DAH HUWEZI AMINI! DKT SULLE AMUAIBISHA MNO MCHUNGAJI NDACHA | MAZINGE AMVURUGA KABISAAAAAA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 12. 2023
  • #riyadhTvZnz #zanzibar
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / riyadhtvznz
    FACEBOOK: / riyadhtvonlineznz
    TIKTOK: / riyadhtvonlineznz
    CZcams: / @@riyadhtvonlineznz
    Dkt Sulle Mazinge wakata mzizi wa Fitna, Qur an Ndo kitabu cha kweli cha Mungu

Komentáře • 265

  • @DancanOsongo
    @DancanOsongo Před měsícem +2

    Aya iko ❤🎉🎉wacha kuteta kwamana mano yari😢omo kwamane yamungu yariomo bibilia

  • @kitumainikubatu3182
    @kitumainikubatu3182 Před 6 měsíci +2

    Ndugu mchungaji ndacha wewe kweli ni Mwalimu wakuwanyoosha waislamu ; ili wamwamini yesu kristo. asante sana kwa huduma hiyo.

  • @user-sh5ks5hg9r
    @user-sh5ks5hg9r Před 5 měsíci +2

    Duhhhh Yani ndacha mungu kakupa kibali Yan umewasha moto Kwa wasilamu wapenda sifa badala ya ukwel

  • @hirammbugua7593
    @hirammbugua7593 Před 5 měsíci +2

    Nani hao walio,WALIO iteremsha kaa alla ni mmoja,ama alisaidiwa kukibeba😂😂

  • @barackamosi4116
    @barackamosi4116 Před 3 měsíci

    Mmmmmmh ili jamaaa ndacha AAAA sarut baba ndacha huna mfano Mimi Nina wasiwasi na wewe itakuwa YESU yupo ndani yako siyo bule duuuu baba baba wewe kiboko❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @deogratiusthobias4322
    @deogratiusthobias4322 Před 6 měsíci +4

    Nashukuru sana mungu kwa kuniumba mm kua mtu wa kristo,Hakika najiona utofaut wang,Maisha yang tupu ni xtor ndef,Ukiona mtu kahasi ukiristo karogwa uyo,Ndacha mmoja walimu wa kiislam 10 lakin umewapelekea moto

  • @juliusjamanda7313
    @juliusjamanda7313 Před 6 měsíci +4

    Waislam taften YESU awaonyeshe njia ya Kweli...

  • @jacksonpatrick9814
    @jacksonpatrick9814 Před 6 měsíci +3

    Waislam kuelewa Mungu ni Ngumu

  • @MaggySimon-nr5if
    @MaggySimon-nr5if Před 3 měsíci

    Allahumma inny mzidishie Dr.sule iman elmu na umri wenye faida kw waja wako wote dunian mpaka mbinguni na Aamiiiiin

  • @AmosNicas
    @AmosNicas Před 7 měsíci +11

    Bwana yesu Apewe sifa waislamu wote waseme amina

  • @jonathanharabandi2707
    @jonathanharabandi2707 Před 6 měsíci +5

    Ndacha ubalikiwe sana

  • @kriswanyanya256
    @kriswanyanya256 Před 6 měsíci +1

    The wisdom in Ndacha✌🏻 🔥 kiboko ya waislahamu

  • @jamesswai6583
    @jamesswai6583 Před 6 měsíci +3

    Mbona Sule abazunguka😂😂😂

  • @user-kn8dj7rl1r
    @user-kn8dj7rl1r Před 4 měsíci +1

    Nimetokea kuiyamini na kuikubali sana uwaisalam

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi2733 Před 4 měsíci +1

    Wote wapo vizuri safi sana kwa elimu wanayotupa

  • @kennedyeboso6820
    @kennedyeboso6820 Před 6 měsíci +4

    Hekima ya Ndacha iko juu sana ,

  • @Makevo08
    @Makevo08 Před 6 měsíci +2

    Mbona sure ajatwambia waandishi wa quran

  • @user-wj2vd9jr7p
    @user-wj2vd9jr7p Před 2 měsíci

    Wewe ndacha ubarikiwe mungu ariku jariya gipaji❤

  • @user-hp6gz6ln4k
    @user-hp6gz6ln4k Před 6 měsíci +14

    Ndacha Mungu akubariki,kumbe vitabu ivyo vinaijuwa Biblia Na wakristo 😮 Asante ndacha Mungu akubariki

