Ruqyah ya kutibu hasad, uchawi na kutoa mashetani (Isikilize kila siku mpaka mpone, In Sha Allah)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 1,1K

  • @user-xq3nh7kh5l
    @user-xq3nh7kh5l Před 6 měsíci +9

    Nmeshindwa lala mauzauza yananijia moyo umekuwa na wasiwasi lakin kwa dua hili nmepata ata nguvu ya kuandika ujembe huu siamin na nlichokuwa nakisikia nje ya nyumba 🙏 inshaallah shekhe ulietuwekea hii dua allah azidi kukuweka utuponye waislam wote🙏

  • @thuwaibaidrisa7802
    @thuwaibaidrisa7802 Před 7 měsíci +10

    Naam kweli kabisa dua hizi zinazotoka kwenye quran ndo ponyo zetu wallahi Allahu aqbar Alahu aqbar Allahu aqbar

  • @medmusmus
    @medmusmus Před 5 měsíci +23

    Eee mwenyezi Mungu naomba uniondoxhee shetwan aliyeko kichwani mwangu kupitia dua hii AMIN Amin

  • @jumannewazir6716
    @jumannewazir6716 Před 8 měsíci +14

    Mungu wangu wangu mwenye rehema na amani nakuomba nipe mwisho mwema mimi na familia yangu pamoja na waislamu wote wanaokuamini kuwa unaweza kusema kitu kiwe na kikawa mungu wangu nawasogeza wazazi wangu mbele zako na kuwaombea mwisho mwema 🙏 mungu ninakila sababu ya kukuabudu na kukuheshimu kwakuwa unanijua hata kabla hujaniumba Allahumma taqabali duaa 🤲 ya Allah subukhana huwataallah nilindie kazi yangu nipe amani ya ndoa yangu yarabla Allah mina niondole husida ijicho na mashetani wabaya katika maisha yangu mungu nipe mwisho mwema allahumma taqabali duaa 🤲 😭🤲

    • @jamilamtemi3429
      @jamilamtemi3429 Před měsícem

      Allahuma Amin

    • @Zainabu-mv9cf
      @Zainabu-mv9cf Před měsícem

      Nikwer dua hii inasaidia Sana jaman Mimi nasumbuliwa na mashetwani Ila nikisikiliza tuu najiskia nafuu sana

  • @user-hp6rx1gk2g
    @user-hp6rx1gk2g Před rokem +8

    Yaarabi nakuomba utuondole mabalaa yoto yahapa duniani utupe maisha.mema utuondolee maradhi utupe afya njema mm pamojana family yangu wangu mume wangu ndugu zanamarafiki pamoja namama yangu waondolee Maradha wote kwajumla❤❤ Amiin

  • @user-ki9le1jy8e
    @user-ki9le1jy8e Před 8 měsíci +10

    Yaarabii nijaalie subra katk maisha yangu uniepushe namaadui wanao nichukia bila sababu nipe subra katk utaftaj wangu nipe aman mm nafamilia yang kijaalie kizaz changu yaraab yadunia yakae mbl nas ujae wew ktk moy wang aaamiiiin

  • @HajraSaidMmbaga-ts5zr
    @HajraSaidMmbaga-ts5zr Před 8 měsíci +3

    Nikiisikiliza hiki kisomo wallah nafarijika Sana na piya Mambo yangu yanakua mepes yaraby naomba unijaalie kheri mja wako Ni unipe mwisho mwema na unilindie wanangu huko wako uaepushie mitihan ya maisha yao na uwape hekma na busara wapendwe na Kila mtu mabaya uwaepushia mahasid wasiwaone waepushie maradhi wanangu yaraby wajaalie Wawa nahofu na wewe mola wetu ameen yaraby

  • @user-ix9nd2jt8j
    @user-ix9nd2jt8j Před 3 měsíci +7

    Kwa mitihani niliyokua nayo ewe mwenyezimungu niondoshee kupitia Quran hii amiin 🤲

  • @issahamisi4066
    @issahamisi4066 Před 10 měsíci +36

    Asante San kwa kuweza fungua moyo baada ya miaka takriban 5 sikuweza gusa msikiti Ila SAA 9 hii ya usiku nimeweza shika udhu na kushuhudilia apana mola apasae kuabudiwa Ila ni Allah tu na mtume Muhammad ni mjumbe wake na nimesujud na kutubia

  • @ibrahimuyusufu2890
    @ibrahimuyusufu2890 Před rokem +9

    Alihadulillah mwenyezi mungu kwa ukubwa wako kwa utukufu wako kwa hekma yako na hikma ya quran yako tukufu na kwa ukalim wako na kwa upole wako nijalie niwe mja wako mwema na nijalie kwako niwe mwenye kutenda matendo yanayo kulizisha yaah allah nijalie nijalie mwisho mwema nijalie swala5 nakuomba ewe mwenyezi mungu kwa baraka yako na baraka za mtume Muhammad s w m nijalie lidhk na lidhk ilio ya halali amina

