WATU HAWANA AIBU KUHAMASISHA NDOA ZA JINSIA MOJA HAYA NI MAAFA KATIKA DUNIA | SHK MSELEM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • #AdilTV #sheikhmselembinaly
    • WATU HAWANA AIBU KUHAM...

Komentáře • 47

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 Před rokem +8

    Subhannallah, Allah awashinde na awaangamize walionzisha na kueneza hayo mambo kun faya kun dua takabal yarab amiin.

    • @abassomarabass8661
      @abassomarabass8661 Před rokem +1

      Subhannallah Allah awashinde na kuwaangamiza wale wote wenye kuchangia kuendelea kwa laana hizi

    • @AbdiHussen-f7p
      @AbdiHussen-f7p Před 12 dny

      Kabisa 😭

  • @bakariawadh4838
    @bakariawadh4838 Před rokem +1

    ALLAH AKUPE UMRI MREFU SHEIKH MSELEM,KWA KWELI HUWA NAKUELEWA SANAA

  • @hassanlewa5317
    @hassanlewa5317 Před rokem +1

    Allah akubarki na akuhifadhi na akunusuru shekh pia akujazie kheri duniani na ahera

  • @shufaahamza847
    @shufaahamza847 Před rokem +3

    Subuhanallah !!!!
    Utakasifu niwako Allah twakuomba molawetu ulie mzuri na unaopenda vitendo vizuri washushe chini zaidi ya vilivyo chin wote na wotewa hamasishao wafanyao Tabia hizi chafu 😭😭😭😭😭🤭

  • @ahmedhamisi328
    @ahmedhamisi328 Před rokem +1

    Shukuran sana shekh wangu kwa kweli kabisa huu ndio ule wakati tulio ambia doh kwani watu watakikana kujichunga sana maana mwenyezi mungu akikasirika tushaumia in shaallah mwenyezi mungu awangamize

  • @twemeremunguzacharie6395

    Alhamudull'Allah ! Sheikh Nakupenda..
    Sina Mengi!

  • @hilalikaumo3470
    @hilalikaumo3470 Před rokem

    Allah akuhifadh sheikh mselem

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před rokem

    Papa yy Kasema live et mwenyez mungu anawapenda mashoga na wasagaj mtihan mkubwa

  • @ahmednadhiru3725
    @ahmednadhiru3725 Před rokem +3

    Hii darasa ni live ama

  • @AshaHassan-fl8tw
    @AshaHassan-fl8tw Před rokem

    Mashaalah kipindi kiZuri

  • @bizozmohamed9783
    @bizozmohamed9783 Před rokem

    Subhannallah Allah is one

  • @mussafoum6562
    @mussafoum6562 Před rokem

    Mashallah Mmung Akubariki

  • @sayshabani6350
    @sayshabani6350 Před rokem

    Mashallah ♡♡♡

  • @mohamedhassani4410
    @mohamedhassani4410 Před rokem +1

    Tumuegope mungu

  • @angelsulle7177
    @angelsulle7177 Před 5 měsíci

    Mlaaniwe sana kwa michoro yenu ya mnayoipenda lkn Kwa Wakatoliki mtabakia kuchora chora ninyi matahira

  • @askofkibwe6106
    @askofkibwe6106 Před rokem

    Shekhe msellem ww master

  • @ahmedhamisi328
    @ahmedhamisi328 Před rokem +1

    Kwani awa wangu ndio mashetani wa kubwa sana yani wao kila Jambo mwenyezi mungu alio kikataza wao waona kwao ni sawa tu in shaallah mwenyezi mungu awalani

    • @jawahiriaelmy
      @jawahiriaelmy Před rokem

      Sasa frimason wamekuja na mbinu mpya tuwe macho

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před 7 měsíci

    Mkubwa wao wao amebariki ndoa za jinsia moja, na bado hawaelelewi, kana kwamba wametiwa pamba ktk masikio yao

  • @daud405
    @daud405 Před rokem +1

    Ameen

  • @waziriboy9941
    @waziriboy9941 Před rokem

    Allah Akbar

  • @kamembano4119
    @kamembano4119 Před rokem +1

    Ni hatari Sana,umakini wahitajika kwa kweli.

