SHEKH MOHAMMED ISSA AIBUKA NA USHAHIDI WA CLIP MZITO ZA MOHAMED IDD ALIZOKUWA ANAWASHAMBULIA WENZIE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 01. 2023
  • Shekh Mohammed Issa amuibukia Shekh Mohammed Idd kwa tuhuma alizotoa kwa Wenzio hivyo amekuja na ushahidi wa clip alizoshambuliwa kishk Kilemile na Shekh wa Mkoa Alhad

Komentáře • 125

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 Před rokem +1

    Sheikh Mohammed Isa Subhaana llah kosa alilolifanya Mwenzio na wewe umelifanya Mtihani Huu ,Tujitahidi kufata sunna za Mtume kama Sisi WA kwelii Katika matendo yetu ,kwani tukilifanya katika njia ambayo sio basi wenye uwelewa watauona ubaya huwo Na malengo yaliyokusudiwa, Mwenyezi Mungu Atujaalie njia njemaa ya kutatuwa mambo kama alivyokuwa akifanya Mtume WETU Muhammad S.A.W Allahumma Amiin Yaa Rabbi

  • @khamisi_SHILINGI
    @khamisi_SHILINGI Před rokem +2

    Hii nidalili ya wazi nandomana Allaàh AZZA WAJALLA akaleta utandawazi kwafaida mbalimbali

  • @makameshibli2797
    @makameshibli2797 Před rokem +1

    tumugope Mungu jamani tunakosea umoja wa kislamu utasimama lini Kwa hali hii

  • @gulamomar6394
    @gulamomar6394 Před rokem +1

    Subhaana llah

  • @c.e.o_abdiroush
    @c.e.o_abdiroush Před rokem +6

    Hilo mohamed Idd ni mshenzi na mnafiq

  • @user-to7my3bf7l
    @user-to7my3bf7l Před 3 měsíci +1

    Ww sheikh muhamed idd umepewa pesa

  • @aishabagayo616
    @aishabagayo616 Před rokem +1

    Nyie Masheikh wetu, hatutaki magomvi yenu muyalete kwenye mitandao. Sisi tunaweheshimu Saana. Mnatupa mifano gani!!

  • @aminasallumu3324
    @aminasallumu3324 Před rokem

    As alkum mashekhee mnavyofanya sio vizuri magomvi yenu kuyaweka mtandaoni ,mnaposigana au yanapotokea magomvi Rudini kwenye adidh na suna ,za MTUME angalieni msije mkaenda motoni ,kwa ajili ya mitandao

  • @hidayasaid5131
    @hidayasaid5131 Před rokem +4

    Sheikh Idd innalillahi wainnaa ilahiraajiun , kinachonisikitisha saana ni kwamba eti asiekuwa BAKWATA sii muislam innalillahi wainnaa ilahiraajiun . Tunapelekwa wapi jaman

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před rokem +1

    Hatupotoshi na ss tunasoma pia tunakuchambueni masheikh nyote

  • @sharriffcharo1915
    @sharriffcharo1915 Před rokem +2

    Muhammad IDD hana makosa abadan

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 Před 5 měsíci

      Hata kahaba hua anaona biashara anayo ifanya ni sahihi. Na kahaba hawezi kukosolewa na kahaba mwenzake bali kahaba mwenzake ataona ni kitu sahihi

  • @malikinjama2587
    @malikinjama2587 Před rokem +1

    Shekhe isa nakuunga mkono kabbisa watu hawana ikhlasw

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 Před 3 měsíci

    Wallahi sasa watu wa bidaa muwe makini mnao fata mkumbo hao ni watu wapo kazini wanalinda ajira zao

