PART 1: HAKUNA MWEZI WA KIMATAIFA, VIONGOZI WA SAUDIA WAMETHIBITISHA HILO - SHEIKH ABUU IDD

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • HAKUNA MWEZI WA KIMATAIFA, VIONGOZI WA SAUDIA WAMETHIBITISHA HILO, NA MASHEKHE ZAO - SHEIKH ABUU IDD
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com...
    CZcams: / @babdeomiladu

Komentáře • 248

  • @yasiinmtiniko3050
    @yasiinmtiniko3050 Před 5 měsíci +18

    Yaani Sio Bure Hawa Wanaotukana Wametumwa..!! Lkn Ni Akili Iliochanganyika Na Mavi Pekee Ndio Utashindwa Kuelewa Kinachozungumzwa..!! Lkn Ust Muhammad Mungu Akulipe Kila La Kher kwa Nia Yako Ya Kutaka Kuwaeleza Watu Uhalisia, Usivunjike Moyo Naamini Wengi Wetu Tunafaidika Vya Kutosha, Endelea Kutupa Madini Dr.

    • @hakambashe8421
      @hakambashe8421 Před 5 měsíci +1

      Hili lenyewe Tusi

    • @mohamednoordin3830
      @mohamednoordin3830 Před 5 měsíci

      Be. Be back by then but v

    • @fatmasherallysherally537
      @fatmasherallysherally537 Před 5 měsíci

      Be educated. Mavi ni akili zenu zinazokataa fatwa za maulamaa. Someni jamaani

    • @hakambashe8421
      @hakambashe8421 Před 5 měsíci

      @@fatmasherallysherally537 Hizi ndio Qauli za Daaw?!?!

    • @nevermind4789
      @nevermind4789 Před 5 měsíci

      kwa asiesoma shule ndio atamuelewa lakin kwa aliesoma jografia hii inatekelezeka na hoja za upande huu hazina mashiko

  • @rajabuathumani5775
    @rajabuathumani5775 Před 5 měsíci +1

    ALLAH AWALAANI WAPOTOSHAJI WOTE NA AWABEBESHE DHAMBI ZA WALE WANAO WAPOTOSHA.AAMIIN

  • @ramadhanimohammedmohammed1415
    @ramadhanimohammedmohammed1415 Před 5 měsíci +7

    Tunatumaifaida nshallah.shukran sheghe

  • @mdoekibai3991
    @mdoekibai3991 Před 5 měsíci +6

    hawa mawahibi dawayao nikuwaandama kamahivi mpaka watafute pakukimbilia na hawatapata kwakuwa hawapo p1 na Allah anza wajanla shekh mm nakuombea sana kwa Allah inshallah akulinde na akupe umri mrefu ili uzidi kutupaelim inshallah

  • @boisalym9935
    @boisalym9935 Před 5 měsíci +4

    Sheikh nimestafid Wallah ❤❤❤Allah akuweke

  • @user-hg8wl3xj2f
    @user-hg8wl3xj2f Před 5 měsíci +5

    Mashaallah allah akubarik fundi wa mafundi Tanzania

  • @abubakarbakari7042
    @abubakarbakari7042 Před 5 měsíci +2

    Masha Allah sheikh shukran kwa kutuelimisha kwa mengi mazuri

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv8973 Před 4 měsíci

    Allah akulipe Mwlm

  • @akidaomaromar5003
    @akidaomaromar5003 Před 5 měsíci +3

    Hii umewamaliza mawahabi hakuna hata mmoja atakaejibu inshaalah Mungu akuzidishie kher

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před 5 měsíci

      Labda waje kuzunguka tu hawana majibu mawahabi

  • @adamkilembwe.
    @adamkilembwe. Před 5 měsíci +2

    Mashaallah sheikh mungu akulinde na mahaasid

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
    @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh Před 5 měsíci +3

    Shukran sanaa sheikh

  • @user-wv3ko2mo6f
    @user-wv3ko2mo6f Před 5 měsíci +1

    الشيخ محمد عيد حفظك الله ورعاك

  • @SleyumSalim-pq9pr
    @SleyumSalim-pq9pr Před 5 měsíci +2

    Kwahio mwezi ukionekana dar,wa morogoro asifunge asubiri mwezi wa morogoro,mwezi ukionekana dodoma wa tabora asifunge asubiri mwezi wake,kila kitongoji na mwezi wake

  • @nasirirashidi4350
    @nasirirashidi4350 Před 5 měsíci +2

    Huyu sheikh hoja zake nizamsingi sana lkn watu wanamchukia Bure.

    • @aminimushi6945
      @aminimushi6945 Před 5 měsíci

      Hata wakimchukia,ukweli uko palepale,Allah akusimamie,pamoja na sisi akusimamie pia.

  • @AdmiringCorgi-rg5tj
    @AdmiringCorgi-rg5tj Před 5 měsíci +4

    Ushabiki katika Dini ya Allah haukubaliki jamani tuwe makini sana.

  • @sama-_8368
    @sama-_8368 Před 5 měsíci +5

    Nisipo koment ni uchoyo wa kulipa fadhira
    ki ukweli Sheikh unanitoa gizani sana kwa Idhini ya Allah
    nimekuwa nikifuatilia kila post yako kuhusu hitilafu za miandamo nimeshiba na hoja zako ki ukweli ZINAINGIA AKILINI.
    Mwezi wa kimataifa HAUWEZEKANI.

