Ya Allah tuondolee maradhi mimi pamoja na familia yangu kupitia dua hii naomba ganzi ya mama angu imuachiee na awe sawa kama mwanzoo na kila linalomsumbua salum naomba awe huru🙏🙏😪 Ameen inshallah
Yarab mola wangu mm saumu ayub nakuomba kupitia hiki kisomo mwondole maradhi Joel kule aliko nakuomba tena kupita hiki kisomo unifungulie baraka ya ndoa ya rab amin
Amiin thuma amiin ya Allah naomba unijibu ninaloliomba kwa kusikiliza quran yako tukufu hakika ww ndie hunaejibu maombi ya mja wako yyte hanae kuomba ya rabb takabali dua hii🙏🙏🙏
Allah humma salle. Alaa sayyedina muhammadi. wa. alaa. Aale sayyedina. Muhammadn wa bararik. wa Salim. Ya Allah mujko takaat. de. Afeeyat de or Noor de. Ya Allah mujko. tere. see dur na kar ya. Allah mujko malamal kar elahi amiin
Amini ya Allah naomba kupitia hii dua niondoshee maradhi mm na watoto wangu hasa said yuwasumbuliwa sana na macho nakauli hatamki kama mdogo wake mara Yuko sawa mara maneno yapotee ewe Allah niajalie shufaa kwa wanangu na mm mwenyewe kupitia mm kusikiza nao wapone juu niutumbo wangu
hii dua ina msaada na wepesi mwingi sana. kama imani yako iko sawa mungu anajibu maombi.
Yarab Amin yarab Amin yarab Amin naomba mola ajalie niweze kupata mume nandoa Amin yarab
Ameen yarabilallahmin niondoshee dhiki Na misukosuko inayotufika
Ya Allah tuondolee maradhi mimi pamoja na familia yangu kupitia dua hii naomba ganzi ya mama angu imuachiee na awe sawa kama mwanzoo na kila linalomsumbua salum naomba awe huru🙏🙏😪 Ameen inshallah
Aamin kupitia dua hii naomba mungu anirudishie ndoa yangu
Kwa baraka ya dua eweee mwenyezi mungu naomba niangamizie watesi wang wanao niulia watoto wang iwe wana damu ama maji waangamize kwa mapenzi yako
Yarab mola wangu mm saumu ayub nakuomba kupitia hiki kisomo mwondole maradhi Joel kule aliko nakuomba tena kupita hiki kisomo unifungulie baraka ya ndoa ya rab amin
Amina
Yalabi
Nakuomba
Nifunguliy
Niachukusudiy
Kupitiy
Duwahihihi
Mashalla
Amiin thuma amiin ya Allah naomba unijibu ninaloliomba kwa kusikiliza quran yako tukufu hakika ww ndie hunaejibu maombi ya mja wako yyte hanae kuomba ya rabb takabali dua hii🙏🙏🙏
Kwa dua hii naomba mwenyezmungu aniondoshee ganzi kwenye miguu na watoto wangu kuumwa homa za mala kwa mara
Amina
Naomba
Uniondoleee
Matatiz
Niliy
Nay
Kupoitiy
Duwa
Hiiii
Allahuma amiin,allah atuondeshee na kila mabaya na hasadi za walimwengu na atupe shifaa kwa kila hatua,
amiin ya rabby
Amina allah kwadua hui niondole vifungo culte vyafalmezagiza namashaitwani najamaalangulote aaami a
Amiina ya Allah niondoshee mabalaa kwenye ndoa yangu
Amini eeh mwenyez .jngu nope kila llonakheri katka maisha yangu
Ameen yarabi kupitia dua hii naomba niodoshe matatizo niliyonayo
Nawazazi,wangu,waondokewe,namaladhi
Amiina yarabi nakuomba kupita duahii nikinge na hasadi nahusuda zavyote ulivyo viumba katika hii dunia
Amina mungu ukanijibu usiku waleo mkewangu moyoo wake ukalainike akumbuke kuludi nyumbani
Allah humma salle. Alaa sayyedina muhammadi. wa. alaa. Aale sayyedina. Muhammadn wa bararik. wa Salim. Ya Allah mujko takaat. de. Afeeyat de or Noor de. Ya Allah mujko. tere. see dur na kar ya. Allah mujko malamal kar elahi amiin
Eeeh mungu nijibu kila nililo ombaaa ww ndo wakunijibu mm mungu wangu amina
Naomba nirejeshe baba watt wangu nirudini shaibu mangosongo nalea watt pekeyangu
Amina mkewangu aludi nyumbani
Ameen.
Amin,naombakupitiadua,hi,niondokewe,namaldhi,yaallaha
mungu ukanifungulie liziki zangu kazini kwangi
munyazimungu ukanijibu maombi yangu usiku wale
munyazimungu naufungua moyo wa mkewangu ukumbuke kuludi nyumban
munyazimungu naufungua moyo ya yoyote walo mzuia mkewangu kuludi nyumbani nata wamkaluusu aludi nyumba
Amini ya Allah naomba kupitia hii dua niondoshee maradhi mm na watoto wangu hasa said yuwasumbuliwa sana na macho nakauli hatamki kama mdogo wake mara Yuko sawa mara maneno yapotee ewe Allah niajalie shufaa kwa wanangu na mm mwenyewe kupitia mm kusikiza nao wapone juu niutumbo wangu
Mashalla