  • @sefoadelino6684
    @sefoadelino6684 Před rokem

    Kumbe wapumbavu sana. Kuanzia mashekhe zake

  • @khamisi_SHILINGI
    @khamisi_SHILINGI Před rokem +1

    Haki sikuzote haijifichi lazima iwekwe wazi ukisema jambo lifichwe asitiriwe kwani hamjui Asattaaru Albaatin kwani ndivyo walivyo wanaafiq nahawapatikani ispokua ndani ya uwisilaam hizo ni dalili za qiyama watu wanashindwa kutatua tatizo kwasababu wao wenyewe wanamatatizo namaradhi ktk nyoyo zao na Allaàh huwaonezea maradhi sijui watajitibu ktk hospital gani kama hawakuridi kwa Allaàh kikwelikweli

  • @taurehassan7399
    @taurehassan7399 Před rokem +1

    Mengine alosema alisema kweli lazima na ww sheikh upime,kw hili la mashia Katoa maoni ingawa ypo ktk ughafilikaji kidogo lakn kuhusu araf maulid twamuunga mkono

  • @hasaniabdalah6148
    @hasaniabdalah6148 Před rokem

    Lima takuluuna ma laatafaaluna. hapa .tunazungumza tusicho kitenda oo nafsi yangu uisilam ni dini yako ya hakki ewe nafsi yangu tubia kwa mola wako.

  • @azizaaziza7996
    @azizaaziza7996 Před rokem

    Assalaam allaykum warahmatullah wabarakatu jamani mashekhe wetu Hebe kaeni chini muelewane hivo mnavo endelea waislam rutafika wapi masjdi aqswa vipi uta kombolewa wakati sisi waislam runakuwa hivi kwani hebu kaeni chini mkubaluane hizo hitlafu zipo tangu enzi za mtume mpaka tutakufa ndipo zitaisha

  • @bakarikaoneka1080
    @bakarikaoneka1080 Před rokem

    Mimi nachukia sana namna hii ya kujibishana kwenye mitandao ya kijamii. Aibu tupu. Fedheha tupu

  • @emuthree
    @emuthree Před rokem

    Kuonyana mabaya na kuelekezana mema ni sahihi, lakini labda tuangalie ni wapi hayo yafanyike. Huenda tukawa tunajikaanga sisi wenyewe

  • @karimambosanga4290
    @karimambosanga4290 Před 5 měsíci

    Zaman ilikuwa tabu kuwajuwa mashekh siku hizi kupitia media utawajuwa tu hawaulinganii uislam ila dunia yao

  • @salehally1082
    @salehally1082 Před 4 měsíci

    Acheni siasa na chuki elimisheni umma wa kiislam kwa mawaidha mazuri

  • @mohammedomar2865
    @mohammedomar2865 Před rokem +1

    Abuu idd njaa inamsumbua aliogombananao wote wamzidi elimi na kipato

  • @subiriabdulrahmani2343

    Waislamu hawa siwaelewi kwann hawapendani

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před rokem +2

    Abuu iddi anatafuta umufti

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 Před rokem

    sikuzote ukisinamia haki na sheria utachukiwa na utaonekana mbaya.hata ktk familia watoto wakifanya machafu yote.baba akiwa hajali watoto watamita baba yao mngu.ila baba akisimamia haki nidhamu maadili mema.watoto watamwita baba yao mzee mtata.leo haya tunayaona kiogozi akisimamia ukweli haki sheria anaonekana mbaya kwaku msimamo wake unazuia waoovu waiopenda haki.hivi ndivyo ilivyo.

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 Před rokem

    Sheikh Abuu Eid ni mwanadamu kama wengine kama kakosa atakua amekosea tuuu.Hiyo Hadith unayoitaja wewe mwenyewe huitumi sababu wewe unataja aibu za mwenzio.Wewe naona ni katika Mashehena tuuuu.Enyi Masheikh Mcheni Allah.Sababu wasiofahamu wapo wengi na nyie munawatatiza wengi.

