Nmeshindwa lala mauzauza yananijia moyo umekuwa na wasiwasi lakin kwa dua hili nmepata ata nguvu ya kuandika ujembe huu siamin na nlichokuwa nakisikia nje ya nyumba 🙏 inshaallah shekhe ulietuwekea hii dua allah azidi kukuweka utuponye waislam wote🙏
Mungu wangu wangu mwenye rehema na amani nakuomba nipe mwisho mwema mimi na familia yangu pamoja na waislamu wote wanaokuamini kuwa unaweza kusema kitu kiwe na kikawa mungu wangu nawasogeza wazazi wangu mbele zako na kuwaombea mwisho mwema 🙏 mungu ninakila sababu ya kukuabudu na kukuheshimu kwakuwa unanijua hata kabla hujaniumba Allahumma taqabali duaa 🤲 ya Allah subukhana huwataallah nilindie kazi yangu nipe amani ya ndoa yangu yarabla Allah mina niondole husida ijicho na mashetani wabaya katika maisha yangu mungu nipe mwisho mwema allahumma taqabali duaa 🤲 😭🤲
Yaarabii nijaalie subra katk maisha yangu uniepushe namaadui wanao nichukia bila sababu nipe subra katk utaftaj wangu nipe aman mm nafamilia yang kijaalie kizaz changu yaraab yadunia yakae mbl nas ujae wew ktk moy wang aaamiiiin
Nikiisikiliza hiki kisomo wallah nafarijika Sana na piya Mambo yangu yanakua mepes yaraby naomba unijaalie kheri mja wako Ni unipe mwisho mwema na unilindie wanangu huko wako uaepushie mitihan ya maisha yao na uwape hekma na busara wapendwe na Kila mtu mabaya uwaepushia mahasid wasiwaone waepushie maradhi wanangu yaraby wajaalie Wawa nahofu na wewe mola wetu ameen yaraby
Asante San kwa kuweza fungua moyo baada ya miaka takriban 5 sikuweza gusa msikiti Ila SAA 9 hii ya usiku nimeweza shika udhu na kushuhudilia apana mola apasae kuabudiwa Ila ni Allah tu na mtume Muhammad ni mjumbe wake na nimesujud na kutubia
Alihadulillah mwenyezi mungu kwa ukubwa wako kwa utukufu wako kwa hekma yako na hikma ya quran yako tukufu na kwa ukalim wako na kwa upole wako nijalie niwe mja wako mwema na nijalie kwako niwe mwenye kutenda matendo yanayo kulizisha yaah allah nijalie nijalie mwisho mwema nijalie swala5 nakuomba ewe mwenyezi mungu kwa baraka yako na baraka za mtume Muhammad s w m nijalie lidhk na lidhk ilio ya halali amina
Ewe mwenyezi Mungu kupitia dua hii naomba unifungulie riziki na pia namuombea dua binti angu Sophia kuifungua akili yake awe mwelewa darasani awe na uwezo mkubwa darasani Amiin 🙏
Alhamdulillah asanteh Allah nakuombea shekhe Allah akupe shifaa akulinde wewe na familia yako naomba azilinde na familia zetu sote atuondolee mabalaa shari majini mabaya husdaa ya Rabby naomba tuongezee nuru katika mambo yetu naomba utujaliw wepesi kwenye kila yalikua nagumu Ameen
Eeeh Allah tupe mwisho mwema turudi kwako mazima maana sisi binadamu ni viumbe dhaifu sana ufanye Wema uwe Ndani yetu na tukujue wewe ni Allah❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mwenyezi Mungu nakuomba kupitia dua hii kutoka kwenye quran yako tukufu uniodolee kila mabalaa na makafara na matatizo yote yaliyo kusudiwa ndani ya mwili wangu amin
ALLAH S.W naomba uniondolee mitihani ya dunia yote majini yote na uchawi wote uondoke kwangu na usirudi tena Allah s.w niondolee vifungo vyote vya kibina damu kuanzia sasa niwe huru kupitia dua hii nisiandamwe tena na shiriki amina
Ya Allah kwakupitia Dua Hii Ya Rukaya, Naomba uniondoleee Nuksi, Uchawi, NA Vifungo Vyogyote nilivyorumiwa na wachawiiiii MAHASIDI, NA SHAYTWAM, LAANA ZAKUTOPATA MCHUMBA NA MAFANIKIO ZIFUNGUE ALLAH kwakutumia Dua Hii Inshaaallah
Yaalah nijalie mwisho mwema yaraabi jalia kizazi changu kiwe na hofu ya Allah waapushie na matatizo ya kidunia niaondolee mawazo niweze kuishi inchi ya watu kwa amani Amina yabii
Ewe yarab nisamehe mm n wazazi wangu ewe yarrab nisamehe mm n ndungu zangu.ewe yarab nisamehe mm n kizazi changu.ewe yarab nisamehe mm n waislam wote n walio tangulia pia uwasamehe amin 🤲🤲🤲
Alhamdulillah namshukur mwenyezi mungu kwakupitia dua hii ukaniondoshee husda na mabalaa yanayo nizinguka na uniepushie mapepo mabaya yaarabi kupitia dua hii naimani utaniponya.kupitua duahii nilindiye familia yangu nipindie kizazi changu na unipe mume bora Amin 🤲🤲🤲
Eee mwenyez mungu nsa mehe makosa yangu, mpe mama yangu maisha marefu , mbariki babangu na umuondoshee ugum ndani ya kaburi, niondoshee magonjwa yote ndan ya mwili wangu,Nibarikj na unifungulie riziki zaidi Ili niweze kuwasaidia waja wako na watu wako wanaostahili, nijaze huruma na utu Ili niishi kwa kuiogopa kesho yangu mbele zako allah,nitie moyo kwa magum nayokutana nayo ,unipe familia na kizazi chema Cha kukujua ww Allah ,chakua na hofu na ww Allah, na unipe kizazi chenye Elimu na mafanikio kadrii upendezavyo ww, , pia niondoshee chuki na hasidi za binadam wabaya wanaotaka kunizuru na wanaotaka kunifanya nisiwe na furaha ..AMEEN❤
Masha Allah Alhamdulillah Shukurni Sana Kwa Quran Hii Tukufu Alhamdulillah Hakika Kwa Allah Hakuna Linalo Shindikana ali Ya Jana Tofauti Na leo Alhamdulillah 🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾
namshukuru Allah kwa kunipa nafasi hii kwa mara ya kwanza tangu nimeolewa na kubadili dini nimepata faraja kusikiliza hii dua. nimepitia misukosuko mingi namuomba Allah anijalie afya njema mimi na familia yangu anilinde dhidi ya hasadi za walimwengu atimize haja ya moyo wangu inshallah!
