DAH HUWEZI AMINI! DKT SULLE AMUAIBISHA MNO MCHUNGAJI NDACHA | MAZINGE AMVURUGA KABISAAAAAA
Vložit
- čas přidán 21. 12. 2023
- #riyadhTvZnz #zanzibar
Follow Us On:
INSTAGRAM: / riyadhtvznz
FACEBOOK: / riyadhtvonlineznz
TIKTOK: / riyadhtvonlineznz
CZcams: / @@riyadhtvonlineznz
Dkt Sulle Mazinge wakata mzizi wa Fitna, Qur an Ndo kitabu cha kweli cha Mungu
Aya iko ❤🎉🎉wacha kuteta kwamana mano yari😢omo kwamane yamungu yariomo bibilia
Ndugu mchungaji ndacha wewe kweli ni Mwalimu wakuwanyoosha waislamu ; ili wamwamini yesu kristo. asante sana kwa huduma hiyo.
Duhhhh Yani ndacha mungu kakupa kibali Yan umewasha moto Kwa wasilamu wapenda sifa badala ya ukwel
Nani hao walio,WALIO iteremsha kaa alla ni mmoja,ama alisaidiwa kukibeba😂😂
Mmmmmmh ili jamaaa ndacha AAAA sarut baba ndacha huna mfano Mimi Nina wasiwasi na wewe itakuwa YESU yupo ndani yako siyo bule duuuu baba baba wewe kiboko❤❤❤❤❤❤❤❤
Nashukuru sana mungu kwa kuniumba mm kua mtu wa kristo,Hakika najiona utofaut wang,Maisha yang tupu ni xtor ndef,Ukiona mtu kahasi ukiristo karogwa uyo,Ndacha mmoja walimu wa kiislam 10 lakin umewapelekea moto
Waislam taften YESU awaonyeshe njia ya Kweli...
Kweli
Waislam kuelewa Mungu ni Ngumu
Allahumma inny mzidishie Dr.sule iman elmu na umri wenye faida kw waja wako wote dunian mpaka mbinguni na Aamiiiiin
Bwana yesu Apewe sifa waislamu wote waseme amina
Ndacha ubalikiwe sana
The wisdom in Ndacha✌🏻 🔥 kiboko ya waislahamu
Mbona Sule abazunguka😂😂😂
Nimetokea kuiyamini na kuikubali sana uwaisalam
Wote wapo vizuri safi sana kwa elimu wanayotupa
Hekima ya Ndacha iko juu sana ,
Kampe mjomba akupelekee
This is the only man of God we have from Kenya
Mbona sure ajatwambia waandishi wa quran
Wewe ndacha ubarikiwe mungu ariku jariya gipaji❤
Ndacha Mungu akubariki,kumbe vitabu ivyo vinaijuwa Biblia Na wakristo 😮 Asante ndacha Mungu akubariki
Kampe tako mjomba
@@abediabdallah1547kweli uisilamu dini ya amani bila matusi
Mungu ndiyo alijua kwamba kuna binadam watakuja kujiita wao ni mungu pia Kuna wengine watajifanya mitume na manabii na dini zao za uwongo ndo maana Quran ya mungu aijaacha kitu katika maisha ya baadae
@@jumabuckary7698Mungu gani😅allah
Aslm alykm ww sheikh sule ,waelimishe inshallah
Nakukubali mwalim dk sule
Suller hujatujibu koluani ina sura 7 lakini ina sula zaidi ya hizo 7 sura zingine zilitoka wapi ? Suller hajatujibu
amina ndacha kwa elimu kubwa MUNGU akubaliki nauendelee ivo kufundisha ukweliii na ukweli uko wazi
Sulle kageuka nyuki 👆
Aliyeabishwa ni Sule kwa asilimia 1000!Acha kupotosha ukweli!
Kumbe waisalm munaabudu binadamu mm nilikuwa sijui huyu Muhammad si ni mtu jameni chooni kwa wa kristo ❤❤❤😂
Subhanallah
Ww unamsikiliza ndacha hujamsikiliza sule, aau ni ubishi wako tu.