  • @yasiniselemani3917
    @yasiniselemani3917 Před 9 měsíci

    Shekhe abu iddi anafundisha hataji wenzeke vibaya au mrangi wewe umeelewaje

  • @rubeniharuna1874
    @rubeniharuna1874 Před rokem

    acheni majungu kaeni mezani myajenge mnadharirika Sana

  • @bakarikaoneka1080
    @bakarikaoneka1080 Před rokem

    Igeni good practices toka kwenye dini nyingine.

  • @husseinhamza4819
    @husseinhamza4819 Před rokem +1

    Sheikh iddi anafundisha sio kutoa aibu za watu nyinyi mnaelewaje!?

  • @bakarikaoneka1080
    @bakarikaoneka1080 Před rokem

    Hivi hakuna jukwaabla mawasiliano kwa masheik wetu ila mitandao ya kijamii? Mtapuuzwa hasa na waisilamu wanaojielewa na watu wa imani nyingine. Mnatia aibu sana sana.

  • @womanofsteel1402
    @womanofsteel1402 Před rokem +1

    Tatizo la Hawa watu kila mtu Ni mjuaji

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před rokem

    Abuu idi hitilafu hazikuanza leo huna kalima nzuri huna ilimu zaidi ya kilemile

  • @user-es4tm2yv6t
    @user-es4tm2yv6t Před 6 měsíci

    Mpaka leo umekaliwa na mamuzi ya warab jitambueni

  • @mahamudhadi6781
    @mahamudhadi6781 Před rokem +2

    Kakamatwa pabaya😂😂😂 what goes around comes around

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před 3 měsíci

    Angalieni ameacha mustachi, huyu ni s sio sheikh

  • @sefoadelino6684
    @sefoadelino6684 Před rokem

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tanzaniaaaaa
    Poleni nyie, haki ya mungu.
    Mnaenda wapi? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆😆😆😊Nawasikitikia sana

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Před rokem

    Abu idy Elimu ipo hakuna shekhe anae chomoka apo ata moja Adi walimloga mdomo wa Shekhe ukapinda ila Mufti aka mwombea duwa akapona

  • @ibrahimusagondo5228
    @ibrahimusagondo5228 Před rokem

    Mnatuchanganya na nyinyi, sasa mbona na wewe unamshambulia tena wewe unatumia nguvu

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 Před rokem

    Mm nawasiwasi nahuyu shekh mbona Kama myahudi huyu

  • @user-uy4zy2it4j
    @user-uy4zy2it4j Před 6 měsíci

    Kwan hawezi sheikh wako kukosea au kua na ufahm mbovu

  • @ramadhaniramadhani3774

    😂😂Tuepuke kutoa aibu zawengine sheikh issa Endelea kutupatia daawah

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 Před rokem

    Wewe huna naswaha enda kalale na sauti mbaya.

  • @user-cy1od5xr8x
    @user-cy1od5xr8x Před 6 měsíci

    Sheikh wa pesa

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před rokem +2

    Abu idi anafuga sharubu ndevu ata moja hana

    • @nassirhamad9407
      @nassirhamad9407 Před rokem

      Hahahahahha

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před rokem

      Ndevu ndio uislamu?

    • @nassirhamad9407
      @nassirhamad9407 Před rokem

      @@ahz6907 ni alama kubwa ya kumfata mtume na mafundisho yakeeeee....ambazo haifai kwa muislm kuzikataaaa

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Před rokem

      @@ahz6907 na pia ni katika sunnah

  • @OmaryKhalfani-ko8qx
    @OmaryKhalfani-ko8qx Před 10 měsíci

    njaaa tu inakusumbua

  • @Nufaila442
    @Nufaila442 Před rokem

    Mnyamani kuna wavuta bange na wabwiya unga wengi sana ..

