Waliowapa Nguvu Mashia hapa Tanzania, ni hawa hapa. Sh. Muhammad Issa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 01. 2023
  • OBA online tv
  • Zábava

Komentáře • 242

  • @sherallysherally1203
    @sherallysherally1203 Před rokem +9

    Sheikh Muhammad Issa, Baarakallahufiyk, WEWE NI ASADUSSAHAABAH. Namuomba Allah AKUFUFUE NA ABUUBAKAR, UMAR, UTHMAN, WAKIWA NA MTUME SALLALLAHU ALAYHI WASALLAM.
    NIKO PAMOJA NAWE NA KILA AMPENDAE MTUME NA MASAHABA.

  • @husseinbutoyi8675
    @husseinbutoyi8675 Před rokem +7

    Mungu Akulipe sheikh wetu, ume play part yako, Umemnusuru ALLAH na bila shakka,ALLAH atakunusuru.

  • @abujamalaalghammawiy7470

    Ahsante sanaaaaa sheikh Muhammad , Allah akujaze kila la kheri

  • @jumaa2856
    @jumaa2856 Před rokem +2

    Allah akupe her dunia na akhera,mashia sio katika ss

  • @samsiakassakangeta1780
    @samsiakassakangeta1780 Před rokem +2

    Masha Allah sheikh Allah Akulipe kila la kheri!
    Sina mimi cha kukupa ila naimani dua hii ndio kitu pekee kwangu ninachomiliki nami nimekutolea!👊👊

  • @mkude
    @mkude Před rokem +4

    MASHA ALLAH , SHEIKH ALLAH ATAKULIPA

  • @Bilal70965
    @Bilal70965 Před rokem +4

    BID’A. YA, MASHIA.
    Baadh: ya mashia kwa kweli, hawaizingatiy! Hii Qur'an.
    Tuta jiuliza haya; maombolezo ya kujidhuru na visu hadi kujitowa na damu eti kwa sababu ya kifo cha mjukuu wa Mtume (s.a.w) Hussein (r.a) Wame yatowa katika kitabu gani?
    Maana: katika Qur'an tumesha fundishwa namna ya kufanya pindi tunapo patwa na msiba au, kifo na mengineyo.
    Anasema! Allah: (sw) na wapashe habari njema (waislam) wanaosubiri. [kuchukua hatuwa yoyote]
    Ambao: uwapatapo msiba (wowote wawo); husema! Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake yeye tutarejea.
    [Sio kujidhuru na visu na kujitoa damu na kusema maneno yasio mpendeza Mola wetu. acheni hayo nyie, mtakosa barka za Allah: na rehma zake.
    [Uongofu Sahihi ni kusema tu, INNA LILLAHI WA INNA ILAIHI RAJIUN.]
    Hao, (ndio) juu yao zitakuwa baraka zitokazo kwa Mola wao na rehma, na (hao) ndio wenye kuongoka.
    [Qur’an-2:155/157]
    [Walio uwawa wema
    ni wengi tu jaman, kuna...]
    1-Habil. (r.a)
    2-Yahya. (a.s)
    3-Zakaria. (S.w)
    4-Ali. (r.a)
    5-Hassan. (r.a)
    Na kadhalika.
    [Bona hao hatuoni mnavyo jidunga visu na kujitowa damu kwa ajili yawo kwani wawo hawa kufia haki?
    Aaah! bana, achenu uzushi nyie.
    Anasema! Allah: (sw)
    Wala! Msiseme kuwa wale walio uwawa katika njia ya Mwenyezi Mungu ni wafu (laa hasha!) bali hao ni wahai lakini nyinyi hamtambui.
    [Qur’an-2:154]
    [Mnajidunga dunga tu visu vya bure na kujitowa damu za kinafiki.]

  • @user-op9fx3by1k
    @user-op9fx3by1k Před rokem +1

    Shaykh hawa umekosea kuwaita hawa bakwata hawa sio masunni hawa na watu wa Bida'a sio masunni!; Allah awaongoze

  • @ramadhanimakange9766
    @ramadhanimakange9766 Před rokem +1

    Mufti achana na mashia,

  • @seifabdulwahid4579
    @seifabdulwahid4579 Před rokem +1

    Shukran Shekhe nimekuelewa sana na hy Bakwata ni kweli ndo kawaida yao

  • @anwaraliakrabi554
    @anwaraliakrabi554 Před rokem +1

    Ahsante sheikh mohamed issa umefikisha ujumbe ,

  • @omaryiddi7454
    @omaryiddi7454 Před rokem

    INNA LILLAAH WAINA ILAIH RRAJIUUN,

  • @mbarouksaadhussein290
    @mbarouksaadhussein290 Před rokem +1

    Allah akubarik Shekhe MUHAMMED.

  • @MyName-wd8cp
    @MyName-wd8cp Před rokem

    Allah akuzidishie hekma🤲

  • @ramadhanimakange9766
    @ramadhanimakange9766 Před rokem

    Mashekhe acheni njaaa iteteeni sunna mashia ni washenzi washenzi
    Washenzi.

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před rokem +1

    Nimepima nikaona wengi ktk Waislam hawawajui mashia, na nahisi bi kwa sbb Mashekhe hawajaamua kuwazungumzia mashia khasa walivyo, itikadi zao potofu na ibada zao feki za jisaniisanii tu, na dini yao ya mchongo.
    Hivyo basi Mashekhe kazi ianze ya kubainisha maovu ya na uadui wao kwa Waislam na zaidi Ahlissunnati Wal-athar.