  • @sophiaasia9584
    @sophiaasia9584 Před měsícem +2

    Ewe mwenyezi Mungu kupitia dua hii naomba unifungulie riziki na pia namuombea dua binti angu Sophia kuifungua akili yake awe mwelewa darasani awe na uwezo mkubwa darasani Amiin 🙏

  • @blessingmushi-py6ug
    @blessingmushi-py6ug Před rokem +17

    Alhamdulillah asanteh Allah nakuombea shekhe Allah akupe shifaa akulinde wewe na familia yako naomba azilinde na familia zetu sote atuondolee mabalaa shari majini mabaya husdaa ya Rabby naomba tuongezee nuru katika mambo yetu naomba utujaliw wepesi kwenye kila yalikua nagumu Ameen

  • @AnabAbdallah-ii7ou
    @AnabAbdallah-ii7ou Před rokem +13

    Mashallah na shukuru tangia nisikilizi hii duwa mambo yangu ya naenda vizuri paka wachawi wamenishindwa wanakimbia wenye we❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @johnnyariza6460
    @johnnyariza6460 Před rokem +20

    Eeeh Allah tupe mwisho mwema turudi kwako mazima maana sisi binadamu ni viumbe dhaifu sana ufanye Wema uwe Ndani yetu na tukujue wewe ni Allah❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @josephmuiya2934
    @josephmuiya2934 Před rokem +44

    Mwenyezi Mungu nakuomba kupitia dua hii kutoka kwenye quran yako tukufu uniodolee kila mabalaa na makafara na matatizo yote yaliyo kusudiwa ndani ya mwili wangu amin

    • @chazcode-fl9jo
      @chazcode-fl9jo Před 3 měsíci

      Amin amin ya rabbialamin🙏🤲

    • @Zainabu-mv9cf
      @Zainabu-mv9cf Před měsícem

      Eee mola wangu kupitia dua hii naomba uniondolee vifugo ktk mwili wangu pamoja na mashetwani wachafu Allah nakuomba nisaidie

    • @user-gs8gu9uc3l
      @user-gs8gu9uc3l Před měsícem

      ALLAH S.W naomba uniondolee mitihani ya dunia yote majini yote na uchawi wote uondoke kwangu na usirudi tena Allah s.w niondolee vifungo vyote vya kibina damu kuanzia sasa niwe huru kupitia dua hii nisiandamwe tena na shiriki amina

    • @HusseinTajiri-c3o
      @HusseinTajiri-c3o Před 23 dny +1

      Eee Allah kupitia dua hii naomba uniondolee mabalaa na unikinge na shiliki za watu wkalibu na uzid kunionesha maadui zng npte kuwajua ili niwaepuke

    • @msfaridahliheye5799
      @msfaridahliheye5799 Před 10 dny

      Ya Allah kwakupitia Dua Hii Ya Rukaya, Naomba uniondoleee Nuksi, Uchawi, NA Vifungo Vyogyote nilivyorumiwa na wachawiiiii MAHASIDI, NA SHAYTWAM, LAANA ZAKUTOPATA MCHUMBA NA MAFANIKIO ZIFUNGUE ALLAH kwakutumia Dua Hii Inshaaallah

  • @user-ek7gk2yb1o
    @user-ek7gk2yb1o Před rokem +7

    Yaalah nijalie mwisho mwema yaraabi jalia kizazi changu kiwe na hofu ya Allah waapushie na matatizo ya kidunia niaondolee mawazo niweze kuishi inchi ya watu kwa amani Amina yabii

  • @tohidaluvuno5858
    @tohidaluvuno5858 Před rokem +53

    Ewe yarab nisamehe mm n wazazi wangu ewe yarrab nisamehe mm n ndungu zangu.ewe yarab nisamehe mm n kizazi changu.ewe yarab nisamehe mm n waislam wote n walio tangulia pia uwasamehe amin 🤲🤲🤲

  • @lisawilliam6623
    @lisawilliam6623 Před rokem +8

    Allah kwa dua hii naomba niondoshee maradhi yote mwilini,niepushe na husda wajua mateso nayopitia kwa dua hii nitakuwa Sawa inshallah

  • @user-td1qu5ku2e
    @user-td1qu5ku2e Před 10 měsíci +8

    Alhamdulillah namshukur mwenyezi mungu kwakupitia dua hii ukaniondoshee husda na mabalaa yanayo nizinguka na uniepushie mapepo mabaya yaarabi kupitia dua hii naimani utaniponya.kupitua duahii nilindiye familia yangu nipindie kizazi changu na unipe mume bora Amin 🤲🤲🤲

  • @hansiempire5093
    @hansiempire5093 Před 8 dny

    Eee mwenyez mungu nsa mehe makosa yangu, mpe mama yangu maisha marefu , mbariki babangu na umuondoshee ugum ndani ya kaburi, niondoshee magonjwa yote ndan ya mwili wangu,Nibarikj na unifungulie riziki zaidi Ili niweze kuwasaidia waja wako na watu wako wanaostahili, nijaze huruma na utu Ili niishi kwa kuiogopa kesho yangu mbele zako allah,nitie moyo kwa magum nayokutana nayo ,unipe familia na kizazi chema Cha kukujua ww Allah ,chakua na hofu na ww Allah, na unipe kizazi chenye Elimu na mafanikio kadrii upendezavyo ww, , pia niondoshee chuki na hasidi za binadam wabaya wanaotaka kunizuru na wanaotaka kunifanya nisiwe na furaha ..AMEEN❤

