Dada anayejiita Nabii adai Ibrahim a.s alizini kivumbi cha tokea leo mpaka akahepa a must watch

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 69

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 Před rokem +8

    Huyu sheikh ali ana pressure kweli wallah twaomba awe na subra na hapa naona sheikh salim ndio anaweza vizuri sana mpaka unaelewa bila fujo wallah mungu amuongezee elimu na afya na masheikh nyote mungu awape nguvu

  • @Adm9464
    @Adm9464 Před rokem +6

    Sheikh Ali be patient. Kuwa mpole. This people don’t know much. You have to be gentle with them

  • @Hi_20206
    @Hi_20206 Před rokem +7

    Wanawake kama huyu ndio walifanya tuambiwe tunyamaze kanisani..sasa ninaelewa kabisaaa..amechanganyikiwa

  • @user-di8me2wb7p
    @user-di8me2wb7p Před rokem +4

    WaLLAHI hii biblia imewapoteza sana hawa walioiandika walieka machafu humo kusudi ili watu wafanye machafu subhana LLAH

  • @kishubuti
    @kishubuti Před rokem +2

    Sheikh, kuwa mtaratibu kwa msomaji unampeleka mbio mbio sana ingawaji mnakwenda na wakati. Kazi yenu ni nzuri sana nawashukuru mno الله atawalipeni.

  • @wadimtwana7286
    @wadimtwana7286 Před rokem +2

    Maashaallah ustadh salim unatowa darsa safi Allah akulipeni mema

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 Před rokem +2

    Allahu akibar uslamu umekamilika kweli najivuniya kuwa muislamu

  • @umazimwambezi8092
    @umazimwambezi8092 Před rokem +2

    Subhana Allah huyu mdada amevuka mpaka kwakumtukana baba waimani astakafirulah

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 Před rokem +1

    ata uku nje wakristo wengi wanasema Ibrahim alifanya zinaa,subhanaAllah Nabii wa Mungu wanamsingizia ubaya,Ibrahim hjufanya ilo wanayoyadai

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Před 10 měsíci

      Si wamelaaniwa Ibrahim (a.s) khalilullah aweza akafanya machafu kweli? Hawa makafiri wote wamelaaniwa. Anaembariki Ibrahim na yy anabarikiwa anaemlaani Nabii Ibrahim na yy kalaaniwa iko wazi

  • @akbarazimkhan7701
    @akbarazimkhan7701 Před rokem +1

    Assallam aleikum mashekhe wetu natumai mu wazima nyote Allah awahifadhi na muendelee kupeleka dawaa mbele kwanza wakati huu wa hijja Allah atufanyie wepesi atusamehe makosa zetu atuweke. Pamoja na wacha Mungu Na atustiri na mabaya yote waislamu wote duniani Allah apokee dua zetu atutie kwenye pepo yake aliowaahidi waja wake inshaAllah kazi nzuri❤❤

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před rokem

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin

  • @Sal.0
    @Sal.0 Před rokem +3

    Huyu Mama ame tumwa ku waste precious time ya Dawah!
    Last time pia ali kuja na Story zake za Ibrahim!
    Jatelo pia anakuja ku waste time.
    Well done Team. Ustad Ali ana kaa kama Professor sasa! 😁
    Kanisa ya Kwanza Duniani ni ya ST PETERS kule ROMA.
    ST Peters CHURCH ili jengwa in 1506AD, baada ya PAUL ku rudi ROMA na ku anzisha 'ukristo'!

  • @isaa_ogutu
    @isaa_ogutu Před 5 měsíci +1

    Huyo mwenye alimwaga nje mungu alimuuwa kwa sababu hakuendeleza uzaa wa ndugu wake...na hio ndo sababu kubwa...Huyo nabii asome vitabu na aelewe😂😂😂

  • @MohaMmed-hb6zt
    @MohaMmed-hb6zt Před rokem +1

    Mashallah abaraq rakhamani halaa

  • @hamisijm8437
    @hamisijm8437 Před rokem +2

    Masha allahy Allahy Atujaliekwenye .muongozo huu huu .wadini ya Kisilmu ameen

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 Před rokem +1

    Waaleykum ssalamu nmefurah sana Mm uwa napenda kusikiza maandiko

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před rokem +1

    Hawa watu wanazidi kuchizika uyu nae ni nani jamani anae jiita Nabii huku ni mwanamke 😢😢 Yarabi tustiri .