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 Před rokem +1

    Nimekuelewa sheikh. Ni kweli wao watukane maswahaba lakn hawavunj aman lakn wanaowatetea maswahaba na ummul muuminiina ndo wawe wanavunja aman

    • @binmasoud6237
      @binmasoud6237 Před rokem

      Mkiambiwa ukweli mnakimbilia kutia propaganda aa kuvunja amani ila sisi alhamdullilah tumeshaujua ushia kwamba sio waisalamu bali ni wavunjani wa uislamu maana mnawatukana maswahaba na wala hamna shida na wakiristo coz ni wenzeni wale

  • @seydouside4081
    @seydouside4081 Před rokem +1

    Allah atujalie tufetukiwa waislam..inshaallah

  • @husseinbutoyi8675
    @husseinbutoyi8675 Před rokem +3

    فتح الله عليك شيخنا، أسأل الله أن يجعل جزاك في ميزان حسناتك يوم القيامة.

    • @jumaomary8782
      @jumaomary8782 Před rokem +2

      Nimemsikia sheikh, anauwezo Mdogo Sana, anasema mashia wanatukana Sasa mbona hasemi hayo matusi.

    • @ayuburashid9083
      @ayuburashid9083 Před rokem

      Allah akuwafiqishe sheikh ktk manhaji ya haqi na kalima hii allah akulipe kheri umesema haqi allah akulinde na vitimbwi vya shia

    • @ayuburashid9083
      @ayuburashid9083 Před rokem

      Allah akuwafiqishe sheikh ktk manhaji ya haqi na kalima hii allah akulipe kheri umesema haqi allah akulinde na vitimbwi vya shia

    • @sharifomar8005
      @sharifomar8005 Před rokem

      Wewe nishe ama mjiga

  • @salimuismaily7754
    @salimuismaily7754 Před rokem +1

    MASHEIKH MNAGOMBANIA VITU VYA AJABU SANA HAYO MNAYO GOMBANIA HAYASAIDII CHOCHOTE SPIRITUAL (KIROHO) NI UJINGA MNAFANYA MASHEKHE MNAFANYA DINI INAONEKANA YA AJABU SANA

    • @yusufsingano6202
      @yusufsingano6202 Před rokem

      Hawagombani ila wantoa elimu Kwa Uma wewe kama unaona ugomv shia

  • @ramadhanmwinyi8856
    @ramadhanmwinyi8856 Před rokem +1

    Mashaalah Allah akulipe

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu2408 Před rokem

    Allah akuhifadh sheikh letu kwa kusimama na uislam dhidi ya maadui wa uislam na waislam na vibaraka vyao wakina bakwata Allah atawadhalilisha

  • @kondesaidi5728
    @kondesaidi5728 Před rokem

    Shekh, ww ndo umenifichulia mashia hasaaaa toka nikufuatilie ww ndo umenijuza ushia hasaaaa.🙏🙏🙏🙏

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Před rokem +1

    Kila mwenye kutana yupo mbali na Rehema za ALLAH SUBHANAHU WATAALA.

    • @ahmadmzoa74
      @ahmadmzoa74 Před rokem

      Mtume swalla LLAHU alayhi wassallam Amtuachia Uislamu,tujiandae kwenda kujibu maswali:sijui mimi wahabi,mimi twariqa,n.k.Leteni aya au hadithi kuhusu kujiita kinyume na Uislamu.

  • @jumaa2856
    @jumaa2856 Před rokem +1

    Mashehe wa zanzibar Allah awabarik wametulia

    • @kondesaidi5728
      @kondesaidi5728 Před rokem

      🤣

    • @kondesaidi5728
      @kondesaidi5728 Před rokem

      Waache waendelee kula urojo

    • @kichachu6391
      @kichachu6391 Před rokem

      Wametulia kuhusu wanaomtukana mke wa mtu na kukufurisha maswahaba zako pole ndugu yangu hiyo sio sifa

  • @mootelahamongus633
    @mootelahamongus633 Před rokem

    Jazaaka Allaahu Khyra, Aamiyn.

  • @mzeewa6999
    @mzeewa6999 Před rokem +2

    kwanza mashia wabaguzi wahindi wanasali mjini weusi wanasali kigogo dini gani hiyo .arusha wahindi metropole weusi wanasali pangani wabaguzi

  • @ibrahimuhincha1457
    @ibrahimuhincha1457 Před rokem

    Shukran sheikh hawa mashia sio katika sisi

  • @mohammedjumaa8038
    @mohammedjumaa8038 Před rokem

    Mashaa Allah Tabaraka Allah
    Shukuran Jazillah

  • @answaryhussein256
    @answaryhussein256 Před rokem +1

    Wew siyo Ahlu sunnat waljamaa wew ni muhabi kwa hiyo wew na mashiya mko sawa tu

  • @abubakarmwasumilwe7070

    MashaAllah Sheikh MUHAMMAD isa
    Tupo pamoja na nyie

  • @hafidhkhamis731
    @hafidhkhamis731 Před rokem

    Safi sana uyu sheikh ,yuko wapi? Sh sema ucjali maneno ya wapotoshaji sote tuko pmoja nawe kuhusu ubabaifu w mashia na washirika wao

  • @abuulukman4394
    @abuulukman4394 Před rokem +1

    Safi Sana shekhe

  • @biggestnasritv2601
    @biggestnasritv2601 Před rokem

    Allah atupe mwisho mwema allahuma aamiin

  • @binbaya923
    @binbaya923 Před rokem +1

    Maa shaa llah

  • @abdallahmgaya7521
    @abdallahmgaya7521 Před rokem

    Masheikh wa Bakwata ni munafiqiyna baina dhaalika, laa ila haulai wala ila haulai.

