MWEZI NI MMOJA TU HIZI SIO HOJA ACHENI KUPOTEZA WATU" Sheikh Mohammed Is'haka

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 03. 2024
  • #Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo

Komentáře • 235

  • @waliitmohd3322
    @waliitmohd3322 Před 4 měsíci +7

    Mpinge huyu mzee kwa hoja yako weka hoja yako sio maneno ya kashfa. Ahsante

  • @ibrahimcharlesswaleh
    @ibrahimcharlesswaleh Před 3 měsíci +2

    ALLAH ndiye mjuzi. Kikubwa tusome tuelewe. Kashfa hazina maana. Kila mmoja afuate anapoona kuna haki.

  • @abdulgwelo7150
    @abdulgwelo7150 Před 4 měsíci +3

    Baarakallaah sheikhe binafsi ningekuelewa vizuri darsahii maashallaah.

  • @MkomboziMusa
    @MkomboziMusa Před 3 měsíci

    Maashaallah ,sheikh lete vitu wataelewa2 ikiongelewa haki batwing hukumbia.

  • @user-kt1ee2qm1k
    @user-kt1ee2qm1k Před 3 měsíci +1

    Jazakallahu kheiran

  • @user-gn6ku2ui2p
    @user-gn6ku2ui2p Před 4 měsíci +2

    shekhe Allaah akulipe wataelewa tu,hii ni dini sio dili endelea kuelimisha

  • @selemaniomari5974
    @selemaniomari5974 Před 3 měsíci +1

    Waislam tujiepushe,kuita mungu,tujilazimishe kuita Allah.

  • @bagalucha
    @bagalucha Před 4 měsíci +1

    Sheikh nakubaliana na uliyoyaweka wazi na ni haki haswa ya kufuatwa,wengi ni wale wanaofuata bila ya kukusikiliza na kupinga kwa kufuata mkumbo,Sheikh endelea kuelimisha,na itafika wakati,haki itasimama,Allah akuweke na kutuelimisha.

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 Před 4 měsíci +3

    Asilimia ya wachangiaji muogopen Allah mnacoment kashfa na matusi sababu tu hamjaelimika .kwani lazima mchangie mnawatukana sana mshekhe zetu mnaharib swaum zenu .kama hamuwezi kujichunga ?

  • @moudy4realibrahim601
    @moudy4realibrahim601 Před 3 měsíci

    Allah atufanyie wepesi katika mambo haya mwezi wa Ramadan

  • @adimiddyrama8894
    @adimiddyrama8894 Před 4 měsíci +2

    sheikh unaeleweka vizuri Kwa watu wenye akili

  • @ahmedyrutumo
    @ahmedyrutumo Před 4 měsíci +3

    Nilkua nmekumiss sheikh wangu

  • @AbdallaJabal-jj1sm
    @AbdallaJabal-jj1sm Před 4 měsíci +4

    Shekh lakini hujafafanua jawabu la ibnu Abbas HADHAA AMARANA RASULULLAH S,A,W, Pili Mimi sijasikia hata siku Moja katika umri wangu Saudi Arabia kufwata mwezi wa Sham, ,,,,, kwa sababu twaona yawezekana kutoka sham na Madina usionekane,

    • @softsoftbby8013
      @softsoftbby8013 Před 4 měsíci +1

      Saudi watafuata mwezi wa sehem zingine nawo ndio wenye mitambo mikubwa yenye kuona mbali zaidi ya inchi zingine

    • @is-haqomar968
      @is-haqomar968 Před 3 měsíci +1

      Jitahidi kufuata haqi usifuate nchi

  • @user-zo9tv4vj7s
    @user-zo9tv4vj7s Před 4 měsíci +1

    Mungu akuhifadhi namabala Shekhe wetu kinyume nakuwa unafikisha haki lakini unatusaidiya sana kutuzidishiya nguvu ya kuikumbatiya haki mungu akujaliye

  • @user-fu6qu6dd4x
    @user-fu6qu6dd4x Před 4 měsíci +4

    Na Jua sun ni moja basi wakisali watu wa Makka na nyinyi Salini

    • @mbarouksaadhussein290
      @mbarouksaadhussein290 Před 4 měsíci

      Na hivyo ndivyo ilivyo
      Wakiswali tunaswali mbona. Angalia Quran tv mda wa swala then come with comparison to tanzania

    • @twahambowe440
      @twahambowe440 Před 3 měsíci +1

      Kwani tukiswali wakiswali saudia kuna ubaya gani? Kwa kuwa saudia ipo ktk uwanda huu wa dunia tuliyo sisi, na wameuona hawa tunawaamini maana ni MIONGONI MWETU.(منكم)

    • @Zainabnoor0087-ze
      @Zainabnoor0087-ze Před 3 měsíci

      Makkah (Saudi)ni katikati ya dunia aka mama wa miji ummul kuraa, dunia huzunguka Makkah Saudi ndio kitovu cha mzunguko

