mashallah Mashallah Allah akubaaarik ustadhi kwa baraka Cha kisomo hiki Allah atuondolee kila aina ya mitihani na matatizo yaliyotusibu Aminiiii aamiiin
Allah kupitia duea hii naomba uniondoshe mm na uzawo wa tumbo langu maradhi ya kinjinni, hasadi, nuksi uchawi, maradhi na kila tatizo mungu wewe ndio unajua zaidi naomba uponyaji kujitia due hii
Dua fupi mno lakini inatenda maajabu.❤❤❤.kitambo nianze kuifuatilia imenifungulia baraka na neema kutoka kwa mwenyezi mungu.kila lifanywalo kwangu na kusudio mbaya linangeuka kuwa baraka na hasara kwa mwenye roho nuksi. Mungu akubariki.akinijalia nitakupitia kutoa sadaka yangu.
Mashalh allha akuzidishiye ruhuma ulonazo kwa kipaji mola alokubarikiya nasikiya kutete mwli mumiza nahisi dawa alha akujaliye ilmu daima uwafikishiye kila muja alo pendwa na mungu malipo yako yapo kwa mungu ishallaha ❤❤❤
Amina 🤲 kupitia dua hiii naomb uniondosheee matatizo yote yanayo Katika mwili wangu mm pamoja na familia yangu eweee mwezimungu kupitia dua hiii baba yangu spresha na kiskari ewe mwenyezingu kupitia dua Eweeee mwenye zimungu mponye mama angu kifua ambo kinamtesa kama ni husda zaabina damu Eweeee mwenyezimu kupitia dua hiiii naomba uniondolee nuksi niolewe AMINA 🤲
Allah Akubar Allah Akubar. Ewe Mwenyezimungu kupitia dua hii naomba yaraby Nirudishie Nyota yangu iliyoibiwa...nimeanza kusikia hii dua leo tarehe 27/7/2024 nimepiga kelele sana huku nikilia na mwili kuishiwa Nguvu
Amin Inshallah Allah nitibu maradhi yangu yote nijalie baraka n afy njem.Allah mponye mama yangu maradhi yake yote kwanzi muda huu kamponye mama niponye na Mimi n majini wote n wachawi wote n magonjwa yote 😭🙏
Manshallah Allah azufungue liski Zako akupandishe darja akupe Amani hapa Dunia I na akupe Pepo yake akuondoleye huzuni shida musukosuko akuondoleye kijivo ftina n'a mutihani akupe afia njema Pia akupe Furaha akupandishe daraja nakupe liski pande 4zote zadunia alizoziumba Mwenyezi Mungu akukutanishe na wakubwa akuweke Mbali namadui akupe Mwisho Mwema Inshallah Allahu Akbar 🇧🇮❤️❤️❤️
Mashallah nakuomba mwenyezi mungu na kwa nguvu ya Dua ii unijaalie afya njema unifanyie wepesi katika maisha yangu nijaalie ridhiki niondolee wabaya wangu niwe na amani amin
Allahamdullilah namshukuru mwenyez mungu ...shekh ni Leo tu 8/3/2024 nilikua nipo kazin me nsumbuliwa na vitu ktk mwili ilipelekea miez 7 sijaingia ktk hali ya kike Leo nipo ona nikafuta maelekezo nikatulia nika play kwakwe sijatoka kwenye kile kitako nimesikia hali ya kike immwagika nilifurah sana sana nilimshukuru Allah nikaturah sana mashallah mungu akulipe ...nimefurah sana na najikia vzr sitaacha kusikiliza Kila wakat nikiwa na udhu na ktk hali tulivu nafurah sana