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Před rokem +1

    ahsante shekh

  • @gulamomar6394
    @gulamomar6394 Před rokem

    Hongera sana 🙏

  • @athmanidi7388
    @athmanidi7388 Před rokem +1

    Muanzilishi wa Ushia NI Allah SWT anamwabia Mtume Muhammad s,a,w,w hai kwa muumini ambaye Mwenyezi Mungu na MTUME wake wameamuwa Jambo hakuna hiyari

    • @pavillioncry5241
      @pavillioncry5241 Před rokem

      Shenzi ww allah kaanzisha ushia wapi

    • @athmanidi7388
      @athmanidi7388 Před rokem

      @@pavillioncry5241 Nini maana ya kumfata Mtume ama Neno kufuata ina maana gani. Bila shaka mana ya fata NI SHIA

    • @athmanidi7388
      @athmanidi7388 Před rokem

      @@pavillioncry5241 NI na umri wa miaka 69 na unanitusi mshezi

    • @ramaspain5024
      @ramaspain5024 Před rokem

      @@athmanidi7388 unaweza kuwa na umri lakini hovyo

    • @kitwanashem3272
      @kitwanashem3272 Před rokem

      Lete ushahidi wa Allah kwa kuanzi ushia wacha ukafiri wako wewe

  • @athumansimba115
    @athumansimba115 Před rokem +2

    Safi sana sheikh, haqi lazma isemwe bila kujali ni nani anaeambiwa, Mashia sio waislam Tena Bora uwe na ukaribu na wakiristo kuliko hao Mashia Laana tu llah

    • @athmanidi7388
      @athmanidi7388 Před rokem

      Ukijuwa Ushia utafurahi. Lakini kwaza tafuta kama Mtume Alichagua HALIFA

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 Před rokem

      @@athmanidi7388 Wewe ni shiaa??

  • @mahdy011
    @mahdy011 Před rokem

    Kabisa umenena sheikh ni kweli

  • @jumasalafi9886
    @jumasalafi9886 Před rokem +1

    Fikisha ustadh hivyo hivyo

  • @yusufsadic2930
    @yusufsadic2930 Před rokem +1

    Bakwat ndiyo nini mbele ya Allah namtume wak
    Mimi siamin wal kuijuw kuwa kuna Bakwat

  • @KabandaIssa
    @KabandaIssa Před dnem

    Mimi Sina dhehebu lolote zaidi ya lah illah illa allah hayo mengine mtajijuwa wenyewe ! But mimi naona hafadhali hata hao mashia kuliko nyie masuni Saudia huko bar zinajengwa kila siku mbona hamlisemi toeni njaa zenu huko yote kwa yote tutaonana kwenye uwanja wa hukum

  • @Filexwawa
    @Filexwawa Před rokem

    Hogera uisilamu haujafundisha uoga ila umefudisha adabu na kusema kweli mahali inapo takikana kusema

  • @jumaa2856
    @jumaa2856 Před rokem

    Bakwata kweli sio

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 Před 3 měsíci

    MASUNI HAWAN AKILI

  • @azizbashir
    @azizbashir Před rokem

    MUNGU HATAKULIPA SHIA NI MWIZI AMBAYE YUKO NDANI YA NYUMBA NA FU YA NASWRA UKIMFUNDISHA BIBBLE ANAMKUBAL MUNGU MOJA KULIKO MASHIA AMBAYE WANASEMA KWAMBA HUYU IMAMU WA MWISHO IMAMU MAHADI KINYESI CHAKE SIO NAJISI WAKATI MTUME WETU AKIJISAFISHA NAJISI LEO IMAMU MAHADI HATAKUWA BORA KULIKO MTUME MUHAMMAD RDH HAWA NI MASHAI NI MAHADI WA KUBWA WAISLAM NA BAKWATA NI MAHADUI WA WAISLAM WA TANZANIA

  • @jumaa2856
    @jumaa2856 Před rokem

    Hafai

  • @athmanidi7388
    @athmanidi7388 Před rokem

    Tuna Maimamu. ALI bin Abitwalib Hassan, Hussen zainabidin Muhammad Bakir Jafar swadik etc

  • @salhaisrael8265
    @salhaisrael8265 Před rokem +1

    Shekhe nipo pamoja nawe ktk hakki unayosema nikweli kabisa.

  • @athmanidi7388
    @athmanidi7388 Před rokem

    Shehena TUKO NA MISIKITI YETU NDUGU ZANGU . Na walimu wetu

  • @alisalum8908
    @alisalum8908 Před rokem +1

    PAMBANENI NA USHOGA HALI NIMBAYA KIZAZI KINAANGAMIA

    • @kichachu6391
      @kichachu6391 Před rokem

      Ushoga ni lazima upigwe vita lkn hilo hlizuii kuwatahadharisha waislamu kuhusu mashia ambao wanawakufurisha maswahaba na kumkashifu mkewe