  • @salemaliy1963
    @salemaliy1963 Před 4 měsíci +2

    Aya za Allah zipo wazi

  • @ABUUALLY-tv8rl
    @ABUUALLY-tv8rl Před 4 měsíci +2

    Sio mwezi tu mmoja hata huja ni mojaa basi pia tuswali sote Dunia nzima wakati mmojaa ,haki Kwa dalili Lete dalili inayoonyesha kwamba mtume s.a.w alikuwa akifunga Kwa mwezi wa mataifaa

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před 4 měsíci

      Kama Wana akili hawa hii hoja wangeacha kuitumia kabisa kwani mwezi tu ndio mmoja jua sio Moja?

    • @user-jp8lf7dy5z
      @user-jp8lf7dy5z Před 4 měsíci

      Nanyie km mngelikuwa na akili ya shule tu msingeongelea jambo hili ila waislam kugonganishwa vichwa mumezoweya kwan izo tarehe mnozifata zinatofautiana cku ukiambia leo Jumamosi dunia nzima ni Jumamosi hv kwann tunaushabiki kwa chrismas huskii leo wengine kesho kwasabab dunia imeatofautiana ila akili nikitu chengine wewe km magharib imeingia saa kumi na mbili na nusu nchin kwako kwangu mm saa kumi siwez kusali ila ikifika saa hiyo nitasali ila sio kusem nisubirie kesho ni sawa na mwandamo wa mwezi wakiuona watu wa mji fulan wakakutangazia tumeuona niwajib wako ikifika magharib unaanza cku mpya ni kufunga tu kuzidiana masaa sihoja kuacha cku nzima eti wenzetu wameuona leo sie hatuja uona tuangalie kesho huu ujinga tena mkubwa mn hakuna nchi hata moja tulotofautiana kwa cku nzima iweje kwenye funga tu tutofautiane ila tukitangaziwa leo cku ya wapendanao tunakubali sote na shereh kushereekea kwann iwe hivyo tuamken jmn akili iliyosalimika haiwez kukubali ayo mambo yenu masufi

  • @user-lo1uk8dp5f
    @user-lo1uk8dp5f Před 4 měsíci +2

    Dah hoja hiii sheikh imekushinda ilmu yako alhamdulillah lakini hapa sheikh umebugi unajigonga mpaaka aibu

  • @abdullah-eq3lt
    @abdullah-eq3lt Před 4 měsíci +3

    wachenu shubha zenu mawahabi

  • @karimdaud3993
    @karimdaud3993 Před 4 měsíci +1

    Huyu shehe sio anajua lakini hata akifahamishwa hatakai haki . Ñani ubnu abbas cheo chake. Kwa muhammad s.a.w

  • @rashidimahmud8605
    @rashidimahmud8605 Před 3 měsíci

    Sheikh tunashukuru

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 Před 4 měsíci +2

    Pole sana Mzee du !!!aibu uliyojitangazia naona aibu.

    • @agrolive4027
      @agrolive4027 Před 3 měsíci

      Haya maneno si mazuri kwa muislam mwenzio, kama hukubaliani nae achana na hoja zake ukimkashifu unapata mdhambi! Mtume amesema kumtukana muislamu ni ufasiki na kumpiga ni kukufuru.

  • @kaidiSaid-ot9nl
    @kaidiSaid-ot9nl Před 4 měsíci +4

    Allah akusamehe huna aibu kusema usichokijua hata manenotu huelewi unataka kutoa fatua .hebu elezea maana ya,,hivindivo alivotuamrisha mtume je mtume aliwambiaje

    • @muktarkassim6647
      @muktarkassim6647 Před 3 měsíci

      Achana na yy anamfahanu Abdulllah bin Abass ni nani wakati wa mtume salallah Alyh wa Salaam

  • @coyancodavao4004
    @coyancodavao4004 Před 4 měsíci +4

    Uwahabi ni kuforce kila mtu afuate madhehebu yao

    • @twahambowe440
      @twahambowe440 Před 3 měsíci +2

      Sio kweli, wanatamani sunna za rasuulullahi s.a.w zifuatwe tu, si jingine.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 4 měsíci +2

    Huyu shekh kama hujamuelewa bas wewe n kıpoozoooo
    Mimi namfuatiria sana darasa zake kutoka Marekan
    Yaani anafundisha kitu unaeleewakitu kwa dalili kabsa.
    Jazakum Allahu khayran

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 Před 4 měsíci

      Wewe kwa sababu huna msingi tangu hapo awali .tafuta elipo zaidi

    • @twaibumikidadi7377
      @twaibumikidadi7377 Před 4 měsíci

      @@karimdaud3993
      Sasa nitafuyr nn mdugı yangı
      1- wapi maulidi mtume kafınfsha
      2- Shekh Wako muhamad idd katoa dalili?
      Sasa mbona hamjibu kaz ohh kasome
      Haya niniy mliosoma mbona hamjibuuu