  • @hassansau7710
    @hassansau7710 Před 5 měsíci +2

    Allah akulipe kila la kheri inshaallah

  • @bashirually5726
    @bashirually5726 Před 5 měsíci +2

    Hawa mashekh watwarika wana ilmu yahakika na ninilichogundua tofauti yao na mawahad 'NI FAHAFAMU'mawa rizki fahamu wameikosa labda pengne nivibur au vp lakn kwahaki kama haki hawa mashekh wakitwarika m/mungu amewaruzuk ufahamu wajuu sana

  • @MkindiRama-lp6hy
    @MkindiRama-lp6hy Před 5 měsíci +3

    Maashaalah sheikh mbona muda wa swala hawaangalii saudia au amerka wakasaliwakiwa huku dini imetekwa na wasiojua

    • @abdallahsuwed65
      @abdallahsuwed65 Před 5 měsíci

      Uwe na Akili.kwanza sisi hatufati Saudia.na pili Sala inategemea nyakati za Jua na Ramadhani inafuat Muandamo wa Mwezi

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 5 měsíci +1

      ​@@abdallahsuwed65waongo nyinyi.mnafata saudia.kwahiyo mwezi ndiyo mmoja lkn majua ndiyo mengi? Yani wewe wahabi umechanganyikiwa kweli

    • @topfreelancer5151
      @topfreelancer5151 Před 5 měsíci

      Mwezi mmoja jua ni moja. Swala inazingatia jua lilipo (mwanzo, katikati na mwishoni), funga inazingatia kuandama Kwa mwezi basi​@@abiabi9353

    • @OfficialMutrah
      @OfficialMutrah Před 5 měsíci

      ​@abiabi9353 kweli kaka mbona ukitangulia kuandama/kuonekana nchini Yemen 🇾🇪 hawaufati bali iwe Saudi 🇸🇦 tuu

    • @omarteethomar1533
      @omarteethomar1533 Před 5 měsíci

      Hapa Tanzania tu muda wa Sala tunapishana kwa Mikoa. Pia Kufutari tunapishana muda kimikoa. Hivyo hizo zako ni sababu dhaifu sana

  • @user-lt1tk8vc4d
    @user-lt1tk8vc4d Před 5 měsíci +1

    Nashukuru sheh ñimeķuekuelewa

  • @kdrama_lovers406
    @kdrama_lovers406 Před 5 měsíci

    Waislamu tutafteni elimu sana tena tusomeni wenyewe sana, tuache kwenda kwa mihemko ya kufuata kundi fulani. Allah atuongoze

  • @fatmasherallysherally537
    @fatmasherallysherally537 Před 5 měsíci +1

    Unaongea utumbo shehe, fatwa za maulamaa zipo tatu zinakubalika :- wanaofata nchi yao wako sawa, wanaofata mwezi muandamo wa nchi jirani wako sawa, na wanaokubali mwezi wa kimataifa wako sawa. Be educated....

  • @bakariyusuph-uf7nc
    @bakariyusuph-uf7nc Před 5 měsíci +3

    Kama tofauti zipo za kielimu na wote tunahitaji radhi za allah kikubwa tuheshimiane wewe ukiona jambo halikufai basi wape nafasi linaowafaa waombee duwa

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo Před 5 měsíci

    Hakuna mwezi wa Kimataifa kuna mwezi wa kikanda na kikabila😂😂😂😂😂

  • @aballhalim6403
    @aballhalim6403 Před 5 měsíci

    Shekhe elimu yake imezidi wanazuoni wote duniani, maana hizo fatua zipo na zimetolewa na wanawazuoni, wapo waliowafiki kuufuata mwezi wa kimataifa kwa hoja zake na wapo wanaosema ufuate kulingana na masafa! Shekhe yeye anasema mwezi wa kimataifa haupo asaa😅 Asome kwanza ndio aje na vitabu vyake vile anavitaka yeye tu

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv8973 Před 5 měsíci

    ALLAH AKULIPE SHEKH

  • @sulebeka7202
    @sulebeka7202 Před 5 měsíci +2

    Nanyinyi munaotuma comment kwamaneno yakutukana mwamaanisha hamjasoma somo la adabu ,,ndio maana hamfaham mukiambiwa ttzo adabu hamna,,dini inataka iheshimiwe na mtu awe na adabu ,,au ndio wahabi walosomeshwa bila yakusomeshwa adabu

  • @omarteethomar1533
    @omarteethomar1533 Před 5 měsíci

    Nafikiri huyu Sheikh aache tu watu na Imani zao. Asilazimishe mitizamo. Suala la Mwezi ni sayansi ya elimu kubwa na ni kitu ambacho sheikh hana ilimu nacho. Kuegemea Khadithi na mitizamo ni Udhaifu wa Elimu. Huyu Sheikh anahitaji Darasa ya Geography ya Mwezi kwanza kabla ya kuhubiri hubiri huku

    • @mattarjaiskel4625
      @mattarjaiskel4625 Před 5 měsíci

      Angalia hiyo hadithi ya kisa cha kuraibu ni sahihi na aliyelipinga hilo suala kwenye hiyo hadithi ni Ibn abbas. Angalia hilo kwanaza. Swahaba ambae amejifunza mengi kutoka kwa Mtume S.A.W

    • @mattarjaiskel4625
      @mattarjaiskel4625 Před 5 měsíci

      International moon sighting is very impossible. Ina maana ukioonekana saudia hata waislamu nchini china wanatakiwa kufunga hata kama wamelala na wao wafunge maana kuna nchi zinapitana mpaka kwa siku au zaidi

  • @ramadhaninyamwelu5772
    @ramadhaninyamwelu5772 Před 5 měsíci

    😅😅😅 mnafki mkubwa weye umetumwa na makafr. Nakuchukia sana mshilikina

  • @rajabumwinyi8050
    @rajabumwinyi8050 Před 5 měsíci

    Kwani sheikh kisa cha kureibu na ibni Abbas kilimalizije?

  • @muhsinimohammad58
    @muhsinimohammad58 Před 5 měsíci

    Soma kiarabu mbona unasoma kiswahili wakati kitabu kimeandikwa lugha ya kiarabu??

  • @user-uw8pg9ju5s
    @user-uw8pg9ju5s Před 5 měsíci +1

    Sheikh mibangi hiloooooo

  • @sefuriyembe7864
    @sefuriyembe7864 Před 5 měsíci

    Wanaodai mwezi wa kimataifa, mbumbumbu wa jiografia !! Saudia wakiwa wanasali dhuhuri , kule uchina wanasali magharibi ya siku hiyo !! Wajifumze jiografia !!!