Sisi tunamuabudu Allah tu, mtume Muhammad swalla llahu alyhi salaam, kaja kutufundisha nani Allah na vipi tumuabudu hakusema tumuabudu yeye kabisa.
Funuka akili na usiwe mbishani.
Ukimsikia muisiliamu kasema hivyo ulivyosema wewe basi huyo kakosea dini y uisilamu haijafundisha hivyo.
Hayo n maneno y properganda tu, ili kuwapoteza watu km nyinyi, munaoburuzwa n wachungaji wenu.
Ndacha ubalikiwe sana kwa kutetea dini ya kweli
Jamani jamani ejamani wakristo na wasihi ingieni katika uislam uyo yesu ni mtume2 na sio mtoto wala sio mungu jaman mungu hana mwana yesu kaulbwa kwa kupitia miujiza2 jaman ili allah atupe mtihani maana alisha umba pepo na moto sasa asingali muumba kwa njia hiyo jahannam isingali pata watu wa kuingia jaman njon katika uislam ndio dini ya kweli na ya haki hivi hamuoni nyinyi !
Yaani mtu anafaulu mtihani anatangazwa mshindi aliyefeli !! Hivi kuna elimu hapo au vihoja tu !? Inahitaji kwa aliyefilisika kichwani kuona hapo aliyetangazwa mshindi kuwa mshindi !! Kuna elimu ? Kweli "..mwenye kusoma na afahamu" nami naona mwenye kusikia na asikilze apate ufahamu !
Ndasha una upako wa Mungu nu unyenyekufu ulio nao, Mungu akubariki zaidi na akupe maisha marefu
Asante sana mch ndacha
alafu makaratas yann mikonon mwenzenu yapo kichwan kishameza
Ndacha alisema tu vizuri msikate hii vedio kwa vipande ndo watu waelewe ukweli.kiliwaramba waislamu sindano iliingia vizuri
Kawaida ya waislamu ni ushabiki tu,hawana lolote
Umenena vema ndugu
Hwa waganga wanaelimu ya majini😂😂😂😅
Asante Sana Doctor mungu akulipe
Hivi kusema "Hakika sisi ndio tulioiandika" "tukaishusha"Kama ni Mungu, ni miungu wangapi ?
Ndacha you’re the best
Ndacha may God bless you
Amen❤bleess
To get it done before the end of next life😅
Amen
sule hunaakili wangap wanamtukana mungu , adiafande sele pia alimtukana mungu namungu akumuazibu lkn nyny waslamu mlimuukumu lkn mungu akajifanya mpumbavu Sasa mungu Kwan nimpumbavu ,sule hunahoj Wala huna jibu naona wrkrktu
Ndacha mungu akuongeze umri uzidi kuwaelimisha jamii ❤❤
kwani ukisema sule kashindwa utapata dhambi
Nimeona kweli waeslamu hawana majibu hata maneno ya kuongeya hawana.
ivi hii TV ni ya Sure ?kwanini mnaandika vichwa vya habari tofauti na yaliyomo waislam Mungu anawaona mnadanganya hata maneno tunayo yasikiliza
mnaandika Ndacha kabanwa alafu ukisikiliza utakuta nyie ndio mmebanwa
polepole mtampokea Yesu
Napenda wahadhir wa kiislam Allan awalipe kheri
Dr sulle kwakweli imeshindikana🙌🙌 Allah akupe maisha marefu
Mbona hajajibu hoja au kasahau
Wewe mwandishi muongo mno! Unasema Ndacha kaibishwa wakati tunamsikia akiongea Kwa pointi Sana kumshinda Sulle!
