DADA MUUZA MATUNDA AMKANA YESU WA TONGAREN (PART 3 OF 4)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 354

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 Před rokem +6

    Allah waongoze hawa watu manake Wako katika giza tororo

  • @assfzainab912
    @assfzainab912 Před rokem +2

    UTAKUWA SHAHID SHEKH CKU YA KIAMA ALLAH AKUZDISHIE SHEKH WALINGANIE WASIJE WAKASHITAK MBELE YA ALLAH

  • @Yu-jr9uf
    @Yu-jr9uf Před rokem +7

    Allah naomba uwaongoze tu waijue haqqi na uwafanyie tawfiq waikubali haki na kuifata

  • @user1873anon5
    @user1873anon5 Před rokem +11

    BarakAllah feekum, Sheikh Ramadhan...Allah akuzidishie tena Ramadhan Kareem inshaAllah.

  • @nooor1120
    @nooor1120 Před rokem +6

    Allah akuhifadhi sheikh Ramadhan na waislam wote.

  • @ummabubakar5319
    @ummabubakar5319 Před rokem +3

    Lau inge kua hakuna kukumbushana dini inge shapotea Allah awahifadhi mashekhe wetu

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia3682 Před rokem +9

    Shekh Ramadan you are ver brave, one of a kind mashaallah Mungu aku zidishie ❤ elimu yako

  • @binpodah6003
    @binpodah6003 Před rokem +11

    Wallahi you are the best. I pray Allah akupe afya na nguvu za kueneza dini Kenya nzima. Wallahi. I feel happy with the amount of knowledge Allah has given you. And also I pray Allah akupe ujasiri zaidi. Na vilevile Allah akujalie Pepo.

  • @zakariakiema621
    @zakariakiema621 Před rokem +5

    😂😂😂😂😂 nimepata series yakuwatch as comedy,

    • @salimyreu1497
      @salimyreu1497 Před 7 měsíci

      😅😅😅😅 ati series aki wwe Zakaria 😅😅

  • @nasiradan942
    @nasiradan942 Před rokem +15

    Alhamdulilah for islam

  • @nadyajaffarali7289
    @nadyajaffarali7289 Před rokem +6

    Allah Amjaalie Yesu wa Tongerani Aslimu na wengine watafatia.Nimependa si mkali anaongea taratibu.

  • @suleimanabdul-karim1212
    @suleimanabdul-karim1212 Před rokem +7

    Sheikh Ramazani Allah akubarik akupe afiya njema akulinde na kila ubaya

    • @CalebOgembo-im3je
      @CalebOgembo-im3je Před rokem

      Wana Israeli awakutoka misri mwezi wa saba
      Walitoka. The first month of the year.

  • @mariammganga5061
    @mariammganga5061 Před rokem +2

    SHEKHE RAMADHANI POLE SANA,,, UNAJITAHIDI KWELI,,,

  • @ibruzah001
    @ibruzah001 Před rokem +4

    Mjenga Safina Nuhu,,, na ni mwanadada,,, weeeh! 😆😆😆

  • @shueb123
    @shueb123 Před rokem +7

    Mungu awaongoze kwa njia na dini sahihi
    Niko na imani kwamba haiwezikosa hata mmoja kati yao akawa mwislamu mwishowe inshaAllah
    Ustadh ramadhan mungu akurahisishie kazi nzuri unayofanya

  • @FauziahNambaka-bn2ln
    @FauziahNambaka-bn2ln Před 4 měsíci +1

    Assalam alleykum shekh Ramadhan mwenyezi mungu akuhifadhi na akujaalie umri mrefu wenye afya ili uzidi kulingania dini ya haki

  • @salumharuna5872
    @salumharuna5872 Před rokem +3

    Wangesajiliwa kama comedian aisee wangepiga pesa za maaana 🤣🤣🤣

  • @sumayananabintmusa4442
    @sumayananabintmusa4442 Před rokem +10

    Subuhanallah 😭 😭 dunia watu washa potea kitambo jamani ,ila tunashukuru kwakuwaoongoza tunaomba allah awatowe ktk hiyo njia ya upotevu

  • @khamisjumaa-vm2tk
    @khamisjumaa-vm2tk Před rokem +1

    Mungu akupe pepo sheikh wetu sababu hii ni mtihani tosha

  • @fedrickluhanga2486
    @fedrickluhanga2486 Před rokem +2

    Eti alitutoa katika nchi ya Misri, kwan we Yesu ulikuwa mtumwa pia? Daahhhh

  • @hassanbarasa7085
    @hassanbarasa7085 Před rokem

    Shakh Ramadhani Mwenyezi Mungu akujalie kila la kheri kwa juhudi unayofanya,akupe afya na umri ili uzidi kuelimisha umma.