Aaamin nimesikiliza hii dua naisikiliza hii dua mimi pamoja n dadangu INSHALLAH popote alipo Mungu amlinde n yyte aliyamfanyia ubaya naomba Mungu amuadhibu 🙏🙏🙏
Nimesikiliza siku mbili moyo kulipukà mara kwa màra unapungua na maumivu ya kichwa na hata wasiwasi usiku wakati wa kulala Naona Allah kanifanyia wepesi Inshallah🙏🙏
Amin kupigia Dua hii mwenyezi mungu walinde wazazi wangu na watoto wangu na wadogo zangu pamoja na Mimi mwenyewe ututoe malazi vijicho uchawi utulinde na watu wabaya ya rabby utufungulie liziki kupitia Dua hii kuanzia Leo malazi yote yameisha kwenguvu zake mwenyezi mungu yeye ndio Kila kitu kwetu Amina🤲
Ya Allah niondolee kila baya liwe la kukusudia kukusudiwa na watenda Mabaya kwa kitabu au kwa Matunguli Yao Mwenyezi Mungu wewe ni Mkuu Kushinda yote unaona na kushuhudia Yote Ya Allah iwarudie iwe ni mmoja au kikundu kila kusudio baya lao la shirki na ubaya liwarudie Amin
Walaykum msalam, eeeh mungu wangu nakuomba unilinde na husda uniepushe na wabaya nisio wajua, uniupushe na kila shari, unilinde popote pale, eeeh mola wangu naomba ulinde familia yangu.
Amina namuomba mwenyezi mungu atulinde na mabaya tote ya kiilimwengu. Namuomba yarabi amponye mama angu maradhi yanayomsumbua. Na kupitia Dua hii namuomba amuweke baba angu pema peponi. Amina
Kupitia Dua hii yarabi nakuomba ukapate kuondoa maradhi katika familia yangu umponye mume wangu utujalie ndoa yenye upendo.na unisimamishie riziki zangu yarabi.
Allah kupitia Dua hi naomba uniondolee Mimi na watoto wangu bibi yangu maradhi yakimajini,husuda,hasadi,machawi,sihiri ,bako ,mikosi ,kutoelewana na watu, maradhi na kila tatizo mungu wewe ndio unajua zaidi naomba uponyaji kupitia Dua hii amiin!
Mashaallah mashaallah, ustadh Mwenyezi Mungu akujazie Kila la kheri inshaallah na azidi kuwa pamoja nasi na atupe na nyingi subra atupe razki zetu za halali inshaallah. Comment kutoka Kwa Fatma Muhammed shukra jazaka llakheri
Allah nifungulie riziki Familia yangu yote ya allh mlipe shehe wetu kwa dua hili alilo tuombea inshallah umjalie afya njema ya hapa duniani na kesho ahera
Namuomba mwenyezi mungu kupitia dua hii aniondolee mauzauza wasiwasi mwingi gazi ya mara kwa mara mikononi na hofu kwenye nafsi yangu anipe amani anilinde na kunikinga kwa kila ubaya
Allahumma Amiin🙏🤲🤲🤲 ya Allah nifanyie wepesi kupitia dua hii inshaallah uniondolee shari zote na uzifunge njia zote za giza zinazokwamishwa rizk yangu! Na unifanye niwe miongoni mwa waja wako wema!!