  • @ruwaidahamad6598
    @ruwaidahamad6598 Před rokem

    Huyu sheh ni mnafiki muoneni anavyoongea Tu mutajua

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 Před rokem

    Sheikh kilemile amekosea sana.Kubalini makosa yake wacha porojo sheikh wewe

  • @ramadhanijohoiddi2899

    SHEIKH KANYOA NDEVU

  • @khamisi_SHILINGI
    @khamisi_SHILINGI Před rokem

    Wacha wayaweke hadharani tunaweka kumbukumbu ili tuwajue vongoz watakaotufaa baadae

  • @kadizosea6250
    @kadizosea6250 Před rokem

    Ww kelele kwanza mkimbizi

  • @albassammusaalbassam7487

    Abu idd mropokaji tu hajui chochote

  • @alliyrubea5731
    @alliyrubea5731 Před rokem

    Huyu Muhammad Idd hili jina limekuwa kubwa na yy!

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 Před rokem

    Kwani kishki hashambuliwi ana nini? Yeye kishki amemshambulia masheikh wingi sana.Wacheni porojo kama kuna ukweli ongea tuuu wacha panganga wewe unaongea na ulimwengu mzima zumgumza point.

  • @grexrabon9938
    @grexrabon9938 Před rokem

    Abuu Idd hafai🥱 anajipinga hadi yeye mwenyew🤣🤣🤣 daah jamaa haishi kwa kumbukumbu kabisaaa

  • @amransendoki
    @amransendoki Před 3 měsíci

    Huyu. Hajasoma

  • @salimumbaraka272
    @salimumbaraka272 Před rokem

    .mbona hamuongelei jihad m naogopa

  • @osmanabuu7989
    @osmanabuu7989 Před rokem +1

    Huyu sheikh sijui hua anajionaga Nani sijui!

  • @popekatalango9409
    @popekatalango9409 Před rokem

    Sheikh Mohammed Issa hizo clip za Mohammed Iddy umezikata sana sijui una lengo gani Mjadala wa Sheikh Kishk na Mohammed iddy tuliziona video zao wote hawa wawili kwaukamilifu wake na tulijua nani ana hoja za mashiko, na kingine mjadala wake na sheikh kilemile pia tulizisikia pande zote mbili kwa ukamilifu tunajua nani alisema nn na nani slijibu nn,lkn kubwa zaidi hayo yote yalishapita na watu waliyaweka sawa wewe unafukua makaburi ya nini hebu tuzungumze curent issue na mtuachie nafasi ya kuchuja

  • @amransendoki
    @amransendoki Před 3 měsíci

    Somavizurihadidhihiyo

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 Před rokem

    SHEKH ABUU IDDI HAKUKATAZA KUSEMANA NA KUHOJIANA. KAKATAZA KUTISHIANA AMANI. LAKINI BINAADAMU KWA KUBADILISHA MAUDHUI NI HATARI. REJEENI TENA KASKILIZENI CLIP ZA ABUU IDDI. LABDA HUYU MUHAMMAD ISSA SIO MFAHAMU KICHWA CHAKE KIBOVU

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před rokem

      WATU WA SKUIZI WANASIKILIZA KWA USHABIKI NA SIO KWA KUFAHAMU. KWAIO ATA LISEMWE LA KWELI BASI ATATAFUTA UJANJA UJANJA. MWENYE AKILI KAMFAHAMU ABUU IDDI KAONGEA KWA UTULIVU NA KAELEWEKA

  • @swahibually8349
    @swahibually8349 Před rokem

    Wewe pimbi achana na mambo ya kielimu, alichosema Abuu Idi, ni "AIBU ZA KIMAADILI"Elewa alichoongea ABUU IDI, usipotoshe watu kwa kuwakaririsha watu uelewa wako Mbaya. Na hiyo Bakwata ya juzi siyo ya leo, kwahiyo kama Bakwata imeshakaa vizuri ni lazima Ieleweke, wewe ndio hueleweki

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 Před rokem

    Mchungaji kimaroooooo

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 Před rokem

    Mohammed Idd sio mwanachuoni hakusoma na hakuelimika

  • @hidayasaid5131
    @hidayasaid5131 Před rokem

    Wewe abuu idd kwani unabifu na sheikh kishk ? Kinyume cha mambo hujulikana jambo na kila mwenye ilm yupo aliejuu zaidi yke mimi naona kama unawachongea mashekh serikalini maana unaposema misikiti ni miswala hata jimai waweza manyia mle