  • @winceratieno2993
    @winceratieno2993 Před rokem +2

    Yesu alikuwa anatembea Kama binadamu, hakukuwa anaegeuka kuwa farasi ama nini. Hiyo Ni uchawi, wachawi wa siku hizi inasemejana atawanapaa na utao. Wuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mtoroke huyu msije mkadanganywe kuweni wangalifu sana kama mnataka kuingia ufalme wa mbinguni.

  • @abdijama955
    @abdijama955 Před rokem +6

    Shekh Ramadan you are one of a kind mashaallah mungu aku zidishie ❤ elimu yako

  • @judymoraamachongo99
    @judymoraamachongo99 Před rokem +6

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Welkam to kenya where everything is possible

  • @udaudauda8594
    @udaudauda8594 Před rokem +2

    Najivuania kua muislam alhamdulillah ya Rabbi kwa neema hii🤲

  • @munawwarbashir2680
    @munawwarbashir2680 Před rokem +3

    Yesu anasema jua kali 😂😂😂 nacheka kama mazuri

  • @julietnasamba9848
    @julietnasamba9848 Před rokem +6

    I like this discussion,it makes someone to understand God better.

  • @Adm9464
    @Adm9464 Před rokem +5

    Ajaabu Yesu hajui pasaka.

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Před rokem +1

    Vua kiatu miguuni miguu na roho ni vitu viwili tofauti

  • @yahyaadan3259
    @yahyaadan3259 Před rokem

    Sheikh Ramadhan Allah akupe Janatul Firdhows kwa kazi unayomfamyia Allah

  • @Sai.Mo69
    @Sai.Mo69 Před rokem

    MashaAllah Ustad, Allahswt ibariki SADAKA lako, la CHAKULA ulioyi towa kwa hawa Watu!
    WaKristo angaliyeni vipi SADAKA la CHAKULA ina UOKOVU na BARAKA, siku za KIYAMA, soma hii:
    Luke 14:13-14
    13 But when you give a banquet, invite the poor, the crippled, the lame, the blind, 14 and you will be blessed. Although they cannot repay you, you will be repaid at the resurrection of the righteous.”!

  • @stoispapi2380
    @stoispapi2380 Před rokem +3

    This Christians make Abu jahl proud 😅😅😅

  • @Adm9464
    @Adm9464 Před rokem +3

    Yesu ana angalia kitabu kila. This exactly tells yeye ni Yesu Feki. Even Yesu is admitting that Iddi ni siku kuu ya Waislamu.

    • @husna34562
      @husna34562 Před rokem

      😅😅😅😅atuletee mkate na samak😂😊

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před rokem +5

    Hahahaaa nimecheka nilipimuona Nuhu

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Před rokem +2

    Eti pasaka yangu ni mwezi wa 7 unakwepa kikombe. Utakinywa tu any time

  • @ogdosho93
    @ogdosho93 Před rokem +1

    Dah😂 sheh ramadhan naona mwishon unawaangalia wakicheza ngoma zao yan inamaanisha yameingilia apa yametokea huku😂.. endelea kuwaelimisha taratibu wataelewa tuu InshAllah Allah akujaalie afya na nguvu ..