Mashaallah ❤ nashukru kwa kupata hiki some japo kwa mtandao lakini kimenipa imani ndani yamoyo wangu maana niko na matatizo mengi ndani ya mwili wangu kwa uwezo wa ALLAH na imani yangu kitanitibu kwa imani yangu.
Masha Allah Mungu mkubwa nilipatwa na mtihani ya kishetwani lakini baada ya kuskiliza hii ruqiya nimepata unafuu hata kazi zangu nafanya ALLAH awape shifaa wote mnausumbuliwa na maradh🤲
Allah nakuomba kupitia dua hii kazini kwangu uniepushe na wafitina na uniepushe na mabalaha bishara hiniendee vizuri na nipate mafanikio mambo yangu yaende vizuri ewe Allah kupitia dua hii basi niponye kwenye matatizo aya
Ya allh nakuomba kupitia Qur'an yak tukufu uniondolee maradhwi yanayo nisumbua mwili na unijalie niwe afy njema na unijalie niwe mwenye kuipenda Qur'an ishaallh na utujarie mwisho mwema❤ 8:57
ALLAH AKULINDE ZAIDI NA SHARI ZA WALIMWENGU SHEIKH WETU NA AKUUJAALIE KATIKA WATU WA PEPONI INASHALLAH NA MIMI NAMUOMBA ALLAH ANIONDOSHEE MARADHI HASADI MAADUI WALONIZINGUKA KOTE KWENYE MAINSHA YANGU NA FAMIRIA YANGU ALLAH ATUJAALIE UPONYAJI KUPITIA DUA HII INSHALLAH NA ATUJAALIE MWISHO MWEMA WAISLAAM WOTE ULIMWENGUNI ISHALLAH
Apana mola apasawe kwa haki isipokuwa Allah mume wangu aliumwa usiku kucha akiwa hataki hata kufunuliwa Shuka lakin baada ya kuweka dua hii inshaalah kaamka mwenyezi mungu ni mkubwa jaman
eeh mwenyezi mungu mwenye huruma telee, nihurumie mimi mkosefu mbele zako nipe moyo wa kukuabudu wewe pekee na kuachana na mambo ya dunia. Niondolee chuki na husuda za kila aina. eeeh mwenyezi mungu wajaalie makuzi mwma watoto wangu abdulrahim na alya, mjalie hekima mke wangu zulfa Ameen.
Yaa Allah nakuomba kupitia dua hii km kuna kitu chochote kibaya kimo ndani ya mwili wangu,ndani ya nyumba yangu,ndani ya familia yangu basi insha'Allah leo yote yaishe na yatoke kwa uwezo wako sw pia muondolee mama angu mzazi magonjwa yote na arudi ktk hali yake ya kawaida pia na mama mkwe wangu nifungulie millango ya risk na undoe nuksi kwenye familia yngu zidi kuwapa uelewa wanangu ktk elimu ya ekhera na dunia waepushe na majanga ya dunia ya rabilla allamina 🙏🙏
Mnsha Allah mnsha Allah yaa rabby nijaliyeee mema katika maisha yang niepushe namitihani iloja katika maisha yangu 😭😭🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏 Insha allah😭😭 niepushe na maradhi katika mwili wangu 🤲🤲🤲😭😭😭 Insha allah
YAALLH kupitia kisomo hiki Nina kuomba niondolee maradhi ya kichwa nuksi Asadi na sihiri nilizo wekewa na familia yangu Na Mwanangu nasri umuwezeshe kutambaa kwa araka kwa kudra zako yarabi subuhnna Allah muondolee matatizo sugu mke wangu swaumu m,bwana Alihamdu lilakhi
Yaaa allah yaaa allah ninakuomba mola wangu mlezi kupitia dua hii yarabi ninakuomba nikaondokewe NA kila shali kila husda kila mikos kila nuksi NA kila balaa NA nikapone kila maumivu ninayo yaskia mwilini mwangu pia nikathaminike NA kuonekana kazini kwangu maana hata nifanye jemagan sionekan sionekan lkn nasema alhamdulilah kwa rehma zako alaah yote yataisha nanitakaa sawa NA kazin nitaonekana NA kukubalika inshaallah allah qarim❤❤❤❤❤❤
Ya Allah nakuomba mungu wangu uniwekee wepes katika mazito nayopitia nijalie nipate mume mwiisilamu ya rabi bila wewe Mimi siwezi nipekipato Cha halali nirehemie wazazi wangu mabibi na wakubwa zangu na ndugu na jamaa walio tangulia mbele za haki inshallah
Namshukuru mwenyezi mungu kwa kunipa afya njema kupitia quran hii tukufu mungu baba naomba uwaondolee maradhi wazazi wangu nifanyie wepes katika utafutaji wangu husda hasid niondolee amin
Ewe Allah mwingi wa Rehma na mwenye kurehemu kwa kupiti Dua (Ruqya) hii tunakuomba ww Allah S.W na Muhhamad S.A.W ni mtume wako utuponye maradhi haya wanayotusababishia Viumbe hawa wabaya 😫 Aamin Thumaa Aamin 🤲🏽🙏🏽
Alhamdulillah Yani na Mimi Leo ndo naioa hii hapa naisikiloza jinsi ninvyojisikia Allha ndo anajua,shekhe Allha akulipe kheri,amiin,hili si jambo dogo utatutibu wengi ishaallha
Kwa uwezo Wa Allah najua mitihani ninayo ypitia kila siku in shaallah kwa uwezo Wa Allah itakwisha tu naomba unipe nguvu uvumilivu na afya njema hakuna unalo shindwa mungu wangu in shaallah 😭🙏
Namuomba mwenyezmungu kupitia duahii aniondoshee mitihani matati husuda hasad na anilindye kizazichangu na ndoa yangu na wazazi wangu na haya macho yanay nisumbua anajua mungu nakupitiya dua hii iwe tiba kwangu aamn❤
Mungu na anifanyie wepesi kwa kila jambo langu, Insha'Allah 🙏.....Nipe amani ya moyo na furaha kwa jamaa zangu.....Niondolee Husda ,mikosi na nuksi za wabaya....Allah Wakbar
Eee Allah nilinde na Hasadi za huu ulimwengu… nipe muongozo mzur wa kuku tumikia kila siku niamkapo….linda familia yangu katika mabaya Allah ….. fungua riski ndogondogo na zile kubwa kubwa katika maisha haya ulio tupatia ya mda mfupi apa duniani…. Nilinde na magonjwa yasinipate.. nijaalie mume bora wa kunipenda na haliyangu pamoja na familia yangu.. hakika Allah nijaalie mwisho mwema 🤲 inshaallah nikiomb na kwakuamini ndivyo itakavyo kuwa… Amin 🙏
Ya ALLAH kupitia dua hii naomba umuondoshee mume wangu magum anayopitia katika kazi zake utafutaji waridhki kwake umekua mgum nauponye namaradhi ya Figo na inni utuondoshee magum tunayopitia ya ALLAH nauwaponye wote ndugu zangu waislam wanaopitia magum uwaponye wazazi wangu nduguzangu watoto wangu uwape imani upendo nautulivu katika maisha yao thumma Amiin yarabby takabar duaa🙏