  • @farijalakhalid5558
    @farijalakhalid5558 Před rokem +1

    Hiyo picha ya Sheikh sio ya kweli

  • @ahmednadhiru3725
    @ahmednadhiru3725 Před rokem +2

    Ni hvi sasa

  • @ahmedhamisi328
    @ahmedhamisi328 Před rokem

    Kwa kweli kabisa mambo kama aya yatakikana Kwanza raisi ndio mtu atowee sheria Kali sana mfano mzuri ni raisi wa Uganda

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před rokem

    Nidalili tosha kwa wenye akili kujua hawa watu wanaamrishana wanaume kwa wanaume waowane bado tuu hamjatambua kuwa hawa hawana dini ya haki

  • @FatmaMsemakweli-ws2jr

    Eee mwenyez mung tunusu na Hilo janga

  • @machoguhamery3731
    @machoguhamery3731 Před rokem

    Mwambieni Fatuma Karume kutetea mashoga ni kinyume cha maagizo ya Mwenyezi Mungu. Mbona anatangaza waziwazi, na ninyi Mashehe hamumwonyi hali ya kuwa ni binti yenu wa Kiislamu? Kabla ya kurukia mbali hebu tuanze na wale wanaotuzunguka, tukianzia familia zetu wenyewe.

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Před rokem +1

    Alaikum salam wabarakatu usishangae nahao mashetani wamaframason mana papa alisema eti mahanithi niwana wamungu wakati ambao kaumu luthi imelaaniwa namungu hâta ndani ya biblia mstari huo upo Léo shehi feki anabusu papa hadharani Sisi waisilamu tusindanganyike hakuna shehi ambae amesoma kuruani hafidhu l'kuruani ambao atasubuti kufanya kitende kama hile shehi feki shetani aliovaa nkanzu na kofia tu

    • @raphaelrespiciusi1127
      @raphaelrespiciusi1127 Před rokem

      Udini unakusumbua shehi na maustadhi mbona wengi wanafanya mambo ya hivyo,Cha msingi nikukemea bila kuangalia dhehebu maana hao ni binadamu tu,kukengeuka kupo

    • @marthasomi
      @marthasomi Před rokem

      Washenzi

  • @muslimayussuf
    @muslimayussuf Před rokem

    Hakika pepo imeumbiwa majini na wanadamu na moto imeumbiwa majini na wanadamu.Ushindi unatokana na Allah na hakika tutawashinda (mashoga) kwa nguvu za Allah .

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 Před rokem

    Hapa kuna mgongano wa sintofahamu ndio dunia inagawanyika ktk hili, hawa wamezaliwa nyeti 2, wapewe uhuru au wateketezwe ?

  • @koberomizambwa7446
    @koberomizambwa7446 Před rokem

    Kashfa kwa dini za wenzenu ni ushenzi. Mmezoea ugomvi.

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Před rokem +1

    AIBU YA KOFIA KUONEKANA KTK HALI HIO,KOFIA PICHA YAKE NI MSIKITINI !

  • @jifunzemengi1620
    @jifunzemengi1620 Před rokem

    Adil tv hio picha hapo ni ya kweli kama si ya kweli basi ujue na wewe unahamasisha hayo mambo

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Před rokem

    NENDENI KUMPOSA HUYO POP KWANZA

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před rokem

    Shee has explain what god creat on this world woman and men have different body structure nectur seem sexeuly ,seem creator from God is lmposible creating nectur. Structure thing done by god let leave to god cicreat between god and what god creat on this world people have to follow it what god creat

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 Před rokem

    Usiweke picha za kishenzi wa wewe ah! Mada hapo ilitosha. Karibu nitakua sifuatilii TV yako.

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Před rokem

    Hivi mkuu wa wakristo ameshakua hivo ??? basi tusishangae ikiwa watoto wetu wanaharibiwa makanisani na maskofu namapadri katika nchi zaulaa

    • @emmanuelshayo4703
      @emmanuelshayo4703 Před rokem

      Na yule ustazi mbona hujamtaja au unafikiri yanayofanya na mashekh na maustazi hatuyajui

    • @hassanlewa5317
      @hassanlewa5317 Před rokem

      Huu ni uchafu ushoga una sababisha dhiki kwa walimwengu wote na hukmu ya ushoga ni sawa na mauaji . Laana zimufikia kila mwenye kukubali kufanywa kwa kitendo cha kaumu lut.

    • @raphaelrespiciusi1127
      @raphaelrespiciusi1127 Před rokem

      Ujitambui ikiwa linaongelewa jambo kubwa la kidunia na la kutisha wewe unaleta udini,maustadhi,mashehe hata juzi mmeona askari kutokea Zanzibar mtoto wa kiislamu anafanya uchafu mmmmmmmm

    • @johnohms-jk4dt
      @johnohms-jk4dt Před rokem

      Kuna watu wanachonganisha sijui lengo lao Nini....