  • @rahmasoliman489
    @rahmasoliman489 Před rokem +2

    Mtihani

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před rokem +3

    Eti Jua kali 😅😅 Yesu siushushe kivuli hapo 😅😅

  • @derowmuktar1958
    @derowmuktar1958 Před rokem +5

    Alhamdulilah fr Islam ☪️

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 Před rokem +4

    MashaAllah ustadh Allah akuzidishie na akujalie subra

  • @mifunga3414
    @mifunga3414 Před rokem +2

    Yarab wangoze uwafanyie wepesi yaallah

  • @MakeleleAboubakarr
    @MakeleleAboubakarr Před 13 dny

    Iyo siyo chakula lakiroho uyo yesu anatu injoy tu aiii😅😅😅😅

  • @gitongazoneman4100
    @gitongazoneman4100 Před rokem

    Waa mm natii Ramadan sana bt Leo umeshidwa na uyo red angel apo Kwa baba .bt swali langu ni ni wapi imeadikwa tumsifu mungu ,na tumepewa instructions gani kusifu thn bona kuimba nyimbo za mungu na giter simekatazwa, so ni wapi twapashwa kumuimbia mungu , Alf mm sio prophesor masomo ilinikataa bt giter ikanikubali ninachezea adi waislam wakifurai sana nikiwa ninawasalamie asaalam aleikum Kwa jia ya wimbo, so kama kuimbia mungu ni halam hii talent nimepewa na mungu ama shetan ,

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 Před rokem +3

    Ustadh in shaa Allah ukipata nafasi ya kuhonji na kuwafunza hawa wafuasi wa yesu huenda wakaelewa na kuslimu manaka naona wengine nikama wanamuogopa yesu 😂

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před rokem +2

    Uyo mwenye sare ya blue anaruka juu kama Mmasai 😅😅.

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 Před rokem +3

    Mashallah kwa jitihada yako shehe wetu maana huyu mzee anatia hasira

  • @saint.m621
    @saint.m621 Před rokem +2

    Maswali yakiwa magumu inageuka kuwa ni kiroho, na huyo mama anavaa miwani si aponywe na yesu

  • @ashleykazungu
    @ashleykazungu Před rokem +1

    Huyo yesu anandanga;nya lkn na huyo muislam naye Niko na maswali naye mungu tu

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 Před rokem +4

    Huyu Yesu inabindi asulubiwe kabisaa kwa Maana tuko mwenzi wa kwarezma

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 Před rokem +1

    Mungu w ibrahi na Muhammad isa ayob yagob musa nuh yusuf ishac na mana bee wotee ni wa mugu mmoja wajiga hao eti yesu midevu kaa mkutano wa inzi hv wanamchezea mmungu haowanajita mana bee wa mungu

  • @masaiboss
    @masaiboss Před rokem +10

    What always makes me happy,that word *Aaaaamina*,very funny🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ashatybella8641
    @ashatybella8641 Před rokem

    Huyu jamaa mjiga sana hacha ku force watu wagehuke wa esalaam kila mtu hana dini yake na kwanini munahabudu muhamedi kuliko kumuhabudu Jesus wajiga tu hipo siku mtajutiya 😢😢 hila naskuru mungu kwasababu huku marecani tunahomowa wa esalaam wegi wamegehuka wa christo nakusema kwenye hu weslam kunavitu vibaya afu hupotovu wigi. I’m happy for that

  • @metrinenyakoe1764
    @metrinenyakoe1764 Před rokem

    Tujiadhari na manabii wa uongo Tunajua Yesu mmoja aliye mbinguni kwa Mungu

  • @beautyandfashiontipsforbot4524

    Asalamu alikumu warHmatulahhi wabarakatuh ramazani kk Allah akuzidisheye takuwa mm ningekuwa ww naona kama sengeweza

  • @jirmomohamed7595
    @jirmomohamed7595 Před rokem

    Wallai hii ni maajabu wa yesu wa Amina

  • @blessyqueen1741
    @blessyqueen1741 Před rokem +1

    Our country kenya is so interesting.tuna wapata watu wote funny 😂kuazia ruto gachagua ichugwa na yesu wa togareni😂😂😂, wonderful country haki

    • @SakinaAbdallah-mo4dh
      @SakinaAbdallah-mo4dh Před 5 měsíci

      Umesahau Jehova wanyonyi,Nuhu mjenga safina na nimwanamke😂😂na 5yonah alimpatiza yesu na ako na wake 46,watoto390+,wajukuu600+ na vitukuu1100+aki Kenya sihami mimi😂😂

  • @hassantoure7472
    @hassantoure7472 Před rokem +1

    Ramadhan ukirudi muulize kuhusu "Jehovah " wanyonyi

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Před rokem +1

    Ramadhani anaona utamwaaribia biashara, anaogopa kujibu.