Mashallah ew mwenywenz mungu naomba unifungulie mlango waher kwa kila jambo ninalolfanya na uwafungueri kila mtu ee allah nomba umjarie kila laher Mja wako ee allah na uwajarie wazazi wet afya njema na uri mrefu ❤❤amen🙏
Ya allah nakuomb yarabbi uniondolee matatizo yote yanayoniandam kupitia dua hhi eee mwenyez mung ilinde ndoa yang iliyoko matatan katik kipind hiki amina
mashallah Mashallah Allah akubaaarik ustadhi kwa baraka Cha kisomo hiki Allah atuondolee kila aina ya mitihani na matatizo yaliyotusibu Aminiiii aamiiin
@@fatmamusa6236 amiin
Inshallah mola wangu niondoshe maradhi yote niliyokuwa nayo yawe ya kitabu au tunguli..Unijalie afya njema amiin
Inshallah allahumma amiin marazi yangu yanaisha na matatizo yangu yanaisha na watu wangu wa karibu matatizo Yao yaishe
Amina Allah niondeshe matatizo yangu
@@user-ff4hn7vc5o amiin
Allah kupitia duea hii naomba uniondoshe mm na uzawo wa tumbo langu maradhi ya kinjinni, hasadi, nuksi uchawi, maradhi na kila tatizo mungu wewe ndio unajua zaidi naomba uponyaji kujitia due hii
Shukrn kwa Dua mwili wote unaishiw nguvu ya Rabbi matatz nliyonayo yaondoke kwa uwezo wako mola wang
Mwiliwote kama Kuna vitu vinajivu allaha naomba niponye allah maladhi yote yalabi
Naomba matatizo yatoke ishallah
Dua fupi mno lakini inatenda maajabu.❤❤❤.kitambo nianze kuifuatilia imenifungulia baraka na neema kutoka kwa mwenyezi mungu.kila lifanywalo kwangu na kusudio mbaya linangeuka kuwa baraka na hasara kwa mwenye roho nuksi. Mungu akubariki.akinijalia nitakupitia kutoa sadaka yangu.
Karibu
MASHALLAH MASHALLAH JADHAKA LLAH KHER
Mie mambo yangu ayaendi
Mashalh allha akuzidishiye ruhuma ulonazo kwa kipaji mola alokubarikiya nasikiya kutete mwli mumiza nahisi dawa alha akujaliye ilmu daima uwafikishiye kila muja alo pendwa na mungu malipo yako yapo kwa mungu ishallaha ❤❤❤
Amina
Amina 🤲 kupitia dua hiii naomb uniondosheee matatizo yote yanayo Katika mwili wangu mm pamoja na familia yangu eweee mwezimungu kupitia dua hiii baba yangu spresha na kiskari ewe mwenyezingu kupitia dua Eweeee mwenye zimungu mponye mama angu kifua ambo kinamtesa kama ni husda zaabina damu Eweeee mwenyezimu kupitia dua hiiii naomba uniondolee nuksi niolewe AMINA 🤲
Allah Akubar Allah Akubar. Ewe Mwenyezimungu kupitia dua hii naomba yaraby Nirudishie Nyota yangu iliyoibiwa...nimeanza kusikia hii dua leo tarehe 27/7/2024 nimepiga kelele sana huku nikilia na mwili kuishiwa Nguvu
Insha'Allah ALLAH atuondoshee maradhi yote yanayotusumbua na atupe maisha marefu yenye furaha na amani
Amin
Mashallah❤
Yarabi. Mwenyezi. Mungu. Atuodoshee. Marandi. Nawatoto. Nanyumba zetu
Mashaa allah❤❤ alhamdulillah kwa duwa nzuri 🤲bidhinillah inshaa allah kila kitu kitakuwa kher 🤲
Mashaaalha alha atupe umri mrefu na wenye barka naneema ishaalhaa.❤
Amin Inshallah Allah nitibu maradhi yangu yote nijalie baraka n afy njem.Allah mponye mama yangu maradhi yake yote kwanzi muda huu kamponye mama niponye na Mimi n majini wote n wachawi wote n magonjwa yote 😭🙏
Manshallah Allah azufungue liski Zako akupandishe darja akupe Amani hapa Dunia I na akupe Pepo yake akuondoleye huzuni shida musukosuko akuondoleye kijivo ftina n'a mutihani akupe afia njema Pia akupe Furaha akupandishe daraja nakupe liski pande 4zote zadunia alizoziumba Mwenyezi Mungu akukutanishe na wakubwa akuweke Mbali namadui akupe Mwisho Mwema Inshallah Allahu Akbar 🇧🇮❤️❤️❤️
Amin dua kubwa kubwa hizi
Yarab naomba niondolee maradhi kwa dua yako hii inshaa Allah