  • @najmajoneke7413
    @najmajoneke7413 Před rokem +10

    Masha Allah Alhamdulillah Shukurni Sana Kwa Quran Hii Tukufu Alhamdulillah Hakika Kwa Allah Hakuna Linalo Shindikana ali Ya Jana Tofauti Na leo Alhamdulillah 🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾

  • @luckymsafiri9045
    @luckymsafiri9045 Před rokem +6

    Mwenyenzi Mungu kutumia Dua hii naomba umuondoshee mama angu adhabu na kaburi na umueke kwenye waja wema inshallah

  • @delphinebusongo7078
    @delphinebusongo7078 Před 9 měsíci +2

    namshukuru Allah kwa kunipa nafasi hii kwa mara ya kwanza tangu nimeolewa na kubadili dini nimepata faraja kusikiliza hii dua. nimepitia misukosuko mingi namuomba Allah anijalie afya njema mimi na familia yangu anilinde dhidi ya hasadi za walimwengu atimize haja ya moyo wangu inshallah!

  • @aminajuma7162
    @aminajuma7162 Před rokem +5

    Mashaallah ❤ nashukru kwa kupata hiki some japo kwa mtandao lakini kimenipa imani ndani yamoyo wangu maana niko na matatizo mengi ndani ya mwili wangu kwa uwezo wa ALLAH na imani yangu kitanitibu kwa imani yangu.

  • @teacherhassan5260
    @teacherhassan5260 Před rokem +15

    Shukraan Jazeela..Qur'an ni tiba na pia ni Ukumbusho tosha...Ni maneno ya ajabu yanayotuliza hata nyoyo za wasokuwa waislamu❤️❤️❤️
    Jazakallah khayr

  • @jacobponga1540
    @jacobponga1540 Před 2 lety +14

    Masha Allah, tabaraka Allah naskia moyo wangu una utulivu kabsa pindi tu Naskiza Qur'an inaposomwa ❤🧡💛💚💙💜🤎 jazakallahu kheri

  • @salamsinani2301
    @salamsinani2301 Před 2 lety +110

    Masha Allah Mungu mkubwa nilipatwa na mtihani ya kishetwani lakini baada ya kuskiliza hii ruqiya nimepata unafuu hata kazi zangu nafanya ALLAH awape shifaa wote mnausumbuliwa na maradh🤲

  • @OmarMustafaVictor-oz6el
    @OmarMustafaVictor-oz6el Před 3 měsíci +2

    Allah nakuomba kupitia dua hii kazini kwangu uniepushe na wafitina na uniepushe na mabalaha bishara hiniendee vizuri na nipate mafanikio mambo yangu yaende vizuri ewe Allah kupitia dua hii basi niponye kwenye matatizo aya

  • @user-rb1jd9gk6u
    @user-rb1jd9gk6u Před rokem +11

    Ya allh nakuomba kupitia Qur'an yak tukufu uniondolee maradhwi yanayo nisumbua mwili na unijalie niwe afy njema na unijalie niwe mwenye kuipenda Qur'an ishaallh na utujarie mwisho mwema❤ 8:57

    • @combination203
      @combination203 Před měsícem

      Ya Allah niondolee wasiwasi na hofu nimeteseka sana na Imani dua hii itaniponya

  • @ashashaban6484
    @ashashaban6484 Před 2 lety +5

    ALLAH AKULINDE ZAIDI NA SHARI ZA WALIMWENGU SHEIKH WETU NA AKUUJAALIE KATIKA WATU WA PEPONI INASHALLAH NA MIMI NAMUOMBA ALLAH ANIONDOSHEE MARADHI HASADI MAADUI WALONIZINGUKA KOTE KWENYE MAINSHA YANGU NA FAMIRIA YANGU ALLAH ATUJAALIE UPONYAJI KUPITIA DUA HII INSHALLAH NA ATUJAALIE MWISHO MWEMA WAISLAAM WOTE ULIMWENGUNI ISHALLAH

  • @AkiliMali-hc2qs
    @AkiliMali-hc2qs Před 2 měsíci +2

    Apana mola apasawe kwa haki isipokuwa Allah mume wangu aliumwa usiku kucha akiwa hataki hata kufunuliwa Shuka lakin baada ya kuweka dua hii inshaalah kaamka mwenyezi mungu ni mkubwa jaman

  • @zainaramadhan4034
    @zainaramadhan4034 Před 2 lety +8

    Mashaallah Allah anijalie uzima na afya njema niendelee kuisikiliza kila siku maan nina mengi mazito allahumma ameen 🤲🤲🙏🏾🙏🏾😓

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před rokem +8

    Allah nakuomba nipe rizik nene unifungulie mazuri kwenye biashara yangu na unitolee husda na macho mabaya inshallah

  • @user-rd9lv8bj1m
    @user-rd9lv8bj1m Před 10 měsíci +4

    Mashaallah ninavyozidi kusikiliza Qur an tukufu ndipo navyozidi kupata amani ndani ya nafsi yangu

  • @maita25589
    @maita25589 Před 2 měsíci

    eeh mwenyezi mungu mwenye huruma telee, nihurumie mimi mkosefu mbele zako nipe moyo wa kukuabudu wewe pekee na kuachana na mambo ya dunia. Niondolee chuki na husuda za kila aina. eeeh mwenyezi mungu wajaalie makuzi mwma watoto wangu abdulrahim na alya, mjalie hekima mke wangu zulfa Ameen.