    • @SleyumSalim-pq9pr
      @SleyumSalim-pq9pr Před 5 měsíci

      Tabora na mwezi wao,mwanza na mwezi wao,kigoma na mwezi wao

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 5 měsíci +2

    Muongo devu
    Mbona leo wanawake wote duniani wamesherekea siku yao
    Iweje kwenye mwezi isiwezekane

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 Před 5 měsíci

      Mwezi ni mmoja Sawa lakini tofauti ni kanda au mabala, Mwezi ukiandama Tanzania jioni maeneo mengine ni ni usiku, wengine ndo kwanza asubui na wengine wako mchana, Sasa hapo hamwezi kufunga Siku moja na kufungua Siku moja, Pia kuna nchi tuna pishana zaidi ya saa 24,Funga ni nchi kwa nchi au kanda moja, Kulingana na mwandamo au kutimiza masiku thelathini. Hatuwezi kufunga kwa mwezi kuonekana Saudi Arabia Kama ambavyo na wao hawawezi kufunga kufuata mwandamo wa mwezi wa Tanzania.

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 Před 5 měsíci

      Unachokizungumza unaweza kuona kama kina mantiki hvi lkin kifuatie vizuri ndo ujue,taraehe ya kiarabu sio ya kizungu

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 5 měsíci

      Acha matusi siku ya wanawake imewekwa na nani kama si wazungu

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 5 měsíci

      Ndiyo wamesherekea lkn kila mtu alisherekea kwa mda wa nchi yake. Sasa hoja yako nini wewe jahili wakiwahabi

    • @user-kf9yz6jp8r
      @user-kf9yz6jp8r Před 5 měsíci

      Ivi wewe unamini Dunia mzima wamesherekea kwa muda mmoja ndenda kwenye wolrd time angalia vyema utaona iko unacho kisema ni chakweli

  • @muhsinimohammad58
    @muhsinimohammad58 Před 5 měsíci

    Mbona ata siku moja huongelie ushirikina??

  • @kitosio
    @kitosio Před 5 měsíci

    Kuuona sio lazima, kuonekanwa ndio lazima. Kuna Nchi nyingi kama Uingereza, Russia na nyingiiiiii hawauoni mwezi. Jee wasifunge.

  • @mwalimjecha6893
    @mwalimjecha6893 Před 5 měsíci

    Sawasawa wa kimataifa haupo na hautakuwepo

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 Před 5 měsíci

    Shekh hawa jamaa ni viziwi namabubu

  • @user-xb5jm6of7n
    @user-xb5jm6of7n Před 5 měsíci +1

    Kumbe mwezi waendeshwa na teknlojia,,hili ni jambo la din dunia iko kiganjani,ndo dalili ya mwezi,jamani mngenyamaza tu

  • @kitosio
    @kitosio Před 5 měsíci

    Mbona mwezi wa kimataifa umo ndani ya vitabu vya zamani. Sh.mohd Iddi mbona waliokuzidi kielimi hata Mufti hajakataa. Jee wewe unamzidi Kielimu

  • @mustaphaabbas2545
    @mustaphaabbas2545 Před 4 měsíci

    Vitabu vingi nyuma alafu kusoma ibara za kiarabu zinakutia mashaka..

  • @user-ec8rf2bp3b
    @user-ec8rf2bp3b Před 5 měsíci

    Mbona bado tuna mambo meeengi sana ya kujadili ili kuupeleka uislam wetu mbele hili la mwezi lilishaeleweka kila mtu afuate mtazamo anaoona unamashiko

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo Před 5 měsíci

    Tena nimesahau tu kuna na wa kidigo na kisambaa

  • @kitosio
    @kitosio Před 5 měsíci +1

    Ufahamu WA mwezi wa Kimataifa sio hivo ulivofahamu wewe. Lazima hiyo nchi iwe na dola ya kiislamu na zaidi mlingane Geografia ya macheo na mawio. Cause mweni NI mmoja haiwezekani nchi na nchi kupishana masaa 24. Na hapa Swaumu ya Arafa itakuwa moja na Laitulkadr NI siku moja. Kama Lailatul kadri inatoka mwezi 27 basi sio ya Tz Bali NI ya Waarabu.

  • @user-uw8pg9ju5s
    @user-uw8pg9ju5s Před 5 měsíci +1

    Bangi kichwani

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 5 měsíci

      Acha matusi wewe ni muislamu kama huna hojja basi ni Bora unyamaze

  • @SirlemNasir
    @SirlemNasir Před 5 měsíci

    HAKUNA ANASEMA.. MWEZI UKIAMDAMA USIKU WA WA SIKU, BASI DUNIA NZIMA.WATAANZA KUFUMGA MCHACHA WA WAKE WA KUANDAMA MWEZI HUO. SABABU YA TOFAUTI YA MASAA.ATAKAE JAALIWA KUUPATA MCHANA WA MUANDAMO WA MWEZI .. AFUNGE.. SABABU MWEZI UMEONEKANA KWA SABABU NDIO SHERIA YA QUR’AN NA HADITH

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před 5 měsíci

      Kwani mwezi unapopatwa wanaswali wote au wanaswali wale ambao kwao mwezi umepatwa ? Lazma tufaham sababu ya kufunga ni kufunga kwa kuona mwez ninyi munsofunga Tanzania kwa kufuata kuona kwa nchi nyingine munfunga kwasabab ipi na kwann munaowafuata mwez ukionekana sehemu nyengine hawafungi na kwanin kila siku mwezi ni taarifa tu wakati kuhtubutu kwa mwezi nikuuona na kupewa taarifa hii njia ya pili ya kuuona mutauona lini

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Před 5 měsíci +1

    Abu Idd hujui kitu unaropoka tu

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 5 měsíci

      Muhammad khatib abuu idd hana ajualo kama unavyodai wewe basi nakuomba nieleweshe nami min ihsanak

  • @jumaciza461
    @jumaciza461 Před 5 měsíci

    Mmeshindwa kumpiga vita Hamza issa yupo anapotosha ummah mnaikalia kukosoana mitandaoni hm

  • @muhsinimohammad58
    @muhsinimohammad58 Před 5 měsíci

    Kama unataka tukusikilize mjibu shekh qaasim maswali yake.