    • @yusufsingano6202
      @yusufsingano6202 Před rokem

      Ali. fahamu kua (ushia) ni hatari ktk dini hii kuliko ushoga

  • @ramadhanimakange9766
    @ramadhanimakange9766 Před rokem

    Au mufti naye kawa shia

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 Před rokem

    Kwanza mnamtaka mujuwe
    Shiwapo makund 23

  • @mtorosenga1272
    @mtorosenga1272 Před rokem

    Jembe

  • @msemasungura5651
    @msemasungura5651 Před rokem +3

    Huyu wahabi mzigo

  • @athmanidi7388
    @athmanidi7388 Před rokem

    Kuna watu wanaswali nyuma yako. Mtume Muhammad s,a,w,w Amesema alama za MTU mnafik NI tatu

  • @jumaa2856
    @jumaa2856 Před rokem

    Tanganyika baadhi ya mashehe si mashehe ni watafuta dunia

  • @rwechunguraissa1394
    @rwechunguraissa1394 Před rokem +1

    Wasikilizaji muwe Malini na upotoshaji mkubwa wa mitandaoni. Elimu ya Uislamu ni Taaluma na kwa hiyo ujipime ujuzi wako binafsi kabla ya kuunga au kutounga mkono. Kuna mengi wasiyoyajua waislamu wa kawaida.

    • @athumanmeru2153
      @athumanmeru2153 Před rokem

      wewe si muislam wakawaida???

    • @yusufsingano6202
      @yusufsingano6202 Před rokem

      Tupomakini Sana ndio mana tunamsikiliza kila shekh tunasoma uislam kupitia mashekh wewe kama Una shekh wako Hilo ni tatizo

  • @salmaabdallah1362
    @salmaabdallah1362 Před rokem

    Sasaiv ukitaka kutrend ongeleaaa ushiaaa 🤣🤣🤣mashekh wengine ata walikuwa awajulikanii lkn sasaiv bhn Alhamdulillah bhn mkono unaenda kinywani mungu angemshusha siku moja malaika wakee aje aondoeee hiizi vituu atudhihilishiee ukwel kwa sisi vizazi vya 2004 tusiojuaa kitu

    • @mkude
      @mkude Před rokem

      Kweli kabisa maana mashia walikuwa hata hawajulikani Tanzania zilivyoanza kuja hela kutoka Iran ndo balaaa,

    • @ibrahimuhincha1457
      @ibrahimuhincha1457 Před rokem

      Kwani Quran si ipo mtume kasema mpaka kiama yatakuwepo makundi 40 nakundi moja tu ndio litakua sahihi

    • @yusufsingano6202
      @yusufsingano6202 Před rokem

      @@ibrahimuhincha1457 shekh makund 40 ktk hadith gani?

  • @khalidshabanisaidi3681

    Hauna elimu yoyote juu ya ushia unaropoka tuu

  • @user-ls1ot6fs4v
    @user-ls1ot6fs4v Před 2 měsíci

    Baba vipi surrat kahf ikowapi ? Mbora wa mwenyezimungu ni mchamungu jipinde na ucha mungu haya yote yataisha mtizame hizl ana kila aina ya ufumbuzi kwa ilimu na mbora wa mwenyezimungu ni mchamungu haswa kwe ilimu usitaje kabisa madhhabu taja dini islamu

  • @khalidshabanisaidi3681

    Mungu akulaaani eweee Mzee wa kiwahabi

  • @itangishakasaidsalumu4307

    Sheikh Allah akulipe na namuomba akutizima jico la huruma wewe n'a waislam wote wenye msimamo wa kuteteya dini yake insha'Allah. Nashukuru sana sheikh wangu naridhika moyoni mwangu kutoka Burundi naomba izidishe clips zakutuelimisha ya sheikh

  • @selemanisalumusalumumarko1274

    Tatizo viongozi wenyewe hawana elimi kubwa ndio shida inaanzia apo

  • @KakaKaka-pr4bn
    @KakaKaka-pr4bn Před rokem +1

    Masikini anaitwa shehe Mohammad Issa hajui hata kiarabu kinasemwaje eti أشهد أن عليُ ولي الله hajui hata إن inafanya kazi gani kwenye jina pole sana sheikh njoo usome kiarabu kwa Mashia.
    Wewe siyo Ahli Sunna wewe ni wahabi wacha kujipachika majina ambayo siyo yako toka lini wewe ukasoma maulidi wapi ulisoma maulidi wewe wacha kudanganya watu.
    Ni kazi yenu kupora misikiti ya watu jengeni ya kwenu.
    Mwaka huo wa 1990 Arusha nilikuwepo mlikuwa mnateka msikiti wa masunni, sheikh Siraji na sheikh Mahmood ndiyo waliowatoa kamasi msikitini na wala siyo mashia.
    Kumbuka yule mzee wa kisomali aliyekuwa anahifaďhi funguo za msikiti alikuwa anafanya nini, hakuwa anakula mirungi msikitini?
    Utawadanganya watoto waliozaliwa juzi na jana lakini ukweli utabaki ukweli.
    Rudi tena ukasome ili uitwe sheikh wailaa wewe ni mshika viatu tu.

  • @alisalum8908
    @alisalum8908 Před rokem

    KULIKONI??

  • @hajimgwami5224
    @hajimgwami5224 Před rokem

    LAKINI HII INALETA FAIDA GANI KULETA MVUTANO KWENYE MITANDAO, KWANINI MSIHEMIANE MKAKUTANA NAKUZUNGUMZA, KWANINI MSIONYESHE KHESHIMA KWA MUFT AMBAE MKIWA NA SHIDA ZENU MNAENDA KUMUOMBA MSAANDA...