  • @abuutamiimattanzaaniy8676

    Huwa najiuliza HUO UMOJA WA WAISLAM UNAOLINGANIWA MAWAHABI HAWAHUSIKI? MAWAHABI SI WAISLAM? NA WAKISEMWA VIBAYA MAWAHABI SI UVUNJIFU WA AMANI? WANAOTUKANA MASWAHABA WA MTUME WAKISEMWA, AMANI INAVUNJIKA NA MNALALAMIKIA UMOJA. ACHENI KUWAZUGA WAISLAM, WAISLAM WANA AKILI ZILIZOSALIMIKA, HAWAWEZI KUFUATA PROPAGANDA ZENU ZINAZONUKA UNAFIQI

    • @nassirhamad9407
      @nassirhamad9407 Před rokem

      Mashiaaaa wameshamwga helaaaaaa kwa baadhi ya masheikh njaaaa...Umoja gani na watu wanowatukana maswahaba matusi makubwaaa...wanawaita Aisha na Hafs makfiriiii...wanaita Abuu bakar na Umar masanamu wawili...
      MASHIA NI WATU WAOVUUUU... bali kwa matusi yaooo wanatoka katika Uislam...na Ni mashia MARAAAFIFDHWAAA

    • @abuusufian6506
      @abuusufian6506 Před rokem

      @@nassirhamad9407 swadaqta

    • @sakinaunderwood
      @sakinaunderwood Před rokem +1

      INASIKITISHA SANA,WANAFIQ,TENA WALA HAWANA HOFU YA MUNGU.JAMANI MKIWA MNAHITAJI KITU WALA USIOMBE DUA KWA MASHEHE.FUNGA MWENYEWE,SALI DUA YAKO NI MORE POWERFUL KULIKO YA HAWA WANAFIQ.WATU WAACHE KWENDA KWA MASHEHE KWA DUAA.HAWA NDIO WATU WATAKUFANYIA DUAA ITAFIKA WAPI KWELI.HATA AIBU HAWANA WAMEJIGEUZA KUWA MACHAWA

    • @nassirhamad9407
      @nassirhamad9407 Před rokem +1

      @@sakinaunderwood Allah akubarik kwa kuliona hili
      Aniongoze mim na wew katika njia ya Hakki na usaw mpaka tukutane nae hali ameridhiaaa

  • @saidmilanzi3788
    @saidmilanzi3788 Před rokem

    huyu abuu idd ni mbumbumbu jambaz la kibakwata

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Před rokem

    Wewe mwisirsm acha siaasa Tanya yako wewe mwisirsm yuremkiristu mfante mwabizane hukohuko sio MPAKA mropoke mitandaoni mnatia aibu mtakwenda motoni

  • @binaisaissa
    @binaisaissa Před rokem +1

    Shekhe abuu iddy upo vzr ila kunajambo hawa mashekhe wa Saud ni shida

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před rokem +1

      Katika jitu la ovyo ni huyo Abu iddi mpumbavu wa kisufu kama masufi wengine

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před rokem +1

      Kwani mashekh wako wewe walipata elimu wapi?

    • @nassirhamad9407
      @nassirhamad9407 Před rokem

      acha TAAASUB hizoooo....

    • @nassirhamad9407
      @nassirhamad9407 Před rokem

      Katika uwnja wa elimu humo binaissa issa
      Na hata hujui masuala ya kiakidaaa nakuhisi unafuata mkumbo tuuu na kupend watu kuliko kutetea dini na maslahi ya dini

  • @rizikilukali1558
    @rizikilukali1558 Před rokem

    Shekh nilikua nakuheshimu sana wakati ukichambua qur'an na sayansi lakini baada ya kugundua ni wahabi waletaji wa fitna katika uislam heshima yako imeshuka

    • @osmaniidrisa6290
      @osmaniidrisa6290 Před rokem +1

      We mwehu kweli umkatae mtu kwa Kia Yuko kwenye haki

    • @Zainabnoor0087-ze
      @Zainabnoor0087-ze Před rokem

      Mhhh! Kwa hiyo masahaba wakitukanwa sawa🎯?!huyu riziki anajitambua ???