    • @abediabdallah1547
      @abediabdallah1547 Před 6 měsíci

      Kampe tako mjomba

    • @jonathangithinji2652
      @jonathangithinji2652 Před 6 měsíci

      ​@@abediabdallah1547kweli uisilamu dini ya amani bila matusi

    • @jumabuckary7698
      @jumabuckary7698 Před 3 měsíci +1

      Mungu ndiyo alijua kwamba kuna binadam watakuja kujiita wao ni mungu pia Kuna wengine watajifanya mitume na manabii na dini zao za uwongo ndo maana Quran ya mungu aijaacha kitu katika maisha ya baadae

    • @user-hp6gz6ln4k
      @user-hp6gz6ln4k Před 2 měsíci

      ​@@jumabuckary7698Mungu gani😅allah

  • @IsmailJuma-ke2wd
    @IsmailJuma-ke2wd Před měsícem

    Aslm alykm ww sheikh sule ,waelimishe inshallah

  • @AhmedSleman-fj9ry
    @AhmedSleman-fj9ry Před 4 měsíci +1

    Nakukubali mwalim dk sule

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 Před 6 měsíci +3

    Suller hujatujibu koluani ina sura 7 lakini ina sula zaidi ya hizo 7 sura zingine zilitoka wapi ? Suller hajatujibu

  • @akilyemily5788
    @akilyemily5788 Před 7 měsíci +3

    amina ndacha kwa elimu kubwa MUNGU akubaliki nauendelee ivo kufundisha ukweliii na ukweli uko wazi

  • @HirabDigfer-iu3rs
    @HirabDigfer-iu3rs Před 6 měsíci +2

    Sulle kageuka nyuki 👆

  • @juliusmsangi6849
    @juliusmsangi6849 Před 4 měsíci +1

    Aliyeabishwa ni Sule kwa asilimia 1000!Acha kupotosha ukweli!

  • @hghh6056
    @hghh6056 Před 5 měsíci +1

    Kumbe waisalm munaabudu binadamu mm nilikuwa sijui huyu Muhammad si ni mtu jameni chooni kwa wa kristo ❤❤❤😂

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 Před 3 měsíci

      Subhanallah
      Ww unamsikiliza ndacha hujamsikiliza sule, aau ni ubishi wako tu.
      Sisi tunamuabudu Allah tu, mtume Muhammad swalla llahu alyhi salaam, kaja kutufundisha nani Allah na vipi tumuabudu hakusema tumuabudu yeye kabisa.
      Funuka akili na usiwe mbishani.
      Ukimsikia muisiliamu kasema hivyo ulivyosema wewe basi huyo kakosea dini y uisilamu haijafundisha hivyo.
      Hayo n maneno y properganda tu, ili kuwapoteza watu km nyinyi, munaoburuzwa n wachungaji wenu.

  • @kennethjunior6071
    @kennethjunior6071 Před 6 měsíci +1

    Ndacha ubalikiwe sana kwa kutetea dini ya kweli

  • @user-th2ks9et2m
    @user-th2ks9et2m Před 4 měsíci +1

    Jamani jamani ejamani wakristo na wasihi ingieni katika uislam uyo yesu ni mtume2 na sio mtoto wala sio mungu jaman mungu hana mwana yesu kaulbwa kwa kupitia miujiza2 jaman ili allah atupe mtihani maana alisha umba pepo na moto sasa asingali muumba kwa njia hiyo jahannam isingali pata watu wa kuingia jaman njon katika uislam ndio dini ya kweli na ya haki hivi hamuoni nyinyi !

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Před 7 měsíci +3

    Yaani mtu anafaulu mtihani anatangazwa mshindi aliyefeli !! Hivi kuna elimu hapo au vihoja tu !? Inahitaji kwa aliyefilisika kichwani kuona hapo aliyetangazwa mshindi kuwa mshindi !! Kuna elimu ? Kweli "..mwenye kusoma na afahamu" nami naona mwenye kusikia na asikilze apate ufahamu !