  • @ukhtyhumairah73
    @ukhtyhumairah73 Před rokem +3

    Allah nakuomba unizidishie imani ndani ya moyo wangu unisame napo kosea mimi na waislam wenzag yaa rabbii

  • @nurujuma-qs4jr
    @nurujuma-qs4jr Před rokem +5

    Yaa Allah nakuomba kupitia dua hii km kuna kitu chochote kibaya kimo ndani ya mwili wangu,ndani ya nyumba yangu,ndani ya familia yangu basi insha'Allah leo yote yaishe na yatoke kwa uwezo wako sw pia muondolee mama angu mzazi magonjwa yote na arudi ktk hali yake ya kawaida pia na mama mkwe wangu nifungulie millango ya risk na undoe nuksi kwenye familia yngu zidi kuwapa uelewa wanangu ktk elimu ya ekhera na dunia waepushe na majanga ya dunia ya rabilla allamina 🙏🙏

  • @mariamungendakumana6887
    @mariamungendakumana6887 Před 3 lety +21

    Mnsha Allah mnsha Allah yaa rabby nijaliyeee mema katika maisha yang niepushe namitihani iloja katika maisha yangu 😭😭🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏 Insha allah😭😭 niepushe na maradhi katika mwili wangu 🤲🤲🤲😭😭😭 Insha allah

  • @KINGOFLOVE-lc2nb
    @KINGOFLOVE-lc2nb Před 3 měsíci +1

    YAALLH kupitia kisomo hiki Nina kuomba niondolee maradhi ya kichwa nuksi Asadi na sihiri nilizo wekewa na familia yangu Na Mwanangu nasri umuwezeshe kutambaa kwa araka kwa kudra zako yarabi subuhnna Allah muondolee matatizo sugu mke wangu swaumu m,bwana Alihamdu lilakhi

  • @ASHURAASHURA-jx2if
    @ASHURAASHURA-jx2if Před 8 měsíci +1

    Yaaa allah yaaa allah ninakuomba mola wangu mlezi kupitia dua hii yarabi ninakuomba nikaondokewe NA kila shali kila husda kila mikos kila nuksi NA kila balaa NA nikapone kila maumivu ninayo yaskia mwilini mwangu pia nikathaminike NA kuonekana kazini kwangu maana hata nifanye jemagan sionekan sionekan lkn nasema alhamdulilah kwa rehma zako alaah yote yataisha nanitakaa sawa NA kazin nitaonekana NA kukubalika inshaallah allah qarim❤❤❤❤❤❤

  • @fatmanasor6362
    @fatmanasor6362 Před 2 lety +9

    Alhamdhulillah nashukuru Allah kwakunionyesha njia iliyo sahihi Alhamdhulillah naamini Quran n tiba kamili 🤲🤲🤲

    • @zamojuma9920
      @zamojuma9920 Před 2 lety +1

      Ya Allah nakuomba mungu wangu uniwekee wepes katika mazito nayopitia nijalie nipate mume mwiisilamu ya rabi bila wewe Mimi siwezi nipekipato Cha halali nirehemie wazazi wangu mabibi na wakubwa zangu na ndugu na jamaa walio tangulia mbele za haki inshallah

    • @timesaleh6756
      @timesaleh6756 Před rokem

      Utapata mume mwenye heri na wewe na kila mwenye kuhitaji basi Allah amtatulie shida zake

  • @zainabalex9810
    @zainabalex9810 Před rokem +10

    Alhamduliliah yarabi naomba kupitia Dua hii ikapate kuniodoshea Kila lililo baya Kwngu inshallah

  • @user-gh6mn7dd1d
    @user-gh6mn7dd1d Před měsícem

    Namshukuru mwenyezi mungu kwa kunipa afya njema kupitia quran hii tukufu mungu baba naomba uwaondolee maradhi wazazi wangu nifanyie wepes katika utafutaji wangu husda hasid niondolee amin

  • @MogiAbdallah
    @MogiAbdallah Před dnem +1

    Ewe Allah mwingi wa Rehma na mwenye kurehemu kwa kupiti Dua (Ruqya) hii tunakuomba ww Allah S.W na Muhhamad S.A.W ni mtume wako utuponye maradhi haya wanayotusababishia Viumbe hawa wabaya 😫 Aamin Thumaa Aamin 🤲🏽🙏🏽