Mashallha kila mwenye shari na mimi yatamrejea mwenyewe kwa uwezo wa allha tulindiee na mabalaa mola wanguu tuepushe na kila ushirikina na kila bayaa amin yarrabi
Ee Mwenyezi Mungu , niondoshee dhiki ,ufakiri, na maradhi , na hasadi za viumbe wako, EWE ALLAH, Nisamehe makosa yangu , na uwarehemu wazazi wangu, na family yangu yote , Mwenyezi Mungu nifungulie Maisha yangu na ya watoto wangu na Mume wangu i 21:1121:13
Yaallah nakuomba ktk dua hii nip0ne maradhi yanayonitesa na nipate mtoto na umremu mama angu umuondoshe adhabu ya kaburi iwe shufaa kwangu na ndoa yangu amin yarabi
Mashallah mashallah alhamdu lilah ee mwenyezimungu muumba wavyote kupitia qulhan tukufu naomba uniondoshe namaradhi ya kishetwan ,uniepushe nahusda uniepushe nakila baya na unijalie mwisho mwema wa kukuabudu yarabi qarem
Yarabi naomba uniongoze katika njiya iliyonyooka isowe ya wale ulowakasirikia na unijaalie mimi pamoja na wazaza wangu na wadogo zangu na unipe moyo wa subra na uniepushe na kila asri na sheirwani la kike na la kiume amiiiiiin yarabilaala miiiiin
zkupitia dua hii Naomba Ya Allah SWT oniondoshee Maradhi Ya Nyonga, Pingili za Mgongo na tumbo na Maradhi Ya Moyo yanayoanza nisumbua Mungu Wangu Nilinde na wivu na chuki za waja niondolee wabaya katika maisha yangu niletee Mema jenga mema kwangu niongezee kila panapopungua timiza ndoto zangu na jaalia familia yangu
Mwenyezi Mungu kupitia dua hii naomba umsaidie mama yangu mzazi umuondolee maradhi yako sugu yanayomsumbua kila mara awe mzima daima , wasaidie ndugu zangu wote wawe wenye hofu na ww allah na waondolee maradhi kwenye miili yao msaidie mwanangu mfungue ufahamu wake na uelewa darasani muongoze njia sahihi nakukabidhi familia yangu yote allah na wale waliotangulie mbele yako Allah s.w wapunguzie adhabu ya kaburi amina
Ewe mwenyezi mungu nakuomba kupitia duwa hiii nipone hiii shida inayo nisumbua nakitu kilichopo katika mwili wangu kibaya kitoweke kwa uwezo wa Allah ewe mwenyezi mungu niponye mja wako 🙏
Yaallah nakuomba kupitia dua hii kwa imani yangu mm kama mzazi kama mama naomba wanangu waondokokewe NA husda masheitwan majina ka kilichojificha kikafichuke kupia dua hii NA nguvu zako allah wape ulinz wako adui asiwe NA nafas abadan kila mwenye kusu uyu kuwafanyia ubaya aka aibike hazalani pia wajalie wtt wangu wawe wtt bola wenye maadili yako NA hofu yako pia wafike mbali kielimu ya dini NA elimu ya kizungu kwa rehma zako inshaallah ❤❤❤
Ewe mwenyezi mungu ama hakika ww ndio kila kitu katika huu ulimwengu tunakuomba utukinge na vitimbi vya wachawi mashwetani na majini wasiokutumikia ww mola wangu...amiin
Kwakweli hi tiba wallah Jana usiku nimesikiliza mambo yalonitokea hakika nimemshukuru Allah maana nimesikia vitu vinatembea mwilim mwangu Kama vinatoka kisha Maumivu niliyokuwa yananitesa yamepotea kwakweli Neno langu nikusema Alhamdulillah Allah aendelee kunitibu kwa quruan yake tukufu kila kilichojificha katika mwilin mwangu kwakunitesa kiondoke Nanibaki huru "Nakuombea nawe Shekh wetu Allah akulipe naakuifadh naakulinde na Mabaya Uwepo wako uwepo ili Uendelee kutulinda Nasi kwakutuba daawa ya kisomo
Ya ALLAH ss waja wako tufanyie wepesi kwa kila mtihani tunayopitia ya RABBI tuondolee matatizo mwilini mwetu ya RABBI kupitia dua hii sheikh ALLAH akujalie mema duniani na akhera amiiiiiiiin
Allah ikubuke familia yangu tunayo pitia tufanyie wepesi kubuka babangu,mamangu, ndugu zangu dada zangu Na pia watoto wangu tukinge Na wachawi 🤲 Amin yarabi
Allah nakuomba katika duwa ninayoisikiliza iwe tiba yakunitibu mm na wanangu na familia yangu yaraby kila penye uzito utupe wepes tuondolee maradhi makubwa yaraby na utuondolee mitihan ya dunia tujaalie mwisho ulio mwema yaraby na utupe kila tukuombalo yaraby tujaalie tuishi vzr na watu yaraby mrehem baba angu mzee said muepushie adhabu ya kaburi pamoja na ndugu zangu wote waliotangulia mbele ya khaki takabal duwa tujaalie tuwe miongoni miongoni mwa waja wako wa peponi mm nq familia yangu tujaalie maisha marefu yenye kheri amiin yaraby takabali duwaaaa
Mashallah Allah ndio mjuzi wa yote na ndio anayetoa uponaji pia Allah anajua mja wake mitihani yangu ninayopita kwasasa nakuomba kupitia dua hii awezekunifungulia mambo yangu na mitihani yangu anaondolee Inshaallah 🙏😭
Alahumma Aaaamin Yarababy Allah min allah tupokelee duwa na utuondoshee kila shar zi tokanazo na majin na bina damu ewe Allah hakika hatun shaka juu yako twa kuomba wew mwenye kuruzuku hakika tuzuruku afya njema sis na walioko ma hospital na utuepushe na kila husda na shar za majin na bina damu ewe mola wetu hakik wew ulie tukuka tukubalie duwa zeetu 🤲🤲😭😭
Ewe Allah kupitia dua hii naomba ukanifungulie mambo yangu yote pamoja na biashara yangu, na ukaniondolee mambo yote mabaya yaliyo katika mwili wangu. Ewe Allah pia nakuomba ukabariki biashara za wazazi wangu inshaallah🤲🏻🤲🏻