  • @SirlemNasir
    @SirlemNasir Před 5 měsíci

    Hakuna new year ama Christmas ama labor day ama good Friday, zinakua siku mbili tofauti... kwann kufunga na kuswali Eid, zinakua siku mbili tofauti...????

    • @boisalym9935
      @boisalym9935 Před 5 měsíci

      😂Umeon shida yenu una fananisha ibad za uislamu na sikuku za manaswala 😅wahabi mnashida saana

    • @makenaOG
      @makenaOG Před 5 měsíci

      Ukiwa mwelewa utaelewa lakini ukitaka ushindani hautaelewa 1" idd zinatofautiana sababu ya mwezi kuonekana au kutoonekana vilevile Ramadan lakini hizo sikukuu za new year , Xmas na nyenginezo zinafata calendar

    • @issamuhammedi
      @issamuhammedi Před 5 měsíci

      Iyo new year yao pia kuna nchi zinatangulia

    • @kdrama_lovers406
      @kdrama_lovers406 Před 5 měsíci

      kinachoniumiza zaidi hata kipindi cha mfungo tatu, arafa tunafunga siku tofauti, Wallah naumia 😢.

  • @MirathiYaMitume
    @MirathiYaMitume Před 5 měsíci

    MISAADA YA TENDE NA FUTARI YA SAUDI ARABIA KWA BAKWATA NA MATAASISI MENGINE
    czcams.com/video/xHhnd5GEq9w/video.html

  • @abusalmadangaadam708
    @abusalmadangaadam708 Před 5 měsíci

    Kumbe huyu bado ujinga umemjaa ama kweli njaa ftina

  • @mohamedbmwandwi8521
    @mohamedbmwandwi8521 Před 5 měsíci +1

    Mbona kunawananch wa suodia wap apatanzania mbona wao hawajafunga Leo wanasema atuwez kufunga kwasababu sisi atpo soudia tutafunga kutkana tutapo uona apa tanzania

    • @SleyumSalim-pq9pr
      @SleyumSalim-pq9pr Před 5 měsíci

      Na alie tabora asifunge asubiri mwezi wa tabora😅😅😅

  • @mahadhikawia3610
    @mahadhikawia3610 Před 5 měsíci +1

    Leo unapigania Swaumu na Utaifa ,lakini mwaka 2021 hoja yako ilikuwa ' matwali'a '

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 5 měsíci

      Wewe ni wahabi hata akija jibril kukufundisha huwezi kuelewa

    • @topfreelancer5151
      @topfreelancer5151 Před 5 měsíci

      ​@@abiabi9353wewe ni Allah Mpka useme hivyo?

    • @koxworldwide
      @koxworldwide Před 5 měsíci

      Janja janja tuu

  • @user-zr2pn5uv8b
    @user-zr2pn5uv8b Před 5 měsíci

    tulisha wasikiliza ww na Abul Fadhil hoja zenu kwenye ule mjadala na Alhamdulillah nilikuona udhaifu wako bado unatakiwa kubalansi maneno ya ulamaa na kuondoa utaasub

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 Před 5 měsíci

      Kama ni kuhusiana na ulamaa basi waliozingatia matwaalii ni wengi zaidi je ww wamaanisha vp?

    • @user-zr2pn5uv8b
      @user-zr2pn5uv8b Před 5 měsíci

      ​@@Ahmadasshii-raazy8888wingi si hoja japokua bado hujanithibitishia hilo ila ninachofahamu nikwamba hata Maimamu watu wanne Allah awarehemu wengiwao wanaona mwezi ukiandama popote watu wote watalazimika kufunga nilichomaanisha ni huu utaratibu aliokujanao huyu sheikh kwamba mwezi wa kimataifa haupo hautekelezeki wakati ni jambo ambalo limesimamiwa na wanawazuoni na lina nguvu za hoja

    • @selengu
      @selengu Před 5 měsíci

      Kama unasema kufunga au kufungua ni mwezi kuonekana popote ila MBONA SUUDIA MNAPOFUATA ukiandama Yemen Au Iran Au Iran zile nchi mujawiraat HAWAFUNGI au HAWAFUNGUI..
      Kwann sisi wa ncha huku tufaute huoni Kuna mapungufu katika hilo ​@@user-zr2pn5uv8b

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 5 měsíci

      Kassim mafuta ni jahili wakiwahabi tu wala hana hoja zozote zakielimu

  • @kassimabdillah5998
    @kassimabdillah5998 Před 5 měsíci +1

    Huna hoja wewe
    Mwezi wa kenya na uganda mumeukataa kaja mtume gani aliwaambia kwa sasa mwezi fuateni wa zanzibar tuu
    Musichanfanye watu umesharadiwa sana ila umebaki na msimamo butu waislamu wanasoma na wanaelewa utawababaisha wasiojitambua na wasio kaa katika darsa za Masheikh wanaofuata sunnah unashinda hata kushifananisha na Rasul katika ukajifananisha na Mayahudi kwa kunyoa ndevu
    Allah akuongoze

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 5 měsíci

      Mawahabi wameishiwa na hoja sasa wamekuwa watu wa mipasho tu

  • @user-it3ee7zq2y
    @user-it3ee7zq2y Před 5 měsíci +1

    Kuwa Na inswaf misimamo iliyoko Katika vitabu Ni miwili
    Kwahivyo elezea misimamo Yote Kisha utajemsimamo wako
    Na misimamo Yote wote miwili imeshikwa Na wasomi wakubalika

    • @bakariyusuph-uf7nc
      @bakariyusuph-uf7nc Před 5 měsíci

      Huyo ndio tatizo lake hata kama jambo lina ihtilaf yeye haziweki wazi zote

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 5 měsíci

      Ni kweli misimamo ilioko kwenye vitabu ni viwili lakini ule wa kwanza ambayo ni wakimataifa ulitekelezeka mwaka gani wa kislamu tangu kufaradhiwa saum mwaka wa pili wakislamu Hadi wa leo1445 nijulishe na Mimi mwenzako

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 5 měsíci

      Wewe wahabi ulikuwa umelala nini sheikh akieleza misimamo yote miwili.lkn maulamaa wamekubaliana mwezi wakimataifa hauna dalili za kisheria wala hautekelezeki