  • @fatumaharuna8625
    @fatumaharuna8625 Před rokem +6

    Alhamdulillah Yani na Mimi Leo ndo naioa hii hapa naisikiloza jinsi ninvyojisikia Allha ndo anajua,shekhe Allha akulipe kheri,amiin,hili si jambo dogo utatutibu wengi ishaallha

  • @naimarasheed5857
    @naimarasheed5857 Před 2 lety +28

    Kwa uwezo Wa Allah najua mitihani ninayo ypitia kila siku in shaallah kwa uwezo Wa Allah itakwisha tu naomba unipe nguvu uvumilivu na afya njema hakuna unalo shindwa mungu wangu in shaallah 😭🙏

  • @OmanNizwa-uc4ub
    @OmanNizwa-uc4ub Před 2 měsíci +1

    Namuomba mwenyezmungu kupitia duahii aniondoshee mitihani matati husuda hasad na anilindye kizazichangu na ndoa yangu na wazazi wangu na haya macho yanay nisumbua anajua mungu nakupitiya dua hii iwe tiba kwangu aamn❤

  • @tamarablack254
    @tamarablack254 Před rokem +7

    Mungu na anifanyie wepesi kwa kila jambo langu, Insha'Allah 🙏.....Nipe amani ya moyo na furaha kwa jamaa zangu.....Niondolee Husda ,mikosi na nuksi za wabaya....Allah Wakbar

  • @AbubarIsmailMsechu
    @AbubarIsmailMsechu Před 4 měsíci +23

    Hiii Dua Ina saidia sana kuondoa majini nawashirikina,,
    Weka kifuani sikiliza kadri uwezavyo itakusaidia kwa kudra za ALLAH

  • @tumuabdallah9663
    @tumuabdallah9663 Před 2 lety +8

    Mashaallah Allah Awajaaliye umri mrefu muzidi kutufanyiya duwa zakutuepusha nashari

  • @reenkim8390
    @reenkim8390 Před 4 měsíci +2

    Eee Allah nilinde na Hasadi za huu ulimwengu… nipe muongozo mzur wa kuku tumikia kila siku niamkapo….linda familia yangu katika mabaya Allah ….. fungua riski ndogondogo na zile kubwa kubwa katika maisha haya ulio tupatia ya mda mfupi apa duniani…. Nilinde na magonjwa yasinipate.. nijaalie mume bora wa kunipenda na haliyangu pamoja na familia yangu.. hakika Allah nijaalie mwisho mwema 🤲 inshaallah nikiomb na kwakuamini ndivyo itakavyo kuwa… Amin 🙏

  • @samirasaidi9306
    @samirasaidi9306 Před 2 dny

    Ya ALLAH kupitia dua hii naomba umuondoshee mume wangu magum anayopitia katika kazi zake utafutaji waridhki kwake umekua mgum nauponye namaradhi ya Figo na inni utuondoshee magum tunayopitia ya ALLAH nauwaponye wote ndugu zangu waislam wanaopitia magum uwaponye wazazi wangu nduguzangu watoto wangu uwape imani upendo nautulivu katika maisha yao thumma Amiin yarabby takabar duaa🙏

  • @azizaallliez7627
    @azizaallliez7627 Před 3 lety +8

    Mashallha kila mwenye shari na mimi yatamrejea mwenyewe kwa uwezo wa allha tulindiee na mabalaa mola wanguu tuepushe na kila ushirikina na kila bayaa amin yarrabi

  • @aishayusuf6862
    @aishayusuf6862 Před 3 lety +41

    Maasha Allah Allah atukinge na mabaya yote dhidi ya mashetwan Amiin 🤲🤲🤲

  • @hamisaramadhani9640
    @hamisaramadhani9640 Před 3 měsíci +1

    Ee Mwenyezi Mungu , niondoshee dhiki ,ufakiri, na maradhi , na hasadi za viumbe wako, EWE ALLAH, Nisamehe makosa yangu , na uwarehemu wazazi wangu, na family yangu yote , Mwenyezi Mungu nifungulie Maisha yangu na ya watoto wangu na Mume wangu i 21:11 21:13

  • @user-ch5vi1eo4o
    @user-ch5vi1eo4o Před měsícem +1

    Yaallah nakuomba ktk dua hii nip0ne maradhi yanayonitesa na nipate mtoto na umremu mama angu umuondoshe adhabu ya kaburi iwe shufaa kwangu na ndoa yangu amin yarabi

  • @sharifashabani7182
    @sharifashabani7182 Před 3 lety +18

    ALLAH AKULIPE DUNIA NA AKHERA INSHAALLAH

  • @husnaabdulrahman8457
    @husnaabdulrahman8457 Před 2 lety +6

    Allah atutatulie dhiki na mitihani ya mahasidi atujalie wepesi kwa aya hizii yarabi

  • @aishalibaba
    @aishalibaba Před 3 měsíci +1

    Mashallah mashallah alhamdu lilah ee mwenyezimungu muumba wavyote kupitia qulhan tukufu naomba uniondoshe namaradhi ya kishetwan ,uniepushe nahusda uniepushe nakila baya na unijalie mwisho mwema wa kukuabudu yarabi qarem