  • @mirengekahamwiti1260
    @mirengekahamwiti1260 Před 6 měsíci

    Ndasha una upako wa Mungu nu unyenyekufu ulio nao, Mungu akubariki zaidi na akupe maisha marefu

  • @MchungajiSilungwe
    @MchungajiSilungwe Před 6 měsíci +7

    Asante sana mch ndacha

  • @user-ys2gn1nd4q
    @user-ys2gn1nd4q Před 6 měsíci +2

    alafu makaratas yann mikonon mwenzenu yapo kichwan kishameza

  • @kimelirono5084
    @kimelirono5084 Před 6 měsíci +2

    Ndacha alisema tu vizuri msikate hii vedio kwa vipande ndo watu waelewe ukweli.kiliwaramba waislamu sindano iliingia vizuri

  • @husseinismail5972
    @husseinismail5972 Před 6 měsíci

    Asante Sana Doctor mungu akulipe

  • @AlphaBarageti-ru5xj
    @AlphaBarageti-ru5xj Před 6 měsíci +1

    Hivi kusema "Hakika sisi ndio tulioiandika" "tukaishusha"Kama ni Mungu, ni miungu wangapi ?

  • @blessingmuyambo908
    @blessingmuyambo908 Před 6 měsíci +2

    Ndacha you’re the best

  • @barakafondo8090
    @barakafondo8090 Před 6 měsíci +7

    Ndacha may God bless you

  • @user-ys2gn1nd4q
    @user-ys2gn1nd4q Před 6 měsíci +2

    sule hunaakili wangap wanamtukana mungu , adiafande sele pia alimtukana mungu namungu akumuazibu lkn nyny waslamu mlimuukumu lkn mungu akajifanya mpumbavu Sasa mungu Kwan nimpumbavu ,sule hunahoj Wala huna jibu naona wrkrktu

  • @user-vb4ek9jd7x
    @user-vb4ek9jd7x Před 4 měsíci

    Ndacha mungu akuongeze umri uzidi kuwaelimisha jamii ❤❤

  • @user-rg4qv3ey8k
    @user-rg4qv3ey8k Před 6 měsíci +2

    kwani ukisema sule kashindwa utapata dhambi

  • @besteddynashanatukambale5163
    @besteddynashanatukambale5163 Před 6 měsíci +1

    Nimeona kweli waeslamu hawana majibu hata maneno ya kuongeya hawana.

  • @user-jf2gp7wb9i
    @user-jf2gp7wb9i Před 6 měsíci +3

    ivi hii TV ni ya Sure ?kwanini mnaandika vichwa vya habari tofauti na yaliyomo waislam Mungu anawaona mnadanganya hata maneno tunayo yasikiliza
    mnaandika Ndacha kabanwa alafu ukisikiliza utakuta nyie ndio mmebanwa
    polepole mtampokea Yesu

  • @LukasKastiko
    @LukasKastiko Před 3 měsíci

    Napenda wahadhir wa kiislam Allan awalipe kheri

  • @user-wr8fo9cc4t
    @user-wr8fo9cc4t Před 6 měsíci +5

    Dr sulle kwakweli imeshindikana🙌🙌 Allah akupe maisha marefu

  • @lacksonmwakanema6799
    @lacksonmwakanema6799 Před 6 měsíci +11

    Wewe mwandishi muongo mno! Unasema Ndacha kaibishwa wakati tunamsikia akiongea Kwa pointi Sana kumshinda Sulle!

    • @johnnation4000
      @johnnation4000 Před 6 měsíci

      Hawa waongo tu,ndacha hutowa kweli sio peloronjo

    • @jumarobertonyancha8605
      @jumarobertonyancha8605 Před 6 měsíci

      Kabisa bro,hawa makafiri wa umma wa Mohammad ni watu wa kuchekesha mno,eti malaika wakahandika Qur'an kumbe ni ya muhitaji wa majini aliyopewa kwa pango pale macca

    • @pharmkiksi7463
      @pharmkiksi7463 Před 4 měsíci

      ​​@@jumarobertonyancha8605 nyinyi mioyo imekufa kweli, kwenye biblia Mungu anaambiwa yeye Mpumbavu na Dhaifu bado tu munasema NDACHA Hasemi porojo, Sikiliza Sule Anayasema ayo......

    • @pharmkiksi7463
      @pharmkiksi7463 Před 4 měsíci

      nyinyi mioyo imekufa kweli, kwenye biblia Mungu anaambiwa yeye Mpumbavu na Dhaifu (1:15wakurinto wa Kwanza) bado tu munasema NDACHA Hasemi porojo, Sikiliza Sule Anayasema ayo.....