    • @user-if5ed2jk5s
      @user-if5ed2jk5s Před 5 měsíci

      Maimamu wa kiislam wote watatu wamekubaliana mwenzi unapotoka ufunge au ufunguo isipokuwa imamu shafii2 hata hili pia shekhe wetu hajui

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 5 měsíci

      @@user-if5ed2jk5s lakini nimwaka gaini hiyo Rai ilitelezeka kwa sababu maimamu hao watatu watoe Rai Kisha hiyo Rai ikawa haitekelezeki ni jambo mustahil nakama ishawahi tekelezeka basi mwaka gani ulimwengu mzima ulifunga na kufungua kwa kuonekana Japan na ukafuatwa huku si kuiti a dini uzito na mwenye ezi mungu ameifanya nyepesi na kumbuka Japan pia Kuna wakislamu nijilushe na Mimi huo mwaka min ihsanak

  • @allyomari6484
    @allyomari6484 Před 5 měsíci

    Shekh gani hata ndevu huna

  • @user-bw8ur2sj5d
    @user-bw8ur2sj5d Před 5 měsíci

    Sitakuita sheikh kwa sababu Huna tofauti na Sudais. Wacha kupotosha, mwaka mzima Huna hata fatwa moja umetoa, ila Ramadan ikifika,

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před 5 měsíci +1

      Ww mwehu hapo hapaongelewi fat wa

    • @sulaymanqasim6186
      @sulaymanqasim6186 Před 5 měsíci +2

      Kwahiyo wewe unavibali vya kuwapa ushekhe wasomi?

    • @user-bw8ur2sj5d
      @user-bw8ur2sj5d Před 5 měsíci

      Mnafikiri kuitwa sheikh ni cheo, katika uislamu, someni dini kwani elimu haina mwisho, ndio mtajua haki ipo wapi. Msiwe kama bata na watoto wake. Hata mimi nilikuwa kama wewe Allah alinijalia kusoma na kutafuta ukweli . na kuifata haki.

    • @user-bw8ur2sj5d
      @user-bw8ur2sj5d Před 5 měsíci

      @@sulaymanqasim6186 usheikh hauna maana yoyote, na wala sio cheo katika uislamu, kiongozi mwenye sifa ya kuitwa kiongozi wa waislamu anatambulika kwa kuitwa Imam, na wala sio kuitwa sheikh, hata wasio na elimu wanaweza kuitwa sheikh, SOMENI DINI MPATE KUZINDUKA.

    • @user-bw8ur2sj5d
      @user-bw8ur2sj5d Před 5 měsíci

      @@HemedSerious pole sana hata, maana ya fat wa hujui,

  • @mbarouksaadhussein290
    @mbarouksaadhussein290 Před 5 měsíci

    Mi naomba anajua anijib
    Ivi ikitokea nchi tutakua tunamatlai moja haifai kufuatana halaf Wala Maimam 3 waliezungumzia muindamo wa pooote sio kweli Mashekhe wanatudanfanya?
    Kama Imam Makilik,Imam Abuu Khanifa na Khambal sio kweli hawasema Hilo?

  • @S.SWarfa
    @S.SWarfa Před 5 měsíci

    Huna elimu ya jiografia watafute wataalam wa jografia wakuelimishe kuhusu mwezi.

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před 5 měsíci

      Wataalamu gn wanaomshinda mtume na maswahaba na maswahaba na wanachuoni ittaqillah

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před 5 měsíci

      Kwann ikaja katika Hadith sahihi Kama hamkuuona timizeni siku 30

  • @ismailmsangule1380
    @ismailmsangule1380 Před 5 měsíci +1

    Alafu Mawahabi wanadanganya watu kuwa msimamo wa wanachuoni wengi ni kufuata mwez wa kimataifa
    Sijui wametumwa????

    • @SleyumSalim-pq9pr
      @SleyumSalim-pq9pr Před 5 měsíci

      Tafuta hija yako usiende maka nenda dodoma kahiji😅

  • @saidabdus9014
    @saidabdus9014 Před 5 měsíci

    Mbona hutulii kwenye kiti

  • @rajabumwinyi8050
    @rajabumwinyi8050 Před 5 měsíci

    Sheikh acha kuropoka pekeyako itisja mdahalo ujibiwe hadharani

  • @rajabukalenzo1636
    @rajabukalenzo1636 Před 5 měsíci

    SASA VITABU VIIINGI ILI TUJUE ELIM YAKO NI KUBWA.

  • @abuusafiya2984
    @abuusafiya2984 Před 5 měsíci +1

    pia tunamkumbusha ule mjadala na abul fadhl mbona aliukimbia toka 2021 mwezi 10 hajajibu tunamsubiria asiupotezee

    • @mahadhikawia3610
      @mahadhikawia3610 Před 5 měsíci

      Na yalifafanuliwa kwa ukamilifu haya , akaingia mitini.

    • @mahadhikawia3610
      @mahadhikawia3610 Před 5 měsíci

      Na yalifafanuliwa kwa ukamilifu haya , akaingia mitini.

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 5 měsíci

      Kassim mafuta ni jahili tu wakiwahabi wala hana hoja yoyote yakielimu

    • @abuusafiya2984
      @abuusafiya2984 Před 5 měsíci

      ila shekh wako alipotea kabisa mpaka tukamsahau na hakuwa na hoja ya kumjibu abul fadhl​@@abiabi9353

    • @topfreelancer5151
      @topfreelancer5151 Před 5 měsíci

      ​@@abiabi9353matusi ya Nini sasa wewe mwenye elimu

  • @user-zr2pn5uv8b
    @user-zr2pn5uv8b Před 5 měsíci

    Wee babdeo kama unauadilifu weka ule mjadala wa abuuidd na Abul Fadhil tujue nani alipuyanga au weka zile clip za sheikh Muhammad Issa

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 5 měsíci

      Acha ushabiki wewe kasim mafuta hana hojja dhidi ya Muhammad idd nimemsikiza sana kasim mafuta kwenye mjadala arafa na hakuweza kujibu chochote ila ubabaishaji tuu kasim mafuta ni mwanafunzi kwa abuu idd