Masha Allah. Namuomba Allah anijaalie rizki ktk shughuri zang, aniondolee husda mbaya, aniepushe na mabalaa, anikingu na maradhi makubwa na madogo, awaajalie watoto wang elimu dunia na elimu akhera wawe vichwa wasiwe mkia, amfanyie Mama yangu wepesi na kumuondoshea maradhi makubwa na madogo, atujalie familia tyweze kuelewana na kuoendana. Amiina Insha Allah
Kupitia Dua hii nakuomba Ya...Allah unitakase na madhambi yote mimi pamoja na waja wako wote..pia ukamponye..Mama yangu..na mabalaa yote yanayomuandama.. inshallah 🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲
Ya Rabb Alaamiin Azza wa Jal,Muumba wa mbingu na ardhi,mwenye kurehem,neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo..nikaomba na kutubu mbele zako Allah,nayakabidh maisha yangu,wazazi wangu,wangu,mume wangu na ndugu zangu..ya rabb tuongoze katika njia salama na yenye kukupendeza.tusamehe madhambi yetu,tujaalie mwisho mwema ya Allah.kupitia duah hii naomba unifungue vifungo vyote ima vya binaadam ama majini,hakuna linaloshindikana kwako Allah.tabaqal duah 😢🥹🤲
Nmeshindwa lala mauzauza yananijia moyo umekuwa na wasiwasi lakin kwa dua hili nmepata ata nguvu ya kuandika ujembe huu siamin na nlichokuwa nakisikia nje ya nyumba 🙏 inshaallah shekhe ulietuwekea hii dua allah azidi kukuweka utuponye waislam wote🙏
Naam kweli kabisa dua hizi zinazotoka kwenye quran ndo ponyo zetu wallahi Allahu aqbar Alahu aqbar Allahu aqbar
Eee mwenyezi Mungu naomba uniondoxhee shetwan aliyeko kichwani mwangu kupitia dua hii AMIN Amin
Atakuondoshea inshalah
Pole ujlnajisikiaje
❤❤❤@@user-ve3wu5jn1l
Amin Allah akufanyie wepesi
Lll
@@user-ve3wu5jn1l
Mungu wangu wangu mwenye rehema na amani nakuomba nipe mwisho mwema mimi na familia yangu pamoja na waislamu wote wanaokuamini kuwa unaweza kusema kitu kiwe na kikawa mungu wangu nawasogeza wazazi wangu mbele zako na kuwaombea mwisho mwema 🙏 mungu ninakila sababu ya kukuabudu na kukuheshimu kwakuwa unanijua hata kabla hujaniumba Allahumma taqabali duaa 🤲 ya Allah subukhana huwataallah nilindie kazi yangu nipe amani ya ndoa yangu yarabla Allah mina niondole husida ijicho na mashetani wabaya katika maisha yangu mungu nipe mwisho mwema allahumma taqabali duaa 🤲 😭🤲
Allahuma Amin
Nikwer dua hii inasaidia Sana jaman Mimi nasumbuliwa na mashetwani Ila nikisikiliza tuu najiskia nafuu sana
Yaarabi nakuomba utuondole mabalaa yoto yahapa duniani utupe maisha.mema utuondolee maradhi utupe afya njema mm pamojana family yangu wangu mume wangu ndugu zanamarafiki pamoja namama yangu waondolee Maradha wote kwajumla❤❤ Amiin
Yaarabii nijaalie subra katk maisha yangu uniepushe namaadui wanao nichukia bila sababu nipe subra katk utaftaj wangu nipe aman mm nafamilia yang kijaalie kizaz changu yaraab yadunia yakae mbl nas ujae wew ktk moy wang aaamiiiin
Nikiisikiliza hiki kisomo wallah nafarijika Sana na piya Mambo yangu yanakua mepes yaraby naomba unijaalie kheri mja wako Ni unipe mwisho mwema na unilindie wanangu huko wako uaepushie mitihan ya maisha yao na uwape hekma na busara wapendwe na Kila mtu mabaya uwaepushia mahasid wasiwaone waepushie maradhi wanangu yaraby wajaalie Wawa nahofu na wewe mola wetu ameen yaraby
Kwa mitihani niliyokua nayo ewe mwenyezimungu niondoshee kupitia Quran hii amiin 🤲
Asante San kwa kuweza fungua moyo baada ya miaka takriban 5 sikuweza gusa msikiti Ila SAA 9 hii ya usiku nimeweza shika udhu na kushuhudilia apana mola apasae kuabudiwa Ila ni Allah tu na mtume Muhammad ni mjumbe wake na nimesujud na kutubia
Mola ndio muwezq you're akuna wakupingana nae
@@munirachipeta7829m
Mashallah.... Allahuakbar
Mashaallah hakuna mwingine wakuabuduwa Bali ni Allah peke yake
Alihadulillah mwenyezi mungu kwa ukubwa wako kwa utukufu wako kwa hekma yako na hikma ya quran yako tukufu na kwa ukalim wako na kwa upole wako nijalie niwe mja wako mwema na nijalie kwako niwe mwenye kutenda matendo yanayo kulizisha yaah allah nijalie nijalie mwisho mwema nijalie swala5 nakuomba ewe mwenyezi mungu kwa baraka yako na baraka za mtume Muhammad s w m nijalie lidhk na lidhk ilio ya halali amina
Ewe mwenyezi Mungu kupitia dua hii naomba unifungulie riziki na pia namuombea dua binti angu Sophia kuifungua akili yake awe mwelewa darasani awe na uwezo mkubwa darasani Amiin 🙏
Amiin🤲
Alhamdulillah asanteh Allah nakuombea shekhe Allah akupe shifaa akulinde wewe na familia yako naomba azilinde na familia zetu sote atuondolee mabalaa shari majini mabaya husdaa ya Rabby naomba tuongezee nuru katika mambo yetu naomba utujaliw wepesi kwenye kila yalikua nagumu Ameen
Mashallah na shukuru tangia nisikilizi hii duwa mambo yangu ya naenda vizuri paka wachawi wamenishindwa wanakimbia wenye we❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Eeeh Allah tupe mwisho mwema turudi kwako mazima maana sisi binadamu ni viumbe dhaifu sana ufanye Wema uwe Ndani yetu na tukujue wewe ni Allah❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amiin 🤲
amiin
Mwenyezi Mungu nakuomba kupitia dua hii kutoka kwenye quran yako tukufu uniodolee kila mabalaa na makafara na matatizo yote yaliyo kusudiwa ndani ya mwili wangu amin
Amin amin ya rabbialamin🙏🤲
Eee mola wangu kupitia dua hii naomba uniondolee vifugo ktk mwili wangu pamoja na mashetwani wachafu Allah nakuomba nisaidie