Yarab naomba niondolee nuksi husda mikosi nipatie neema yarab niondolee homa homa kwa mwili wangu inshaa Allah
Amiin🤲
@NasraMsakuzi-dn2fj amiin
Niondolee maladhi mwili wangu niondolee mikosi na uchawi mwilini mwangu amina amina
Mashallah nakuomba mwenyezi mungu na kwa nguvu ya Dua ii unijaalie afya njema unifanyie wepesi katika maisha yangu nijaalie ridhiki niondolee wabaya wangu niwe na amani amin
Yaa Allah kwa barka ya dua Allah uniponye maradhi ya wasiwasi na unifungulie milango ya ndoa niweze kuolewa
Kupitia kisomo hiki Insha'Allah bi idhnillah nitapona Kwa uwezo wake ALLAH
Allah kwa dua hii naomba uniondolee matatizo yote niliyokuwa nayo kwenye maisha yangu
Mashaallah Allah atufanyie wepesi kila jambo lilo.mbele yetu
Amiin 🤲 kila tatizo lilipo mwili mwangu liniondoke Inshallah hasa wasi wasi nilio nao yaraabi niondoshe mm🤲
Uwo ugonjw m bay sana majin hao
Allahamdullilah namshukuru mwenyez mungu ...shekh ni Leo tu 8/3/2024 nilikua nipo kazin me nsumbuliwa na vitu ktk mwili ilipelekea miez 7 sijaingia ktk hali ya kike Leo nipo ona nikafuta maelekezo nikatulia nika play kwakwe sijatoka kwenye kile kitako nimesikia hali ya kike immwagika nilifurah sana sana nilimshukuru Allah nikaturah sana mashallah mungu akulipe ...nimefurah sana na najikia vzr sitaacha kusikiliza Kila wakat nikiwa na udhu na ktk hali tulivu nafurah sana
Alhamdulilah sheikh Mwenyezi Mungu akupe umri mrefu
Aamiin thumma aamiin shukrani sana shekhe wetu Allah akulipe Kila lenye kheri
Maashaallah Allah namuomba aniondoshee kila mzito yaarabi
Mashallah,,, yarrab tufungulie na utuondolee hasad tulizonazo
Mungu akuondolee kilamazito akufanyie wepes ishalwaa kwasote ishalwaa
Kupitia dua hii mwenyezimungu niondolee maradhi yaliyo mwilini mwangu na kilinde kiumbe kilicho tumboni kwangu nijifungue salama amin
ALHAMDULILAH RRABIL ALLAMIN MASHAALLAH JAZAKAALLAHU KHEIR...
Aaamin nimesikiliza hii dua naisikiliza hii dua mimi pamoja n dadangu INSHALLAH popote alipo Mungu amlinde n yyte aliyamfanyia ubaya naomba Mungu amuadhibu 🙏🙏🙏
Yaa Allah Kwa kisomo hiki naamini ntapona maradhi yoote yanayonisumbua ya shirki na niwe mwenye kupata rizki Kwa wingi za halali Amina🙏🙏
Nimesikiliza siku mbili moyo kulipukà mara kwa màra unapungua na maumivu ya kichwa na hata wasiwasi usiku wakati wa kulala Naona Allah kanifanyia wepesi Inshallah🙏🙏
Ishaanllah mwenyezi mungu atufanyie wepesi
Amin kupigia Dua hii mwenyezi mungu walinde wazazi wangu na watoto wangu na wadogo zangu pamoja na Mimi mwenyewe ututoe malazi vijicho uchawi utulinde na watu wabaya ya rabby utufungulie liziki kupitia Dua hii kuanzia Leo malazi yote yameisha kwenguvu zake mwenyezi mungu yeye ndio Kila kitu kwetu Amina🤲
Yarab Amin yarab Amin yarab Amin naomba mola ajalie niweze kupata mume nandoa
Mashallha
Allha azidi kuwabariki mashekhe wetu
Ya Allah niondolee kila baya liwe la kukusudia kukusudiwa na watenda Mabaya kwa kitabu au kwa Matunguli Yao Mwenyezi Mungu wewe ni Mkuu Kushinda yote unaona na kushuhudia Yote Ya Allah iwarudie iwe ni mmoja au kikundu kila kusudio baya lao la shirki na ubaya liwarudie Amin
Allah atuwekee wepesikatika matatizo yabmaradhiAamin
Amin IshaAllah Alllah nifanyie wepesi kwa kila jambo kupitia dua hii ukanikinge na kila baya linaloniandama Amin
Walaykum msalam, eeeh mungu wangu nakuomba unilinde na husda uniepushe na wabaya nisio wajua, uniupushe na kila shari, unilinde popote pale, eeeh mola wangu naomba ulinde familia yangu.