  • @temesjames8867
    @temesjames8867 Před 6 měsíci +9

    Nimesikiriza kwa makini kiukweli biblia iko wazi sana walioiandika lakini korani haiko wazi walioiandika hii yote tumshukuru mungu kwa kumleta NDACHA duniani hongera mtumishi mwema wa mungu.

    • @user-kb4dk7zo1l
      @user-kb4dk7zo1l Před 6 měsíci

      Pole Sana Kaka c n Paul ndo aliandika ama kuna wengine?

    • @pharmkiksi7463
      @pharmkiksi7463 Před 4 měsíci

      Biblia iko wazi inamtukana Mungu, Inamwita Mungu MPUMBAVU na DHAIFU.... (1:15 wakurinto wa kwanza) Wewe ni kipofu huoni ayo maandishi basi hata husikii?
      Wewe moyo wako umekufa kabisa, tafuta ukweli usifuate upepo.....

  • @rodgersmae-rc2pn
    @rodgersmae-rc2pn Před 6 měsíci +1

    Hiyo haedline ni ushabiki tu bt ule ukweli ikiwa kuna majibu muafaka kutoka kw muislam yeyote anaeweza kunibu mm au Ndacha bx naezi Slimu mana kuslimu n bure hakuna ada yoyote lakn sisi tunaangalia ukwel uko wapi

  • @maicoandrelilepe3728
    @maicoandrelilepe3728 Před 6 měsíci +1

    Ndacha Mungu akulinde

  • @user-yp1lm5fb1v
    @user-yp1lm5fb1v Před 4 měsíci

    Ndacha dar we noma umemdhalilisha doctor sule vibaya safi sana

  • @amankimaryo1809
    @amankimaryo1809 Před 4 měsíci

    Mazinge anaanza mechi na woga, tulia mzee kijana master mind huyo.... Tukubaliane umezeeka

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha8605 Před 7 měsíci +5

    Lile jiwe jeuzi la majini ndio mungu wa dr sulle na timu yake

  • @user-wr5ce6lu8q
    @user-wr5ce6lu8q Před 5 měsíci +1

    Ndacha chiz kabisa

    • @juliusmsangi6849
      @juliusmsangi6849 Před 4 měsíci

      Kumbe mkiambiwa ukweli kwa hoja ni uchizi? Poleni waislamu kwa uelewa mdogo!

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha8605 Před 7 měsíci +7

    Kaibisha ndacha wapi hapa😅😅😅😅,ndacha ndiye anayemfunza sulle dini ya haki kwa ulimwengu huu

    • @Hussayn21
      @Hussayn21 Před 6 měsíci +2

      Sikiliza ufahamu sio ushabiki hufahamu?

    • @pharmkiksi7463
      @pharmkiksi7463 Před 4 měsíci +1

      Kaibishwa kitabu chao cha Biblia kinasema MUNGU ni mpumbavu na Dhaifu(1:15 wakurinto wa kwanza).... Bado tu mumekaa

  • @user-su3cx9qr8h
    @user-su3cx9qr8h Před 3 měsíci

    Masha ALLAH

  • @jeanmwamba7380
    @jeanmwamba7380 Před 2 dny

    Wa adventiste wana mungu

  • @user-dw9jl4lk7x
    @user-dw9jl4lk7x Před 4 měsíci +1

    Kumbe uislam ni dini ya haki kwel,Ndacha unajua ukwl uko wp lkn hautaki kuach sadaka

  • @user-nc4jh2gw2h
    @user-nc4jh2gw2h Před 5 měsíci +1

    Ndacha maneno mengi tu ajielewiii

  • @user-ys2gn1nd4q
    @user-ys2gn1nd4q Před 6 měsíci +1

    ndacha kiboko wafundishe wabishiawo kzyao ubishtu

  • @stanleycheroben4120
    @stanleycheroben4120 Před 6 měsíci +1

    My question is sijaiona mwislamu akianzisha mdahali kwani hawana hoja wanangojea ndacha kuanza

  • @user-ey4hj9jk1i
    @user-ey4hj9jk1i Před 7 měsíci +1

    Sulle toa hoja zito bana nikama umeshindwa tena umeleta matatani gaki bible inafanya nn qoran😅😅 2:20:53 2:20:58

  • @richardkiarie7445
    @richardkiarie7445 Před 6 měsíci +1

    The book of luke 4;15-16-17-18

  • @JamesDonat
    @JamesDonat Před 3 měsíci

    Mungu mmoja walioteremsha kitabu cha Quran ni akina nani??