  • @mbaroukkhalfani9244
    @mbaroukkhalfani9244 Před rokem +1

    Sheikh idd hanatatizo

  • @shabanirashidi2218
    @shabanirashidi2218 Před 4 měsíci

    sasa ww sheikh muhammed issa nimecho kiona kwako nikutaka sisi tufate msimamo wako ila kiukweli TUTABAKI NA MUFTI WA TANZANIA TUU BASI

  • @saidburuji9984
    @saidburuji9984 Před rokem +1

    Maalim saimu jitafakar sana ikiwa sheikh amemfanyia mwenzake kitu mbaya halafu na wewe ukasambaza ubaya huo huoni kwamba na wewe unatangaza mabaya

  • @user-jr7fg6rc1q
    @user-jr7fg6rc1q Před 3 měsíci

    mook

  • @mdoekibai5063
    @mdoekibai5063 Před rokem

    wee humuwezi abuu IDD ngoja atakurekebisha mjinga ww

    • @Gamba177
      @Gamba177 Před rokem +1

      Wewe fala nenda kafuwe Boksa za Abuu Idi Ubwabwa.

    • @mdoekibai5063
      @mdoekibai5063 Před rokem

      @@Gamba177 sawa na unafua chupi za nani vile? Ebu kuwa mkweli

    • @jumakambunga1882
      @jumakambunga1882 Před rokem

      Kila penye wajuzi Kuna wanaojua zaidi

  • @stationerykinondoni7241

    Kwamba misikiti ambayo ipo vituo vya mafuta sio misikiti 🤔🤔🤔jinga sana hili sheikh kwani msikiti ni majengo?

    • @shaushishaushi
      @shaushishaushi Před rokem

      Jua kutofautisha kati yamswala na msikiti 👂👂👂

    • @stationerykinondoni7241
      @stationerykinondoni7241 Před rokem

      @@shaushishaushi nipe tofauti

    • @shaushishaushi
      @shaushishaushi Před rokem

      @@stationerykinondoni7241 halafu huwa mnapatwa namatatizo katika maisha bila kujua chanzo chake kwavitu vidogo dogo kama hivi kwanini utukane kisa tu kaongea tofauti na unavofahamu wewe hiyo siovizuri kwenye mambo yadini ni kutoa hoja yakielimu tu nawala siomatusi

    • @shaushishaushi
      @shaushishaushi Před rokem

      @@stationerykinondoni7241 muswala nisehem iliotengwa kwaajili yakuswalia swala zavipindi tu bila ijumaa na mwenye sehem hiyo anaweza kupabadilisha muda wowote kuweka maduka nalawa hatokuwa nadhambi lakini musikiti nijengo lililojengwa kwaajili yakuswalia swala zote pamoja na ijumaa pia swala zote tano nilazima ziswaliwe humo

  • @binaisaissa
    @binaisaissa Před rokem

    Hapo wewe unataja Nini hata wewe jitafakari

  • @user-uy4zy2it4j
    @user-uy4zy2it4j Před 6 měsíci

    Kwan hawezi sheikh wako kukosea au kua na ufahm mbovu

  • @amransendoki
    @amransendoki Před 3 měsíci

    Somavizurihadidhihiyo

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 Před rokem

    Mohammed Idd sio mwanachuoni hakusoma na hakuelimika

    • @answaryhussein256
      @answaryhussein256 Před rokem

      Huyo muhabi hata kusoma hadithi hajui halafu anajifanya anamkosoa Abuu iddy