Amina namuomba mwenyezi mungu atulinde na mabaya tote ya kiilimwengu. Namuomba yarabi amponye mama angu maradhi yanayomsumbua. Na kupitia Dua hii namuomba amuweke baba angu pema peponi. Amina
waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah sheikh wetu kwa Dua hii.❤❤❤
Kupitia Dua hii yarabi nakuomba ukapate kuondoa maradhi katika familia yangu umponye mume wangu utujalie ndoa yenye upendo.na unisimamishie riziki zangu yarabi.
Allah kupitia Dua hi naomba uniondolee Mimi na watoto wangu bibi yangu maradhi yakimajini,husuda,hasadi,machawi,sihiri ,bako ,mikosi ,kutoelewana na watu, maradhi na kila tatizo mungu wewe ndio unajua zaidi naomba uponyaji kupitia Dua hii amiin!
Allahumma amiiin. Jazakallah kheir
M mungu nitolee maradhi uchawi majini niliyofanyiwa kwa njia ya kitabu au ya matunguli M mungu nisaidie
Mashaallah mashaallah, ustadh Mwenyezi Mungu akujazie Kila la kheri inshaallah na azidi kuwa pamoja nasi na atupe na nyingi subra atupe razki zetu za halali inshaallah. Comment kutoka Kwa Fatma Muhammed shukra jazaka llakheri
Mashallah allah akuzidishie
Awww ya Cheikh Mimi ninasmbuliwa na ufukara na kusokudumu na ndowa za kula wakati
mashallah mungu awabariki.awazidishie elmu 4:26
Allah nifungulie riziki Familia yangu yote ya allh mlipe shehe wetu kwa dua hili alilo tuombea inshallah umjalie afya njema ya hapa duniani na kesho ahera
Amin isha Allah
Allah nifanyie wepes maladhi haya uniponye allah
Mashaallah Mashaallah Allah atunusuru na kila mabaya tuombewayo na maadui zetu dua ii iwe Kinga kwangu na familia yngu yote kwa kila mabaya
Amin,Amin,shehe,Allah,akulipe,kilajema🙏
Amini thuma amin inshallah Allah atatoa njia zake
Ameen ya rabbi
mashallah Mashallah Allah akubaaarik
na Allah atujaalie na atupe shifaa Kwa baraka Cha kisomo hiki aamiiin
Namuomba mwenyezi mungu kupitia dua hii aniondolee mauzauza wasiwasi mwingi gazi ya mara kwa mara mikononi na hofu kwenye nafsi yangu anipe amani anilinde na kunikinga kwa kila ubaya
Allahumma Amiin🙏🤲🤲🤲 ya Allah nifanyie wepesi kupitia dua hii inshaallah uniondolee shari zote na uzifunge njia zote za giza zinazokwamishwa rizk yangu! Na unifanye niwe miongoni mwa waja wako wema!!