  • @musanike3079
    @musanike3079 Před 7 měsíci +1

    Subhanah Propaganda mingi Sana.. Elimu ndio ndio itakuweka huru..

  • @akbarazimkhan7701
    @akbarazimkhan7701 Před rokem +1

    Jamaa hayo sasa ni makubwa Mpaka Yesu kuitwa mtoto wa zinaa Ibrahimu mzinifu Huyu Mama KIDOGO sio mzima.Kichaa kimempanda kichwani.

  • @zainababdulrahmankarisa6273

    waaaaaaaaaah hyu nabiii ana wazimu majnoon mwenyewe

  • @saidbakari2408
    @saidbakari2408 Před rokem +1

    AllahAkbar AllahAkbar AllahAkbar Allah awalipe pepo mashekhe wetu mwafanya kazi kuubwa sana kwaajili ya Allah nawapata nikiwa 255 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 Před rokem +1

    huyo mama amesema ukweli hapo,Yesu alitoka katika kizazi cha zinaa kulingana na bibilia,Yuda alilala na mama mkwe aliejifanya kahaba akampatia bungle na fimbo akamtia mimba wakazaa mtoto anaitwa Peris na huyu Peris ndie alitoa kizazi cha Yesu

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem +1

    Maashaallah tabarakallah mashee zetu

  • @MohaMmed-hb6zt
    @MohaMmed-hb6zt Před rokem +1

    Jamaani wakoweni wakenya makanisa yamezidi Kenya kilauchochoro kanisa dah hallah hawape nguvu

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Před rokem +1

    Hatutaki historiya tunataka maandiko madamu usilete historiya za maji maji ribelioni hapo

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 Před rokem +1

    Mbona munawambia kua sio makafiri ni makafiri wakiristo sababu wao wanapinga mungu sio moja na amezaaa so nimakafiri khalas mbona munawaficha na bibilia yenyewe imewaita UDA 1:4 inawaita hakuna kuwaficha ukweli

  • @husha6372
    @husha6372 Před rokem +4

    Jamaa hayo sasa ni makubwa Mpaka Yesu kuitwa mtoto wa zinaa Ibrahimu mzinifu Huyu Mama KIDOGO sio mzima

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 Před rokem +1

      Mama Yuko kulingana na kitabu Chao yote yapo ndio tukawambia watoke huko wane KWa dini ya kislam ndio dini ya haki ya ALLAH na ndio Kwa Qur'an mwenyezimungu alimfanya Issa As kuongea utotoni kumtolea mamake ushahidi asiambiwe amezini na hapo hapo mayahudi wengi hawakuamini bado but KWa bibilia hakuna miujiza huo so wawache waje Kwa usilamu tuu

    • @Sal.0
      @Sal.0 Před rokem +3

      Biblia ni STORY BOOK tuu ya WaZungu!
      That is why ime jaa INCEST, PORN, Umalaya, UZINIFU, na kila Ma OVU za Dunuani!
      Na mimi na SHANGAA, wakati WaFrika, wanai ita Biblia, "TAKATIFU" na eti "Neno la Mungu"!
      How Mjinga can you be?

  • @josephinechaildofgod5371
    @josephinechaildofgod5371 Před 8 měsíci +1

    Huyu mama hajielwi

  • @Adm9464
    @Adm9464 Před rokem +2

    Now she is getting it . She has seen the truth

  • @zainababdulrahmankarisa6273

    mashaallah ALLAH awalipe nyote

  • @josemu870
    @josemu870 Před 6 měsíci +1

    Maisha alla

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Před rokem +1

    Hajielewi huyu mama , amekunywa vitu nini , yeye anajiita nabii na ht ajielewi , wakristo wenzio pia wanakucheka ht aibu huoni ww