  • @Yusra-fi4ww
    @Yusra-fi4ww Před 2 měsíci

    Yarabi naomba uniongoze katika njiya iliyonyooka isowe ya wale ulowakasirikia na unijaalie mimi pamoja na wazaza wangu na wadogo zangu na unipe moyo wa subra na uniepushe na kila asri na sheirwani la kike na la kiume amiiiiiin yarabilaala miiiiin

  • @Divathebawse
    @Divathebawse Před 9 měsíci +19

    zkupitia dua hii Naomba Ya Allah SWT oniondoshee Maradhi Ya Nyonga, Pingili za Mgongo na tumbo na Maradhi Ya Moyo yanayoanza nisumbua Mungu Wangu Nilinde na wivu na chuki za waja niondolee wabaya katika maisha yangu niletee Mema jenga mema kwangu niongezee kila panapopungua timiza ndoto zangu na jaalia familia yangu

  • @omarykatongo4943
    @omarykatongo4943 Před 4 lety +55

    Allah atujaalie wepesi ktk kila la kheri na atuepishe na kila la shari, bi idhnihii

  • @user-gs8gu9uc3l
    @user-gs8gu9uc3l Před měsícem

    Mwenyezi Mungu kupitia dua hii naomba umsaidie mama yangu mzazi umuondolee maradhi yako sugu yanayomsumbua kila mara awe mzima daima , wasaidie ndugu zangu wote wawe wenye hofu na ww allah na waondolee maradhi kwenye miili yao msaidie mwanangu mfungue ufahamu wake na uelewa darasani muongoze njia sahihi nakukabidhi familia yangu yote allah na wale waliotangulie mbele yako Allah s.w wapunguzie adhabu ya kaburi amina

  • @ZuuhRaniya
    @ZuuhRaniya Před 7 měsíci +1

    Ewe mwenyezi mungu nakuomba kupitia duwa hiii nipone hiii shida inayo nisumbua nakitu kilichopo katika mwili wangu kibaya kitoweke kwa uwezo wa Allah ewe mwenyezi mungu niponye mja wako 🙏

  • @faridasabir6571
    @faridasabir6571 Před rokem +6

    Mungu mkubwa sasa moyo wangu umetulia kwa kusikiliza hii dua

  • @enzoon5796
    @enzoon5796 Před rokem +8

    Penye uzito allah atufanyie wepesi atuondolee maradhi inshallah 👏

  • @ASHURAASHURA-jx2if
    @ASHURAASHURA-jx2if Před 8 měsíci +1

    Yaallah nakuomba kupitia dua hii kwa imani yangu mm kama mzazi kama mama naomba wanangu waondokokewe NA husda masheitwan majina ka kilichojificha kikafichuke kupia dua hii NA nguvu zako allah wape ulinz wako adui asiwe NA nafas abadan kila mwenye kusu uyu kuwafanyia ubaya aka aibike hazalani pia wajalie wtt wangu wawe wtt bola wenye maadili yako NA hofu yako pia wafike mbali kielimu ya dini NA elimu ya kizungu kwa rehma zako inshaallah ❤❤❤

  • @hamismahmood
    @hamismahmood Před měsícem +1

    Ewe mwenyezi mungu ama hakika ww ndio kila kitu katika huu ulimwengu tunakuomba utukinge na vitimbi vya wachawi mashwetani na majini wasiokutumikia ww mola wangu...amiin

  • @maidajuma9331
    @maidajuma9331 Před 11 měsíci +11

    Kupitia dua hii namwomba Allah atulinde mie na familia yangu dhidi ya hasadi za walimwengu na kutujalia Afya njema

  • @faridajumafarinajuma1511
    @faridajumafarinajuma1511 Před 2 lety +121

    Kwakweli hi tiba wallah Jana usiku nimesikiliza mambo yalonitokea hakika nimemshukuru Allah maana nimesikia vitu vinatembea mwilim mwangu Kama vinatoka kisha Maumivu niliyokuwa yananitesa yamepotea kwakweli Neno langu nikusema Alhamdulillah Allah aendelee kunitibu kwa quruan yake tukufu kila kilichojificha katika mwilin mwangu kwakunitesa kiondoke Nanibaki huru "Nakuombea nawe Shekh wetu Allah akulipe naakuifadh naakulinde na Mabaya Uwepo wako uwepo ili Uendelee kutulinda Nasi kwakutuba daawa ya kisomo

  • @hamiskindamba6929
    @hamiskindamba6929 Před měsícem +1

    Ya allah kupitia kisomo hiki naomba unifanyie shifaaa juu ya maradhi yangu amin

  • @ElizabethLizzy-pk3zj
    @ElizabethLizzy-pk3zj Před 6 měsíci +1

    Allah azidi kutuongoza kwa hii Quran wallah 🤲

  • @pilicharo4123
    @pilicharo4123 Před rokem +7

    mashallah dua hii uwa naipenda kuisikiliza nikisikiliza navizuri allah anijalie niendelee kusiliza