Hawa waongo tu,ndacha hutowa kweli sio peloronjo
Kabisa bro,hawa makafiri wa umma wa Mohammad ni watu wa kuchekesha mno,eti malaika wakahandika Qur'an kumbe ni ya muhitaji wa majini aliyopewa kwa pango pale macca
@@jumarobertonyancha8605 nyinyi mioyo imekufa kweli, kwenye biblia Mungu anaambiwa yeye Mpumbavu na Dhaifu bado tu munasema NDACHA Hasemi porojo, Sikiliza Sule Anayasema ayo......
nyinyi mioyo imekufa kweli, kwenye biblia Mungu anaambiwa yeye Mpumbavu na Dhaifu (1:15wakurinto wa Kwanza) bado tu munasema NDACHA Hasemi porojo, Sikiliza Sule Anayasema ayo.....
Nimesikiriza kwa makini kiukweli biblia iko wazi sana walioiandika lakini korani haiko wazi walioiandika hii yote tumshukuru mungu kwa kumleta NDACHA duniani hongera mtumishi mwema wa mungu.
Pole Sana Kaka c n Paul ndo aliandika ama kuna wengine?
Biblia iko wazi inamtukana Mungu, Inamwita Mungu MPUMBAVU na DHAIFU.... (1:15 wakurinto wa kwanza) Wewe ni kipofu huoni ayo maandishi basi hata husikii?
Wewe moyo wako umekufa kabisa, tafuta ukweli usifuate upepo.....
Hiyo haedline ni ushabiki tu bt ule ukweli ikiwa kuna majibu muafaka kutoka kw muislam yeyote anaeweza kunibu mm au Ndacha bx naezi Slimu mana kuslimu n bure hakuna ada yoyote lakn sisi tunaangalia ukwel uko wapi
Ndacha Mungu akulinde
Ndacha dar we noma umemdhalilisha doctor sule vibaya safi sana
Mazinge anaanza mechi na woga, tulia mzee kijana master mind huyo.... Tukubaliane umezeeka
Lile jiwe jeuzi la majini ndio mungu wa dr sulle na timu yake
Ujui ulisemalo pole
Hatuabudu jiwe tunaabudu Allah
Wapi hapa sulle kamwaibisha ndacha ,bila ushabik sulle bado kabisa😂😂😂😂😢😢😢
@@atwowa6380 Allah in nani sasa
@@atwowa6380Allah ni nani
Ndacha chiz kabisa
Kumbe mkiambiwa ukweli kwa hoja ni uchizi? Poleni waislamu kwa uelewa mdogo!
Kaibisha ndacha wapi hapa😅😅😅😅,ndacha ndiye anayemfunza sulle dini ya haki kwa ulimwengu huu
Sikiliza ufahamu sio ushabiki hufahamu?
Kaibishwa kitabu chao cha Biblia kinasema MUNGU ni mpumbavu na Dhaifu(1:15 wakurinto wa kwanza).... Bado tu mumekaa
Masha ALLAH
Wa adventiste wana mungu
Kumbe uislam ni dini ya haki kwel,Ndacha unajua ukwl uko wp lkn hautaki kuach sadaka
Ndacha maneno mengi tu ajielewiii
ndacha kiboko wafundishe wabishiawo kzyao ubishtu
My question is sijaiona mwislamu akianzisha mdahali kwani hawana hoja wanangojea ndacha kuanza
Sulle toa hoja zito bana nikama umeshindwa tena umeleta matatani gaki bible inafanya nn qoran😅😅 2:20:53 2:20:58
The book of luke 4;15-16-17-18
Mungu mmoja walioteremsha kitabu cha Quran ni akina nani??
Allahu akbar☝️
Ndacha akuwezeshe mwenyezi mungu
Ndacha unaeleweka sana ivo vizeevilivovaa kanzu hoja vimeishiwa kazi yao nikubisha tu🤣
😂😂😂😂😂 Ndacha kachanganyikiwa 😢😢😢😢😢
Mko vizuri sana
Mashalla she
For those who watching this in 2044 plz make duwaa for Dr Sule bcz he was doing amazing work Masha Allah
MashaAllah
Which work,for deceiving peoples to Islam
Ndacha hapo hutoboiii wajiaibisha ndachaa icho kichyaa
Amen dacha na frango onyango
DHARNII WALMUKADHDHIBU BIHAADHALHADITH SANASTAJRIBUHUM MIN HAITHU LAA TA LAMUUN.