Amin inshaallah mwenyezimung aniondoshee mardh kw dua hii
Amina yaa Allah taqabal duaaa
Mimi naomba kwa uwezo wa Allah hii duwa iwe ukombozi wangu maana nasumbuliwa na ndoto mbaya mpaka nimechukiwa hatuwa ya kuhama nyumba yangu
Eeh mwenyezi mungu niondolee na uniponeshe maradhi nliyokuwa nayo ammin
Mashallah TabarakaAllah shukran sana 🙏🙏
Mashallah mashallah tunashukuru sana dua
Mashallah shukran Jazzakallah kheir kwa dua njema Allah SWT akujaalie maisha marefu na Afya njema na akulinde na kila shari ❤❤❤❤
Asante
Masha Allah
Allahumma ameen
Allahumma Aamiin yaa rabbi
Mashaallah
Kwakupitia dua hii namuomba mungu mkewangu atokwe pepo lilo mkumba aludi nyumban
Mashaallah jazakallah kheir
Mansha Allah yarab ampe umri mref shehe wetu shukran eeeh mola Wang kupitia kisomo hki niondoshee kila ubaya ulioko mwilin mwang yarrab
Mashaallah tabarakallah rahaman
Mwenyezi mungu kupitia dua hii naomba nipate ada ya watoto eangu ya shule na madrasa na pia nakuomba riziki yarab
Amiiin
Mashallah ew mwenywenz mungu naomba unifungulie mlango waher kwa kila jambo ninalolfanya na uwafungueri kila mtu ee allah nomba umjarie kila laher Mja wako ee allah na uwajarie wazazi wet afya njema na uri mrefu ❤❤amen🙏
MashaAllah naskiliza dua`a naskia kusisimka InshaAlla iwe qabul kwa matatizo nilo nao
Ammina Yaa Allah niondoleye magonjwa yako katika mwiri wangu
Mashaallah nshukru kwa kisomo mungu atuzidishie kheir sote
Amin inshallah Allah niondoree nuksi mikosi usuda na hassadi nijarie neema na baraka katika maisha yangu nakizazi changu amini
Mashallah in shaAllah mungu anipe shufaa kupitia kisomo iki
Asant Sheh nilisikiliza bada muili uliyumba yum
Allah kupitia dua hii nijaalie nipone mgongo wangu inshallah 🙏
Alhamdulilahhhh rabra alamina Amina rabra alamina yarabi takabali dua yarabi nilinde mimi ndoa yangu uzazi wang niondolee hasad na balaa nijalie mwisho mwema Amina
MAASHALLAH. M.MUNGU AZIDI KUKUONGOZA
shukran Allah akujalie zaid na zaid inshallah
lnshallah mola wanngu niondoshee maradhi you're niliyokuwa nayo yawe ya kitabu au tunguli unijaalie afy njema aminii
Yafaa Allah nakuomba uniondoshe mm na family yangu naradhi na hasadi zote amiiiiin
Kupitia kisomo hichi namuomba Mwenyezi Mungu wangu aniponye Maradhi yote yanayonisumbua ndani ya mwili wangu
❤❤
Amini yarambi 🤲 ❤️ ❤️ ❤️
Mashallah mwenyez mungu hakueke huzidi kutuombea 🤲
Allah kupitia dua hii nijalie nipone moyo yarab
Amin yarabi uniondolee balaa zote pamoja na hasd inshaa Allah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Ya allah nakuomb yarabbi uniondolee matatizo yote yanayoniandam kupitia dua hhi eee mwenyez mung ilinde ndoa yang iliyoko matatan katik kipind hiki amina
Amiiiiii 🙏🙏🙏 manshallah mwenyezi mungu aniondoshee maradhi niliyonayo na ndoto mby na uadui nilionao
As alykum Asante shekhe Kwa Dua
Mashallwah, Allwah akubariki akulipe mema na akulinde na Shari zote
Allahuma Amina yarabbi 🤲🤲🤲
Yarabb insha'Allah 🤲🤲 mungu atujalie n matatizo hatuondoshee insha'Allah 🤲🤲🤲🤲
Mashallah allahmma amen 🤲🤲🤲🤲
Mashallah Tabaraka Allah
Mashallah mashallah