ALLAH S.W naomba uniondolee mitihani ya dunia yote majini yote na uchawi wote uondoke kwangu na usirudi tena Allah s.w niondolee vifungo vyote vya kibina damu kuanzia sasa niwe huru kupitia dua hii nisiandamwe tena na shiriki amina
Eee Allah kupitia dua hii naomba uniondolee mabalaa na unikinge na shiliki za watu wkalibu na uzid kunionesha maadui zng npte kuwajua ili niwaepuke
Ya Allah kwakupitia Dua Hii Ya Rukaya, Naomba uniondoleee Nuksi, Uchawi, NA Vifungo Vyogyote nilivyorumiwa na wachawiiiii MAHASIDI, NA SHAYTWAM, LAANA ZAKUTOPATA MCHUMBA NA MAFANIKIO ZIFUNGUE ALLAH kwakutumia Dua Hii Inshaaallah
Yaalah nijalie mwisho mwema yaraabi jalia kizazi changu kiwe na hofu ya Allah waapushie na matatizo ya kidunia niaondolee mawazo niweze kuishi inchi ya watu kwa amani Amina yabii
Ewe yarab nisamehe mm n wazazi wangu ewe yarrab nisamehe mm n ndungu zangu.ewe yarab nisamehe mm n kizazi changu.ewe yarab nisamehe mm n waislam wote n walio tangulia pia uwasamehe amin 🤲🤲🤲
Allahuma amiyn
Maashaallha
Allahuma amin
Yarabi mjalie tujaliee afia njema
Allahumma Ameen
Allah kwa dua hii naomba niondoshee maradhi yote mwilini,niepushe na husda wajua mateso nayopitia kwa dua hii nitakuwa Sawa inshallah
Alhamdulillah namshukur mwenyezi mungu kwakupitia dua hii ukaniondoshee husda na mabalaa yanayo nizinguka na uniepushie mapepo mabaya yaarabi kupitia dua hii naimani utaniponya.kupitua duahii nilindiye familia yangu nipindie kizazi changu na unipe mume bora Amin 🤲🤲🤲
Eee mwenyez mungu nsa mehe makosa yangu, mpe mama yangu maisha marefu , mbariki babangu na umuondoshee ugum ndani ya kaburi, niondoshee magonjwa yote ndan ya mwili wangu,Nibarikj na unifungulie riziki zaidi Ili niweze kuwasaidia waja wako na watu wako wanaostahili, nijaze huruma na utu Ili niishi kwa kuiogopa kesho yangu mbele zako allah,nitie moyo kwa magum nayokutana nayo ,unipe familia na kizazi chema Cha kukujua ww Allah ,chakua na hofu na ww Allah, na unipe kizazi chenye Elimu na mafanikio kadrii upendezavyo ww, , pia niondoshee chuki na hasidi za binadam wabaya wanaotaka kunizuru na wanaotaka kunifanya nisiwe na furaha ..AMEEN❤
Masha Allah Alhamdulillah Shukurni Sana Kwa Quran Hii Tukufu Alhamdulillah Hakika Kwa Allah Hakuna Linalo Shindikana ali Ya Jana Tofauti Na leo Alhamdulillah 🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾
Mwenyenzi Mungu kutumia Dua hii naomba umuondoshee mama angu adhabu na kaburi na umueke kwenye waja wema inshallah
namshukuru Allah kwa kunipa nafasi hii kwa mara ya kwanza tangu nimeolewa na kubadili dini nimepata faraja kusikiliza hii dua. nimepitia misukosuko mingi namuomba Allah anijalie afya njema mimi na familia yangu anilinde dhidi ya hasadi za walimwengu atimize haja ya moyo wangu inshallah!
Mashaallah ❤ nashukru kwa kupata hiki some japo kwa mtandao lakini kimenipa imani ndani yamoyo wangu maana niko na matatizo mengi ndani ya mwili wangu kwa uwezo wa ALLAH na imani yangu kitanitibu kwa imani yangu.
Shukraan Jazeela..Qur'an ni tiba na pia ni Ukumbusho tosha...Ni maneno ya ajabu yanayotuliza hata nyoyo za wasokuwa waislamu❤️❤️❤️
Jazakallah khayr
Masha Allah, tabaraka Allah naskia moyo wangu una utulivu kabsa pindi tu Naskiza Qur'an inaposomwa ❤🧡💛💚💙💜🤎 jazakallahu kheri
Mashallah💗💜💖💕
Masha Allah Mungu mkubwa nilipatwa na mtihani ya kishetwani lakini baada ya kuskiliza hii ruqiya nimepata unafuu hata kazi zangu nafanya ALLAH awape shifaa wote mnausumbuliwa na maradh🤲
Aamiin 🤲🤲🤲
Ameen thumma ameen
❤❤❤❤❤❤❤❤ameeeeb
Amiyn Kwa sote
Amin🤲
Allah nakuomba kupitia dua hii kazini kwangu uniepushe na wafitina na uniepushe na mabalaha bishara hiniendee vizuri na nipate mafanikio mambo yangu yaende vizuri ewe Allah kupitia dua hii basi niponye kwenye matatizo aya
Ya allh nakuomba kupitia Qur'an yak tukufu uniondolee maradhwi yanayo nisumbua mwili na unijalie niwe afy njema na unijalie niwe mwenye kuipenda Qur'an ishaallh na utujarie mwisho mwema❤ 8:57
Ya Allah niondolee wasiwasi na hofu nimeteseka sana na Imani dua hii itaniponya
ALLAH AKULINDE ZAIDI NA SHARI ZA WALIMWENGU SHEIKH WETU NA AKUUJAALIE KATIKA WATU WA PEPONI INASHALLAH NA MIMI NAMUOMBA ALLAH ANIONDOSHEE MARADHI HASADI MAADUI WALONIZINGUKA KOTE KWENYE MAINSHA YANGU NA FAMIRIA YANGU ALLAH ATUJAALIE UPONYAJI KUPITIA DUA HII INSHALLAH NA ATUJAALIE MWISHO MWEMA WAISLAAM WOTE ULIMWENGUNI ISHALLAH
Apana mola apasawe kwa haki isipokuwa Allah mume wangu aliumwa usiku kucha akiwa hataki hata kufunuliwa Shuka lakin baada ya kuweka dua hii inshaalah kaamka mwenyezi mungu ni mkubwa jaman
Mashaallah Allah anijalie uzima na afya njema niendelee kuisikiliza kila siku maan nina mengi mazito allahumma ameen 🤲🤲🙏🏾🙏🏾😓
Allah nakuomba nipe rizik nene unifungulie mazuri kwenye biashara yangu na unitolee husda na macho mabaya inshallah
Mashaallah ninavyozidi kusikiliza Qur an tukufu ndipo navyozidi kupata amani ndani ya nafsi yangu
eeh mwenyezi mungu mwenye huruma telee, nihurumie mimi mkosefu mbele zako nipe moyo wa kukuabudu wewe pekee na kuachana na mambo ya dunia. Niondolee chuki na husuda za kila aina. eeeh mwenyezi mungu wajaalie makuzi mwma watoto wangu abdulrahim na alya, mjalie hekima mke wangu zulfa Ameen.