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn Před 4 měsíci

    Duh! Jamaa haogopi kufutu mas ala subhanallah Allah akuongoe

    • @IshakKhamis-rk3op
      @IshakKhamis-rk3op Před 3 měsíci

      Wewe una elimu ya mazoea kwakuwa umezoea kufata mwezi wa tanzania na roho yako ni ya ushabiki bas hata ukipewa hadithi za mtume hutozifata. na utabaki na ujinga wako

    • @IshakKhamis-rk3op
      @IshakKhamis-rk3op Před 3 měsíci

      Wewe una elimu ya mazoea kwakuwa umezoea kufata mwezi wa tanzania na roho yako ni ya ushabiki bas hata ukipewa hadithi za mtume hutozifata. na utabaki na ujinga wako

    • @IshakKhamis-rk3op
      @IshakKhamis-rk3op Před 3 měsíci

      Wewe una elimu ya mazoea kwakuwa umezoea kufata mwezi wa tanzania na roho yako ni ya ushabiki bas hata ukipewa hadithi za mtume hutozifata. na utabaki na ujinga wako

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv8973 Před 4 měsíci +6

    Duh.. unajigonga sana

  • @user-op8cd5tg5p
    @user-op8cd5tg5p Před 4 měsíci +1

    Ama kweli we kuna kitu ulimkosea babu yetu Muhammad Ayubu yaan umekosa ufasaha ata elim yenye manufaa ss wajukuu wa sheikh twakuona galasa tupu ww Mohamed Is haka

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 Před 4 měsíci +6

    HUYU ANAGANGA NJAA TU.
    AMESHAONA MAISHA YAMEMKATAA

  • @rajabukalenzo1636
    @rajabukalenzo1636 Před 4 měsíci

    MASHEKH BWANA! MNADICUSS MWEZI UNAPOTEZA SAA ZIMA KWELI TUMEFIKA HATUA MBAYA YA KUTOJUA TATIZO.

  • @HusseinMdee
    @HusseinMdee Před 3 měsíci

    Huyu Tena ni sheikh njaa anahudhuria maulid kwetu lushoto malibwi na anatumiwa nauli na posho na anapewa nafasi na anazungumza na ni mwanafunzi wa sheikh Muhammad ayoub rahimahu llah na hakuachwa vizuri na baada ya kusemwa kwamba umeonekana kwenye maulid mwaka huu hakwenda kwahiyo huyu ni muongo na ndio ,Mana ananukuu hayo anayoyasema hayapo kichwani njaa inamsumbua Sana hata nuru yake imepotea tangu aondoke tamta njaa tu huyooo

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 Před 3 měsíci

    NAONA ANAHANGAIKA TU HUYU KIJANA. MAWAHABI WANALAZIMISHA MWEZI WA KIMATAIFA NA HOJA ZINAWAGONGA KICHWANI NA KUZIPAPATUA NA KUZIBERUZA HAWAWEZI. HAWAJUI ATA NINI WAWADANGANYE WATU

  • @abakibibi9917
    @abakibibi9917 Před 4 měsíci +1

    NIMEFUHISHWA NA MUANDAAJI WA MATANGAZO KUMUEKA SAWA MZUNGUMZAJI MAIKI YA KIFUANI STUDIO INATAKIWA UMUEKE SAWA MPAKA MZUNGUMZAJI AKAE VIPI AKIZUMGUMZA AANGALIE VIPI KAMERA SAFI SANA

  • @user-do7ui5wi3n
    @user-do7ui5wi3n Před 3 měsíci

    Hadith ipo wazi unajizonga tu shehe wangu

  • @kasimusalimu
    @kasimusalimu Před 4 měsíci +5

    Unatafsir unavyotaka sheikh wachangie khiyana

  • @binfarhan879
    @binfarhan879 Před 4 měsíci

    MAASHAA ALLAH
    KILA MTU ATAFAHAMU UNACHOSEMA IBAKIE USHABIK NA WASHABIK NDIO WATAKUAMBIA UNAJIGONGA ILA HATA YY AKIULIZWA SWALI ILO ANAJIBU IVYO.
    ALLAH AKUAFIKISHE UENDELEE KUTUPA ILMU

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 4 měsíci

      Huu wako ni ushabiki tuu huyo hana hujja anaropokwa tuu mungu awaongoze nyote wawili