  • @abdallahsaid1968
    @abdallahsaid1968 Před rokem +2

    Hhh yesu anaogopa kushika bibilia ya shekhe lama anaisi ata laanika sjui hhh anajipa moyo anasema yesu moto hhh wakristo badiliken mue waislamu inshallah

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi4438 Před rokem +1

    Mavazi yao nimazuri wana jistiri lakini hayo mengine siwaelewi kbsa wanajua kusoma lakini wanapindisha maandiko kivyao watu na akilozao timamu kbsa lakini cjui huyu mzee cjui kawalisha nini hata hawajielewi

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb Před rokem +3

    Jua lamchoma yesu wa tongaren

  • @zenaahmedi8857
    @zenaahmedi8857 Před rokem +2

    Asalaam aleykum warahmatullaahi wabarakatuh .....SubhanAllah nimesikia hyo Yesu kasema jua kari 🤣 au vipi

  • @floinburton3490
    @floinburton3490 Před měsícem

    Huyo Yesu na baba yake ni magaidi Shekhe, waongo hao.

  • @umazimwambezi8092
    @umazimwambezi8092 Před rokem +1

    Hongera kwa bidii zako sherk Rama Allah akubless xna kwakumulingania anaye jiita yesu mwenye bangi imemujaa kichwa

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Před rokem +1

    Hiyo baba wanajiongezeatu wenyewe tobaa hawa akili zao zimedumaa 😂😂😂😂😂

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Před rokem +1

    Subhanalha tena wanawake wamekaa vvizur hila din haipo

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 Před rokem +1

    Majizi, masafina, noma walunjes

  • @sarahshahenza4865
    @sarahshahenza4865 Před rokem +3

    Natamani kua Muslim

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb Před rokem +1

    Assalam alaykum salaam warahmatullahi....yesu wa tongaren amefoki sana hao mafive two.

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  Před rokem

      Halafu wewe Muhammad nakupigia simu sana sikupati.

    • @simonkazungu-cx4nf
      @simonkazungu-cx4nf Před rokem

      Mimi ni mukristo mungu akupe
      Uwezo ramazani uwafundishe wajuwe mungu wakweli
      I leave in Zambia God bless you so much

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Před rokem +1

    Kiiukweli Ramadhani umenifurahisha japo Niko Tanzania mkiristo,

  • @osmnaabubakar1230
    @osmnaabubakar1230 Před rokem +2

    Asalamu aleikum shekhi ramadani plz mulize huyo ambae anajieta yesu hatukowa mgonjo wala hatukufa plz muliza alafu huyo dada nguo za read naona ako karibu na kusilimu

  • @MakeleleAboubakarr
    @MakeleleAboubakarr Před 13 dny

    Iyo siyo yakiroho uyo yesu anatu injoy kweli😅😅😅

  • @hellen587
    @hellen587 Před rokem

    Tangu lini yesu akatukia neno mteja, watu kuwapotosha watu wa mungu

  • @Zena-gs8tt
    @Zena-gs8tt Před rokem +1

    Wakristo wanaamini kila uongo kweli wao hawautaki si wanafata wazungu na mzungu kweli hajui ukimpa la uongo ndio kaamini

  • @fridahmulongo2697
    @fridahmulongo2697 Před rokem

    Mashallah ustadh Ramadhan Allah azidi kukujalia subra

  • @Adm9464
    @Adm9464 Před rokem +3

    Yesu can’t even pay his parishioners lunch. He is asking for 10 bob kwa kila mtu

  • @kajinjirashid5590
    @kajinjirashid5590 Před rokem +1

    Huyo mama mpuzi..eti ajiita nuhu mjenga safina 🤣🤣amelaaniwa

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u Před 10 měsíci

    Assallam Allaikum warahmatuAllahi wabarakatuhu ustadh Ramadhan una bidii na yesu wa tongaren but may be ni miongoniwa wenye macho na hawaoni,wenye masikio hawasikii na Kila kitu ni chake ni mapenzi ya mungu

  • @azzizazizion5056
    @azzizazizion5056 Před rokem +1

    hahah yesu anakula parachichi dah ila huyu mzee kama havuti bange bas atakua anakula majan ya mpapai mabichi

  • @mimahmimah1595
    @mimahmimah1595 Před rokem +1

    Mungu wetu ana uvumilivu wallahy lau si uvumilivu angeiangamiza hii dunia yan huyu mzee anatoa hasira mm nikiwa karibu nae nahis ntapiga vibao