  • @HajraMohammed-vs9fn
    @HajraMohammed-vs9fn Před 3 měsíci

    Allahu akbar☝️

  • @MarcellinMitamo-jx6qu
    @MarcellinMitamo-jx6qu Před 4 měsíci

    Ndacha akuwezeshe mwenyezi mungu

  • @mamamtakatifu6465
    @mamamtakatifu6465 Před 4 měsíci

    Ndacha unaeleweka sana ivo vizeevilivovaa kanzu hoja vimeishiwa kazi yao nikubisha tu🤣

  • @jumabuckary7698
    @jumabuckary7698 Před 3 měsíci

    😂😂😂😂😂 Ndacha kachanganyikiwa 😢😢😢😢😢

  • @LwitikoKatule
    @LwitikoKatule Před 6 měsíci +1

    Mko vizuri sana

  • @IddiZuberi-ef6oz
    @IddiZuberi-ef6oz Před 4 měsíci

    Mashalla she

  • @ZeroBlen
    @ZeroBlen Před 6 měsíci +7

    For those who watching this in 2044 plz make duwaa for Dr Sule bcz he was doing amazing work Masha Allah

  • @AhmedSleman-fj9ry
    @AhmedSleman-fj9ry Před 4 měsíci +1

    Ndacha hapo hutoboiii wajiaibisha ndachaa icho kichyaa

  • @DancanOsongo
    @DancanOsongo Před měsícem +1

    Amen dacha na frango onyango

  • @mohamedumri4176
    @mohamedumri4176 Před 7 měsíci

    DHARNII WALMUKADHDHIBU BIHAADHALHADITH SANASTAJRIBUHUM MIN HAITHU LAA TA LAMUUN.

  • @Leo-xc1nh
    @Leo-xc1nh Před 6 měsíci +4

    Ndacha anajua anachokificha Shekhe shukulan

  • @bongelabwana7366
    @bongelabwana7366 Před 6 měsíci

    Ao walisema sisi tumekuletea au kukutelemshia kitabu maana yake ni zaid ya mmoja apo nanyie mnasema Yesu sio Mungu wala mwana wa Mungu

  • @FaithImani-qj1ci
    @FaithImani-qj1ci Před 7 měsíci

    Ndacha huwa anajaribu ,mashehe wengii na pastor mmoja

  • @user-th2ks9et2m
    @user-th2ks9et2m Před 4 měsíci

    Mutajijua wakristo wakati sisi waislam tunauhakika dini yetu ni ya haki na yakweli na ndio din ya manabii hatuna hata wasi wasi juu ya dini. Mm kama yesu ndio mungu kweli basi mm namwambia yesu pepo yako siitaki siitaki kabisa pepo aliyoumba yesu

  • @Shamim-hl1hf
    @Shamim-hl1hf Před měsícem

    Uislam forever

  • @AlphaBarageti-ru5xj
    @AlphaBarageti-ru5xj Před 6 měsíci

    Ahaaa! Kumbe mdahalo umeandaliwa na taasisi ya kiislam. Utaratibu wa mdahalo wenyewe una nia potofu.

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Před 6 měsíci

    Midahalo Ni mizuri lakini kweli Ya Mungu inabaki palepale hata uc hambuzi uwe wahali yajuu namna gani hauna uhusiano wowote kumsamehe dhambi mtu yeyote .Nibora kuchunguza Kama maandiko unayoyatumia kumtafuta Muumba wako Kama yanauvuvio wa pumzi ya Mungu au la,kwakuwa Mungu nihai neno lake Ni hai.

  • @filisalkhah5832
    @filisalkhah5832 Před 6 měsíci

    Amen

  • @user-sv3em3hm8u
    @user-sv3em3hm8u Před 5 měsíci

    Yann Hawa wezetu hawaelewe kama Hawa masikio kwel wasilamu tuwaombee dua

  • @MarkIranzi
    @MarkIranzi Před 5 měsíci

    yesu nibwana

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Před 4 měsíci

      Yusu ni mtu kama wewe alikuwa anakula ,anakunya anaoga kama kawaida .