  • @ilahalladba9050
    @ilahalladba9050 Před 4 měsíci

    Unajua hawa wanajivugavungatuu hawaeleweki nielimu kutokujua au nimbinu tuu ili maslahi yake yapatayo
    Kwa mwenye akili ndogo tuu hadithi y mtume Muhammad ( s a w) tuliambiwa tufunge utakapo onekana na tufungue utakapo onekana mwezi au tutimizee salasini sasa bas tutumie akili kidogo kwenye hii hadithi y mwezi tuichambuee hii aya ya mwisho kutimiza salasini
    Kwaakiliyangu mimi ikiwa soteeeee duniani tufunge kw muandamo mmoja basi hadithi hii dhaifu kwasababu hisalasini haitakua n mashiko kwasababu usipo onekana nnchi hii utaonekana nnchinyenginee kwahiyoo salasini haitakua na mashiko
    Lakini imemalizika timizeni salasini kwa akiliyangumimi imelezwahivii kwa sababu mwezi na jua ni miujiza y mwenyezi Mungu muumba mbingu n ardhi yeye ndiye aliye tugawa n kutoweka atakavyoo ktk dunia hii kwahiyoo ukiona huko mchana kule usiku ni uwezo wake jalajalali kwahiyooo haya yanayotokea ktk dunia ni utukufu wake mwenyezi Mungu c vyenginezoo

  • @zimammbaruk4231
    @zimammbaruk4231 Před 4 měsíci

    Mawahabi hawawezi kuni elewa, Hapa tunaongelea suala la MWEZI, mwezi ndo huo huo mmoja, Iwe Sunna au Fardhi, twambieni kwanini Tanzania hatuoni tukio hilo, na hamswali swalati khusuuf, na hamtutangazii kuswali, Acheni ujinga eti sio hukumu funga na kupatwa kwa jua ni tofauti, kwani nani haui hilo, Ibada zote zina ongozwa na jua na mwezi, na mnasema muandamo ni mmoja tu,

    • @user-jp8lf7dy5z
      @user-jp8lf7dy5z Před 4 měsíci

      Hawawez kukuelewa kwasababu ulielekezwa vizuri ila hujataka kuelewa na umekamatia huo uoni wako umeambiwa jua lina vituo pia linapatwa baadhi ya maeneo kutokana na tukio flan mfano kupotea njia saa flani inawezekana sana kuwa saa tatu apa kwetu jua linapatwa ila tofauti ya masaa au dakika inachangia ila hii sio hoja kuiweka kichwan kuwa kwann hatuasalii mwez ukipatwa sehem fulan wala hatutangaziwi kumbe weye ungeulizia tu kwa wanazuon linapopatw jua Pemba mm nipo dar nifanye nn ila suala la mwez lipo waz umeonekan Pemba upo Dar ufunge tu au utaulizia ufanye nn man jua sawa pemba wanasali kupatw kwa jua ila wewe upo dar jua limetoka hutembei usalie et kwa sababu pemba limepatwa hv vitu viwil tofaut sana utafel ndugu yang katika iiman tusiwe washabik sana juu ya vitu vya kiimam wewe fata njia unayohisi sahihi kwako na haina haja kumnyooshea kidole huyu au yule kwani Mtume SAW yy kapewa kufikisha tu kazi kwako ulivyomuelewa tekeleza uondoshe dhima kuliko kusema hufanyi utaona cha moto Allah atupe taufik ya kujua haki na kuachana na batil na mihemko ya iman mbovu.

  • @athumaniomari9760
    @athumaniomari9760 Před 4 měsíci +1

    maashaallah tunafaidika

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 4 měsíci

      Huyu kakosa radhi za mwalimu wake almarhum sheikh Mohammad ayub mungu amrahamu nimefuatia darasazake kamsingiza maiti mambo mingi uwongo huyuatapata tabu mpakaaombe toba kwa Mola wake kwa kumsingizia maiti

  • @IslamSufism385
    @IslamSufism385 Před 4 měsíci +1

    UNAELEZA KWA HAWAA ZAKO.. ATI IBN ABBAS R.A HAKUPATA TAARIFA YA MWEZI WA SHAAM NDIO HAWAKUFUNGA, HIYO HADITHI IKO WAZI SANA KUWA KILA MTU AFWATE MWEZI WAKE

  • @akidaomaromar5003
    @akidaomaromar5003 Před 4 měsíci +1

    Mpotoshaji unafahamu sana haiwezekani dunia kufunga kwa mwezi lkn unawafurahisha watu fulani sasa kumbuka hatuna mda mrefu tutaenda kukutana na Mungu sasa utajieleza

    • @agrolive4027
      @agrolive4027 Před 3 měsíci

      Haya maneno si mazuri kwa muislam mwenzio, kama hukubaliani nae achana na hoja zake ukimkashifu unapata mdhambi! Mtume amesema kumtukana muislamu ni ufaiki na kumpiga ni kukufuru.