    • @rahmasoliman489
      @rahmasoliman489 Před rokem

      Yani Wewe ndo mmi kabisa

    • @salmanassor8732
      @salmanassor8732 Před rokem

      Yaani shehe ana subra Allha amzidishie maana anatia hasira kweli huyu mzee

    • @mimahmimah1595
      @mimahmimah1595 Před rokem

      ​@@salmanassor8732 mm cwez msikiliza ata robo saa akiamungu napata hasira anavyozidi kudanganya watu

    • @mimahmimah1595
      @mimahmimah1595 Před rokem

      ​@@rahmasoliman489 wallahy tena ni msiba mkubwa ndio mana ckuizi maisha ni magumu sababu ya kufru zimezidi

    • @sebastianzongoro8915
      @sebastianzongoro8915 Před rokem

      Dini yetu inachezea sana na vichaa

  • @zuusaidibushiri5556
    @zuusaidibushiri5556 Před rokem

    Yesu ashakula tikiti sasa kapata nguvu Aminaaaaaaa

  • @Judy169
    @Judy169 Před rokem +2

    kiukweli hawa watu wamepotea waziwazi🤔,Mathayo( 24:5)

  • @idrissatuppa3997
    @idrissatuppa3997 Před rokem +1

    Asifiwe Yesu Aminaaaa🤫🤔🤔🤔

  • @zainaal-nabhani9034
    @zainaal-nabhani9034 Před rokem +1

    Mtihani sana hii komedi

  • @gracew7460
    @gracew7460 Před rokem

    Pepo wawili washindwe kwa jina la Yesu

  • @lionking3015
    @lionking3015 Před rokem +1

    Kaka Ramadhan hebu mletee mtungi wa maji ageuze iwe soda fanta tunywe kwanza mana anakumalizia sauti bure😂😂😂

  • @salimyreu1497
    @salimyreu1497 Před 7 měsíci

    Maasha allh brother damadhan god bless u 😢

  • @husna34562
    @husna34562 Před rokem +1

    Shehk usichoke mpka wafahamu tu uzur wanakuskiza Allah awaonyeshe haki

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před rokem

    Hawa watu wanalala kila siku wakiamini wako kwenye haki😢😢😢 ya Allah usiniondoe duniani isipokuwa nikiwa muislam ya rabb😢😢

  • @RaphHop
    @RaphHop Před rokem +2

    Nategea part 4 iwe unamconvince yeye c yesu....ama uniite nimuulize maswali

  • @pollyj1410
    @pollyj1410 Před rokem +2

    Nuhu mjenga safina😂😂😂😂😂

  • @abbasmakange
    @abbasmakange Před rokem +2

    Eti "aaaminaaaa😂😂 subhanaallh

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 Před rokem +1

    Ata kusoma hawajui

  • @Mchwa
    @Mchwa Před rokem +4

    How they all dodge questions with “aminaaaa”😂🤣😂😂🤣

    • @charitykamosh3697
      @charitykamosh3697 Před rokem

      Aminaaaaahh😂😂

    • @JosephineNduva
      @JosephineNduva Před rokem

      Kiogora Aminaah,😂😂😂.kuna mdada anaitwa efraim kwa nyota 12 😢😢yaani kweli tumepotea.

  • @nzanzex7831
    @nzanzex7831 Před rokem

    Mungu amsaidie nuhu jamani anakaa tu jini, anakaa mzimu kamili

  • @husna34562
    @husna34562 Před rokem +2

    😂😂😂malaika anaenda siku zake 😂😂😂na anazaa nyie watu jmn

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Před rokem +1

    Kiikweli natamani kujifunza Kwa hawa akina mama utaratibu na ni dhamu yao isipokuwa kupotoka kwao juu ya kweli ya Yesu

  • @assfzainab912
    @assfzainab912 Před rokem +1

    ALLAH HAWASAIDIE HAWAJUI WALIFANYALO😭😭😭😭

  • @Adm9464
    @Adm9464 Před rokem +5

    Western Kenya is a very interesting place. God bless it.

  • @amirmedia6586
    @amirmedia6586 Před rokem

    Sheikh Ramadan mungu akuhifadhi..tafadhali kuja na msomaji akusaadie.