Allah nakuomba unizidishie imani ndani ya moyo wangu unisame napo kosea mimi na waislam wenzag yaa rabbii
Yaa Allah nakuomba kupitia dua hii km kuna kitu chochote kibaya kimo ndani ya mwili wangu,ndani ya nyumba yangu,ndani ya familia yangu basi insha'Allah leo yote yaishe na yatoke kwa uwezo wako sw pia muondolee mama angu mzazi magonjwa yote na arudi ktk hali yake ya kawaida pia na mama mkwe wangu nifungulie millango ya risk na undoe nuksi kwenye familia yngu zidi kuwapa uelewa wanangu ktk elimu ya ekhera na dunia waepushe na majanga ya dunia ya rabilla allamina 🙏🙏
Ameen yarrab
Amin amina yaarabbi takabal dual!
Mnsha Allah mnsha Allah yaa rabby nijaliyeee mema katika maisha yang niepushe namitihani iloja katika maisha yangu 😭😭🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏 Insha allah😭😭 niepushe na maradhi katika mwili wangu 🤲🤲🤲😭😭😭 Insha allah
YAALLH kupitia kisomo hiki Nina kuomba niondolee maradhi ya kichwa nuksi Asadi na sihiri nilizo wekewa na familia yangu Na Mwanangu nasri umuwezeshe kutambaa kwa araka kwa kudra zako yarabi subuhnna Allah muondolee matatizo sugu mke wangu swaumu m,bwana Alihamdu lilakhi
Yaaa allah yaaa allah ninakuomba mola wangu mlezi kupitia dua hii yarabi ninakuomba nikaondokewe NA kila shali kila husda kila mikos kila nuksi NA kila balaa NA nikapone kila maumivu ninayo yaskia mwilini mwangu pia nikathaminike NA kuonekana kazini kwangu maana hata nifanye jemagan sionekan sionekan lkn nasema alhamdulilah kwa rehma zako alaah yote yataisha nanitakaa sawa NA kazin nitaonekana NA kukubalika inshaallah allah qarim❤❤❤❤❤❤
Alhamdhulillah nashukuru Allah kwakunionyesha njia iliyo sahihi Alhamdhulillah naamini Quran n tiba kamili 🤲🤲🤲
Ya Allah nakuomba mungu wangu uniwekee wepes katika mazito nayopitia nijalie nipate mume mwiisilamu ya rabi bila wewe Mimi siwezi nipekipato Cha halali nirehemie wazazi wangu mabibi na wakubwa zangu na ndugu na jamaa walio tangulia mbele za haki inshallah
Utapata mume mwenye heri na wewe na kila mwenye kuhitaji basi Allah amtatulie shida zake
Alhamduliliah yarabi naomba kupitia Dua hii ikapate kuniodoshea Kila lililo baya Kwngu inshallah
Namshukuru mwenyezi mungu kwa kunipa afya njema kupitia quran hii tukufu mungu baba naomba uwaondolee maradhi wazazi wangu nifanyie wepes katika utafutaji wangu husda hasid niondolee amin
Ewe Allah mwingi wa Rehma na mwenye kurehemu kwa kupiti Dua (Ruqya) hii tunakuomba ww Allah S.W na Muhhamad S.A.W ni mtume wako utuponye maradhi haya wanayotusababishia Viumbe hawa wabaya 😫 Aamin Thumaa Aamin 🤲🏽🙏🏽
Alhamdulillah Yani na Mimi Leo ndo naioa hii hapa naisikiloza jinsi ninvyojisikia Allha ndo anajua,shekhe Allha akulipe kheri,amiin,hili si jambo dogo utatutibu wengi ishaallha
Kwa uwezo Wa Allah najua mitihani ninayo ypitia kila siku in shaallah kwa uwezo Wa Allah itakwisha tu naomba unipe nguvu uvumilivu na afya njema hakuna unalo shindwa mungu wangu in shaallah 😭🙏
Amin inshaalah 🙏
Amiin inshallah
Amiin 🤲
Aamiin.kwa uwezo wa Allah utaweza
Namuomba mwenyezmungu kupitia duahii aniondoshee mitihani matati husuda hasad na anilindye kizazichangu na ndoa yangu na wazazi wangu na haya macho yanay nisumbua anajua mungu nakupitiya dua hii iwe tiba kwangu aamn❤
Mungu na anifanyie wepesi kwa kila jambo langu, Insha'Allah 🙏.....Nipe amani ya moyo na furaha kwa jamaa zangu.....Niondolee Husda ,mikosi na nuksi za wabaya....Allah Wakbar
Hiii Dua Ina saidia sana kuondoa majini nawashirikina,,
Weka kifuani sikiliza kadri uwezavyo itakusaidia kwa kudra za ALLAH
Mashaallah Allah Awajaaliye umri mrefu muzidi kutufanyiya duwa zakutuepusha nashari
Eee Allah nilinde na Hasadi za huu ulimwengu… nipe muongozo mzur wa kuku tumikia kila siku niamkapo….linda familia yangu katika mabaya Allah ….. fungua riski ndogondogo na zile kubwa kubwa katika maisha haya ulio tupatia ya mda mfupi apa duniani…. Nilinde na magonjwa yasinipate.. nijaalie mume bora wa kunipenda na haliyangu pamoja na familia yangu.. hakika Allah nijaalie mwisho mwema 🤲 inshaallah nikiomb na kwakuamini ndivyo itakavyo kuwa… Amin 🙏
Ya ALLAH kupitia dua hii naomba umuondoshee mume wangu magum anayopitia katika kazi zake utafutaji waridhki kwake umekua mgum nauponye namaradhi ya Figo na inni utuondoshee magum tunayopitia ya ALLAH nauwaponye wote ndugu zangu waislam wanaopitia magum uwaponye wazazi wangu nduguzangu watoto wangu uwape imani upendo nautulivu katika maisha yao thumma Amiin yarabby takabar duaa🙏
Mashallha kila mwenye shari na mimi yatamrejea mwenyewe kwa uwezo wa allha tulindiee na mabalaa mola wanguu tuepushe na kila ushirikina na kila bayaa amin yarrabi
Hiii dua imenisaidia
Mashallah amiin🤲
amin
Maasha Allah Allah atukinge na mabaya yote dhidi ya mashetwan Amiin 🤲🤲🤲
InstaBlaster...