Ndacha anajua anachokificha Shekhe shukulan
Ao walisema sisi tumekuletea au kukutelemshia kitabu maana yake ni zaid ya mmoja apo nanyie mnasema Yesu sio Mungu wala mwana wa Mungu
Ndacha huwa anajaribu ,mashehe wengii na pastor mmoja
Mutajijua wakristo wakati sisi waislam tunauhakika dini yetu ni ya haki na yakweli na ndio din ya manabii hatuna hata wasi wasi juu ya dini. Mm kama yesu ndio mungu kweli basi mm namwambia yesu pepo yako siitaki siitaki kabisa pepo aliyoumba yesu
Uislam forever
Ahaaa! Kumbe mdahalo umeandaliwa na taasisi ya kiislam. Utaratibu wa mdahalo wenyewe una nia potofu.
Midahalo Ni mizuri lakini kweli Ya Mungu inabaki palepale hata uc hambuzi uwe wahali yajuu namna gani hauna uhusiano wowote kumsamehe dhambi mtu yeyote .Nibora kuchunguza Kama maandiko unayoyatumia kumtafuta Muumba wako Kama yanauvuvio wa pumzi ya Mungu au la,kwakuwa Mungu nihai neno lake Ni hai.
Amen
Yann Hawa wezetu hawaelewe kama Hawa masikio kwel wasilamu tuwaombee dua
yesu nibwana
Yusu ni mtu kama wewe alikuwa anakula ,anakunya anaoga kama kawaida .
NIMEMSOMA NDACHA,TATIZO LAKE HAJUI ELIMU YA BALAGHA. ANAONGEA NA KICHWA CHAKE.
Wacha ushabiki, erevuka na uache kudanganywa ,waislamu mnamwamini Musa na mafudisho yake na hamna torati yake,mbona uislam imewaficha vitabu zingine,ulizeni mashehe wawaonyeshe vitabu zingine,
Wacha ushabiki, erevuka na uache kudanganywa ,waislamu mnamwamini Musa na mafudisho yake na hamna torati yake,mbona uislam imewaficha vitabu zingine,ulizeni mashehe wawaonyeshe vitabu zingine,
Mwalimu Ndacha unaweza weka simu yako hapa kwasababu nataka kuzungumza na wewe tafadhali?
Ubatizo gani huwooo? Ubatizo ni katika jina La Yesu Kristo, nahiyo ndoo Ubatizo sahihii.
Ndacha anakumbuka hoja alizozungumza mwenzie hii kichwa kama computer anatembea mule mule kwenye chaki
Ndacha piga kazi watu waujue ukweli
💖💖💖
Naanza kuelewa Uchristo ni dini ya Mungu
Thanks for good combination but detail answer and good explanation should be there in answering the questions on both sides not as some as the questions are answered
Sulle toa hoja zito bana nikama umeshindwa tena umeleta matatani gaki bible inafanya nn qoran😅😅
Wakristo hapa wananakili kimakini lakini hawa waislamu ni ushabiki tu hapa ,hawajielewi na makelele mingi 😢😢😢😢
Khai angetetea qurani
Msomaji wa upande wa waislam anambwembwe mbaka anaboa baada asome anajilimbwasa tu!! Umetisha sana mch. Ndacha mungu akubariki amina
Kosa la kwanza ni KURUHUSU watu kujadili vitabu vitakatifu vinavyoaminiwa na imani husika. Wala sioni tija katika hili .ndo maana husikii Dr Wala Prof wa kikristo akipoteza muda kujadili eti kipi kitabu halali.
Muda mwingi Dr Sule anahubili injilli hafundishi elimu,
Tukiwafundisha watoto biblia na Quran kwa usawa, alafu wakifikisha miaka 15, wachague kusilim au kubatizwa, Nina hakika uislamu utafutika katika uso wa dunia
Read from the book of LORD ISAIAH 34:16
Ndacha noma
NILICHO GUNDUA WAKRISTO WANACHUKULIA DINI KM TEAM 😅