  • @rashidissa5887
    @rashidissa5887 Před 4 měsíci +1

    Tusihukumu kwa madiliko ya wakati.I Ila kwa Kitabu na Sira

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 Před 4 měsíci +1

    Wewe sio mtu WA hadithi Hakuna chuo chochote duniani kina Sema hivi ila kauli yenye nguvu na ya dalili na akliyu ni kila mji na mwezi wao kutokana na matlai yao

  • @ashasalum4467
    @ashasalum4467 Před 4 měsíci

    Mwaka 2003 jordan waliona mwezi,yemeni misri na parestina
    lakini suudia hawakuchukua mwezi wa jordan wala misri wala yemen wala parestina.
    Na hata hiyo hadithi sherehe yake ni mangungwa tupu.....

  • @husseingitonga8921
    @husseingitonga8921 Před 4 měsíci

    Jazakaallah kher, sheikh sisi hapa Amerika sehemu ya nchi hi sisi ujuwa mwezi kaonekana saa tisa mchana either umeonekana Africa au uwarabuni, na sisi uwanza Ramadhani pindi mwezi unapo onekana ulimwenguni.

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 4 měsíci

      Ndugu mche mungu haki ya kumcha huu wako ni uwongo ulio wazi kabisa mwezi ukionekana Africa ama arabuni kwenu mchana utafunga saa ngapi na tayari ushakunwa chai na kula chakula cha mchana saum yenyewe inaanza affair jee utafanya nini na ramadhani ishaingiya utajizuia kula mpaka Maghreb ifike ndio ule na inhaling ushakunwa chai na kula chakula cha mchana nina taka jibu

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 Před 4 měsíci +1

    Naona masufi wamekasirika na vichwa vyao kama nyoka kifutu😂😂

  • @salimalmazrui9261
    @salimalmazrui9261 Před 3 měsíci

    Mbona ndugu yangu -Shk Muhammad I s haaq-umekuwa Sheikh mpotoshaji? Hivi unafahamu-matwa lii yaliyoko duniani?

  • @mshambawamjini2671
    @mshambawamjini2671 Před 3 měsíci +1

    Naam tusikilize ili tufaidike na Elimu za mashekh wetu na sio matusi baada ya kusikiliza sasa tumia akili zako kuchagua na sio matusi na kujeli

  • @khamisiiddi2470
    @khamisiiddi2470 Před 4 měsíci +6

    We haufai kusikikizwa njaa ndio inakusumbua tu mzee

    • @agrolive4027
      @agrolive4027 Před 3 měsíci

      Haya maneno si mazuri kwa muislam mwenzio, kama hukubaliani nae achana na hoja zake ukimkashifu unapata mdhambi! Mtume amesema kumtukana muislamu ni ufaiki na kumpiga ni kukufuru.

  • @JamesMakes-rn6kz
    @JamesMakes-rn6kz Před 4 měsíci

    ما لك حجة

  • @abduhanafi8143
    @abduhanafi8143 Před 3 měsíci

    Kaaida ya uongo hauelweki haraka mpaka ulazimisheee

  • @paul694
    @paul694 Před 4 měsíci

    Uyu sheeh mbn anajaribu kukataa ukweli kweny ukwel halafu anakataa sunna kwa sababu haiendan na hoja yake

  • @jamalishoo3802
    @jamalishoo3802 Před 4 měsíci +2

    Hao walioko magharibi nao wana magharibi yao pia mbona hawatizami magharibi yao

  • @sama-_8368
    @sama-_8368 Před 4 měsíci +3

    Unazeeka vibaya mzee wangu

  • @Abuusaad-uy5cx
    @Abuusaad-uy5cx Před 4 měsíci +1

    Ww mwenyew waongea lakini wajua haki iko wapi... subiri RADDI itakuzindua

    • @swalehmohammed8842
      @swalehmohammed8842 Před 4 měsíci

      Huyu hajibiwi..akijibiwa tutampa ajira kwa CZcamsrs.. muache atapetape kisha atamalizikia kuombea zakatul fire na maal kwa matajiri

  • @muhammedaloufy4086
    @muhammedaloufy4086 Před 4 měsíci +3

    jua jee ni mawili?

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA3211 Před 3 měsíci

    Swal tanzania ukiwa mchana inch zingine ni mchana jee kama usiku wa Tanzania ni mchana wa inchi nyine na waislam wa inchi hiyo wapo kazn je na sie wa Tanzania usku tukafanye kas kwasabab Dunia n moja juwa ni moja?

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d Před 3 měsíci

    Mzee acha uongo hadidhi ya kuraibu ni maarufu na imetumika katika vitabu vyote uje kuikataa wewe elimu yako ndogo mzee

  • @user-wl3qj2fx8u
    @user-wl3qj2fx8u Před 4 měsíci

    MWEZI NI MMOJA ILA MIANDAMI NDIO MINGI.

  • @swalehmohammed8842
    @swalehmohammed8842 Před 4 měsíci +1

    Ni nani anaemfedehesha huyu Mzee..maskini asoma kimakosa..afasiri kimakosa ...na kila ukiona camera anajisahau..huyu Mzee maskini anahangaiagwa na hawa VIJANA WA media.. HAMOO kabisa kielimu maskini...