Ee Mwenyezi Mungu , niondoshee dhiki ,ufakiri, na maradhi , na hasadi za viumbe wako, EWE ALLAH, Nisamehe makosa yangu , na uwarehemu wazazi wangu, na family yangu yote , Mwenyezi Mungu nifungulie Maisha yangu na ya watoto wangu na Mume wangu i 21:11 21:13
Yaallah nakuomba ktk dua hii nip0ne maradhi yanayonitesa na nipate mtoto na umremu mama angu umuondoshe adhabu ya kaburi iwe shufaa kwangu na ndoa yangu amin yarabi
ALLAH AKULIPE DUNIA NA AKHERA INSHAALLAH
Allah atutatulie dhiki na mitihani ya mahasidi atujalie wepesi kwa aya hizii yarabi
Mashallah mashallah alhamdu lilah ee mwenyezimungu muumba wavyote kupitia qulhan tukufu naomba uniondoshe namaradhi ya kishetwan ,uniepushe nahusda uniepushe nakila baya na unijalie mwisho mwema wa kukuabudu yarabi qarem
Yarabi naomba uniongoze katika njiya iliyonyooka isowe ya wale ulowakasirikia na unijaalie mimi pamoja na wazaza wangu na wadogo zangu na unipe moyo wa subra na uniepushe na kila asri na sheirwani la kike na la kiume amiiiiiin yarabilaala miiiiin
zkupitia dua hii Naomba Ya Allah SWT oniondoshee Maradhi Ya Nyonga, Pingili za Mgongo na tumbo na Maradhi Ya Moyo yanayoanza nisumbua Mungu Wangu Nilinde na wivu na chuki za waja niondolee wabaya katika maisha yangu niletee Mema jenga mema kwangu niongezee kila panapopungua timiza ndoto zangu na jaalia familia yangu
Allahumma amiina, Allah akujibu maombi yako inshallah amiin🙏
Allahuma aamiin Allah ukupokelee dua
Alluhamma amin tia nia 🤲
Allahuma Ameen
Allahumma Ameen
Allah atujaalie wepesi ktk kila la kheri na atuepishe na kila la shari, bi idhnihii
Ameen
Amin Omar kwa sote
Ameen 🤲🤲
Amiin Yarabal alamin
@@Awatee takabar mina
Mwenyezi Mungu kupitia dua hii naomba umsaidie mama yangu mzazi umuondolee maradhi yako sugu yanayomsumbua kila mara awe mzima daima , wasaidie ndugu zangu wote wawe wenye hofu na ww allah na waondolee maradhi kwenye miili yao msaidie mwanangu mfungue ufahamu wake na uelewa darasani muongoze njia sahihi nakukabidhi familia yangu yote allah na wale waliotangulie mbele yako Allah s.w wapunguzie adhabu ya kaburi amina
Ewe mwenyezi mungu nakuomba kupitia duwa hiii nipone hiii shida inayo nisumbua nakitu kilichopo katika mwili wangu kibaya kitoweke kwa uwezo wa Allah ewe mwenyezi mungu niponye mja wako 🙏
Mungu mkubwa sasa moyo wangu umetulia kwa kusikiliza hii dua
Penye uzito allah atufanyie wepesi atuondolee maradhi inshallah 👏
Yaallah nakuomba kupitia dua hii kwa imani yangu mm kama mzazi kama mama naomba wanangu waondokokewe NA husda masheitwan majina ka kilichojificha kikafichuke kupia dua hii NA nguvu zako allah wape ulinz wako adui asiwe NA nafas abadan kila mwenye kusu uyu kuwafanyia ubaya aka aibike hazalani pia wajalie wtt wangu wawe wtt bola wenye maadili yako NA hofu yako pia wafike mbali kielimu ya dini NA elimu ya kizungu kwa rehma zako inshaallah ❤❤❤
Ewe mwenyezi mungu ama hakika ww ndio kila kitu katika huu ulimwengu tunakuomba utukinge na vitimbi vya wachawi mashwetani na majini wasiokutumikia ww mola wangu...amiin
Kupitia dua hii namwomba Allah atulinde mie na familia yangu dhidi ya hasadi za walimwengu na kutujalia Afya njema
Amiin 🙏
Kwakweli hi tiba wallah Jana usiku nimesikiliza mambo yalonitokea hakika nimemshukuru Allah maana nimesikia vitu vinatembea mwilim mwangu Kama vinatoka kisha Maumivu niliyokuwa yananitesa yamepotea kwakweli Neno langu nikusema Alhamdulillah Allah aendelee kunitibu kwa quruan yake tukufu kila kilichojificha katika mwilin mwangu kwakunitesa kiondoke Nanibaki huru "Nakuombea nawe Shekh wetu Allah akulipe naakuifadh naakulinde na Mabaya Uwepo wako uwepo ili Uendelee kutulinda Nasi kwakutuba daawa ya kisomo
Amiiin
Ameen
Ameen
@Nason Nyagenda Ameen yarraab
pia mm yalinitokea kama hivyo
Ya allah kupitia kisomo hiki naomba unifanyie shifaaa juu ya maradhi yangu amin
Allah azidi kutuongoza kwa hii Quran wallah 🤲
mashallah dua hii uwa naipenda kuisikiliza nikisikiliza navizuri allah anijalie niendelee kusiliza
Ewee Allah nakuomba kupitia dua ukaniondolee maradhi yote katika mwili wangu 🤲🤲🤲
Ya ALLAH ss waja wako tufanyie wepesi kwa kila mtihani tunayopitia ya RABBI tuondolee matatizo mwilini mwetu ya RABBI kupitia dua hii sheikh ALLAH akujalie mema duniani na akhera amiiiiiiiin
Allah ikubuke familia yangu tunayo pitia tufanyie wepesi kubuka babangu,mamangu, ndugu zangu dada zangu Na pia watoto wangu tukinge Na wachawi 🤲 Amin yarabi
Mimi sio msilamu lakini anapenda kusikiliza Koran na dua yao🎉🎉
MashaAllah 🤝🏽
Mimi pia kwani naiman Mungu ni mmoja tunae mwabudu …. Inshaallah mwenyenzimungu atufanyie wepesi katika kila jambo 🤲
Amen Allah atuondolee mabay Nami pamoja na Familia yngu atufanyie wepesi kweny nzito maradhi vifungo viishe
Allah nakuomba katika duwa ninayoisikiliza iwe tiba yakunitibu mm na wanangu na familia yangu yaraby kila penye uzito utupe wepes tuondolee maradhi makubwa yaraby na utuondolee mitihan ya dunia tujaalie mwisho ulio mwema yaraby na utupe kila tukuombalo yaraby tujaalie tuishi vzr na watu yaraby mrehem baba angu mzee said muepushie adhabu ya kaburi pamoja na ndugu zangu wote waliotangulia mbele ya khaki takabal duwa tujaalie tuwe miongoni miongoni mwa waja wako wa peponi mm nq familia yangu tujaalie maisha marefu yenye kheri amiin yaraby takabali duwaaaa
Yarab niondoshee matatizo yote niliyonayo nipe amani ya moyo na utulivu amiin
I love is quran😍❤❤❤
Ninaimani na Quran kitabu kitukufu hakika tutaponywa nayo kwa idhini ya ALLAH, Inshaallah
Maashaallah tabaraka’llah🙏🏾 huja kosea kweli Qur’an ni shifaa kwa wanao amini
Mashallah allhamdullillah namshukuru
Amini ya rayabbi naomba uniondolee husda ktk maisha yangu mm na family yangu maradhi ya uchawi tunayo tumiwa na mashwetan wabay
Inshallah kwa uwezo wa mungu atatuponya kila mabaya yaliopo kwenye miili yetu amiin
Amin inshaalah 🙏
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
salam alykum mimi mwangu kulsiku muda wakwenda shule ana pitiwa nausngizi duagani inafaa kwamgonjwa kama huyoo
Tunashuk kwa kisomo hiki Allha atufanyie wepesi wote wenye huitaji.