    • @yusufsingano6202
      @yusufsingano6202 Před rokem

      nduguyangu faida ni kubwa sana kama utaangalia clp Kwa (kujifunza) utaelimika

  • @fikiriniadam301
    @fikiriniadam301 Před rokem +2

    Sheikh Muhammad Issa umesema Mashia wanamuabudu Hussein hebu eleza ushahidi tupatefaida siokueleza hoja za watunaakilizao

    • @kitwanashem3272
      @kitwanashem3272 Před rokem

      Wewe husiki wala huoni sasa utaonyeshwa ushahidi gani huo ukatao uamini? Baki na ukiziwi wako

  • @jumaa2856
    @jumaa2856 Před rokem +1

    Toka awepo muft huyu wa ss mtihan sn

  • @saidishalako
    @saidishalako Před rokem

    Hilo jikofia la Al Hadi limemkaje? La Catholic ama?

  • @pkjaffarsadiq7052
    @pkjaffarsadiq7052 Před rokem

    Wachana na ushia hakuna elimu uko nayo washia Wana elimu ya kweli wacha kuropoka rudi shule

  • @mkijilukali2010
    @mkijilukali2010 Před rokem

    Wewe ni mjinga uelewi chocho nimchochezi

  • @khalefally9818
    @khalefally9818 Před rokem

    Alhamdulillah Allah akupe nguvu na afya njema na ujasiri huwo huwo ,

  • @fauznuhu9981
    @fauznuhu9981 Před rokem

    Hakuna haki ya kuwakumbatia mashia wala mawahabi watu watarika tume kufanini tunaletahaya?

  • @answaryhussein256
    @answaryhussein256 Před rokem

    Tokea lini muhabi mujassima awe ni Ahlu sunnat waljamaa?acha kudanganya wew

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 Před rokem +1

    Hicho kikundi cha bakwata usikute tayari wamesha hongwa nama shiha🤮🤦‍♀️ kikundi hicho cha bakwata mi sikikubali na kwenye uislam hawanitowi na hawana uwezo wakunitowa

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307 Před rokem

    sijakuelewa hukutaka wawepo nchini toa hoja ya kielimu na siyo kuweka chuki . wewe unataka tuwe kama Yemen wanavyopigana sababu ya marekani. sijui kama unajua . mashia watapata watu kama mawaidha yenyewe. kama wahabi ndiyo islamic states ni magaid

  • @abuusaid3297
    @abuusaid3297 Před rokem

    Ajabu iliyopo, kwani viongozi wabakwata wanachaguliw nanani na wanawakilisha dinigani?,mbona viongozi wadini zingine wanachaguliwa kupitia dinizao,nasis waislam tuchague viongozi wetu watakao tuongoza kwauadilifu!!

    • @abdallahmgaya7521
      @abdallahmgaya7521 Před rokem

      Abuu saidi Huwezi kuchaguliwa kuwa kiongozi wa Bakwata bila ridhaa ya serikali

  • @ismailnasibu49
    @ismailnasibu49 Před rokem +1

    Kila mnapo zidi kuwa raddi mashia ndivo wanavo zidi kuongezeka kila kona ya nchi, wengi wanapata fursa ya kuusoma ushia na kuuelewa vizuri. Mambo ya kupiga kelele mitandaoni hayana maana, ili tuwafanye watu wasiwe mashia ni kudeal na madrasa zetu kuwaandaa vijana wa kizaz cha badae, hawa mashia wanatumia mantiki kubwa katika tabligh zao naamini kamwe hamtawaweza maana tayar washajizatiti katika elim kuanzia madrasa zao, hauza zao miskiti yao na waumini wao wanazid kuongezeka,

  • @sefoadelino6684
    @sefoadelino6684 Před rokem

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hemedali4910
    @hemedali4910 Před rokem

    Rudi ukasome tena wewe,ushia upo to enzi za Imam Ali(a.s)Hiyo histori yako ianzie baada ya kifo cha mtume,elezea yaliotokea yooooote,mpk tufike hapa leo.huna ilm wewe,unabwatabwata tu...

    • @aishahassan3214
      @aishahassan3214 Před rokem

      Shetani mkubwa ww shetani amekutia upofu huoni wala husikii ndo maana unaona shekhe anabwata

    • @hemedali4910
      @hemedali4910 Před rokem

      @@aishahassan3214 muulize sheikh wako akwambie chanzo cha kuzuka haya matha"habi!?hawa wanaotukanwa leo mashia wapo toka enzi hizooo.tena kwa faida yako tu,hata hawa maimam wetu(Hanafi na malik)wamesoma kwa imam wa shia jaafar...ndio naama namwambia huyo anapayuka tu!!hata taarekh haijui huyo.

  • @msemasungura5651
    @msemasungura5651 Před rokem

    Mtaje shia hata mmoja alie mtukana sahaba.

    • @kitwanashem3272
      @kitwanashem3272 Před rokem

      Rejea kwenye vitabu vya kishia utapata habari zote

    • @yassinhamisi922
      @yassinhamisi922 Před rokem

      Usipinge kuwatetea mashia maana huwajui ila pitia vitabu vyao utawajua. Ukiwauliza mashia kuhusu kuwatukana baadhi ya maswahaba na mengineyo mengi hawatokwambia ukweli kwa sabb wanatumia (takiya) wanajificha ila huo ndo uhalisia.