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 5 měsíci

      Huo mdahalo ulifanyika wapi.nyinyi majahili wakiwahabi wapotoshaji tu

    • @user-zr2pn5uv8b
      @user-zr2pn5uv8b Před 5 měsíci

      @@abiabi9353 wapi nimeandika mdahalo

  • @muhsinimohammad58
    @muhsinimohammad58 Před 5 měsíci

    Tumekuzoea unakimbia hoja kisha unatafuta uchochoro na kutengeneza fitnah muogope mola wako

  • @SalimAbdallah-tg1yo
    @SalimAbdallah-tg1yo Před 5 měsíci

    Swali langu mwaka 1960 soudia Arabia walivo Ona mwezi Je Tanzania wazee Wa Suna mlipata taarifa kwa njia Gani maana hakukua Na tv Wala simu ?haya tuje kwa miaka ya Sasa lini mlisikia Saudia wakifunga au kufunguwa kwa kukuona mwezi nchi nyengine?

    • @fatmasherallysherally537
      @fatmasherallysherally537 Před 5 měsíci

      Saudi Arabia hawalazimishi nchi yoyote kufuata mwezi wao weweee. Ila tunaotangulia kufunga na kufungua tuna chukua na muandamo wa nchi nyingine pia.... Soma ujue.

    • @fatmasherallysherally537
      @fatmasherallysherally537 Před 5 měsíci

      Saudi Arabia hawalazimishi nchi yoyote kufuata mwezi wao weweee. Ila tunaotangulia kufunga na kufungua tuna chukua na muandamo wa nchi nyingine pia.... Soma ujue.

  • @user-zx2yd4bl2x
    @user-zx2yd4bl2x Před 5 měsíci

    SUFI JAAHIL MURAKKAB

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 Před 5 měsíci

      Katika hili ujahili uko wapi?ama

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 5 měsíci

      Mumelemewa na hijja Sasa mumebaki na matusi hii nikawaida yenu mwenye ezi mungu awaongoze kwenye njia ya haki muifuatena muachane na taasub

    • @solomomadej
      @solomomadej Před 5 měsíci

      Nini makusudio ya kusema hivi ni kejeli au nasaha

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 5 měsíci

      Yani kila mtu mwenye akili timamu anajua hakuna watu majahili kama mawahabi. Ndiyo maana sikuhizi wameishia mipasho hawana hoja tena

    • @braqutourssafaris4672
      @braqutourssafaris4672 Před 5 měsíci +1

      Ili ujue kua Kila kitu mna iga bila Hata kujua Maana yake Haya niambie Maana jahili murakab Kuna zawad yako hapa😅😅

  • @masudbasra566
    @masudbasra566 Před 5 měsíci

    Basi upo mwenz wa mnyamani

  • @user-mt9qe9yo6s
    @user-mt9qe9yo6s Před 5 měsíci

    Msikilizeni sheh kwanz ndio mubishae

  • @abakibibi9917
    @abakibibi9917 Před 5 měsíci

    WAJUA LEO

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před 5 měsíci +1

    KWAHYO MWEZI UKIANDAMA SAUDI,,,HUKU HAUJAONEKANA WATU,,WASIFUNGE SIO?? AU???

    • @abubakarhussein2186
      @abubakarhussein2186 Před 5 měsíci +1

      Sasa hujaelewa au

    • @sama-_8368
      @sama-_8368 Před 5 měsíci

      Ndio usifunge maana hata ukiandama hapa kwetu wao kule wasipo uona hawafungi na huo ndio msimamo wa wasaudia na ndio msimamo sahihi.

    • @user-hi8le2vb7z
      @user-hi8le2vb7z Před 5 měsíci

      @@sama-_8368 NA KAMA SHAABAN IMEISHA KITAREHE NI RAMADAN,,LAKINI HAUJAONEKANA JE??

    • @sama-_8368
      @sama-_8368 Před 5 měsíci

      @@user-hi8le2vb7z Funga
      ila iyo shaabani isiwe ya kimataifa maana mwezi wa kimataifa HAUTEKELEZEKI
      kwahiyo kama Shaabani sio ya kutegemea saudia imekamilika kinachofuata ni Ramadhan
      Muhimu
      wa saudia hawafuati mwandamo wa kokote zaidi ya kuuona kwao wenyewe
      na sisi pia tusifuate kokote tuone wenyewe ndio msimamo wa sawa ndugu yangu.

    • @ShurayfuHamis
      @ShurayfuHamis Před 5 měsíci

      Kama haujaonekanaaa Tutafunga kwakukamilika masiku ya shaaban

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Před 5 měsíci

    Nyinyi ndiyo viongozi wetu .Tusipowasikiliza nyinyi tumsikilize nani?

  • @user-gq2ji2pg1i
    @user-gq2ji2pg1i Před 4 měsíci

    wewe abuu idi huweleweki kabisa Mimi naona niaze kufunga mwazo mana kilanikuku sikiliza sipati fuzo lolote kwako bali malalamikotu ndio yako

  • @r.m.a7570
    @r.m.a7570 Před 5 měsíci

    Mm nauliza kwan ss na saudia tumepshana masaa mangap na kwa nn huwa sku tuna funga pamoja na kwa nn tutafautiane siku

    • @user-kf9yz6jp8r
      @user-kf9yz6jp8r Před 5 měsíci

      Labda tujiulize swali ivi Saudia washawai kufunga kwa kuwafuata nchi za Africa mashaliki au inchi yoyote ukipata jibu niambie kwa upendo tu, pili kwani mwezi Dunia mzima lazima uwonekane Saudia miaka yote unadalili unipe, Tatu wasaudia ni wanafqi Sana mbona wao awajawai kutufuata sisi au uku akuna waislam ebu tusaidiane.

    • @user-kf9yz6jp8r
      @user-kf9yz6jp8r Před 5 měsíci

      Kama kigezo kufanana muda inamana uwislam umekuja kwetu sindio mana kunamiji mingine tumepisha zaidi ya ma23 kwa mfano kunamiji unaitwa kirimati saizi ni saa 2.dakika juma Tatu mana niambie Hao nao unawapa haki gani hapo mana wao kilasiku ndio wakwanza kufanga nakufua inamana swahum zao batri kwasababu wanapishana na Saudia au.