  • @FeruziIsa-nc5vo
    @FeruziIsa-nc5vo Před 4 měsíci

    ACHA KAZI HIYO NI YA WATU. WEWE HAUELEWEKI

  • @shammusfredy4158
    @shammusfredy4158 Před 3 měsíci

    Mwezi ni mmoja tu, kwani ni nani alokwambia kua miezi ni 10 ??kinachozungumziwa ni nyakati, wacheni wehu

  • @user-jp8lf7dy5z
    @user-jp8lf7dy5z Před 4 měsíci

    Mm nilivoelewa nikwamba kumbe shida imetokea hapo uelewa tu wa kilichoongelewa na kwetu sie wapokeaji mn kuna vitu viwili apo vinahitaji akili itulie ila naiman hata hao wanocoment nilichojifundisha nikuwa wanamchukia Sheikh ila hawajamsikiliza mana maneno yake yapo wazi kabisa.

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783 Před 4 měsíci

    Unabundu mwezi ,na kuabundu jua ,na kuabundu jiwe nyeusi motoni

    • @athmanjuma5407
      @athmanjuma5407 Před 3 měsíci

      Wewe kafiri utajua vipi mambo sayari ya dunia

  • @abdallahngondae8521
    @abdallahngondae8521 Před 3 měsíci

    bado kuna shida sana kati utoaji wa taarifa hivi kwa wakati huo mwezi ulikua unatazamwa sham pekeyake? na mtume aliwafundisha nini hadi huyo sahaba akajibu hivyo, na hayo maneno aliyo sema mtume hayatoshi kuwa ni maagizo ya kuyafuata?

  • @ammaarmwinyi1120
    @ammaarmwinyi1120 Před 4 měsíci +1

    Tue na inswaf tukiongelea masala kama haaya tusiwe naushabiku

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307 Před 4 měsíci

    kwa nini amfungi mwezi ukionekana Yemen au mwezi kwenu ni Saudia tu

  • @ingodwetrust1852
    @ingodwetrust1852 Před 4 měsíci +1

    Mwez mmoja ndio uandame Saudia tu 🤣

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Před 4 měsíci

    Mawahani ni Magaidi

    • @canoksancomprehensivelearn7182
      @canoksancomprehensivelearn7182 Před 4 měsíci

      Kwa mujibu wa wamarekani na mayahudi ambao ndio wamenzisha neno hilo ugaidi ni kuwa gaidi ni yuke anayemfuata mtume S.A.W na maswahaba wake ambao bdio hao mnawaita mawahabi. Lakin hata Mandela kwa kuwa alikuwa dhidiy maslahi ya mayahud walimuingiza katka list ya magaidi kisha wakapigiwa kelele wakamtoa. Kila mwenye msimamo na uislam kwa mujibu wa mayahudi na wanafiki wanaowafuata ndiye aliitwa gaidi. Hii ni ili waue jihadi waweze kuwapangia walobakia waishi kwa mujibu wa sheria za kiyahud na kinaswara na hao watakuwa wanakubaliana nao

  • @salemaliy1963
    @salemaliy1963 Před 4 měsíci

    Acha kuipotosha hadithi ....

  • @AfyaYangu-de3ez
    @AfyaYangu-de3ez Před 3 měsíci

    Ni lini mwezi uliandama sham na haukuandama saudia halafu saudia wakaukataa?

  • @user-pu2uw2ib5y
    @user-pu2uw2ib5y Před 4 měsíci

    Kwa iyo kutokea alipokufa mtume watu wanapotea mpaka ulipodhihiri wewe ndio wameanza kuongoka? Ama kweli mawahabi (wakristo no 2) ni mtihani mkubwa

  • @binmgeni4664
    @binmgeni4664 Před 4 měsíci +1

    Ni kweli kila nchi inaweza kua na tareekh yake? Haiwezekani. Ieleweke mwezi mwandamo ndio tareekh ya kiislamu ya kuendeshea mambo yote. Tutawezaje kutekeleza hadi ikiwa kila nchi itakua na tareekh yake?

  • @sheikhhassanahmad8465
    @sheikhhassanahmad8465 Před 4 měsíci

    Mbona twajifanya wageni wa elimu ya dini kiasi hicho? Hizi qawli za kufunga na mwezi wa popote zipo kwenye vitabu vya maimamu, au imezushwa Leo?mbona mwasema apoteza watu nahali yy yuwasoma vitabu vya fiqhi za maimamu walotangulia??hamuoni ni qawli zuri bure mnamsingizia?