    • @binmasoud6237
      @binmasoud6237 Před rokem

      Rejea tafsiri ya shekhe wako mayunga matusi kama jarida la wiki

    • @middlemamba6062
      @middlemamba6062 Před rokem

      Unafuata upepo

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Před rokem

      Mm nimeishi na waislam wa kutoka sehemu mbali2 Duniani. Yaani tena hawapendwi kutokana na sera zao za kijinga za kutukana na wanawaita makafiri wazi bila ya chenga

  • @msemasungura5651
    @msemasungura5651 Před rokem

    Nchi nimaliyako?kwani hao mashia sio waTanzania

    • @kitwanashem3272
      @kitwanashem3272 Před rokem

      Wanao kufuru siyo wenzetu ndivyo anavyomaanisha kama hukumwelewa

    • @middlemamba6062
      @middlemamba6062 Před rokem

      Elewa mada usikurupule,

    • @yusufsingano6202
      @yusufsingano6202 Před rokem

      Kwa utanzania ni wananch lakini ktk (uislam hawamo kumbuka ALLAH ameahid kulinda dini yake mwenyewe

  • @hamiduathumani985
    @hamiduathumani985 Před rokem +1

    Muft Ni mwanachuoni mkubwa Sana kwa namna Mimi nilivyosikia kwa wanachuoni wa kisunni Ila kwa hili Kuna jambo linawatafuta mle ndani. Mimi naona tuungane na wenzetu wahabi dhidi ya Shia tukishamaliza huu mjadalla dhini ya makafir Shia,turudi Sasa mezani tuongee na waislam wenzetu (wahabi)tujadili tofauti zetu ndogo za maulid na hitma.

    • @hamzamaarufu1358
      @hamzamaarufu1358 Před rokem

      Kusoma muhim sana kk

    • @hamiduathumani985
      @hamiduathumani985 Před rokem

      @@hamzamaarufu1358 ndio Ila Soma uombe mungu akujalie msmamo usiwe Kama muft

    • @pilimohammed3163
      @pilimohammed3163 Před rokem

      Duh mashekh mnaaibishana hivi mnaangalia ni jopo gani linawaandama mashiaa sijui mnachokihitaj ninini kwa baadae yaa rabbywasowaislam wanawasomaje viongozi wa kiislam jaman siiko lakum dinu kum jamani

  • @athmanidi7388
    @athmanidi7388 Před rokem

    Na kama Pepo NI yalo Basi hatuji

  • @msemasungura5651
    @msemasungura5651 Před rokem +1

    Tafuta nchi yako uwanzishe UWAHABI wako. Hata kwenye chimbuko la UWAHABI wenyewe uislamu umewashinda tumeona yanayo fanyika huko saudia itakua wewe hapo Tanzania huna uwezo wakuumaliza ushia utaucha kama ulivyo. Maana hata huko uliko chukulia hiyo itikadi mashia pia niwengi mnoo madina qatwif ahswa. Hata makka wapo we vipi.

  • @athmanidi7388
    @athmanidi7388 Před rokem

    Nani muanzilishi wa Sunni ? ? ? Imam Shafi , Malik, na Hambari , na Hanafi. Na MAWAHBI NI nani

  • @zainabonlinetv2210
    @zainabonlinetv2210 Před rokem

    Huyu hana hojja anapiga kelele tu

    • @kitwanashem3272
      @kitwanashem3272 Před rokem

      Hoja wanazo kina Jalala na mashia kama nyinyi ambao hampigi kelele kazi yenu kutukana maswahab

    • @middlemamba6062
      @middlemamba6062 Před rokem

      Wafuasi wa ushia ni wakristo pure kwani hata vitabu vya kishia hamvisomi.

  • @abdalamakajula3883
    @abdalamakajula3883 Před rokem +2

    Pumbavu Sana huu jamaa...

    • @mkude
      @mkude Před rokem +1

      Hatushangai kutukana mmeleleka hivyo,mnawatukana maswahaba na wake za mtume s a w.

    • @gessanabuu2099
      @gessanabuu2099 Před rokem

      Mpumbavu ww na ushia wko.

    • @ibrahimlugaila5606
      @ibrahimlugaila5606 Před rokem +1

      Ikiwa mumeweza kuwatusi maswahaba sembuse watu baki!!

    • @kitwanashem3272
      @kitwanashem3272 Před rokem

      Mpumbavu ni wewe kujibu hoja siyo mnatukana

  • @abdalamakajula3883
    @abdalamakajula3883 Před rokem +1

    Huyu ni gsidi kabisa anachochea ubaguzi na fujo nchini...

    • @samxx411
      @samxx411 Před rokem +1

      Katika suala la kuwatukana masahaba katu hatutokaa kimya, nyie si lolote si chochote kwa masahaba na kama huo ubaguzi ni nyie mnaobagua masahaba ikisha mnajisema ni waislamu, mnawajua masahaba nyie?? Mtume makafiri walitaka kumuua mnajuwa masahaba walimlinda vipi, wewe unaitwa muislmu unajuwa kuwa wao masahaba ndio walioulinda uislamu, unajuwa masahaba walipoteza maisha yao kwa kuusimamisha uislamu? Nyie vipi bhana ikisha mkiambiwa mnaleta zenu

    • @mkude
      @mkude Před rokem

      Mnao watukana maswahaba nyinyi ndo mnasababisha Fujo, sheikh yupo sawa

    • @khaalidi3503
      @khaalidi3503 Před rokem +1

      Acha upumbavu unajua kuchochea fujo na ubaguzi kama hutaki ubaguzi nenda kanisani au nenda kaabudu ng'ombe na kama baniani ili usiwe mbaguzi