    • @user-ks8oy9lt7z
      @user-ks8oy9lt7z Před 5 měsíci

      Shehe ikiwa hio ndio hoja yako basi saudia na Yemen wamepakana kwa mpaka tu kama Kenya na Tanzania na hawafungi sawa sijui wajua ilo? Hio yako bado si hoja

  • @emuthree
    @emuthree Před 5 měsíci

    Katika Jiographia kuna vitu longtude ambapo nchi zinazoangukia sehemu moja ya msitari huo muda wake unalingana, kwahiyo mwezi ukionekana kwenye nchi zinaendana na mstari huo, ambapo muda wake unakuwa sawa, wanastahiki wafunge kama sehemu moja mwezi utaonekana!

  • @user-xb5jm6of7n
    @user-xb5jm6of7n Před 5 měsíci

    Halafu kumtukana sheikh pia ni sunna eeh au ndo dunia kiganjani

  • @Abdul-iv4fe
    @Abdul-iv4fe Před 5 měsíci

    Wewe Suleiman uwenaadabu

  • @user-oj8bk5xn8n
    @user-oj8bk5xn8n Před 5 měsíci

    Kapewananani kutangaza mwezi weweumesema kilamtu na mwezi wake

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 Před 5 měsíci

    Wewe unaezungumzia mambo ya siku ya sikukuu kwa wanawake dunia wewe ni mpumbavu na wewe ni malaya uwezi kukaa bila kutaja wanawake shekh anaongea vitu vya msingi na vyenye maana wewe unaleta ujinga shoga wewe

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Před 5 měsíci

    😂😂😂😂 Saudia Arabia bora ufuate Jamaica

  • @selemanishabani4749
    @selemanishabani4749 Před 5 měsíci

    Mzee unaposema mwezi wa kimataifa hautekelezek nikuulize, kwani mara ngapi dunia mzima tunafunga pamoja?

    • @user-vl8ks7ps6l
      @user-vl8ks7ps6l Před 5 měsíci

      Tutafungaje pamoja hali ya kua Kuna nchi wakati wa mchana wengine usiku

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 5 měsíci

      Mwaka gani huo nielimishe nami niufuate

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 5 měsíci

      Haijawahi wala haiwezekani watu kufunga pamoja.hizo ni ndoto zako tu zakiwahabi

  • @cosmasjoshua1973
    @cosmasjoshua1973 Před 5 měsíci

    je kuna mwezi wa kitaifa? mana mnatangaza kupitia vyombo vya habari km redio au tv kuwa mwezi umeonekana tanzania.kwanini kila mtu asifunge kulingana mkoa au wilaya au kata alipouona mwezi badala ya nchi nzima.

    • @muslihallyiddi
      @muslihallyiddi Před 5 měsíci

      Sheikh amesema masafa maalum

    • @user-kf9yz6jp8r
      @user-kf9yz6jp8r Před 5 měsíci

      Mimi nataka unipe majibu kwani uwislam umekuja Dunia mzima au kwetu tu mana napata tabu Sana hapo kwenye mwezi wa kimataifa tunafungaje kwa wakati mmoja.

    • @user-kf9yz6jp8r
      @user-kf9yz6jp8r Před 5 měsíci

      Lakini chengine mbona mwezi ukishikwa au jua likipatwa nchi nyingine kwetu kunakua na mwanga wajua au mwezi hapa nako vipi na mwezi ni moja mbona ukishikwa mwezi unashikwa sehem usikatu. Nako hapo vipi.

  • @MkomboziMusa
    @MkomboziMusa Před 4 měsíci

    Wewe utakua na hao wajinga wajanja huwapati

  • @Abuu-lr5bz
    @Abuu-lr5bz Před 5 měsíci

    Kwahiyo hakuna mwezi wa kimataifa bali kuna mwezi wa Afrika mashariki!? Huu ni ujinga usiovumilika

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 5 měsíci

      Kama mwezi wa kimataifa upo lete hijja ulianza mwaka gani wa kislamu nami nataka kujuwa ili niufuate

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 5 měsíci

      Wewe ni jahili wakiwahabi hata aje jibril akufundishe huwezi kuelewa.Hujui kama africa mashariki ni matlai moja?

  • @mussabendera1751
    @mussabendera1751 Před 5 měsíci

    Shekhe wa mwezi kaja tenaaa

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 5 měsíci

      Sheikh lazima aje tena maana nyinyi majahili wakiwahabi hamuelewi kitu

  • @abdallahsuwed65
    @abdallahsuwed65 Před 5 měsíci

    Tunafuata popote.wacha uongo

  • @alleyissaramadhan6068
    @alleyissaramadhan6068 Před 5 měsíci

    Ila kuna mwezi wa BAKWATA SIO

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 5 měsíci

      Huu wako ni ujahil nenda ukasome

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 5 měsíci

      Hiyo ni mipasho yakiwahabi tu baada yakushindwa hoja

  • @masudbasra566
    @masudbasra566 Před 5 měsíci

    Abuu wewe huko Tanga umesoma mwezi tuu

    • @abdallhabinmkasibayyat6657
      @abdallhabinmkasibayyat6657 Před 5 měsíci

      Kama kweli unavyosema basi mungu amemjaalia kiwango kikubwa cha ilimu,je kama angesoma miaka angewatengeneza mno nyinyi hahahahhaj

  • @yasinawes3451
    @yasinawes3451 Před 5 měsíci

    jamani kila mwaka Sheikh huyotu hana kazi please una wafurugu wa islami jamani huyu sheikh na yule wa Zanzibar bachu nitatizo kwa jami ya kislamu

  • @abuusafiya2984
    @abuusafiya2984 Před 5 měsíci

    mfundisheni hadithi ya kunyoa sharubu na kuachia ndevu maana anajiingiza kwenye mijadala ya kielimu wakati bado hata suna za kiwiliwili chake hazijui

