MAZINGE KAJIBIWA SWALI LAKE KI RAHISI MNOO NA PASTOR NDACHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • USTADHI MAZINGE KAJIBIWA SWALI LAKE KIRAHISI MNOO NA PASTOR NDACHA #imani #elimu #gospel #mdahalo #debate

Komentáře • 40

  • @alicemaitapo2932
    @alicemaitapo2932 Před 3 měsíci +4

    Asante mwalimu wang ndacha

  • @user-vo3ni9so7e
    @user-vo3ni9so7e Před 8 měsíci +6

    Mazinge kwisha 😂 .. Hana la kusema ...hasira tuu lakini Hana hoja .. porojo tuu . Tisha toto .

  • @user-nw9ds9qe5i
    @user-nw9ds9qe5i Před 8 měsíci +6

    Ukristo Raha sana nashukuru Mungu kwa kujua ukweli najivunia sana

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Před 8 měsíci +9

    Waislamu acheni kudanganywa mtakuja kuenda jehanamu. Kubali kumfuata Yesu Kristo

    • @user-zz7ep5of2m
      @user-zz7ep5of2m Před 8 měsíci

      Ndacha kafili nanyie mnao muona anaenda vizur wote makafili mnapotea uyo mnae muita yesu hakuukuta ukristo ukristo ulianziswa baadae ya yeye kuondoka Tena miaka kumi na tatu mbele makafili nyie tubuni

  • @elijahmutembei6683
    @elijahmutembei6683 Před 5 měsíci +5

    Nakupenda ndacha

  • @RIO-jf9mo
    @RIO-jf9mo Před 8 měsíci +7

    Ati profesa..😩🤣🤣🤦 ,...duuuh maswali ya kitoto jamani...profesa wa kuuza samaki hapo buza..🤣🤣🤦 huyu anaeza mshauri mtu mwenye akili ajiunge na uislamu akapulizwe matako..🤣🤦 upuzi upuzi upuzi

  • @frankmpembu
    @frankmpembu Před 8 měsíci +7

    Waislamu njoeni kwa Yesu, Yesu ndiye Njia, Kweli na Uzima

  • @user-tf3if4lh8g
    @user-tf3if4lh8g Před 7 měsíci +4

    Najivunia kuwa na Yesu

  • @jacksonmwamkinga8729
    @jacksonmwamkinga8729 Před 5 měsíci +5

    Waislamu kubalini ukweli huo, yesu ni njia

    • @shakiraissa2517
      @shakiraissa2517 Před měsícem

      Nimeingia ukiristo zamani sana 😂 asnte mungu

  • @deogratiussaru3074
    @deogratiussaru3074 Před 5 měsíci +3

    Mazinge bora uokoke tuu ukweli umeshaujuwa

  • @ShilohPraise04
    @ShilohPraise04 Před 5 měsíci +3

    Ndaca tunakutaka Burundi wewe ni mwalimu kabisa Mungu akubebe Mbali sana

  • @user-xf8ge2uk5w
    @user-xf8ge2uk5w Před 3 měsíci +2

    Amina sana Pasta ndacha

  • @EmmyRowland-ir5gh
    @EmmyRowland-ir5gh Před 5 měsíci +2

    Hilo andiko hakuna kwa BIBILIA vitabu hivyo wameandika wenyewe soma mathayo 24:24-
    Mazinge anarukaruka hana options huyo professor ni mwigizaji tuu🤣🤣🤣
    Ndacha wacha kutoboa sirii jamaniiiii

  • @Inkubutembo7779
    @Inkubutembo7779 Před 8 měsíci +4

    Mazinge iko siku atabatizwa tu.

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 Před 8 měsíci +5

    Huyu jamaa mazinge ana akili ndogo Sana. Dini kwao ni kitu mechanical? Sisi kwetu jina la dini sii kitu

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha8605 Před 7 měsíci +3

    Sulle ni dr wa huwongo😂😂😂😂,anashindwa kuitetea dini ya mtu aliyekufa pale macca

  • @LilianMiheso-w8r
    @LilianMiheso-w8r Před 9 dny +1

    Nko nyuma ya dini ya ukristo na Mungu yu pamoja nasi

  • @BonifaceLameck-bx5xe
    @BonifaceLameck-bx5xe Před měsícem +1

    Ukiwlewa vi baya utaishi vibaya

  • @peteremanuel8022
    @peteremanuel8022 Před 8 měsíci +2

    Harafu kumbukeni njia ya kwenda kwa mungu ni moja tu . Hakuna nyingine. Fundisheni njia ya kwenda kwa baba

  • @peteremanuel8022
    @peteremanuel8022 Před 8 měsíci +6

    Wewe mazinge muongo mkubwa hata jehanamu inakungoja. Yesu kasema tumfate yeye

  • @ENOSBAHATI-c9d
    @ENOSBAHATI-c9d Před 8 dny +1

    😅😅😅😅😅😅ndacha mwalimu tosha

  • @DesderiusHaule
    @DesderiusHaule Před 2 měsíci +1

    Ndio maana sheikh shaffi hataki mdahalo na pastor ndacha kwasababu haijui quran sawa sawa

  • @user-fu3cg3gv9g
    @user-fu3cg3gv9g Před měsícem +1

    Huyu ndacha huyu ni gumzo kuwahi kutokea

  • @ERICKANDERSON-zt2nh
    @ERICKANDERSON-zt2nh Před 4 dny +1

    Maznge haelewek NA hafai kabsa kuwa mwalmu

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 8 měsíci +2

    Pf feki

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ Před 8 měsíci +2

    4:39 huyu jamaa hana akili kabisa 😂 afu bado eti kunawatu wanasikika wakipiga makofi
    Uislamu ni usafi mtu ukiwa mchafu ukasilimu basi unakuwa msafi,
    Sasa Shetani kusilimu kwakw kumemfanya awe msafi,
    Mfano leo Mchungaji akienda wanapojiuza makahaba akawabatiza kwahiyo sisi waislamu tunahaki ya kusema dini ya makahaba na malaya ni ukristo?
    Embu basi angalau muwe mnaongea vitu ambavyo vinaeleweka

    • @BernardMwaipopo
      @BernardMwaipopo  Před 8 měsíci

      sasa ndugu ni tusaidie kama shetani alivyo silimu kawa msafi nae pia??! Kama sasa ni msafi basi anae fanya machafu hovyo duniani anaitwajeje

    • @user-nw9ds9qe5i
      @user-nw9ds9qe5i Před 8 měsíci +2

      Waulize walimu wa kiislamu walio wajinga wanawapotosha hamjui kutu Kama wao.
      Njoo kwenye ukristo nidini ya uzima na kweli. Achana na mashetani hayo ya msikitini

    • @BernardMwaipopo
      @BernardMwaipopo  Před 8 měsíci

      @@user-nw9ds9qe5i amina

  • @JohnBura-xr2hw
    @JohnBura-xr2hw Před 5 měsíci +1

    Hawa jamaa hawajui hata kukomendi hakuna dawa waislam okokeni a cheni kudanganywa

  • @user-vh6hh6ul2h
    @user-vh6hh6ul2h Před 8 měsíci +1

    Ukiristo c din yes hajaumb Alie umb yey ndiy an juw kulik manen y wachungaj waong

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha8605 Před 7 měsíci +2

    Sulle ni dr wa huwongo😂😂😂😂,anashindwa kuitetea dini ya mtu aliyekufa pale macca