amiiin
Mashallah Allah ndio mjuzi wa yote na ndio anayetoa uponaji pia Allah anajua mja wake mitihani yangu ninayopita kwasasa nakuomba kupitia dua hii awezekunifungulia mambo yangu na mitihani yangu anaondolee Inshaallah 🙏😭
Inshallah
Inshallah amin
Alahumma Aaaamin Yarababy Allah min allah tupokelee duwa na utuondoshee kila shar zi tokanazo na majin na bina damu ewe Allah hakika hatun shaka juu yako twa kuomba wew mwenye kuruzuku hakika tuzuruku afya njema sis na walioko ma hospital na utuepushe na kila husda na shar za majin na bina damu ewe mola wetu hakik wew ulie tukuka tukubalie duwa zeetu 🤲🤲😭😭
Shukran jazakallahu lkhair biidhnillah in shaa Allah matatizo yetu yoote yatatoka kwa hichi kisomo yaarab
Amiin
mishi mm ni ustadh abubakar nitafute inshallah +254728750946
@@ustadhkamoleabubakar0013 inshaallah
Amiiiin yarabi 🤲🙏
Amiin
Yaallah niponye na maradhi na uniondee hasd za walimwengu kwenye biashara yangu amiin
MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA NIJALIE MWISHO MWEMA MIMI PAMOJA NA FAMILIA YANGU NIJALIE MAFANIKIO MEMA AMIIN🙏
Yarib wandoshe maradhi walionayo wanangu mugunisaidie zidikunipa shufa🤲🏼🤲🏼🤲🏼amiin amiin amiin👩👩👦👦💕💕💕💕💕
Mashallah ..naona mabadiliko ya maradhi yaliyokuwa yananisibu...
Mungu mkubwa..mungu mkubwa..mungu mkubwa...allhu Akbar..
Ewe Allah kupitia dua hii naomba ukanifungulie mambo yangu yote pamoja na biashara yangu, na ukaniondolee mambo yote mabaya yaliyo katika mwili wangu. Ewe Allah pia nakuomba ukabariki biashara za wazazi wangu inshaallah🤲🏻🤲🏻
Tunaomba za kudawnlod maalim hii haikubali kudawnlod kwa kweli ni nzuri sana
Dah kweli haikubal
Mungu nifungue kwenye vifungo vibovu nipe amani ya moyo nilinde na usda za waja walinde wanangu na mume wangu namzazi wangu amina nisamee makosa yangu
Mm pia nimeshindwa jamani msaada
Masha Allah.Mwenyeezi Mungu atujaalie Kila la heri in Shaa Allah.
Amin Amin Amin
Inshallah ALLAH pekee ndio kimbilio letu niondolee mitihani ya mwilini mwangu kupitia Dua hii amiin
Masha Allah. Namuomba Allah anijaalie rizki ktk shughuri zang, aniondolee husda mbaya, aniepushe na mabalaa, anikingu na maradhi makubwa na madogo, awaajalie watoto wang elimu dunia na elimu akhera wawe vichwa wasiwe mkia, amfanyie Mama yangu wepesi na kumuondoshea maradhi makubwa na madogo, atujalie familia tyweze kuelewana na kuoendana. Amiina Insha Allah
Amiin yarabi
Manshalla🙏
Amiin ya Allah
Masha Allah naamini atatizo yangu yataisha nasumbuliwa na mashweitani yakiwanga,
Ewe Allah nijaalie mm na ndugu zangu waislam wenzangu utulinde na husda na utuondolee magonjwa na uendelee kutulinda na wabaya amiin🙏🙏🙏
Amin inshallah yarab 🤲🤲🤲😘😘🙏🙏
Amin
Aminy YARRAB.
Allah akbaru
Subhanna llah alhamdulillah allah akbar
Kupitia Dua hii nakuomba Ya...Allah unitakase na madhambi yote mimi pamoja na waja wako wote..pia ukamponye..Mama yangu..na mabalaa yote yanayomuandama.. inshallah 🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲
Ya Rabb Alaamiin Azza wa Jal,Muumba wa mbingu na ardhi,mwenye kurehem,neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo..nikaomba na kutubu mbele zako Allah,nayakabidh maisha yangu,wazazi wangu,wangu,mume wangu na ndugu zangu..ya rabb tuongoze katika njia salama na yenye kukupendeza.tusamehe madhambi yetu,tujaalie mwisho mwema ya Allah.kupitia duah hii naomba unifungue vifungo vyote ima vya binaadam ama majini,hakuna linaloshindikana kwako Allah.tabaqal duah 😢🥹🤲
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKUJAALIE KILA LA KHERI SHEIKH WETU NA FAMIRIA YAKO ALLAH AIJAZE NURU INSHALLAH