  • @alimaalimahmad837
    @alimaalimahmad837 Před 4 měsíci

    Abunuwasi nae bana hata jua moja pia lkn adhuhuri zapishana na laasiri na magharibi na isha 😂😂😂

  • @salemaliy1963
    @salemaliy1963 Před 4 měsíci

    Acha kuhangaika hadithi ipo wazi

  • @bouryschamata3093
    @bouryschamata3093 Před 4 měsíci

    Mwezi ukipatwa au ukishikwa kisomi inaitwa Eclipse of the Moon kuna kua kuna swala na dua sasa cc huku mwezi ukiwa umepatwa tuwapigie cm watu wa marekan ambao wao wanakua mchana tuwajulishe waswali au? Maana mwezi ni mmoja

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 Před 4 měsíci

    Huyu sheikh anafurahisha .... Nani alikwambia Mwezi Hilal ziko nyingi....? ....

  • @KhalfanSaid-wy9yg
    @KhalfanSaid-wy9yg Před 4 měsíci

    Kugawika kwetu wacha mayahudi watumie madhaifu yet Kama tungefanya kwa pamoja

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 Před 4 měsíci

    Mawahabi wanatafuta wafuasi

  • @shafikakrabi8490
    @shafikakrabi8490 Před 4 měsíci

    Namuunga mkono aliye sema mbona saudia hawafati sham

  • @mzeerajab9154
    @mzeerajab9154 Před 4 měsíci

    Ivi dini ya kiislamu utekelezaji wake unahitaji kusubiri maendeleo ya teknolojia?Na je sheria za dini yetu kulinganishwa na mpira ni sawa?

  • @AbdulNassir-jk1jf
    @AbdulNassir-jk1jf Před 4 měsíci

    Uwo mwezi mnaulazimisha kuutazama kwa darumini kweli kama mpigabodi wa nyumba 😂

  • @ismailisoloka-he4wb
    @ismailisoloka-he4wb Před 4 měsíci

    Wewe babu nimtupu kwanini imamu Muslim Kaandika Kila mji nakuona kwake

  • @user-yv2mx1vq3w
    @user-yv2mx1vq3w Před 4 měsíci

    Hao wa kimataifa ni wazushi maana sisi watu wazimaiaka ya 1960 hadi 80 hatukuwa na marumbano haya ya kiwahabi yaliyoanzia 1985. Je, Waislamu wa miaka yote Karne 14 nyuma hawakuwa na ujuzi wa dini?

    • @fundimagari5825
      @fundimagari5825 Před 3 měsíci

      Kwetu ilikuwa ni dhama za ujima...atuna radio,atuna taasisi ya kiislam ,tunapelekwa pelekwa tu

  • @muhudikasim
    @muhudikasim Před 4 měsíci

    Katika dunia hihii kuna maeneo mengine ni usiku na kwingine ni mchana je kama muandamo ni mmoja kule ambako ni mchana mwezi utakuwa. Umeonekana kwa magharibi moja ?

    • @user-zg5sg1bc9b
      @user-zg5sg1bc9b Před 3 měsíci

      Siku ina masaa mangapi!? Msijitoe ufaham kubalini maswala ya kielmu!! Mnaogopa nini kupata ukweli!?

  • @coyancodavao4004
    @coyancodavao4004 Před 4 měsíci +3

    Pumba tupu

  • @Issa-ud6sy
    @Issa-ud6sy Před 4 měsíci +2

    Sijaelewa unaongelea mwezi kivipi

  • @binty4409
    @binty4409 Před 4 měsíci

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 Před 4 měsíci

    Ktk elimu ya hadithi inasema hadithi ni maneno yaliyo egemezwa kwa mtume au kitendo au kukubali kukiri vile vile kwa swahaba vile vile kwa tabiina sasa vp abdalah ibn abasi usikubali kuwa ni hadithi sasa vp wewe unae toa fatwa hadithi ulipokea kwa nani hata maneno yako yawe ya kweli huna isnadi ya upokezi wa hadithi ikiwa maimamu wa hadithi wanafata mwezi kwa fatwa ya ibnu abas na ndio wapokezi wa hadithi halafu wewe unakaa unajadili swala Hili kweli zama za mwisho mitihani sasa kasome tirmidhiyu halafu uwone saini za maimamu wa hadithi walivyo Sema sasa vitabu vya hadithi ni vyao na ndio wapokezi na wao wamesema mwezi ni kwa matlai ya miji yao

  • @user-gn6ku2ui2p
    @user-gn6ku2ui2p Před 4 měsíci +1

    masufi wanaumia saaana

    • @user-vl8ks7ps6l
      @user-vl8ks7ps6l Před 3 měsíci

      Ungejua wanavyojihisi wakisikiliza jinsi anavyojivuruga usingesema
      Embu embu download hii video alafu uisikilize mara nyingi

  • @MohaMody-jf1zh
    @MohaMody-jf1zh Před 4 měsíci

    Kama mwezi ni mmoja America Australia zinakuwa mbele ya east Africa kwa masaa tisa tuzifuata pia

