muta juta