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Před rokem +1

    Jazaakallah khayrii ❤❤

  • @MohaMmed-hb6zt
    @MohaMmed-hb6zt Před rokem +1

    Ostazi waambie mashonde nimavi makavu .uwomkate ndio umechanganywa nashaili 😂wataachakula you saqarament. Iyobibilia kama hainatafusili yamashonde naomba mtafute ostaz mazinge watz atakupatia bibilia ilio tafusiliwa uwo mkate yani wakisikia tafusiyake watakuwa Hawaii tena

  • @jumamsembe1213
    @jumamsembe1213 Před rokem +2

    Mama amekorogeka vibaya sana...haelewi maandiko

    • @Sal.0
      @Sal.0 Před rokem +1

      Mama ana penda mambo ya UZINIFU, ambao ume jaa, katika Biblia!
      Na hata sijui WaFrika wana fikiri vipi kitabu ambacho ume jaa ZINA, ni kitabu cha 'Mungu'!???

  • @234dultrasoundlad
    @234dultrasoundlad Před rokem +2

    Ati yesu..Mungu wa wakristo alitoka kwa uko ya usherati 😅😂

    • @Hi_20206
      @Hi_20206 Před rokem

      Maskini ..sijui wataamka lini

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 Před rokem +1

    MashaAllah

  • @Hi_20206
    @Hi_20206 Před rokem +5

    Mafunzo matamu kweli..tumewakaribisha kisumu

  • @Sai.Mo69
    @Sai.Mo69 Před rokem +5

    Huyu Mama Nabi, amewa chezea GAME na ku ongwa RUBBISH na ku waste 28 minutes of Dawah TIME.!
    Huyu Mama ali jaribu ku waste TIME last time PIA, na the SAME Story ya Ibrahim na RUTH!
    Mume chezewa GAME!
    Watu wengine wame kosa Mafundisho for 28 mins!
    Next time musim ruhusu huyu TIME WASTER kuja kwa MIC!

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k Před 8 měsíci

    Achen kuwadanganya watu wasiojua maandiko nyinyi ni waongo waislamu ni din ya kishetan wanaabudu mapepo majin na nata unaruhusiwa kumwoa jini

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 8 měsíci

      Mdomo bila ushahidi wa maandiko nilingoja utoe Aya inayosema hivyo

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz1503 Před rokem +3

    😂😂😂😂😂😂Hawa Makafiri kwao kutukana MANABII hats hawaoni uzito ASTAGHFIRULLAH.
    NASHINDWA HUYU MACKENZIE KWANINI ALMUACHA HUYU MAMA WAKATI SHAKAHOLA KUNAMUHUSU

  • @smadon5638
    @smadon5638 Před měsícem

    Huyu mwanamke Ana laana

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před měsícem

      Hawa wengi wao hawajui na hawajui kama hawajui

  • @wajermajiibceeb
    @wajermajiibceeb Před rokem +1

    As-saalamu aleykum wa-rahmatullahi wabaarakatu sheikh you should put the channel in numbers

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před rokem +1

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah

    • @frankjuma1854
      @frankjuma1854 Před 8 měsíci

      Asalaam aleikum warahmatullah sheikh Salim kindly kwa niaba ya watu wote tuleteeni vipindi kwa parts please...part 1,2,3 not.

  • @Adm9464
    @Adm9464 Před rokem +2

    Haki Ukristo ni geography. All this nonsense this nabii mwanamke anasema. Ati Yesu ametoka kwa familia mbaya

    • @Sai.Mo69
      @Sai.Mo69 Před rokem +1

      According to the Bible, it is true that Judah ali ZINI, na... ukoo wa Judah ni ya WANA haramu.
      Hawa WaZUNGU walio iTUNGA Biblia in 1611, ni kweli wali kuwa wana ongozwa na HOLY SPIRITS, zinao itwa WHISKEY na BRANDY!
      That is a TRUE Fact!

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 Před rokem +4

    Assallam aleikum mashekhe wetu natumai mu wazima nyote Allah awahifadhi na muendelee kupeleka dawaa mbele kwanza wakati huu wa hijja Allah atufanyie wepesi atusamehe makosa zetu atuweke. Pamoja na wacha Mungu Na atustiri na mabaya yote waislamu wote duniani Allah apokee dua zetu atutie kwenye pepo yake aliowaahidi waja wake inshaAllah kazi nzuri❤❤