  • @mohamedumri4176
    @mohamedumri4176 Před 7 měsíci +2

    NIMEMSOMA NDACHA,TATIZO LAKE HAJUI ELIMU YA BALAGHA. ANAONGEA NA KICHWA CHAKE.

    • @janetmwende7280
      @janetmwende7280 Před 6 měsíci

      Wacha ushabiki, erevuka na uache kudanganywa ,waislamu mnamwamini Musa na mafudisho yake na hamna torati yake,mbona uislam imewaficha vitabu zingine,ulizeni mashehe wawaonyeshe vitabu zingine,

    • @janetmwende7280
      @janetmwende7280 Před 6 měsíci

      Wacha ushabiki, erevuka na uache kudanganywa ,waislamu mnamwamini Musa na mafudisho yake na hamna torati yake,mbona uislam imewaficha vitabu zingine,ulizeni mashehe wawaonyeshe vitabu zingine,

  • @Backyard_Gardening_USA
    @Backyard_Gardening_USA Před 3 měsíci

    Mwalimu Ndacha unaweza weka simu yako hapa kwasababu nataka kuzungumza na wewe tafadhali?

  • @besteddynashanatukambale5163

    Ubatizo gani huwooo? Ubatizo ni katika jina La Yesu Kristo, nahiyo ndoo Ubatizo sahihii.

  • @user-yp7nv3mg4b
    @user-yp7nv3mg4b Před 7 měsíci

    Ndacha anakumbuka hoja alizozungumza mwenzie hii kichwa kama computer anatembea mule mule kwenye chaki

  • @EliyaMachumu
    @EliyaMachumu Před 25 dny

    Ndacha piga kazi watu waujue ukweli

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Před 7 měsíci

    💖💖💖

  • @boscojohnny8980
    @boscojohnny8980 Před 2 měsíci

    Naanza kuelewa Uchristo ni dini ya Mungu

  • @user-qn5ne3oz3d
    @user-qn5ne3oz3d Před 6 měsíci +2

    Thanks for good combination but detail answer and good explanation should be there in answering the questions on both sides not as some as the questions are answered

  • @user-ey4hj9jk1i
    @user-ey4hj9jk1i Před 7 měsíci

    Sulle toa hoja zito bana nikama umeshindwa tena umeleta matatani gaki bible inafanya nn qoran😅😅

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha8605 Před 7 měsíci +3

    Wakristo hapa wananakili kimakini lakini hawa waislamu ni ushabiki tu hapa ,hawajielewi na makelele mingi 😢😢😢😢

  • @hirammbugua7593
    @hirammbugua7593 Před 5 měsíci

    Khai angetetea qurani

  • @JamesDonat
    @JamesDonat Před 3 měsíci +1

    Msomaji wa upande wa waislam anambwembwe mbaka anaboa baada asome anajilimbwasa tu!! Umetisha sana mch. Ndacha mungu akubariki amina

  • @AlphaBarageti-ru5xj
    @AlphaBarageti-ru5xj Před 6 měsíci

    Kosa la kwanza ni KURUHUSU watu kujadili vitabu vitakatifu vinavyoaminiwa na imani husika. Wala sioni tija katika hili .ndo maana husikii Dr Wala Prof wa kikristo akipoteza muda kujadili eti kipi kitabu halali.

  • @abasingaruka1872
    @abasingaruka1872 Před 4 měsíci

    Muda mwingi Dr Sule anahubili injilli hafundishi elimu,

  • @amankimaryo1809
    @amankimaryo1809 Před 4 měsíci

    Tukiwafundisha watoto biblia na Quran kwa usawa, alafu wakifikisha miaka 15, wachague kusilim au kubatizwa, Nina hakika uislamu utafutika katika uso wa dunia

  • @richardkiarie7445
    @richardkiarie7445 Před 6 měsíci

    Read from the book of LORD ISAIAH 34:16

  • @elismadunsdon
    @elismadunsdon Před 6 měsíci

    Ndacha noma

  • @faridyshaame4705
    @faridyshaame4705 Před 5 měsíci

    NILICHO GUNDUA WAKRISTO WANACHUKULIA DINI KM TEAM 😅