    • @khaalidi3503
      @khaalidi3503 Před rokem

      Eti ubaguzi kumbe kuna watu vichwa vyao kama box tupu

    • @samxx411
      @samxx411 Před rokem

      @@khaalidi3503 naam nakukubali

  • @zubery9379
    @zubery9379 Před rokem +2

    Mazungumzo yako yamemlenga mufti moja kwa moja kana kwamba unavita nae tusio ijua,kilichofanya mm nikushangae ni kusema muft kaweka kemeo kwa kutetea mashia ,mm sikuona hiyo clip ,lkn ninayo clip ya samaha mufti akikemea mashia na kuwaambia mashekhe wasiache kuwajibu na kuelemisha watu,tena siku anasema hayo na mm nipo,na clip ninayo,huon nakuona muongo?tunaomba ushahidi wa hizo clip ya mufti akitoa kauli ya kua wapinga mashia wanavunja amani ,kama huna usifitini mashekhe kwa kutumia dini.

    • @mbarakbinzoo
      @mbarakbinzoo Před rokem +2

      Clip ipo anayozungumza shekh kweli

    • @Filexwawa
      @Filexwawa Před rokem +2

      Inafika wakati waisilamu tuwe wakweli mfuti pya nimbinadamu ana weza akakosea ila mutu mwema niyule ambaye akikosea anakubali kukosolewa kusemakweli nimeona clip ambayo ipo niya shekhe wa mkoa wa dareselamuakiwauliza mashia kama kweli wanatukana maswahaba swali ni ukiletewa mwizi alafu umuulize eti kama ameiba ww unategemea jibu gani kama siyo kukataa ila kwaroho yake anajua anacho kifanya cha musigi tufanye utafiti alafu badae jibu liparikane bila kuwa na uoga

    • @mbarouksaadhussein290
      @mbarouksaadhussein290 Před rokem +1

      We ndugu ni shia nn?
      Shekhe Khamis, Shekhe Abu Idd amewatetea tafuta izo clips utavipata.

    • @scotatv2442
      @scotatv2442 Před rokem

      Zubery we ni pumbafu mkuu.

    • @kondesaidi5728
      @kondesaidi5728 Před rokem +1

      Bado hujamuelewa huyu shekh, Yuko sahihi Sana saaaaana tena Sana?

  • @shamterashidi726
    @shamterashidi726 Před 2 měsíci

    Waislamu tuunganishe nguvu zetu dhidi ya maadui zetu.
    Farka ya Shia na Sunni inatudhoofisha.

  • @abdul7935
    @abdul7935 Před rokem

    😅POROJO NI NYINGI KULIKO ELIMU..
    MZEE ALLAH AKUONGOZEE..
    VITABU VYENU VIMETHIBITISHA KUWA MUAWIYYAH ALIKUWA AKIMTUKANA IMAM ALLY AS MTOENI NA MUAWIYYAH KATIKA DINI..
    IBN TAYMIYYAH PIA KATHIBITISHA KATIKA KITABU CHAKE CHA MINHAJU SUNNAH KUWA WENGI KATIKA SAHABA NA TABIINA WALIKUWA WAKIMTUKANA NA KUMPIGA VITA IMAM ALLY MBONA HAMUWATOI KATIKA UISLAMU ??
    TUMIENI AKILI NYIE ACHENI KUKURUPUKA..

  • @KakaKaka-pr4bn
    @KakaKaka-pr4bn Před rokem

    أبهذا السفلى neno hili unamuambia mufti wewe mrangi usiyojitambua

    • @mkude
      @mkude Před rokem

      Neno hili mnaambiwa nyinyi mashia mnaowatukana maswahaba mnaosababisha fujo

    • @zainabonlinetv2210
      @zainabonlinetv2210 Před rokem

      Hana lolote ni kama kasuku

    • @kitwanashem3272
      @kitwanashem3272 Před rokem

      Usiyejitambua ni wewe uliyedangawa ukafua mkumbo kwa ajili ya nyama ya mbuzi

    • @middlemamba6062
      @middlemamba6062 Před rokem

      Shia ni kikundi cha washenzi

    • @daudkindy8062
      @daudkindy8062 Před rokem

      Huyo sio shekhe wamchongo wala sio wale mashekhe washirikina

  • @ismailosanoomar3326
    @ismailosanoomar3326 Před rokem

    Wewe sheikh Muhammad issa ni pimbi kabisa. Hujui unachokisema.
    عليك أن تكون واعيا. من قال لك أن الشيعة يعبدون الإمام الحسين؟؟

    • @user-bk4dz1sj3g
      @user-bk4dz1sj3g Před rokem +1

      Mashia munaongopewa sana ....vitabu vyenu vinawabainisha ila kwa sababu ya ujinga uliowajaa katika kupenda mut'a, khumus,i'aaratul farji na nyengine kama kuhalalisha kuingilia wanawake kinyume na maumbile hivi hiii ndio dini؟!!

    • @user-bk4dz1sj3g
      @user-bk4dz1sj3g Před rokem +2

      Mcheni ALLAAH ushia ni ukafiri zaidi ya ukristo na uyahudi

    • @ismailosanoomar3326
      @ismailosanoomar3326 Před rokem

      @@user-bk4dz1sj3g abuu taimiya, ukafiri wa Mashia umetoka wapi?? Na nani aliyekupa ruhusa ya kuwakufurisha?? Unachokisema au unachokifanya utaulizwa na Allah kesho siku ya kiyama.