    • @user-ul7jc8ll4n
      @user-ul7jc8ll4n Před 5 měsíci

      Kuna ndevu,halafu kuna mustach na kunasharubu,ameondoa ndevu na sharubu akaacha mustach,HATA ELIMU HIYO PIA HUNA?,

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 5 měsíci

      Wewe jahili wakiwahabi jibu hoja iliyo mezani kwanza.kama hamna hoja semeni

    • @abuusafiya2984
      @abuusafiya2984 Před 5 měsíci

      ​@@abiabi9353soma maneno vizuri na umpelekee hadithi shekh wako maana kanyoa ndevu kaacha mustachi

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 5 měsíci

      Jibu hojja wachakejeli kwani mtume s,a,w, amesema hakika mwenye ezi mungu hangali sura zenu Wala mali yenu lakini yuangalia nyonyo zenu na amali zenu

  • @abuusafiya2984
    @abuusafiya2984 Před 5 měsíci

    huyu ni msoma majarida hata hao bakwata wenzake hawamtaki maana ni jahil murakabu

  • @abuubakarmuhsin219
    @abuubakarmuhsin219 Před 5 měsíci +1

    Hata wewe hujielewi,mpuuzi mmoja.

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 Před 5 měsíci

      Hio ndio suna ya mtume MUHAMMAD S. A. W? Au kwenu suna ni matusi mbona mawahabi Mnapenda kutusi Badala ya kuelimisha.?

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 5 měsíci

      Hii comment yaku tu inakujulisha kuwa ni wahabi

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 5 měsíci

    Sufi lililo kubuhu iliiiii

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 Před 5 měsíci

      Jibu hoja

    • @user-su7np6sn7s
      @user-su7np6sn7s Před 5 měsíci

      Watu wengine Kweli wapotoshaji Mana utafunga vipi Kwa mwezi ulionekana Saudia au Morocco au japani
      Mi wakati Huo nipo Tanzania hapa Tanzania sijauona Wala hakuna taarifa kutoka Kwa viongozi wetu wakuu wa Dini hii ya kiislamu hapa Tanzania
      Na sio sheikh wa taasisi Fulani eti atuambie mwezi umeonekana Saudia
      Kwahiyo wasaudia wakifturu Na Mimi huku Tanzania pia nifuturu Kama wanavyofuturu Kule Saudia sio au
      Embu tumfuateni mtume wetu (Muhammad S.A.W) au ibn Abbas au imam SHAFI.
      Kwa kuuona au tufungue Kwa kuuona au tutimize thelatbini kushnei kabisa

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 5 měsíci

      Mushaanza ada yenu ya matusi ukweli una uma leteni hojja kama nyinyi ni wakweli

    • @user-su7np6sn7s
      @user-su7np6sn7s Před 5 měsíci

      Hakuna cha Sufi wala pamba nyie mawahabi Ni wapotoshaji tuu
      Nyinyi mawahabi Na ibn Abbas Nani zaidi

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 5 měsíci

      Hiyo ni mipasho tu yakiwahabi wala haimsumbui mtu.ukiona mtu anapenda mipasho ujue kashindwa hoja

  • @user-br6zz6fu5i
    @user-br6zz6fu5i Před 5 měsíci

    Huna elimu nenda kalale

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 5 měsíci +1

    Sheikh wa Mwezi 😂😂
    Nenda Hata Misra kaongeze Elimu
    Una Uchache wa Elimu ya Fiqhii wewe

    • @AdmiringCorgi-rg5tj
      @AdmiringCorgi-rg5tj Před 5 měsíci +1

      Elimu ya fikhi ipi unayokusudia wewe?

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 Před 5 měsíci

      Inaitwa معرفة أحكام الشرعية بأدلتها تفصرية
      Maarifa ya hukmu za kisheria kwa dalili Zenye kuelezea kitu kimoja kimoja
      Yaani Kila kitu na hukmu yake
      Elimu hii imetanguliwa kufundishwa na Wanachuoni Magwiji kama Wale maimamu wanne wa Madh-habi ya Ahlu sunna wal- Jamaa (Sunni )
      Akasome Fiqhii za madhehebu Zao atupambaukiwa na Mas'hala mengi mno ataacha mara Moja kuwa Sheikh wa Mwezi Muandamo

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 5 měsíci

      Hiyo ni mipasho yakiwahabi haina mantiki yoyote

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 Před 5 měsíci

      @@abiabi9353
      Katafute bwana akufanye Mbwa wa Kishia wewe

  • @user-zx2yd4bl2x
    @user-zx2yd4bl2x Před 5 měsíci

    PUMBAVU USIOJIELEWA

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 5 měsíci

      Endelea na matusi ndugu hiyo ndio dini yenu

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 5 měsíci

      Comment yako inajulisha kuwa wewe ni jahili wakiwahabi

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 5 měsíci +1

    Wee mpumbavu huna akili dunia iko kiganjani bado mnatafuta mwezi? Wee nikama punda aliebeba vitabu hawezi kusoma

    • @tanzaniaonmzamiloon8627
      @tanzaniaonmzamiloon8627 Před 5 měsíci +1

      Itakillaha ya akhi

    • @Mauya23
      @Mauya23 Před 5 měsíci

      Duh...kwa Comment hiyo hata kama una fact basi hakuna atakae kuamini, utaonekana mwehu tu...tahadhari na vidole unapo andika, kesho vitaulizwa na kutoa ushahidi...

    • @binaamour318
      @binaamour318 Před 5 měsíci

      Hivi huyu selema anajua haya matuc anayoandika atakwenda kuulizwa? Kama huna hoja y kielimu jitahid zuia ushabik wako k koment matuc utakwenda ulizwa ulicho andika kw vidole vyako c ku ya kiama muogope alwah acha ushabik!

    • @AdmiringCorgi-rg5tj
      @AdmiringCorgi-rg5tj Před 5 měsíci

      Hayo maneno unamwambia Abuu Iddi au kuna mtu mwengine unamwambia?

    • @AdmiringCorgi-rg5tj
      @AdmiringCorgi-rg5tj Před 5 měsíci

      Ushabiki katika Dini ya Allah haukubaliki