  • @TausRamadan-fq9zd
    @TausRamadan-fq9zd Před rokem +4

    Ewee Allah nakuomba kupitia dua ukaniondolee maradhi yote katika mwili wangu 🤲🤲🤲

  • @AliMohamed-ng5ps
    @AliMohamed-ng5ps Před 9 měsíci +2

    Ya ALLAH ss waja wako tufanyie wepesi kwa kila mtihani tunayopitia ya RABBI tuondolee matatizo mwilini mwetu ya RABBI kupitia dua hii sheikh ALLAH akujalie mema duniani na akhera amiiiiiiiin

  • @user-tq4ie1qb6o
    @user-tq4ie1qb6o Před 2 dny

    Allah ikubuke familia yangu tunayo pitia tufanyie wepesi kubuka babangu,mamangu, ndugu zangu dada zangu Na pia watoto wangu tukinge Na wachawi 🤲 Amin yarabi

  • @mariummarium8958
    @mariummarium8958 Před rokem +7

    Mimi sio msilamu lakini anapenda kusikiliza Koran na dua yao🎉🎉

    • @hbnkingi
      @hbnkingi Před 6 měsíci

      MashaAllah 🤝🏽

    • @reenkim8390
      @reenkim8390 Před 4 měsíci

      Mimi pia kwani naiman Mungu ni mmoja tunae mwabudu …. Inshaallah mwenyenzimungu atufanyie wepesi katika kila jambo 🤲

  • @wardmohamood5845
    @wardmohamood5845 Před rokem +7

    Amen Allah atuondolee mabay Nami pamoja na Familia yngu atufanyie wepesi kweny nzito maradhi vifungo viishe

  • @HajraSaidMmbaga-ts5zr
    @HajraSaidMmbaga-ts5zr Před 10 měsíci +1

    Allah nakuomba katika duwa ninayoisikiliza iwe tiba yakunitibu mm na wanangu na familia yangu yaraby kila penye uzito utupe wepes tuondolee maradhi makubwa yaraby na utuondolee mitihan ya dunia tujaalie mwisho ulio mwema yaraby na utupe kila tukuombalo yaraby tujaalie tuishi vzr na watu yaraby mrehem baba angu mzee said muepushie adhabu ya kaburi pamoja na ndugu zangu wote waliotangulia mbele ya khaki takabal duwa tujaalie tuwe miongoni miongoni mwa waja wako wa peponi mm nq familia yangu tujaalie maisha marefu yenye kheri amiin yaraby takabali duwaaaa

  • @JasminMsafiri
    @JasminMsafiri Před 3 měsíci

    Yarab niondoshee matatizo yote niliyonayo nipe amani ya moyo na utulivu amiin

  • @user-pl8ju6zc3r
    @user-pl8ju6zc3r Před 9 měsíci +5

    I love is quran😍❤❤❤

  • @samirasadasalum5974
    @samirasadasalum5974 Před 2 lety +45

    Ninaimani na Quran kitabu kitukufu hakika tutaponywa nayo kwa idhini ya ALLAH, Inshaallah

    • @africanoguy5140
      @africanoguy5140 Před 2 lety +1

      Maashaallah tabaraka’llah🙏🏾 huja kosea kweli Qur’an ni shifaa kwa wanao amini

    • @mariamchuwa7916
      @mariamchuwa7916 Před 2 lety +1

      Mashallah allhamdullillah namshukuru

  • @wardamohamood
    @wardamohamood Před 6 měsíci +1

    Amini ya rayabbi naomba uniondolee husda ktk maisha yangu mm na family yangu maradhi ya uchawi tunayo tumiwa na mashwetan wabay

  • @alawimukesh2067
    @alawimukesh2067 Před rokem +3

    Inshallah kwa uwezo wa mungu atatuponya kila mabaya yaliopo kwenye miili yetu amiin

    • @rehemafeysali7968
      @rehemafeysali7968 Před rokem

      Amin inshaalah 🙏

    • @ChifuGogo
      @ChifuGogo Před 2 měsíci

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @ChifuGogo
      @ChifuGogo Před 2 měsíci

      salam alykum mimi mwangu kulsiku muda wakwenda shule ana pitiwa nausngizi duagani inafaa kwamgonjwa kama huyoo

  • @mwajeyhassan9248
    @mwajeyhassan9248 Před 2 lety +14

    Tunashuk kwa kisomo hiki Allha atufanyie wepesi wote wenye huitaji.