    • @ismailosanoomar3326
      @ismailosanoomar3326 Před rokem

      @@user-bk4dz1sj3g Mashia ni watu wa qibla, wakristo ni ahlul kitaab. Vipi shia wawe makafiri zaidi ya wakristo??
      Hivi hujui kuwa Mashia wanasema kuwa Allah ndiye Mungu wao?? Na Muhammad bin abdillahi ndiye mtume wao?? Vipi wawe kafiri??

    • @ismailosanoomar3326
      @ismailosanoomar3326 Před rokem

      @@user-bk4dz1sj3g wewe waonekana kuwa umechizika, wafuata kauli za majihabi.

  • @KakaKaka-pr4bn
    @KakaKaka-pr4bn Před rokem +2

    Kama mashia walianza kusikika mwaka 1979 je mawahabi wameanza kusikika lini? Kasome tena historia ya waislamu Tanzania, mashia wapo Tanzania kabla ya baba yako na babu yako kuzaliwa.
    Waislamu wakwanza walioingia Tanzania na kuleta uislamu miaka zaidi ya mia tisa iliyopita ni mashia, wewe Mohammad Issa na wenzako mtabaki ni mawahabi tu ambao mnapingana na uislamu sahihi wa Bwana mtume.
    Serikali ya Tanzania inajua kuwa nyinyi ni magaidi mnajua serikali imepambana na nani kule kibiti na kule Tanga na kule Arusha kwani wale walikuwa ni Mashia?
    Tunajua nini mmefanya kule syria Iraq Lebanon Yameni Afghanistan na kwingineko Duniani ni mawahabi.
    Kelele zote hizo unapiga ni uwahabi unakusumbua.
    Wewe siyo sunni wal jamaa wacha kujipachika jina sio lako wewe na mziwanda na wengine kama nyinyi ni mawahabi tu.
    Nyinyi mnahatarisha amani kama mlivyohatarisha amani za nchi za Syria na Iraq.
    Mashia hawawatukani maswahaba bali kuna vitabu vya waislamu vikiwepo Bukhari na Muslimu vimeandika baadhi ya mambo yaliyofanywa na maswahaba ambayo ni nje ya uislamu sahihi.
    Na huyo ndiyo msimamo wa Mashia.

    • @mkude
      @mkude Před rokem

      Acha dawa ikuingie, eti mashia hawawatukani maswahaba utamfanyia nani taqiyyah sasa hivi waislamu karibu wengi wameshaujua ubaya wa mashia na wanazidi kuujua,jalala alivosema eti Omar r a, alivyokwenda kuvunja nyumba ya Fatma mtoto wa mtume akagonga mlango ukamuangukia na mimba kuharibika, eti na mtoto alikuwa apewe jina LA mohsin sasa wakati huo sijui walikuwa wanajuaje mtoto aliekuwepo tumboni,hoja yangu huoni hapo mnawatukana maswahaba.

    • @mirajiwenge
      @mirajiwenge Před rokem

      Wewe 0+0=0 pole sana matusi + matusi= mitusi

    • @omarsuleiman9064
      @omarsuleiman9064 Před rokem

      Ndugu zangu suara la kutukanwa maswahaba hili halina wahabi wala salaf wala sufi wote sis ni Ahlusunna waljamaa kwahyo nilazima kuatetea maswahaba

    • @yusuphsasamalo504
      @yusuphsasamalo504 Před rokem

      Hajui historia mashia wameanza kuingia miaka mingi sana

    • @middlemamba6062
      @middlemamba6062 Před rokem

      We pungu kweli

  • @abuulukman4394
    @abuulukman4394 Před rokem

    Safi Sana shekhe

    • @saadallah6287
      @saadallah6287 Před rokem

      Napitia comenti wapo mashia watatu wanatuma sms mala nyingi kutetea ukafiri wakishia ili waonekane wengi sheikh huyu yupo sawa

    • @jaffermukhtar1326
      @jaffermukhtar1326 Před rokem

      Kapolei huyu, HATA kutamka Inna lillah shida pole ,

  • @zainabonlinetv2210
    @zainabonlinetv2210 Před rokem

    Alisha pitwa na wakati anadhani kipindi hiki ni cha kubwabwaja kama enzi hizo kipindi hiki ni cha elimu kauze Maji kondoa au kalime mahindi kibaigwa da,wah imekushinda hata kiarabu hujui
    Wewe mufti utamuingia wewe simbeba viatu tu
    Hupati kiki

    • @kitwanashem3272
      @kitwanashem3272 Před rokem

      Mufti ana elimu gani asimuingie si watu wote tunamjua kama mgaga na elimu zero

    • @waziriabubakari8677
      @waziriabubakari8677 Před rokem

      Wew bado uko gizani na kama mjinga ni mjinga kwekweli elimu ya Shekh Muhamadi Issa na mufti mufti hana elimu

    • @waziriabubakari8677
      @waziriabubakari8677 Před rokem +1

      Shekh Muhamadi Issa anadigree ya misitu na serikali inajua na ktk Dini amemaliza Jamia jaamia The univasity of Madina - SAUDI ARABIA mufti kasoma chuo kikuu kipi dunian

    • @middlemamba6062
      @middlemamba6062 Před rokem

      Fuata upepo

    • @mzeewa6999
      @mzeewa6999 Před rokem

      ukiwa shia unateseka tu. mashia hamuwezi kuipinga haki mmefeli mashia