    • @user-jp8lf7dy5z
      @user-jp8lf7dy5z Před 4 měsíci

      Kaka kama wameuona wewe hujauona na wamekutangazia niwajib wako kufunga ila kuna watu wanasali sala za hofu na weye husali sala za safar pia mpk naweye ukabiliane na hizo hali sasa angalia yalio mbele yako usimuangalie mwenye dharura mana yeye atachukuliw na dharura zake wao Amerik na Australia wanaudhuru wao naunakubalika kisheria dini sio ngumu tunaitia ugumu wenyewe

  • @jamalishoo3802
    @jamalishoo3802 Před 4 měsíci +2

    Njaa inaongea jamani

  • @RidhwanMohd
    @RidhwanMohd Před 4 měsíci

    Wacha tuseme kajitahid lakini hajapatis...usimtukane..... 😅

  • @shafikakrabi8490
    @shafikakrabi8490 Před 4 měsíci

    Shekh Bin Baz kashatowa mara nyingi kila nchi wafuate kuona mwezi kao. Lakini wapotoshaji hawasomi fatwa za maulamaa

  • @moshiathumani7040
    @moshiathumani7040 Před 4 měsíci

    Hivi tunavoburuzwa na hoja za maendeleo ya sayansi na Teknolojia je haitafika nyakati tukasema ikiadhiniwa Saudia basi dunia nzima tunaswali? Kwasababu dunia ni moja,jua ni moja na mwezi ni mmoja

    • @twahambowe440
      @twahambowe440 Před 3 měsíci

      Haliwezekani hilo,maana kuchomoka kwa jua na kuzama kwake kunatofautiana.

    • @user-zg5sg1bc9b
      @user-zg5sg1bc9b Před 3 měsíci

      Sivyo!! Laa hasha!! Muda duniani katika nchi zoote ambayo tunapishana masaa mengi sana ni America na tuapishana takriban masaa 7 tu. Sasa huo mpishano wa siku nzima mnaupata wapi!!? Hii inapelekea kusoma kwamba hata somo la geography tulikimbia darasa.dhuhri inasaliwa saa 7 sehemu fulani na sehem nyingine saa 6.5 ..hata kufungua tunapisha hivyohivyo! Lakini hakuna popote wanafuturu leo wengine wakafuturu kesho ili wawe sawa na wenzao!!tunafeli wapi!!?

  • @user-sn9nm1wu9j
    @user-sn9nm1wu9j Před 4 měsíci

    kwani kama ukufata saudia uislamu unaaslika nanini aukifata saudia uislamu unanufaika nanini ache hoja ambazo azina faida kila mtu asimamie maadili ktk kundi lake lioneshe maendeleo ktk uislamu tuimize kutuza mayatima kama kweli nyie mnataka kweli radhwi kwa Allah sio mwezi au basi ondoeni ufsuka saidieni mayatima tumechoka na habali ambayo ainafaida wala asara kukifunga 29 sawa 30 sawa tatizo nini ebu tafuteni jambo litakalo upingania uislamu hivi amjui kama dunia inarazinisha ndoa ya jinsia moja ebo jitokezeni kwenye midia nyie viongozi gani waoga mnajua mwezi hakuna atakae wagusa wanajua aiwaasili simameni mseme tunataka kujiongoza kiislamu sisi waislamu tuwetubatumia hukumuza kiislamu kwa waislamu mbona amsemi mnashindwa kuutetea uislam nyie mwezi muandamo mwezi wakimataifa acheni upuuzzi kila mtu afunge kwa imani yake maana mtu akifa ataulizwa ulifata mwezi wawapi

  • @user-yp4ie8yr1q
    @user-yp4ie8yr1q Před 4 měsíci +2

    Mzee wetu ww ilmu huna sio mwana elmu pumzika hunaradhi zamashekh zako

    • @Abuu-lr5bz
      @Abuu-lr5bz Před 4 měsíci

      Radhi gani hizo unazozizungumzia wewe tatizo umelelewa katika kuwaabudu watu hakuna mwenye radhi isipokua ni Allah pekeake ndio anatoa radhi hata kama utawakhalifu wazazi wako Allah anaweza kukuridhia sasa huyo masheikh wako walivyokua wachafuzi wa dini wazushi sasa ukiwakhalifu ndio ukose radhi . Radhi niza Allah sio viumbe

  • @jamalishoo3802
    @jamalishoo3802 Před 4 měsíci

    Ukisikia jaahil murakkabu ndio huyu mzee

  • @user-sz8sx8pn7v
    @user-sz8sx8pn7v Před 3 měsíci

    Mashekh mbona mwatuchanganya kwakweli pinganeni kwa yote lakini kuhusu mwezi ALLAH amesema waziwazi katika Qur'aan fungeni mukiuona mwezi na kama hamukuuona kamilisheni 30 hapo pia Kuna ilimu jameni hata sisi ambao hatukusoma twaona Qur'aan ya Sema mchana kweupe