  • @whitesavage6931
    @whitesavage6931 Před rokem +10

    Mashallah Allah ndio mjuzi wa yote na ndio anayetoa uponaji pia Allah anajua mja wake mitihani yangu ninayopita kwasasa nakuomba kupitia dua hii awezekunifungulia mambo yangu na mitihani yangu anaondolee Inshaallah 🙏😭

    • @SabrinaAmana
      @SabrinaAmana Před rokem +2

      Inshallah

    • @faridasabir6571
      @faridasabir6571 Před rokem +1

      Inshallah amin

    • @ukhtymdee8557
      @ukhtymdee8557 Před rokem

      Alahumma Aaaamin Yarababy Allah min allah tupokelee duwa na utuondoshee kila shar zi tokanazo na majin na bina damu ewe Allah hakika hatun shaka juu yako twa kuomba wew mwenye kuruzuku hakika tuzuruku afya njema sis na walioko ma hospital na utuepushe na kila husda na shar za majin na bina damu ewe mola wetu hakik wew ulie tukuka tukubalie duwa zeetu 🤲🤲😭😭

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 Před 3 lety +31

    Shukran jazakallahu lkhair biidhnillah in shaa Allah matatizo yetu yoote yatatoka kwa hichi kisomo yaarab

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 6 měsíci +1

    Yaallah niponye na maradhi na uniondee hasd za walimwengu kwenye biashara yangu amiin

  • @HamicyAthuman
    @HamicyAthuman Před měsícem

    MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA NIJALIE MWISHO MWEMA MIMI PAMOJA NA FAMILIA YANGU NIJALIE MAFANIKIO MEMA AMIIN🙏

  • @jumamuhammed2777
    @jumamuhammed2777 Před rokem +3

    Yarib wandoshe maradhi walionayo wanangu mugunisaidie zidikunipa shufa🤲🏼🤲🏼🤲🏼amiin amiin amiin👩‍👩‍👦‍👦💕💕💕💕💕

  • @rashidkinje2806
    @rashidkinje2806 Před 2 lety +6

    Mashallah ..naona mabadiliko ya maradhi yaliyokuwa yananisibu...
    Mungu mkubwa..mungu mkubwa..mungu mkubwa...allhu Akbar..

  • @AsnathMakeupglow
    @AsnathMakeupglow Před 18 dny

    Ewe Allah kupitia dua hii naomba ukanifungulie mambo yangu yote pamoja na biashara yangu, na ukaniondolee mambo yote mabaya yaliyo katika mwili wangu. Ewe Allah pia nakuomba ukabariki biashara za wazazi wangu inshaallah🤲🏻🤲🏻

  • @safiasleiman6176
    @safiasleiman6176 Před 3 lety +12

    Tunaomba za kudawnlod maalim hii haikubali kudawnlod kwa kweli ni nzuri sana

    • @mwakakigona2803
      @mwakakigona2803 Před rokem

      Dah kweli haikubal

    • @SULUMUABDUL
      @SULUMUABDUL Před 4 měsíci +1

      Mungu nifungue kwenye vifungo vibovu nipe amani ya moyo nilinde na usda za waja walinde wanangu na mume wangu namzazi wangu amina nisamee makosa yangu

    • @sameonesample4548
      @sameonesample4548 Před 2 měsíci

      Mm pia nimeshindwa jamani msaada

  • @bunuadiyo5944
    @bunuadiyo5944 Před 2 lety +12

    Masha Allah.Mwenyeezi Mungu atujaalie Kila la heri in Shaa Allah.
    Amin Amin Amin

  • @MozaMtawala-hh7uu
    @MozaMtawala-hh7uu Před 12 dny

    Inshallah ALLAH pekee ndio kimbilio letu niondolee mitihani ya mwilini mwangu kupitia Dua hii amiin

  • @babykasisi307
    @babykasisi307 Před rokem +25

    Masha Allah. Namuomba Allah anijaalie rizki ktk shughuri zang, aniondolee husda mbaya, aniepushe na mabalaa, anikingu na maradhi makubwa na madogo, awaajalie watoto wang elimu dunia na elimu akhera wawe vichwa wasiwe mkia, amfanyie Mama yangu wepesi na kumuondoshea maradhi makubwa na madogo, atujalie familia tyweze kuelewana na kuoendana. Amiina Insha Allah

  • @mwajumafundi4045
    @mwajumafundi4045 Před 2 lety +39

    Ewe Allah nijaalie mm na ndugu zangu waislam wenzangu utulinde na husda na utuondolee magonjwa na uendelee kutulinda na wabaya amiin🙏🙏🙏

  • @user-gu4nr4ny3z
    @user-gu4nr4ny3z Před měsícem

    Kupitia Dua hii nakuomba Ya...Allah unitakase na madhambi yote mimi pamoja na waja wako wote..pia ukamponye..Mama yangu..na mabalaa yote yanayomuandama.. inshallah 🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲

  • @AzzaSoud-ij8by
    @AzzaSoud-ij8by Před 5 měsíci +1

    Ya Rabb Alaamiin Azza wa Jal,Muumba wa mbingu na ardhi,mwenye kurehem,neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo..nikaomba na kutubu mbele zako Allah,nayakabidh maisha yangu,wazazi wangu,wangu,mume wangu na ndugu zangu..ya rabb tuongoze katika njia salama na yenye kukupendeza.tusamehe madhambi yetu,tujaalie mwisho mwema ya Allah.kupitia duah hii naomba unifungue vifungo vyote ima vya binaadam ama majini,hakuna linaloshindikana kwako Allah.tabaqal duah 😢🥹🤲

  • @nuruddin5074
    @nuruddin5074 Před rokem +5

    MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKUJAALIE KILA LA KHERI SHEIKH WETU NA FAMIRIA YAKO ALLAH AIJAZE NURU INSHALLAH